WAZIRI WA ARDHI ABAINI UTAPELI WA IMAM MKUU ALI MMANGA WA MASJID MADINA KARIAKOO,KUUZA MALI YA WAQFU
Жүктеу.....
Пікірлер: 455
@laylayl51664 ай бұрын
Subhannallah waziri mungu akulinde Sana hiyo nyumba isiuzwee waziri wetu
@mswakisaid23204 ай бұрын
ALLAAHU AKBAR. Mh'waziri mwenye enzi Mungu akutunze,akukinge na shari za uadui wa wasiopenda haki. Maamuzi yako yamenigusa sana. Kikubwa ni kukuombea kwa mwenye enzi Mungu tu👏
@user-xx7ch6kw2u4 ай бұрын
wazili unapambana sana mungu akupe maisha marefu
@BIGBOSS-hl3bu4 ай бұрын
Huyu waziri ni hazina ya taifa, aongezewe ulinzi Kwakweli Kwa sababu hawa watu wanaovamia ARDHI hawana tofauti na majambazi wanaweza kufanya lolote Kwa hiyo napendekeza wasipewe fursa ya kumsogelea hata hatua moja❤❤❤❤❤
@victoriambonde8061
4 ай бұрын
sana sana yani ulinz uongezeke kwake
@AsdDsa-fi5qk
4 ай бұрын
Pole mashaallah
@officialmanji4438
4 ай бұрын
Hakika
@user-bh4dk4cl4o
4 ай бұрын
Ukweli ufundisha
@estakapufi75824 ай бұрын
Safi sana waziri mungu akulinde upitapo ktk kazi yako amlinde mama samia raisi wetu aliekuchagua ❤
@halimaabubakar67024 ай бұрын
Pesa hizi ni mitihani wallah zitatuchoma moto kesho Allah atuepushe na tamaa za hapa duniani.Ameen
@user-zt6kq2kn3g4 ай бұрын
Allaahu Akbar ,damu yangu niliyoimwaga haikupotea bure ,baada ya dhiki faraja, najivunia Baba yangu Kwa kuona mbali ,Allah ampe Pepo YA juu, namshkuru Sana mh. Raisi wetu mama yetu doc samiyah suluh Hassan pamoja Na team yke Kwa kumchagua Wazir muadilifu mtetezi Wa haki ZA wananchi Wa Jamhuri YA muungano Wa Tanzania, Ramadhan kareem
@fatmaomar993
4 ай бұрын
Unahusika na case hii?? Kama unahusika basi haki itapatikana tu kama sio duniani basi akhera ipo haki haipotei
@abouda.r.79014 ай бұрын
Asante Waziri Allah akulipe kheir
@amanisalum16384 ай бұрын
Allah amjalie Imamu Ali Mmanga kutubia kabla ya umauti wake.Hakika sisi ambao husimama nyuma yake katika swala katika jambo hili tumefedheheka.kweli wake, mali na watoto ni mtihani.amepoteza Adala.
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
Daàah inasikitisja sanaa pesa hizii daàah.! Ni mtihani mkubwa sanaa wallahi.!!
@TheZuhdy
4 ай бұрын
Karia koo ya dar
@AyoubAbdullrahmanAmir
4 ай бұрын
@@swalehemrombo9301Ally Mmanga hapa kateleza sn ..pesa imemzid nguvu anamkana mpaka babae..
@piuskusenge-jf2ob4 ай бұрын
Jerry ulikuwa wapi, yaani unamaliza migogoro kiulaiiiini
@user-un4vo4xo8d4 ай бұрын
Masha llah nimeipenda hii nilikua nasubiri kwa hamu kubwa Allah akulinde na kila Baya hapo umefanya vyema
@richl.3414 ай бұрын
Waziri anajua kazi yake vizuri. Anaelimisha moja kwa moja hadi kwenye haki na ukweli. Mpaka mwenye makosa unakiri kwamba umekosa japo hata kindani ndani.
@sabihaibrahim143
4 ай бұрын
kwa kusudi kafanya kusudi akijua labda amepitikiwa tu aseme ila hakuna asilolijua
@nyakatongongo4292
4 ай бұрын
Waziri unaweza kazi yako
@ahmadateguro4886
4 ай бұрын
Aisee anafahamisha mpaka unafahamu wapi Kuna makosa
@salumuhaji4182
4 ай бұрын
Ni mwanasheria huyo Jerry Slaa
@jamalahmed7057
4 ай бұрын
Waziri amefanya kazi ya mahakama kwa muda mchache usipongua Lisa limoja, mahakama inagetumia miaka bila ya kulimaliza hili
@user-vm5yf8cs2r4 ай бұрын
SUBHANALLAH AIBU TUPU KWA FAMILIYA YA UYO TAPELI KAMA ANA WATOTO ALLAH AWANUSURU WASIFATE UTAPELI WAZIRI ENDELEYA NA KAZI MZURI. HONGERA SANA
@allyyussufshuwari45084 ай бұрын
Ila ya yote na mpa pongezi waziri katulia kutatuwa huu ngogoro hayumbi Allah akupe maisha marefu yenye Baraka Tele
@muzammilurajab8464 ай бұрын
Shekh ally unajidhalilisha hata wewe tunakutegemea kama kiio chetu kumbe unatamaa na pesa kuliko kuthamini wasia wa MZAZI ambao alijiwekea akhera yake nawe umeuza subhanallah
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
Sheikh Ally alete toba tu kwa mola wake kabla hajamfika mauti ni shetwani tu wa tamaa ya pesa kamcheza.!! Maana haaingii akilini yeye ndio awe mstari wambele kuua madrsa na kuliondoa chumo la marehemu mzee kwa tamaa ya pesa tu.!!
@hajiabdalla57724 ай бұрын
Marehemu ameiweka wakfu nyumba yake kama sadaka iwe madrasa kama vile msikiti hata kama alikuwa anao watoto ila amewajuwa watoto kama washenzi.
@fadhilirajabu28164 ай бұрын
Allah akupe maisha marefu nayenye mafanikio Mweshimiwa waziri
@allyyussufshuwari45084 ай бұрын
Mashaallah Allah Ya rabi zitulize nyoyo zetu tupe wepesi tuongoze njia iliyo nyooka
@selinalawala22704 ай бұрын
Waziri Mungu akusimamie, unafanya haki itawale.
@khadejarajab80074 ай бұрын
Takbri allah akbaru Alhamndulilah Mashaallah
@zangzang15744 ай бұрын
Nimeangalia hii video mara 10
@sumayasumaya64554 ай бұрын
Very smart man.., bro., Jerry
@chizashungu8364
4 ай бұрын
Indeed.....Mh Rais amepata msaidizi sahihi.
@HamisJuma-bh8uy4 ай бұрын
Mashaallah wazir allah akulipe umefanya haqi
@athumanfuko199
4 ай бұрын
hii tabia ipo sana watoto kuwa na tamaa.
@hadijamandanje6189
4 ай бұрын
@@athumanfuko199maskini ya Mungu,Allah atunusuru
@athumanfuko199
4 ай бұрын
@@hadijamandanje6189 sema mtihani huo wataka moyo.madarasa nyingi zimekufa Temeke baada ya watoto kuuza nyumba walizoachiwa lakini hii siyo tatizo je baada ya kuuza zimejengwa nyingine?
@umranim58544 ай бұрын
Dhahabu za mwenye chake kinaendelea alhamdulillah Mungu ana mpenda❤
@allyzumo58324 ай бұрын
SUBHAANALLAAAH Wosia uliomwema pia mmeona muule
@karamasaahmed50264 ай бұрын
Allah amlinde na amuongoze waziri huyu. Hatakama huelewi utaelewa tu namna anavyo elezea. Kwakweli tunafurahi kuona Mungu amejaalia wasmamizi wa haki kuwepo katika zama hizi za dhulma
@user-rw2mm1jk6o4 ай бұрын
Mashaallah binadamu sio waoga ata ww imam tunakutegemea ktk dini unaruhusu madrasa ifungwe kwatamaa za dunia innallilah wainnailah rajuun msiiba
@kassimmanaramalika85924 ай бұрын
Alhamdulliallah waziri nimekupenda haki imetendeka Mwenyezi Mungu akuhifadhi Allahumma Amiin
@yasirsaid84644 ай бұрын
SUBHANALLAH tunataka mawaziri wachapakazi na waadilifu kama huyu.. waziri Slaa ALLAH Akubariki
@mrsab3034 ай бұрын
MashaAllah MashaAllah ❤❤❤
@user-td9zr7ur5h4 ай бұрын
Mungu akubariki,mashallah
@husseinmachozi66744 ай бұрын
Kazi nzuri waziri allah azidi kukubariki
@dundocostantine40184 ай бұрын
Mheshimiwa Jery Ni hazina yetu unafanya kama famly yako unafanya kwa upendo, unafanya vyema sana Mwenyezi Mungu asimame nawe daima ukalete habari nzr kwa Tz unaponya mioyo ya watu
@SarahKapella-rm2of4 ай бұрын
Keep it up waziri Slaa. Rudisha haki. Mungu anapendezwa na haki.
Ukiona shekhe kapaka rangi ndevu, ujue tapeli😂😂😂😂😂😂
@rashidmkoga3053
4 ай бұрын
Sheikh hapaki rangi ndevu wewe ukiona rangi jua daruweshi tapeli mkubwa kwanza anatafuna vitu tu hata msikitini haingii
@kassimmanaramalika8592
4 ай бұрын
Ah shetani tu kampitia
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
@@rashidmkoga3053..hapana huyo ni Imamu Ally Mmanga sema tu Dunia imempitia shetwani kamchezea.! Inshallah alete tu Toba kwa mola wake kabla ya mauti kumfikaa.! Huyu ni shetwani tu alimchezeaa.!😅😅
@yasminmohamed6044 ай бұрын
Wtt maadui hao hawamtakii mema baba yao kwa kuuza swadaka tuljaalie yake mungu akubariki wazili kwa uweledi uwe juu zaidi ya hapa
@hadijamandanje6189
4 ай бұрын
Maskini sijui analia huko aliko manake amali alizokuwa anapatia thawabu zimesimama anaposhangaa kuambiwa wanao wameuza,watoto ni fitina
KWA AKILI YA KAWAIDA NA YA HOFU YA MUNGI UKISKILIZA HII UNAONA KABISA KUNA HAKI IMETENDEKA SAS BAHATI MBAYA DUNIA INAONGOZWA NA MATAJILI WENGI TUNA MUOMBA AENDELEE HIVI HIVI ILA JE HII VITA YA MATAJILI ATAIWEZA KWELI NA MUNGI YUKO RADHI KUSMIMAMIA MAANA MUNGI NI MWEPESI SANA KUTOA WATU MUHIMU KWENUE JAMIII KULIKO MAJIZI NA MAJAMBAZI EEEH M/MUNGU SKIA VILIO VUA WENGI HAYA NDYO MAISHA TUNAYO ISHI WANYONGE NA MASKINI MUEPUSHE MBALI NA MAJALIBU ATAKAYO KUWA ANAKUTANA NAYO 🎉🎉
@saidihaibe23754 ай бұрын
Mheshimiwa uko vizuri sana well done ✅
@Abubakarhemed-cp5wb4 ай бұрын
Allaahu akbar, kiongozi mungu akupe maisha marefu na wenye kheri nawe.
@chemstry4094 ай бұрын
Allah ukufanyie wepesi Waziri kwenye kila jambo lako....🙏🙏
@simbafc164 ай бұрын
Ametumia hikima ya hali ya juu huyu waziri yuko vizuri
@ramadhanhassan52854 ай бұрын
Katika waziri ambae nimemuelewa na namuombea mungu ajaalie mwisho mwema ni huyu muheshimiwa Rais hapa ulipatia kumteuwa huyu waziri wa mungu akufanyie wepes na akupe mwisho mwema pia Allahuma Aaamiin
@abdulaziz7034 ай бұрын
Sub hana llah, aibu tupu wallah. Kama viongozi wa dini tunaowaamini na kuwapa dhamana ya kutuongoza katika mirathi ndo wanatufanyia mambo haya, wallah hatuko salama. Hizi pesa jamani ni mapambo tu, tumekuja duniani tumezikuta na tutakufa tutaziacha. Tujaribu kutenda haki. 👏👏👏 HONGERA sana Waziri Slaa, dua njema twakuombea.
@Serenawilson114 ай бұрын
Waziri kaman nakupenda sana
@sophiadarabu86064 ай бұрын
I always praying for u our dear Hon.minister of land, your doing a great work by exposing justice and injustice !!
@MohamedSleyim4 ай бұрын
Perfect Minister.Yuko vizuri katika kutatua migogoro ya mirathi.
@aymanhusseinaslam72664 ай бұрын
Waziri silaa maa shaa Allah.
@laithalfairuz11894 ай бұрын
Masha allah masha allah
@Hamy11094 ай бұрын
Waziri hongera sana kwa kumaliza huu mgogoro ambao nusura utoe wana ndugu roho kisa mali za marehemu 🙏🏽
@sabihaibrahim143
4 ай бұрын
hatari ivoo hee marehemu kuacha mali mtihani
@israelkisaila8401
4 ай бұрын
@@sabihaibrahim143mimi nitauza zangu zote nighali ni hai,hata watoto sijui ndugu watafute za kwao,hata kijiko hawapati
@sabihaibrahim143
4 ай бұрын
@@israelkisaila8401 hahahahaaaaaa mtihani mkubwa
@abuialmarjibi9794 ай бұрын
Yaani baba yenu kaacha waqfu umsaidie huko aliko nyinyi watt wake mnauza kweli 😢
@jasonwatz7457
4 ай бұрын
Muda wake umeshaisha, hakuna amount of mali aliyoacha itamsaidia huko aliko
@thehunter5920
4 ай бұрын
@@jasonwatz7457hujui unachoongea
@MohamedAhmada-ie7ke
4 ай бұрын
@@jasonwatz7457kwenu ila kwetu zipo amali zinaso endelea hata ukiwa umekufa na inaitwa sadakatu jaria sadaka ambayo ina endelea kama ulichimba kisima watu wakawa wana pata maji hata ukifa basi utapata fungu lako na nyenginezo kama hzo wakfu kwa ajili ya kutumia watu wengine kwa ajili ya dini
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
@@jasonwatz7457...kwa Imani na mafundisho yako lkn sio kwa Imani yetu sisi waislamu ambayo ndio Imani ya Marehem mwenye Mali sisi tunaamini hivyoo kwa mujibu wa mafundisho yetuu.!!
@hamimumassawe
4 ай бұрын
Subhanalla😮
@hurumamlowe63204 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde
@fatmaabdallah77094 ай бұрын
Yaani huyo kaka mdhulumaji mwenye sharubu kama fagio la choo anajifanya mjuaji kiasi ya kushindana na waziri mwenye kujua sheria zote. Tena kafanana na dadake sarah mpaka sauti. Wanaona tonge linataka kuwatoka mdomoni
@shaamemchauru1365
4 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
@FatmaMohammed-ry8yo4 ай бұрын
Mashaallah nimependa maamuzi yako hakika yapo sahihi.hongera mkuu
@mussakiligaliga43484 ай бұрын
Waziri mungu akulipe kwa kunusuru haki za marehemu ikiwemo madrasa hii alijiwekea ni sehemu ya chumo lake huko akhera mungu amlipe mema marehemu pia mungu akulipe mema ndg waziri wa ardhi Amiiin
@athumanfuko199
4 ай бұрын
ukisikia kuzaa hasara ndo huko,wanashindwa kuelewa pesa kama haina baraka hata upate 1Bilioni inaisha bila kufanya kitu
@dotnatajoseph26204 ай бұрын
Mh rasi wetu mama samia Suruhu Hassan huyu wazir usimtoe baba anasimama na mungu na mitume yake mwenyez mungu amuhifadhi huyu baba kwa jiri ya wanyonge inshallah 🙏
@user-jb7nh5pp2e4 ай бұрын
Safi Sana mama Samia suluhu hassan kwakumteua huyu waziri wa aridhi hapa mama salute 🙏
@TheKigosi4 ай бұрын
Nimeipenda hii, pole Kaka
@yasminoluoch1694 ай бұрын
MASHALLAH MASHALLAH ❤❤❤❤❤ ALLAHMDHULILAH AM FRM KENYA NILIKUWA NAFUTILIA SANA MASHALLAH ❤❤❤
@user-fy3cy5fe6q4 ай бұрын
Unafanya kazi nzuri sana Muheshimiwa waziri sio hawa viongozi wengine njaa tu
@salimbati47664 ай бұрын
Allahu akbar
@happypiusi38014 ай бұрын
Mungu akutunze kwa jiri yetu wanyonge🎉
@mussakiyondomagoga50514 ай бұрын
Nimejikuta namwaga machozi mungu atakulipia kiongozi naatakulinda Sina chakupa mama Samia kiongozi wangu sijakuja Tanzania Zaidi 24 tumezulumiwa nyumba yamzeewangu kiondo
@mkengaaman4064 ай бұрын
Mungu akulinde waziri
@user-fv4zw5ki3x4 ай бұрын
Waziri mungu akubariki sana tena sana
@mahamoudrajab30184 ай бұрын
Allah akubarik wazir
@laylayl5166
4 ай бұрын
Amiin
@komuhsengo97964 ай бұрын
😮huyu bw mdogo anaweza akipata kuungwa mkono❤
@peacemwesiga4 ай бұрын
Uuuuwi aibu Waziri wewe ni mtumishi Mungu kabisaaaaaaa❤❤❤❤
@markshawej60034 ай бұрын
Aiseee mh. Waziri upo vzr
@shukurually87694 ай бұрын
Mawazili wote wamepita ila silaha kiboko hongera sana broo kwa kazi nzuri iliotukuka unafanya kazi nzuri sana kiukweli mawaziri wanapaswa wafate nyayo zako
@user-oq2wp8oh1f4 ай бұрын
Mashallah
@laylayl51664 ай бұрын
😭😭😭😭😭 yaani imeniuma Sana waislaam tumefikia hapoo madrasa inafukuzwaa wapangishwe watu kwelii
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
Na aliyefanya hivyo ni Imamu haswaa Ally Mmanga wallahi inasikitisja sanaaa.!!
@user-sj3wf5vz7l4 ай бұрын
Muheshimiwa waziri upo vizuri sana
@naimaabdu80124 ай бұрын
MashaAllah. Mungu Mkubwa
@AbubakarKumbwani-yq5vg4 ай бұрын
Tumuombee Mheshimiwa Jerry Slaa MWENYEZI MUNGU amtangulie kwa hakika anafanya kazi ya kusimamia haki.
@MawaddaKhamis-zh3kc4 ай бұрын
Allah Akbar 😢
@IssaYoro-rw5ob4 ай бұрын
Mashaallah
@hajiabdalla57724 ай бұрын
Sio imamu huyo bado dini haijuwi.wala imani hana sio kila anaefuga madevu na kuvaa kanzu AU sio kila anaengia msikitini ana imani ya kweli kumuogopa Mungu.hapana wengine ni wanga matapeli.walevi. wazinifu.na ndio hao wanaoiba michango ya msikitini siku za mwizi arubaini
@Serenawilson11
4 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅 nn wewe imamu huyoo
@habibabarker16444 ай бұрын
Shekhe anatafuna uchawi waziri ashindwe waapiiiii
@blackwarrior-animations593
4 ай бұрын
😂 Una Macho wewe
@MohammedSaid-tf5qc
4 ай бұрын
😂😂😂😂Duuh hakika lkn waziri naye ni mzima siunaona anapete ile sio pete yaurembo kwanini Kitochake chausi
@shaamemchauru1365
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@karimjuma40194 ай бұрын
Mh anapambana sana anatenda haki walai mungu ambariki
@laylayl5166
4 ай бұрын
Amiin yaarab
@karimjuma4019
4 ай бұрын
@@laylayl5166 jazaka Allah
@AlAl-sd9pl4 ай бұрын
Baba wazir mungu akuongezee umri uishi miaka buku. Ila baba tunanyanyaswa Sana na watu aridhi tanga mjini Nina mwaka wa 5 toka nimesimamishwa ujenz. Tofali zangu zimeibiwa mawe. Kila ukienda njoo kesho na wamesha hakiki na wamekir kosa lakwao wamevamia kiwanja changu na kumuuzia mtu naomba nisaidie baba mimi ni single mother nahangaika kwa ajili ya watt wangu wapate sehem ya kujistir
@Ommybabaa474 ай бұрын
❤️ ALHAMDULILLAH ❤️ mollah amuweke mahala pema peponi roho ya marehemu kwa kutoa wakfu mollah ampe afya Wazir wa Silaha!
@laylayl5166
4 ай бұрын
Amiin
@user-oj3fq4pi2u4 ай бұрын
Hongera Waziri, hao wasimamizi wa mali za marehemu wameuzaje bila warithi wote kukubalina..matapeli hao peleka mahakamani...Msimamizi unauzaje mali za warithi bila kukubaliana na warithi wote. Na we mnunuzi kuwa makini unaweza poteza mapesa yako mbele za matapeli kama hawa.kuwa makini usiamini makanzu na masigda makubwa!!!
@bonabonala55594 ай бұрын
slaa upo vizuri sana kiumri mdogo ira kiakiri ni mkubwa sana
@elbaricktv16324 ай бұрын
Mtatoana roho yallab kwa mali alizoacha baba😢
@uthmanmaluja70054 ай бұрын
Huyu waziri ni amejaaliwa hekima sanaa mashaallah
@user-ry8xf1no2s4 ай бұрын
Ongela laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa kutupa wazili Bomba sana I love you laisi wangu
@jacobletema36814 ай бұрын
Hivi??? watumishi wengine wooote wa serikali wanafanya nini mpaka waziri afuatilie??? Wakuu wa idara wapo, wakurugenzi wapo, wakuu wa wilaya wapo, wa mikoa wapo, katibu wa wizara yupo na watendaji wengine wengi wapo tu, lakini mpaka waziri aje ndio mambo yaeleweke?? kweli?? Lakini mishahara mwisho wa mwezi hata bila waziri wanafuatilia balaa!!!
@user13375
4 ай бұрын
Hawana elim
@saidothman80144 ай бұрын
Allah amesema mukishindwa kuinusuru dini yangu nitainusuru mwenyewe
@sizamazongera56104 ай бұрын
Madrasa ya muda jamani ally umekumbwa na Nini mpaka umeuza madrasa ya babaako😢😢😢 innalilahi wainnailahi rajiuna
@fahadfahmy4 ай бұрын
Huyu Waziri Slaa ananikumbusha yule Mfalme wa Habasha akiitwa Najashiy,nimuadilifu sana
Пікірлер: 455
Subhannallah waziri mungu akulinde Sana hiyo nyumba isiuzwee waziri wetu
ALLAAHU AKBAR. Mh'waziri mwenye enzi Mungu akutunze,akukinge na shari za uadui wa wasiopenda haki. Maamuzi yako yamenigusa sana. Kikubwa ni kukuombea kwa mwenye enzi Mungu tu👏
wazili unapambana sana mungu akupe maisha marefu
Huyu waziri ni hazina ya taifa, aongezewe ulinzi Kwakweli Kwa sababu hawa watu wanaovamia ARDHI hawana tofauti na majambazi wanaweza kufanya lolote Kwa hiyo napendekeza wasipewe fursa ya kumsogelea hata hatua moja❤❤❤❤❤
@victoriambonde8061
4 ай бұрын
sana sana yani ulinz uongezeke kwake
@AsdDsa-fi5qk
4 ай бұрын
Pole mashaallah
@officialmanji4438
4 ай бұрын
Hakika
@user-bh4dk4cl4o
4 ай бұрын
Ukweli ufundisha
Safi sana waziri mungu akulinde upitapo ktk kazi yako amlinde mama samia raisi wetu aliekuchagua ❤
Pesa hizi ni mitihani wallah zitatuchoma moto kesho Allah atuepushe na tamaa za hapa duniani.Ameen
Allaahu Akbar ,damu yangu niliyoimwaga haikupotea bure ,baada ya dhiki faraja, najivunia Baba yangu Kwa kuona mbali ,Allah ampe Pepo YA juu, namshkuru Sana mh. Raisi wetu mama yetu doc samiyah suluh Hassan pamoja Na team yke Kwa kumchagua Wazir muadilifu mtetezi Wa haki ZA wananchi Wa Jamhuri YA muungano Wa Tanzania, Ramadhan kareem
@fatmaomar993
4 ай бұрын
Unahusika na case hii?? Kama unahusika basi haki itapatikana tu kama sio duniani basi akhera ipo haki haipotei
Asante Waziri Allah akulipe kheir
Allah amjalie Imamu Ali Mmanga kutubia kabla ya umauti wake.Hakika sisi ambao husimama nyuma yake katika swala katika jambo hili tumefedheheka.kweli wake, mali na watoto ni mtihani.amepoteza Adala.
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
Daàah inasikitisja sanaa pesa hizii daàah.! Ni mtihani mkubwa sanaa wallahi.!!
@TheZuhdy
4 ай бұрын
Karia koo ya dar
@AyoubAbdullrahmanAmir
4 ай бұрын
@@swalehemrombo9301Ally Mmanga hapa kateleza sn ..pesa imemzid nguvu anamkana mpaka babae..
Jerry ulikuwa wapi, yaani unamaliza migogoro kiulaiiiini
Masha llah nimeipenda hii nilikua nasubiri kwa hamu kubwa Allah akulinde na kila Baya hapo umefanya vyema
Waziri anajua kazi yake vizuri. Anaelimisha moja kwa moja hadi kwenye haki na ukweli. Mpaka mwenye makosa unakiri kwamba umekosa japo hata kindani ndani.
@sabihaibrahim143
4 ай бұрын
kwa kusudi kafanya kusudi akijua labda amepitikiwa tu aseme ila hakuna asilolijua
@nyakatongongo4292
4 ай бұрын
Waziri unaweza kazi yako
@ahmadateguro4886
4 ай бұрын
Aisee anafahamisha mpaka unafahamu wapi Kuna makosa
@salumuhaji4182
4 ай бұрын
Ni mwanasheria huyo Jerry Slaa
@jamalahmed7057
4 ай бұрын
Waziri amefanya kazi ya mahakama kwa muda mchache usipongua Lisa limoja, mahakama inagetumia miaka bila ya kulimaliza hili
SUBHANALLAH AIBU TUPU KWA FAMILIYA YA UYO TAPELI KAMA ANA WATOTO ALLAH AWANUSURU WASIFATE UTAPELI WAZIRI ENDELEYA NA KAZI MZURI. HONGERA SANA
Ila ya yote na mpa pongezi waziri katulia kutatuwa huu ngogoro hayumbi Allah akupe maisha marefu yenye Baraka Tele
Shekh ally unajidhalilisha hata wewe tunakutegemea kama kiio chetu kumbe unatamaa na pesa kuliko kuthamini wasia wa MZAZI ambao alijiwekea akhera yake nawe umeuza subhanallah
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
Sheikh Ally alete toba tu kwa mola wake kabla hajamfika mauti ni shetwani tu wa tamaa ya pesa kamcheza.!! Maana haaingii akilini yeye ndio awe mstari wambele kuua madrsa na kuliondoa chumo la marehemu mzee kwa tamaa ya pesa tu.!!
Marehemu ameiweka wakfu nyumba yake kama sadaka iwe madrasa kama vile msikiti hata kama alikuwa anao watoto ila amewajuwa watoto kama washenzi.
Allah akupe maisha marefu nayenye mafanikio Mweshimiwa waziri
Mashaallah Allah Ya rabi zitulize nyoyo zetu tupe wepesi tuongoze njia iliyo nyooka
Waziri Mungu akusimamie, unafanya haki itawale.
Takbri allah akbaru Alhamndulilah Mashaallah
Nimeangalia hii video mara 10
Very smart man.., bro., Jerry
@chizashungu8364
4 ай бұрын
Indeed.....Mh Rais amepata msaidizi sahihi.
Mashaallah wazir allah akulipe umefanya haqi
@athumanfuko199
4 ай бұрын
hii tabia ipo sana watoto kuwa na tamaa.
@hadijamandanje6189
4 ай бұрын
@@athumanfuko199maskini ya Mungu,Allah atunusuru
@athumanfuko199
4 ай бұрын
@@hadijamandanje6189 sema mtihani huo wataka moyo.madarasa nyingi zimekufa Temeke baada ya watoto kuuza nyumba walizoachiwa lakini hii siyo tatizo je baada ya kuuza zimejengwa nyingine?
Dhahabu za mwenye chake kinaendelea alhamdulillah Mungu ana mpenda❤
SUBHAANALLAAAH Wosia uliomwema pia mmeona muule
Allah amlinde na amuongoze waziri huyu. Hatakama huelewi utaelewa tu namna anavyo elezea. Kwakweli tunafurahi kuona Mungu amejaalia wasmamizi wa haki kuwepo katika zama hizi za dhulma
Mashaallah binadamu sio waoga ata ww imam tunakutegemea ktk dini unaruhusu madrasa ifungwe kwatamaa za dunia innallilah wainnailah rajuun msiiba
Alhamdulliallah waziri nimekupenda haki imetendeka Mwenyezi Mungu akuhifadhi Allahumma Amiin
SUBHANALLAH tunataka mawaziri wachapakazi na waadilifu kama huyu.. waziri Slaa ALLAH Akubariki
MashaAllah MashaAllah ❤❤❤
Mungu akubariki,mashallah
Kazi nzuri waziri allah azidi kukubariki
Mheshimiwa Jery Ni hazina yetu unafanya kama famly yako unafanya kwa upendo, unafanya vyema sana Mwenyezi Mungu asimame nawe daima ukalete habari nzr kwa Tz unaponya mioyo ya watu
Keep it up waziri Slaa. Rudisha haki. Mungu anapendezwa na haki.
Allah Akbar
TAKBIR ALLAHU AKBAR ❤
@kassimmanaramalika8592
4 ай бұрын
Allahu Akbar❤❤❤❤
Safi sana.mh Samia ahsante kutupa watendakazi wazuri
MAASHAALLAH..... MAASHAALLAH
Allah akbar
❤❤waziristan big up Mungu unayemuhabudu
mashaAllah
Ukiona shekhe kapaka rangi ndevu, ujue tapeli😂😂😂😂😂😂
@rashidmkoga3053
4 ай бұрын
Sheikh hapaki rangi ndevu wewe ukiona rangi jua daruweshi tapeli mkubwa kwanza anatafuna vitu tu hata msikitini haingii
@kassimmanaramalika8592
4 ай бұрын
Ah shetani tu kampitia
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
@@rashidmkoga3053..hapana huyo ni Imamu Ally Mmanga sema tu Dunia imempitia shetwani kamchezea.! Inshallah alete tu Toba kwa mola wake kabla ya mauti kumfikaa.! Huyu ni shetwani tu alimchezeaa.!😅😅
Wtt maadui hao hawamtakii mema baba yao kwa kuuza swadaka tuljaalie yake mungu akubariki wazili kwa uweledi uwe juu zaidi ya hapa
@hadijamandanje6189
4 ай бұрын
Maskini sijui analia huko aliko manake amali alizokuwa anapatia thawabu zimesimama anaposhangaa kuambiwa wanao wameuza,watoto ni fitina
Huyo shekhe ungemtia Pingu anaonekana fezuli sana.
@nassormasoud7498
4 ай бұрын
kweli kabisa kawakosea waislam
@shaamemchauru1365
4 ай бұрын
😅😅😅😅😅
Allah akulinde waziri wetu
KWA AKILI YA KAWAIDA NA YA HOFU YA MUNGI UKISKILIZA HII UNAONA KABISA KUNA HAKI IMETENDEKA SAS BAHATI MBAYA DUNIA INAONGOZWA NA MATAJILI WENGI TUNA MUOMBA AENDELEE HIVI HIVI ILA JE HII VITA YA MATAJILI ATAIWEZA KWELI NA MUNGI YUKO RADHI KUSMIMAMIA MAANA MUNGI NI MWEPESI SANA KUTOA WATU MUHIMU KWENUE JAMIII KULIKO MAJIZI NA MAJAMBAZI EEEH M/MUNGU SKIA VILIO VUA WENGI HAYA NDYO MAISHA TUNAYO ISHI WANYONGE NA MASKINI MUEPUSHE MBALI NA MAJALIBU ATAKAYO KUWA ANAKUTANA NAYO 🎉🎉
Mheshimiwa uko vizuri sana well done ✅
Allaahu akbar, kiongozi mungu akupe maisha marefu na wenye kheri nawe.
Allah ukufanyie wepesi Waziri kwenye kila jambo lako....🙏🙏
Ametumia hikima ya hali ya juu huyu waziri yuko vizuri
Katika waziri ambae nimemuelewa na namuombea mungu ajaalie mwisho mwema ni huyu muheshimiwa Rais hapa ulipatia kumteuwa huyu waziri wa mungu akufanyie wepes na akupe mwisho mwema pia Allahuma Aaamiin
Sub hana llah, aibu tupu wallah. Kama viongozi wa dini tunaowaamini na kuwapa dhamana ya kutuongoza katika mirathi ndo wanatufanyia mambo haya, wallah hatuko salama. Hizi pesa jamani ni mapambo tu, tumekuja duniani tumezikuta na tutakufa tutaziacha. Tujaribu kutenda haki. 👏👏👏 HONGERA sana Waziri Slaa, dua njema twakuombea.
Waziri kaman nakupenda sana
I always praying for u our dear Hon.minister of land, your doing a great work by exposing justice and injustice !!
Perfect Minister.Yuko vizuri katika kutatua migogoro ya mirathi.
Waziri silaa maa shaa Allah.
Masha allah masha allah
Waziri hongera sana kwa kumaliza huu mgogoro ambao nusura utoe wana ndugu roho kisa mali za marehemu 🙏🏽
@sabihaibrahim143
4 ай бұрын
hatari ivoo hee marehemu kuacha mali mtihani
@israelkisaila8401
4 ай бұрын
@@sabihaibrahim143mimi nitauza zangu zote nighali ni hai,hata watoto sijui ndugu watafute za kwao,hata kijiko hawapati
@sabihaibrahim143
4 ай бұрын
@@israelkisaila8401 hahahahaaaaaa mtihani mkubwa
Yaani baba yenu kaacha waqfu umsaidie huko aliko nyinyi watt wake mnauza kweli 😢
@jasonwatz7457
4 ай бұрын
Muda wake umeshaisha, hakuna amount of mali aliyoacha itamsaidia huko aliko
@thehunter5920
4 ай бұрын
@@jasonwatz7457hujui unachoongea
@MohamedAhmada-ie7ke
4 ай бұрын
@@jasonwatz7457kwenu ila kwetu zipo amali zinaso endelea hata ukiwa umekufa na inaitwa sadakatu jaria sadaka ambayo ina endelea kama ulichimba kisima watu wakawa wana pata maji hata ukifa basi utapata fungu lako na nyenginezo kama hzo wakfu kwa ajili ya kutumia watu wengine kwa ajili ya dini
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
@@jasonwatz7457...kwa Imani na mafundisho yako lkn sio kwa Imani yetu sisi waislamu ambayo ndio Imani ya Marehem mwenye Mali sisi tunaamini hivyoo kwa mujibu wa mafundisho yetuu.!!
@hamimumassawe
4 ай бұрын
Subhanalla😮
Mwenyezi Mungu akulinde
Yaani huyo kaka mdhulumaji mwenye sharubu kama fagio la choo anajifanya mjuaji kiasi ya kushindana na waziri mwenye kujua sheria zote. Tena kafanana na dadake sarah mpaka sauti. Wanaona tonge linataka kuwatoka mdomoni
@shaamemchauru1365
4 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅
Mashaallah nimependa maamuzi yako hakika yapo sahihi.hongera mkuu
Waziri mungu akulipe kwa kunusuru haki za marehemu ikiwemo madrasa hii alijiwekea ni sehemu ya chumo lake huko akhera mungu amlipe mema marehemu pia mungu akulipe mema ndg waziri wa ardhi Amiiin
@athumanfuko199
4 ай бұрын
ukisikia kuzaa hasara ndo huko,wanashindwa kuelewa pesa kama haina baraka hata upate 1Bilioni inaisha bila kufanya kitu
Mh rasi wetu mama samia Suruhu Hassan huyu wazir usimtoe baba anasimama na mungu na mitume yake mwenyez mungu amuhifadhi huyu baba kwa jiri ya wanyonge inshallah 🙏
Safi Sana mama Samia suluhu hassan kwakumteua huyu waziri wa aridhi hapa mama salute 🙏
Nimeipenda hii, pole Kaka
MASHALLAH MASHALLAH ❤❤❤❤❤ ALLAHMDHULILAH AM FRM KENYA NILIKUWA NAFUTILIA SANA MASHALLAH ❤❤❤
Unafanya kazi nzuri sana Muheshimiwa waziri sio hawa viongozi wengine njaa tu
Allahu akbar
Mungu akutunze kwa jiri yetu wanyonge🎉
Nimejikuta namwaga machozi mungu atakulipia kiongozi naatakulinda Sina chakupa mama Samia kiongozi wangu sijakuja Tanzania Zaidi 24 tumezulumiwa nyumba yamzeewangu kiondo
Mungu akulinde waziri
Waziri mungu akubariki sana tena sana
Allah akubarik wazir
@laylayl5166
4 ай бұрын
Amiin
😮huyu bw mdogo anaweza akipata kuungwa mkono❤
Uuuuwi aibu Waziri wewe ni mtumishi Mungu kabisaaaaaaa❤❤❤❤
Aiseee mh. Waziri upo vzr
Mawazili wote wamepita ila silaha kiboko hongera sana broo kwa kazi nzuri iliotukuka unafanya kazi nzuri sana kiukweli mawaziri wanapaswa wafate nyayo zako
Mashallah
😭😭😭😭😭 yaani imeniuma Sana waislaam tumefikia hapoo madrasa inafukuzwaa wapangishwe watu kwelii
@swalehemrombo9301
4 ай бұрын
Na aliyefanya hivyo ni Imamu haswaa Ally Mmanga wallahi inasikitisja sanaaa.!!
Muheshimiwa waziri upo vizuri sana
MashaAllah. Mungu Mkubwa
Tumuombee Mheshimiwa Jerry Slaa MWENYEZI MUNGU amtangulie kwa hakika anafanya kazi ya kusimamia haki.
Allah Akbar 😢
Mashaallah
Sio imamu huyo bado dini haijuwi.wala imani hana sio kila anaefuga madevu na kuvaa kanzu AU sio kila anaengia msikitini ana imani ya kweli kumuogopa Mungu.hapana wengine ni wanga matapeli.walevi. wazinifu.na ndio hao wanaoiba michango ya msikitini siku za mwizi arubaini
@Serenawilson11
4 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅 nn wewe imamu huyoo
Shekhe anatafuna uchawi waziri ashindwe waapiiiii
@blackwarrior-animations593
4 ай бұрын
😂 Una Macho wewe
@MohammedSaid-tf5qc
4 ай бұрын
😂😂😂😂Duuh hakika lkn waziri naye ni mzima siunaona anapete ile sio pete yaurembo kwanini Kitochake chausi
@shaamemchauru1365
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Mh anapambana sana anatenda haki walai mungu ambariki
@laylayl5166
4 ай бұрын
Amiin yaarab
@karimjuma4019
4 ай бұрын
@@laylayl5166 jazaka Allah
Baba wazir mungu akuongezee umri uishi miaka buku. Ila baba tunanyanyaswa Sana na watu aridhi tanga mjini Nina mwaka wa 5 toka nimesimamishwa ujenz. Tofali zangu zimeibiwa mawe. Kila ukienda njoo kesho na wamesha hakiki na wamekir kosa lakwao wamevamia kiwanja changu na kumuuzia mtu naomba nisaidie baba mimi ni single mother nahangaika kwa ajili ya watt wangu wapate sehem ya kujistir
❤️ ALHAMDULILLAH ❤️ mollah amuweke mahala pema peponi roho ya marehemu kwa kutoa wakfu mollah ampe afya Wazir wa Silaha!
@laylayl5166
4 ай бұрын
Amiin
Hongera Waziri, hao wasimamizi wa mali za marehemu wameuzaje bila warithi wote kukubalina..matapeli hao peleka mahakamani...Msimamizi unauzaje mali za warithi bila kukubaliana na warithi wote. Na we mnunuzi kuwa makini unaweza poteza mapesa yako mbele za matapeli kama hawa.kuwa makini usiamini makanzu na masigda makubwa!!!
slaa upo vizuri sana kiumri mdogo ira kiakiri ni mkubwa sana
Mtatoana roho yallab kwa mali alizoacha baba😢
Huyu waziri ni amejaaliwa hekima sanaa mashaallah
Ongela laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa kutupa wazili Bomba sana I love you laisi wangu
Hivi??? watumishi wengine wooote wa serikali wanafanya nini mpaka waziri afuatilie??? Wakuu wa idara wapo, wakurugenzi wapo, wakuu wa wilaya wapo, wa mikoa wapo, katibu wa wizara yupo na watendaji wengine wengi wapo tu, lakini mpaka waziri aje ndio mambo yaeleweke?? kweli?? Lakini mishahara mwisho wa mwezi hata bila waziri wanafuatilia balaa!!!
@user13375
4 ай бұрын
Hawana elim
Allah amesema mukishindwa kuinusuru dini yangu nitainusuru mwenyewe
Madrasa ya muda jamani ally umekumbwa na Nini mpaka umeuza madrasa ya babaako😢😢😢 innalilahi wainnailahi rajiuna
Huyu Waziri Slaa ananikumbusha yule Mfalme wa Habasha akiitwa Najashiy,nimuadilifu sana
ALLAHU AKBAR