Mkutano mkubwa wa Injili waanza Rasmi stendi ya Daladala Kilombero
Жүктеу.....
Пікірлер: 142
@victoriamaige28623 ай бұрын
Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe
@RashidLukindo-yl2yl3 ай бұрын
NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
@user-mh2cn3fb6j2 ай бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale
@rahabnkya82763 ай бұрын
Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN
@jimmymwashambwa7364Ай бұрын
Na Mimi nimepokea baraka tosha za Yesu Toka mkutano wa Arusha amina
@geofreyngolua95533 ай бұрын
Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
@user-cy6tb1bm4x3 ай бұрын
Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe
@BeatriceSangito-gi1ld3 ай бұрын
Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu
@user-eg5lt4lu2z3 ай бұрын
Tupo pamoja mchungaji..God bless you more... Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,
@DanielMwasenga-bx7bd3 ай бұрын
Hongera sana baba naipenda sana injili hii
@marcosearnest36172 ай бұрын
Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana
@user-gc8vb3gv8c3 ай бұрын
Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu
@rahabnkya82763 ай бұрын
Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe
@user-godfreyRobert3 ай бұрын
Ubarikiwe baba🎉🎉
@JohnMalengua-jh6ps3 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa
@KanankiraNassary-iv3uw23 күн бұрын
Naomba ROHO yako mara dufu niliota unaniombea napokea upako wa MUNGU kwa JINA la YESU ameeeeen
@rahelhango92363 ай бұрын
Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥
@EllieSammy-tf4gx3 ай бұрын
Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.
@AminielMbise-cl3fq3 ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
@godwinkaunda95163 ай бұрын
Bravo man of God my the Almighty God Bless you
@elinaikerichardkisanga91933 ай бұрын
Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43
@elishamumba43043 ай бұрын
Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba
@janemuthui61303 ай бұрын
I give God all the glory Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe. ❤ Your ministering, be blessed in Jesus name
@jasperjackson88713 ай бұрын
Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa. Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥
@user-ep2cm5xo3k3 ай бұрын
Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.
@user-no2tw5vb8j3 ай бұрын
This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching
@eliphaznkurunziza74053 ай бұрын
Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda Endelea baba
@PastorlevisIsambechohassan2 ай бұрын
Baba,Mungu wangu akubariki
@Nazareth81193 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.
@ProsperMbena3 ай бұрын
Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana
@alexkamba52643 ай бұрын
Asante kutuachia wazee kama hwa
@ev.samsonrweongachannel6583 ай бұрын
Mzee yupo sawa kabisa
@user-ri1by1ij4o3 ай бұрын
Uko vizuri mtumishi wa Mungu,
@ev.samsonrweongachannel6583 ай бұрын
Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe
@user-bm6dh8id1h3 ай бұрын
Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you
@eunicelukanda18283 ай бұрын
Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele
@NEEMAJames-ns4ds3 ай бұрын
BARIKIWA mtumishi. TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO
@user-gu6xy2hf5u3 ай бұрын
Baba mungu akubariki naazidikukutumia
@prospermallya30923 ай бұрын
Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale
@ChedyMlwale-kx9ms3 ай бұрын
Barikiwa mch kwa injiri ya kweli
@tlotwe.01.3 ай бұрын
Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.
@jeremialaizer99783 ай бұрын
Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@paulkamete29473 ай бұрын
Waoooooh i like this kind of Preaching! God bless you Man of God
@barakasikuomba79203 ай бұрын
Great servant of God
@bensonmoris4633 ай бұрын
nimekubali
@RashidLukindo-yl2yl3 ай бұрын
Magembe ni Jembe la Injili, binafsi amenikomaza kupitia Injili yake nimemwona Yesu!!
@lekinyaurey57723 ай бұрын
Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu
@godfreykawibesele85452 ай бұрын
Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake
@user-po1qk1jf7v3 ай бұрын
Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana
@BONIPHACEJOHN-kb1zb3 ай бұрын
Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho
@NENO_UZIMA90
3 ай бұрын
Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza
@EliaSaimon3 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana
@laizermsagalla2 ай бұрын
Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri
@gracemachongwe4313 ай бұрын
Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa
@rahelkimario14973 ай бұрын
Amen baba.
@jimmymwashambwa7364Ай бұрын
Injili iliyonyoooka ndiyo hii ninayo iamini na kuipenda sana
@daikatorika9364Күн бұрын
Amen
@shahazarpeter60973 ай бұрын
Ameeeee halijamaliza nguvu ndyo Baba
@mpinabaharia22473 ай бұрын
Theolojia imelala kichwani
@ArcoiriscelestialTv28 күн бұрын
Amina
@odethamlyuka25523 ай бұрын
Amen mtu wa Mungu 1)mjue Mungu anayetaka kuabudiwa
@user-qt7vs8pq5h3 ай бұрын
Balikiwa baba magembe
@apostlejacksonkalinga51913 ай бұрын
Asante sana MCH
@mariamndwilo11043 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehova
@OinothMunga3 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@JohnJoel-ro7lc3 ай бұрын
Ilove this
@KyongoKyongo-rr8lm3 ай бұрын
Tuna barikiwa sana Baba
@awitness90203 ай бұрын
Kama Kuna number I ya baba huyu wekeni kwa mtandao Bishop toka kenya
@ev.samsonrweongachannel6583 ай бұрын
Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi
@jimmymwashambwa7364Ай бұрын
Yesu njooo
@user-sm7gj4mn5n3 ай бұрын
Hakika mungu mwema barikiwa mchungaji
@vicentmsabila-fl6uj3 ай бұрын
Chapa injili mtumishi wa Mungu aliye hai Dunia imjue Mungu wa kweli
@martinakyoo1483 ай бұрын
Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa
@user-by6zw5zf4e3 ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli makete tunaipata
@CalorineMushi3 ай бұрын
Aisee mchungaji nafurahi nimeipenda iyoo ya kupiga shetani was arusha
@joelmwamlima56863 ай бұрын
Sumbawanga utakuja lini?
@janemuthui61303 ай бұрын
I would like to know how I can attend one of your meetings I am in Kenya, Nakuru Jane Muthui
@mchungajimpigauzitv57033 ай бұрын
Balikiwa Sana mtumishi wabwana habali Njema ndiyo hiyo
@ahazichunya42653 ай бұрын
Hakika utukufu mwingi uwe juu yako tunapona Mtumishi
@johnsebastian-bx6qn3 ай бұрын
Amina baba Yesu atukuzwe
@ayubumollel36473 ай бұрын
❤❤❤
@user-lm7nd9ez2e3 ай бұрын
Amina mtumishi wa bwana
@user-do4qs8vx2s3 ай бұрын
Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe
@user-cm5xv7gb2e3 ай бұрын
Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo
@user-zl8un4xv8r2 ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli
@user-xh5ds2mb5w3 ай бұрын
AMEEEN.
@perpetuamuna16333 ай бұрын
Aminaaaaa....
@IsayaSchone-kt7uq3 ай бұрын
Aminaaa kuuu
@naomichristopher39413 ай бұрын
Baba , Baba yangu , nakusubili MZA injili hii NI Moto motooo utawaka MZA wachawi wooote wa MZA mfungashe vilago vyenu , hawa wazee NI wachache wanao hubiri injili isiyo goshiwa .
@frolafelix3 ай бұрын
jina la Yesu libarikiwe kwa chombo chake
@user-oy7ly5cg5y3 ай бұрын
Aminaaa!!!!!!
@humphreybilly74373 ай бұрын
Amen Amen.
@jephthahmbise45683 ай бұрын
injili adimu sana,hii baba tunahitaji kupona
@erasmobenardsangu-18543 ай бұрын
pawapawa mpakamafutaa wezi kuubiri
@magogelameck15013 ай бұрын
Ameen
@user-cs3mp1rc5h3 ай бұрын
ameeen...💯💯💯💯
@CalorineMushi3 ай бұрын
Dah wanyooshe baba wauza maji udongo
@officialbabaivan3 ай бұрын
Yupo arusha au aneenda
@rahabnkya82763 ай бұрын
Nashangaaga tu, hao wa maji, CAKE vitambaa, mafuta wote wanasemana lkn bado wako majukwaani na eti hawagombani. AMEEN 😂😂
Пікірлер: 142
Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe
NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale
Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN
Na Mimi nimepokea baraka tosha za Yesu Toka mkutano wa Arusha amina
Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe
Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu
Tupo pamoja mchungaji..God bless you more... Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,
Hongera sana baba naipenda sana injili hii
Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana
Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu
Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe
Ubarikiwe baba🎉🎉
Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa
Naomba ROHO yako mara dufu niliota unaniombea napokea upako wa MUNGU kwa JINA la YESU ameeeeen
Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥
Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
Bravo man of God my the Almighty God Bless you
Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43
Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba
I give God all the glory Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe. ❤ Your ministering, be blessed in Jesus name
Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa. Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥
Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.
This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching
Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda Endelea baba
Baba,Mungu wangu akubariki
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.
Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana
Asante kutuachia wazee kama hwa
Mzee yupo sawa kabisa
Uko vizuri mtumishi wa Mungu,
Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe
Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you
Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele
BARIKIWA mtumishi. TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO
Baba mungu akubariki naazidikukutumia
Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale
Barikiwa mch kwa injiri ya kweli
Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.
Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Waoooooh i like this kind of Preaching! God bless you Man of God
Great servant of God
nimekubali
Magembe ni Jembe la Injili, binafsi amenikomaza kupitia Injili yake nimemwona Yesu!!
Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu
Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake
Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana
Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho
@NENO_UZIMA90
3 ай бұрын
Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana
Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri
Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa
Amen baba.
Injili iliyonyoooka ndiyo hii ninayo iamini na kuipenda sana
Amen
Ameeeee halijamaliza nguvu ndyo Baba
Theolojia imelala kichwani
Amina
Amen mtu wa Mungu 1)mjue Mungu anayetaka kuabudiwa
Balikiwa baba magembe
Asante sana MCH
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehova
Amina mtumishi wa Mungu
Ilove this
Tuna barikiwa sana Baba
Kama Kuna number I ya baba huyu wekeni kwa mtandao Bishop toka kenya
Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi
Yesu njooo
Hakika mungu mwema barikiwa mchungaji
Chapa injili mtumishi wa Mungu aliye hai Dunia imjue Mungu wa kweli
Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa
Hii ndio injili ya kweli makete tunaipata
Aisee mchungaji nafurahi nimeipenda iyoo ya kupiga shetani was arusha
Sumbawanga utakuja lini?
I would like to know how I can attend one of your meetings I am in Kenya, Nakuru Jane Muthui
Balikiwa Sana mtumishi wabwana habali Njema ndiyo hiyo
Hakika utukufu mwingi uwe juu yako tunapona Mtumishi
Amina baba Yesu atukuzwe
❤❤❤
Amina mtumishi wa bwana
Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe
Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo
Hii ndio injili ya kweli
AMEEEN.
Aminaaaaa....
Aminaaa kuuu
Baba , Baba yangu , nakusubili MZA injili hii NI Moto motooo utawaka MZA wachawi wooote wa MZA mfungashe vilago vyenu , hawa wazee NI wachache wanao hubiri injili isiyo goshiwa .
jina la Yesu libarikiwe kwa chombo chake
Aminaaa!!!!!!
Amen Amen.
injili adimu sana,hii baba tunahitaji kupona
pawapawa mpakamafutaa wezi kuubiri
Ameen
ameeen...💯💯💯💯
Dah wanyooshe baba wauza maji udongo
Yupo arusha au aneenda
Nashangaaga tu, hao wa maji, CAKE vitambaa, mafuta wote wanasemana lkn bado wako majukwaani na eti hawagombani. AMEEN 😂😂
Haleluya