EXCLUSIVE INTERVIEW-YALIYO MKUTA MCH. KATEKELA BAADA YA KUMPOKEA YESU KUWA BWANA NA MWOKOZI WAKE
Akutwa na Mazito baada ya kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake
Жүктеу.....
Пікірлер: 66
@borntochange53332 ай бұрын
Dada huyu mtangazaji nimempenda na kumkubali, anajua kuhoji maswali na kumwongoza msemaji. Kwanza yeye ana ramani ya anachotaka msemaji aseme, anahoji maswali key. Mch Katekela ameongea sana mambo haya hasa PROMOVER TV si rahisi kusimulia story ndefu kama kwa kurudiarudia, anajitahidi sana. Mungu awabariki sana, mnawasaidia sana watu kutafakari ukweli kuhusu Mungu na shetani. Jina la Bwana Yesu lizidi kuinuliwa
@rerisamba2 ай бұрын
Tunao tokea promover TV hey👋👋👋
@MariaKunoga
Ай бұрын
Hi
@catherinekitonde274511 күн бұрын
Wewe mtumishi, haukua mbaya, mbali ni roho chafu walikuweka. Nashukuru Yesu Christo Mnasareti alikuona kama mtoto wake na mtumishi wake na akakuokoa kupitia maombi na mafunzo ya neno la Mungu. Mungu akulinde Kwa kiwango ambacho sisi binadamu hatuwezi kuelewa. Bwana Yesu Christo atembee na wewe siku zote na akirudi kuchukuwa kanisa lake asikuwache. Nina kuombea Kila siku Kwa maombi yangu. Much love in Jesus Christ. Watching from Nairobi, Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-eq9hl9vg2x2 ай бұрын
Mungu akutunze jmn mtumishi wa mungu Amieli katekela tunajivunia wew mm nakufatilia sanaa na mambo mengi navuka na kujipa guvu kupitia mahubiri yako binafs Nakupenda sanaa sanaa na ninakuombea sanaa maan nabarikiwa sanaa na huduma yako❤❤
@EricMaingi-f8b2 күн бұрын
Amina, mchungaji Amiel Mungu akubariki
@desderykarugaba18262 ай бұрын
Mungu amekutoa mbali sana Mchungaji endelea kumtumika bila kuchoka, kuwa tayari wakati wote unaofaa na usiofaa.
@tabithajeremiah45893 ай бұрын
Amen mtumishi,umekuwa wa Baraka kwangu na Huwa sichoki kukusikiliza Ubarikiwe na MUNGU akutunze ulitimize kusudi la Bwana kwenye kizazi hiki
@mazulacelestine30383 ай бұрын
Mungu ana michoro mingi sana,hata hiyo huyo mchungaji kukukataa ilikuwa ni mipango ya Mungu ili watu wengi waokolewe,ndio maana mtoto akafufuka
@charleskuyeko16603 ай бұрын
Hongera sana Mchungaji kwa kazi nzuri ya Mungu. Ushuhuda wako umenibariki sana. Namtukuza Mungu kwa ajili yako.
@VeronicaNyambu2 ай бұрын
Hongera kwa ushindi karibu Kenya ,ueneze neno la Mungu
@JaneKuyokwa-ng2qf3 ай бұрын
Mungu yesu roho mutakatifu wakulinde tenanatena
@USHINDIMANENO2 ай бұрын
Amen baba namshukuru YESU Kwaajili yako sasa vita kwaasilimia kubwa kupitia wewe naifahamu
@yalalaambobe95283 ай бұрын
Amen amen Mtumishi wa Mungu mimi mwenyewe napendelee sana maombi na neno la Mungu lidumu milele
@neemakamgisha295123 күн бұрын
Unanibariki sana
@gracekaniki69543 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni atukuzwe Sana Sana mtumishi endelea mbele kumtumikia Mungu aliye hai usichoke simama imara umhubiri Kristo Yesu ili watu waokolewe Mungu akulinde akupe nguvun Roho mtakatifu aendelee kujaa ndani yako ili kila utakapohubiri watu waokolewe, waponywe na kueekwa huru.Furaha yangu ni kubwa Sana Sana barikiwa Sana mtumishi wa Mungu aliye Amen
@user-ii7yw9ng5d26 күн бұрын
Bwana yesu asifiwe,kwa kutuletea mtumishi huyu!,amiel ubarikiwe,Amina.
@user-hg7np4ig9o3 ай бұрын
Mungu akubariki sana uwe na mwisho mwema
@bennygwasa45632 ай бұрын
Gloreeeeeeeeey to God, Mungu azidi kumtia nguvu Pastor Katekela azidi kuhuburi inji kwa usajili ❤
@MatildaMakawia2 ай бұрын
Hakika Yesu anaweza
@musakasingo5942 ай бұрын
Barikiwa kwa Ushuhudaaa
@naomicharles54443 ай бұрын
Imani ya kiwango cha juu kabisa
@bennygwasa45632 ай бұрын
Woow Asante sana Asante sana mtumishi na Ny tv I'm so blessed nimejifunza mbinu za kiroho
@SelestinaHamis-dw1gs25 күн бұрын
Nimecheka Sana Kama mazuri
@myself4128Ай бұрын
Mungu amemuheshimisha Mtumishi wake,Walikukataa bila kujua kuwa Wanatimiza unabii wa utukufu wa Mungu kuonekana katika maisha ya wengi,Hakika Mungu ni Mwema! ulidhalilika mwanzoni lakini Mungu akakuinua ukaheshimiwa na Mungu akatukuzwa zaidi
@user-kk9zw5lc1g2 ай бұрын
Amen mi pia ni kama wewe mi pia nlipitia stor ka yko ijapo sikufika kama kwako,lakn tusife moyo tuendelee mbele na yesu kristo,mbele mbele na yesu daima milele
@annaombay94172 ай бұрын
Mchungaji Katekela wewe ni mtumishi mzuri wa Mungu embu nyoa kawaida kuepusha maswali. Unakwama wapi wewe??
@FlorenceAkinyi-rq3hx
2 ай бұрын
Alikwisha kufafanua Kwa nn Ananyoa hivo. Usikwazike.
@elishamafulu1062 күн бұрын
AMEN
@MatildaMakawia2 ай бұрын
Asante sama kwa ushuhuda wako mchungaji barikiwa sana umenitia moyo
@rosterfarijala2979Ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
@user-fu6fx8if6w3 ай бұрын
God bless you mtumishi,umekuwa wa baraka kwetu kweli, Mwenyezi Mungu Azidi kukulinda na familia yako.🙏
@skeetergodwins25763 ай бұрын
Ninafurahi kumuona Mchungaji akiwa na afya nzuri. Mungu aendelee kukutunza
@wilsonkombeyeri46232 ай бұрын
Bendera chuma, mulingoti chuma...mtumishi Mungu akubariki lakini pia usikae sana uje Mombasa tena ..karibu sana
@HannahNjoroge-dd8fg2 ай бұрын
Halleluya Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana
@user-iw1yq3op8f3 ай бұрын
Amina mtumishi mungu aliye mbinguni akubariki sana
@faithe40633 ай бұрын
Amen and Amen huyu mtumishi ni mtumishi wa Mungu aliye hai maubiri yake inaniinua kiwango kingine abarikiwe kweli
@user-pq6kr5gg3f3 ай бұрын
Hongera mtumishi Bwana akutetee
@HannahRichard-ru3rj3 ай бұрын
Nadhan angefanya interviews na Erica angefunguka sana
@aminakyungu84143 ай бұрын
MUNGU akubaliki mtumishi wa Mungu
@jovinmwesige85203 ай бұрын
Very powerful testimony
@jillianyohana21663 ай бұрын
Hongera sana kwa ushindi
@KellyNishimwe2 ай бұрын
Amen amen pastor
@FlorenceAkinyi-rq3hx2 ай бұрын
Nimecheka hadi machozi yakanitoka, ila huyu Mungu ananishangaza sana.hadi mtumishi apigwe fimbo nyingi ndio mtoto apone na pia watu kuokoka. Huwa nafurahia sana huyu Mtumishi wa Mungu akisimulia shuhuda zake. Siku nyingine hakuwa na chakula kwenda kibarua cha shambani, jembe likavunjika tena likapiga mbuzi akafa, kisha akatoroka hadi nyumbani, nyumbani wakala samaki bure bila sima, ndio baadaye mtu akamletea unga mwingi, huku washamaliza kula samaki bure. 😂😂😂😂
@re.emmanuelmdoe3345Ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@nehemiahmguluka19963 ай бұрын
Powerful
@BahatiMadata-vk6tg3 ай бұрын
Bwana Yesu akutunze mtumishi.
@vickysteven11722 ай бұрын
Ameen Ameen
@EliasHerman-qy4gt27 күн бұрын
Asant san
@FredyMkeny3 ай бұрын
Najifunza mengi kupitia kwako mtumishi wa Mungu
@barakanatus56762 ай бұрын
Huduma ya kweli inaambatana na kujitoa
@EvelyneRwejumul3 ай бұрын
Sababu unayo ni Yesu yy ni dhahabu ya roho
@veronicahkhaikwa49292 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe, huyu mchungaji alifanya aokoke jamani naomba atutajie ama alisha teleza
@user-by5dh2wx1e3 ай бұрын
Kwakweli katekela mimi sijapendezwa na kunyoa kidunia sijui kama biblia inakubali au sisi
@saidabdalla8996
2 ай бұрын
Kwani mtu akizaliwa huwa anazaliwa na nywele Mbona hayupo jibaya mkato wa kawaida du ndugu
@SelestinaHamis-dw1gs
25 күн бұрын
Mfwatilie Saiv ananyoa vizuri
@elbaricktv16322 ай бұрын
Naomba namba ya mchungaj katekela
@goodluckjoseph35403 ай бұрын
Nipo geita hapa nalitafuta hilo kanisa unalolichunga nije niabuduu hata Ibaada moja
@user-eu7xq1sg6b2 ай бұрын
Kipindi icho simu kubwa kulikuwa hamn ili tuangalie ulivyo kuwa kipindi umekimbilia chooni
@user-pl9fp1ul2m3 ай бұрын
Unapokuja Duniani kwenye makanisa ulikuwa unakuwa ktk hali ya mwili au?
@leonidasbzzojoyhatung3118
3 ай бұрын
Kuingia kanisani Dunia alikuwa anaingi kwa Hali ya kipepo ndani ya mtu.dark angel.
@rerisamba
2 ай бұрын
Mfatilie promover TV utamuelewa sana
@stellamwapinga69442 ай бұрын
Wasaidie na wengine wanaotamani kutoka huko, ila mambo ya shetani ni uchafu mtupu kula mavi
Пікірлер: 66
Dada huyu mtangazaji nimempenda na kumkubali, anajua kuhoji maswali na kumwongoza msemaji. Kwanza yeye ana ramani ya anachotaka msemaji aseme, anahoji maswali key. Mch Katekela ameongea sana mambo haya hasa PROMOVER TV si rahisi kusimulia story ndefu kama kwa kurudiarudia, anajitahidi sana. Mungu awabariki sana, mnawasaidia sana watu kutafakari ukweli kuhusu Mungu na shetani. Jina la Bwana Yesu lizidi kuinuliwa
Tunao tokea promover TV hey👋👋👋
@MariaKunoga
Ай бұрын
Hi
Wewe mtumishi, haukua mbaya, mbali ni roho chafu walikuweka. Nashukuru Yesu Christo Mnasareti alikuona kama mtoto wake na mtumishi wake na akakuokoa kupitia maombi na mafunzo ya neno la Mungu. Mungu akulinde Kwa kiwango ambacho sisi binadamu hatuwezi kuelewa. Bwana Yesu Christo atembee na wewe siku zote na akirudi kuchukuwa kanisa lake asikuwache. Nina kuombea Kila siku Kwa maombi yangu. Much love in Jesus Christ. Watching from Nairobi, Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akutunze jmn mtumishi wa mungu Amieli katekela tunajivunia wew mm nakufatilia sanaa na mambo mengi navuka na kujipa guvu kupitia mahubiri yako binafs Nakupenda sanaa sanaa na ninakuombea sanaa maan nabarikiwa sanaa na huduma yako❤❤
Amina, mchungaji Amiel Mungu akubariki
Mungu amekutoa mbali sana Mchungaji endelea kumtumika bila kuchoka, kuwa tayari wakati wote unaofaa na usiofaa.
Amen mtumishi,umekuwa wa Baraka kwangu na Huwa sichoki kukusikiliza Ubarikiwe na MUNGU akutunze ulitimize kusudi la Bwana kwenye kizazi hiki
Mungu ana michoro mingi sana,hata hiyo huyo mchungaji kukukataa ilikuwa ni mipango ya Mungu ili watu wengi waokolewe,ndio maana mtoto akafufuka
Hongera sana Mchungaji kwa kazi nzuri ya Mungu. Ushuhuda wako umenibariki sana. Namtukuza Mungu kwa ajili yako.
Hongera kwa ushindi karibu Kenya ,ueneze neno la Mungu
Mungu yesu roho mutakatifu wakulinde tenanatena
Amen baba namshukuru YESU Kwaajili yako sasa vita kwaasilimia kubwa kupitia wewe naifahamu
Amen amen Mtumishi wa Mungu mimi mwenyewe napendelee sana maombi na neno la Mungu lidumu milele
Unanibariki sana
Mungu wa Mbinguni atukuzwe Sana Sana mtumishi endelea mbele kumtumikia Mungu aliye hai usichoke simama imara umhubiri Kristo Yesu ili watu waokolewe Mungu akulinde akupe nguvun Roho mtakatifu aendelee kujaa ndani yako ili kila utakapohubiri watu waokolewe, waponywe na kueekwa huru.Furaha yangu ni kubwa Sana Sana barikiwa Sana mtumishi wa Mungu aliye Amen
Bwana yesu asifiwe,kwa kutuletea mtumishi huyu!,amiel ubarikiwe,Amina.
Mungu akubariki sana uwe na mwisho mwema
Gloreeeeeeeeey to God, Mungu azidi kumtia nguvu Pastor Katekela azidi kuhuburi inji kwa usajili ❤
Hakika Yesu anaweza
Barikiwa kwa Ushuhudaaa
Imani ya kiwango cha juu kabisa
Woow Asante sana Asante sana mtumishi na Ny tv I'm so blessed nimejifunza mbinu za kiroho
Nimecheka Sana Kama mazuri
Mungu amemuheshimisha Mtumishi wake,Walikukataa bila kujua kuwa Wanatimiza unabii wa utukufu wa Mungu kuonekana katika maisha ya wengi,Hakika Mungu ni Mwema! ulidhalilika mwanzoni lakini Mungu akakuinua ukaheshimiwa na Mungu akatukuzwa zaidi
Amen mi pia ni kama wewe mi pia nlipitia stor ka yko ijapo sikufika kama kwako,lakn tusife moyo tuendelee mbele na yesu kristo,mbele mbele na yesu daima milele
Mchungaji Katekela wewe ni mtumishi mzuri wa Mungu embu nyoa kawaida kuepusha maswali. Unakwama wapi wewe??
@FlorenceAkinyi-rq3hx
2 ай бұрын
Alikwisha kufafanua Kwa nn Ananyoa hivo. Usikwazike.
AMEN
Asante sama kwa ushuhuda wako mchungaji barikiwa sana umenitia moyo
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
God bless you mtumishi,umekuwa wa baraka kwetu kweli, Mwenyezi Mungu Azidi kukulinda na familia yako.🙏
Ninafurahi kumuona Mchungaji akiwa na afya nzuri. Mungu aendelee kukutunza
Bendera chuma, mulingoti chuma...mtumishi Mungu akubariki lakini pia usikae sana uje Mombasa tena ..karibu sana
Halleluya Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana
Amina mtumishi mungu aliye mbinguni akubariki sana
Amen and Amen huyu mtumishi ni mtumishi wa Mungu aliye hai maubiri yake inaniinua kiwango kingine abarikiwe kweli
Hongera mtumishi Bwana akutetee
Nadhan angefanya interviews na Erica angefunguka sana
MUNGU akubaliki mtumishi wa Mungu
Very powerful testimony
Hongera sana kwa ushindi
Amen amen pastor
Nimecheka hadi machozi yakanitoka, ila huyu Mungu ananishangaza sana.hadi mtumishi apigwe fimbo nyingi ndio mtoto apone na pia watu kuokoka. Huwa nafurahia sana huyu Mtumishi wa Mungu akisimulia shuhuda zake. Siku nyingine hakuwa na chakula kwenda kibarua cha shambani, jembe likavunjika tena likapiga mbuzi akafa, kisha akatoroka hadi nyumbani, nyumbani wakala samaki bure bila sima, ndio baadaye mtu akamletea unga mwingi, huku washamaliza kula samaki bure. 😂😂😂😂
🙏🙏🙏🙏
Powerful
Bwana Yesu akutunze mtumishi.
Ameen Ameen
Asant san
Najifunza mengi kupitia kwako mtumishi wa Mungu
Huduma ya kweli inaambatana na kujitoa
Sababu unayo ni Yesu yy ni dhahabu ya roho
Bwana yesu asifiwe, huyu mchungaji alifanya aokoke jamani naomba atutajie ama alisha teleza
Kwakweli katekela mimi sijapendezwa na kunyoa kidunia sijui kama biblia inakubali au sisi
@saidabdalla8996
2 ай бұрын
Kwani mtu akizaliwa huwa anazaliwa na nywele Mbona hayupo jibaya mkato wa kawaida du ndugu
@SelestinaHamis-dw1gs
25 күн бұрын
Mfwatilie Saiv ananyoa vizuri
Naomba namba ya mchungaj katekela
Nipo geita hapa nalitafuta hilo kanisa unalolichunga nije niabuduu hata Ibaada moja
Kipindi icho simu kubwa kulikuwa hamn ili tuangalie ulivyo kuwa kipindi umekimbilia chooni
Unapokuja Duniani kwenye makanisa ulikuwa unakuwa ktk hali ya mwili au?
@leonidasbzzojoyhatung3118
3 ай бұрын
Kuingia kanisani Dunia alikuwa anaingi kwa Hali ya kipepo ndani ya mtu.dark angel.
@rerisamba
2 ай бұрын
Mfatilie promover TV utamuelewa sana
Wasaidie na wengine wanaotamani kutoka huko, ila mambo ya shetani ni uchafu mtupu kula mavi
@stellamwapinga6944
2 ай бұрын
Namba Yako Nina maswali plz
Jamani mtumishi nakusihi sana acha kunyoa kidunia
Halleluya Yesu Kristo ni Bwana wa mabwana