Yes tuelewane tu waongo wamezidi Sana wanadanganya watu na kuwapeleka jehanamu MAANA kuabudu maji na udongo Ni kuacha kutubu dhambI na kuacha na kumufuata YESU na njia zake na yyndie anawapeleka watu mbinguni Sio udongo na maji
@marianyamasiaga872211 ай бұрын
Nauangalia huu ujumbe baada ya mwaka lakini bado ni mpya kama nini wakenya tukusanyikeni hapa
@annastaziangowi4036 Жыл бұрын
Mungu akubariki, Mtumishi wa Mungu Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi akuzidishie mno uendelee kulitemgeneza kanisa. Cha kunishangaza mtu anamwendea mwenyekuombea anakufa kwa kukanyaga mafuta, miliona Mtumishi wa Mungu jangwani wagonjwa wanabebwa kwa mahela kutoka mhimbili wananyanyuka wanaondoka ni wazima kwa Neno la Bwana. Jamani changamkeni tupokee ufahamu tuwe na ajili hizi ni siku za mwisho
@user-vs4xe6xz2g9 ай бұрын
Asante Baba Kwa neno Bwana Mungu akulinde tunu ya wokovu ktk kristo Yesu
@HarryMbale-ie1ex9 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
@user-fx8hb2fn7z10 ай бұрын
Haleluyababa
@deogratiustimoth40702 жыл бұрын
Naelewa sana Baba yangu Mch Magembe
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Ni kweli tunataka kupona TU Ila hatutaki kupona ROHO zetu yaani tuna dhambI nyingi Ila hatumutaki YESU NA WOKOVU WAKE NA MUNGU ANIHURUMIE MM MAANA TWATESEKA NA MAGONJWA NA MATATIZO MBALIMBALI NA jehanamu INATUSUBILI KWA MAANA dhambI twazin,Ang,Ani sana
@stephanokonki7899
Жыл бұрын
Ubarikiwe mno Baba.Tukumbuke sisi wa manyara.
@anethphilbert22910 ай бұрын
Ameni, ubarikiwe pastor..umenisaidia kujua miungu ambayo tulikuwa tunaabudu bila kujua..ubarkiwe saaaaana..
@bahatijohn1958 Жыл бұрын
Mungu turehemu watoto wako tumepotea
@haningtonkabuta93872 жыл бұрын
Asante sana baba mchungaji kwa NENO lenye uzima. Tunaifurahia huduma yako kwa kweli.
@beatricefilbert1171
2 жыл бұрын
Amen
@odethamlyuka2552
2 жыл бұрын
Sema Baba nakuelewa sana Baba Mungu akutunze
@odethamlyuka2552
2 жыл бұрын
Amen
@odethamlyuka2552
2 жыл бұрын
Haleluyaaaaa Amen
@fikiri5530 Жыл бұрын
Mchungaji, kwakweli nakuelewa sana katika mahubiri yako.
@CanisiusJohnKayombo-ch6fw Жыл бұрын
Wasipookoka kwelikweli watazidi kwenda tu. Watu wengi pamoja na kuokoka sheria ya Bwana haimo ndani yao(Yeremia 31:31-33). Kingine, hata kama wanajiita wameokoka bado wamefungwa na madhabahu ya miungu ya shetani (Waamuzi 32:1...).
@alexanderkapinga700 Жыл бұрын
Daaaaaa eti utafikiri panya kwenye Kihenge cha mahindi. Nimecheka kweli.
@gemamwakyusa61002 жыл бұрын
Amen amen amen
@patrickpastory62162 жыл бұрын
Amen barikiwa Mtumishi wa Mungu
@EmmanuelLuwanja-sb9wj11 ай бұрын
Mungu akutunze Baba barikiwa sana
@tygadaclassic34882 жыл бұрын
Kavu kavu bila ganzi
@elinemakundi5011 Жыл бұрын
Tungepata wachungaji kumi kila mkoa nchi hii ingepona shetani na wajumbe wake wangekiona cha moto, endelea kututoa kwenye matango pori 🙏
@estermadahs7947
Жыл бұрын
Haleluyaaaaaa
@estermadahs7947
Жыл бұрын
Ameee
@estermadahs7947
Жыл бұрын
Ameren kubwAa
@geitandelwa299 Жыл бұрын
Eeee hapa tumeelewana wa kuabudiwa Ni MUNGU wa mbingu na NCHI TU na so vinginevyo maji majivu maudongo na maleso havina MAANA wa kuangalia na kuabudiwa Ni YESU NA SI VINGINEVYO TUNAJAA MAKANISANI ILA MUNGU WA KWELI HATUMUJUI WALA HATUJUI KUWA YESU ANATENFDA KAZI HADI SS
@abrahammolla8188 Жыл бұрын
Madini.mungu akubariki pastor
@abrahammwasula20272 жыл бұрын
Powerful message Mchungaji
@NoelSirboat-sy3cr Жыл бұрын
Huyu Mzee nampenda jamani..
@williammwawalo53952 жыл бұрын
Amina sana nimepokea roho mtakatifu
@mamakendrick75382 жыл бұрын
😄mchungaji unatuchana live
@violetsangamysongs1815
Жыл бұрын
Hiyo nzuri sn
@hainesserasto38662 жыл бұрын
Mungu akubariki Kwa KAZI nzuri
@tygadaclassic34882 жыл бұрын
Mungu awabariki sana #NY TV
@isakasyembe29562 жыл бұрын
Asante Sana Baba Mungu akubariki Sana huduma yako Ni njema Mungu akujarize jinsi apendavyo
Пікірлер: 48
Yes tuelewane tu waongo wamezidi Sana wanadanganya watu na kuwapeleka jehanamu MAANA kuabudu maji na udongo Ni kuacha kutubu dhambI na kuacha na kumufuata YESU na njia zake na yyndie anawapeleka watu mbinguni Sio udongo na maji
Nauangalia huu ujumbe baada ya mwaka lakini bado ni mpya kama nini wakenya tukusanyikeni hapa
Mungu akubariki, Mtumishi wa Mungu Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi akuzidishie mno uendelee kulitemgeneza kanisa. Cha kunishangaza mtu anamwendea mwenyekuombea anakufa kwa kukanyaga mafuta, miliona Mtumishi wa Mungu jangwani wagonjwa wanabebwa kwa mahela kutoka mhimbili wananyanyuka wanaondoka ni wazima kwa Neno la Bwana. Jamani changamkeni tupokee ufahamu tuwe na ajili hizi ni siku za mwisho
Asante Baba Kwa neno Bwana Mungu akulinde tunu ya wokovu ktk kristo Yesu
AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏
Haleluyababa
Naelewa sana Baba yangu Mch Magembe
Ni kweli tunataka kupona TU Ila hatutaki kupona ROHO zetu yaani tuna dhambI nyingi Ila hatumutaki YESU NA WOKOVU WAKE NA MUNGU ANIHURUMIE MM MAANA TWATESEKA NA MAGONJWA NA MATATIZO MBALIMBALI NA jehanamu INATUSUBILI KWA MAANA dhambI twazin,Ang,Ani sana
@stephanokonki7899
Жыл бұрын
Ubarikiwe mno Baba.Tukumbuke sisi wa manyara.
Ameni, ubarikiwe pastor..umenisaidia kujua miungu ambayo tulikuwa tunaabudu bila kujua..ubarkiwe saaaaana..
Mungu turehemu watoto wako tumepotea
Asante sana baba mchungaji kwa NENO lenye uzima. Tunaifurahia huduma yako kwa kweli.
@beatricefilbert1171
2 жыл бұрын
Amen
@odethamlyuka2552
2 жыл бұрын
Sema Baba nakuelewa sana Baba Mungu akutunze
@odethamlyuka2552
2 жыл бұрын
Amen
@odethamlyuka2552
2 жыл бұрын
Haleluyaaaaa Amen
Mchungaji, kwakweli nakuelewa sana katika mahubiri yako.
Wasipookoka kwelikweli watazidi kwenda tu. Watu wengi pamoja na kuokoka sheria ya Bwana haimo ndani yao(Yeremia 31:31-33). Kingine, hata kama wanajiita wameokoka bado wamefungwa na madhabahu ya miungu ya shetani (Waamuzi 32:1...).
Daaaaaa eti utafikiri panya kwenye Kihenge cha mahindi. Nimecheka kweli.
Amen amen amen
Amen barikiwa Mtumishi wa Mungu
Mungu akutunze Baba barikiwa sana
Kavu kavu bila ganzi
Tungepata wachungaji kumi kila mkoa nchi hii ingepona shetani na wajumbe wake wangekiona cha moto, endelea kututoa kwenye matango pori 🙏
@estermadahs7947
Жыл бұрын
Haleluyaaaaaa
@estermadahs7947
Жыл бұрын
Ameee
@estermadahs7947
Жыл бұрын
Ameren kubwAa
Eeee hapa tumeelewana wa kuabudiwa Ni MUNGU wa mbingu na NCHI TU na so vinginevyo maji majivu maudongo na maleso havina MAANA wa kuangalia na kuabudiwa Ni YESU NA SI VINGINEVYO TUNAJAA MAKANISANI ILA MUNGU WA KWELI HATUMUJUI WALA HATUJUI KUWA YESU ANATENFDA KAZI HADI SS
Madini.mungu akubariki pastor
Powerful message Mchungaji
Huyu Mzee nampenda jamani..
Amina sana nimepokea roho mtakatifu
😄mchungaji unatuchana live
@violetsangamysongs1815
Жыл бұрын
Hiyo nzuri sn
Mungu akubariki Kwa KAZI nzuri
Mungu awabariki sana #NY TV
Asante Sana Baba Mungu akubariki Sana huduma yako Ni njema Mungu akujarize jinsi apendavyo
@wanyemabyaombe4151
2 жыл бұрын
😇😇😇😇😇😇🌏
@josephinalyati7923
2 жыл бұрын
Baba na barikiwa Sana na mahubiri yako
Endelea baba
Ameen
100
Amen 🙏
Amen
@emmanuelmgovano6186
Жыл бұрын
Asante YESU
Kanisa hili likowap
🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🌎
Amen