WAZIRI SILAA AINGILIA KATI JENGO LA BAKWATA LILILOPORWA, LAGEUZWA KUWA DANGURO, KATIBU MKUU AONGEA

Waziri wa Ardhi Mheshimiwa Jerry Silaa amefanya ziara le Jan 18,2024 ya kukagua jengo linalodaiwa ni mali ya Bakwata
Follow Us On:
INSTAGRAM: / miladu_tv
FACEBOOK: / babdeo miladu/
TIKTOK: www.tiktok.com/@miladu_tv?lan...
KZread: / @babdeomiladu

Пікірлер: 56

  • @abuusaid3297
    @abuusaid32976 ай бұрын

    Nyinyi bakwata mnashangaza sana, mnachokifanya hata hakijulikana, poleni sana

  • @user-tz9nb8tx9j
    @user-tz9nb8tx9j4 ай бұрын

    Waziri upo vizuri sana okoa mali za watu

  • @bakarishekigenda731
    @bakarishekigenda7314 ай бұрын

    Hiisasa nzuri hatahukukwetu maeneo mengi ya bakwata yamehodhiwa na viongozi wasio waadilifu

  • @allymnyenye8109
    @allymnyenye81094 ай бұрын

    Kwa ushauri wangu namuomba Mama Ampe ulinzi mkubwa Muheshimiwa manake kwa akili na upeo wa kawaida tu ipo mijitu itatumwa kumdhuru

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33155 ай бұрын

    ,taasisi zilizo Chini ya bakwata zinadhulumu Sana waislam kuihujumu serikali

  • @zariadunia6328
    @zariadunia63284 ай бұрын

    Nimeangalia hili waislam tumshukuru mungu ndiye hakim

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l6 ай бұрын

    Wanakudanganya hao malizote wamepena wenyewe kwenyewe

  • @mayaally2512

    @mayaally2512

    6 ай бұрын

    Ndio walipenaa kindezi sasa imekula kwao litarudi

  • @banihashim5347
    @banihashim53476 ай бұрын

    Bakwata majizi mitupu, Waporaji za ummah, Eti leo nao wameporwa eneo😅😅😅

  • @user-re3zo7ie5e
    @user-re3zo7ie5e6 ай бұрын

    Bakwata kazi yao nikula mali za wakf na kuuza mali zao

  • @feisalboy6702
    @feisalboy67026 ай бұрын

    Tatizo ht wakirudishiwa wanayauza ht magufuli aliwahi kuwaambia haya bakwata

  • @abdullahmasakata170
    @abdullahmasakata1706 ай бұрын

    Hizi ndio harakati sasa za kuleta maendeleo kwa waislam. INSHAALLAH ALLAH awaongoze vyema.

  • @ismailsoud3634

    @ismailsoud3634

    6 ай бұрын

    Maendeleo ya uislamu hayapatikani kwa kuhozi mali za wakfu, uislam unajengwa kwa IMANI NA MATENDO MEMA. Hayo ndio maendeleo ndani ya uislam. Uislam ni chombo SALAMA . Vinginevyo ni kumuudhi Allah ambaye mjuzi asiye danganyika.

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    6 ай бұрын

    @@ismailsoud3634 Soma dini uache kuwa zuzu na mjinga na kukariri mambo, Wewe unajua maana ya wakfu? Au kurejesha kilicho tolewa wakfu haifai? Kwaio Wewe ulitaka waendelee kulifanya jengo hilo dangulo? Kurudisha kilicho ibwa au tapeliwa haifai? Au Wewe ulitakaje kwa mfano yani!?

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    6 ай бұрын

    @@ismailsoud3634 Uislam halisia lazima apinge udhalimu ,Wizi, utapeli na kusimamia misingi yake na ndio maana wanarejesha kilicho tapeliwa, Hakuna taasi iliyoanzishwa na binadamu iliyokamilika na wala huwezi wapata watu walio kwenye taasisi hizo wakawa wakamilifu, Kama binadamu tunamapungufu na madhaifu mengi,Na hata taasisi zetu pia zina madhaifu na mapungufu mengi, Taasisi isiyo na mapungufu wala madhaifu ni ile ilio anzishwa na MUNGU mwenyewe sio binadamu. Kama huna mapungufu au madhaifu wakupe uongozi Wa waislam uongoze tuone wema wako.

  • @Bashitetako
    @Bashitetako2 ай бұрын

    Samia sijui alifkiria nini kumteuwa slaa kwenye hii wizara maana anaimudu sana

  • @alimaulid9543
    @alimaulid95434 ай бұрын

    Ndo maana bakwata watu wengi hawaikubali kutokana mambo yao

  • @user-cz7bd9tc5k
    @user-cz7bd9tc5k4 ай бұрын

    BAkwata Wao ndio wana shirikiana na Matapeli kutapeli Mbona RC Hawana Hayo kwanini? Waotu

  • @aminaosman3315
    @aminaosman33155 ай бұрын

    15:55 kama hii ya Ansar NI kitega uchumi cha kikundi kinachojiita baradha wadhamini haiwasaidii waislam na kumdhulumu mjane mayatima na kumfungulia kesi ya uvamizi pamoja kudhulumu watashinda wao kwakuwa mjane ni mnyote hana wansema wazi wao wenye tanga 😊

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85625 ай бұрын

    Msimtapeli alie uziwa mmeuza wenye we mnadai wenyewe.

  • @ismailabbas4197

    @ismailabbas4197

    3 ай бұрын

    Alieuziwa nyumba ya WAQFU nae mwehu tu, unanunuaje mali za taasisi vichochoroni? Hiyo imekula kwake

  • @alisalimo2861
    @alisalimo28614 ай бұрын

    Eti mali yauma wapen wauze hao bakwata

  • @Mkonkotolyo
    @Mkonkotolyo4 ай бұрын

    Jamani hizi simu za kutoka China zipigwe marufuku zina kelele saana

  • @ibrahimsaad617
    @ibrahimsaad6176 ай бұрын

    Mimi nita furai mkaenda Na markazi chang'ombe kiwanja chetu

  • @cidewashington670
    @cidewashington6704 ай бұрын

    Hilo Bakwata lenyewe mtihani mkubwaa kwa waislamu wa Tanzania

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu4 ай бұрын

    hao bakwata ni vibaka wezi watupu shenzi hao

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra6366 ай бұрын

    Bakwata ni wale wale😢

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim76634 ай бұрын

    Mnaficha nani anaemiliki hiyo nyumba sasa ? Kati ya hao hao, wakfu wa nyumba hiyo hawakupewa Bakwata, ilikuwa kwa taasisi nyingine, serikali ndio iliwapa Bakwata. Hapo kulikuwa na wapangaji na walikuwa wanalipa kodi. Baadae wakaondolewa wakampa mtu mmoja, wanamjua. Wajanja wengi Bakwata.

  • @ibnkhaldoun9694
    @ibnkhaldoun96944 ай бұрын

    NGOMA INOGILE, JE MALI ZOTE ZA WAISLAM TANZANIA ZITARUDI? TUNAOMBA FUPA LA CHAN’GOMBE LIWEKWE WAZI”.

  • @ismailabbas4197

    @ismailabbas4197

    3 ай бұрын

    Pale ndio kimbembe sasa

  • @mohamedmhina6
    @mohamedmhina63 ай бұрын

    Ni waziri anaeupiga mwingi Laminitis waziri kuna siri gani na shati nyeupe

  • @ismailabbas4197
    @ismailabbas41973 ай бұрын

    Kuna eneo kubwa sana pale Chang'ombe Dar, hata Sheikh Ponda Issa Ponda aliwahi kusema mali nyingi sana za waislam zimehodhiwa na viongozi wa bakwata, na nyumba za WAQFU nyingi tu zimeuzwa ama kutumiwa visivo halali. Tena kama Dar ni maeneo mengi sana hawa viongozi wa bakwata njaa sana

  • @kaidiSaid-ot9nl
    @kaidiSaid-ot9nl4 ай бұрын

    Allah awape afya njooni na singida ilongero waislam tumetapeliwa shule ambae tulijengewa kwa msaada wa mfti wa kwanza wa Tanzania baadaya mufti kufariki aliekua ktb wake akajakuibinafsisha ikawa ya familia yake na habari hizi ofisiya mufti sasa inahabari lakini imenyamza haija chukua hatua yeyote,,

  • @mussakiligaliga4348
    @mussakiligaliga43484 ай бұрын

    Kwa waziri ww nnaiman utayaweka sawa

  • @banihashim5347
    @banihashim53476 ай бұрын

    Wewe nuhu mruma na mufti wako ni wezi watupu, ushahidi tunao waislam

  • @yusuflittanda2949

    @yusuflittanda2949

    6 ай бұрын

    Toa ushahidi ili tujue sote ndugu yangu kwa wema na amani tujenge inshaAllah

  • @zariadunia6328

    @zariadunia6328

    4 ай бұрын

    Mmmh

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo24644 ай бұрын

    Bakwata ndio wakulaumiwa

  • @user-zo4mj5yk6p
    @user-zo4mj5yk6p6 ай бұрын

    BAKWATA Mataperi Wameuza Mali Nyingi Za Waislam

  • @ismailsoud3634

    @ismailsoud3634

    6 ай бұрын

    Hata mbinguni hawatajiki vizuri.

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting71805 ай бұрын

    Wakfu

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk4 ай бұрын

    Mahakama vipi Tena? Kuna haja ya kuwa na Mahakama kweli? Itabidi tutafute chombo mbadala was hizi Mahakama, Hizi Mahakama ndizo zimetufikisha hapa tulipo sasa! Mawaziri sasa wamekuwa Mahakimuu,

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l6 ай бұрын

    Acha usanii wewe hao bakawta walopita nanyinyi wa sasa munatofauti gani?

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    6 ай бұрын

    Kwa hiyo waziache zizidi kuporwa na zitumike vibaya kwa kufanywa madangulo kama hivi au vipi?!

  • @swalehemrombo9301

    @swalehemrombo9301

    6 ай бұрын

    ...watu wengine hawajiwlewi kakaa​@@rayisadesigns2646

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    6 ай бұрын

    Wewe jinga Sana Kabisa

  • @user-ul7jc8ll4n

    @user-ul7jc8ll4n

    6 ай бұрын

    Kazi inapofanyika ki uwazi kama hv ,na kuonekana ktk vyombo vya habari ni kuwapongeza viongozi wote kwani ni ushahidi na vizazi kwa vizazi vyetu vijavyo,HONGERENI BAKWATA HONGERENI SERIKALI,

  • @abdullahmasakata170

    @abdullahmasakata170

    6 ай бұрын

    Upewe wewe uongoze ulie msafi na mtakatifu na usie msanii.

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u4 ай бұрын

    AIBU NA FEDHEHA KUBWA KWA BAKWATA.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63523 ай бұрын

    Huhu Waziri kila siku yuko Site sidhani kama ana kaa ofisini. Big up Waziri Sla.

  • @RichardAugustino
    @RichardAugustino4 ай бұрын

    Hv huyu waziri ana shati moja tu?? Maana kila siku ni hilo hilo tu

  • @kutailass6671

    @kutailass6671

    4 ай бұрын

    Mpe msaada

  • @zubeiramlanzi2480

    @zubeiramlanzi2480

    4 ай бұрын

    Anayo mengi na yote yanafanana ata akibadilisha we utaona ni kama lile lile

  • @kutailass6671

    @kutailass6671

    4 ай бұрын

    @@zubeiramlanzi2480 lkn hata hvy yy yamuhusu nini maisha ya mtu Jmn

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s4 ай бұрын

    Nchi ina mabeberu hii kisha vilemba vikubwa mbele ya kibla.

Келесі