No video

ALICHOFANYA NABII MKUU GEORDAVIE KWA KINGWENDU,,,TAZAMA HAPA TUKIO ZIMA,,,HII NI ZAIDI YA UPENDO..

#harmonize #geordavie #utaniua

Пікірлер: 77

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga54474 ай бұрын

    🎉nabii Mkuu umeupiga mwingi waache waongee bado hawajathemaaaa . Injili mbele kwa mbele🎉

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga54474 ай бұрын

    watanzania hawana jema Wala shukrani na km unaona nabii humtaki pita na yako tunaomkubali mtuachie jaman tunampenda then tunampenda tena na tena 🎉🎉🎉🎉

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899 Жыл бұрын

    Hahahaha 😂😂😂😂 ukisema akupendinga anakupa ndinga nakukubali sana kigwendu

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Savi Sana gd

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Жыл бұрын

    Umepewa sh ngapi kingwendu

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 Жыл бұрын

    Hongera Sana Kingwendu kwa kukimbilia Kanisani Hawa wanaokuponda waache usiwajibu maana wangekuona unaingia kwa mganga Wa kienyeji wasingekusema hivo Shikilia Imani yakoo Kingwendu Nabii Ni Mtumishi Wa MUNGU na tumeona akiwafufua waliokuwa kifoni Hawa wanaokuponda hawajui wafanyaloo

  • @dorcassoza6788

    @dorcassoza6788

    Жыл бұрын

    Yes, angeenda kwa watchdoctor watu wangempongeza

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Жыл бұрын

    Uko sahihi sana

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa60395 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣kingwendu okoka mjue mungu vizuri ,acha mzaha ndinga kitu Gani Bora umtafute Mungu utapata zaidi yandinga , nafikiri umenielewa

  • @photidasfrancis-io4gc
    @photidasfrancis-io4gc Жыл бұрын

    Big up kingwendu

  • @petermugurubi7837
    @petermugurubi78378 ай бұрын

    Hiz hela, Kingwedu ogopa dhambi

  • @user-vl3pr8rh9q
    @user-vl3pr8rh9q11 ай бұрын

    Nakuku bari sana nabimuku

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv4 ай бұрын

    😅😅😅😅😅ety viungo

  • @Ibrahim-py6hp
    @Ibrahim-py6hp Жыл бұрын

    Iyi njaa bwana 😢😢😢😢😢

  • @honhonhaule9232
    @honhonhaule9232 Жыл бұрын

    I like to communicate with you I don't know how can I reach there to your church please how and when

  • @honhonhaule9232
    @honhonhaule9232 Жыл бұрын

    Mr geode vie you are a real prophet we are very Happy all the world are listening and watching you thanks papaaaa

  • @fundiumemenakamera2027
    @fundiumemenakamera2027 Жыл бұрын

    kaka kingwendu ulifanya vizuri kwenda kabisani kaka

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Жыл бұрын

    kwani.mkisema.mmeanda kuomba shida bongo movie bana kkk

  • @user-fb2ts8tc9f
    @user-fb2ts8tc9f11 ай бұрын

    Hatua ulitoichukua inafaa MBELE za Mungu.Mungu amekujibu yale yaliyokuwa hayawezekani .Songa MBELE mtu wa Mungu 11:45

  • @surehamlela8538
    @surehamlela8538 Жыл бұрын

    Safi sana kingwendu umejibu kwa hekima na akili sana

  • @alexndihokubwayo8010
    @alexndihokubwayo8010 Жыл бұрын

    Nabi Mukuu kwa nani akapewa cheo nanani?

  • @OnesimoMapniduzi
    @OnesimoMapniduzi9 ай бұрын

    Kweli nambii anabadiriha wtu wengi

  • @user-ox8pc5wu7u
    @user-ox8pc5wu7u10 ай бұрын

    Njaa inakupeleka motoni

  • @YunusiAthumani-zg8py
    @YunusiAthumani-zg8py8 ай бұрын

    Kingwendu umekosea sana hakuna nabii tena baada ya mtume mhamadi s. A. W. Mlejee mora wako halaka sana mtake msamaha atakusamehe

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Жыл бұрын

    Kingwendu upo sahihi

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Жыл бұрын

    We kingwendu acha ujinga kazi yako ni maana sana kuliko kusifia mambo ya upumbavu hujui Siri iliyopo mungu ndiye ayejua.

  • @mozespatnam7469

    @mozespatnam7469

    Жыл бұрын

    Kabisaa ana zingua sana

  • @williamalfred-hz6zp

    @williamalfred-hz6zp

    7 ай бұрын

    Hakili ikijaa kufkr uovu utaona kila jambo ovu ach nabii apige kaz

  • @user-gn7nk7mw8v

    @user-gn7nk7mw8v

    6 ай бұрын

    Mikono might umepewa na unakitu chakukupatia rizki tamaaa atakuja kujuta hy pesa za bureeeee du kuna siri

  • @SalmaAbanoor
    @SalmaAbanoor6 ай бұрын

    Hiyo kingwendu ni wa dini gani kwanza?

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel60211 ай бұрын

    😊😊😊😊😊😊

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Жыл бұрын

    Tamka kwa kinywa chako unachotaka kwa nabii geodevie kuliko povu jingi

  • @ntakirutimanaetienne592

    @ntakirutimanaetienne592

    Ай бұрын

    Duh

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Жыл бұрын

    Kingwendu ilkua nkikukubali lakini nshakukataa Njaa mbaya sanaa...😂😂😂😂

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19958 ай бұрын

    Mlevi huyooo

  • @user-em1cq2fd9g
    @user-em1cq2fd9g8 ай бұрын

    Lazarofondation usikateetamaa songambele

  • @vieritwobakhresamz
    @vieritwobakhresamz Жыл бұрын

    Master k njaaa inakuhusu

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Жыл бұрын

    Viongozi wa dini Africa inatupasa kuiga utoaji kwa jeodevi

  • @koyiasunga9785
    @koyiasunga9785 Жыл бұрын

    Sasa huyu nabii ana wasaidia wasanii tu😂😂

  • @SalminSaidi-dg3fq

    @SalminSaidi-dg3fq

    10 ай бұрын

    Wew acha ujinga kubwa Zima ovyo njaa inkupeleka pabaya wewe matatizo Yako peleka Kwa mungu mshamba wewe

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv7 ай бұрын

    Kumbe huyu kingwendu mkristo

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz11 ай бұрын

    Huongo huongo kigwnd ACHA

  • @stevensosipita
    @stevensosipita2 ай бұрын

    MTUMISHI WA SHETANI PESA ZA SHETANI ZITAWATOKEA PUANI POLENI NJAA ZITAWAUA

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Жыл бұрын

    Daaah bonge la Baba full midevu eti nabii pumbavu zako njaa mbaya fanya KAZI 😂

  • @soulegadaffy3615

    @soulegadaffy3615

    Жыл бұрын

    Halafu wasani walokwenda kwa huyo wanao mnyenyekea wte ni comedians/movie's,aaise njaa mbaya Sana unaeza roopoka..yy ndioo hajitambui

  • @mozespatnam7469

    @mozespatnam7469

    Жыл бұрын

    Dadekii njaa iziii

  • @user-vl3pr8rh9q
    @user-vl3pr8rh9q11 ай бұрын

    Naitaji kunisa saidiya

  • @mwinyidullailovetheprogram7404
    @mwinyidullailovetheprogram7404 Жыл бұрын

    Kingwendu wwe dishi limeyumba coz unajichora imana dhaifu ivi uislam na Nabii mkuu nwapi na wapi njaa ni miongoni wa mitihani. Subra muhimu kingwendu

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu8259 Жыл бұрын

    hakuna kitu kibaya kwenye maisha kama ukishndwa kuikontroo njaa Yako ndio mana watu wanaliwa kiboga tamaaa

  • @davcodavid8651

    @davcodavid8651

    Жыл бұрын

    Umeona eee😂😂😂

  • @mozespatnam7469

    @mozespatnam7469

    Жыл бұрын

    Kabisaa n kwel njaa izi dadekii

  • @angelatarimo1969

    @angelatarimo1969

    Жыл бұрын

    Pole sana

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga54474 ай бұрын

    Mnaoongea vibaya kuhusu nabii nahisi mmechoka hamna jipya mnaongea Sana na nahisi mkipewa hela hamuachi shida ya wabongo mkiwa na njaa mnatapika Sana mwacheni nabii Mkuu apige kazi nyie wenye maneno mkifa mtaacha urithi wa umbea hauna faida mnaudhi nyie

  • @ndayizigabienvenue137
    @ndayizigabienvenue137 Жыл бұрын

    Muze wambiye mambo yanabi muku nibabawababa uyonabiwaukweli

  • @zehrahaji1566
    @zehrahaji1566 Жыл бұрын

    Njaa mbaya Jamani 🤔🤔🤔

  • @user-ge3jc2kd9o
    @user-ge3jc2kd9o8 ай бұрын

    Kingwendwe tubu wewe kenge tu nilikua nakuaminia sana kumbe kenge tu huna lolote nguruwe mweusi wewe

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle11 ай бұрын

    Huyu siyo mtumishi wa mungu soma maandiko utajua huyu ni mtu anayemwakilisha nani.

  • @ramadhanmgumba3680
    @ramadhanmgumba3680 Жыл бұрын

    Innaalillah wa,innaa,Ilaih raajighun

  • @timotheontibayaga-lq2xx
    @timotheontibayaga-lq2xx Жыл бұрын

    Kuna msanii aliimba umasikini huu umasikini huu utaisha lini ×3

  • @osmansalim172
    @osmansalim17210 ай бұрын

    Na mm nitafika one day, namuamini

  • @venitarugemalila9290

    @venitarugemalila9290

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @osmansalim172

    @osmansalim172

    10 ай бұрын

    @@venitarugemalila9290 yaani nasubiria nipate nguvu ya kurikodi nimeandika nyimbo nzuri sana.

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 Жыл бұрын

    Mlevi wakawaida huyu kingwendu

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 Жыл бұрын

    Njaa mbaya sana yaani eti anakubali mtu ni nabii wakati yy ni muislam abadilishe tu dini.

  • @christianchando7041
    @christianchando70418 ай бұрын

    Hizo ndinga zitawatoa roho,

  • @user-vl3pr8rh9q
    @user-vl3pr8rh9q11 ай бұрын

    Namba musanda wakonabi wetu natesekasana

  • @abdallagaza6864
    @abdallagaza6864 Жыл бұрын

    Njaa bwana kiboko

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 Жыл бұрын

    Umechoka kingwendu njaa inakupeleka bapaya

  • @edge6016
    @edge6016 Жыл бұрын

    Jahili mkubwa huyu mzee hajuii dini nabi na mtume wa mwisho ni Muhamad S.A.W nabii muongo Subjanala

  • @dorcassoza6788

    @dorcassoza6788

    Жыл бұрын

    Nyie washika dini badala ya Mungu, kitu gani kinawauma baada ya Kingwendu kwenda kwa mtumishi wa Mungu, unesaidia watu wangapi hapo mtaani kwako?

  • @danielidanieli9599

    @danielidanieli9599

    Жыл бұрын

    Inamtaka utapata tuu

  • @thedon8467
    @thedon8467 Жыл бұрын

    ASTAGHFIRULLAH

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 Жыл бұрын

    Njaaa zitawaua nyie

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding Жыл бұрын

    Duuu kwaiy iyo kaz yako yakugawa tako ishakushinda unapeleka mkundu arusha duuu

  • @sheehamadnganzi8317
    @sheehamadnganzi8317 Жыл бұрын

    Jinga wewe,njaa inakusumbua

  • @Shamsa342
    @Shamsa342 Жыл бұрын

    😢😢😢😂😂😂

Келесі