JERRY SILAA AMPA MTIHANI MZITO MKURUGENZI JIJI LA DODOMA "KUFIKIA JUMATATU AWEKE VIBAO MAENEO YOTE"

Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amewaelekeza wakurugenzi wa Halmashauri nchini nzima kuweka vibao vinavyitambulisha maeneo ya wazi ‘OPEN SPACE’ ili kuepusha migogoro ya wananchi kuuziwa maeneo hayo.
Kauli hiyo ameitowa akiwa katika ofisi ya kata ya Ipagala jijini Dodoma alipofika kutatua mgogoro ulihusisha wananchi kuuziwa maeneo ya wazi kinyume na utaratibu.

Пікірлер: 80

  • @mwangombadannie
    @mwangombadannie10 ай бұрын

    Naliona tumaini la baadae , Mungu akusaidie utufikishe sehemu

  • @marypeter7209
    @marypeter72099 ай бұрын

    Nina mpongeza mama Samia Suluhu Hasani kwa kumuona Jerry Slaà anaweza sana kwa wizara ya ardhi mungu akulinde kaka

  • @augustinemagesa5743
    @augustinemagesa574310 ай бұрын

    Comrade Silaa ndio mwenyew mambo ya ardhi inabidi kuwa site.. hongera sn waziri

  • @user-vh9sn8fr5o
    @user-vh9sn8fr5o10 ай бұрын

    Dodoma ina migogoro mingi na changamoto za upimaji wa ardhi zina sababishwa na viongozi wenyewe

  • @mo-jj8im
    @mo-jj8im10 ай бұрын

    Waziri njoo na huku kata ya njedengwa medeli Kuna raia tunaporwa viwanja na watu wa jiji wanawapa watu wengine

  • @faharikhamisi3091
    @faharikhamisi309110 ай бұрын

    Kaka hongera sana umeongea point na kwa hekima na kumjali , mungu akupe maisha marefu sana

  • @sakibumakoke9197
    @sakibumakoke91972 ай бұрын

    Mungu akubariki Sana waziri nchii hii bado Ina vijana waungwana na wazalendo wa kweli. Tatizo uteuzi wa kulipa fadhira ndo unatusumbua Kuna mawaziri wabovu Sana Ila Kila awamu wapo tukipata Kama huyu watano nchii hii matatizo yatapungua Sana.

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe22210 ай бұрын

    Shukran sana muheshimiwa waziri kazi na kiti ulichokalia ni cha moto kwani wafanyakazi wengi wa idara ya Ardhi ni madisadi na sio wabunifu kabisa,na wanauza maeneo ya wazi na ya hifadhi ya bara×2.. Miji mingi imeharibiwa na hasa Singida kwa wananchi kuuziwa maeneo ya hifadhi ya bara×2

  • @MalkaMercy
    @MalkaMercy2 ай бұрын

    Yani sichoki kuangalia video zangu 😊 hongera wazir you are the best Allah akuongoze ufike mbali🎉🎉🎉

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter58610 ай бұрын

    Ni kweli Baada ya CDA Hawa jiji waneharibu sana

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala509310 ай бұрын

    Daaa! Hongera sana bro

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40544 ай бұрын

    Waziri silaa wewe na makonda matajili wanachuki sana na nyinyi lakini mungu Atawalinda kwa kupenda Aki kwa wananchi ☝️🤲Razima nji uwe na garden park

  • @bilid4128
    @bilid412810 ай бұрын

    Safi sana waziri.Huo waraka ni muhimu sana kwenye Maeneo ambayo hayajapima ..ili mtu ajue kila kitu ...eneo limetengwa kwa ajili ya makazi,Hospitalini ,soko,Shule .nk ijulikane ...sasa unaweza kuuziwa kiwanja sehemu ambayo sio

  • @Marjeby
    @Marjeby10 ай бұрын

    Safi sana Slaa napenda unavyo address issues lakini kikubwa unavyo ongea na viongozi wenzio wangekuwa wale wasenge kina Makonda Sabaya ingekuwa fokea fokea hapo bila kujali chochote na matusi juu safi sana Slaa pamoja na uwajikaji wako lakini unaweka sana mbele utu na ubinadamu

  • @annemoshi7246
    @annemoshi72469 ай бұрын

    Kweli Mama Samia umemwona Mhe. Jerry Slaa, kwa ujumla Dodoma kesi ya migogoro ya Ardhi ni kubwa kuliko kesi zote. Njoo utusaidie Mh. Mbwanga huku

  • @mtmichapo
    @mtmichapo9 ай бұрын

    Mh. Waziri ana nia msukumo wa kutaka mafanikio ya nchi yetu iweze kujitegemea kufuatana na mwongozo wa Rais wetu mpendwa mama Samia !

  • @hashimpalekar1565
    @hashimpalekar156510 ай бұрын

    Keep it up, hongera Sana ,may you be blessed.

  • @user-pc3bn3ei4o
    @user-pc3bn3ei4o4 ай бұрын

    Hii ni ofisi ya ardhi au mana aifanane kumkaribisha waziri hapa.

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h4 ай бұрын

    Waziri wafafanulie wengi wanapesa lakini luga Unatupiga chenga tunawaona wenzetu sehemu za wazi zigingiriwa mandamano makubwa😂

  • @jeniphagabriel7262
    @jeniphagabriel72626 ай бұрын

    Hongera sana.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54814 ай бұрын

    Uyu jamaa jeri silaha nimemkubali sana yan..bos wang wazaman mtu wa mana kabisa yan..yan anajuwa anajuwa anajuwa tena yan..anjuwa anachokifanya..mungu akubaliki na akuongoze..yan umejuwa kufanya kaz yako na umejuwa kuongea vizul sana

  • @dignakanje4508
    @dignakanje450810 ай бұрын

    Yaani Mungu alitupa watu kma hwa ,muda mchache wanatengeliwa htuambiwi kwann.Wanachi wakimwelewa.kiongoxi tunaomba mtuachie kwanza tuendelee kuwa nae,mfano mzuri kwamweshimiwa ridhiwani,alikuja vizuri gafla mama akamtengua.Mungu akusaidie jeri kwenye hili swala ardhi.Watu wanafanya mambo yahovyo sana,kubadilisha hti kuwatumia pesa ,dhulma za nje nje.

  • @RenaldaZeramula

    @RenaldaZeramula

    9 ай бұрын

    Ridhiwani?! Hv unajua maafa.aliyofanya kwa mwezi mmoja. Kaamuru nyumba km.elfu 3 kibaha zilibomolewa. Yaani angeachwa mwaka 1 tu.vita ingekuwa.kubwa

  • @marryoisso8753
    @marryoisso875310 ай бұрын

    Asante baba mungu ametuona

  • @Zaburi-

    @Zaburi-

    10 ай бұрын

    Mungu/MUNGU sio mungu

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid903510 ай бұрын

    Hiyo Office tu jinsi hilovyo moja kwa moja ni wababaishaji hao sio wachapakazi wezi tu hao hawana uwadilifu

  • @annemoshi7246
    @annemoshi72469 ай бұрын

    Mh. Waziri, Sisi WA Mbwanga tunalilia Ardhi yetu Jiji wanataka kuipora, wanaitafuta laana na familia zao. Mhe. Jerry Slaa njoo Mbwanga 😢

  • @allysamson4821
    @allysamson482110 ай бұрын

    Good

  • @tztanzania2262
    @tztanzania226210 ай бұрын

    Asante mheshimiwa JERRY WILBROAD SLAA upo vzur kama baba ako

  • @marieconnect6389

    @marieconnect6389

    10 ай бұрын

    kjwani huyu ni mtoto wa dkt Slaa?

  • @user-ns4it2th6i
    @user-ns4it2th6i10 ай бұрын

    👍

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50254 ай бұрын

    Migogoro ya Ardhi imepata mkunaji

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u4 ай бұрын

    HUYU WAZIRI ana Akili Nyingi sana kama Mimi

  • @kizitoleons6291
    @kizitoleons629110 ай бұрын

    Hawa wanatengeneza matatizo ili wapate rushwa na kuuza viwanja vya watu

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi4 ай бұрын

    Kwanza majengo ya hizo ofisi ni yakienyeji sana,hayana muonekano unaoendana na heshima ya serikali,iko haja ibuniwe ramani maalumu ya kiwango cha jengo,linalostaili.😢

  • @maase2023
    @maase202310 ай бұрын

    Hawa mawaziri wakichaguliwa wanaanza na moto mkali Kisha ziiiiiiii kimyaaaa! Nguvu ya coke inakuwa

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho18005 ай бұрын

    Mh kagueni miala mjue umri wale na sababu za ucheleweshaji.

  • @romastasenterprises4447
    @romastasenterprises44476 ай бұрын

    Pamoja na kwamba ni sheria kuendeleza ardhi mtu aliopata ndani ya miezi 6, sheria hii inatumika vibaya kuwakandamiza walala hoi waliodunduliza hela na kujipatia kiwanja. Akitaka kudunduliza tena aendeleze kama kiwanja kipo mahali pazuri anakuta ameshanyang'anywa. Ni maumivu yasio na kipimo

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s4 ай бұрын

    FIDDA HUSSEIN NI MWIZI MKUBWA WA NYUMBA ZA WATU

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa991610 ай бұрын

    Ofisi ya Serekali mazingira mabovu kiasi icho inatia aibu

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki97588 ай бұрын

    Yani watanzania wasomi baathi ndio chanzo cha kuuza maeneo ya wazii tamaa mbayaaa sana

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56776 ай бұрын

    Maafsa Aridhi ni wanene alafu wanajiona ni miungu Asee wanakera mno wizi umekithiri mno..Mh Slaa wanyooshe Ndugu yetu. Duh hapo ni ofisini au kwa Mganga..? Mbona kumechakaa Hivi..?khaa

  • @cephassikaonga6370
    @cephassikaonga637010 ай бұрын

    Waajibike haohao

  • @emmanuelmajele8953
    @emmanuelmajele895310 ай бұрын

    Watu hawa ndio wanao ltajiwa kwenye nchi hii

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq8 ай бұрын

    Kumbe unajuwa viongozi ndio wenyewe viwanja mashamba kilakitu Chao mpaka roho za watu zao

  • @adamsilumbe8356
    @adamsilumbe835610 ай бұрын

    Yeees huyu waziri inaonekana atajaribu

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    10 ай бұрын

    Mmmh!!

  • @LabanaronMfugale
    @LabanaronMfugale10 ай бұрын

    Watu wanaiba sana

  • @stephanopeter373
    @stephanopeter37310 ай бұрын

    Jerry itabidi nimetumie Email. Aone madudu ya ardhi sehem

  • @erickzephania1030
    @erickzephania103010 ай бұрын

    Ivi migogoro inatokea wapi wakati kila kitu kipo wazi, RUSHWA ITATUMALIZA.. wanafuga vitambi tu

  • @wilfredlugano1553
    @wilfredlugano155310 ай бұрын

    Mh. waziri njoo Nzuguni Kuna majanga ya kufa mtu

  • @hassankhamis1205
    @hassankhamis120510 ай бұрын

    Ufisini sio rafik kwa serekali yetu

  • @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk
    @AlexChristopherMuhanuka-wm2jk3 ай бұрын

    Hii ni ofice gani😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @mwinyimustafa3227
    @mwinyimustafa322710 ай бұрын

    Wanazalisha tatizo wenyewe. waanza chenga tu.

  • @harounaman7473
    @harounaman747310 ай бұрын

    Tatzo ni siasa huku kwetu eneo la soko anamiliki mwenyekiti wa CCM /tunahitaji soko letu aisee

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d10 ай бұрын

    Migogoro ming zaid miaka hii hasa wauzaji wa viwanja sio halali yaan utapel mwngn hvy wasajilini madalali au kpun za uuzaji viwanja ili linapotokea mgogoro wakamatwe wao kwa kuuza kinyume na sheria lasvy wannach wataendelea kupigana na kuuwana kisa ardhi.

  • @mwanamutwa
    @mwanamutwa10 ай бұрын

    Wow.Is that a government office?(5:13/5:37 sec).That should not be acceptable.

  • @annemoshi7246
    @annemoshi72469 ай бұрын

    Jiji kwa kweli ni kichomi. 😢

  • @elishajohnmkeu1206
    @elishajohnmkeu12067 ай бұрын

    Kaza kamba

  • @paulokeseni360
    @paulokeseni36010 ай бұрын

    Milad ayo mwambie waziri aje Tanga kata ya mnazi

  • @alfredmhana235
    @alfredmhana23510 ай бұрын

    Sasa waziri aliye kuwa nyuma hajuwi haya Madudu hatari kweri kweri

  • @hashimumatungwa621
    @hashimumatungwa62110 ай бұрын

    Njoo uku kwetu bukoba vijini Kijiji katanakya Kuna shida

  • @ssam3385
    @ssam338510 ай бұрын

    Huyu jerri silaa ni mtoto wa docter slaha

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    10 ай бұрын

    Mi huwa najiuliz pia na sijawh pat jibu

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru502310 ай бұрын

    Kuku wa kazi gani ofisini Jamani??? Ni ofisi au ni Banda la kuku???

  • @shabanidaruweshi-jw5jy
    @shabanidaruweshi-jw5jy10 ай бұрын

    Njoo na huku Mzee madudu mengi

  • @chalesmapua5115

    @chalesmapua5115

    10 ай бұрын

    Wap

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile350310 ай бұрын

    Ofce mbovu matundu kibao shame

  • @user-sb8py3ib5z
    @user-sb8py3ib5z10 ай бұрын

    Wako wap kama wewe kazi unaifanya Kwa kweli mnatupa matumain,wazir njoo ikungi singida uone madudu ya afisa ardhi

  • @cephassikaonga6370
    @cephassikaonga637010 ай бұрын

    Tatizo wataramu haohao

  • @abumasoud1996
    @abumasoud199610 ай бұрын

    😅Jerry slaat.atakuwa rais wa tz afer 10 years anafanya kuwa rais

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa4710 ай бұрын

    Miaka hamsini ijayo hatupo tufanye kazi kwa uweledi kauli ya Waziri mwenye dhamana!

  • @johngibson3089

    @johngibson3089

    10 ай бұрын

    Sioni ueledi

  • @Ommybabaa47

    @Ommybabaa47

    10 ай бұрын

    Ndio kwa sasa hatuwezi kuona uweledi ila watakao ufaidi ni vitukuu vyetu ndio Maana ya Waziri Wa Ardhi na Makazi ametamka!

  • @MusaMtandu
    @MusaMtandu10 ай бұрын

    Ni kwel bhn

  • @user-bl1xq1yj7h
    @user-bl1xq1yj7h10 ай бұрын

    Nenda tabora. Ukaone Balaa lukuvi mwenyewe alichemka

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    10 ай бұрын

    Lukuvi ana cheo gan sashv

  • @fransicmushenyera9302

    @fransicmushenyera9302

    10 ай бұрын

    bado watakubadirisha hutoamini kuwa niwewe uliyekuwa unazungumza.hivyo watu wa aridhi.achana nao haya utakuja kuniambia au baada ya mwaka hivi nitakukumbusha crip yako hiyo

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d10 ай бұрын

    Wakianza kubomolewa wataanz kulalamik alf hao waliwauzia watajificha mxiuu

Келесі