# WAOMBAJI WA ZAMANI TULIKUWA HIVI#-REV;MOSES MAGEMBE
Achambua waombaji wa leo makanisani na waombaji wa zamani milimani
Жүктеу.....
Пікірлер: 329
@elinemakundi5011 Жыл бұрын
mimi nawashangaa wanaokupinga na kukuchukia, uko sahihi kbs Mungu akupe maisha marefu sana
@mashakamwashilindi56073 жыл бұрын
Injili kamili ya kuponya,wangapi tumeielewa?
@jodama_tv3 жыл бұрын
Wangapi tumejifunza hapa....!
@haikajohn7580
3 жыл бұрын
Tupo!!
@simomsimon1813
3 жыл бұрын
Mimi
@marygregory75663 жыл бұрын
Mimi binafsi nimekuelewa baba sijui wenzangu
@elijuskikoto392Ай бұрын
Hakika huwa nakuelewa sana mchungaji wangu Mungu akubariki
@lemburismollel23933 жыл бұрын
Mchungaji Maghembe nakupenda sana. Yaani unauhubiri UTAKATIFU, UTAUWA, UTIMILIFU na UKAMILIFU. Hii ndiyo injili ya kweli.
@jacksonkidudu5404
3 жыл бұрын
Kwakweli sema wanadam tupone
@epafrangweshemi4014
3 жыл бұрын
Nyundo ya chuma. Mungu amsha kanisa lako liokoe katika kudanganywa na kupotezwa. Shida yangu bado huduma 5 hazijakaa sawa katika serikali ya Mungu(kanisa). Watumishi zifundisheni ili zifanye kazi kwa viwango na mipaka yake.
@joemunyasya79583 жыл бұрын
Glooooooooooooooory baba ukiwa connected huitaji juice kos unakua renewed by God himself
@josephkate3664Ай бұрын
Aminaaa injili kamili ya kukemea maovu
@haikajohn75803 жыл бұрын
Baba,pst hapo umesema kwelii!!!! Mungu azidi kukupa ufunuo kanisa lipone!!
@NdelimbijohnSwai9 сағат бұрын
Mchungaji Mungu wa mbingu na nchi akubariki sana maana unafundisha mafundisho ya kweli Yesu Kristo akutie nguvu
@kuhannyakuyelusalemumpya39183 жыл бұрын
Amina mtumishi ntafwatilia mafundisho yako kwa nzia sasa ntaanza kwenda milima kumuomba mungu
@erickmutungi8792
3 жыл бұрын
Hakuwa na maana watu washinde milimani isipokuwa alichomaanisha ni u-serious katika maombi na kuwekeza muda wa kutosha kwenye maombi,ila kama umependezwa kwenda mlimani basi napo si mbaya.. Ubarikiwe sana!
@shikomkenya38603 жыл бұрын
Nigetaka mchungaji utebele nchi yetu kenya .Nayapenda mahubiri yako .walio na masikio nawasikie
@epafrangweshemi4014
3 жыл бұрын
Hivi Kenya mna shida gani Kila leo mnataka rais, manabii, wachungaji toka Tanzania. Muombeni Mungu ndiye atoae.
@happinessmkombwemkombwe8677
3 жыл бұрын
@@epafrangweshemi4014 acha uchoyo,kwani injili Ina mipaka?
@mpendaradio2164
3 жыл бұрын
Kweli....
@mpendaradio2164
3 жыл бұрын
@@epafrangweshemi4014 kupata wahubiri na watu wakarimu kama nyie Tanzania ndio majanga baba
@rahabnkya82763 жыл бұрын
TOBOA BABA, TOBOA BABA, BIKIRA ANALIA, KWANI HALIJUI HUYO MJAMAAA YUKOJE NDANI. NILIWAONA BIBI ARUSI WAKILIA KANISANI NA WANAPOAGWA NA WAZAZI WAO WANAPOWAZAWADIA NA KUTOA NENO, LEO WANACHEKELEANA NA MABUSU MWANZO MWISHO HADHARANI, ETI VIDEO ITOKE VIZURI. BIG UP MZEE MOSES.
@piusmfalila46803 жыл бұрын
Uishi milele mtumishi wa Mungu Maghembe,injili yako naikubali haswaaa.
@jamesdimosso26013 жыл бұрын
Ah ah sawa Baba tumekoma na tumekuelewa sana Baba✅😁😁
@mwasomola90263 жыл бұрын
Ukweli usiopendwa kusikilizwa! Ukweli ndiyo una uhuru
@elishangomele99373 жыл бұрын
Mungu ana hazina kubwa sana namukubali Sana mch magembe
@suzanamwan81933 жыл бұрын
Asante xna mtumishi wa Mungu imetufaa hiyo
@jacklinejohn57273 жыл бұрын
Kuzimuni we Mungu tusaidie hatuna msaada.tupe ufahamu kuelewa haya mafundisho..wachungaji,watumishi,waunjilist mpoo
@fraidamsemwa55182 жыл бұрын
Thanks God Bless and Protect you every time🙏🙏🙏
@amaniamani11293 жыл бұрын
Ameniii baba asante kwa kunijaza maarifa
@evaristomhanje89083 жыл бұрын
Amina Mtumishi sema tupone babaa. God Bless You
@lovendendya9683 Жыл бұрын
ubarikiwe mchungaji maan umeongea ukweli! 🙏
@godfreymgehema81543 жыл бұрын
Waambie mtumishi we bwana tunapotea sana baba
@nanjafleva5973 жыл бұрын
Nomaaaa mwanaume kafungukaaaa wataelewa tuuuuu
@mutamurizabeatrice29592 жыл бұрын
Nakupendaka sana muchungaji wasikuhizi huku Uganda tuna fuata 5/5
@ev.kennedymose79453 жыл бұрын
This is apowerful message full of truth.thank you Rev
@scolamwanisasu84993 жыл бұрын
Duh asante baba nakumbuka moses kulola nakupenda
@adoniaceisaya700
3 жыл бұрын
Moses pia
@christopherdavid10913 жыл бұрын
Jicho la korongo
@safielitogolani35353 жыл бұрын
Mungu akubark xana mch.
@ushindimsalabanitv27653 жыл бұрын
Rev. Moses nakubaliana na concerns zako juu ya kanisa. Ni wakati wa kuanzia Moja.
@michaelbarhe60392 жыл бұрын
Mungu akuongezeeee miaka Ili useme yote yaliyo moyon mwako kwaajili yetu
@veronicamangala87293 жыл бұрын
Hallelujah, huo ni ukweli mtupu, Mungu atusaidie mtumishi wa Mungu.
@relaxmebini42072 жыл бұрын
Baba yangu maisha malefuu Sana 🙏 Mungu akubaliki kwa mafundisho yako
@yallasmasanjankelebe82023 жыл бұрын
Bwana mungu akubariki mtumishi wa Mungu , mahubiri yako yanajenga na ndivyo mungu anavyotaka tuishi kwa heshima.
@madirishasimon96923 жыл бұрын
MUNGU wa Israel ni kwa huruma zako ndio maana hatuangamii yesu Asante baba
@joemunyasya79583 жыл бұрын
Exactly siku hizi hawalii kos wamezoeya kupakatwa, wadada wakweli uwa wanalia kos hawajui what next after marriage!!!!
@hildaarnold92463 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@kessyhussein91873 жыл бұрын
Connection is heaven nakuelewa San muchungaj upo vdhul kimahubli kwn wachungaji weng hawajui connection namungu ndomana hanapenda vitamu
@myself41283 жыл бұрын
Sikuhizi wanaonjana kabisaaa kabla ya kuoana na inasikitisha...kwaya ndio zimeozaaaaa mpaka basi
@edwardgeorge7721
3 жыл бұрын
Hahaha umelenga ndipo
@stellangoka70323 жыл бұрын
This man is a revivalist...uncompromising gospel preacher
@japhethmbusya1479
3 жыл бұрын
My mum nakuona huku pia,,,,nakupenda sana mamangu napenda vile uko mnyenyekevu na kuwakumbali wachungaji wenzako
@imakulathamnyeti75872 жыл бұрын
Nabarikiwa sana kwel baba
@saramalila44413 жыл бұрын
Asante mchungaji tuombe mungu atuponye
@mariammwaipopo94413 жыл бұрын
barikiwa sana baba, nimekuelewa Sana Sana. Yesu atusaidie kanisa
@benjaminmwambene48973 жыл бұрын
Asante mchungaji Mungu akujalie
@wilsonmichael11563 жыл бұрын
Amen! Baba ubarikiwe sana Rev.
@pastorjamesmajaliwa78433 жыл бұрын
God bless you pastor
@ruthjemei68633 жыл бұрын
kazi nzuri mchungaji , tembelea Kenya Sikh moja tuko na shida kabisa
@alexnyigo8864 Жыл бұрын
Hongola mchungaji
@mbithejustus246 Жыл бұрын
Yesu ni emmanuel Hatuhitaji kwenda milimani
@ombenijulius4640
2 ай бұрын
Mlimani lazima mwana wa Mungu
@dastanmapunda95743 жыл бұрын
Mungu amekuacha Kama mbegu baba, Kanisa lipone
@richardngowi62853 жыл бұрын
Asante baba mchungaji kwa kusema ukwel
@elijahkirimi2197
3 жыл бұрын
Injili ya kweli kuja kenya please
@prickakimaro353 жыл бұрын
Tupate wapi wachungaji kumi Kama wewe jamani taifa lipone
@zuenajohn8325
3 жыл бұрын
Umeonaee
@micamathew25953 жыл бұрын
Amen!!! Mtumishi wa Mungu!! Ahsante sana kwa mafundisho ya kweli.
@salomessmart98143 жыл бұрын
Yes babaaaa nakupenda bureee
@neemamnyahati44303 жыл бұрын
Nakukubali sana baba SEMA tupone
@gracejulius233 жыл бұрын
Amen amen amen amen amen amen amen Yesu kristo apewe sifa
@johnsangida51583 жыл бұрын
Nakubali paster cjawai pinga maneno yako
@andrewmbisi3 жыл бұрын
Mafundisho kama haya hayawezi kupendwa na kizazi hiki
@bravomathias85703 жыл бұрын
Asante. pastor ni kweli kabisa
@EMANUELLAMECK-ce4by Жыл бұрын
Amina ubalikiwe
@mwakamtungirehi47733 жыл бұрын
Ubarikiwe sana baba Mungu akutunze
@marykimani28953 жыл бұрын
Nmekuelewa baba thanks so mash kwamaubiri 🙏🙏🙏🙏
@andreavedastusi65653 жыл бұрын
Wachungaji Kama Hawa wakowap au wakimbilia kutiza neno la mungu la manabii wengi watakao danganya wengi
@stevelouis25023 жыл бұрын
Mzee unatoa makavu mpaka sio Vzr injil yako ndy inayo itajika dunia ya Xasa 2nafichana sana
@epafrangweshemi4014
3 жыл бұрын
Hakika wachungaji wanalindana kartka uovu. Mungu liangalie kanisa lako.
@barakaabel50403 жыл бұрын
Huyu mzee kweli, ameng,oa koki
@ivanvictorinolauterivanlauter Жыл бұрын
Homem de Deus estava em Moçambique Nampula fez muitas maravilhas.Deus de abençoe.
Asante pastor I lk ur spirit in you may the Lord help me to tap it in full sir
@tausiathumani94083 жыл бұрын
Umenifurahisha
@doggydizla83893 жыл бұрын
Wanashangaza sana marusi we Leo wanacheza na kukata kiuno mbele ya wazazi wake na wakwe zake, hiyo niaibu kumbwa inashiria ww bint ni kahaba
@WitnessSamson-qc9ieАй бұрын
Sema sema tupone
@elibarickmmbando62253 жыл бұрын
Mchungaji uko vizuri mno
@clementdiyay6083 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji
@eagtsayunikigogo60263 жыл бұрын
Kawaida ya Dawa huwa Chungu Ila ndio Tiba, na dawa tamu huwa ni zile za watoto.
@mpendaradio21643 жыл бұрын
Nakuelewa sana kabisa Baba
@bwengoabdallah25563 жыл бұрын
Nakuelewa sanaa Mchungaji
@ntibarufatanyamibwa18923 жыл бұрын
Amina Mchungaji
@frankmbura58643 жыл бұрын
Ameen mtumish kweli tunatakiwa kufufuka
@josengumbi40293 жыл бұрын
Kwanza yupo vizur japo umri umeenda
@williammkenda30623 жыл бұрын
Nakupenda Bishop Magembe,,,,injil yako inaponya
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Yes watoto wetu injili hii.uzinzi Sio dili Ni laana ya kubeba matakataka MENGI
@mondelomondelo105 Жыл бұрын
Umbalikiwe mutumishi wamungu unasema kweli
@paulwambugu28363 жыл бұрын
Hallelujah, very true
@williamuphilipo74473 жыл бұрын
Mungu atusaidie.
@happinessmillanga9823 жыл бұрын
Zamani nilikuwa ckuelewi nilikuwa nakuona mkali sana Sasa nakuelewa sana sana
@anipe5653 жыл бұрын
Uko sawa mtumishi asante
@adrianignas51193 жыл бұрын
Daaah Mungu atusaidie Sana Sana Sana Sana yaani sanaaa. Hivi Siku hizi KWA MWAKA ndoa ngapi zinafungwa mume hajawahi kumjua mke na mke hajawahi kumjua mume.
@ezrashukuru7511
3 жыл бұрын
Yangu tulifanya hivyo bila kujuana kimwili kabisa mpaka sasa tunamtukuza Mungu sana namna alivyojitokeza sana kwetu
@adrianignas5119
3 жыл бұрын
Seriously? Weeeeeeeeeee
@morrisramazaniwamlumbamisa81583 жыл бұрын
Jamani Naishi South Africa. Naombeni Namba yake Mchugaji
@user-wz1fg2dc8t Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mchungaji,Mimi Ombi langu ninaitaji number zako tu, Asante.
@bonifasemmanuel47002 жыл бұрын
Wewe unafaa kunifundisha na kuwaMchungaji wangu , japo mi ni mkatoliki
Пікірлер: 329
mimi nawashangaa wanaokupinga na kukuchukia, uko sahihi kbs Mungu akupe maisha marefu sana
Injili kamili ya kuponya,wangapi tumeielewa?
Wangapi tumejifunza hapa....!
@haikajohn7580
3 жыл бұрын
Tupo!!
@simomsimon1813
3 жыл бұрын
Mimi
Mimi binafsi nimekuelewa baba sijui wenzangu
Hakika huwa nakuelewa sana mchungaji wangu Mungu akubariki
Mchungaji Maghembe nakupenda sana. Yaani unauhubiri UTAKATIFU, UTAUWA, UTIMILIFU na UKAMILIFU. Hii ndiyo injili ya kweli.
@jacksonkidudu5404
3 жыл бұрын
Kwakweli sema wanadam tupone
@epafrangweshemi4014
3 жыл бұрын
Nyundo ya chuma. Mungu amsha kanisa lako liokoe katika kudanganywa na kupotezwa. Shida yangu bado huduma 5 hazijakaa sawa katika serikali ya Mungu(kanisa). Watumishi zifundisheni ili zifanye kazi kwa viwango na mipaka yake.
Glooooooooooooooory baba ukiwa connected huitaji juice kos unakua renewed by God himself
Aminaaa injili kamili ya kukemea maovu
Baba,pst hapo umesema kwelii!!!! Mungu azidi kukupa ufunuo kanisa lipone!!
Mchungaji Mungu wa mbingu na nchi akubariki sana maana unafundisha mafundisho ya kweli Yesu Kristo akutie nguvu
Amina mtumishi ntafwatilia mafundisho yako kwa nzia sasa ntaanza kwenda milima kumuomba mungu
@erickmutungi8792
3 жыл бұрын
Hakuwa na maana watu washinde milimani isipokuwa alichomaanisha ni u-serious katika maombi na kuwekeza muda wa kutosha kwenye maombi,ila kama umependezwa kwenda mlimani basi napo si mbaya.. Ubarikiwe sana!
Nigetaka mchungaji utebele nchi yetu kenya .Nayapenda mahubiri yako .walio na masikio nawasikie
@epafrangweshemi4014
3 жыл бұрын
Hivi Kenya mna shida gani Kila leo mnataka rais, manabii, wachungaji toka Tanzania. Muombeni Mungu ndiye atoae.
@happinessmkombwemkombwe8677
3 жыл бұрын
@@epafrangweshemi4014 acha uchoyo,kwani injili Ina mipaka?
@mpendaradio2164
3 жыл бұрын
Kweli....
@mpendaradio2164
3 жыл бұрын
@@epafrangweshemi4014 kupata wahubiri na watu wakarimu kama nyie Tanzania ndio majanga baba
TOBOA BABA, TOBOA BABA, BIKIRA ANALIA, KWANI HALIJUI HUYO MJAMAAA YUKOJE NDANI. NILIWAONA BIBI ARUSI WAKILIA KANISANI NA WANAPOAGWA NA WAZAZI WAO WANAPOWAZAWADIA NA KUTOA NENO, LEO WANACHEKELEANA NA MABUSU MWANZO MWISHO HADHARANI, ETI VIDEO ITOKE VIZURI. BIG UP MZEE MOSES.
Uishi milele mtumishi wa Mungu Maghembe,injili yako naikubali haswaaa.
Ah ah sawa Baba tumekoma na tumekuelewa sana Baba✅😁😁
Ukweli usiopendwa kusikilizwa! Ukweli ndiyo una uhuru
Mungu ana hazina kubwa sana namukubali Sana mch magembe
Asante xna mtumishi wa Mungu imetufaa hiyo
Kuzimuni we Mungu tusaidie hatuna msaada.tupe ufahamu kuelewa haya mafundisho..wachungaji,watumishi,waunjilist mpoo
Thanks God Bless and Protect you every time🙏🙏🙏
Ameniii baba asante kwa kunijaza maarifa
Amina Mtumishi sema tupone babaa. God Bless You
ubarikiwe mchungaji maan umeongea ukweli! 🙏
Waambie mtumishi we bwana tunapotea sana baba
Nomaaaa mwanaume kafungukaaaa wataelewa tuuuuu
Nakupendaka sana muchungaji wasikuhizi huku Uganda tuna fuata 5/5
This is apowerful message full of truth.thank you Rev
Duh asante baba nakumbuka moses kulola nakupenda
@adoniaceisaya700
3 жыл бұрын
Moses pia
Jicho la korongo
Mungu akubark xana mch.
Rev. Moses nakubaliana na concerns zako juu ya kanisa. Ni wakati wa kuanzia Moja.
Mungu akuongezeeee miaka Ili useme yote yaliyo moyon mwako kwaajili yetu
Hallelujah, huo ni ukweli mtupu, Mungu atusaidie mtumishi wa Mungu.
Baba yangu maisha malefuu Sana 🙏 Mungu akubaliki kwa mafundisho yako
Bwana mungu akubariki mtumishi wa Mungu , mahubiri yako yanajenga na ndivyo mungu anavyotaka tuishi kwa heshima.
MUNGU wa Israel ni kwa huruma zako ndio maana hatuangamii yesu Asante baba
Exactly siku hizi hawalii kos wamezoeya kupakatwa, wadada wakweli uwa wanalia kos hawajui what next after marriage!!!!
Ubarikiwe mchungaji
Connection is heaven nakuelewa San muchungaj upo vdhul kimahubli kwn wachungaji weng hawajui connection namungu ndomana hanapenda vitamu
Sikuhizi wanaonjana kabisaaa kabla ya kuoana na inasikitisha...kwaya ndio zimeozaaaaa mpaka basi
@edwardgeorge7721
3 жыл бұрын
Hahaha umelenga ndipo
This man is a revivalist...uncompromising gospel preacher
@japhethmbusya1479
3 жыл бұрын
My mum nakuona huku pia,,,,nakupenda sana mamangu napenda vile uko mnyenyekevu na kuwakumbali wachungaji wenzako
Nabarikiwa sana kwel baba
Asante mchungaji tuombe mungu atuponye
barikiwa sana baba, nimekuelewa Sana Sana. Yesu atusaidie kanisa
Asante mchungaji Mungu akujalie
Amen! Baba ubarikiwe sana Rev.
God bless you pastor
kazi nzuri mchungaji , tembelea Kenya Sikh moja tuko na shida kabisa
Hongola mchungaji
Yesu ni emmanuel Hatuhitaji kwenda milimani
@ombenijulius4640
2 ай бұрын
Mlimani lazima mwana wa Mungu
Mungu amekuacha Kama mbegu baba, Kanisa lipone
Asante baba mchungaji kwa kusema ukwel
@elijahkirimi2197
3 жыл бұрын
Injili ya kweli kuja kenya please
Tupate wapi wachungaji kumi Kama wewe jamani taifa lipone
@zuenajohn8325
3 жыл бұрын
Umeonaee
Amen!!! Mtumishi wa Mungu!! Ahsante sana kwa mafundisho ya kweli.
Yes babaaaa nakupenda bureee
Nakukubali sana baba SEMA tupone
Amen amen amen amen amen amen amen Yesu kristo apewe sifa
Nakubali paster cjawai pinga maneno yako
Mafundisho kama haya hayawezi kupendwa na kizazi hiki
Asante. pastor ni kweli kabisa
Amina ubalikiwe
Ubarikiwe sana baba Mungu akutunze
Nmekuelewa baba thanks so mash kwamaubiri 🙏🙏🙏🙏
Wachungaji Kama Hawa wakowap au wakimbilia kutiza neno la mungu la manabii wengi watakao danganya wengi
Mzee unatoa makavu mpaka sio Vzr injil yako ndy inayo itajika dunia ya Xasa 2nafichana sana
@epafrangweshemi4014
3 жыл бұрын
Hakika wachungaji wanalindana kartka uovu. Mungu liangalie kanisa lako.
Huyu mzee kweli, ameng,oa koki
Homem de Deus estava em Moçambique Nampula fez muitas maravilhas.Deus de abençoe.
Mungu akubariki sana mchungaji
Ameen sema tubadilike baba
Barikiwa mtumishi wa mungu
Unaongea unachekesha....ila unafikisha ujumbee !!!!hakika unanena ukweli
baba nafarijika sana kwa mahubiri yako
Ubarikiwe babu moses
Ur blessed father
Ameni baba Mungu atuponye
Ameeni mchungaji wangu
Asante pastor I lk ur spirit in you may the Lord help me to tap it in full sir
Umenifurahisha
Wanashangaza sana marusi we Leo wanacheza na kukata kiuno mbele ya wazazi wake na wakwe zake, hiyo niaibu kumbwa inashiria ww bint ni kahaba
Sema sema tupone
Mchungaji uko vizuri mno
Ubarikiwe sana mchungaji
Kawaida ya Dawa huwa Chungu Ila ndio Tiba, na dawa tamu huwa ni zile za watoto.
Nakuelewa sana kabisa Baba
Nakuelewa sanaa Mchungaji
Amina Mchungaji
Ameen mtumish kweli tunatakiwa kufufuka
Kwanza yupo vizur japo umri umeenda
Nakupenda Bishop Magembe,,,,injil yako inaponya
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Yes watoto wetu injili hii.uzinzi Sio dili Ni laana ya kubeba matakataka MENGI
Umbalikiwe mutumishi wamungu unasema kweli
Hallelujah, very true
Mungu atusaidie.
Zamani nilikuwa ckuelewi nilikuwa nakuona mkali sana Sasa nakuelewa sana sana
Uko sawa mtumishi asante
Daaah Mungu atusaidie Sana Sana Sana Sana yaani sanaaa. Hivi Siku hizi KWA MWAKA ndoa ngapi zinafungwa mume hajawahi kumjua mke na mke hajawahi kumjua mume.
@ezrashukuru7511
3 жыл бұрын
Yangu tulifanya hivyo bila kujuana kimwili kabisa mpaka sasa tunamtukuza Mungu sana namna alivyojitokeza sana kwetu
@adrianignas5119
3 жыл бұрын
Seriously? Weeeeeeeeeee
Jamani Naishi South Africa. Naombeni Namba yake Mchugaji
Bwana yesu asifiwe mchungaji,Mimi Ombi langu ninaitaji number zako tu, Asante.
Wewe unafaa kunifundisha na kuwaMchungaji wangu , japo mi ni mkatoliki
Mtatoboa siri nyingi Sana cc tunawaangalia
Amina .mtumishi