Askofu Moses Kulola Asimulia Historia ya Maisha yake Alivyo Itwa na MUNGU
Жүктеу.....
Пікірлер: 64
@leondaspatrick Жыл бұрын
Amebarikiwa mtu anayetumika kwa kuitwa na Mungu mwenyewe si kwa kujiita ili update masilahi, Ubarikiwa mzee wetu,
@asiflazaro37733 жыл бұрын
Waw!Ninafurahia kusikia tena injili ya Baba yetu aliyepigwa chapa halisi ya Yesu Kristo siku zote za utumishi wake mpaka mauti ilipomkuta, japo tumemmisi kimwiili lakini moyoni bado tuko nae na tutaendelea kuisikia sauti yake. Amen.
@rehemakaijage13642 жыл бұрын
Asante Mungu kwa utumishi wa Mch Moses Kulola
@ppsspcrh3 жыл бұрын
Mungu akupumzishe kwa amani, kazi zako zifwatane nawe, pokea tuzo la imani yako...
@@jakelema6325 nabii Hebron si nabii wa kweli alidanganya kuwa alienda kuzimu kumfanyia toba Michael Jacson jambo ambalo haliwezekani kibiblia mtu aongozwe sala ya toba kuzimu.
@jakelema6325
2 жыл бұрын
@@ngwanafabian4612 Neema zake MUNGU anazijua MUNGU peke yake
@salomemgaya1244
2 жыл бұрын
Jamani mnasema mtoto wa kiroho wa huyu mtumishi ni nani vile ? Khaaa kwa herini .
@ndayihimbazejoel42412 жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🏁🏁
@zirhumanantakwinja8863 жыл бұрын
Barbi
@ijueimanikatoliki9803 жыл бұрын
KWA NINI ALIHAMA TAG NA KUHAMIA EAGT???
@favouredbygod4163
3 жыл бұрын
Nilidhani utasema alifanya dhambi,kumbe kuhama tu, hakuna dhambi ya kuhama hata wewe ukifuatilia utakuta ni mhamiaji kutoka mahali fulani hata Ibrahimu aliambiwa atoke katika nchi yake ya asili, Yusufu alihamishiwa Misri ili awaletee watu wa MUNGU wokovu. TAG wametoka Lutheran, nao walitoka Kadholiki.Tuache udini hautusaidii chochote
@cosmaswilliam3592
2 жыл бұрын
Sikiliza injili ya kristo iliyo hai
@sylvestermalisha5292
2 жыл бұрын
Illogical question
@saimonijonas1471
2 жыл бұрын
Sababu yakutoka T.A.G.Askofu wake alimkataza asitimize agizo la Mungu alilopewa juu yakuwahubiria watu ambao walimkataa Askofu huyo yeye akaambiwa aende kuwahubiria habari njema.Alipomuaga Askofu wake,Askofu wake akasema hakuna kwenda kwasabau watu hao unaataka kwenda kuwahubiria walinifukuza mimi,hivyo nawewe ukienda kuwahudumia nitakufukuza nakukunyang'anya nafasi yauongozi uliyo nayo.Moses akaona nivena amkosee mwanadamu kuliko kumkosea Mungu.Hapo ndosababu yakuondoka T.A.G.Nakuanzisha kanisa la E.A.G.T.Akiwa na mchungaji Mwaisabila.Ambae kwasasa ndiye Askofu Mkuu wa E.A.G.T.Hiyo nikwaufupi.
@ngwanafabian4612
2 жыл бұрын
@@saimonijonas1471 na Brown Mwakipesile ni nani EAGT?
Пікірлер: 64
Amebarikiwa mtu anayetumika kwa kuitwa na Mungu mwenyewe si kwa kujiita ili update masilahi, Ubarikiwa mzee wetu,
Waw!Ninafurahia kusikia tena injili ya Baba yetu aliyepigwa chapa halisi ya Yesu Kristo siku zote za utumishi wake mpaka mauti ilipomkuta, japo tumemmisi kimwiili lakini moyoni bado tuko nae na tutaendelea kuisikia sauti yake. Amen.
Asante Mungu kwa utumishi wa Mch Moses Kulola
Mungu akupumzishe kwa amani, kazi zako zifwatane nawe, pokea tuzo la imani yako...
@neymermponde7810
3 жыл бұрын
Amen hakika baba huyu anaimani
M’oses Kulola. ! Moses Kulola Unabi wa Kueli Amen Amen Amen Shalom
Asante Yesu unatupenda sana tutakase. Kwa damu yake
Tunakukumbuka mteule wa mungu basi yesu atuwezeshe nasi
Mahubiri mazuri! Nadhani mngeweka picha ya still ya mtumishi ingekuwa, vizuri. Au picha still zaidi ya moja zinapita nk.
Amina Mungu hakika alijidhihirisha kwa mtumishi wake kwa injili ya kweli kabisa
Rest in peace mtumishi wa Mungu
Rest in peace man of God your teachings are still helping me...
@fredsonkikoko579
Жыл бұрын
Najua umepumzka baada ya kazi ngumu,,amen
wahubili wa leo Tanzania hwasemi historian ya maisha yao ya inji
Tutakukumbuka mzee wetu
Ahhh Moses Kulola Moses Kulola Ah Yesu Muami ? Umu pokee Mutumichi Wako Uyu ni Unabi wa Kueli Rip Alafu mi na kulia Muzee Wetu M’oses ! Amen
Amen Amen 🙏 🙌 👏 ❤️
Amen Mtumishi wa MUNGU nimebarikiwa Sana
Baba Wa Imani Tanzania Moses Kulola Amen
Imani umeilinda Sasa kazi imebaki kwetu tulio hai
Ameni
....great..person..never..die..🙏🙏🙏
Thank u JESUS
To God be the groly
Mungu ni mkuu sanaa, i wish
@salvashaban9194
3 жыл бұрын
🙏
Aminaaaa
Imani umeilinda kwa uaminifu baba na mwendo umemaliza enjoy taji ya ushindi inakuhusu tena ni haki yako. Baada yadhiki ni faraja
Haleluya MUNGU ni wa ajabu
Uongozi wa dhehebu hilo wawe. Wanatoa hivyohivyo sauti. Zamafundisho yake mtapata. Wakristo wengi pasipo kuonekana kwa mwili wahuyo mchungaji
Mungu amukumbukemutumish
Ameen
Mbona masemi haiambatani n'a muhuburi Ya mzee moses kulola
@mosesjohnswilla9926
Жыл бұрын
Ila suati mi yake kweli
Anaponda raha sana bado sisi sylas mbise tujiandae
God bls you Bishop, siulete crusend Kenya upeane hiyo msg pls
@edwardmwalukware9734
Жыл бұрын
He has since gone to be with the Lord. What we have here is a testimony of his works
God is good all the time
Namkumbuka mzee was injili hai
Amen
Imana yacu niyokwizera.nawe niwizera urabona kugiraneza kw'lmana
@tsg1136
3 жыл бұрын
lugha gani hiyo
@msafirichiwanga3689
2 жыл бұрын
@@tsg1136 kinyarwanda
AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Baba yetu
Pata pumzikko la amani
R I p
Mtoto wake wa kiroho ni nabii anaitwa Hebron
@apollobupolo9884
3 жыл бұрын
Unamaanisha mtoto Wa mosses
@jakelema6325
3 жыл бұрын
@@apollobupolo9884 ndio wa kiroho
@ngwanafabian4612
2 жыл бұрын
@@jakelema6325 nabii Hebron si nabii wa kweli alidanganya kuwa alienda kuzimu kumfanyia toba Michael Jacson jambo ambalo haliwezekani kibiblia mtu aongozwe sala ya toba kuzimu.
@jakelema6325
2 жыл бұрын
@@ngwanafabian4612 Neema zake MUNGU anazijua MUNGU peke yake
@salomemgaya1244
2 жыл бұрын
Jamani mnasema mtoto wa kiroho wa huyu mtumishi ni nani vile ? Khaaa kwa herini .
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🏁🏁
Barbi
KWA NINI ALIHAMA TAG NA KUHAMIA EAGT???
@favouredbygod4163
3 жыл бұрын
Nilidhani utasema alifanya dhambi,kumbe kuhama tu, hakuna dhambi ya kuhama hata wewe ukifuatilia utakuta ni mhamiaji kutoka mahali fulani hata Ibrahimu aliambiwa atoke katika nchi yake ya asili, Yusufu alihamishiwa Misri ili awaletee watu wa MUNGU wokovu. TAG wametoka Lutheran, nao walitoka Kadholiki.Tuache udini hautusaidii chochote
@cosmaswilliam3592
2 жыл бұрын
Sikiliza injili ya kristo iliyo hai
@sylvestermalisha5292
2 жыл бұрын
Illogical question
@saimonijonas1471
2 жыл бұрын
Sababu yakutoka T.A.G.Askofu wake alimkataza asitimize agizo la Mungu alilopewa juu yakuwahubiria watu ambao walimkataa Askofu huyo yeye akaambiwa aende kuwahubiria habari njema.Alipomuaga Askofu wake,Askofu wake akasema hakuna kwenda kwasabau watu hao unaataka kwenda kuwahubiria walinifukuza mimi,hivyo nawewe ukienda kuwahudumia nitakufukuza nakukunyang'anya nafasi yauongozi uliyo nayo.Moses akaona nivena amkosee mwanadamu kuliko kumkosea Mungu.Hapo ndosababu yakuondoka T.A.G.Nakuanzisha kanisa la E.A.G.T.Akiwa na mchungaji Mwaisabila.Ambae kwasasa ndiye Askofu Mkuu wa E.A.G.T.Hiyo nikwaufupi.
@ngwanafabian4612
2 жыл бұрын
@@saimonijonas1471 na Brown Mwakipesile ni nani EAGT?