# WAOMBAJI WA ZAMANI TULIKUWA HIVI#-REV;MOSES MAGEMBE

Achambua waombaji wa leo makanisani na waombaji wa zamani milimani

Пікірлер: 329

  • @elinemakundi5011
    @elinemakundi5011 Жыл бұрын

    mimi nawashangaa wanaokupinga na kukuchukia, uko sahihi kbs Mungu akupe maisha marefu sana

  • @mashakamwashilindi5607
    @mashakamwashilindi56073 жыл бұрын

    Injili kamili ya kuponya,wangapi tumeielewa?

  • @jodama_tv
    @jodama_tv3 жыл бұрын

    Wangapi tumejifunza hapa....!

  • @haikajohn7580

    @haikajohn7580

    3 жыл бұрын

    Tupo!!

  • @simomsimon1813

    @simomsimon1813

    3 жыл бұрын

    Mimi

  • @marygregory7566
    @marygregory75663 жыл бұрын

    Mimi binafsi nimekuelewa baba sijui wenzangu

  • @elijuskikoto392
    @elijuskikoto392Ай бұрын

    Hakika huwa nakuelewa sana mchungaji wangu Mungu akubariki

  • @lemburismollel2393
    @lemburismollel23933 жыл бұрын

    Mchungaji Maghembe nakupenda sana. Yaani unauhubiri UTAKATIFU, UTAUWA, UTIMILIFU na UKAMILIFU. Hii ndiyo injili ya kweli.

  • @jacksonkidudu5404

    @jacksonkidudu5404

    3 жыл бұрын

    Kwakweli sema wanadam tupone

  • @epafrangweshemi4014

    @epafrangweshemi4014

    3 жыл бұрын

    Nyundo ya chuma. Mungu amsha kanisa lako liokoe katika kudanganywa na kupotezwa. Shida yangu bado huduma 5 hazijakaa sawa katika serikali ya Mungu(kanisa). Watumishi zifundisheni ili zifanye kazi kwa viwango na mipaka yake.

  • @joemunyasya7958
    @joemunyasya79583 жыл бұрын

    Glooooooooooooooory baba ukiwa connected huitaji juice kos unakua renewed by God himself

  • @josephkate3664
    @josephkate3664Ай бұрын

    Aminaaa injili kamili ya kukemea maovu

  • @haikajohn7580
    @haikajohn75803 жыл бұрын

    Baba,pst hapo umesema kwelii!!!! Mungu azidi kukupa ufunuo kanisa lipone!!

  • @NdelimbijohnSwai
    @NdelimbijohnSwai9 сағат бұрын

    Mchungaji Mungu wa mbingu na nchi akubariki sana maana unafundisha mafundisho ya kweli Yesu Kristo akutie nguvu

  • @kuhannyakuyelusalemumpya3918
    @kuhannyakuyelusalemumpya39183 жыл бұрын

    Amina mtumishi ntafwatilia mafundisho yako kwa nzia sasa ntaanza kwenda milima kumuomba mungu

  • @erickmutungi8792

    @erickmutungi8792

    3 жыл бұрын

    Hakuwa na maana watu washinde milimani isipokuwa alichomaanisha ni u-serious katika maombi na kuwekeza muda wa kutosha kwenye maombi,ila kama umependezwa kwenda mlimani basi napo si mbaya.. Ubarikiwe sana!

  • @shikomkenya3860
    @shikomkenya38603 жыл бұрын

    Nigetaka mchungaji utebele nchi yetu kenya .Nayapenda mahubiri yako .walio na masikio nawasikie

  • @epafrangweshemi4014

    @epafrangweshemi4014

    3 жыл бұрын

    Hivi Kenya mna shida gani Kila leo mnataka rais, manabii, wachungaji toka Tanzania. Muombeni Mungu ndiye atoae.

  • @happinessmkombwemkombwe8677

    @happinessmkombwemkombwe8677

    3 жыл бұрын

    @@epafrangweshemi4014 acha uchoyo,kwani injili Ina mipaka?

  • @mpendaradio2164

    @mpendaradio2164

    3 жыл бұрын

    Kweli....

  • @mpendaradio2164

    @mpendaradio2164

    3 жыл бұрын

    @@epafrangweshemi4014 kupata wahubiri na watu wakarimu kama nyie Tanzania ndio majanga baba

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 жыл бұрын

    TOBOA BABA, TOBOA BABA, BIKIRA ANALIA, KWANI HALIJUI HUYO MJAMAAA YUKOJE NDANI. NILIWAONA BIBI ARUSI WAKILIA KANISANI NA WANAPOAGWA NA WAZAZI WAO WANAPOWAZAWADIA NA KUTOA NENO, LEO WANACHEKELEANA NA MABUSU MWANZO MWISHO HADHARANI, ETI VIDEO ITOKE VIZURI. BIG UP MZEE MOSES.

  • @piusmfalila4680
    @piusmfalila46803 жыл бұрын

    Uishi milele mtumishi wa Mungu Maghembe,injili yako naikubali haswaaa.

  • @jamesdimosso2601
    @jamesdimosso26013 жыл бұрын

    Ah ah sawa Baba tumekoma na tumekuelewa sana Baba✅😁😁

  • @mwasomola9026
    @mwasomola90263 жыл бұрын

    Ukweli usiopendwa kusikilizwa! Ukweli ndiyo una uhuru

  • @elishangomele9937
    @elishangomele99373 жыл бұрын

    Mungu ana hazina kubwa sana namukubali Sana mch magembe

  • @suzanamwan8193
    @suzanamwan81933 жыл бұрын

    Asante xna mtumishi wa Mungu imetufaa hiyo

  • @jacklinejohn5727
    @jacklinejohn57273 жыл бұрын

    Kuzimuni we Mungu tusaidie hatuna msaada.tupe ufahamu kuelewa haya mafundisho..wachungaji,watumishi,waunjilist mpoo

  • @fraidamsemwa5518
    @fraidamsemwa55182 жыл бұрын

    Thanks God Bless and Protect you every time🙏🙏🙏

  • @amaniamani1129
    @amaniamani11293 жыл бұрын

    Ameniii baba asante kwa kunijaza maarifa

  • @evaristomhanje8908
    @evaristomhanje89083 жыл бұрын

    Amina Mtumishi sema tupone babaa. God Bless You

  • @lovendendya9683
    @lovendendya9683 Жыл бұрын

    ubarikiwe mchungaji maan umeongea ukweli! 🙏

  • @godfreymgehema8154
    @godfreymgehema81543 жыл бұрын

    Waambie mtumishi we bwana tunapotea sana baba

  • @nanjafleva597
    @nanjafleva5973 жыл бұрын

    Nomaaaa mwanaume kafungukaaaa wataelewa tuuuuu

  • @mutamurizabeatrice2959
    @mutamurizabeatrice29592 жыл бұрын

    Nakupendaka sana muchungaji wasikuhizi huku Uganda tuna fuata 5/5

  • @ev.kennedymose7945
    @ev.kennedymose79453 жыл бұрын

    This is apowerful message full of truth.thank you Rev

  • @scolamwanisasu8499
    @scolamwanisasu84993 жыл бұрын

    Duh asante baba nakumbuka moses kulola nakupenda

  • @adoniaceisaya700

    @adoniaceisaya700

    3 жыл бұрын

    Moses pia

  • @christopherdavid1091
    @christopherdavid10913 жыл бұрын

    Jicho la korongo

  • @safielitogolani3535
    @safielitogolani35353 жыл бұрын

    Mungu akubark xana mch.

  • @ushindimsalabanitv2765
    @ushindimsalabanitv27653 жыл бұрын

    Rev. Moses nakubaliana na concerns zako juu ya kanisa. Ni wakati wa kuanzia Moja.

  • @michaelbarhe6039
    @michaelbarhe60392 жыл бұрын

    Mungu akuongezeeee miaka Ili useme yote yaliyo moyon mwako kwaajili yetu

  • @veronicamangala8729
    @veronicamangala87293 жыл бұрын

    Hallelujah, huo ni ukweli mtupu, Mungu atusaidie mtumishi wa Mungu.

  • @relaxmebini4207
    @relaxmebini42072 жыл бұрын

    Baba yangu maisha malefuu Sana 🙏 Mungu akubaliki kwa mafundisho yako

  • @yallasmasanjankelebe8202
    @yallasmasanjankelebe82023 жыл бұрын

    Bwana mungu akubariki mtumishi wa Mungu , mahubiri yako yanajenga na ndivyo mungu anavyotaka tuishi kwa heshima.

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon96923 жыл бұрын

    MUNGU wa Israel ni kwa huruma zako ndio maana hatuangamii yesu Asante baba

  • @joemunyasya7958
    @joemunyasya79583 жыл бұрын

    Exactly siku hizi hawalii kos wamezoeya kupakatwa, wadada wakweli uwa wanalia kos hawajui what next after marriage!!!!

  • @hildaarnold9246
    @hildaarnold92463 жыл бұрын

    Ubarikiwe mchungaji

  • @kessyhussein9187
    @kessyhussein91873 жыл бұрын

    Connection is heaven nakuelewa San muchungaj upo vdhul kimahubli kwn wachungaji weng hawajui connection namungu ndomana hanapenda vitamu

  • @myself4128
    @myself41283 жыл бұрын

    Sikuhizi wanaonjana kabisaaa kabla ya kuoana na inasikitisha...kwaya ndio zimeozaaaaa mpaka basi

  • @edwardgeorge7721

    @edwardgeorge7721

    3 жыл бұрын

    Hahaha umelenga ndipo

  • @stellangoka7032
    @stellangoka70323 жыл бұрын

    This man is a revivalist...uncompromising gospel preacher

  • @japhethmbusya1479

    @japhethmbusya1479

    3 жыл бұрын

    My mum nakuona huku pia,,,,nakupenda sana mamangu napenda vile uko mnyenyekevu na kuwakumbali wachungaji wenzako

  • @imakulathamnyeti7587
    @imakulathamnyeti75872 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana kwel baba

  • @saramalila4441
    @saramalila44413 жыл бұрын

    Asante mchungaji tuombe mungu atuponye

  • @mariammwaipopo9441
    @mariammwaipopo94413 жыл бұрын

    barikiwa sana baba, nimekuelewa Sana Sana. Yesu atusaidie kanisa

  • @benjaminmwambene4897
    @benjaminmwambene48973 жыл бұрын

    Asante mchungaji Mungu akujalie

  • @wilsonmichael1156
    @wilsonmichael11563 жыл бұрын

    Amen! Baba ubarikiwe sana Rev.

  • @pastorjamesmajaliwa7843
    @pastorjamesmajaliwa78433 жыл бұрын

    God bless you pastor

  • @ruthjemei6863
    @ruthjemei68633 жыл бұрын

    kazi nzuri mchungaji , tembelea Kenya Sikh moja tuko na shida kabisa

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo8864 Жыл бұрын

    Hongola mchungaji

  • @mbithejustus246
    @mbithejustus246 Жыл бұрын

    Yesu ni emmanuel Hatuhitaji kwenda milimani

  • @ombenijulius4640

    @ombenijulius4640

    2 ай бұрын

    Mlimani lazima mwana wa Mungu

  • @dastanmapunda9574
    @dastanmapunda95743 жыл бұрын

    Mungu amekuacha Kama mbegu baba, Kanisa lipone

  • @richardngowi6285
    @richardngowi62853 жыл бұрын

    Asante baba mchungaji kwa kusema ukwel

  • @elijahkirimi2197

    @elijahkirimi2197

    3 жыл бұрын

    Injili ya kweli kuja kenya please

  • @prickakimaro35
    @prickakimaro353 жыл бұрын

    Tupate wapi wachungaji kumi Kama wewe jamani taifa lipone

  • @zuenajohn8325

    @zuenajohn8325

    3 жыл бұрын

    Umeonaee

  • @micamathew2595
    @micamathew25953 жыл бұрын

    Amen!!! Mtumishi wa Mungu!! Ahsante sana kwa mafundisho ya kweli.

  • @salomessmart9814
    @salomessmart98143 жыл бұрын

    Yes babaaaa nakupenda bureee

  • @neemamnyahati4430
    @neemamnyahati44303 жыл бұрын

    Nakukubali sana baba SEMA tupone

  • @gracejulius23
    @gracejulius233 жыл бұрын

    Amen amen amen amen amen amen amen Yesu kristo apewe sifa

  • @johnsangida5158
    @johnsangida51583 жыл бұрын

    Nakubali paster cjawai pinga maneno yako

  • @andrewmbisi
    @andrewmbisi3 жыл бұрын

    Mafundisho kama haya hayawezi kupendwa na kizazi hiki

  • @bravomathias8570
    @bravomathias85703 жыл бұрын

    Asante. pastor ni kweli kabisa

  • @EMANUELLAMECK-ce4by
    @EMANUELLAMECK-ce4by Жыл бұрын

    Amina ubalikiwe

  • @mwakamtungirehi4773
    @mwakamtungirehi47733 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana baba Mungu akutunze

  • @marykimani2895
    @marykimani28953 жыл бұрын

    Nmekuelewa baba thanks so mash kwamaubiri 🙏🙏🙏🙏

  • @andreavedastusi6565
    @andreavedastusi65653 жыл бұрын

    Wachungaji Kama Hawa wakowap au wakimbilia kutiza neno la mungu la manabii wengi watakao danganya wengi

  • @stevelouis2502
    @stevelouis25023 жыл бұрын

    Mzee unatoa makavu mpaka sio Vzr injil yako ndy inayo itajika dunia ya Xasa 2nafichana sana

  • @epafrangweshemi4014

    @epafrangweshemi4014

    3 жыл бұрын

    Hakika wachungaji wanalindana kartka uovu. Mungu liangalie kanisa lako.

  • @barakaabel5040
    @barakaabel50403 жыл бұрын

    Huyu mzee kweli, ameng,oa koki

  • @ivanvictorinolauterivanlauter
    @ivanvictorinolauterivanlauter Жыл бұрын

    Homem de Deus estava em Moçambique Nampula fez muitas maravilhas.Deus de abençoe.

  • @barakakiponda5215
    @barakakiponda52153 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mchungaji

  • @enessisosten9670
    @enessisosten96702 жыл бұрын

    Ameen sema tubadilike baba

  • @furahamlozi7376
    @furahamlozi73763 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi wa mungu

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya55323 жыл бұрын

    Unaongea unachekesha....ila unafikisha ujumbee !!!!hakika unanena ukweli

  • @oseajohn5193
    @oseajohn51932 жыл бұрын

    baba nafarijika sana kwa mahubiri yako

  • @godfreykajuna1370
    @godfreykajuna13703 жыл бұрын

    Ubarikiwe babu moses

  • @estherwilliam5125
    @estherwilliam51252 жыл бұрын

    Ur blessed father

  • @godfreymwaipungu4644
    @godfreymwaipungu46443 жыл бұрын

    Ameni baba Mungu atuponye

  • @kikotikikoti7176
    @kikotikikoti71762 жыл бұрын

    Ameeni mchungaji wangu

  • @joemunyasya7958
    @joemunyasya79583 жыл бұрын

    Asante pastor I lk ur spirit in you may the Lord help me to tap it in full sir

  • @tausiathumani9408
    @tausiathumani94083 жыл бұрын

    Umenifurahisha

  • @doggydizla8389
    @doggydizla83893 жыл бұрын

    Wanashangaza sana marusi we Leo wanacheza na kukata kiuno mbele ya wazazi wake na wakwe zake, hiyo niaibu kumbwa inashiria ww bint ni kahaba

  • @WitnessSamson-qc9ie
    @WitnessSamson-qc9ieАй бұрын

    Sema sema tupone

  • @elibarickmmbando6225
    @elibarickmmbando62253 жыл бұрын

    Mchungaji uko vizuri mno

  • @clementdiyay608
    @clementdiyay6083 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @eagtsayunikigogo6026
    @eagtsayunikigogo60263 жыл бұрын

    Kawaida ya Dawa huwa Chungu Ila ndio Tiba, na dawa tamu huwa ni zile za watoto.

  • @mpendaradio2164
    @mpendaradio21643 жыл бұрын

    Nakuelewa sana kabisa Baba

  • @bwengoabdallah2556
    @bwengoabdallah25563 жыл бұрын

    Nakuelewa sanaa Mchungaji

  • @ntibarufatanyamibwa1892
    @ntibarufatanyamibwa18923 жыл бұрын

    Amina Mchungaji

  • @frankmbura5864
    @frankmbura58643 жыл бұрын

    Ameen mtumish kweli tunatakiwa kufufuka

  • @josengumbi4029
    @josengumbi40293 жыл бұрын

    Kwanza yupo vizur japo umri umeenda

  • @williammkenda3062
    @williammkenda30623 жыл бұрын

    Nakupenda Bishop Magembe,,,,injil yako inaponya

  • @geitandelwa299

    @geitandelwa299

    Жыл бұрын

    Yes watoto wetu injili hii.uzinzi Sio dili Ni laana ya kubeba matakataka MENGI

  • @mondelomondelo105
    @mondelomondelo105 Жыл бұрын

    Umbalikiwe mutumishi wamungu unasema kweli

  • @paulwambugu2836
    @paulwambugu28363 жыл бұрын

    Hallelujah, very true

  • @williamuphilipo7447
    @williamuphilipo74473 жыл бұрын

    Mungu atusaidie.

  • @happinessmillanga982
    @happinessmillanga9823 жыл бұрын

    Zamani nilikuwa ckuelewi nilikuwa nakuona mkali sana Sasa nakuelewa sana sana

  • @anipe565
    @anipe5653 жыл бұрын

    Uko sawa mtumishi asante

  • @adrianignas5119
    @adrianignas51193 жыл бұрын

    Daaah Mungu atusaidie Sana Sana Sana Sana yaani sanaaa. Hivi Siku hizi KWA MWAKA ndoa ngapi zinafungwa mume hajawahi kumjua mke na mke hajawahi kumjua mume.

  • @ezrashukuru7511

    @ezrashukuru7511

    3 жыл бұрын

    Yangu tulifanya hivyo bila kujuana kimwili kabisa mpaka sasa tunamtukuza Mungu sana namna alivyojitokeza sana kwetu

  • @adrianignas5119

    @adrianignas5119

    3 жыл бұрын

    Seriously? Weeeeeeeeeee

  • @morrisramazaniwamlumbamisa8158
    @morrisramazaniwamlumbamisa81583 жыл бұрын

    Jamani Naishi South Africa. Naombeni Namba yake Mchugaji

  • @user-wz1fg2dc8t
    @user-wz1fg2dc8t Жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe mchungaji,Mimi Ombi langu ninaitaji number zako tu, Asante.

  • @bonifasemmanuel4700
    @bonifasemmanuel47002 жыл бұрын

    Wewe unafaa kunifundisha na kuwaMchungaji wangu , japo mi ni mkatoliki

  • @escoterhussein5800
    @escoterhussein58003 жыл бұрын

    Mtatoboa siri nyingi Sana cc tunawaangalia

  • @noelykaka7032
    @noelykaka70323 жыл бұрын

    Amina .mtumishi