NAMNA YA KUONDOA MADHABAHU ZINAZOTESA MAISHA SEHEMU YA 1
Жүктеу.....
Пікірлер: 90
@patrickmagaiwa8 Жыл бұрын
Pst Mmbaga mara ni muda sasa nafuatilia clips zako nimekiri na nimekubali kubatizwa nipo MOROGORO Mungu akutunze uishi miaka mingi ili uendelee kuongoa roho za watu.Amen!!!
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen! Tafuta kanisa letu hapo ujitambulishe
@deviselisaria5488
Жыл бұрын
ukitaka kuongea na mtumish
@betinawakili
2 ай бұрын
2021
@user-hy9hh1zg4y
2 ай бұрын
Pastor anaeleweka sana
@alicenyakawa2449 Жыл бұрын
Thank you pastor for the encouragement against evil powers God is doing miracles for His children
@mrsdeborahurio Жыл бұрын
Katika vizazi vyote Bwana hujiinulia watu Kwa ajili yake mwenyewe; Tumika Kwa wakati wako, Pr. David!
@raelsarange638 Жыл бұрын
Thanks pastor, you have helped me seriously God bless you abundantly
@NyamariFaith-qu1jm7 ай бұрын
Thanks for powerful sermon pastor am watching from gulf may God bless u for more $me also to break all evil spirit in Jesus name 🙏
@MahubiriPrMmbaga
7 ай бұрын
Amen
@strongmummy580 Жыл бұрын
Ihv realized my weakness, thank you pastor, God forgive me, give me strength to serve you my almighty
@joshuamziray4941
Жыл бұрын
⁰
@wiza2309 Жыл бұрын
Aante Baba Mchungaji, siku hizi wachawi wako wazi makanisani 😱 Mungu aturehemu kwa pend lake, nami naomba Mungu anisaidie oote nitakapopanyaga nijenge madhabahu
@florencenekesa8243 Жыл бұрын
Amen amen mchungaji, barikiwa sana Kwa mafunzo yako ,Kwa hakika Mungu anakutumia ili tuone Nuru na kufunguliwa🙏🙏🙏
@jaredmayaka2993 Жыл бұрын
The truth pastor aki I my self I was looking for help for many years and I go into wrong hands for many years and I have be no peace until I meet this channel God bless you pastor because you saw has the method to go out
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@joycelubamba8012 Жыл бұрын
Amen pastor nabarikiwa na somo lako
@mariamwalongo10 ай бұрын
Mchungaji kwakweli inatakiwakuomba maombi yakuwa naujasili kunasiku niliingia kwenye mfungo sasa nikiwakwenyemaombi yausiku kunakitu kilianguka pembeni mwaukuta wanyumba kwaupande wanje nilifunguamacho mwiliwote unasisimka uso unasisimka hataliii nikaanzakukemea kwanguvu yaani baadaesana nikapatakuomba kwaujasili kweli tokahapo Namshukulu Mungusana kwamafundishoyako mazuli kwakweli naombakila anaesikia mahubili haya kwakweli Neno huja kwakusikia nakuutendea kazi ujumbe huu muhim utakufaa sana muumini nayeyote anaeusikia🎉🎉❤
@Joycependopendo-dv2tb8 ай бұрын
Amen pastor nimejifunza kitu kwenye hili somo mungu akubariki
@marcellahmariga5453 Жыл бұрын
Thanks pastor. May God continue to use you in his vineyard.
@maxweloluoch1016 Жыл бұрын
Bwana asifiwe, nashkuru kwa mawaitha ya leo na mungu akubariki sana ,naona nimefunguliwa kwa jina la yesu
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@laurrinejira6058 Жыл бұрын
Hili somo lalenga maisha yangu kabisa coz nilinunua ardhi nikaadza msingi na nikakwama since 2018 hadi leo.
@ellenswale9531 Жыл бұрын
Ameen. Ahsante kwa somo zuri. Nimebarikiwa na ninaendelea kufuatilia mafundisho yako yote. Barikiwa Pr.
@wisdomsengele6897Ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@margaretwanjiru9096 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sana pastor.....be blessed 🙌
@carolinemwugusi8945 Жыл бұрын
Amen fundisho nzuri sana nashukuru Mungu jinsi anavyokutumia unatuelimisha na tunakuwa huru katika jina la Yesu Kristo barikiwa sana Pastor
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@user-sr3rn1ty9g
2 ай бұрын
Amen
@PendoOscar9 ай бұрын
Hayo mambo ya mizim yanawatesa watu wengi sana mchungaj asante sana kwa kutupatia ujasili
@user-wy6cs8kj4yАй бұрын
Nakuelewa vizuri sana
@hellenratemo2813 Жыл бұрын
Amen amen am soo blessed nice courageous and powerful message God bless you pastor
@leahwainaina43967 ай бұрын
Amen
@dianalee1811 Жыл бұрын
Barikiwa pastor from kenya working in Saudi Arabia
@rossarutasha9391 Жыл бұрын
Ninabarikiwa na somo lenye mibaraka mchungaji 🙏❤️
@kalebmakundi822
Жыл бұрын
Abarikiwa leo
@obedimunguachiza8434 Жыл бұрын
Ubarikiwe pastor.
@josephineowire1846 Жыл бұрын
Mafunzo bora zaidi....be blessed servant of God...lakini nimecheka kwa "Wangapi hawaelewi"
@simonrabson2425 Жыл бұрын
asante kwa somo zuri mchungaji tunaendelea kufatilia mahubiri yako
@kamenemulu8561 Жыл бұрын
Amen following from 🇰🇪
@zipporahnyanchoka4291 Жыл бұрын
Amen🙏 nimejifunza mengi sana kwa mafunzo yko barikiwa sana
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@magaliesalal60546 ай бұрын
Mwalimu nimepata kitu, mda mwingi nilikuwa nakufuata ila kuna mda niliona kama kuchoka ivi,lakini tena nimejisikia nguvu mpia za kukufuata na kusoma biblia, naomba pia msahada wako wa maombi and aendelee kunimili Mungu.
@hopemachocho1037 Жыл бұрын
Asante mchungaji. Umenifungua macho
@saighilunyangusi4986 Жыл бұрын
Ainuliwe juu Bwana wetu Yesu Kristo
@kissanselu8569
Жыл бұрын
Amen pr David
@amonayeduma5654 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mch mbaga,mungu anakutumia kutuweka huru
@everkivuyo8596 Жыл бұрын
Mungu akuinue n kukubariki mt mbaga
@eustina837 Жыл бұрын
Aminaaa Mungu akumbuke watu wake maana hata mm naona hayo
@mariumisaka7658 Жыл бұрын
Amina mchungaji
@naturelle10976 ай бұрын
Thank you Lord❤
@bukuruphilibert29686 ай бұрын
Mimi ni mpentecoste halisi lakini wew ni mwl wangu
@bukuruphilibert29686 ай бұрын
2024 bado nakusikiliza
@mariamaswani8326 ай бұрын
Somo hili linanihusu pastor nimebatizwa lakini nashindwa hata kuomba naomba unisaidie
@marthakadele7724 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana mchungaji namafundisho
@alfaheduwad8537 Жыл бұрын
Mung awabariki nmejifunz kitu kuhusu madhabahu hili Somo limenibariki sana
@hassanhussein6161 Жыл бұрын
amen
@janengaga2928 Жыл бұрын
Barikiwa pastor
@MN-hi8ll Жыл бұрын
Amina
@faithfullymwalongo4667
Жыл бұрын
Naelewa sasa
@bettygesare5948 Жыл бұрын
God continue to bless you
@joycekemunto7862 Жыл бұрын
Amen Amen
@jaredmayaka2993 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏 nimebarikiwa
@asooraaasooraa4816 Жыл бұрын
Amina barikiwa
@amnamax8676 Жыл бұрын
Amina,somo lako lanijenga sana,wakati niko chini nainuka tena,ila mamangu mzazi amekua wa madeni hadi natamani kaa baba angelikua angelizuia haya yote,imefika mahali tumuona amekua burden kwa familia na akiulizwa aongei pesa yuafanyia nn yuanza kulia na kusema apangiwe vitu zake aende na wa 50 sasa.please ur prayers is needed to our family,imefika mahali hata mawasiliano na yye,in short nimechoka mambo yke
@shimwekagwiza1099
Жыл бұрын
MUNGU akusimamie na akuonyeshe njia
@zeliageorge3311 Жыл бұрын
Mungu atuhurumie sisi waja wake.
@mariamaswani832 Жыл бұрын
Pastor nina shida kama hilo somo nifanye nn nimemkubali yesu lkn bado matatizo yananiandama roho nisizo zielewa wakati mwingine nashindwa kufanya huduma ya mungu
@aishasabubakari2642 Жыл бұрын
Barikiwa
@gracezunda8804 Жыл бұрын
Ameeeen
@safidaclifford9222 Жыл бұрын
Bwana akubariki mchungaji
@paulsonmaritim4854 Жыл бұрын
Nami naitaji mungu
@elifurahaelifuraha7387 Жыл бұрын
Ooh my God you are talking with me
@fredykatabei5516 Жыл бұрын
Swali lingine kuhusu nuhu na safina inamaaana pastor watu waliumbwa wengine maana si kila mtu alikufa kasolo walio ingia kwenye safina
@yohanaanthony3422 Жыл бұрын
Adam ni mtu si binadamu. Bin-Adam ni wazawa.
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️.
@barackmaduhu660 Жыл бұрын
Pastor Mungu akubariki ila mimi
@joyeuseiradukunda5584 Жыл бұрын
jambo paster unatubariki saana.
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@jeanneriziki638
Жыл бұрын
Eeh MUNGU unisaidiye uvunje madhahabu ambyo yanfunga maisha yangu
@irenekerubo5134 Жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji. Nina swali, je ni lazima kutoa sadaka ili uvunje madhabau haya??
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Zaburi 51:17 Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika; Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaudharau.
@everkivuyo8596 Жыл бұрын
n kweli mtumishi lkn kuangusha madhabahu lazm asimame n sadaka ya fedha au vitu na maombi ...ukiomba bila kuomba na sadaka hayaondoki
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
SIKILIZA TENA KWA MAKINI. SIDHANI KUNA ULAZIMA WA SADAKA,SADAKA YA DAMU YA YESU INATOSHA. ILA KAMA UKISUKUMWA MOYONI KUTOA SADAKA KWA KUPENDA FANYA HIVYO
@hellenwaswa2222
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga bwana yesu asifiwe mjungaji naomba number ya Whatsapp ili ni bate msaada tafadhali
@fredykatabei5516 Жыл бұрын
Nilikupigia juzi huku pokea nilitaka kuuliza hivi Mwanzoni mwa biblia tulisoma kwamba adam na eva walimzaa cain na abel ..... Alaf cain akamuua abel alafu Mungu akamwambia roho ya mdogo wako inakulilia alafu baadae cain akawa na wasiwasi alafu Mungu akamwambia kwamba nitakuwekea alama kwenye paji ya uso wako ili wale watu wasije wakakuua sasa pastor ndo mwanzo wa biblia wale watu walitoka wapi?
Пікірлер: 90
Pst Mmbaga mara ni muda sasa nafuatilia clips zako nimekiri na nimekubali kubatizwa nipo MOROGORO Mungu akutunze uishi miaka mingi ili uendelee kuongoa roho za watu.Amen!!!
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen! Tafuta kanisa letu hapo ujitambulishe
@deviselisaria5488
Жыл бұрын
ukitaka kuongea na mtumish
@betinawakili
2 ай бұрын
2021
@user-hy9hh1zg4y
2 ай бұрын
Pastor anaeleweka sana
Thank you pastor for the encouragement against evil powers God is doing miracles for His children
Katika vizazi vyote Bwana hujiinulia watu Kwa ajili yake mwenyewe; Tumika Kwa wakati wako, Pr. David!
Thanks pastor, you have helped me seriously God bless you abundantly
Thanks for powerful sermon pastor am watching from gulf may God bless u for more $me also to break all evil spirit in Jesus name 🙏
@MahubiriPrMmbaga
7 ай бұрын
Amen
Ihv realized my weakness, thank you pastor, God forgive me, give me strength to serve you my almighty
@joshuamziray4941
Жыл бұрын
⁰
Aante Baba Mchungaji, siku hizi wachawi wako wazi makanisani 😱 Mungu aturehemu kwa pend lake, nami naomba Mungu anisaidie oote nitakapopanyaga nijenge madhabahu
Amen amen mchungaji, barikiwa sana Kwa mafunzo yako ,Kwa hakika Mungu anakutumia ili tuone Nuru na kufunguliwa🙏🙏🙏
The truth pastor aki I my self I was looking for help for many years and I go into wrong hands for many years and I have be no peace until I meet this channel God bless you pastor because you saw has the method to go out
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
Amen pastor nabarikiwa na somo lako
Mchungaji kwakweli inatakiwakuomba maombi yakuwa naujasili kunasiku niliingia kwenye mfungo sasa nikiwakwenyemaombi yausiku kunakitu kilianguka pembeni mwaukuta wanyumba kwaupande wanje nilifunguamacho mwiliwote unasisimka uso unasisimka hataliii nikaanzakukemea kwanguvu yaani baadaesana nikapatakuomba kwaujasili kweli tokahapo Namshukulu Mungusana kwamafundishoyako mazuli kwakweli naombakila anaesikia mahubili haya kwakweli Neno huja kwakusikia nakuutendea kazi ujumbe huu muhim utakufaa sana muumini nayeyote anaeusikia🎉🎉❤
Amen pastor nimejifunza kitu kwenye hili somo mungu akubariki
Thanks pastor. May God continue to use you in his vineyard.
Bwana asifiwe, nashkuru kwa mawaitha ya leo na mungu akubariki sana ,naona nimefunguliwa kwa jina la yesu
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
Hili somo lalenga maisha yangu kabisa coz nilinunua ardhi nikaadza msingi na nikakwama since 2018 hadi leo.
Ameen. Ahsante kwa somo zuri. Nimebarikiwa na ninaendelea kufuatilia mafundisho yako yote. Barikiwa Pr.
Barikiwa sana mtumishi
Nimebarikiwa sana pastor.....be blessed 🙌
Amen fundisho nzuri sana nashukuru Mungu jinsi anavyokutumia unatuelimisha na tunakuwa huru katika jina la Yesu Kristo barikiwa sana Pastor
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@user-sr3rn1ty9g
2 ай бұрын
Amen
Hayo mambo ya mizim yanawatesa watu wengi sana mchungaj asante sana kwa kutupatia ujasili
Nakuelewa vizuri sana
Amen amen am soo blessed nice courageous and powerful message God bless you pastor
Amen
Barikiwa pastor from kenya working in Saudi Arabia
Ninabarikiwa na somo lenye mibaraka mchungaji 🙏❤️
@kalebmakundi822
Жыл бұрын
Abarikiwa leo
Ubarikiwe pastor.
Mafunzo bora zaidi....be blessed servant of God...lakini nimecheka kwa "Wangapi hawaelewi"
asante kwa somo zuri mchungaji tunaendelea kufatilia mahubiri yako
Amen following from 🇰🇪
Amen🙏 nimejifunza mengi sana kwa mafunzo yko barikiwa sana
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
Mwalimu nimepata kitu, mda mwingi nilikuwa nakufuata ila kuna mda niliona kama kuchoka ivi,lakini tena nimejisikia nguvu mpia za kukufuata na kusoma biblia, naomba pia msahada wako wa maombi and aendelee kunimili Mungu.
Asante mchungaji. Umenifungua macho
Ainuliwe juu Bwana wetu Yesu Kristo
@kissanselu8569
Жыл бұрын
Amen pr David
Barikiwa sana Mch mbaga,mungu anakutumia kutuweka huru
Mungu akuinue n kukubariki mt mbaga
Aminaaa Mungu akumbuke watu wake maana hata mm naona hayo
Amina mchungaji
Thank you Lord❤
Mimi ni mpentecoste halisi lakini wew ni mwl wangu
2024 bado nakusikiliza
Somo hili linanihusu pastor nimebatizwa lakini nashindwa hata kuomba naomba unisaidie
Nabarikiwa sana mchungaji namafundisho
Mung awabariki nmejifunz kitu kuhusu madhabahu hili Somo limenibariki sana
amen
Barikiwa pastor
Amina
@faithfullymwalongo4667
Жыл бұрын
Naelewa sasa
God continue to bless you
Amen Amen
Amen 🙏🙏🙏🙏 nimebarikiwa
Amina barikiwa
Amina,somo lako lanijenga sana,wakati niko chini nainuka tena,ila mamangu mzazi amekua wa madeni hadi natamani kaa baba angelikua angelizuia haya yote,imefika mahali tumuona amekua burden kwa familia na akiulizwa aongei pesa yuafanyia nn yuanza kulia na kusema apangiwe vitu zake aende na wa 50 sasa.please ur prayers is needed to our family,imefika mahali hata mawasiliano na yye,in short nimechoka mambo yke
@shimwekagwiza1099
Жыл бұрын
MUNGU akusimamie na akuonyeshe njia
Mungu atuhurumie sisi waja wake.
Pastor nina shida kama hilo somo nifanye nn nimemkubali yesu lkn bado matatizo yananiandama roho nisizo zielewa wakati mwingine nashindwa kufanya huduma ya mungu
Barikiwa
Ameeeen
Bwana akubariki mchungaji
Nami naitaji mungu
Ooh my God you are talking with me
Swali lingine kuhusu nuhu na safina inamaaana pastor watu waliumbwa wengine maana si kila mtu alikufa kasolo walio ingia kwenye safina
Adam ni mtu si binadamu. Bin-Adam ni wazawa.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️.
Pastor Mungu akubariki ila mimi
jambo paster unatubariki saana.
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@jeanneriziki638
Жыл бұрын
Eeh MUNGU unisaidiye uvunje madhahabu ambyo yanfunga maisha yangu
Barikiwa sana mchungaji. Nina swali, je ni lazima kutoa sadaka ili uvunje madhabau haya??
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Zaburi 51:17 Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika; Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaudharau.
n kweli mtumishi lkn kuangusha madhabahu lazm asimame n sadaka ya fedha au vitu na maombi ...ukiomba bila kuomba na sadaka hayaondoki
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
SIKILIZA TENA KWA MAKINI. SIDHANI KUNA ULAZIMA WA SADAKA,SADAKA YA DAMU YA YESU INATOSHA. ILA KAMA UKISUKUMWA MOYONI KUTOA SADAKA KWA KUPENDA FANYA HIVYO
@hellenwaswa2222
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga bwana yesu asifiwe mjungaji naomba number ya Whatsapp ili ni bate msaada tafadhali
Nilikupigia juzi huku pokea nilitaka kuuliza hivi Mwanzoni mwa biblia tulisoma kwamba adam na eva walimzaa cain na abel ..... Alaf cain akamuua abel alafu Mungu akamwambia roho ya mdogo wako inakulilia alafu baadae cain akawa na wasiwasi alafu Mungu akamwambia kwamba nitakuwekea alama kwenye paji ya uso wako ili wale watu wasije wakakuua sasa pastor ndo mwanzo wa biblia wale watu walitoka wapi?
Amen
Amina mchungaji
Amen