KUMJUA MUNGU WA KWELI-MCH.MOSES MAGEMBE

Kumjua Mungu wa kweli-Mchungaji Moses Magembe

Пікірлер: 48

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Yes tuelewane tu waongo wamezidi Sana wanadanganya watu na kuwapeleka jehanamu MAANA kuabudu maji na udongo Ni kuacha kutubu dhambI na kuacha na kumufuata YESU na njia zake na yyndie anawapeleka watu mbinguni Sio udongo na maji

  • @marianyamasiaga8722
    @marianyamasiaga872211 ай бұрын

    Nauangalia huu ujumbe baada ya mwaka lakini bado ni mpya kama nini wakenya tukusanyikeni hapa

  • @annastaziangowi4036
    @annastaziangowi4036 Жыл бұрын

    Mungu akubariki, Mtumishi wa Mungu Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi akuzidishie mno uendelee kulitemgeneza kanisa. Cha kunishangaza mtu anamwendea mwenyekuombea anakufa kwa kukanyaga mafuta, miliona Mtumishi wa Mungu jangwani wagonjwa wanabebwa kwa mahela kutoka mhimbili wananyanyuka wanaondoka ni wazima kwa Neno la Bwana. Jamani changamkeni tupokee ufahamu tuwe na ajili hizi ni siku za mwisho

  • @user-vs4xe6xz2g
    @user-vs4xe6xz2g9 ай бұрын

    Asante Baba Kwa neno Bwana Mungu akulinde tunu ya wokovu ktk kristo Yesu

  • @HarryMbale-ie1ex
    @HarryMbale-ie1ex9 ай бұрын

    AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏

  • @user-fx8hb2fn7z
    @user-fx8hb2fn7z10 ай бұрын

    Haleluyababa

  • @deogratiustimoth4070
    @deogratiustimoth40702 жыл бұрын

    Naelewa sana Baba yangu Mch Magembe

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Ni kweli tunataka kupona TU Ila hatutaki kupona ROHO zetu yaani tuna dhambI nyingi Ila hatumutaki YESU NA WOKOVU WAKE NA MUNGU ANIHURUMIE MM MAANA TWATESEKA NA MAGONJWA NA MATATIZO MBALIMBALI NA jehanamu INATUSUBILI KWA MAANA dhambI twazin,Ang,Ani sana

  • @stephanokonki7899

    @stephanokonki7899

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe mno Baba.Tukumbuke sisi wa manyara.

  • @anethphilbert229
    @anethphilbert22910 ай бұрын

    Ameni, ubarikiwe pastor..umenisaidia kujua miungu ambayo tulikuwa tunaabudu bila kujua..ubarkiwe saaaaana..

  • @bahatijohn1958
    @bahatijohn1958 Жыл бұрын

    Mungu turehemu watoto wako tumepotea

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta93872 жыл бұрын

    Asante sana baba mchungaji kwa NENO lenye uzima. Tunaifurahia huduma yako kwa kweli.

  • @beatricefilbert1171

    @beatricefilbert1171

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @odethamlyuka2552

    @odethamlyuka2552

    2 жыл бұрын

    Sema Baba nakuelewa sana Baba Mungu akutunze

  • @odethamlyuka2552

    @odethamlyuka2552

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @odethamlyuka2552

    @odethamlyuka2552

    2 жыл бұрын

    Haleluyaaaaa Amen

  • @fikiri5530
    @fikiri5530 Жыл бұрын

    Mchungaji, kwakweli nakuelewa sana katika mahubiri yako.

  • @CanisiusJohnKayombo-ch6fw
    @CanisiusJohnKayombo-ch6fw Жыл бұрын

    Wasipookoka kwelikweli watazidi kwenda tu. Watu wengi pamoja na kuokoka sheria ya Bwana haimo ndani yao(Yeremia 31:31-33). Kingine, hata kama wanajiita wameokoka bado wamefungwa na madhabahu ya miungu ya shetani (Waamuzi 32:1...).

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 Жыл бұрын

    Daaaaaa eti utafikiri panya kwenye Kihenge cha mahindi. Nimecheka kweli.

  • @gemamwakyusa6100
    @gemamwakyusa61002 жыл бұрын

    Amen amen amen

  • @patrickpastory6216
    @patrickpastory62162 жыл бұрын

    Amen barikiwa Mtumishi wa Mungu

  • @EmmanuelLuwanja-sb9wj
    @EmmanuelLuwanja-sb9wj11 ай бұрын

    Mungu akutunze Baba barikiwa sana

  • @tygadaclassic3488
    @tygadaclassic34882 жыл бұрын

    Kavu kavu bila ganzi

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi5011 Жыл бұрын

    Tungepata wachungaji kumi kila mkoa nchi hii ingepona shetani na wajumbe wake wangekiona cha moto, endelea kututoa kwenye matango pori 🙏

  • @estermadahs7947

    @estermadahs7947

    Жыл бұрын

    Haleluyaaaaaa

  • @estermadahs7947

    @estermadahs7947

    Жыл бұрын

    Ameee

  • @estermadahs7947

    @estermadahs7947

    Жыл бұрын

    Ameren kubwAa

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Жыл бұрын

    Eeee hapa tumeelewana wa kuabudiwa Ni MUNGU wa mbingu na NCHI TU na so vinginevyo maji majivu maudongo na maleso havina MAANA wa kuangalia na kuabudiwa Ni YESU NA SI VINGINEVYO TUNAJAA MAKANISANI ILA MUNGU WA KWELI HATUMUJUI WALA HATUJUI KUWA YESU ANATENFDA KAZI HADI SS

  • @abrahammolla8188
    @abrahammolla8188 Жыл бұрын

    Madini.mungu akubariki pastor

  • @abrahammwasula2027
    @abrahammwasula20272 жыл бұрын

    Powerful message Mchungaji

  • @NoelSirboat-sy3cr
    @NoelSirboat-sy3cr Жыл бұрын

    Huyu Mzee nampenda jamani..

  • @williammwawalo5395
    @williammwawalo53952 жыл бұрын

    Amina sana nimepokea roho mtakatifu

  • @mamakendrick7538
    @mamakendrick75382 жыл бұрын

    😄mchungaji unatuchana live

  • @violetsangamysongs1815

    @violetsangamysongs1815

    Жыл бұрын

    Hiyo nzuri sn

  • @hainesserasto3866
    @hainesserasto38662 жыл бұрын

    Mungu akubariki Kwa KAZI nzuri

  • @tygadaclassic3488
    @tygadaclassic34882 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana #NY TV

  • @isakasyembe2956
    @isakasyembe29562 жыл бұрын

    Asante Sana Baba Mungu akubariki Sana huduma yako Ni njema Mungu akujarize jinsi apendavyo

  • @wanyemabyaombe4151

    @wanyemabyaombe4151

    2 жыл бұрын

    😇😇😇😇😇😇🌏

  • @josephinalyati7923

    @josephinalyati7923

    2 жыл бұрын

    Baba na barikiwa Sana na mahubiri yako

  • @boscomutembei2651
    @boscomutembei2651 Жыл бұрын

    Endelea baba

  • @joycemtitu5099
    @joycemtitu5099 Жыл бұрын

    Ameen

  • @lydianganga7693
    @lydianganga7693 Жыл бұрын

    100

  • @faithmwango5554
    @faithmwango5554 Жыл бұрын

    Amen 🙏

  • @sarahshani6513
    @sarahshani65132 жыл бұрын

    Amen

  • @emmanuelmgovano6186

    @emmanuelmgovano6186

    Жыл бұрын

    Asante YESU

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Жыл бұрын

    Kanisa hili likowap

  • @wanyemabyaombe4151
    @wanyemabyaombe41512 жыл бұрын

    🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🤑🌎

  • @sidimasha6626
    @sidimasha6626 Жыл бұрын

    Amen