Silaa awasimamisha wapima ardhi wawili Dodoma; aeleza wanavyohonga viongozi viwannja kuficha madudu
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amemuagiza Katibu Mkuu Wizara yake, Mhandisi Anthony Sanga kuwasimamisha kazi wapima ardhi Enock Katete na Cleoface Ngoye kwa tuhuma za kuidhinisha na kubadilisha ramani ya eneo linalomilikiwa na Kanisa la Morovian kiwanja namba 1,2 na 3 Block T mtaa wa Itega Jijini Dodoma.
Waziri Silaa amechukua hatua hiyo Jumatatu, Novemba 27, 2023 jijini Dodoma baada ya kufika eneo la tukio na kujionea hali halisi ya eneo hilo ambalo tayari baadhi ya sehemu zake tayari zimeendelezwa na kuwa na majengo ya kisasa na hivyo kumuagiza Kamishna wa Ardhi wa jiji la Dodoma, Jabiri Singano kuwapa notice ya kuhama eneo hilo wale wote waliomilikishwa eneo hilo kimakosa.
Aidha Waziri Silaa amebainisha kuwa baadhi ya watendaji sekta ya ardhi wasiokuwa wema wamekuwa wakiwahonga baadhi ya viongozi kwa kuwapa viwanja kama kinga yao mara wanapokutwa na makosa ili hali viongozi hao wanakuwa hawana taarifa kama watendaji hao wana nia ovu.
Пікірлер: 31
Shikamoo Waziri SLAA, Shikamoo tena na tena Big up sana, Hao watu wa Aridhi kifupi ni WEZI WEZI WEZI WEZI hadi kiama
@mr.erickmwacha8575
Ай бұрын
YANI NI WAHUNI MNOOO
Waziri Akukupenda mungu na wazazi wako na mama wa hiyali samia kwisha Wengine wanafki hao 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Silaa una chembe chembe za magufuri mw Mungu akubali
Safi sana waziri wetu MUNGU wa mbinguni akubariki kwa kazi unayoifanya
Waziri wa mama samia kazi hiendele ❤☝️🤲🙏🙏🙏🙏🙏
HUU MFUMO HAUWEZI KUMALIZA MATATIZO YA ARDHI KWANI MZIZI MKUU NI KUPEANA MADARAKA BILA KUZINGATIA WELEDI
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Mbona watu wengi wamepata haki zao Hatuwezi kusuburi mfumo ubadirike,utatukuta Tunaomba Arusha Kwa makonda nk.... Matapeli sugu wenye hela wamenyang'anywa maeneo yamerudi Kwa wahusika
Nyoosha Mstari Mheshimiwa! Remmy Ongara alisema..... "Barabara mrefu haikosi kona...." Duh! Sisi wanyonge tulikuwa hatuoni mbele kwa sababu Barabara ilikuwa ndefu na kona kibao!.......God is always Good.
Ni kweli hata Mimi nimedhulumiwa kiwanja changu hapo itega BLOC H NO 33, tena nilinyang,anywa Kwa nguvu, na Mtu ameuziwa amejenga nilipojaribu kufuatikia nikatishiwa kupotezwa,,kuuawa, Inauma,
@angellomarcel5677
6 ай бұрын
Pole sana Haki ya mtu haipotei..Mungu atarudisha kila kitu...enzi za LUKUVI watu walifanya mno uhuni na wizi...SLAA ubarikiwe sana wewe LULU iliyokuwa jalalani..
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Ndo Muda huu ss Utapata haki yako
HALAFU PIA UTENDAJI WA ONE MAN SHOW HAUNA TIJA ENDELEVU, TUTENGENEZE MIFUMO YENYE NIDHAMU ENDELEVU
Majizi Sana Hasa hao wafanyakazi dawa ni kuwafukuza ila uanze na huyo mkurugenzi
Utafika mbali kijana sasaki tunaona muheshimiwa Rais allikuwa sahihi kumuondowa yule Lukuvi wengi hatukumuelewa mwanzoni
Ko mnaandaa uchaguz au
Jerry Slaa- the Magufuli way
ILA WALIOUZIWA VIWANJA HAWANA MAKOSA!! MAKOSA NI YA SEREKALI KUWAAJIRI NA KUWA KAZI MAFISADI!!
@isaacmwaseba9972
4 ай бұрын
Kuna siku utasema kosa ni la Mungu kumuumba huyo mtu usitetee hao wezi ukaingiza serikali uwizi ni tabia ya mtu.
Hiyo mafuru ni mwizi sana na anapenda honga amewaibia sana huko tanga hata mimi alichukua pesa zangu
Mafuru ana dhamana na serikali. Lazima.muwatafutie maeneo.mengine
Aisee huyu ndio kiongozi sasa anarithi njia za marehemu magufuli kabisa akiwa waziri wa aridhi daaah slaa piga kazii
FIDA HUSSEIN NI MWIZI WA WANYONGE ARDHI ZAO NA NYUMDA ZAO DAR
FIDA HUSSEIN NI BEPARI WA ARDHI MWIZI MKUBWA WA WANYONGE MAJUMBA YA WATU ANADHULUMU
We ni mtu mtu mtu...
Mh! Waziri u afaa na wizara ho safi wewe kuwepo
KAKA SLAA HONGERA KWA KAZI NZURI MNO! LAKINI JICHUNGE NDUGU YETU,HAWA MAFISADI WANANGUVU KUBWA SANA,WASIJE WAKAKUTOA ROHO!! MUNGU AKULINDE
Hiyo mafuru ni mwizi sana na anapenda honga amewaibia sana huko tanga hata mimi alichukua pesa zangu
@christinewomanoffaith5479
Ай бұрын
Kwisha habari yake kazi Hana tena