Je ulisha wahi kujiuliza DJ lina maana gani,sasa jibu lake limepatikana
Жүктеу.....
Пікірлер: 71
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
We mtumishi wa Mungu Mungu akutunze unahubiri Injili ya kweli
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
Hakika YESU ni BWANA, ujumbe hu ni mimi ninakushukuru Mungu
@evaristkayimba91483 жыл бұрын
Hongera sana Mch.Moses Magembe kwa kutupatia neno lenye tija sana ,hakika tunaendelea kufarijika sana kwa maneno yenye baraka mno
@hemedshalua20022 жыл бұрын
Mashahidi wa kweli wa Yesu bado wapo barikiwa sana Baba, Mungu akupe maisha marefu.
@valelianonyato-gx5bq2 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akutunze unafanya kazi kwa uaminifu sana Mungu akutetee
@benjaminjulius78332 жыл бұрын
Mtumish ubarikiwe kwa kuhubiri injili
@smartmwakipesile38423 ай бұрын
Mungu anisamehe
@tengononi51432 жыл бұрын
Amina mutumishi mungu akubaliki
@janetybubegwa52722 жыл бұрын
Barikiwa SANA mtumishi wa MUNGU
@martinematanda67913 жыл бұрын
MUNGU akubariki Sana BABA udumu ili utusaidie kwa Jina la YESU KRISTO Ameen.
@joshuabweli62493 жыл бұрын
Dr.Rev maghembe Mungu akubariki sana kwa Neno LA Mungu, natamani sana kila siku niwe napata shule nzito kwako.
@gideonregnald2743 Жыл бұрын
Be blessed
@braittonfedrick48393 жыл бұрын
Barikiwa sana baba mchungaji kwa neema ya Bwana iliyondani yako
@olivatairo66123 жыл бұрын
Mwinjilisti ck zote ana hasira na shetani, TWANGA INJILI BABA
@lindamlaki81033 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana,wacha baba aseme maana neno la Mungu ni upanga uwao ukatao kuwili,injili hii ilipotea siku nyingi hatujaisikia siku nyingi enzi za Mzee wetu Moses i feel kama yupo Mungu akutunze mtumishi wa Mungu usipindishe hata moja baba tumezoea injili ya matangazo tuu hata tunashindwa unaenda wapi mwee.hakika wakati unatimia
@mahambajackson2783 жыл бұрын
Asante muze wetu kwa neno la Mungu.
@towardssuccesslife.18082 жыл бұрын
AMINA UBARIKIWE MUNGU AKUPEMIKA MILEFU🤝
@gidionmwarabu83293 жыл бұрын
Amen baba
@octavianmwamnyanyi62223 жыл бұрын
Usipobadilishwa na injili hii ya baba yetu mzee magembe sahau kabisa kuhusu mbingu ya watakatifu na uzima wa milele.
@godsonlaizer19883 жыл бұрын
mzee mungu akulinde sana, watu wa aina yako wamepoungua kbsa
@rosemwala9654 Жыл бұрын
Mungu nisaidie nipate unyakuo maana hayo mateso ya watakaobakia ni makubwa mno hauastahimiliki
@emiliansilomo44083 жыл бұрын
Injili isiyogoshiwa. Onya, kemea karipia! Mungu akubariki baba!
@febronianyangwala75243 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana baba Mungu atusaidie sana
@valelianonyato-gx5bqАй бұрын
Haya ndiyo maneno yanayotakiwa kumponya mtu siyo injili za wahuni wanaoichafua injili ya Bwana Yesu kristo
@erastokumburu35983 жыл бұрын
Thank you Pastor for God's love you have been blessed to teach us
@estermathias83542 жыл бұрын
Eee MUNGU nisamehe hilo la mambo kwà watoto uwiii 🙆🏿♂️🙇🏾♂️🙇🏾♂️
@paulina.baynit79703 жыл бұрын
Mimi ni Mkristo Mkatoliki lkn huyu mchungaji na mkubali sana, mafundisho mazuri kwa waumini wa Dini zote na Madhehebu yote. Ubarikiwe sana Mchungaji.🙏.
@chrissmichaelmashouda1726
3 жыл бұрын
Mimi pia mkatoliki nampenda Sana huyu mtumishi af Kuna yule alokufa Dr Moses Kulola mtafute Kaka
@esternaftari4553
3 жыл бұрын
Na mim ni mkatolik mpendwa mtafute na mwingin anaitwa mch. David Mbaga
@salomessmart98143 жыл бұрын
Haleluya!!!!baba we ni hatari sema baba wachungaji wapone
@mpandawilliam68133 жыл бұрын
Ameni sana, pasua Pasua mtumishi wa Mungu.
@salvadry013 жыл бұрын
We are in a season of revival for the last army of the saints of the most high God to fight the spiritual battle of the end of times. Ujumbe wa namna hii tutaanza kuusikia zaidi kutoka kwa watumishi wa kweli wa Mungu maana ndio ujumbe utakaoinua roho za mashahidi wa Yesu waliokua wamelala na kujisahau ili kuwaandaa kukabiliana na wakati mugumu wa kujaribiwa unaokuja mbele yetu. Hakika nashuhudia kizazi chetu hakitapita. Na nawahakikishia huyu mchungaji hajakurupuka, nawahakikishia huu ni ujumbe wa uamusho na mtausikia sio kwa huyu pekee, watumishi wengi wa kweli wataanza kuuhubiri.
@zedinamohammed18783 жыл бұрын
Amen Mtumishi wa Mungu
@edwinmbwilo61283 жыл бұрын
Ushauri; Wakusanywe wachungaji wote halafu uwahubirie hayo kisha wao waje watufundishe sisi hapo kanisa litapona na Moto wa uamsho utawaka
@alphoncinejule69993 жыл бұрын
Amena Mchungaji ubarikiwe Baba Somo Mwanzo Mpya inatu change maisha yatu. Asante sana mchungaji
@rosethomas1183
2 жыл бұрын
Amina mtumishi
@tajialbano58273 жыл бұрын
Ameni,amen, Gamaliel wangu.
@SusanaSimoni3 ай бұрын
Mchungaji hatukani acha kumnyoshea kidole masihi wa Bwana wa majeshi ujinga sio tusi
@joshuaandrew3863 жыл бұрын
AMEN man of God be blessed
@nelsonbreidon66003 жыл бұрын
Amen. Man. of God
@nelsonbreidon66003 жыл бұрын
Nakusikia mtumishi. tupe neno. Uko. sahihi. Kabisa
@winnyrocha13612 жыл бұрын
Very true man of God
@deodathkizito96373 жыл бұрын
Yesu akubariki sana Baba 🙏
@mariamnamsongole6163 жыл бұрын
EE BABA MUNGU ITUNZE NA KUIMARISHA HUDUMA HII ULIOIWEKA NDANI YA CHOMBO HIKI! ILI UKAGANGE NA KUOKOA WENGINE ZAIDI!! AMEN.
@ruthmwasomola6553 жыл бұрын
Baba sema tupone
@mwamvitamhongole93203 жыл бұрын
Mwenye kusikia na asikie hata milele 🙏
@maomao38373 жыл бұрын
Wapendwa tubadilikeni maana ukweli ndo huo MUNGU anajidhihilisha kwetu kupitia mtumishi wake.Baba ubarikiwe saana.
@kalengemochi94712 жыл бұрын
Amina
@nicholausmahembuke73053 жыл бұрын
Nadhani marekani imechangia,huko hakuna maadili,lkn ndiko imani zilikotoka
@paulowiliamusilayo27173 жыл бұрын
MUNGU Atusaidie sana
@olivatairo66123 жыл бұрын
Mwinjilisti Mungu akubariki sema yote wala usibakize ili tupone baba, wanaochukia ni wapinga Kristo hao wageuke wakubali kutubu,
@benardmagazi7429
3 жыл бұрын
Sema baba,ili tupone
@ernestpetro2660
3 жыл бұрын
Hio yote sababu watu hawana tumaini,pia wanadamu,wanampenda Sana mungu muumba wa vyote isipokua hawajui pakukimbilia kwani makanisa Ni biashara si sehemu sahihi ya Imani za kiafrika kwakua hamna jinsi ndo maana watu wanakokotwa Mara pokea upako Mara binadamu anaponya vipofu laaa huo Ni ukwamo waakili
@deodathkizito96373 жыл бұрын
Hakika nina amini Yesu amekuacha kwaajili ya kizasi hiki
@christinamoshi5986
3 жыл бұрын
Nawezaje kupata nmba za baba Mosas Magembe
@salomessmart98143 жыл бұрын
Liokoe kanisa la leo
@annagasper39093 жыл бұрын
B
@isayasimon47523 жыл бұрын
Ameeen namba nitumie wasapu 0679598210
@mbarikiwluambano15963 жыл бұрын
Ubarikiwe Mchungaji kwa kusema iliyo kweli, Nina swal, ni halal mwanamk kujipamb kwa mapamb ya kidunia? Mfano! Rast, mekap, uwanja n.k.
@jeradbendiliba38283 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ety vergabond
@rosemwala9654
Жыл бұрын
Hata wakati wa Nuhu walikuwepo waliocheka Kama wewe, hujaanza wewe, kucheka, cheka tu siku za kusaga meno zinakuja mbio.
@christinakembe3869 Жыл бұрын
Kusema wajinga ni sawa kabisa kama hawana maarifa wasiambiwe ukweli?
@imeldakassoga63323 жыл бұрын
Big up mchungaji, lakini una hasira saaana, na hasira Ni mbaya,Tena unatukana wachungaji kuwa wajinga na kadhalika hi inakaaje happy Ni sawa?
@yahayatuly627
3 жыл бұрын
Ujinga sio tusi Mtu wa Mungu
@yahayatuly627
3 жыл бұрын
Pia kuna hasira ya kimungu na ya kibinaadam Ya kibinaadam ndiyo dhambi ya kimungu ni huduma kama kama vile Paulo anavyo mwambia Thimoseo akaripie na kuonya Hiyo ni karama ya uinjilisti uwa inakua hivyo kwenye dhambi.
@edwinmbwilo6128
3 жыл бұрын
Wivu wa BWANA unanila ni maneno ya Yesu alipo zipindua meza za wabadili fedha hekaluni
@sarhkimboi9085
3 жыл бұрын
Ujinga c tuc Bali ni Hali ya kutokuelewa kitu, Na nilazima akalipie
@benjaminjulius78332 жыл бұрын
Mtumish ubarikiwe kwa kuhubiri injili
@tajialbano58273 жыл бұрын
Ameni,amen, Gamaliel wangu.
@janetybubegwa5272
2 жыл бұрын
ASANTE SANA mtumishi wa MUNGU UTUKUFU apewe MUNGU....INJILI isiyoghoshiwa
Пікірлер: 71
We mtumishi wa Mungu Mungu akutunze unahubiri Injili ya kweli
Hakika YESU ni BWANA, ujumbe hu ni mimi ninakushukuru Mungu
Hongera sana Mch.Moses Magembe kwa kutupatia neno lenye tija sana ,hakika tunaendelea kufarijika sana kwa maneno yenye baraka mno
Mashahidi wa kweli wa Yesu bado wapo barikiwa sana Baba, Mungu akupe maisha marefu.
Mungu wa mbinguni akutunze unafanya kazi kwa uaminifu sana Mungu akutetee
Mtumish ubarikiwe kwa kuhubiri injili
Mungu anisamehe
Amina mutumishi mungu akubaliki
Barikiwa SANA mtumishi wa MUNGU
MUNGU akubariki Sana BABA udumu ili utusaidie kwa Jina la YESU KRISTO Ameen.
Dr.Rev maghembe Mungu akubariki sana kwa Neno LA Mungu, natamani sana kila siku niwe napata shule nzito kwako.
Be blessed
Barikiwa sana baba mchungaji kwa neema ya Bwana iliyondani yako
Mwinjilisti ck zote ana hasira na shetani, TWANGA INJILI BABA
Bwana Yesu asifiwe sana,wacha baba aseme maana neno la Mungu ni upanga uwao ukatao kuwili,injili hii ilipotea siku nyingi hatujaisikia siku nyingi enzi za Mzee wetu Moses i feel kama yupo Mungu akutunze mtumishi wa Mungu usipindishe hata moja baba tumezoea injili ya matangazo tuu hata tunashindwa unaenda wapi mwee.hakika wakati unatimia
Asante muze wetu kwa neno la Mungu.
AMINA UBARIKIWE MUNGU AKUPEMIKA MILEFU🤝
Amen baba
Usipobadilishwa na injili hii ya baba yetu mzee magembe sahau kabisa kuhusu mbingu ya watakatifu na uzima wa milele.
mzee mungu akulinde sana, watu wa aina yako wamepoungua kbsa
Mungu nisaidie nipate unyakuo maana hayo mateso ya watakaobakia ni makubwa mno hauastahimiliki
Injili isiyogoshiwa. Onya, kemea karipia! Mungu akubariki baba!
Mungu akubariki Sana baba Mungu atusaidie sana
Haya ndiyo maneno yanayotakiwa kumponya mtu siyo injili za wahuni wanaoichafua injili ya Bwana Yesu kristo
Thank you Pastor for God's love you have been blessed to teach us
Eee MUNGU nisamehe hilo la mambo kwà watoto uwiii 🙆🏿♂️🙇🏾♂️🙇🏾♂️
Mimi ni Mkristo Mkatoliki lkn huyu mchungaji na mkubali sana, mafundisho mazuri kwa waumini wa Dini zote na Madhehebu yote. Ubarikiwe sana Mchungaji.🙏.
@chrissmichaelmashouda1726
3 жыл бұрын
Mimi pia mkatoliki nampenda Sana huyu mtumishi af Kuna yule alokufa Dr Moses Kulola mtafute Kaka
@esternaftari4553
3 жыл бұрын
Na mim ni mkatolik mpendwa mtafute na mwingin anaitwa mch. David Mbaga
Haleluya!!!!baba we ni hatari sema baba wachungaji wapone
Ameni sana, pasua Pasua mtumishi wa Mungu.
We are in a season of revival for the last army of the saints of the most high God to fight the spiritual battle of the end of times. Ujumbe wa namna hii tutaanza kuusikia zaidi kutoka kwa watumishi wa kweli wa Mungu maana ndio ujumbe utakaoinua roho za mashahidi wa Yesu waliokua wamelala na kujisahau ili kuwaandaa kukabiliana na wakati mugumu wa kujaribiwa unaokuja mbele yetu. Hakika nashuhudia kizazi chetu hakitapita. Na nawahakikishia huyu mchungaji hajakurupuka, nawahakikishia huu ni ujumbe wa uamusho na mtausikia sio kwa huyu pekee, watumishi wengi wa kweli wataanza kuuhubiri.
Amen Mtumishi wa Mungu
Ushauri; Wakusanywe wachungaji wote halafu uwahubirie hayo kisha wao waje watufundishe sisi hapo kanisa litapona na Moto wa uamsho utawaka
Amena Mchungaji ubarikiwe Baba Somo Mwanzo Mpya inatu change maisha yatu. Asante sana mchungaji
@rosethomas1183
2 жыл бұрын
Amina mtumishi
Ameni,amen, Gamaliel wangu.
Mchungaji hatukani acha kumnyoshea kidole masihi wa Bwana wa majeshi ujinga sio tusi
AMEN man of God be blessed
Amen. Man. of God
Nakusikia mtumishi. tupe neno. Uko. sahihi. Kabisa
Very true man of God
Yesu akubariki sana Baba 🙏
EE BABA MUNGU ITUNZE NA KUIMARISHA HUDUMA HII ULIOIWEKA NDANI YA CHOMBO HIKI! ILI UKAGANGE NA KUOKOA WENGINE ZAIDI!! AMEN.
Baba sema tupone
Mwenye kusikia na asikie hata milele 🙏
Wapendwa tubadilikeni maana ukweli ndo huo MUNGU anajidhihilisha kwetu kupitia mtumishi wake.Baba ubarikiwe saana.
Amina
Nadhani marekani imechangia,huko hakuna maadili,lkn ndiko imani zilikotoka
MUNGU Atusaidie sana
Mwinjilisti Mungu akubariki sema yote wala usibakize ili tupone baba, wanaochukia ni wapinga Kristo hao wageuke wakubali kutubu,
@benardmagazi7429
3 жыл бұрын
Sema baba,ili tupone
@ernestpetro2660
3 жыл бұрын
Hio yote sababu watu hawana tumaini,pia wanadamu,wanampenda Sana mungu muumba wa vyote isipokua hawajui pakukimbilia kwani makanisa Ni biashara si sehemu sahihi ya Imani za kiafrika kwakua hamna jinsi ndo maana watu wanakokotwa Mara pokea upako Mara binadamu anaponya vipofu laaa huo Ni ukwamo waakili
Hakika nina amini Yesu amekuacha kwaajili ya kizasi hiki
@christinamoshi5986
3 жыл бұрын
Nawezaje kupata nmba za baba Mosas Magembe
Liokoe kanisa la leo
B
Ameeen namba nitumie wasapu 0679598210
Ubarikiwe Mchungaji kwa kusema iliyo kweli, Nina swal, ni halal mwanamk kujipamb kwa mapamb ya kidunia? Mfano! Rast, mekap, uwanja n.k.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ety vergabond
@rosemwala9654
Жыл бұрын
Hata wakati wa Nuhu walikuwepo waliocheka Kama wewe, hujaanza wewe, kucheka, cheka tu siku za kusaga meno zinakuja mbio.
Kusema wajinga ni sawa kabisa kama hawana maarifa wasiambiwe ukweli?
Big up mchungaji, lakini una hasira saaana, na hasira Ni mbaya,Tena unatukana wachungaji kuwa wajinga na kadhalika hi inakaaje happy Ni sawa?
@yahayatuly627
3 жыл бұрын
Ujinga sio tusi Mtu wa Mungu
@yahayatuly627
3 жыл бұрын
Pia kuna hasira ya kimungu na ya kibinaadam Ya kibinaadam ndiyo dhambi ya kimungu ni huduma kama kama vile Paulo anavyo mwambia Thimoseo akaripie na kuonya Hiyo ni karama ya uinjilisti uwa inakua hivyo kwenye dhambi.
@edwinmbwilo6128
3 жыл бұрын
Wivu wa BWANA unanila ni maneno ya Yesu alipo zipindua meza za wabadili fedha hekaluni
@sarhkimboi9085
3 жыл бұрын
Ujinga c tuc Bali ni Hali ya kutokuelewa kitu, Na nilazima akalipie
Mtumish ubarikiwe kwa kuhubiri injili
Ameni,amen, Gamaliel wangu.
@janetybubegwa5272
2 жыл бұрын
ASANTE SANA mtumishi wa MUNGU UTUKUFU apewe MUNGU....INJILI isiyoghoshiwa
Mbalikiwe Saana Baba