No video

KANISA NA KURUDI KWA YESU (UNYAKUO)

Пікірлер: 62

  • @TarusDaisykobilo
    @TarusDaisykobilo8 ай бұрын

    Barikiwa mchungaji Bwana Ani rehemu na watoto wangu na jamii yangu wasipotee hata mmoja Amen

  • @emmamlangala521
    @emmamlangala52111 ай бұрын

    Barikiwa mnoo mtumishi

  • @dinairenge
    @dinairenge8 ай бұрын

    Amen napokea nimeokoka Leo pasta mungu akubariki sana kwakutupatia neno nzuri kutoka kwa mungu wetu

  • @prosperaward8119

    @prosperaward8119

    6 ай бұрын

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊p😊😊p😊😊😊😊😊😊p😊😊p😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @prosperaward8119

    @prosperaward8119

    6 ай бұрын

    😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @dennismbote4771
    @dennismbote47718 ай бұрын

    Amina,mtumikie Mungu wetu ,Bwana Yesu akubariki sana,songa mbele,usijali vizingiti.Maana ninahakika vipo

  • @SamwelKekora
    @SamwelKekora29 күн бұрын

    Mungu akubaliki kwa kulitangaza neno lililo hai

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m4 күн бұрын

    Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa

  • @MargaretMwangende-rg8xr
    @MargaretMwangende-rg8xr4 ай бұрын

    Eh Rabbi hii ni heavy! Mungu atusaidie

  • @EvangelistMathayo2604
    @EvangelistMathayo260410 ай бұрын

    ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa kutulisha Neno la Mungu Amen

  • @yohanaswalo4716
    @yohanaswalo471611 ай бұрын

    Haleluyaaa Mt wa BWANA Ubalikiwe sana tu YESU ASIFIWE

  • @neemambully2769
    @neemambully27699 ай бұрын

    Amepewa hekima yote ya Mungu na Mungu mwenyew

  • @siza_fx
    @siza_fxАй бұрын

    NABARIKIWA SANA MTUMISHI .UBARIKIWE

  • @juliethchavala3314
    @juliethchavala33147 ай бұрын

    ubarikiwe saana mtumishi

  • @shaneryaloyce8904
    @shaneryaloyce89043 ай бұрын

    Amen mtumishi

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf8 ай бұрын

    Tunakusikiliza Mtumishi wa Mungu aliye hai!

  • @hasanygodda9242
    @hasanygodda924222 күн бұрын

    Amen

  • @frankdanford8245
    @frankdanford82455 ай бұрын

    Wewe ni Mwl wa kweli umetufundisha somo kubwa sana na YESU akubariki sana. Ni kweli tupu umezungumzia. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni96766 ай бұрын

    Kwa kweli Mtu wa Mungu umetutendea haki Kuweka mahubiri yako na mafunzo ya neno la Mungu kwenye you tube , asante sana Mimi binafsi nilikuwa natafuta mafundisho yako kwenye mtandao, tuko pamoja Absalom Longani

  • @DieudonneMAHANGO-ws3do
    @DieudonneMAHANGO-ws3doАй бұрын

    Amen 🙌

  • @johnnguttu9516
    @johnnguttu95169 ай бұрын

    Hakika Rabbi, watu ni wengi tunatamani kusikia habari njema za KRISTO YESU katika nyakati hizi za hatari na za mwisho za kurudi kwake MWOKOZI WETU. Jambo la msingi kwetu ni Maisha ya milele ya badaye baada ya hapa dunian.... AMEN, AMEN. Barikiwa Rabbi

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu37762 ай бұрын

    I try to follow your preaching about the end time.

  • @aisiamkonyi4977
    @aisiamkonyi49777 ай бұрын

    Barikiwa baba kwa kusema ukweli

  • @EZRA-b1c
    @EZRA-b1c9 ай бұрын

    Amen Mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe sana

  • @user-cz9mc9wy7k
    @user-cz9mc9wy7k4 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi kwa neno Niko Bukobs Kagera napenda mahubiri yako

  • @IdahNambelasiwala-qs3su
    @IdahNambelasiwala-qs3su8 ай бұрын

    Eeh mungu nikumbuke namimi na family yangu 😭😭

  • @ferixsikota3898
    @ferixsikota38986 ай бұрын

    Thank you so much for beautiful message me from Zambia Amen and Amen

  • @alphonsinemauwa
    @alphonsinemauwa9 ай бұрын

    Mchungaji Mungu Akutiye nguvu baba tunaamini uko salama tunakuombea Mungu Akufunike kwa Mbawa zake tunakuombea.

  • @blondyd4256
    @blondyd425611 ай бұрын

    Namtukuza Mungu kwa zifunua Siri hizi kwangu.

  • @livebeyond8213
    @livebeyond821311 ай бұрын

    Ubarikiwe sana baba kwa ujumbe mzito huu

  • @user-do4pm9ok8w
    @user-do4pm9ok8w7 ай бұрын

    Be blessed pastor ….Mahubir yako yananitia moyo sana na nguvu

  • @akothchristine4752
    @akothchristine47526 ай бұрын

    Amen yesu ni bwana

  • @floraflora5717
    @floraflora57177 ай бұрын

    Àsante Mungu akubariki Sana

  • @happytweve6524
    @happytweve652410 ай бұрын

    MUNGU akubariki sana mtumishi abshalom

  • @InnocentAbdalah-bo6fx
    @InnocentAbdalah-bo6fx8 ай бұрын

    Mungu akubark sana mtumishii wa bwanaa

  • @ObediMachumuShembe
    @ObediMachumuShembe3 ай бұрын

    Ubarikiwe nîme kufata Niko Rdc ubarikiwe tena

  • @user-un2td1no5f
    @user-un2td1no5f8 ай бұрын

    Haya mahubiri ni ya kulia kabisa sio ya kutoa macho maana tupo mwisho wa dunia sasa

  • @user-mt3pz6kx5g
    @user-mt3pz6kx5g7 ай бұрын

    Asante kwa ujumbe muhimu kwetu

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday83256 ай бұрын

    Yaani mimi nakupenda baba

  • @user-kp2sk2vi7d
    @user-kp2sk2vi7d7 ай бұрын

    Ameni

  • @HosianaSebastian-ly6vj
    @HosianaSebastian-ly6vj6 ай бұрын

    ,ijnili ndiyo hii hawa ndiyo walioitwa na Mungu siyo kufundisha mafanikio tu

  • @user-kv7hq5mb6m
    @user-kv7hq5mb6m7 ай бұрын

    BWANA YESU ASIFIWE,kwasasa MUNGU analiandaa kanisa lililokusudiwa kwenda mbinguni,wasaidieni hai wa awake wanaosuka,na wanaojipodoa,nawanaoingia katika nyumba za ibada vichwa wazi,hawataingia mbinguni,na wanaovaa mavazi yasiyokuwa yakujisitiri,yanayoonyesha mambo yao,kemeeni enyi wachungaji,kemeeni uovu,kanisa litakwaswe Ili linyakuliwe

  • @user-wn5zo9pk3v
    @user-wn5zo9pk3v5 ай бұрын

    MUNGU akulinde Sana Kuna siku nilisikiliza tu maombi nikapokea uponyaji hapo hapo nilikuwa nasumbuliwa na mgongo nina MIAKA 4

  • @teddyemmanuel6292
    @teddyemmanuel629211 ай бұрын

    Dunia yaleo tunahitaji injili ya kweli unayohubiri nikweli kweli kweli walio ibebakweli malanyingi Huwa wanachukiwa mchungaji songa mbele songa mbele

  • @floraflora5717
    @floraflora57177 ай бұрын

    Niko Oman nabarikiwa

  • @nashonkibayayu3776
    @nashonkibayayu37762 ай бұрын

    Name pia nafuatilia mafundisho yako ya siku za mwisho, unyakuo was kalisa.

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine167310 ай бұрын

    Nikonakufuata kazini hapa marekani naweka Hedifon nasikiya kubarikiwa sana hiininqisambaza mahalipote itakavyo wrzekana ubarikiwe

  • @bernaldnnko5978
    @bernaldnnko59788 ай бұрын

    Namanga nabarikiwa na wewe

  • @neemambully2769
    @neemambully27699 ай бұрын

    Ndiyo huo wakat wa mwisho ndiyo huu na hicho kitabu kinafunguliwa sasa na huyo aliepewa kufunua Siri ya Mungu dunia yote tunatakiwa tujifunze chin yake ni kama kipindi cha nuhu tu alivokuwa akipewa mwongozo na kuwaambia watu nuhu wa sasa ni mmoja tu pia ambae ndiyo huyo John isaya igumi

  • @marionoti5760
    @marionoti57608 ай бұрын

    Acheni injili za vitisho kwa watu maskini kwa manufaa ya matumbo Yenu. Mungu wetu hana upendeleo, niwaupendo kwa kila amwitaye.

  • @emmanuelsunday8325

    @emmanuelsunday8325

    6 ай бұрын

    Nenda zako huko

  • @user-gr9wc7bc2m

    @user-gr9wc7bc2m

    5 ай бұрын

    Amekugusa utumishi wenu wakuwadangsnya watu!! Vumiliya wacha Sindano iingie vizuri

  • @user-gr9wc7bc2m

    @user-gr9wc7bc2m

    5 ай бұрын

    Kwani mnataka wahubiri wasiwaambie watu mambo yatakayotokea yaliyoandikwa ktk biblia

  • @marionoti5760

    @marionoti5760

    5 ай бұрын

    @@user-gr9wc7bc2mPole naona umelishwa matangopari yakutosha, yawezekana hujielewi, kwa majibu yako haya napata shaka kama unamuishi kristo zaidi ya kulitumia jina la yesu ktk harakati za kuhadaa watu kwa manufaa ya matumbo yenu. unatofauti gani na waganga wa kienyeji?

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q21 күн бұрын

    NIPO MOC'AMBIQUE NINAKUSIKILIZA NA KUKUONA VIZURI NENO LA MUNGU KUPITI KINYWA CHAKO LINANIBARIKI SANA

  • @yohanasimoni
    @yohanasimoni25 күн бұрын

    Amen

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay22085 ай бұрын

    Hizi ni habari njema ziletazo wokovu

  • @user-cz9mc9wy7k
    @user-cz9mc9wy7k4 ай бұрын

    Ubarikiwe mtumishi kwa neno Niko Bukobs Kagera napenda mahubiri yako

  • @byoseasolokoci7257
    @byoseasolokoci72573 ай бұрын

    Amen

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko18755 ай бұрын

    Amen

  • @HosianaSebastian-ly6vj
    @HosianaSebastian-ly6vj6 ай бұрын

    Amen

  • @dinairenge
    @dinairenge8 ай бұрын

    Amen

Келесі