JERRY SILAA AMPA MTIHANI MZITO MKURUGENZI JIJI LA DODOMA "KUFIKIA JUMATATU AWEKE VIBAO MAENEO YOTE"
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewaelekeza wakurugenzi wa Halmashauri nchini nzima kuweka vibao vinavyitambulisha maeneo ya wazi ‘OPEN SPACE’ ili kuepusha migogoro ya wananchi kuuziwa maeneo hayo.
Kauli hiyo ameitowa akiwa katika ofisi ya kata ya Ipagala jijini Dodoma alipofika kutatua mgogoro ulihusisha wananchi kuuziwa maeneo ya wazi kinyume na utaratibu.
Пікірлер: 80
Naliona tumaini la baadae , Mungu akusaidie utufikishe sehemu
Nina mpongeza mama Samia Suluhu Hasani kwa kumuona Jerry Slaà anaweza sana kwa wizara ya ardhi mungu akulinde kaka
Comrade Silaa ndio mwenyew mambo ya ardhi inabidi kuwa site.. hongera sn waziri
Dodoma ina migogoro mingi na changamoto za upimaji wa ardhi zina sababishwa na viongozi wenyewe
Waziri njoo na huku kata ya njedengwa medeli Kuna raia tunaporwa viwanja na watu wa jiji wanawapa watu wengine
Kaka hongera sana umeongea point na kwa hekima na kumjali , mungu akupe maisha marefu sana
Mungu akubariki Sana waziri nchii hii bado Ina vijana waungwana na wazalendo wa kweli. Tatizo uteuzi wa kulipa fadhira ndo unatusumbua Kuna mawaziri wabovu Sana Ila Kila awamu wapo tukipata Kama huyu watano nchii hii matatizo yatapungua Sana.
Shukran sana muheshimiwa waziri kazi na kiti ulichokalia ni cha moto kwani wafanyakazi wengi wa idara ya Ardhi ni madisadi na sio wabunifu kabisa,na wanauza maeneo ya wazi na ya hifadhi ya bara×2.. Miji mingi imeharibiwa na hasa Singida kwa wananchi kuuziwa maeneo ya hifadhi ya bara×2
Yani sichoki kuangalia video zangu 😊 hongera wazir you are the best Allah akuongoze ufike mbali🎉🎉🎉
Ni kweli Baada ya CDA Hawa jiji waneharibu sana
Daaa! Hongera sana bro
Waziri silaa wewe na makonda matajili wanachuki sana na nyinyi lakini mungu Atawalinda kwa kupenda Aki kwa wananchi ☝️🤲Razima nji uwe na garden park
Safi sana waziri.Huo waraka ni muhimu sana kwenye Maeneo ambayo hayajapima ..ili mtu ajue kila kitu ...eneo limetengwa kwa ajili ya makazi,Hospitalini ,soko,Shule .nk ijulikane ...sasa unaweza kuuziwa kiwanja sehemu ambayo sio
Safi sana Slaa napenda unavyo address issues lakini kikubwa unavyo ongea na viongozi wenzio wangekuwa wale wasenge kina Makonda Sabaya ingekuwa fokea fokea hapo bila kujali chochote na matusi juu safi sana Slaa pamoja na uwajikaji wako lakini unaweka sana mbele utu na ubinadamu
Kweli Mama Samia umemwona Mhe. Jerry Slaa, kwa ujumla Dodoma kesi ya migogoro ya Ardhi ni kubwa kuliko kesi zote. Njoo utusaidie Mh. Mbwanga huku
Mh. Waziri ana nia msukumo wa kutaka mafanikio ya nchi yetu iweze kujitegemea kufuatana na mwongozo wa Rais wetu mpendwa mama Samia !
Keep it up, hongera Sana ,may you be blessed.
Hii ni ofisi ya ardhi au mana aifanane kumkaribisha waziri hapa.
Waziri wafafanulie wengi wanapesa lakini luga Unatupiga chenga tunawaona wenzetu sehemu za wazi zigingiriwa mandamano makubwa😂
Hongera sana.
Uyu jamaa jeri silaha nimemkubali sana yan..bos wang wazaman mtu wa mana kabisa yan..yan anajuwa anajuwa anajuwa tena yan..anjuwa anachokifanya..mungu akubaliki na akuongoze..yan umejuwa kufanya kaz yako na umejuwa kuongea vizul sana
Yaani Mungu alitupa watu kma hwa ,muda mchache wanatengeliwa htuambiwi kwann.Wanachi wakimwelewa.kiongoxi tunaomba mtuachie kwanza tuendelee kuwa nae,mfano mzuri kwamweshimiwa ridhiwani,alikuja vizuri gafla mama akamtengua.Mungu akusaidie jeri kwenye hili swala ardhi.Watu wanafanya mambo yahovyo sana,kubadilisha hti kuwatumia pesa ,dhulma za nje nje.
@RenaldaZeramula
9 ай бұрын
Ridhiwani?! Hv unajua maafa.aliyofanya kwa mwezi mmoja. Kaamuru nyumba km.elfu 3 kibaha zilibomolewa. Yaani angeachwa mwaka 1 tu.vita ingekuwa.kubwa
Asante baba mungu ametuona
@Zaburi-
10 ай бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
Hiyo Office tu jinsi hilovyo moja kwa moja ni wababaishaji hao sio wachapakazi wezi tu hao hawana uwadilifu
Mh. Waziri, Sisi WA Mbwanga tunalilia Ardhi yetu Jiji wanataka kuipora, wanaitafuta laana na familia zao. Mhe. Jerry Slaa njoo Mbwanga 😢
Good
Asante mheshimiwa JERRY WILBROAD SLAA upo vzur kama baba ako
@marieconnect6389
10 ай бұрын
kjwani huyu ni mtoto wa dkt Slaa?
👍
Migogoro ya Ardhi imepata mkunaji
HUYU WAZIRI ana Akili Nyingi sana kama Mimi
Hawa wanatengeneza matatizo ili wapate rushwa na kuuza viwanja vya watu
Kwanza majengo ya hizo ofisi ni yakienyeji sana,hayana muonekano unaoendana na heshima ya serikali,iko haja ibuniwe ramani maalumu ya kiwango cha jengo,linalostaili.😢
Hawa mawaziri wakichaguliwa wanaanza na moto mkali Kisha ziiiiiiii kimyaaaa! Nguvu ya coke inakuwa
Mh kagueni miala mjue umri wale na sababu za ucheleweshaji.
Pamoja na kwamba ni sheria kuendeleza ardhi mtu aliopata ndani ya miezi 6, sheria hii inatumika vibaya kuwakandamiza walala hoi waliodunduliza hela na kujipatia kiwanja. Akitaka kudunduliza tena aendeleze kama kiwanja kipo mahali pazuri anakuta ameshanyang'anywa. Ni maumivu yasio na kipimo
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI MKUBWA WA NYUMBA ZA WATU
Ofisi ya Serekali mazingira mabovu kiasi icho inatia aibu
Yani watanzania wasomi baathi ndio chanzo cha kuuza maeneo ya wazii tamaa mbayaaa sana
Maafsa Aridhi ni wanene alafu wanajiona ni miungu Asee wanakera mno wizi umekithiri mno..Mh Slaa wanyooshe Ndugu yetu. Duh hapo ni ofisini au kwa Mganga..? Mbona kumechakaa Hivi..?khaa
Waajibike haohao
Watu hawa ndio wanao ltajiwa kwenye nchi hii
Kumbe unajuwa viongozi ndio wenyewe viwanja mashamba kilakitu Chao mpaka roho za watu zao
Yeees huyu waziri inaonekana atajaribu
@mamboshepea8888
10 ай бұрын
Mmmh!!
Watu wanaiba sana
Jerry itabidi nimetumie Email. Aone madudu ya ardhi sehem
Ivi migogoro inatokea wapi wakati kila kitu kipo wazi, RUSHWA ITATUMALIZA.. wanafuga vitambi tu
Mh. waziri njoo Nzuguni Kuna majanga ya kufa mtu
Ufisini sio rafik kwa serekali yetu
Hii ni ofice gani😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Wanazalisha tatizo wenyewe. waanza chenga tu.
Tatzo ni siasa huku kwetu eneo la soko anamiliki mwenyekiti wa CCM /tunahitaji soko letu aisee
Migogoro ming zaid miaka hii hasa wauzaji wa viwanja sio halali yaan utapel mwngn hvy wasajilini madalali au kpun za uuzaji viwanja ili linapotokea mgogoro wakamatwe wao kwa kuuza kinyume na sheria lasvy wannach wataendelea kupigana na kuuwana kisa ardhi.
Wow.Is that a government office?(5:13/5:37 sec).That should not be acceptable.
Jiji kwa kweli ni kichomi. 😢
Kaza kamba
Milad ayo mwambie waziri aje Tanga kata ya mnazi
Sasa waziri aliye kuwa nyuma hajuwi haya Madudu hatari kweri kweri
Njoo uku kwetu bukoba vijini Kijiji katanakya Kuna shida
Huyu jerri silaa ni mtoto wa docter slaha
@aminatanzanya7475
10 ай бұрын
Mi huwa najiuliz pia na sijawh pat jibu
Kuku wa kazi gani ofisini Jamani??? Ni ofisi au ni Banda la kuku???
Njoo na huku Mzee madudu mengi
@chalesmapua5115
10 ай бұрын
Wap
Ofce mbovu matundu kibao shame
Wako wap kama wewe kazi unaifanya Kwa kweli mnatupa matumain,wazir njoo ikungi singida uone madudu ya afisa ardhi
Tatizo wataramu haohao
😅Jerry slaat.atakuwa rais wa tz afer 10 years anafanya kuwa rais
Miaka hamsini ijayo hatupo tufanye kazi kwa uweledi kauli ya Waziri mwenye dhamana!
@johngibson3089
10 ай бұрын
Sioni ueledi
@Ommybabaa47
10 ай бұрын
Ndio kwa sasa hatuwezi kuona uweledi ila watakao ufaidi ni vitukuu vyetu ndio Maana ya Waziri Wa Ardhi na Makazi ametamka!
Ni kwel bhn
Nenda tabora. Ukaone Balaa lukuvi mwenyewe alichemka
@aminatanzanya7475
10 ай бұрын
Lukuvi ana cheo gan sashv
@fransicmushenyera9302
10 ай бұрын
bado watakubadirisha hutoamini kuwa niwewe uliyekuwa unazungumza.hivyo watu wa aridhi.achana nao haya utakuja kuniambia au baada ya mwaka hivi nitakukumbusha crip yako hiyo
Wakianza kubomolewa wataanz kulalamik alf hao waliwauzia watajificha mxiuu