NAMNA YA KUONDOA MADHABAHU ZINAZOTESA MAISHA SEHEMU YA 1

Пікірлер: 90

  • @patrickmagaiwa8
    @patrickmagaiwa8 Жыл бұрын

    Pst Mmbaga mara ni muda sasa nafuatilia clips zako nimekiri na nimekubali kubatizwa nipo MOROGORO Mungu akutunze uishi miaka mingi ili uendelee kuongoa roho za watu.Amen!!!

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    Жыл бұрын

    Amen! Tafuta kanisa letu hapo ujitambulishe

  • @deviselisaria5488

    @deviselisaria5488

    Жыл бұрын

    ukitaka kuongea na mtumish

  • @betinawakili

    @betinawakili

    2 ай бұрын

    2021

  • @user-hy9hh1zg4y

    @user-hy9hh1zg4y

    2 ай бұрын

    Pastor anaeleweka sana

  • @alicenyakawa2449
    @alicenyakawa2449 Жыл бұрын

    Thank you pastor for the encouragement against evil powers God is doing miracles for His children

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio Жыл бұрын

    Katika vizazi vyote Bwana hujiinulia watu Kwa ajili yake mwenyewe; Tumika Kwa wakati wako, Pr. David!

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 Жыл бұрын

    Thanks pastor, you have helped me seriously God bless you abundantly

  • @NyamariFaith-qu1jm
    @NyamariFaith-qu1jm7 ай бұрын

    Thanks for powerful sermon pastor am watching from gulf may God bless u for more $me also to break all evil spirit in Jesus name 🙏

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    7 ай бұрын

    Amen

  • @strongmummy580
    @strongmummy580 Жыл бұрын

    Ihv realized my weakness, thank you pastor, God forgive me, give me strength to serve you my almighty

  • @joshuamziray4941

    @joshuamziray4941

    Жыл бұрын

  • @wiza2309
    @wiza2309 Жыл бұрын

    Aante Baba Mchungaji, siku hizi wachawi wako wazi makanisani 😱 Mungu aturehemu kwa pend lake, nami naomba Mungu anisaidie oote nitakapopanyaga nijenge madhabahu

  • @florencenekesa8243
    @florencenekesa8243 Жыл бұрын

    Amen amen mchungaji, barikiwa sana Kwa mafunzo yako ,Kwa hakika Mungu anakutumia ili tuone Nuru na kufunguliwa🙏🙏🙏

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 Жыл бұрын

    The truth pastor aki I my self I was looking for help for many years and I go into wrong hands for many years and I have be no peace until I meet this channel God bless you pastor because you saw has the method to go out

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    Жыл бұрын

    Amen

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    Жыл бұрын

    Amen

  • @joycelubamba8012
    @joycelubamba8012 Жыл бұрын

    Amen pastor nabarikiwa na somo lako

  • @mariamwalongo
    @mariamwalongo10 ай бұрын

    Mchungaji kwakweli inatakiwakuomba maombi yakuwa naujasili kunasiku niliingia kwenye mfungo sasa nikiwakwenyemaombi yausiku kunakitu kilianguka pembeni mwaukuta wanyumba kwaupande wanje nilifunguamacho mwiliwote unasisimka uso unasisimka hataliii nikaanzakukemea kwanguvu yaani baadaesana nikapatakuomba kwaujasili kweli tokahapo Namshukulu Mungusana kwamafundishoyako mazuli kwakweli naombakila anaesikia mahubili haya kwakweli Neno huja kwakusikia nakuutendea kazi ujumbe huu muhim utakufaa sana muumini nayeyote anaeusikia🎉🎉❤

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb8 ай бұрын

    Amen pastor nimejifunza kitu kwenye hili somo mungu akubariki

  • @marcellahmariga5453
    @marcellahmariga5453 Жыл бұрын

    Thanks pastor. May God continue to use you in his vineyard.

  • @maxweloluoch1016
    @maxweloluoch1016 Жыл бұрын

    Bwana asifiwe, nashkuru kwa mawaitha ya leo na mungu akubariki sana ,naona nimefunguliwa kwa jina la yesu

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    Жыл бұрын

    Amen

  • @laurrinejira6058
    @laurrinejira6058 Жыл бұрын

    Hili somo lalenga maisha yangu kabisa coz nilinunua ardhi nikaadza msingi na nikakwama since 2018 hadi leo.

  • @ellenswale9531
    @ellenswale9531 Жыл бұрын

    Ameen. Ahsante kwa somo zuri. Nimebarikiwa na ninaendelea kufuatilia mafundisho yako yote. Barikiwa Pr.

  • @wisdomsengele6897
    @wisdomsengele6897Ай бұрын

    Barikiwa sana mtumishi

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana pastor.....be blessed 🙌

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Жыл бұрын

    Amen fundisho nzuri sana nashukuru Mungu jinsi anavyokutumia unatuelimisha na tunakuwa huru katika jina la Yesu Kristo barikiwa sana Pastor

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    Жыл бұрын

    Amen

  • @user-sr3rn1ty9g

    @user-sr3rn1ty9g

    2 ай бұрын

    Amen

  • @PendoOscar
    @PendoOscar9 ай бұрын

    Hayo mambo ya mizim yanawatesa watu wengi sana mchungaj asante sana kwa kutupatia ujasili

  • @user-wy6cs8kj4y
    @user-wy6cs8kj4yАй бұрын

    Nakuelewa vizuri sana

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 Жыл бұрын

    Amen amen am soo blessed nice courageous and powerful message God bless you pastor

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina43967 ай бұрын

    Amen

  • @dianalee1811
    @dianalee1811 Жыл бұрын

    Barikiwa pastor from kenya working in Saudi Arabia

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Жыл бұрын

    Ninabarikiwa na somo lenye mibaraka mchungaji 🙏❤️

  • @kalebmakundi822

    @kalebmakundi822

    Жыл бұрын

    Abarikiwa leo

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Жыл бұрын

    Ubarikiwe pastor.

  • @josephineowire1846
    @josephineowire1846 Жыл бұрын

    Mafunzo bora zaidi....be blessed servant of God...lakini nimecheka kwa "Wangapi hawaelewi"

  • @simonrabson2425
    @simonrabson2425 Жыл бұрын

    asante kwa somo zuri mchungaji tunaendelea kufatilia mahubiri yako

  • @kamenemulu8561
    @kamenemulu8561 Жыл бұрын

    Amen following from 🇰🇪

  • @zipporahnyanchoka4291
    @zipporahnyanchoka4291 Жыл бұрын

    Amen🙏 nimejifunza mengi sana kwa mafunzo yko barikiwa sana

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    Жыл бұрын

    Amen

  • @magaliesalal6054
    @magaliesalal60546 ай бұрын

    Mwalimu nimepata kitu, mda mwingi nilikuwa nakufuata ila kuna mda niliona kama kuchoka ivi,lakini tena nimejisikia nguvu mpia za kukufuata na kusoma biblia, naomba pia msahada wako wa maombi and aendelee kunimili Mungu.

  • @hopemachocho1037
    @hopemachocho1037 Жыл бұрын

    Asante mchungaji. Umenifungua macho

  • @saighilunyangusi4986
    @saighilunyangusi4986 Жыл бұрын

    Ainuliwe juu Bwana wetu Yesu Kristo

  • @kissanselu8569

    @kissanselu8569

    Жыл бұрын

    Amen pr David

  • @amonayeduma5654
    @amonayeduma5654 Жыл бұрын

    Barikiwa sana Mch mbaga,mungu anakutumia kutuweka huru

  • @everkivuyo8596
    @everkivuyo8596 Жыл бұрын

    Mungu akuinue n kukubariki mt mbaga

  • @eustina837
    @eustina837 Жыл бұрын

    Aminaaa Mungu akumbuke watu wake maana hata mm naona hayo

  • @mariumisaka7658
    @mariumisaka7658 Жыл бұрын

    Amina mchungaji

  • @naturelle1097
    @naturelle10976 ай бұрын

    Thank you Lord❤

  • @bukuruphilibert2968
    @bukuruphilibert29686 ай бұрын

    Mimi ni mpentecoste halisi lakini wew ni mwl wangu

  • @bukuruphilibert2968
    @bukuruphilibert29686 ай бұрын

    2024 bado nakusikiliza

  • @mariamaswani832
    @mariamaswani8326 ай бұрын

    Somo hili linanihusu pastor nimebatizwa lakini nashindwa hata kuomba naomba unisaidie

  • @marthakadele7724
    @marthakadele7724 Жыл бұрын

    Nabarikiwa sana mchungaji namafundisho

  • @alfaheduwad8537
    @alfaheduwad8537 Жыл бұрын

    Mung awabariki nmejifunz kitu kuhusu madhabahu hili Somo limenibariki sana

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 Жыл бұрын

    amen

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Жыл бұрын

    Barikiwa pastor

  • @MN-hi8ll
    @MN-hi8ll Жыл бұрын

    Amina

  • @faithfullymwalongo4667

    @faithfullymwalongo4667

    Жыл бұрын

    Naelewa sasa

  • @bettygesare5948
    @bettygesare5948 Жыл бұрын

    God continue to bless you

  • @joycekemunto7862
    @joycekemunto7862 Жыл бұрын

    Amen Amen

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏 nimebarikiwa

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 Жыл бұрын

    Amina barikiwa

  • @amnamax8676
    @amnamax8676 Жыл бұрын

    Amina,somo lako lanijenga sana,wakati niko chini nainuka tena,ila mamangu mzazi amekua wa madeni hadi natamani kaa baba angelikua angelizuia haya yote,imefika mahali tumuona amekua burden kwa familia na akiulizwa aongei pesa yuafanyia nn yuanza kulia na kusema apangiwe vitu zake aende na wa 50 sasa.please ur prayers is needed to our family,imefika mahali hata mawasiliano na yye,in short nimechoka mambo yke

  • @shimwekagwiza1099

    @shimwekagwiza1099

    Жыл бұрын

    MUNGU akusimamie na akuonyeshe njia

  • @zeliageorge3311
    @zeliageorge3311 Жыл бұрын

    Mungu atuhurumie sisi waja wake.

  • @mariamaswani832
    @mariamaswani832 Жыл бұрын

    Pastor nina shida kama hilo somo nifanye nn nimemkubali yesu lkn bado matatizo yananiandama roho nisizo zielewa wakati mwingine nashindwa kufanya huduma ya mungu

  • @aishasabubakari2642
    @aishasabubakari2642 Жыл бұрын

    Barikiwa

  • @gracezunda8804
    @gracezunda8804 Жыл бұрын

    Ameeeen

  • @safidaclifford9222
    @safidaclifford9222 Жыл бұрын

    Bwana akubariki mchungaji

  • @paulsonmaritim4854
    @paulsonmaritim4854 Жыл бұрын

    Nami naitaji mungu

  • @elifurahaelifuraha7387
    @elifurahaelifuraha7387 Жыл бұрын

    Ooh my God you are talking with me

  • @fredykatabei5516
    @fredykatabei5516 Жыл бұрын

    Swali lingine kuhusu nuhu na safina inamaaana pastor watu waliumbwa wengine maana si kila mtu alikufa kasolo walio ingia kwenye safina

  • @yohanaanthony3422
    @yohanaanthony3422 Жыл бұрын

    Adam ni mtu si binadamu. Bin-Adam ni wazawa.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️.

  • @barackmaduhu660
    @barackmaduhu660 Жыл бұрын

    Pastor Mungu akubariki ila mimi

  • @joyeuseiradukunda5584
    @joyeuseiradukunda5584 Жыл бұрын

    jambo paster unatubariki saana.

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    Жыл бұрын

    Amen

  • @jeanneriziki638

    @jeanneriziki638

    Жыл бұрын

    Eeh MUNGU unisaidiye uvunje madhahabu ambyo yanfunga maisha yangu

  • @irenekerubo5134
    @irenekerubo5134 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mchungaji. Nina swali, je ni lazima kutoa sadaka ili uvunje madhabau haya??

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    Жыл бұрын

    Zaburi 51:17 Dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika; Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaudharau.

  • @everkivuyo8596
    @everkivuyo8596 Жыл бұрын

    n kweli mtumishi lkn kuangusha madhabahu lazm asimame n sadaka ya fedha au vitu na maombi ...ukiomba bila kuomba na sadaka hayaondoki

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    Жыл бұрын

    SIKILIZA TENA KWA MAKINI. SIDHANI KUNA ULAZIMA WA SADAKA,SADAKA YA DAMU YA YESU INATOSHA. ILA KAMA UKISUKUMWA MOYONI KUTOA SADAKA KWA KUPENDA FANYA HIVYO

  • @hellenwaswa2222

    @hellenwaswa2222

    Жыл бұрын

    @@MahubiriPrMmbaga bwana yesu asifiwe mjungaji naomba number ya Whatsapp ili ni bate msaada tafadhali

  • @fredykatabei5516
    @fredykatabei5516 Жыл бұрын

    Nilikupigia juzi huku pokea nilitaka kuuliza hivi Mwanzoni mwa biblia tulisoma kwamba adam na eva walimzaa cain na abel ..... Alaf cain akamuua abel alafu Mungu akamwambia roho ya mdogo wako inakulilia alafu baadae cain akawa na wasiwasi alafu Mungu akamwambia kwamba nitakuwekea alama kwenye paji ya uso wako ili wale watu wasije wakakuua sasa pastor ndo mwanzo wa biblia wale watu walitoka wapi?

  • @anithamami1979
    @anithamami1979 Жыл бұрын

    Amen

  • @froline5209
    @froline5209 Жыл бұрын

    Amina mchungaji

  • @lilianmugyabuso8908
    @lilianmugyabuso8908 Жыл бұрын

    Amen