HII SASA SIFA/TAZAMA ALI KAMWE AKIWALISHA CAKE ZA CHAMA WANANCHI JANGWANI

Спорт

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 125

  • @michaelpengo8730
    @michaelpengo87302 күн бұрын

    Yanga mna Raha sana. Naweza kusema miongoni mwa watu wenye Raha duniani na Yanga mpo kwenye Top 10.🎉🎉🎉

  • @MosesTumusime-cz1dc
    @MosesTumusime-cz1dc2 күн бұрын

    Yaani Jangwani tuko zaidi team uwanjani tu tuko family ndani ya uwanjani na inje ya uwanja kbsa

  • @MosesTumusime-cz1dc
    @MosesTumusime-cz1dc2 күн бұрын

    Kutoka Rwanda shabiki muziri wa Yanga kutoka utotoni jamani Jangwani tujiandae kutafuta ubingwa Tena mwaka ujao Kilala heri team yetu mungu mwema awe nasi

  • @matendojumanne5823
    @matendojumanne58232 күн бұрын

    Yanga haoooo daimambele nyuma mwiko

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx2 күн бұрын

    Hahahahaha wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tuenjoy tu maana tunaweza viva timu yangu young Africans,asanteni washabiki wenzangu na uongozi wote,hatuna dogo,daima mbele mwiko nyuma

  • @moshintagata100
    @moshintagata1002 күн бұрын

    Sisi niwanainchi tunahitaji salamu mbili asalam lekum pia na bwana yesu asifiwi bilashaka mumenielaewa

  • @eidallyeidally5093

    @eidallyeidally5093

    Күн бұрын

    tatiz imesemwa kiarabu .kiswahili maana yake amani iwe juu yenu .yohana 20 ...19

  • @user-fc7zp2nd4m

    @user-fc7zp2nd4m

    Күн бұрын

    Naipenda sana yanga jaman❤❤❤❤❤❤

  • @osmundmtavangu
    @osmundmtavangu2 күн бұрын

    Mpira ni burudani zaidi ya dk 90 za ndani ya uwanja. Hongereni sana viongozi vijana kwa ubunifu wa kiwango cha SGR.👏👏👏👏🤪🤪🤪

  • @Maryc2G
    @Maryc2G2 күн бұрын

    Yanga haina dogo, yanga inafurahisha sana 💚🇹🇿

  • @emmanuelfrance
    @emmanuelfrance2 күн бұрын

    Mko vizuri sana wananchi

  • @user-bw1hs2nd8p
    @user-bw1hs2nd8p2 күн бұрын

    Hii ndo inaitwa utajua hujui😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @ismailseleman2952
    @ismailseleman29522 күн бұрын

    Munguawajalie wotemlioletakeki

  • @25code
    @25codeКүн бұрын

    Jambo tunalo na tunatamba nalo.karibu chama.na umeingia k wenye chama la kweli

  • @WatuShazi
    @WatuShazi2 күн бұрын

    Chama,,chama kwell msichiukulie poa mnshaumia so kdog

  • @user-iu2cm5um6e
    @user-iu2cm5um6e2 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤I Love it, umwaaaaaaa

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln2 күн бұрын

    Mpora wa Bongo bana...😢 Ndo maan wachezaj wa kigan wakja Huwa hawapasahau

  • @Sunshine0222
    @Sunshine0222Күн бұрын

    Dah hii timu kubwa sana

  • @VicentMbise
    @VicentMbise2 күн бұрын

    Yanga nimeikubali

  • @Hassansalum-j3k
    @Hassansalum-j3k2 күн бұрын

    Jamaniee maoniyangu chama mwenyewe ndioangewalisha wanachama mashabiki wapenzi iliaoneshe mapenziyake kwetu.

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoisesКүн бұрын

    jamani mim naupenda sana uwongozi wa yanga,wana mfano wa kuigwa.ningependa kwetu Moçambique tuige tanzania,.😊 nawapenda sana yanga.

  • @HusseinAlly-zp7sb
    @HusseinAlly-zp7sb2 күн бұрын

    Yanga daima🎉

  • @ashorass4431
    @ashorass44312 күн бұрын

    Nice

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt2 күн бұрын

    Umependeza hiyo

  • @user-vr3hp4xs8m
    @user-vr3hp4xs8m2 күн бұрын

    Hio sherehe ya keki chama yupo hapo kwenye keki anaziona

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy73602 күн бұрын

    💛💚💛💚💛😀📸 Daima Mbele Nyuma mwiko

  • @AzamMgasha-qh9zc
    @AzamMgasha-qh9zc2 күн бұрын

    Timu ya watu ila chamaa

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2772 күн бұрын

    Haaaa.watajuta waoooo😂

  • @CasianMchalo
    @CasianMchaloКүн бұрын

    Nawashukul sana

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738Күн бұрын

    Alafu hii biashara ya kusalimia Salam moja hatutaki ubaguzi wa dini, timu ya yanga ina wakristo na waislam .

  • @magrethyeremia2279

    @magrethyeremia2279

    7 сағат бұрын

    Kabisaaa ,

  • @bakarmpily4473
    @bakarmpily44732 күн бұрын

    Hatunaga show mbovu

  • @saidmasengo7988
    @saidmasengo79882 күн бұрын

    CHAMA TUNAYE NA TUNARINGA NAYE🎉🎉🎉🎉

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile54622 күн бұрын

    Kweli wanainchi hatuna jambo dogo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dittosanga3358
    @dittosanga33587 сағат бұрын

    Welcome friend chama to Young Africans

  • @PillyLushete
    @PillyLushete3 минут бұрын

    Kalibu yanga Haina njaaaaaa

  • @user-ue5wg4sz7w
    @user-ue5wg4sz7w9 сағат бұрын

    jasmine wajina wangu asante

  • @RamadhanMabwabwa
    @RamadhanMabwabwa2 күн бұрын

    Mzee mpili anatia neno kimya kimya idara ya ufundi😂😂

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz2 күн бұрын

    Alosema hasainiiiiiii Mbona kasainiiiiii alosema hasain mbona kasainiiii Tunae chama tunaeeee Tunae chama tunaeeee Tunaechama tunaeee tunae twatamba naeee

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles78162 күн бұрын

    Hongereni Sana hayomambo msimbazi hayapo kwann wachezaji wasije yanga namnaiyo lazima kuonesha mapenzi kwa wachezaji

  • @user-xt1lh7hu7l
    @user-xt1lh7hu7lКүн бұрын

    ILike it🎉❤

  • @AngelMbanga
    @AngelMbanga2 күн бұрын

    Ivi chama kwa mapokezi haya unatuaidi nini wannch ??? Yanga rahaaaaaaa

  • @nicksonmlay542
    @nicksonmlay5422 күн бұрын

    Wananchi Wamefurahiiiii💚💚💚💚💚💚💚💚✅

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel53592 күн бұрын

    Walikuja wachezaji wa maana kama Pacome na Jeshi wamefanya mambo makubwa lakini mapokezi yao yalikua ya kawaida tu

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum76852 күн бұрын

    Hawa vijana yanga wamefiti kwenye kitengo wallah wanakela hawa hhhhh

  • @kessysenga8700
    @kessysenga87002 күн бұрын

    Suda yanga sijamuona hapo jaman mmemsahau wapi?

  • @danielbenard9053
    @danielbenard90532 күн бұрын

    💛💚💛💚

  • @SuhuurFarxaan
    @SuhuurFarxaan2 күн бұрын

    😂😂😂duuh ila yanga nangoja 10 za master ki na 39 za screen protector ntazila hizo

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe97882 күн бұрын

    Ku. Be mzee mpiiili upo

  • @AgenesMugema
    @AgenesMugemaКүн бұрын

    Makombe yaendelee🙏🙏🙏🙏

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy73602 күн бұрын

    Ma Dada keki siku ingine wa vae chochote kinacho onyesha mapenzi yao kwa Yanga Sports Club Tafadhali

  • @user-mv5kv5fh7g
    @user-mv5kv5fh7g2 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Official83640
    @Official836402 күн бұрын

    Mzidishieni sifa awatende km Mayele maana mmezidisha tena hamjali km tuna msiba Wa Manji au kawakosea nn mpaka mnafuraha kupitiliza

  • @eidallyeidally5093

    @eidallyeidally5093

    Күн бұрын

    tumeshazika waislaam hatuna maombolezo ya wiki nzima hata akifa nan

  • @Official83640

    @Official83640

    Күн бұрын

    @@eidallyeidally5093 Ile siku yakuzika mmeanza shangwe hamuoni haya

  • @BakaryOmally
    @BakaryOmally10 сағат бұрын

    Nashauri tuwe na wimbo wa utambulisho wa timu yetu ambao utapigwa kabla na baada ya mechi utawapa hamasa wachezaji kupambania timu

  • @SanchezMutiti-ie8ed
    @SanchezMutiti-ie8ed2 күн бұрын

    Wakwanza

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange45002 күн бұрын

    Mpili alitakuongeza keki ale😂😂😂😂

  • @innocentntabanganyimana2111
    @innocentntabanganyimana21112 күн бұрын

    YANGA 💛💚 team tunaipenda

  • @PaschalHose
    @PaschalHose2 күн бұрын

    Afu nasikia mwakani KAPOMBE tutatambanae

  • @planctv5961
    @planctv5961Күн бұрын

    Yanga 🙌

  • @Faharitvplus
    @Faharitvplus2 күн бұрын

    Muuza cake kapata Fursa ya kutangaza biashara ya cake

  • @odilomwakamela4889
    @odilomwakamela48892 күн бұрын

    Kadi ya kuwa mwanachama wa Yanga naipataje na ni shiling ngap ?

  • @ramadhanmanyacolour5236
    @ramadhanmanyacolour523622 сағат бұрын

    Bosi wangu Jasmini Umenipa jukumu la kukutengenezea ofisi mpya hapa Temeke Stereo Bigbon karibu na mpaka tegemea matokeo mazuri kutoka kwetu

  • @LucasMganga-f6l
    @LucasMganga-f6lКүн бұрын

    Young bab lao

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw2 күн бұрын

    Yanga raha

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid60522 күн бұрын

    Ku?

  • @gastonfuraha
    @gastonfuraha2 күн бұрын

    🔥🔥🔥

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5sКүн бұрын

    Hasa chamamwenyew hayupo hapo

  • @mbwanaoch9886
    @mbwanaoch98862 күн бұрын

    Sisi hao

  • @exautmwalukasa2092
    @exautmwalukasa209223 сағат бұрын

    Nyie yanga nyie hizi ni sifa sasa yanga tam taman

  • @user-wl3sv2xn9e
    @user-wl3sv2xn9eКүн бұрын

    Tunamtaka mamelodi tunahasra nae

  • @neemamollel6972
    @neemamollel69722 күн бұрын

    Sisi ni zaidi ya familia

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel53592 күн бұрын

    Huu sasa ni ushamba na ujinga watu na elimu zenu mnafanya vitu vya kipumbavu

  • @JANE-jv4eq
    @JANE-jv4eq2 күн бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @vicentsagudasheyi564
    @vicentsagudasheyi5642 күн бұрын

    💛💚🖤

  • @terrence9477
    @terrence94772 күн бұрын

    Mkianza msimu, nitaleta keki kwa Pacome, lazima msimu uanze kwa mbwembwe

  • @user-wi4gt6us3s
    @user-wi4gt6us3sКүн бұрын

    wananchi hawana shoo mbovu

  • @ZuberiMaulid-s5d
    @ZuberiMaulid-s5d2 күн бұрын

  • @vwambanjichibwe4893
    @vwambanjichibwe48932 күн бұрын

    🇿🇲🇿🇲

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs2 күн бұрын

    🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🕺🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g23 сағат бұрын

    Punguzeni izo sifa mnaonekana washamba bana

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma87752 күн бұрын

    💚💛🇹🇿

  • @MobileMobigo2
    @MobileMobigo2Күн бұрын

    Yanga

  • @officialchokod1304
    @officialchokod1304Күн бұрын

    ❤❤❤❤ 😂😂😂

  • @ramadhanmanyacolour5236
    @ramadhanmanyacolour523622 сағат бұрын

    The hevent cakes ofisi Jasmin

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt2 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤😅

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923Күн бұрын

    Hayawi ayawi sasa yamekuwa

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g23 сағат бұрын

    Nyie ndo mnafanya mambo yawe magumu km kamali je mtaficha wapi sura zenu

  • @ommyzubery8358
    @ommyzubery83582 күн бұрын

    Tusipitilize sana shangwe wana yanga kuna na wachezaji wetu wengine nao wasije kujiona kama nao hawana thamani kwani nao wametutoa mbali jamani inatosha hayo mapokezi yasije yakazidi mipaka huo ndio ushauri wangu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO!

  • @law93king

    @law93king

    2 күн бұрын

    kitu cha kawaida sana wote huu ni utani wa jadi tu hata wao tumewaheshimisha msimu mzima na tutaendelea kuwaheshimisha bila ubaguzi

  • @jumannemsengi2195

    @jumannemsengi2195

    2 күн бұрын

    Na pia nao walishawahi kufanya haya baaada ya kumchukua MORRISON tukaumia mpka JK akasema nasi tufanye kuwaibia sasa huu ndio mpango mzima 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @law93king

    @law93king

    2 күн бұрын

    @@jumannemsengi2195 yeah ni vitu vya kawaida tu hata wao wachezaji wanajua

  • @sylvestercameo6263

    @sylvestercameo6263

    2 күн бұрын

    Nao watandaliwa keki yao siku ya kufungua Kambi huko Avic Town!

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l2 күн бұрын

    njie niwapumbavu badala yakuomboleza mzamin wenu kafariki nyie mwala keki kwahio umeowa alieachika af unatamba hahaha

  • @Maryc2G
    @Maryc2G2 күн бұрын

    Mikeki kama yote 🧁🥮

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo16222 күн бұрын

    Kazi kulishana cake ila kuwalipa wachezaji madeni ya ...aaah

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 күн бұрын

    Mchezaji gani anadai?

  • @AnithaMussa-k2s
    @AnithaMussa-k2s2 күн бұрын

    Usanii

  • @Abuu-gs1yi

    @Abuu-gs1yi

    2 күн бұрын

    Sawa msanii mwenzetu

  • @jumannemsengi2195

    @jumannemsengi2195

    2 күн бұрын

    Msaniii anajulikana "MO"😂😂😂😂😂😂

  • @law93king
    @law93king2 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-kr2zi7du7y
    @user-kr2zi7du7y2 күн бұрын

    Mwamba waka dugu

  • @SanziNzige
    @SanziNzige2 күн бұрын

    Wanayanga NI washamba mpaka mwisho wa dunia.kwaakiri yenu chama ndiyosba?. na mabango mnabandika ya Nini Sasa mbona Simba chamba hakubandikiwa mabango?. Nyie kila kitu bango mmekuwa mademu?.na nyie hamna timu timu ya akina mwigulu!. Chama amekuja kubeba majinihayabebwi na watoto.na chama lazima Ana wa kwake hapo.mko hapa

  • @Abuu-gs1yi

    @Abuu-gs1yi

    2 күн бұрын

    Mpira ni furaha Sasa makasiliko ya nn

  • @MlingaSawack45

    @MlingaSawack45

    2 күн бұрын

    Pole kolo kwa povu

  • @gracemtonga3263

    @gracemtonga3263

    2 күн бұрын

    Kolo hutoooooooo😂😂😂😂😂😂

  • @user-em2sd9tm1n

    @user-em2sd9tm1n

    2 күн бұрын

    Oya uko sahihi kila kitu bango wasenge

  • @marthageorge5043
    @marthageorge50432 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @GodliverByarugaba
    @GodliverByarugabaКүн бұрын

    Matako yenu

  • @amanizavala
    @amanizavala2 күн бұрын

    Nimeamni utopolo wenye akili ni wawili tu

  • @FatumaShabani-mp9vt

    @FatumaShabani-mp9vt

    2 күн бұрын

    Lia 😂😂😂😂😋😋🤭

  • @mirajiali3926

    @mirajiali3926

    2 күн бұрын

    Acha wivu kolo wewe hiyo ndio team ya wananchi

  • @user-ib2ew9ec3d

    @user-ib2ew9ec3d

    2 күн бұрын

    Utopilo wengi akili hakua

  • @FatmaRajab-ll8gw

    @FatmaRajab-ll8gw

    2 күн бұрын

    Unateseka ukiwa wapi nikiletee panadol za kenya

  • @user-ib2ew9ec3d

    @user-ib2ew9ec3d

    2 күн бұрын

    Kwenye period yako niletee Panadol ukipona nikutafune

  • @MarwaChacha-d8z
    @MarwaChacha-d8z2 күн бұрын

    Simb

  • @ZuberiMaulid-s5d
    @ZuberiMaulid-s5d2 күн бұрын

Келесі