#SAFINA

Pamoja na harufu kali ya wanyama mbalimbali bado Nuhu alikaa safinani

Пікірлер: 49

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta93873 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwatunza baba na mama yetu, wachungaji Hilda na Moses Magembe. Tunawapenda sana.

  • @zhakiamnkumbu9258
    @zhakiamnkumbu92582 жыл бұрын

    Nakupenda sana Mchungaji Moses hakika ujumbe huu umenigusa sana Mungu amenifungua mengi sana

  • @keziairene3317
    @keziairene331711 ай бұрын

    Mtumishi wa Mungu wa UKWELI barikiwa sana...twakupenda hku Kenya..karib...

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h3 ай бұрын

    Barikiwe mtumoshi wa Mungu aliye hai Injili hii wachaxhe sana wanwambia watu ukweli wengi ni upotofu tu sijui maandiko wanapata wapi mpaka wanawapofusha akili hata watu waziweze kujua kuwa wanawadanganya barikiiwe sana

  • @barikimpomwa6539
    @barikimpomwa65392 жыл бұрын

    Hatuchanjiii,Ahsante kwa injilii hiii

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga9 ай бұрын

    Hata muonekano wenu unaakisi Yesu yu ndani yenu❤

  • @faithkarema7422
    @faithkarema74223 жыл бұрын

    Amen pst God bless you niko saudia but nabarikiwa sana amen amen

  • @rizikiaugistin3262
    @rizikiaugistin3262 Жыл бұрын

    Amina Amina Amina

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga9 ай бұрын

    Nakukubari mzee, unafaa kuhubiri injili kwa wakati huu wa siku za mwisho, maana hata uso wako unaakisi wakati mwenyewe!!! Sio wengine wanaohubiri kwa mizahamizaha kana kwamba wanamuda wa kutosha! Any way nadhani wanadhihirisha adhma yao iliyowapeleka kuihubiri injili ili tu wavipate vya mwilini kwa kuwafurahisha binadamu hawa kuliko kumpendeza Mungu😢

  • @jakobogorrum6233
    @jakobogorrum62332 жыл бұрын

    Amen mtumishi wa mungu barikiwe na bwana

  • @carolinederi5690
    @carolinederi56902 жыл бұрын

    Amina Amina

  • @annesirengolifestyle1901
    @annesirengolifestyle19012 ай бұрын

    Amen

  • @naomimunanga6363
    @naomimunanga63633 жыл бұрын

    Aki kwakweli, hu ujube yeyote alieusikia pamoja nami, kama hatutaweza kubadili mienendo zetu kwakweli tutajikuta jeanamu tukilembua macho, mungu wa amani aki atusaidie jamani, yani hadi nimeanza kuuogopa ulimwenguni, my God bless you papa. Amen

  • @danielrwimo8751
    @danielrwimo87513 жыл бұрын

    Amen baba mchungaji,familiya nyingi zimetengana ajili ya uyo ujinga wakumsikiya shetani nama pepo yake. Wengi wameitwa wacawi eti mapepo yamezungumza, eeeh MUNGU wangu tujaliye

  • @revmichaeldanieltv5154
    @revmichaeldanieltv51543 жыл бұрын

    Amen hii ndio injili ya kweli

  • @barikimpomwa6539
    @barikimpomwa65392 жыл бұрын

    Baba Mimi nitakuwa miongoni mwa mabaki yaliyo saliya na kuwa shujaa kwa Neno lako nimebarikiwa ahsante

  • @justinbulaze9256
    @justinbulaze92563 жыл бұрын

    Longue vie a vs papa,et que Dieu vs augmente la force

  • @songaandre158
    @songaandre1582 жыл бұрын

    Mungu atu urumiye sana kweli pastor

  • @medsonsanga4813
    @medsonsanga4813 Жыл бұрын

    Amen🙏

  • @zelubabelipetro7675
    @zelubabelipetro76752 жыл бұрын

    Amina baba iende mbere injiri ya YESU

  • @danielmugo6404
    @danielmugo64042 жыл бұрын

    I feel it mchungaji

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki33302 жыл бұрын

    Amina

  • @festaaroni1736
    @festaaroni17362 жыл бұрын

    Ameni mtumishi ubarikiwe sana nakupata kupitia omani

  • @britonbruno6091
    @britonbruno60913 жыл бұрын

    Amina kamanda wa yehova huyu jamaa ni burdoza anatengeneza njia kiukweli.

  • @alexnormans4368
    @alexnormans43683 жыл бұрын

    I thank you Pastor 🙏 Moses Megembe

  • @beatricekimario3520
    @beatricekimario35203 жыл бұрын

    Sema babaaaa....Barikiwa sanaa...

  • @shukhuranpetro5796
    @shukhuranpetro57962 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @songaandre158
    @songaandre1582 жыл бұрын

    Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 Amen

  • @greenzabron5107
    @greenzabron51073 жыл бұрын

    Barikiwa tuliokoka kila tunapokanyaga ni sheria tunateka mji.

  • @riziksanga3040
    @riziksanga30403 жыл бұрын

    Amina baba mchungaji

  • @jemicit
    @jemicit3 жыл бұрын

    Amen.

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga9 ай бұрын

    Dar es salaam mko eneo gani

  • @TinaTina-zq4xc
    @TinaTina-zq4xc3 жыл бұрын

    Ameen

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu59373 жыл бұрын

    Amina mchungaji Sema tupone

  • @elyanabiimasdi2752
    @elyanabiimasdi27522 жыл бұрын

    Ameeen

  • @barikimpomwa6539
    @barikimpomwa65392 жыл бұрын

    Sisi tunajeluhi,Ameen hiyo nimeielewa sana

  • @herrymwampashi8959
    @herrymwampashi89593 жыл бұрын

    Ubalikiwe

  • @titomathew9246
    @titomathew92463 жыл бұрын

    Mbarikiwe NYTV kw kutuunganisha lakin hiyo log yenu plz msiiweke hap ktkt ya screen , mbarikiwe kwa Kaz nzuri

  • @zhakiamnkumbu9258
    @zhakiamnkumbu92582 жыл бұрын

    Nakupenda sana Mchungaji Moses hakika ujumbe huu umenigusa sana Mungu amenifungua mengi sana

  • @zuhurakihombo6715
    @zuhurakihombo67153 жыл бұрын

    Amen Amen

  • @winnyrocha1361
    @winnyrocha13612 жыл бұрын

    Amen

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu59373 жыл бұрын

    Amina mchungaji Sema tupone

  • @davidomari8660
    @davidomari86603 жыл бұрын

    Amen

Келесі