ALICHOFANYA NABII MKUU GEORDAVIE KWA KINGWENDU,,,TAZAMA HAPA TUKIO ZIMA,,,HII NI ZAIDI YA UPENDO..
#harmonize #geordavie #utaniua
Жүктеу.....
Пікірлер: 77
@neemamwanga54474 ай бұрын
🎉nabii Mkuu umeupiga mwingi waache waongee bado hawajathemaaaa . Injili mbele kwa mbele🎉
@neemamwanga54474 ай бұрын
watanzania hawana jema Wala shukrani na km unaona nabii humtaki pita na yako tunaomkubali mtuachie jaman tunampenda then tunampenda tena na tena 🎉🎉🎉🎉
@lwitikoasa6899 Жыл бұрын
Hahahaha 😂😂😂😂 ukisema akupendinga anakupa ndinga nakukubali sana kigwendu
@samwelmollel602 Жыл бұрын
Savi Sana gd
@aminaasia-jl8fk Жыл бұрын
Umepewa sh ngapi kingwendu
@barikimollel7890 Жыл бұрын
Hongera Sana Kingwendu kwa kukimbilia Kanisani Hawa wanaokuponda waache usiwajibu maana wangekuona unaingia kwa mganga Wa kienyeji wasingekusema hivo Shikilia Imani yakoo Kingwendu Nabii Ni Mtumishi Wa MUNGU na tumeona akiwafufua waliokuwa kifoni Hawa wanaokuponda hawajui wafanyaloo
@dorcassoza6788
Жыл бұрын
Yes, angeenda kwa watchdoctor watu wangempongeza
@samwelmollel602 Жыл бұрын
Uko sahihi sana
@lightnessgamasa60395 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kingwendu okoka mjue mungu vizuri ,acha mzaha ndinga kitu Gani Bora umtafute Mungu utapata zaidi yandinga , nafikiri umenielewa
@photidasfrancis-io4gc Жыл бұрын
Big up kingwendu
@petermugurubi78378 ай бұрын
Hiz hela, Kingwedu ogopa dhambi
@user-vl3pr8rh9q11 ай бұрын
Nakuku bari sana nabimuku
@Bless-sk8uv4 ай бұрын
😅😅😅😅😅ety viungo
@Ibrahim-py6hp Жыл бұрын
Iyi njaa bwana 😢😢😢😢😢
@honhonhaule9232 Жыл бұрын
I like to communicate with you I don't know how can I reach there to your church please how and when
@honhonhaule9232 Жыл бұрын
Mr geode vie you are a real prophet we are very Happy all the world are listening and watching you thanks papaaaa
@fundiumemenakamera2027 Жыл бұрын
kaka kingwendu ulifanya vizuri kwenda kabisani kaka
@abiboseleman1649 Жыл бұрын
kwani.mkisema.mmeanda kuomba shida bongo movie bana kkk
@user-fb2ts8tc9f11 ай бұрын
Hatua ulitoichukua inafaa MBELE za Mungu.Mungu amekujibu yale yaliyokuwa hayawezekani .Songa MBELE mtu wa Mungu 11:45
@surehamlela8538 Жыл бұрын
Safi sana kingwendu umejibu kwa hekima na akili sana
@alexndihokubwayo8010 Жыл бұрын
Nabi Mukuu kwa nani akapewa cheo nanani?
@OnesimoMapniduzi9 ай бұрын
Kweli nambii anabadiriha wtu wengi
@user-ox8pc5wu7u10 ай бұрын
Njaa inakupeleka motoni
@YunusiAthumani-zg8py8 ай бұрын
Kingwendu umekosea sana hakuna nabii tena baada ya mtume mhamadi s. A. W. Mlejee mora wako halaka sana mtake msamaha atakusamehe
@ritapiusnicolaus7068 Жыл бұрын
Kingwendu upo sahihi
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
We kingwendu acha ujinga kazi yako ni maana sana kuliko kusifia mambo ya upumbavu hujui Siri iliyopo mungu ndiye ayejua.
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
Kabisaa ana zingua sana
@williamalfred-hz6zp
7 ай бұрын
Hakili ikijaa kufkr uovu utaona kila jambo ovu ach nabii apige kaz
@user-gn7nk7mw8v
6 ай бұрын
Mikono might umepewa na unakitu chakukupatia rizki tamaaa atakuja kujuta hy pesa za bureeeee du kuna siri
@SalmaAbanoor6 ай бұрын
Hiyo kingwendu ni wa dini gani kwanza?
@samwelmollel60211 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊
@paschalpaul3862 Жыл бұрын
Tamka kwa kinywa chako unachotaka kwa nabii geodevie kuliko povu jingi
@ntakirutimanaetienne592
Ай бұрын
Duh
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
Kingwendu ilkua nkikukubali lakini nshakukataa Njaa mbaya sanaa...😂😂😂😂
@Kuminamoja19958 ай бұрын
Mlevi huyooo
@user-em1cq2fd9g8 ай бұрын
Lazarofondation usikateetamaa songambele
@vieritwobakhresamz Жыл бұрын
Master k njaaa inakuhusu
@charlzlomo9219 Жыл бұрын
Viongozi wa dini Africa inatupasa kuiga utoaji kwa jeodevi
@koyiasunga9785 Жыл бұрын
Sasa huyu nabii ana wasaidia wasanii tu😂😂
@SalminSaidi-dg3fq
10 ай бұрын
Wew acha ujinga kubwa Zima ovyo njaa inkupeleka pabaya wewe matatizo Yako peleka Kwa mungu mshamba wewe
@ALIKHAMIS-un4fv7 ай бұрын
Kumbe huyu kingwendu mkristo
@mutiembingi-le6kz11 ай бұрын
Huongo huongo kigwnd ACHA
@stevensosipita2 ай бұрын
MTUMISHI WA SHETANI PESA ZA SHETANI ZITAWATOKEA PUANI POLENI NJAA ZITAWAUA
@issazalala4907 Жыл бұрын
Daaah bonge la Baba full midevu eti nabii pumbavu zako njaa mbaya fanya KAZI 😂
@soulegadaffy3615
Жыл бұрын
Halafu wasani walokwenda kwa huyo wanao mnyenyekea wte ni comedians/movie's,aaise njaa mbaya Sana unaeza roopoka..yy ndioo hajitambui
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
Dadekii njaa iziii
@user-vl3pr8rh9q11 ай бұрын
Naitaji kunisa saidiya
@mwinyidullailovetheprogram7404 Жыл бұрын
Kingwendu wwe dishi limeyumba coz unajichora imana dhaifu ivi uislam na Nabii mkuu nwapi na wapi njaa ni miongoni wa mitihani. Subra muhimu kingwendu
@jumannerajabu8259 Жыл бұрын
hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama ukishndwa kuikontroo njaa Yako ndio mana watu wanaliwa kiboga tamaaa
@davcodavid8651
Жыл бұрын
Umeona eee😂😂😂
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
Kabisaa n kwel njaa izi dadekii
@angelatarimo1969
Жыл бұрын
Pole sana
@neemamwanga54474 ай бұрын
Mnaoongea vibaya kuhusu nabii nahisi mmechoka hamna jipya mnaongea Sana na nahisi mkipewa hela hamuachi shida ya wabongo mkiwa na njaa mnatapika Sana mwacheni nabii Mkuu apige kazi nyie wenye maneno mkifa mtaacha urithi wa umbea hauna faida mnaudhi nyie
@ndayizigabienvenue137 Жыл бұрын
Muze wambiye mambo yanabi muku nibabawababa uyonabiwaukweli
@zehrahaji1566 Жыл бұрын
Njaa mbaya Jamani 🤔🤔🤔
@user-ge3jc2kd9o8 ай бұрын
Kingwendwe tubu wewe kenge tu nilikua nakuaminia sana kumbe kenge tu huna lolote nguruwe mweusi wewe
@nelsonnyamle11 ай бұрын
Huyu siyo mtumishi wa mungu soma maandiko utajua huyu ni mtu anayemwakilisha nani.
@ramadhanmgumba3680 Жыл бұрын
Innaalillah wa,innaa,Ilaih raajighun
@timotheontibayaga-lq2xx Жыл бұрын
Kuna msanii aliimba umasikini huu umasikini huu utaisha lini ×3
@osmansalim17210 ай бұрын
Na mm nitafika one day, namuamini
@venitarugemalila9290
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@osmansalim172
10 ай бұрын
@@venitarugemalila9290 yaani nasubiria nipate nguvu ya kurikodi nimeandika nyimbo nzuri sana.
@sheehamadnganzi8317 Жыл бұрын
Mlevi wakawaida huyu kingwendu
@engzuberir.akilenza1764 Жыл бұрын
Njaa mbaya sana yaani eti anakubali mtu ni nabii wakati yy ni muislam abadilishe tu dini.
@christianchando70418 ай бұрын
Hizo ndinga zitawatoa roho,
@user-vl3pr8rh9q11 ай бұрын
Namba musanda wakonabi wetu natesekasana
@abdallagaza6864 Жыл бұрын
Njaa bwana kiboko
@jituakilimali15 Жыл бұрын
Umechoka kingwendu njaa inakupeleka bapaya
@edge6016 Жыл бұрын
Jahili mkubwa huyu mzee hajuii dini nabi na mtume wa mwisho ni Muhamad S.A.W nabii muongo Subjanala
@dorcassoza6788
Жыл бұрын
Nyie washika dini badala ya Mungu, kitu gani kinawauma baada ya Kingwendu kwenda kwa mtumishi wa Mungu, unesaidia watu wangapi hapo mtaani kwako?
Пікірлер: 77
🎉nabii Mkuu umeupiga mwingi waache waongee bado hawajathemaaaa . Injili mbele kwa mbele🎉
watanzania hawana jema Wala shukrani na km unaona nabii humtaki pita na yako tunaomkubali mtuachie jaman tunampenda then tunampenda tena na tena 🎉🎉🎉🎉
Hahahaha 😂😂😂😂 ukisema akupendinga anakupa ndinga nakukubali sana kigwendu
Savi Sana gd
Umepewa sh ngapi kingwendu
Hongera Sana Kingwendu kwa kukimbilia Kanisani Hawa wanaokuponda waache usiwajibu maana wangekuona unaingia kwa mganga Wa kienyeji wasingekusema hivo Shikilia Imani yakoo Kingwendu Nabii Ni Mtumishi Wa MUNGU na tumeona akiwafufua waliokuwa kifoni Hawa wanaokuponda hawajui wafanyaloo
@dorcassoza6788
Жыл бұрын
Yes, angeenda kwa watchdoctor watu wangempongeza
Uko sahihi sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kingwendu okoka mjue mungu vizuri ,acha mzaha ndinga kitu Gani Bora umtafute Mungu utapata zaidi yandinga , nafikiri umenielewa
Big up kingwendu
Hiz hela, Kingwedu ogopa dhambi
Nakuku bari sana nabimuku
😅😅😅😅😅ety viungo
Iyi njaa bwana 😢😢😢😢😢
I like to communicate with you I don't know how can I reach there to your church please how and when
Mr geode vie you are a real prophet we are very Happy all the world are listening and watching you thanks papaaaa
kaka kingwendu ulifanya vizuri kwenda kabisani kaka
kwani.mkisema.mmeanda kuomba shida bongo movie bana kkk
Hatua ulitoichukua inafaa MBELE za Mungu.Mungu amekujibu yale yaliyokuwa hayawezekani .Songa MBELE mtu wa Mungu 11:45
Safi sana kingwendu umejibu kwa hekima na akili sana
Nabi Mukuu kwa nani akapewa cheo nanani?
Kweli nambii anabadiriha wtu wengi
Njaa inakupeleka motoni
Kingwendu umekosea sana hakuna nabii tena baada ya mtume mhamadi s. A. W. Mlejee mora wako halaka sana mtake msamaha atakusamehe
Kingwendu upo sahihi
We kingwendu acha ujinga kazi yako ni maana sana kuliko kusifia mambo ya upumbavu hujui Siri iliyopo mungu ndiye ayejua.
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
Kabisaa ana zingua sana
@williamalfred-hz6zp
7 ай бұрын
Hakili ikijaa kufkr uovu utaona kila jambo ovu ach nabii apige kaz
@user-gn7nk7mw8v
6 ай бұрын
Mikono might umepewa na unakitu chakukupatia rizki tamaaa atakuja kujuta hy pesa za bureeeee du kuna siri
Hiyo kingwendu ni wa dini gani kwanza?
😊😊😊😊😊😊
Tamka kwa kinywa chako unachotaka kwa nabii geodevie kuliko povu jingi
@ntakirutimanaetienne592
Ай бұрын
Duh
Kingwendu ilkua nkikukubali lakini nshakukataa Njaa mbaya sanaa...😂😂😂😂
Mlevi huyooo
Lazarofondation usikateetamaa songambele
Master k njaaa inakuhusu
Viongozi wa dini Africa inatupasa kuiga utoaji kwa jeodevi
Sasa huyu nabii ana wasaidia wasanii tu😂😂
@SalminSaidi-dg3fq
10 ай бұрын
Wew acha ujinga kubwa Zima ovyo njaa inkupeleka pabaya wewe matatizo Yako peleka Kwa mungu mshamba wewe
Kumbe huyu kingwendu mkristo
Huongo huongo kigwnd ACHA
MTUMISHI WA SHETANI PESA ZA SHETANI ZITAWATOKEA PUANI POLENI NJAA ZITAWAUA
Daaah bonge la Baba full midevu eti nabii pumbavu zako njaa mbaya fanya KAZI 😂
@soulegadaffy3615
Жыл бұрын
Halafu wasani walokwenda kwa huyo wanao mnyenyekea wte ni comedians/movie's,aaise njaa mbaya Sana unaeza roopoka..yy ndioo hajitambui
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
Dadekii njaa iziii
Naitaji kunisa saidiya
Kingwendu wwe dishi limeyumba coz unajichora imana dhaifu ivi uislam na Nabii mkuu nwapi na wapi njaa ni miongoni wa mitihani. Subra muhimu kingwendu
hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama ukishndwa kuikontroo njaa Yako ndio mana watu wanaliwa kiboga tamaaa
@davcodavid8651
Жыл бұрын
Umeona eee😂😂😂
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
Kabisaa n kwel njaa izi dadekii
@angelatarimo1969
Жыл бұрын
Pole sana
Mnaoongea vibaya kuhusu nabii nahisi mmechoka hamna jipya mnaongea Sana na nahisi mkipewa hela hamuachi shida ya wabongo mkiwa na njaa mnatapika Sana mwacheni nabii Mkuu apige kazi nyie wenye maneno mkifa mtaacha urithi wa umbea hauna faida mnaudhi nyie
Muze wambiye mambo yanabi muku nibabawababa uyonabiwaukweli
Njaa mbaya Jamani 🤔🤔🤔
Kingwendwe tubu wewe kenge tu nilikua nakuaminia sana kumbe kenge tu huna lolote nguruwe mweusi wewe
Huyu siyo mtumishi wa mungu soma maandiko utajua huyu ni mtu anayemwakilisha nani.
Innaalillah wa,innaa,Ilaih raajighun
Kuna msanii aliimba umasikini huu umasikini huu utaisha lini ×3
Na mm nitafika one day, namuamini
@venitarugemalila9290
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@osmansalim172
10 ай бұрын
@@venitarugemalila9290 yaani nasubiria nipate nguvu ya kurikodi nimeandika nyimbo nzuri sana.
Mlevi wakawaida huyu kingwendu
Njaa mbaya sana yaani eti anakubali mtu ni nabii wakati yy ni muislam abadilishe tu dini.
Hizo ndinga zitawatoa roho,
Namba musanda wakonabi wetu natesekasana
Njaa bwana kiboko
Umechoka kingwendu njaa inakupeleka bapaya
Jahili mkubwa huyu mzee hajuii dini nabi na mtume wa mwisho ni Muhamad S.A.W nabii muongo Subjanala
@dorcassoza6788
Жыл бұрын
Nyie washika dini badala ya Mungu, kitu gani kinawauma baada ya Kingwendu kwenda kwa mtumishi wa Mungu, unesaidia watu wangapi hapo mtaani kwako?
@danielidanieli9599
Жыл бұрын
Inamtaka utapata tuu
ASTAGHFIRULLAH
Njaaa zitawaua nyie
Duuu kwaiy iyo kaz yako yakugawa tako ishakushinda unapeleka mkundu arusha duuu
Jinga wewe,njaa inakusumbua
😢😢😢😂😂😂