"TUNAMSIMAMISHA KAZI" AWESO ASHTUKIZA DAWASA, AZAMA CHINI YA TENKI KUKAGUA MAJI NA KUYABAINI HAYA
Жүктеу.....
Пікірлер: 147
@EmmanueliZani-ur9bi4 күн бұрын
Mheshimiwa, sababu kubwa ya kutokuwepo maji kwenye matanki ni hii. Wana Magari yao ya kusambaza maji mitaani, na hasa maeneo ya King'azi B wana soko kubwa la maji. Mabomba yapo, lakini yanatoka kwa mwezi mara 2 au hayatoki kabisa. Asante kwa ufatiliaji, mkiwa mnafanya hivi, wananchi tutapata raha kwenye Nchi yetu. Mungu akubariki Mh.
@nguruwekikwete16354 күн бұрын
Wafanyakazi wa serikali asilimia 99% ni wapumbavu haswa ndiyo maana wanalialia kuongezewa mishahara for nothing ni kama walimu hakuna wanacho fanya ila wanataka mishahara mikubwa.
@africaonechannel1289
4 күн бұрын
Ndugu!, Mbona UMEAMUA KUYASEMA MANENO YAKIWA MABICHI KABISA!? Hujayakaanga, hukuyachemsha &hata kuyaanika juani pia hukutaka!? HII NI "NGURUWE Aitwe NGURUWE●
@laurentraphael5470
4 күн бұрын
Wapuuzi sana. Waachie ngazi
@frankyeye
4 күн бұрын
Bro kwani sisi walimu kwenye maji tunaingiajee😢😢😂😢😂😢
@MohamedAhmada-ie7ke
3 күн бұрын
Kama una akili huwezi kuasema walimu hawana wanacho kifanya siwez kuwadharau kabisa hao watu ni kama wazee kwetu
@nguruwekikwete1635
3 күн бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke tatizo lako ni kukosa akili....tafuta akili utajua naongea nini ?
@hildajoel55 күн бұрын
Huyu bwana kuna kitu kinampa jeuri maana hiyo confidence sio ya kitoto😢
@saidhamza53185 күн бұрын
Hy mzee white mbona ka kalewa au👀😳
@aminamwashambwa68462 күн бұрын
Njia panda ya makabe Wana magari yanauza maji boza elfu ishirini kwa maisha gani ni manyanyaso
@aminamwashambwa68462 күн бұрын
Watu wanateseka kununua maji ndoo hamsini kwa elfu ishirini huku njia panda ya makabe, ni mateso wao wanakula mshahara na majumbani mwao maji yapo
@africaonechannel12894 күн бұрын
Mhe.WAZIRI WA MAJI!!. Utamuonea bure huyu MTAFUNA Big G. PICHA KUBWA NDANI YA UKUMBI INAJIELEZA● Hii ni HUJUMA DHIDI YAKO. Jaribu kuzipekua Sura za WASHIRIKI WOTE AND NINASEMA WOTE WA HICHO KIKAO; It's A Very Open Msg. HIZI NI SIASA ZA KIJINGA. Kuzuia hatua za Maendeleo Yetu! ●KAMA JAMII; Let's Be Serious😎
@user-bi7gk7im4f
5 сағат бұрын
😂😂. Labda anatafuna miti shamba,sio big g
@user-xn8jh1yw1h3 күн бұрын
Hatutakii mema huyo! Anatesa Jamii! Maji ni Uhai! Anahujumu uchumi.
@MariamLigoha8 сағат бұрын
Waziri Aweso na wewe ujitathmini, unaongeaje na huyo mzee anajitafuna-tafuna na humuwashi kibao. Ujue anapokudharau wewe ameidharau jamhuri ati! Ungemdhalilisha na wewe, hongera kwa uvumilivu,. Na wewe mzee acha kujitafuna, bosi mzima
@femidayahaya48824 күн бұрын
Tena alivyokua Jeuri anatafuna huku anaongea na Mkuu wake...Hyu ndo Kibaka sugu w Kodi za wananchi.
@Brunn-mh2bq
4 күн бұрын
Hatafuni. Ana tatizo la meno 😅
@laurentraphael54704 күн бұрын
Awamu ya majizi tupu. Hongereni
@MnubiMm
4 күн бұрын
Kwa Mtazamo wako haki yako
@GeorgeChacha-dd9fh5 күн бұрын
Yani unatafuna kabisa huwazi😂😂😂
@lucasmlowezi9214
4 күн бұрын
Kweli ni dharau kubwa sana, watu wanahangaika maji mzembe mmoja anazingua. Lengo serikali ya Mh. Samiah ionekane hafanyi kazi. Safi sana Mh Waziri
@verdianabanabi2205
4 күн бұрын
Anaficha harufu ya pombe au dawa za kuzindika asufukuzwe.
@SalmanMughal-lq5lt
4 күн бұрын
🤣@@verdianabanabi2205
@user-bi7gk7im4f
5 сағат бұрын
Hahahaha
@hawaelymaricca76025 күн бұрын
Tumbua wote hao wanafanya kaz kwa mazoea. hawana hata wasiwasi maana mishahara wanalipwa
@user-gy5en6cy8o
5 күн бұрын
Kabisa Kama serekal inafanya yte haya alafu hawa wajingawajinga hajui jinsi tuna yo pata shida ya maji tumbua Muheshimiwa 😢
@hamzaibrahimu4 күн бұрын
Boss njoo na Mwanza Umeme upo ziwa tunalo lakini maji ya mgao🙏
@daudimichael733813 сағат бұрын
Dah, Shaban hauko serious
@ismailmasoud60014 күн бұрын
Shabaan Mkwanye umeyakanyaga leo
@johnmwakipesile90465 күн бұрын
Hiyo ni hujuma waziwazi apo kuna watu wanakutengenezea zengwe ili utumbuliwe Mh Waziri
@sofiakhan9706
4 күн бұрын
Kweli kabisa na maada ye waziri anaondolewa wanabakia waharibifu palepale na kuendelea uzembe
@pascaldonati27114 күн бұрын
Na sis Nyashishi hatuna maji tokea Uhuru
@AugustKisaka-qy7kl11 сағат бұрын
Ongera waziri ,bado waziri wa nishati na madini atuonyeshe cheche zake, umeme garama sana atue tamko atueleweshe kwanini garama za umeme zimekuwa juu
@2003hintay4 күн бұрын
Adabu hana fukuza kazi sio kusimamisha unaongea nae yete anatafuna big G
@hamiduomar1316
Күн бұрын
Anaonesha zarau kwa wazir cjui ninani anayempa kiburi cha kujiamin mbwa huyu fukuza kabisa
@user-uo5em7im6bКүн бұрын
Nenda machine ya maji mtoni tandika ukaone hali ya maji mbaya .ulipomtumbua meneja wa Dawasa maji yakatoka kutwa ,na sasa yameondoka Tena
@omarmkumba3547Күн бұрын
Dah,ndo mana wanatubambikia maden
@babafemie4576Күн бұрын
Hii nchi inarudishwa nyuma na watendaji wa serikali, mambo ya ovyoo yanayofanyika..alafu hawajali wanamapuuzaa balaa!
@EdwardMchome2 күн бұрын
Maji yenyewe ukitaka kuunganishiwa nimelipa Nina mwezi mitatu bado maji sijaunganishiwa hani hawa wanakera sio sir
@mohammedkhimji75054 күн бұрын
Mzee White kalewa hahaha ndio maana kaamua kutafuta bigG kuua harufu
@consorathajames26934 күн бұрын
Anatafuna kizizi ndio maana ana confidence zakutosha
@DerickNgowi-mf5pe4 күн бұрын
Jaman hao wafanyakaz wanaoesabu mita ni wiz mtupu tunajaziwa bil ambayo hatujatumiwa mita yangu haifanyi kaz ila wananijazia init
@iam_sami5 күн бұрын
Ukiskia kazi na mazoea ndo haya mazoea mengiii aisee kummke tia ndani woteee
@Zaburi-5 күн бұрын
Anatafuna kitu au ndivyo alivyo?
@STEPHENKingu-yz2dk4 күн бұрын
Mama Samia meongezeee Aweso mingine
@EdwardMchome2 күн бұрын
Unaambiwa vifaa hakuna lakini ukitoa rushwa vinapatikana mimi nimeambiwa sijasoma kiuba nilikuwa sijaelewa kumbe hadi utoe rushwa vifaa vinapatikana
@super815Күн бұрын
Wazir aweso anapigya kazi atakimasihara kabisa kwenywe swala lamaji
@josephatmathiasgalagalabuh7863 күн бұрын
DAWASA tangu LUHEMEJA AONDOKE IMEKUFA
@super815Күн бұрын
Ashakulakituu halewii jicho nyanya
@GeneralSankala4 күн бұрын
Safiii sana
@sananefrank65604 күн бұрын
Njoo na mwanza haraka sana mkuuu same kunamichezo mibaya hakuna maji hapa mjini mgao mkali sana hapa Nyegezi
@jonasnyanga8167
4 күн бұрын
Acha uchochezi
@BenjaminSululu-uz6sd4 күн бұрын
Huyo anadawa mdomoni
@nenenongi66Күн бұрын
Hili ndio tatizo la ajira za kujuana, mtoto wa fulani,kwa akili za kawaida ,huwezi kufanya ujinga wa namna hii,waziri hao wote timua,wanakuharibia kazi,na wanawatesa Watanzania sana,
@evaristjoseph8151Күн бұрын
Huyo jamaa anaakili sawa kweli mbona anaulizwa anatafuna bublish
@ramadhanimohamedi7173 күн бұрын
Waziri wa maji mugu akupemaisha marefu kazi yako inaonekana
@traudkamugisha805117 сағат бұрын
Njoo na mbeya
@gordiansoko91133 күн бұрын
Sasa hivi maji tunayopokea ni machafu yana rangi uzurungi inaonyesha hayawekwi madawa ya kusafisha.
@EphulaimemanuelEmanuel4 күн бұрын
Mweshimiwa njoo mwanza nyegez hamna maj miez 3 njoo tusaidiye
@jamilamkunga234
4 күн бұрын
Na buhongwa pia
@sofiakhan97064 күн бұрын
Miezi mitatu maji hakuna City centre bill inasoma 172,500/= na nimelipa kitu kinaitwa hewa yaani kila ukijaribu kuwasha pump na line ikiwa haina maji hewa ndiyo inahesabu maji pale sasa bora kuwa na meter kama za luku pata unit kutokana na pesa yako siyo kubambikwa bill zisizokuwa na mantiki bei ya maji kuliko dhahabu duuh na wakati hakuna ,
@mwazanimnyamani8493Күн бұрын
Kama.sisi wananchi tuna uwezo aa kujaza maji kwenye. Mantenki yetu majumbani nyie mnashindwaje kujaza hayo ni makusudi na nihujuma tunateseka bila sababu
@luizabahati51984 күн бұрын
Very Sad..Tena kwa Dsm? Hii ni hujuma kabisa.
@rosemneney32444 күн бұрын
Hata sijui linatafuna nini pumbavu
@hawaelymaricca76025 күн бұрын
Maji yanatoka machafu tope tupu shoda ipo wapi jamani na bill tunalipa tumefikia huku kweli Waziri Aweso?
@bossmolellsisiya41014 күн бұрын
NJOO ARUSHA MKUU OJIONEE MAAJABU YA WIZARA YAKO IDARA MAJI WAMEJIGEUZA MUNGU MTU MAJI NI YA KUBEMBELEZA WANATUFUNGULIA MUDA WANAO TAKA WAO NA WAKI YA FUNGULIA NI NYAKATI ZA USIKU SAA 7 WANAYAKATA SAA 11 ALFAJIRI
@nishaabdula50155 күн бұрын
Aweso anaonekana mrevi tu
@jackmabirangacharles93985 күн бұрын
Waziri Aweso watu wana kufanyia Hujuma Kwa Makusudi Kwanza huyo Mfanyakazi anaonekana Mlevi hivi hivi fanya kazi Yako Mkuu Usimwonee huruma mtu fukuza tu Vijana wengi wakoitaani hawana kazi na Wana Elimu ya kutosha tu
@sofiakhan9706
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@masoudrashidmohammed412421 сағат бұрын
Hao mawaziri mbona wao hawasemi. Km haya magari tunayotumia ni ya gharama sana bei yake ni ya juu mno ili kupunguza gharama tuwaonee huruma wananchi tununueni magari ya bei ya kawaida .hawa mawaziri wao ndio watu wa mwanzo kupigwa na chini
@khadijauledi32934 күн бұрын
mmh mbona kutafuna mbele ya mheshimiwa
@user-ui5du6wj7n4 күн бұрын
Ndiyoo maana makongo maji shidaaaa dahhh sukumia ndani banaa unachelewaaa
@gililwise4 күн бұрын
Njoo Morogoro Morowasaa .maji bigwa tunapata mara moja Kwa Wiki
@user-qr2ol5td5w18 сағат бұрын
Goba tegata A huu ni mwezi wa pili hatuna maji hata
@rehemashabaniameen4 күн бұрын
Mungu atusaidie sana tuna chukia nchi yetu kumbe ni viongozi walio pewa zamana ndio mazombi wanataka tumchukie mama,mtu analizwa maswali anafumba macho huyo jeuli,kibuli
@mosesmahinya96545 күн бұрын
Boss aje akague tank la kifuru atagunduq madudu mengi
@valenakomba76864 күн бұрын
WASIKUMWAGIE KITUMBUWA MCHANGA HAO MUHESHIMIWA UWESO. WATIMUWE . NYERERE ALISEMA USIONE HAYA KUMWONEA HAYA MLEVI. NA UKITAKA KUMWUWA NYANI , USIMWANGALIE USINI.
@mussakimaro55884 күн бұрын
UJE HAPA KIBAHA MILE MOJA NIMELIPA KUUNGANISHIWA MAJI NOW MWEZI WA PILI SIJAWEKEWA MAJI SHIDA NINI MUESHIMIWA
@victorjames37304 күн бұрын
Ila hii nchii hiii😢😢
@bongo395 күн бұрын
Hiyo ni hujuma asilimia 💯 sio huyo tuu yupo na wenzake halafu matusi yote anatukanwa mama hivi nyie mawaziri hatuwaelewi kabisa mnabembrmelezana mno mama sie ndio wapiga kura wako na ndio tunaolipa kodi na hao watendaji wote tunawalipa inakuaje wanatuchezewa kiasi hiki mda huhatumbuwa mawaziri hebu waguse wanajisahau mno
@rehemarwanda6039Күн бұрын
Mh Aweso.......wewe ni mwanaume na Nusu#Wahujumu hao wanataka kumchafuaa Mh Rais bila sababu.....mitano tenaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@user-il5pk2dr5n4 күн бұрын
Aya matope ndio tunayolalamikia Savei
@shaban66445 күн бұрын
Wapige Spana, Vichwa vitakaa sawa tu.
@demicratia40715 күн бұрын
HATA Waziri naye amechelewa kufanya inspection kwa nn aje vry late watu walishateseka
@darajalakidatukilomgi2362
5 күн бұрын
Waziri nae bomu tu, alikua wapi Leo ndio anabeba makamera kukuonyesha anafanya kazi😂😂😂
@leskarmeikok8956
4 күн бұрын
Alikuwa amelala kidogo @@darajalakidatukilomgi2362
@user-oy2gp3nq4j5 күн бұрын
Aweso huku mbezi makabe hakuna maji wakiamua ata wiki 3 awatoi maji tunanunua maji unit 1sh 15000 Sijui hii biashara ni yao?
@valenakomba76864 күн бұрын
HATUWEXI KUENDELEA TUKIFUGA UZEMBE. PAMOJA NA KUWA KIONGOZI , LAZIMA UFUATILIAJI UWEPO KILA SIKU. KUHAKIKISHA YALE ULIYAAGIZA YAMEFANYWA. NA AKISIMAMISHWA HUYO , NA MSHAHARA APEWE NUSU MSHAHARA..
@abrahammtegeta6354 күн бұрын
Hata huyu Wazori naye hayuko serious. Inakuwaje Leo siku ni siku ya Tano sasa maji yanatope.
@MasoudSultan-ks6kc5 күн бұрын
PIA HUYU MSHIRIKINA ANATAFUNA MTI FULANI ANADHARAU
@lusese1
5 күн бұрын
We jamaa bhana!! Umenifanya nimepaliwa kwa kucheka ghafla bila kutegemea!!!hivi ni kibogoyo au anamambo ya jadi kama unavyosema maana sio kwa kunung'unya huko!! Loh
@emilianchibinda824 күн бұрын
Maji ni uhai,viongozi wetu hamjui? Jamani tuacheni utani hivi mji wa Dar es salaam kwa umati ule wa watu ni wa kukosekana maji jamani? Acheni utani jamani na maisha!! Hivi maji hadi yamsubiri waziri atoke Dodoma, viongozi wengine mpo wapi? Acheni utani bwana!!
@vero575 күн бұрын
Tuliaze na sisi kama kenya
@haidarimfinanga97554 күн бұрын
Mh. Hao wafanyakazi hawaonyeshi kuogopa hata kidogo. Labda wanakitu nyuma yake wanachokitegemea.
@valenakomba76864 күн бұрын
Muwe mnavaa japo kamba mkiingia huko chini ili iwe rahisi kuvutwaa kukiwa na matatizo.
@frankngoloka54165 күн бұрын
Huyo kiongozi ni jeuri Kuna kitu anajivunia
@user-kk8if8lv8x4 күн бұрын
Maji 😢niyanatoka machafu 😢
@bakarikayugwa32955 күн бұрын
Wasomi wengi ni wezi na wapigaji ira hili swala Kuna wakubwa wapo nyumba yake picha inajionyesha kua wewe ni mtu mdogo sana kwake
@collinndabi1914
4 күн бұрын
Hata wewe ungewekwa ungekuwa mwizi tu
@bakarikayugwa3295
4 күн бұрын
@@collinndabi1914 kupiga. Unapiga ira unapigaje hapo angekua kakuria uswahilini angekua namna ya kupiga we SI unaona kama kina msukuma kina Bashe wana piga huwezi shtuka
@dancerboy26864 күн бұрын
huyu waziri ndo huwaga namuelewa kweny maamuzi lakn wengne ni nyumbu tu
@mosesmahinya96545 күн бұрын
Kifuru maji changamoto sana
@darajalakidatukilomgi23625 күн бұрын
Waziri nae anachekesha leo ndio ubebe makamera kujifanya mkali😂😂😂😂 Ulikua wapi siku zote mpaka madudu yamefikia hapo? Hujui uongozi wewe
@sultanmsolon8428
4 күн бұрын
Bila makamera tungeonaje Aya madudu
@darajalakidatukilomgi2362
4 күн бұрын
@@sultanmsolon8428 hatujitani kiki simamia kazi, uko wapi mpaka madudu tuje kuyaona, usimamizi mbovu Wananchi tunahitaji maji makamera waachie waigizaji
@faridmohamed2035 күн бұрын
makampuni ya serekali watu wanakula pesa tu kazi hawafanyi kama mm nimeomba internet ya ttcl jirani yangu anatumia nimejaza formu nikaambiwa nisubiri mpaka ifike zamu yangu ikapita mwezi nikawapigia wakaniambia ikifika zamu yako utakuja kufungiwa hadi sasa nnavyokuambia ishapita miezi nane juzi nimepiga simu tena wameniambia ombi langu lipo kwenye system niendelee kusubiri
@alexaloys51544 күн бұрын
Njoo huku mwanza ujionee mheshimiwa
@Brunn-mh2bq4 күн бұрын
Huyu wa Bodi naye anaongea upuuzi eti anasubiri maelekezo ya waziri. Kwani bodi walikuwa wapi hata wasijue matatizo haya? Amekaa tu anapaka nywele black bila aibu. Waziri amekosea kutokumpasha huyu mtu. Bodi iwajibike. Kanchi ka ajabu kweli .
@rkcomercialenterprises32095 күн бұрын
Kusikilizana ni afya kwa taifa
@sixmundleonard21354 күн бұрын
Jamaa anatafuna kamzizi😅
@malikkb64445 күн бұрын
Huu ni hujuma.. Wafunguliwe mashtaka
@MagdalenaThomas-cz1qp4 күн бұрын
Anatafuna dawa huyo Mkuu kuwa makini badala yakumfukuza kazi unaweza kumpandisha cheo
@batonbernald9164
4 күн бұрын
😊
@neemakerefu48764 күн бұрын
Waziri Wangu Ndiyo ujue watendaji wako niwajeuri sanaaa hata ukiwapigia simu ndivyo wanajibu Kwa jeuri Tusaidie Watakuwa wameanza Biashara ya uuzaji wa magari
@user-oy2gp3nq4j5 күн бұрын
Wanamagari yao tunauziwa maji ghali
@elisantemrita94904 күн бұрын
Eti akae pembeni uyo nikutimua mazima
@majidhamis61364 күн бұрын
tembea na uku kibt maj mwez mara moja
@Ngakux06445 күн бұрын
Angalia channel yangu😂
@Zenny895 күн бұрын
KUMBE TANZANIA TUNAWAZIRI WA MAJI??? NILIKUWA SIJUI!!! NILIFIKI MAJI LAZIMA UJICHIMBIE KISIMA MWENYEWE🤣
@gililwise4 күн бұрын
Hivi unaongea name waziri unatafuna biggee.hizo ni dharau
@valenakomba76864 күн бұрын
JILEVI HILO HULIONI DOMO LAKE ?. HANA MAANA HUYO NI MUUWAJI. MTOWENI HAPO , WAWEKENI WATU WENYE AKILI ZAO HAPO WAFANYE KAZI. WATIMUWE HAO.
@saidalhinai11314 күн бұрын
Huyo jamaa ni jeuri sana fukuza mshenzi hakuna kubembeleza
@user-oy2gp3nq4j5 күн бұрын
Wananchi tunateseka ata tukipiga simu kuulizia majibu ni mabaya
@user-tm3dx2ey7j4 күн бұрын
Mheshimiwa tumbua hiyo jipu majipu haya hata kibaha yapo aweso tembelea mkoa wa pwani ufike hapa Boko mnemela
@jastinonline89964 күн бұрын
hii ni drama
@demicratia40715 күн бұрын
😂Makonda atashika SECTORS NGAPI???😂 maana sasa bila MAKONDA mhhhhh
Пікірлер: 147
Mheshimiwa, sababu kubwa ya kutokuwepo maji kwenye matanki ni hii. Wana Magari yao ya kusambaza maji mitaani, na hasa maeneo ya King'azi B wana soko kubwa la maji. Mabomba yapo, lakini yanatoka kwa mwezi mara 2 au hayatoki kabisa. Asante kwa ufatiliaji, mkiwa mnafanya hivi, wananchi tutapata raha kwenye Nchi yetu. Mungu akubariki Mh.
Wafanyakazi wa serikali asilimia 99% ni wapumbavu haswa ndiyo maana wanalialia kuongezewa mishahara for nothing ni kama walimu hakuna wanacho fanya ila wanataka mishahara mikubwa.
@africaonechannel1289
4 күн бұрын
Ndugu!, Mbona UMEAMUA KUYASEMA MANENO YAKIWA MABICHI KABISA!? Hujayakaanga, hukuyachemsha &hata kuyaanika juani pia hukutaka!? HII NI "NGURUWE Aitwe NGURUWE●
@laurentraphael5470
4 күн бұрын
Wapuuzi sana. Waachie ngazi
@frankyeye
4 күн бұрын
Bro kwani sisi walimu kwenye maji tunaingiajee😢😢😂😢😂😢
@MohamedAhmada-ie7ke
3 күн бұрын
Kama una akili huwezi kuasema walimu hawana wanacho kifanya siwez kuwadharau kabisa hao watu ni kama wazee kwetu
@nguruwekikwete1635
3 күн бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke tatizo lako ni kukosa akili....tafuta akili utajua naongea nini ?
Huyu bwana kuna kitu kinampa jeuri maana hiyo confidence sio ya kitoto😢
Hy mzee white mbona ka kalewa au👀😳
Njia panda ya makabe Wana magari yanauza maji boza elfu ishirini kwa maisha gani ni manyanyaso
Watu wanateseka kununua maji ndoo hamsini kwa elfu ishirini huku njia panda ya makabe, ni mateso wao wanakula mshahara na majumbani mwao maji yapo
Mhe.WAZIRI WA MAJI!!. Utamuonea bure huyu MTAFUNA Big G. PICHA KUBWA NDANI YA UKUMBI INAJIELEZA● Hii ni HUJUMA DHIDI YAKO. Jaribu kuzipekua Sura za WASHIRIKI WOTE AND NINASEMA WOTE WA HICHO KIKAO; It's A Very Open Msg. HIZI NI SIASA ZA KIJINGA. Kuzuia hatua za Maendeleo Yetu! ●KAMA JAMII; Let's Be Serious😎
@user-bi7gk7im4f
5 сағат бұрын
😂😂. Labda anatafuna miti shamba,sio big g
Hatutakii mema huyo! Anatesa Jamii! Maji ni Uhai! Anahujumu uchumi.
Waziri Aweso na wewe ujitathmini, unaongeaje na huyo mzee anajitafuna-tafuna na humuwashi kibao. Ujue anapokudharau wewe ameidharau jamhuri ati! Ungemdhalilisha na wewe, hongera kwa uvumilivu,. Na wewe mzee acha kujitafuna, bosi mzima
Tena alivyokua Jeuri anatafuna huku anaongea na Mkuu wake...Hyu ndo Kibaka sugu w Kodi za wananchi.
@Brunn-mh2bq
4 күн бұрын
Hatafuni. Ana tatizo la meno 😅
Awamu ya majizi tupu. Hongereni
@MnubiMm
4 күн бұрын
Kwa Mtazamo wako haki yako
Yani unatafuna kabisa huwazi😂😂😂
@lucasmlowezi9214
4 күн бұрын
Kweli ni dharau kubwa sana, watu wanahangaika maji mzembe mmoja anazingua. Lengo serikali ya Mh. Samiah ionekane hafanyi kazi. Safi sana Mh Waziri
@verdianabanabi2205
4 күн бұрын
Anaficha harufu ya pombe au dawa za kuzindika asufukuzwe.
@SalmanMughal-lq5lt
4 күн бұрын
🤣@@verdianabanabi2205
@user-bi7gk7im4f
5 сағат бұрын
Hahahaha
Tumbua wote hao wanafanya kaz kwa mazoea. hawana hata wasiwasi maana mishahara wanalipwa
@user-gy5en6cy8o
5 күн бұрын
Kabisa Kama serekal inafanya yte haya alafu hawa wajingawajinga hajui jinsi tuna yo pata shida ya maji tumbua Muheshimiwa 😢
Boss njoo na Mwanza Umeme upo ziwa tunalo lakini maji ya mgao🙏
Dah, Shaban hauko serious
Shabaan Mkwanye umeyakanyaga leo
Hiyo ni hujuma waziwazi apo kuna watu wanakutengenezea zengwe ili utumbuliwe Mh Waziri
@sofiakhan9706
4 күн бұрын
Kweli kabisa na maada ye waziri anaondolewa wanabakia waharibifu palepale na kuendelea uzembe
Na sis Nyashishi hatuna maji tokea Uhuru
Ongera waziri ,bado waziri wa nishati na madini atuonyeshe cheche zake, umeme garama sana atue tamko atueleweshe kwanini garama za umeme zimekuwa juu
Adabu hana fukuza kazi sio kusimamisha unaongea nae yete anatafuna big G
@hamiduomar1316
Күн бұрын
Anaonesha zarau kwa wazir cjui ninani anayempa kiburi cha kujiamin mbwa huyu fukuza kabisa
Nenda machine ya maji mtoni tandika ukaone hali ya maji mbaya .ulipomtumbua meneja wa Dawasa maji yakatoka kutwa ,na sasa yameondoka Tena
Dah,ndo mana wanatubambikia maden
Hii nchi inarudishwa nyuma na watendaji wa serikali, mambo ya ovyoo yanayofanyika..alafu hawajali wanamapuuzaa balaa!
Maji yenyewe ukitaka kuunganishiwa nimelipa Nina mwezi mitatu bado maji sijaunganishiwa hani hawa wanakera sio sir
Mzee White kalewa hahaha ndio maana kaamua kutafuta bigG kuua harufu
Anatafuna kizizi ndio maana ana confidence zakutosha
Jaman hao wafanyakaz wanaoesabu mita ni wiz mtupu tunajaziwa bil ambayo hatujatumiwa mita yangu haifanyi kaz ila wananijazia init
Ukiskia kazi na mazoea ndo haya mazoea mengiii aisee kummke tia ndani woteee
Anatafuna kitu au ndivyo alivyo?
Mama Samia meongezeee Aweso mingine
Unaambiwa vifaa hakuna lakini ukitoa rushwa vinapatikana mimi nimeambiwa sijasoma kiuba nilikuwa sijaelewa kumbe hadi utoe rushwa vifaa vinapatikana
Wazir aweso anapigya kazi atakimasihara kabisa kwenywe swala lamaji
DAWASA tangu LUHEMEJA AONDOKE IMEKUFA
Ashakulakituu halewii jicho nyanya
Safiii sana
Njoo na mwanza haraka sana mkuuu same kunamichezo mibaya hakuna maji hapa mjini mgao mkali sana hapa Nyegezi
@jonasnyanga8167
4 күн бұрын
Acha uchochezi
Huyo anadawa mdomoni
Hili ndio tatizo la ajira za kujuana, mtoto wa fulani,kwa akili za kawaida ,huwezi kufanya ujinga wa namna hii,waziri hao wote timua,wanakuharibia kazi,na wanawatesa Watanzania sana,
Huyo jamaa anaakili sawa kweli mbona anaulizwa anatafuna bublish
Waziri wa maji mugu akupemaisha marefu kazi yako inaonekana
Njoo na mbeya
Sasa hivi maji tunayopokea ni machafu yana rangi uzurungi inaonyesha hayawekwi madawa ya kusafisha.
Mweshimiwa njoo mwanza nyegez hamna maj miez 3 njoo tusaidiye
@jamilamkunga234
4 күн бұрын
Na buhongwa pia
Miezi mitatu maji hakuna City centre bill inasoma 172,500/= na nimelipa kitu kinaitwa hewa yaani kila ukijaribu kuwasha pump na line ikiwa haina maji hewa ndiyo inahesabu maji pale sasa bora kuwa na meter kama za luku pata unit kutokana na pesa yako siyo kubambikwa bill zisizokuwa na mantiki bei ya maji kuliko dhahabu duuh na wakati hakuna ,
Kama.sisi wananchi tuna uwezo aa kujaza maji kwenye. Mantenki yetu majumbani nyie mnashindwaje kujaza hayo ni makusudi na nihujuma tunateseka bila sababu
Very Sad..Tena kwa Dsm? Hii ni hujuma kabisa.
Hata sijui linatafuna nini pumbavu
Maji yanatoka machafu tope tupu shoda ipo wapi jamani na bill tunalipa tumefikia huku kweli Waziri Aweso?
NJOO ARUSHA MKUU OJIONEE MAAJABU YA WIZARA YAKO IDARA MAJI WAMEJIGEUZA MUNGU MTU MAJI NI YA KUBEMBELEZA WANATUFUNGULIA MUDA WANAO TAKA WAO NA WAKI YA FUNGULIA NI NYAKATI ZA USIKU SAA 7 WANAYAKATA SAA 11 ALFAJIRI
Aweso anaonekana mrevi tu
Waziri Aweso watu wana kufanyia Hujuma Kwa Makusudi Kwanza huyo Mfanyakazi anaonekana Mlevi hivi hivi fanya kazi Yako Mkuu Usimwonee huruma mtu fukuza tu Vijana wengi wakoitaani hawana kazi na Wana Elimu ya kutosha tu
@sofiakhan9706
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂
Hao mawaziri mbona wao hawasemi. Km haya magari tunayotumia ni ya gharama sana bei yake ni ya juu mno ili kupunguza gharama tuwaonee huruma wananchi tununueni magari ya bei ya kawaida .hawa mawaziri wao ndio watu wa mwanzo kupigwa na chini
mmh mbona kutafuna mbele ya mheshimiwa
Ndiyoo maana makongo maji shidaaaa dahhh sukumia ndani banaa unachelewaaa
Njoo Morogoro Morowasaa .maji bigwa tunapata mara moja Kwa Wiki
Goba tegata A huu ni mwezi wa pili hatuna maji hata
Mungu atusaidie sana tuna chukia nchi yetu kumbe ni viongozi walio pewa zamana ndio mazombi wanataka tumchukie mama,mtu analizwa maswali anafumba macho huyo jeuli,kibuli
Boss aje akague tank la kifuru atagunduq madudu mengi
WASIKUMWAGIE KITUMBUWA MCHANGA HAO MUHESHIMIWA UWESO. WATIMUWE . NYERERE ALISEMA USIONE HAYA KUMWONEA HAYA MLEVI. NA UKITAKA KUMWUWA NYANI , USIMWANGALIE USINI.
UJE HAPA KIBAHA MILE MOJA NIMELIPA KUUNGANISHIWA MAJI NOW MWEZI WA PILI SIJAWEKEWA MAJI SHIDA NINI MUESHIMIWA
Ila hii nchii hiii😢😢
Hiyo ni hujuma asilimia 💯 sio huyo tuu yupo na wenzake halafu matusi yote anatukanwa mama hivi nyie mawaziri hatuwaelewi kabisa mnabembrmelezana mno mama sie ndio wapiga kura wako na ndio tunaolipa kodi na hao watendaji wote tunawalipa inakuaje wanatuchezewa kiasi hiki mda huhatumbuwa mawaziri hebu waguse wanajisahau mno
Mh Aweso.......wewe ni mwanaume na Nusu#Wahujumu hao wanataka kumchafuaa Mh Rais bila sababu.....mitano tenaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aya matope ndio tunayolalamikia Savei
Wapige Spana, Vichwa vitakaa sawa tu.
HATA Waziri naye amechelewa kufanya inspection kwa nn aje vry late watu walishateseka
@darajalakidatukilomgi2362
5 күн бұрын
Waziri nae bomu tu, alikua wapi Leo ndio anabeba makamera kukuonyesha anafanya kazi😂😂😂
@leskarmeikok8956
4 күн бұрын
Alikuwa amelala kidogo @@darajalakidatukilomgi2362
Aweso huku mbezi makabe hakuna maji wakiamua ata wiki 3 awatoi maji tunanunua maji unit 1sh 15000 Sijui hii biashara ni yao?
HATUWEXI KUENDELEA TUKIFUGA UZEMBE. PAMOJA NA KUWA KIONGOZI , LAZIMA UFUATILIAJI UWEPO KILA SIKU. KUHAKIKISHA YALE ULIYAAGIZA YAMEFANYWA. NA AKISIMAMISHWA HUYO , NA MSHAHARA APEWE NUSU MSHAHARA..
Hata huyu Wazori naye hayuko serious. Inakuwaje Leo siku ni siku ya Tano sasa maji yanatope.
PIA HUYU MSHIRIKINA ANATAFUNA MTI FULANI ANADHARAU
@lusese1
5 күн бұрын
We jamaa bhana!! Umenifanya nimepaliwa kwa kucheka ghafla bila kutegemea!!!hivi ni kibogoyo au anamambo ya jadi kama unavyosema maana sio kwa kunung'unya huko!! Loh
Maji ni uhai,viongozi wetu hamjui? Jamani tuacheni utani hivi mji wa Dar es salaam kwa umati ule wa watu ni wa kukosekana maji jamani? Acheni utani jamani na maisha!! Hivi maji hadi yamsubiri waziri atoke Dodoma, viongozi wengine mpo wapi? Acheni utani bwana!!
Tuliaze na sisi kama kenya
Mh. Hao wafanyakazi hawaonyeshi kuogopa hata kidogo. Labda wanakitu nyuma yake wanachokitegemea.
Muwe mnavaa japo kamba mkiingia huko chini ili iwe rahisi kuvutwaa kukiwa na matatizo.
Huyo kiongozi ni jeuri Kuna kitu anajivunia
Maji 😢niyanatoka machafu 😢
Wasomi wengi ni wezi na wapigaji ira hili swala Kuna wakubwa wapo nyumba yake picha inajionyesha kua wewe ni mtu mdogo sana kwake
@collinndabi1914
4 күн бұрын
Hata wewe ungewekwa ungekuwa mwizi tu
@bakarikayugwa3295
4 күн бұрын
@@collinndabi1914 kupiga. Unapiga ira unapigaje hapo angekua kakuria uswahilini angekua namna ya kupiga we SI unaona kama kina msukuma kina Bashe wana piga huwezi shtuka
huyu waziri ndo huwaga namuelewa kweny maamuzi lakn wengne ni nyumbu tu
Kifuru maji changamoto sana
Waziri nae anachekesha leo ndio ubebe makamera kujifanya mkali😂😂😂😂 Ulikua wapi siku zote mpaka madudu yamefikia hapo? Hujui uongozi wewe
@sultanmsolon8428
4 күн бұрын
Bila makamera tungeonaje Aya madudu
@darajalakidatukilomgi2362
4 күн бұрын
@@sultanmsolon8428 hatujitani kiki simamia kazi, uko wapi mpaka madudu tuje kuyaona, usimamizi mbovu Wananchi tunahitaji maji makamera waachie waigizaji
makampuni ya serekali watu wanakula pesa tu kazi hawafanyi kama mm nimeomba internet ya ttcl jirani yangu anatumia nimejaza formu nikaambiwa nisubiri mpaka ifike zamu yangu ikapita mwezi nikawapigia wakaniambia ikifika zamu yako utakuja kufungiwa hadi sasa nnavyokuambia ishapita miezi nane juzi nimepiga simu tena wameniambia ombi langu lipo kwenye system niendelee kusubiri
Njoo huku mwanza ujionee mheshimiwa
Huyu wa Bodi naye anaongea upuuzi eti anasubiri maelekezo ya waziri. Kwani bodi walikuwa wapi hata wasijue matatizo haya? Amekaa tu anapaka nywele black bila aibu. Waziri amekosea kutokumpasha huyu mtu. Bodi iwajibike. Kanchi ka ajabu kweli .
Kusikilizana ni afya kwa taifa
Jamaa anatafuna kamzizi😅
Huu ni hujuma.. Wafunguliwe mashtaka
Anatafuna dawa huyo Mkuu kuwa makini badala yakumfukuza kazi unaweza kumpandisha cheo
@batonbernald9164
4 күн бұрын
😊
Waziri Wangu Ndiyo ujue watendaji wako niwajeuri sanaaa hata ukiwapigia simu ndivyo wanajibu Kwa jeuri Tusaidie Watakuwa wameanza Biashara ya uuzaji wa magari
Wanamagari yao tunauziwa maji ghali
Eti akae pembeni uyo nikutimua mazima
tembea na uku kibt maj mwez mara moja
Angalia channel yangu😂
KUMBE TANZANIA TUNAWAZIRI WA MAJI??? NILIKUWA SIJUI!!! NILIFIKI MAJI LAZIMA UJICHIMBIE KISIMA MWENYEWE🤣
Hivi unaongea name waziri unatafuna biggee.hizo ni dharau
JILEVI HILO HULIONI DOMO LAKE ?. HANA MAANA HUYO NI MUUWAJI. MTOWENI HAPO , WAWEKENI WATU WENYE AKILI ZAO HAPO WAFANYE KAZI. WATIMUWE HAO.
Huyo jamaa ni jeuri sana fukuza mshenzi hakuna kubembeleza
Wananchi tunateseka ata tukipiga simu kuulizia majibu ni mabaya
Mheshimiwa tumbua hiyo jipu majipu haya hata kibaha yapo aweso tembelea mkoa wa pwani ufike hapa Boko mnemela
hii ni drama
😂Makonda atashika SECTORS NGAPI???😂 maana sasa bila MAKONDA mhhhhh
@leskarmeikok8956
4 күн бұрын
Hii wizara mama ampe makonda tu hata kwa miezi 6
@sophsoph4740
4 күн бұрын
Hanakaz yule jamaa😂😂 SPANA YA MAAANA