SIKILIZA MASWALI MAZITO YALIYO ULIZWA NA WANA CHUO KUHUSU UHALALI WA KUWASIMIKA WANAWAKE
Sikiliza maswali Mazito yaliyo ulizwa na wana chuo cha CBC kuhusu uhalali wa kuwasimika wanawake kuwa Wachungaji
Жүктеу.....
Пікірлер: 106
@victoranderelunyama446812 күн бұрын
ukweli n kwamba mwanamke harusiwi kusimama mbele ya wanaume.mwanaume ni utukufu kwa Mungu.mwanamke n utukufu kwa mumewe
@batholomewmshuzah325816 күн бұрын
Ukwel upo wazi hekima ya mwanadamu n upumbavu kwa Mungu hii n saikolojia na sio neno la Mungu
@joshuakusena707
14 күн бұрын
Bwana akubariki ndugu yangu. Hawa ni wanatheologia. Na theology zote ni za shetani
@amosmakoba504226 күн бұрын
Mwl uko sawa sana... "Ukosefu wa maarifa umezuia mambo mengi yaliyo mema na muhimu sana".
@sautikuu212
17 күн бұрын
Nyinyi Ndio mna elimu kuliko yesu?
@nikusekelakajumba769716 күн бұрын
Mungu akubariki Sana mchungaji,umenifundisha kitu kikubwa sana
@StivinSapi-eg7kr
7 күн бұрын
Ni andiko gani linalo ruhusu mwanamke kubwa mtawala kwa nafasi zakifalme.
@GeorgeNsabi17 күн бұрын
Ukweli wa Mungu haubadilishwi na Elimu ya mwadamu
@Stonecity01
16 күн бұрын
Mwanadamu anatakiwa kufwata Mungu kupitia neno
@user-ov6nq2wp6w13 күн бұрын
Asiyeweza kusimamia nyumba yake atawezaje kulisimamia kanisa la mungu? Pasta kaa upande wa nenp la mungu lisilo badiliko. Amina.
@gracemutheu371711 күн бұрын
Hakuna kanisa la mwanamke ambalo Lina simama Kwa utakatifu wa Mungu shetani anajua udhaifu wa mwanamke.
@WinfridaCreitus-bf3zn26 күн бұрын
Mkeka ukatema! Kiukweli nimekuelewa sana sana. Thanks for that true elaboration when preparing to ask a question
@ngambagwabulalu3613
22 күн бұрын
Vema sana
@venancezumba20213 күн бұрын
Akikuchagua anakuwezesha 😊
@user-hj4sy9fy4g23 күн бұрын
Hekima na busara, ni zaidi ya elimu ya kidunia !
@miriamluziro831513 күн бұрын
Yaani nimetapenda majibu ya Prof
@mussangao316413 күн бұрын
😂😂 wasomi wote peponi wanamjua sana Sir GOD😂😂
@peterdaimon-ug6fd22 күн бұрын
Ndani ya kristo hakuna mwanaume wala mwanamke wako wana wa Mungu
@JohnJoseph-qq7ow
21 күн бұрын
Jichanganye mbona hawakwenda vitani wakati was daudi Joshua, kama mme na make ni sawa
@andrewmhagama9816
20 күн бұрын
@@JohnJoseph-qq7ow Alichokuambia ndio ukweli maana Mungu alitengeneza kizazi kingine baada cha kizazi cha kwanza kutoshika sheria zake, someni maandiko vizur.Agano jipya ni kwa wale watakao amini na kushika sheria zake ndio watafanyika kuwa watoto wake na ndio taifa lake teule.Haijalishi mwanamke au mwanaume.
@okelotv4040
19 күн бұрын
Soma vizuri ilo andiko haliusu uongozi ila namna ya kuokoka
@Fidelismlawa-wn2bw
17 күн бұрын
Itakuwa siku za mwisho asema bwana nitamimina roho wangu ,juu ya wote wenye mwili, kwahiyo,hata wanawake ,wanawajibu wa kumtangaza kristo, roho mtakatifu kamiminwa kwa wote wenye mwili,nao ni mwili
@eugeniuslugangira7899
17 күн бұрын
Kwa hiyo katika Kristo wako huyo unayemuamini hakuna jinsia? Kumbe hata ndoa hazitambui jinsia..?
@qamdiayboay-gv3by26 күн бұрын
Kusimikwa ni kuwekwa wakfu,kutengwa Kwa ajili ya kazi maalum
@emmenuelmwalembe-yd1cz16 күн бұрын
Mtazamo wa kiungu unahitajika sio kukaa na kuaanzaa kubishana
@zebedayokatamaduni96765 күн бұрын
Huyu Dr bado
@anorderick716216 күн бұрын
Wana wake mmeisha sahau majukumu yao Shetani anajua jinsi ya kuteka hizo ni Roho za Lilith za kutaka kuwa sawa na wanaume....!!
@beatricenangale543926 күн бұрын
Wanawake walikuwa na nafasi Yao ya mambo mengi kwa mfano 1. Bikira Maria, kina Maria Magdalena 2. Kina Eunice kina Rhoda, Dlorica, n.k kila mtu na majukumu yake.
@masindelubengo412912 күн бұрын
Prof alikutuma haya unajua mwenyewe, lakini hawezi kuwa Mungu Muumba wa vitu vyote!
@polepolelucas22 күн бұрын
Nimempenda bule
@ezrageorge23696 күн бұрын
Acha upagani ndo maana mmeliuwa kanisa kiroho elimu hiyo potovu
@kephasymotela939026 күн бұрын
Safi sana elimuiko sawa
@georgiabuchukundi514624 күн бұрын
Asante sana mtumishi
@odhiaodhia989820 күн бұрын
Shetani kateka kila kona, mwanamke asimikwe hili iweje
@leonardnalasa4 күн бұрын
Ordination is not physical but spiritual.
@frankfaustine66582 күн бұрын
Mbna tunatumia nguvu kubwa kupotosha ukweli mwanamke anayehisi anayaweza ya kiume bas na afanye ila akumbuke wajibu wake kwa mume na familia bas
@sylviatemba664515 күн бұрын
Mungu alijua udhaifu uliopo ndani ya mwanamke,Naam hata Sasa 50/50 imeshindwa kuwaleta katika katika kile wao waliami kukipata.Doctor unalazimisha mtazamo wako uwe sahihi maana Tangu mwanzo haikuwa hivyo
@user-dy9ue8yf5b18 күн бұрын
Ukweli IKO wazi hakuna mtume mwanamke hakuna kiongozi mwanamke
@Nelsonmtimba
17 күн бұрын
Umewai kumsoma Deborah alikuwa Ni Nani? Na unamfahamu mke wa Nabii Eliya alikuwa Ni Nani?
@nazirimassawe-fm8eh
8 күн бұрын
@@Nelsonmtimba SOMA BIBLIA YAKO VIZURI TATIZO MNAJICHUKULIA VIPANDE VIPANDE VYA MANENO NA KUVITAFSIRI KIMHEMKO BIBLIA INANIAMBIA KUWA UKIONA MWANAMKE ANATAWALA ZAIDI YA MWANAUME KATIKA SEHEMU ZA IBADA ATA KIUONGOZI YUPO JUU YA MWANAUME BASI SEHEMU HIYO AU TAIFA HILO LIPO KATIKA HUKUMU YA MUNGU RUDI KASOME KUHUSU DEBORA ,ALIPOKUWA MUAMIZI TAYARI HUKUMU YA MUNGU ILIKUA INAPITISHWA KATIKA TAIFA LA ISRAELI. TENA BIBLIA INANIAMBIA,"NA NITAMFANYA MWANAMKE AKUTAWALE" YAANI KATIKA HUKUMU YA MUNGU MWANAUME ATATAWALIWA NA MWANAMKE
@Jonathan-gf9lj17 күн бұрын
Huyu ni mpinga Kristo! Mwanamke hawezi kuwa mchungaji, wala kuwa mwalimu ama mwinjilisiti au kuwa shemasi! Lete maandiko siyo Siasa!
@Jonathan-gf9lj
17 күн бұрын
1Timotheo 3:1-14
@victorkalolo53508 күн бұрын
Mm huyu mwalim sjapataga kumuelewa hata sku moja
@menyosami97134 күн бұрын
1Timoteo 2:11-17 yasema je?
@user-ov6nq2wp6w13 күн бұрын
Yesu alisema Luka 16:8 Wana wa ulimwengu huu katika kizaz chao Huwa na busala na maalifa kuliko Wana wa Nuru. Ndio huyu profesa.
@menyosami97134 күн бұрын
Pia I Wakorinto 14:32-34
@FrankAloyce-ic6rq22 күн бұрын
Wape ukweli kabsaaaa
@Stonecity01
16 күн бұрын
Ukweli unapimwaje ??
@elitv76 күн бұрын
Jihadhalini sana ndugu wapendwa wakristo!!! Hizi ni siku za mwisho ambapo shetani anapambana sana kuvuruga akili na ukristo wetu.
@Deborah-dl4ug22 күн бұрын
Hiyo pole mimi mmh! Ninachojua ni kuwa Roho mt hana upendeleo, yeyote aliyemwamini Yesu anaweza kufanya mambo yote ktk Jina la Yesu kristo. TUNAYAWEZA MAMBO YOTE KTK YEYE ATUTIAE NGUVU. Hata wewe mwanaume kumbuka u bibiarusi wa kristo, ijapokuwa kwa sasa unapenda kuitwa BWANA ARUSI
Ebu tuangalie Kuna pahali mnamke alikwazuna na mitume au Kirsto lakini waliotenda mauwaji ugomvi ni. Wanaume na hata Sasa wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji kuwaingiza majeshini kuuwa B; damu kwa bunduki zamani haikua wanawake walikwa na huruma wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji na mwisho wanatafsiri hakuna tena wasiloliweza wanauume mliambiwa ishini nao kwa akili selemani. : Goliath; Ibrahim Esta kuingia kwa mflme waliangushwa na wanawake ndio neno ishini nawo kwa Akiliiiiiii likatimia
@EPHRAIMRAMADHANI-is1du17 күн бұрын
Kweli tujifunze zaidi bible
@isaackusupa963511 күн бұрын
Anafundisha uongo mwingi sana mawazo yako
@user-le1rc7oc6u14 күн бұрын
HAKUNA 😮😮😮
@KedrickMalila-lk6xh15 күн бұрын
Walisha sema hawa ni viumbe dhaifu
@musabarnabas762818 күн бұрын
Samahani sana kusema hivi: Doctor hajajibu maswali kisomi. Kama alitaka kujibu maswali kwa njia ya kuhubiri basi haikuwa na haja ya kufanya utafiti.
@zebedayokatamaduni96765 күн бұрын
Anaongea mitazamo yake tu
@dottomanyesha969218 күн бұрын
Wakati ule 🎉kukiwa na watu 100 wanawaje 50 na wanawake 50 iliku 9:36 wa inatamkwa kun umati wa watu 50 wanawake walikuwa hawahesabiwi.
@yamungummungulo633
12 күн бұрын
Sabab ilikua mwanamke alihesabika kwa mwanaaume, mume na mke pamoj ndio mtu
@tp-kh8hl4 күн бұрын
Uyu ameongea kulingana na mtazamo wake ila bibilia iko clear imesema wanawake awatakiwi kuongoza kanisani ni maandiko yameeleza wazi!...kuwa holy wala kuwa na roho mtakatifu ni tofauti na kuwa mchungaji!....
@victornzowa5138
Күн бұрын
Hivi deborah alikuwa mwamuzi na bado ni mwanamke Je hapo ni nani aliyemupa hayo mamlaka ya kuongoza
@awitness902015 күн бұрын
Weka number ya vhuo
@eagtmwangazachurchdodoma15 күн бұрын
Amen
@furahinimrutu30858 күн бұрын
anafundisha ambacho biblia haifundishi
@user-jl5un4wf3u19 күн бұрын
Aliyeumba naMungu niMwanaume kwamfanowa waMungu meanamuke hakuumbwa baalialitolewa kwenye mwiliwamwanaume hivyo kwamujibuwabibiria meanamuke lazima kuleaeatoto kwakuwayeye ndiye alilala namtototumboni make aitu binadamu baali hata iumbewrngine mbona binadamu hashangai mbuzi nang'ombe hatahayawaniwengine anayeleawatoto nidumenijike?? haohayawaninao wananyanyapaa wanawakewao? huonimpangowaMungu tangu mwanzo Mungu hanachaelimu sijuiprofesa hanamssidizi alichofanyakikosahihi elimu yote ikokwake hakunamwanadamu anayewezakusahihishaMungu tusipotezane mudabure kamabibilia ikokwenyetamaduni zaidi kwanini hatakabla ya bibiria mbonadunianzima mwanamuke alizaanakuleawatoto mpakawatoke kwenye utoto naMungu walimtambua kwanamunayao kalimba kwajinsiwalivyomujua.
@patrickkatemba3500
10 күн бұрын
Hujaandika vzr
@shillahmbogo555620 күн бұрын
Research ya Kuelekezwa
@magdalenamkelemi5424 күн бұрын
Nimekuelewa baba
@dicksonsambala7756
15 күн бұрын
Zawadi ya wito mtu anazaliwa nayo sio wakati wa kusimikwa...
@furahinimrutu30858 күн бұрын
kama hawa ndio walim wa biblia tumekwisha
@johnjoseph110617 күн бұрын
Amekuta talaka zinatolewa akaziacha ivyoivyo😮😢
@dicksonsambala7756
15 күн бұрын
Hakuziacha hivyo hivyo alikosoa kwa kusema tangubmwanzo haikuwa hivyo...
@edmundmwanawima3873
14 күн бұрын
Yes alukosoa na wala hakuziacha Hivyo Hivyo,huyu dokta anajibu kisiasa
@user-mp6iw8ph5j6 күн бұрын
The church that compromise,so sad. Jesus is the head of the church (bridegroom) and the church being the bride, that's final. To ordain a woman as the head of the church is to practice homosexuality. Prof.is preaching a different gospel
@peterenos26279 күн бұрын
Apostle is not Missionary and vice versa
@user-ch8zc3bg9b23 күн бұрын
Ameen🙏🙏
@bravebrain64217 күн бұрын
Kama wanawake ni sawa na wanaume basi wapeni kuongoza familia zao, wanaume wawe chini. Kama kuhani anaweza kuwa mtu yeyote basi tuseme wachungaji, maaskofu nk siyo special Haya mafundisho yanaagenda ya feminism, imebaki kuwatetea mashoga ni swala la wakati.... Mafundisho mabaya sana ..
@dicksonsambala7756
15 күн бұрын
Maandiko yanapo sema Baba ni kichwa cha familia je? Haijatenganisha kabisa hadhi ya mwanamke na mwanaume kimajukumu. Be careful Dr.
@thenewhanangphotostudio685718 күн бұрын
mi naamini yaliyoandikwa kwenye biblia yako straight forward kuyarekebisha kwa maneno matupu ni ngumu sana. Naamini kwa hekima, elimu na utafiti wa kibinadamu wako sahihi ndio maana tukija kibinadamu mashoga pia ni haki yao kupata wanacho kitaka maana miili yao wengine inahitaji hivyo. Mi naona kuna ugumu tusirahisishe tuendelee kumsihi MUNGU atupe kujua zaidi kusudi lake.
@Zeti-kf1bt16 күн бұрын
Mwanamke hakubaliwi
@BarnabaChota-tw7ol20 күн бұрын
Bado wachanga hawa vijana Mungu ataendelea kuwanoa taratibu.
@user-mp6iw8ph5j6 күн бұрын
......Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri,na alaaniwe.....(Wagalatia 1:6-10) Pseudo Prof preaching a different gospel,twisting the gospel. Anawashawishi na kuwafurahisha wanadamu sio Mungu
@peterenos26279 күн бұрын
This is purely world teachings and not Godly doctrine. You are misleading the Bible doctrines.
@isaackusupa963511 күн бұрын
Herminutics anayoifundisha haiwelewi kabisa usitowe tafsiri zako ukaingiza ndani ya biblia
@isaackusupa963511 күн бұрын
Herminutics anayoifundisha haiwelewi kabisa usitowe tafsiri zako ukaingiza ndani ya biblia
Пікірлер: 106
ukweli n kwamba mwanamke harusiwi kusimama mbele ya wanaume.mwanaume ni utukufu kwa Mungu.mwanamke n utukufu kwa mumewe
Ukwel upo wazi hekima ya mwanadamu n upumbavu kwa Mungu hii n saikolojia na sio neno la Mungu
@joshuakusena707
14 күн бұрын
Bwana akubariki ndugu yangu. Hawa ni wanatheologia. Na theology zote ni za shetani
Mwl uko sawa sana... "Ukosefu wa maarifa umezuia mambo mengi yaliyo mema na muhimu sana".
@sautikuu212
17 күн бұрын
Nyinyi Ndio mna elimu kuliko yesu?
Mungu akubariki Sana mchungaji,umenifundisha kitu kikubwa sana
@StivinSapi-eg7kr
7 күн бұрын
Ni andiko gani linalo ruhusu mwanamke kubwa mtawala kwa nafasi zakifalme.
Ukweli wa Mungu haubadilishwi na Elimu ya mwadamu
@Stonecity01
16 күн бұрын
Mwanadamu anatakiwa kufwata Mungu kupitia neno
Asiyeweza kusimamia nyumba yake atawezaje kulisimamia kanisa la mungu? Pasta kaa upande wa nenp la mungu lisilo badiliko. Amina.
Hakuna kanisa la mwanamke ambalo Lina simama Kwa utakatifu wa Mungu shetani anajua udhaifu wa mwanamke.
Mkeka ukatema! Kiukweli nimekuelewa sana sana. Thanks for that true elaboration when preparing to ask a question
@ngambagwabulalu3613
22 күн бұрын
Vema sana
Akikuchagua anakuwezesha 😊
Hekima na busara, ni zaidi ya elimu ya kidunia !
Yaani nimetapenda majibu ya Prof
😂😂 wasomi wote peponi wanamjua sana Sir GOD😂😂
Ndani ya kristo hakuna mwanaume wala mwanamke wako wana wa Mungu
@JohnJoseph-qq7ow
21 күн бұрын
Jichanganye mbona hawakwenda vitani wakati was daudi Joshua, kama mme na make ni sawa
@andrewmhagama9816
20 күн бұрын
@@JohnJoseph-qq7ow Alichokuambia ndio ukweli maana Mungu alitengeneza kizazi kingine baada cha kizazi cha kwanza kutoshika sheria zake, someni maandiko vizur.Agano jipya ni kwa wale watakao amini na kushika sheria zake ndio watafanyika kuwa watoto wake na ndio taifa lake teule.Haijalishi mwanamke au mwanaume.
@okelotv4040
19 күн бұрын
Soma vizuri ilo andiko haliusu uongozi ila namna ya kuokoka
@Fidelismlawa-wn2bw
17 күн бұрын
Itakuwa siku za mwisho asema bwana nitamimina roho wangu ,juu ya wote wenye mwili, kwahiyo,hata wanawake ,wanawajibu wa kumtangaza kristo, roho mtakatifu kamiminwa kwa wote wenye mwili,nao ni mwili
@eugeniuslugangira7899
17 күн бұрын
Kwa hiyo katika Kristo wako huyo unayemuamini hakuna jinsia? Kumbe hata ndoa hazitambui jinsia..?
Kusimikwa ni kuwekwa wakfu,kutengwa Kwa ajili ya kazi maalum
Mtazamo wa kiungu unahitajika sio kukaa na kuaanzaa kubishana
Huyu Dr bado
Wana wake mmeisha sahau majukumu yao Shetani anajua jinsi ya kuteka hizo ni Roho za Lilith za kutaka kuwa sawa na wanaume....!!
Wanawake walikuwa na nafasi Yao ya mambo mengi kwa mfano 1. Bikira Maria, kina Maria Magdalena 2. Kina Eunice kina Rhoda, Dlorica, n.k kila mtu na majukumu yake.
Prof alikutuma haya unajua mwenyewe, lakini hawezi kuwa Mungu Muumba wa vitu vyote!
Nimempenda bule
Acha upagani ndo maana mmeliuwa kanisa kiroho elimu hiyo potovu
Safi sana elimuiko sawa
Asante sana mtumishi
Shetani kateka kila kona, mwanamke asimikwe hili iweje
Ordination is not physical but spiritual.
Mbna tunatumia nguvu kubwa kupotosha ukweli mwanamke anayehisi anayaweza ya kiume bas na afanye ila akumbuke wajibu wake kwa mume na familia bas
Mungu alijua udhaifu uliopo ndani ya mwanamke,Naam hata Sasa 50/50 imeshindwa kuwaleta katika katika kile wao waliami kukipata.Doctor unalazimisha mtazamo wako uwe sahihi maana Tangu mwanzo haikuwa hivyo
Ukweli IKO wazi hakuna mtume mwanamke hakuna kiongozi mwanamke
@Nelsonmtimba
17 күн бұрын
Umewai kumsoma Deborah alikuwa Ni Nani? Na unamfahamu mke wa Nabii Eliya alikuwa Ni Nani?
@nazirimassawe-fm8eh
8 күн бұрын
@@Nelsonmtimba SOMA BIBLIA YAKO VIZURI TATIZO MNAJICHUKULIA VIPANDE VIPANDE VYA MANENO NA KUVITAFSIRI KIMHEMKO BIBLIA INANIAMBIA KUWA UKIONA MWANAMKE ANATAWALA ZAIDI YA MWANAUME KATIKA SEHEMU ZA IBADA ATA KIUONGOZI YUPO JUU YA MWANAUME BASI SEHEMU HIYO AU TAIFA HILO LIPO KATIKA HUKUMU YA MUNGU RUDI KASOME KUHUSU DEBORA ,ALIPOKUWA MUAMIZI TAYARI HUKUMU YA MUNGU ILIKUA INAPITISHWA KATIKA TAIFA LA ISRAELI. TENA BIBLIA INANIAMBIA,"NA NITAMFANYA MWANAMKE AKUTAWALE" YAANI KATIKA HUKUMU YA MUNGU MWANAUME ATATAWALIWA NA MWANAMKE
Huyu ni mpinga Kristo! Mwanamke hawezi kuwa mchungaji, wala kuwa mwalimu ama mwinjilisiti au kuwa shemasi! Lete maandiko siyo Siasa!
@Jonathan-gf9lj
17 күн бұрын
1Timotheo 3:1-14
Mm huyu mwalim sjapataga kumuelewa hata sku moja
1Timoteo 2:11-17 yasema je?
Yesu alisema Luka 16:8 Wana wa ulimwengu huu katika kizaz chao Huwa na busala na maalifa kuliko Wana wa Nuru. Ndio huyu profesa.
Pia I Wakorinto 14:32-34
Wape ukweli kabsaaaa
@Stonecity01
16 күн бұрын
Ukweli unapimwaje ??
Jihadhalini sana ndugu wapendwa wakristo!!! Hizi ni siku za mwisho ambapo shetani anapambana sana kuvuruga akili na ukristo wetu.
Hiyo pole mimi mmh! Ninachojua ni kuwa Roho mt hana upendeleo, yeyote aliyemwamini Yesu anaweza kufanya mambo yote ktk Jina la Yesu kristo. TUNAYAWEZA MAMBO YOTE KTK YEYE ATUTIAE NGUVU. Hata wewe mwanaume kumbuka u bibiarusi wa kristo, ijapokuwa kwa sasa unapenda kuitwa BWANA ARUSI
@JohnJoseph-qq7ow
21 күн бұрын
Mwanamke AFAI kuwa kiongozi
@salumrobert4413
20 күн бұрын
unatoaje majibu bila ushaihidi wa mandiko
@geofkabo7843
17 күн бұрын
Bibi harusi ni kanisa kimaandiko
@tp-kh8hl
4 күн бұрын
Soma bibilia vizuri wakointho14:33-35 nyie mmeambiwa mnyamaze kanisani a mtakiwi kufundisha
Ebu tuangalie Kuna pahali mnamke alikwazuna na mitume au Kirsto lakini waliotenda mauwaji ugomvi ni. Wanaume na hata Sasa wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji kuwaingiza majeshini kuuwa B; damu kwa bunduki zamani haikua wanawake walikwa na huruma wanauume tuwafundisha wanawake unyama uuwaji na mwisho wanatafsiri hakuna tena wasiloliweza wanauume mliambiwa ishini nao kwa akili selemani. : Goliath; Ibrahim Esta kuingia kwa mflme waliangushwa na wanawake ndio neno ishini nawo kwa Akiliiiiiii likatimia
Kweli tujifunze zaidi bible
Anafundisha uongo mwingi sana mawazo yako
HAKUNA 😮😮😮
Walisha sema hawa ni viumbe dhaifu
Samahani sana kusema hivi: Doctor hajajibu maswali kisomi. Kama alitaka kujibu maswali kwa njia ya kuhubiri basi haikuwa na haja ya kufanya utafiti.
Anaongea mitazamo yake tu
Wakati ule 🎉kukiwa na watu 100 wanawaje 50 na wanawake 50 iliku 9:36 wa inatamkwa kun umati wa watu 50 wanawake walikuwa hawahesabiwi.
@yamungummungulo633
12 күн бұрын
Sabab ilikua mwanamke alihesabika kwa mwanaaume, mume na mke pamoj ndio mtu
Uyu ameongea kulingana na mtazamo wake ila bibilia iko clear imesema wanawake awatakiwi kuongoza kanisani ni maandiko yameeleza wazi!...kuwa holy wala kuwa na roho mtakatifu ni tofauti na kuwa mchungaji!....
@victornzowa5138
Күн бұрын
Hivi deborah alikuwa mwamuzi na bado ni mwanamke Je hapo ni nani aliyemupa hayo mamlaka ya kuongoza
Weka number ya vhuo
Amen
anafundisha ambacho biblia haifundishi
Aliyeumba naMungu niMwanaume kwamfanowa waMungu meanamuke hakuumbwa baalialitolewa kwenye mwiliwamwanaume hivyo kwamujibuwabibiria meanamuke lazima kuleaeatoto kwakuwayeye ndiye alilala namtototumboni make aitu binadamu baali hata iumbewrngine mbona binadamu hashangai mbuzi nang'ombe hatahayawaniwengine anayeleawatoto nidumenijike?? haohayawaninao wananyanyapaa wanawakewao? huonimpangowaMungu tangu mwanzo Mungu hanachaelimu sijuiprofesa hanamssidizi alichofanyakikosahihi elimu yote ikokwake hakunamwanadamu anayewezakusahihishaMungu tusipotezane mudabure kamabibilia ikokwenyetamaduni zaidi kwanini hatakabla ya bibiria mbonadunianzima mwanamuke alizaanakuleawatoto mpakawatoke kwenye utoto naMungu walimtambua kwanamunayao kalimba kwajinsiwalivyomujua.
@patrickkatemba3500
10 күн бұрын
Hujaandika vzr
Research ya Kuelekezwa
Nimekuelewa baba
@dicksonsambala7756
15 күн бұрын
Zawadi ya wito mtu anazaliwa nayo sio wakati wa kusimikwa...
kama hawa ndio walim wa biblia tumekwisha
Amekuta talaka zinatolewa akaziacha ivyoivyo😮😢
@dicksonsambala7756
15 күн бұрын
Hakuziacha hivyo hivyo alikosoa kwa kusema tangubmwanzo haikuwa hivyo...
@edmundmwanawima3873
14 күн бұрын
Yes alukosoa na wala hakuziacha Hivyo Hivyo,huyu dokta anajibu kisiasa
The church that compromise,so sad. Jesus is the head of the church (bridegroom) and the church being the bride, that's final. To ordain a woman as the head of the church is to practice homosexuality. Prof.is preaching a different gospel
Apostle is not Missionary and vice versa
Ameen🙏🙏
Kama wanawake ni sawa na wanaume basi wapeni kuongoza familia zao, wanaume wawe chini. Kama kuhani anaweza kuwa mtu yeyote basi tuseme wachungaji, maaskofu nk siyo special Haya mafundisho yanaagenda ya feminism, imebaki kuwatetea mashoga ni swala la wakati.... Mafundisho mabaya sana ..
@dicksonsambala7756
15 күн бұрын
Maandiko yanapo sema Baba ni kichwa cha familia je? Haijatenganisha kabisa hadhi ya mwanamke na mwanaume kimajukumu. Be careful Dr.
mi naamini yaliyoandikwa kwenye biblia yako straight forward kuyarekebisha kwa maneno matupu ni ngumu sana. Naamini kwa hekima, elimu na utafiti wa kibinadamu wako sahihi ndio maana tukija kibinadamu mashoga pia ni haki yao kupata wanacho kitaka maana miili yao wengine inahitaji hivyo. Mi naona kuna ugumu tusirahisishe tuendelee kumsihi MUNGU atupe kujua zaidi kusudi lake.
Mwanamke hakubaliwi
Bado wachanga hawa vijana Mungu ataendelea kuwanoa taratibu.
......Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yoyote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri,na alaaniwe.....(Wagalatia 1:6-10) Pseudo Prof preaching a different gospel,twisting the gospel. Anawashawishi na kuwafurahisha wanadamu sio Mungu
This is purely world teachings and not Godly doctrine. You are misleading the Bible doctrines.
Herminutics anayoifundisha haiwelewi kabisa usitowe tafsiri zako ukaingiza ndani ya biblia
Herminutics anayoifundisha haiwelewi kabisa usitowe tafsiri zako ukaingiza ndani ya biblia