Silaa awasimamisha wapima ardhi wawili Dodoma; aeleza wanavyohonga viongozi viwannja kuficha madudu

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amemuagiza Katibu Mkuu Wizara yake, Mhandisi Anthony Sanga kuwasimamisha kazi wapima ardhi Enock Katete na Cleoface Ngoye kwa tuhuma za kuidhinisha na kubadilisha ramani ya eneo linalomilikiwa na Kanisa la Morovian kiwanja namba 1,2 na 3 Block T mtaa wa Itega Jijini Dodoma.
Waziri Silaa amechukua hatua hiyo Jumatatu, Novemba 27, 2023 jijini Dodoma baada ya kufika eneo la tukio na kujionea hali halisi ya eneo hilo ambalo tayari baadhi ya sehemu zake tayari zimeendelezwa na kuwa na majengo ya kisasa na hivyo kumuagiza Kamishna wa Ardhi wa jiji la Dodoma, Jabiri Singano kuwapa notice ya kuhama eneo hilo wale wote waliomilikishwa eneo hilo kimakosa.
Aidha Waziri Silaa amebainisha kuwa baadhi ya watendaji sekta ya ardhi wasiokuwa wema wamekuwa wakiwahonga baadhi ya viongozi kwa kuwapa viwanja kama kinga yao mara wanapokutwa na makosa ili hali viongozi hao wanakuwa hawana taarifa kama watendaji hao wana nia ovu.

Пікірлер: 31

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56776 ай бұрын

    Shikamoo Waziri SLAA, Shikamoo tena na tena Big up sana, Hao watu wa Aridhi kifupi ni WEZI WEZI WEZI WEZI hadi kiama

  • @mr.erickmwacha8575

    @mr.erickmwacha8575

    Ай бұрын

    YANI NI WAHUNI MNOOO

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h4 ай бұрын

    Waziri Akukupenda mungu na wazazi wako na mama wa hiyali samia kwisha Wengine wanafki hao 😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @deonatusyokta3579
    @deonatusyokta35797 ай бұрын

    Silaa una chembe chembe za magufuri mw Mungu akubali

  • @dollyjohn6811
    @dollyjohn68117 ай бұрын

    Safi sana waziri wetu MUNGU wa mbinguni akubariki kwa kazi unayoifanya

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40544 ай бұрын

    Waziri wa mama samia kazi hiendele ❤☝️🤲🙏🙏🙏🙏🙏

  • @bennyinnocent2750
    @bennyinnocent27504 ай бұрын

    HUU MFUMO HAUWEZI KUMALIZA MATATIZO YA ARDHI KWANI MZIZI MKUU NI KUPEANA MADARAKA BILA KUZINGATIA WELEDI

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    Ай бұрын

    Mbona watu wengi wamepata haki zao Hatuwezi kusuburi mfumo ubadirike,utatukuta Tunaomba Arusha Kwa makonda nk.... Matapeli sugu wenye hela wamenyang'anywa maeneo yamerudi Kwa wahusika

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1hАй бұрын

    Nyoosha Mstari Mheshimiwa! Remmy Ongara alisema..... "Barabara mrefu haikosi kona...." Duh! Sisi wanyonge tulikuwa hatuoni mbele kwa sababu Barabara ilikuwa ndefu na kona kibao!.......God is always Good.

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial56767 ай бұрын

    Ni kweli hata Mimi nimedhulumiwa kiwanja changu hapo itega BLOC H NO 33, tena nilinyang,anywa Kwa nguvu, na Mtu ameuziwa amejenga nilipojaribu kufuatikia nikatishiwa kupotezwa,,kuuawa, Inauma,

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    6 ай бұрын

    Pole sana Haki ya mtu haipotei..Mungu atarudisha kila kitu...enzi za LUKUVI watu walifanya mno uhuni na wizi...SLAA ubarikiwe sana wewe LULU iliyokuwa jalalani..

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    Ай бұрын

    Ndo Muda huu ss Utapata haki yako

  • @bennyinnocent2750
    @bennyinnocent27504 ай бұрын

    HALAFU PIA UTENDAJI WA ONE MAN SHOW HAUNA TIJA ENDELEVU, TUTENGENEZE MIFUMO YENYE NIDHAMU ENDELEVU

  • @user-xv2sb3ys6z
    @user-xv2sb3ys6z7 ай бұрын

    Majizi Sana Hasa hao wafanyakazi dawa ni kuwafukuza ila uanze na huyo mkurugenzi

  • @saidabdillahi8107
    @saidabdillahi81074 ай бұрын

    Utafika mbali kijana sasaki tunaona muheshimiwa Rais allikuwa sahihi kumuondowa yule Lukuvi wengi hatukumuelewa mwanzoni

  • @user-kt2mi9zy2j
    @user-kt2mi9zy2j4 ай бұрын

    Ko mnaandaa uchaguz au

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241Ай бұрын

    Jerry Slaa- the Magufuli way

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37647 ай бұрын

    ILA WALIOUZIWA VIWANJA HAWANA MAKOSA!! MAKOSA NI YA SEREKALI KUWAAJIRI NA KUWA KAZI MAFISADI!!

  • @isaacmwaseba9972

    @isaacmwaseba9972

    4 ай бұрын

    Kuna siku utasema kosa ni la Mungu kumuumba huyo mtu usitetee hao wezi ukaingiza serikali uwizi ni tabia ya mtu.

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam53602 ай бұрын

    Hiyo mafuru ni mwizi sana na anapenda honga amewaibia sana huko tanga hata mimi alichukua pesa zangu

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula4 ай бұрын

    Mafuru ana dhamana na serikali. Lazima.muwatafutie maeneo.mengine

  • @chenyakwihela1637
    @chenyakwihela16374 ай бұрын

    Aisee huyu ndio kiongozi sasa anarithi njia za marehemu magufuli kabisa akiwa waziri wa aridhi daaah slaa piga kazii

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s4 ай бұрын

    FIDA HUSSEIN NI MWIZI WA WANYONGE ARDHI ZAO NA NYUMDA ZAO DAR

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s4 ай бұрын

    FIDA HUSSEIN NI BEPARI WA ARDHI MWIZI MKUBWA WA WANYONGE MAJUMBA YA WATU ANADHULUMU

  • @allykimu9716
    @allykimu97164 ай бұрын

    We ni mtu mtu mtu...

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo46574 ай бұрын

    Mh! Waziri u afaa na wizara ho safi wewe kuwepo

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro37647 ай бұрын

    KAKA SLAA HONGERA KWA KAZI NZURI MNO! LAKINI JICHUNGE NDUGU YETU,HAWA MAFISADI WANANGUVU KUBWA SANA,WASIJE WAKAKUTOA ROHO!! MUNGU AKULINDE

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam53602 ай бұрын

    Hiyo mafuru ni mwizi sana na anapenda honga amewaibia sana huko tanga hata mimi alichukua pesa zangu

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    Ай бұрын

    Kwisha habari yake kazi Hana tena

Келесі