AHMED ALLY AFUNGUKA BAADA YA CHAMA KUHAMIA YANGA “WENYE MAMLAKA YA KUMUONGELEA NI YANGA SIO MIMI”

Пікірлер: 64

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy5 күн бұрын

    Subhaanallah! Ahmed uislam hauabudiwi isipokuwa anaeabudiwa ni Allah hapo ndipo Abubakar Allah amwie radhi alisema kama mnamuabudu Muhammad Basi Muhammad Swallallahu alayhi wasallam amefatiki na kama mnamuabudu Allah basi Allah yupo.

  • @zackmwarabu7251

    @zackmwarabu7251

    4 күн бұрын

    Tumsamehe muislam mwenzetu Wana wana zilikuwa nyingi sana 😂😂😂

  • @justinmmbando5386

    @justinmmbando5386

    4 күн бұрын

    Acha Mbwembwe za udini fala ww

  • @Hamis-ks1sy

    @Hamis-ks1sy

    4 күн бұрын

    @@justinmmbando5386 nimemrekebisha Ahmed ndugu yangu katika iman sijaongea na makafiri kama wewe kaa kwa kutulia

  • @IsaacPhilemon-mt7bk
    @IsaacPhilemon-mt7bk5 күн бұрын

    Mimi ni mshabiki wa Simba ila nimefurahi Chama kuondoka Simba,ni kweli ni mzuri ila kwa Simba ya sasa hivi inahitaji wachezaji wepesi sana.Tumekosa ubingwa mara 3 tukiwanaye na tulipata ubingwa karibia mara 4 tukiwanaye.Kwahiyo kwa sasa akatoe radha upande wa pili.Simba bingwa mwaka huu.❤️❤️❤️❤️

  • @vicenttarimo2203

    @vicenttarimo2203

    5 күн бұрын

    Nakuunga mkono bado mabeki 4 na 5 wenye Kasi waongeze na viungo Namba 6 8. Namba 10 lakini pia mabeki wa pembembeni waongezwe ili ikitokea Kuna majeruhi Bado tunakua na hakiba ya wachezaji

  • @daudbutunga1190

    @daudbutunga1190

    4 күн бұрын

    Ahmed Ally umeongea vzri, huo ndo ukomavu

  • @abbassalum6824

    @abbassalum6824

    4 күн бұрын

    😀😂🤣 Washabiki wa Mpira bhan Bola kaenda kinafki angebaki ungeskia hap oooo yanga wameongea san kikowap daaar

  • @baddiekid

    @baddiekid

    4 күн бұрын

    kwami anacheza peke yake uwanjani... kukosa ubingwa na yeye kuwepo ni nini 😅

  • @baddiekid

    @baddiekid

    4 күн бұрын

    kukosa ubingwa na chama kuwepo kunahusiana nini 😂😂 mnaumia sana makolo kwan huq anachez peke yake uwanjani

  • @EmmanuelSima-qz1gd
    @EmmanuelSima-qz1gd5 күн бұрын

    Mfariji wa tim hata kama kuna maumivu kias gan lazma mgonjwa apate faraja😂😂😂

  • @jr_mkumbojr
    @jr_mkumbojr5 күн бұрын

    Umeanza kujimaliz sasa😂😂😂😂sema nakukubali sana Ahmed Ally,mashine ya kuongea

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises5 күн бұрын

    wewe ulidai kwamba chama awezi kwenda yanga

  • @aileenmphuru5106

    @aileenmphuru5106

    5 күн бұрын

    Alisema kuwa kama Simba inamhitaji hawezi kuondoka ila kama hatumuhitaji ataondoka. Hivyo ameondoka kwa kuwa hatumhitaji

  • @AllyMaya-yj3xd

    @AllyMaya-yj3xd

    4 күн бұрын

    Hajawahi kusema hivyo

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama11995 күн бұрын

    Unawadanga wenzio hivyohivyo 🤣🤣🤣

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    5 күн бұрын

    Hujui mpira wewe shangazi mchezaji kuhama timu sio kitu cha ajabu haijaanza Leo wala kwisha kesho hakuna jipya

  • @ShabanKibindi-m5l
    @ShabanKibindi-m5l5 күн бұрын

    acheni ahende zake

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m5 күн бұрын

    Katoka chama kabaki kibu na mzamiru😂😂😂😂😂😂😂

  • @ce-08

    @ce-08

    4 күн бұрын

    Mjitahid kuheshimu vya kwenu hyo kasumba wabongo tunayo sana kutukuza vya kuja na kuponda vya kwetu

  • @GoodluckMichael-hb1bv
    @GoodluckMichael-hb1bv5 күн бұрын

    Tulishinda bila Kula pale kalume juu ya morisson, mmesahau sio😂😂

  • @bone102

    @bone102

    5 күн бұрын

    Sasa Morison mlikuwa mnamgombania hadi mahakaman ila Chama hatujakesha mahakamani elewa tofaut boss

  • @silasjacob-j2l

    @silasjacob-j2l

    5 күн бұрын

    ujinga wako ndio ulikushindisha njaa ww ilikuuma benard morson aliondoka na nini chakwako mpaka ushinde njaa?

  • @elizajohn8066
    @elizajohn80664 күн бұрын

    Ata Mimi pia nimefurahi kuondoka maana alikuwa muhujumu wa simba

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa92684 күн бұрын

    Samahani msemaji sahihi ni " wale waliokuwa wana muabudu Mohamad basi Mohamad amekufa na wale waliokuwa wakimuabudu Allah basi Allah yupo hai milele " na si kuuabudu Uislamu

  • @brunochoga4932
    @brunochoga49325 күн бұрын

    Kila la kher chama

  • @vicenttarimo2203
    @vicenttarimo22035 күн бұрын

    Karibu Mutale tuleteeni kipro akaminko na fei ikiwezekana

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo4 күн бұрын

    Kiufupi nimeipenda hii ya kuachana na Chama ambaye ametumikia kwa misimu ya kutosha. Hii itaipa nafasi Simba kusajili wachezaji wengine wenye umri Mdogo ambao wataitumikia kwa hamu ya mafanikio. Ninauhakika Simba itakuwa nzuri sana maana watakuwa wakipambana sana wakiwa wageni kuliko wanaojifanya ni wenyeji.

  • @GoodluckMichael-hb1bv
    @GoodluckMichael-hb1bv5 күн бұрын

    Unajipya😂😂

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview134 күн бұрын

    Ahmed bana 😂😂😂. Kuna wakati anaongea ujinga hadi anatamani kujicheka

  • @user-yn3kg8ip2h
    @user-yn3kg8ip2h5 күн бұрын

    Ahmed ally mimi nahitaji kadi ya simba muda wote kama vip niilipie

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta96585 күн бұрын

    😂😂😂😂kujifariji tuu kuoga aaah

  • @nasrakambimton9522

    @nasrakambimton9522

    4 күн бұрын

    Kwaiyo unataka ajinyonge kafiw na watu wake wa ma'am aliumia alilila na akanyamaza itakuw chama msituchoshe ban

  • @malietamalieta9658

    @malietamalieta9658

    4 күн бұрын

    @@nasrakambimton9522 ukolo tu akili aaah🤣😂

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview134 күн бұрын

    Soka la bongo linaenda kuwa kubwa sana mbeleni. Mimi ni Yanga ila Simba sio wa kubezwa wanafanya sajili nzuri kimya kimya naamini kuna kazi ngumu sana msimu ujao. Kuwa na mastaa wengi kuna hasara sana hasa timu ikikosa morale ya kutosha. Lazma yanga ijipange kuwahudumia hao mastaa kwakuwa naamini maslahi ndo kitu muhimu kwao ili wasikose morale lasivyo itatugarimu

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana80845 күн бұрын

    Hiki kirusi bora kimeondoka

  • @ce-08
    @ce-084 күн бұрын

    Unajua sana kupangilia maneno ukpewa karata kwenye siasa ww utawashika watu mapema tu

  • @MwalimuAdamu
    @MwalimuAdamu4 күн бұрын

    Simba ni taasisi na taasisi aitegemei mtu mmoja simba nguvu moja tutakaa sawa tu

  • @erickmasumbuko3841
    @erickmasumbuko38415 күн бұрын

    Huna jipya

  • @ReginaldAplonary
    @ReginaldAplonary4 күн бұрын

    Ila huyu jamaa anaonekana anaipenda Yanga tena sana

  • @user-yw5no8hw4h
    @user-yw5no8hw4h5 күн бұрын

    Usiwatukane mwenzio mbwa wewe sio mwana soka

  • @oscarsakilu2494
    @oscarsakilu24944 күн бұрын

    Na nyie simba mchukueni gwede wa yanga

  • @PeterMghwira
    @PeterMghwira5 күн бұрын

    Jifunze kuwa Msemaji wa soka na punguza mizaha yako, umetudanganya miaka 3, huna jipya

  • @DaruweshAkida
    @DaruweshAkida4 күн бұрын

    Simba imekwisha bado yamtegemea shomari kapombe

  • @ngundejkassim3252
    @ngundejkassim32525 күн бұрын

    ahmed amekoo akili, ingekuwa zamani angepuyanga kumsema chama

  • @chillogeorge1383

    @chillogeorge1383

    4 күн бұрын

    Anaanzia wapi kumcheka Mwamba wa Lusaka?? Atachekwa nao

  • @elizabethsingano5922
    @elizabethsingano59225 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @HADSONPAUL
    @HADSONPAUL4 күн бұрын

    Unamjua simba mnyama simba anafyanta mkia mnyama

  • @salumkhalid9792
    @salumkhalid97925 күн бұрын

    Uislam hauabusiwi anae abudiwa ni allah peke yake

  • @AlexAidan-kq5zn

    @AlexAidan-kq5zn

    5 күн бұрын

    Kwan wewe unaushaidi gani umalaya tu

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2774 күн бұрын

    Ulivyokuwa unakataa nyau mweusi ww

  • @DirectorPAJAMWA
    @DirectorPAJAMWA4 күн бұрын

    MWAKATOBE AMEDATA NA TAMTHILIYA YANGU INAYOTAMBA KWA SASA - MJUKUU WA MZEE MCHAWI

  • @AshrafuMuhaji
    @AshrafuMuhaji5 күн бұрын

    Wewe ahmedi hizo ni bangi waislam hawajawahi kumwabudu MTUME Bali wanafata matendo yake

  • @rizikiabdalla2501

    @rizikiabdalla2501

    4 күн бұрын

    Hujamfahamu yy amenuu kauli ya swahaba wa mtume baada ya mtume kufaeiki walikuwa wametaharuki akasima akasema hayo maneno kwasabu walokuwepo wanafiki akisema kama anaabudiwa mtume

  • @GoodluckMichael-hb1bv
    @GoodluckMichael-hb1bv5 күн бұрын

    Mlitunyanyasa sana,, mbwa nyie

  • @JuliusWandwi

    @JuliusWandwi

    5 күн бұрын

    Ww mwenyewe maiti c afadhali mbwa?

  • @EdwardMarera-le5qt

    @EdwardMarera-le5qt

    5 күн бұрын

    Wenda wewe mwenyewe unatokana na hao wanyama make ushabik huo ni wa kishamba huwezi ita watu kuwa n mbwa bro. Jipime na kauli yako . Tambua timu hizi zitabaki miaka na miaka ila sisi matusi haya hayatusaidii baada ya hatma yetu hapa duniani.

  • @festokemibala5832

    @festokemibala5832

    5 күн бұрын

    Matusi hayaruhusiwi ktk majukwaa haya. Huna point bora ukawa kimya

  • @rasymb6190
    @rasymb61904 күн бұрын

    Na ndungu zake jamaa Hawa hapa wasani kumbe ona mana KUNA MDA UNAWEZA KUTENGENEZA MAHISIANO YAKO KUPITIA HII MOVIE ONE NA TWO YAKE NIWEWE KUTAZAMA HAPA NA UTANISHUKU UKINIELEWA NI KAZI YENYE KUJENGA SIO COMEDY TAZAMA kzread.info/dash/bejne/lGWazMqHdaXQgJs.html&si=ZE9tNM5ZZFQ8CAwj

  • @MihayoMjomba
    @MihayoMjomba4 күн бұрын

    Jamani tusijitoe akili mwamba wa lusaka ni hatari hapa kazi tunayo. Na ww mbwa msemaji lopolopo wewe siulisema Chama hawezi kucheza nyuma mwiko. Kbumb ww

Келесі