Pamoja na harufu kali ya wanyama mbalimbali bado Nuhu alikaa safinani
Жүктеу.....
Пікірлер: 49
@haningtonkabuta93873 жыл бұрын
Mungu azidi kuwatunza baba na mama yetu, wachungaji Hilda na Moses Magembe. Tunawapenda sana.
@zhakiamnkumbu92582 жыл бұрын
Nakupenda sana Mchungaji Moses hakika ujumbe huu umenigusa sana Mungu amenifungua mengi sana
@keziairene331711 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu wa UKWELI barikiwa sana...twakupenda hku Kenya..karib...
@user-zz9gr1vd9h3 ай бұрын
Barikiwe mtumoshi wa Mungu aliye hai Injili hii wachaxhe sana wanwambia watu ukweli wengi ni upotofu tu sijui maandiko wanapata wapi mpaka wanawapofusha akili hata watu waziweze kujua kuwa wanawadanganya barikiiwe sana
@barikimpomwa65392 жыл бұрын
Hatuchanjiii,Ahsante kwa injilii hiii
@Gwa-Kayaga9 ай бұрын
Hata muonekano wenu unaakisi Yesu yu ndani yenu❤
@faithkarema74223 жыл бұрын
Amen pst God bless you niko saudia but nabarikiwa sana amen amen
@rizikiaugistin3262 Жыл бұрын
Amina Amina Amina
@Gwa-Kayaga9 ай бұрын
Nakukubari mzee, unafaa kuhubiri injili kwa wakati huu wa siku za mwisho, maana hata uso wako unaakisi wakati mwenyewe!!! Sio wengine wanaohubiri kwa mizahamizaha kana kwamba wanamuda wa kutosha! Any way nadhani wanadhihirisha adhma yao iliyowapeleka kuihubiri injili ili tu wavipate vya mwilini kwa kuwafurahisha binadamu hawa kuliko kumpendeza Mungu😢
@jakobogorrum62332 жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu barikiwe na bwana
@carolinederi56902 жыл бұрын
Amina Amina
@annesirengolifestyle19012 ай бұрын
Amen
@naomimunanga63633 жыл бұрын
Aki kwakweli, hu ujube yeyote alieusikia pamoja nami, kama hatutaweza kubadili mienendo zetu kwakweli tutajikuta jeanamu tukilembua macho, mungu wa amani aki atusaidie jamani, yani hadi nimeanza kuuogopa ulimwenguni, my God bless you papa. Amen
@danielrwimo87513 жыл бұрын
Amen baba mchungaji,familiya nyingi zimetengana ajili ya uyo ujinga wakumsikiya shetani nama pepo yake. Wengi wameitwa wacawi eti mapepo yamezungumza, eeeh MUNGU wangu tujaliye
@revmichaeldanieltv51543 жыл бұрын
Amen hii ndio injili ya kweli
@barikimpomwa65392 жыл бұрын
Baba Mimi nitakuwa miongoni mwa mabaki yaliyo saliya na kuwa shujaa kwa Neno lako nimebarikiwa ahsante
@justinbulaze92563 жыл бұрын
Longue vie a vs papa,et que Dieu vs augmente la force
@songaandre1582 жыл бұрын
Mungu atu urumiye sana kweli pastor
@medsonsanga4813 Жыл бұрын
Amen🙏
@zelubabelipetro76752 жыл бұрын
Amina baba iende mbere injiri ya YESU
@danielmugo64042 жыл бұрын
I feel it mchungaji
@josephinanikwelimdacki33302 жыл бұрын
Amina
@festaaroni17362 жыл бұрын
Ameni mtumishi ubarikiwe sana nakupata kupitia omani
@britonbruno60913 жыл бұрын
Amina kamanda wa yehova huyu jamaa ni burdoza anatengeneza njia kiukweli.
@alexnormans43683 жыл бұрын
I thank you Pastor 🙏 Moses Megembe
@beatricekimario35203 жыл бұрын
Sema babaaaa....Barikiwa sanaa...
@shukhuranpetro57962 жыл бұрын
Kweli kabisa
@songaandre1582 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 Amen
@greenzabron51073 жыл бұрын
Barikiwa tuliokoka kila tunapokanyaga ni sheria tunateka mji.
@riziksanga30403 жыл бұрын
Amina baba mchungaji
@jemicit3 жыл бұрын
Amen.
@Gwa-Kayaga9 ай бұрын
Dar es salaam mko eneo gani
@TinaTina-zq4xc3 жыл бұрын
Ameen
@barakanyamafu59373 жыл бұрын
Amina mchungaji Sema tupone
@elyanabiimasdi27522 жыл бұрын
Ameeen
@barikimpomwa65392 жыл бұрын
Sisi tunajeluhi,Ameen hiyo nimeielewa sana
@herrymwampashi89593 жыл бұрын
Ubalikiwe
@titomathew92463 жыл бұрын
Mbarikiwe NYTV kw kutuunganisha lakin hiyo log yenu plz msiiweke hap ktkt ya screen , mbarikiwe kwa Kaz nzuri
@zhakiamnkumbu92582 жыл бұрын
Nakupenda sana Mchungaji Moses hakika ujumbe huu umenigusa sana Mungu amenifungua mengi sana
Пікірлер: 49
Mungu azidi kuwatunza baba na mama yetu, wachungaji Hilda na Moses Magembe. Tunawapenda sana.
Nakupenda sana Mchungaji Moses hakika ujumbe huu umenigusa sana Mungu amenifungua mengi sana
Mtumishi wa Mungu wa UKWELI barikiwa sana...twakupenda hku Kenya..karib...
Barikiwe mtumoshi wa Mungu aliye hai Injili hii wachaxhe sana wanwambia watu ukweli wengi ni upotofu tu sijui maandiko wanapata wapi mpaka wanawapofusha akili hata watu waziweze kujua kuwa wanawadanganya barikiiwe sana
Hatuchanjiii,Ahsante kwa injilii hiii
Hata muonekano wenu unaakisi Yesu yu ndani yenu❤
Amen pst God bless you niko saudia but nabarikiwa sana amen amen
Amina Amina Amina
Nakukubari mzee, unafaa kuhubiri injili kwa wakati huu wa siku za mwisho, maana hata uso wako unaakisi wakati mwenyewe!!! Sio wengine wanaohubiri kwa mizahamizaha kana kwamba wanamuda wa kutosha! Any way nadhani wanadhihirisha adhma yao iliyowapeleka kuihubiri injili ili tu wavipate vya mwilini kwa kuwafurahisha binadamu hawa kuliko kumpendeza Mungu😢
Amen mtumishi wa mungu barikiwe na bwana
Amina Amina
Amen
Aki kwakweli, hu ujube yeyote alieusikia pamoja nami, kama hatutaweza kubadili mienendo zetu kwakweli tutajikuta jeanamu tukilembua macho, mungu wa amani aki atusaidie jamani, yani hadi nimeanza kuuogopa ulimwenguni, my God bless you papa. Amen
Amen baba mchungaji,familiya nyingi zimetengana ajili ya uyo ujinga wakumsikiya shetani nama pepo yake. Wengi wameitwa wacawi eti mapepo yamezungumza, eeeh MUNGU wangu tujaliye
Amen hii ndio injili ya kweli
Baba Mimi nitakuwa miongoni mwa mabaki yaliyo saliya na kuwa shujaa kwa Neno lako nimebarikiwa ahsante
Longue vie a vs papa,et que Dieu vs augmente la force
Mungu atu urumiye sana kweli pastor
Amen🙏
Amina baba iende mbere injiri ya YESU
I feel it mchungaji
Amina
Ameni mtumishi ubarikiwe sana nakupata kupitia omani
Amina kamanda wa yehova huyu jamaa ni burdoza anatengeneza njia kiukweli.
I thank you Pastor 🙏 Moses Megembe
Sema babaaaa....Barikiwa sanaa...
Kweli kabisa
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 Amen
Barikiwa tuliokoka kila tunapokanyaga ni sheria tunateka mji.
Amina baba mchungaji
Amen.
Dar es salaam mko eneo gani
Ameen
Amina mchungaji Sema tupone
Ameeen
Sisi tunajeluhi,Ameen hiyo nimeielewa sana
Ubalikiwe
Mbarikiwe NYTV kw kutuunganisha lakin hiyo log yenu plz msiiweke hap ktkt ya screen , mbarikiwe kwa Kaz nzuri
Nakupenda sana Mchungaji Moses hakika ujumbe huu umenigusa sana Mungu amenifungua mengi sana
Amen Amen
Amen
Amina mchungaji Sema tupone
Amen