WAZIRI AMVAA MKANDARASI "BWAWA LILILOTUMIA MILIONI 600 LIKO WAPI?, POLISI WAKAMATE"

Пікірлер: 142

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru50232 жыл бұрын

    Aliyeiona hiyo Temporary camp house ya Million Saba, hapo anipe like 👍 nzito kwamba wahuni wamerudi hewani kama kawa🙆‍♂️🙆‍♂️😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @luischoma5094

    @luischoma5094

    2 жыл бұрын

    Tena wahuni wa vilemba

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Na bado 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fettyfay2334

    @fettyfay2334

    2 жыл бұрын

    Hahaaàaaaaaa. Hataliiiiiiiiii

  • @yohanabundala9162

    @yohanabundala9162

    Жыл бұрын

    Hapo ndo nimeamini uhuni unaofanywa Milioni 7 hapo kilochotumika si ni mabati na mbao tu, hesabu ya haraka haraka hazidi milioni4

  • @elishakayagwa9371

    @elishakayagwa9371

    23 күн бұрын

    Mil 4 au mil 1?

  • @ombenishirima6444
    @ombenishirima64442 жыл бұрын

    Kwa kweli Jumaa Awesu Mungu akubariki unafanya Kazi njema

  • @deoprosper556
    @deoprosper5562 жыл бұрын

    Mobilisation,De- mobilisation establishement of temporary house banda la maneno mengi ya kitaalam yanamsaidia nn mwananchi wa kawaida ww mpe maji this is what the late president of Tanzania JPM didn't want to hear

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😬

  • @ramsdenjames9782

    @ramsdenjames9782

    2 жыл бұрын

    Hicho kibanda cha bati mil 7

  • @victorwilliam1111

    @victorwilliam1111

    Жыл бұрын

    Demobilisation kwani amemaliza kazi?

  • @c75923
    @c759232 жыл бұрын

    Katika Mawaziri WACHACHE SANA naowakubali katika uongozi wa awamu hii Jumaa Aweso ni namba moja!!!! Yaani anapiga kazi sanaaaaa!!! Hizi mambo za kusema siwezi kufokea watu wazima zitaucosti uongozi huu ndio maana tumerudi uchumi wa chini! Jifanyeni wastaarabu tu

  • @ridhiwaniomari7425

    @ridhiwaniomari7425

    2 жыл бұрын

    Yaani kamshinda hata Majaliwa

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha85362 жыл бұрын

    1:50 Temporary camp house ya milion 7 ndio BANDA LA MABATI KAAH ASEE WIZI WA OVYO

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63522 жыл бұрын

    Pumbavu kabisa. Asante Waziri kwa kuwakusanya hao WAHUNI ndani ya Defender. Wapigwe viboko hadharani.

  • @raphaelsikumbi5517
    @raphaelsikumbi55172 жыл бұрын

    Watenda kazi ndani ya taifa letu bila fimbo hawaendi magufuri aliwadhibiti kwa asilimia kubwa wanamwita dikteka

  • @mosesmwailenge5192

    @mosesmwailenge5192

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa kaka umenena vyema lisibatilike hata Nemo Moja 👍👍👍

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    2 жыл бұрын

    Ndo hapo wanataka viongozi wa aina gani ,MIE NLITAMANI JPM ABANE ZAIDI YA ALIVYOKUWA AKIBANA , OTHERWISE TUTAWALIWE TU TENA KAMA ALIVYOKUWA ANASEMA TRUMP ,AFRICA KWA MWENDO HUU TUTAWALIWE TENA MAANA TUNAANGUSHANA SANA ,WAKIJA VIONGOZI WANAOSIMAMIA TUNAWATUHUMU ,WAKIJA WANAOTUBEBA BADO TUNAFANYA MADUDU JAMANI ,WATANZANIA TUNATAKA NINI ????

  • @njaapangai2149
    @njaapangai21492 жыл бұрын

    hongera mwamba kutoka pangani fanya kazi ww ni mtoto wa magu

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme2 жыл бұрын

    Hatari sana na huo ndio mwanzo tu mpka tukifika 2030 nchi hoi bin taban na bado beach tayali lishaingia chaka bimkubwa wanamchezesha jinsi wanavyotaka 😭 wanafanya nchi kama mali ya mababa zao nawaambia hipo siku yenu jibu mtakuja kulipata hapa hapa duniani

  • @uklife5232
    @uklife52322 жыл бұрын

    🤣🤣🤣Banda la milion 7 tumeliona ahsanteni sana

  • @raphaelsikumbi5517

    @raphaelsikumbi5517

    2 жыл бұрын

    Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vimepanda bei

  • @alexmgusi2534

    @alexmgusi2534

    2 жыл бұрын

    Nchi ngumu sana hiii😁😁😁😁

  • @christopherdimagaaaikopouw916

    @christopherdimagaaaikopouw916

    2 жыл бұрын

    @@raphaelsikumbi5517 😂😂😂😂😂 Kwan bando moja ya bati sa ivi inauzwa bei gan raphael?

  • @raphaelsikumbi5517

    @raphaelsikumbi5517

    2 жыл бұрын

    @@christopherdimagaaaikopouw916 ndugu yangu hii nchi ina ugonjwa hatari sana ukitaka kutibu tatizo wanakuinukia na kukuambia wewe ni dikteta au muuaji kisha baadae wanakuondoa eneo la uongozi na kukusahau

  • @omeysuper

    @omeysuper

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael54702 жыл бұрын

    Haya ndio matokeo ya kuwa na kiongozi dhaifu. Ukiwa na system dhaifu utapigwa tu na wahuni.

  • @stephenmtenga897
    @stephenmtenga8972 жыл бұрын

    Namna pekee ya kuikomboa nchi yetu ni kubadili fikra za watanzania, wawe wanajitambua na kujiheshimu. Ni kazi ngumu, ya muda mrefu, inatakiwa tuanze na watoto wetu tangu wangali wadogo. Hasa tuwe na mtaala wa kuwasaidia kujitambua. Mambo mengine ni ya kihuni tu, huwezi kuyafanya kama umelelewa vizuri.

  • @tommethodjr.9731

    @tommethodjr.9731

    2 жыл бұрын

    Umenena vyema

  • @gracegrace6200
    @gracegrace62002 жыл бұрын

    Huu ndiyo mutindo Hayati Magufuli aliweza kufanikiwa. Muiteni Hayati Magufuli majina yeyote yale. Aliweza pale viongozi waliomutangulia walishindwa. Lala salama baba, ulisema tutakukumbuka na kweli.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat63523 ай бұрын

    Waziri kidogo amchape kofi huyo Msenge eti mkandarasi😂😂😂

  • @happyshayo8100
    @happyshayo81002 жыл бұрын

    Tanzania nchi yangu huwezi amino hayo maji ndio wanapikia na kunywa mungu tusaidie Tanzania nchi

  • @kabwelasutiviraka4765

    @kabwelasutiviraka4765

    2 жыл бұрын

    Sasa Serikali ifanyeje hela imetoa na kujenga bwawa hapo mafisadi wamekula million 600

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli39742 жыл бұрын

    Iyo mijizi, kama wezi wengine tu wa uswahilini ilikua ipigwe mawe adi kufa, Big up mueshimiwa Waziri

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020242 жыл бұрын

    Yamerudi yale yale na watu wanaiona tena nchi kuwa shamba la bibi.

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya99242 жыл бұрын

    Yule mzee alipofariki yote haya yakaaza watu kuchukulia poa pesa za serikali daah aibu sanaa

  • @shubebunyesi542

    @shubebunyesi542

    2 жыл бұрын

    Jamani c ndio viongozi walioteuliwa wanapiga Kazi kuwazuia wezi ndugu ni inshu kwaiyo unapoonda hatua zinachukuliwa tusiingize mambo ambayo hayapo coz ata magu hakuweza kuwadhibiti wote na pesa wamepiga nyingi tu ktk uongozi wake

  • @isaacmwaseba9972

    @isaacmwaseba9972

    2 жыл бұрын

    Ni.kweli nakubali magu kafanya kazi ila Kama nchi hii huijui tulia kuna barabara bunda to mugumu inamiaka saba haiishi sasa hivi ndio naiona inakimbia ila ukiuliza utaelewa.

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn49562 жыл бұрын

    Hayo mabat kupiga hapo ni mil7

  • @raphaelsikumbi5517

    @raphaelsikumbi5517

    2 жыл бұрын

    Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын

    Hawa wangekuwa wanavyongwa tu au unapachapa viboko na mijeredi na unawaachia wakimbie kama wanyama halafu unatwanga risasi za matakoni na kisogoni nguruwe hawa. Ngoja JPM liberation front tuiingie madarakani wala rushwa wote na wafisadi ni kunyonga hadharani

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂risas za matakon

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Viboko na mijeredi 🤭😃😃😃😃 leo umenifurahisha!🤣🤣🤣

  • @daudimasumbuko6645

    @daudimasumbuko6645

    2 жыл бұрын

    Yaani nikupiga risasi wote walioko kwenye mfumo wa ufisadi, harafu tunaanza upya

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo76782 жыл бұрын

    tatizo viongozi hawaendi kukagua miradi

  • @mokhimji
    @mokhimji2 жыл бұрын

    Tanzania wakandarasi wapo... sema tenda zinauzwa kwa washikaji na kila bodi ina mkato wake. RIP JPM

  • @khamisally9559

    @khamisally9559

    2 жыл бұрын

    RIP inakujaje hapo?. Badala ya kumpongeza Aweso kwa kuchukua hatua unaleta usenge.

  • @hizamwaimu3918
    @hizamwaimu39182 жыл бұрын

    Imekaa vizuri

  • @hallin9561
    @hallin95612 жыл бұрын

    hayati magufuli alivyodeal na hawa wasenge mlimuita diktetA, nchi imerud tena kwenye ulegelege tena

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 жыл бұрын

    Ongera sana waziri.Ni wizi mtupu unaofanyika.

  • @seifsalim2039
    @seifsalim20392 жыл бұрын

    Lkn mbn kipindi Cha Uncle magu mbn Kila mtu alikua na adabu zake ilikua hakuna ujinga huu

  • @hustlerjailan2287
    @hustlerjailan22872 жыл бұрын

    Big up waziri

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa937123 күн бұрын

    😂😂Temporary house mil.7 😂😂 yaani banda la laki 4😂😂😂 hii nchi jmn😂😂😂

  • @samuelminja6590
    @samuelminja65902 жыл бұрын

    Eti tanzania kunawashika dini hamna kitu tz hilo ndio bwawa la 600 milioni duu nyumba ya mabati milioni 7

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers47342 жыл бұрын

    Alafu jamaa anaonyesha kibuli sana yaan anajiamini kupita maelezo anapiga makofi bila wasi wasi

  • @kiariedavid8370

    @kiariedavid8370

    2 жыл бұрын

    nahisi alikuwa mwanakwaya sasa akadhani waziri ana iba.

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    2 жыл бұрын

    @@kiariedavid8370 😂😂 atajua hajui kwa mziki wa Aweso

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    2 жыл бұрын

    @@kiariedavid8370 😂😂😂😂ndo atajua hajui tu

  • @majimotomalole1809
    @majimotomalole18092 жыл бұрын

    Huko Tanga kuna shida.Wataamu wa kulamba asali 🍯

  • @fatumazuberi9842
    @fatumazuberi98422 жыл бұрын

    Na wamechacha hao wakandalasi huyu kama wa tatu hivi anafanya hivi hivi mmjoja alijenga banda la lakitano kaandika million 100 aisee mama uwe makini.

  • @homeboy2307
    @homeboy23072 жыл бұрын

    wanapatawapi huo ujasili wa kura hela ya kodi

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo78162 жыл бұрын

    Ni huzuni kwa kweli

  • @augustinoevarist6754
    @augustinoevarist67542 жыл бұрын

    Nyumba ya Million saba hiyoo daaaah

  • @amalikakiva4937
    @amalikakiva49372 жыл бұрын

    Huyu jamaa anafaa kuwa rais.nakutabiria makubwa.

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Hawezi kuwa rais kwasababu waswahili hawawapemdi watu wakweli na ikiwezekana basi wanamuua , bongo rais lazima atoke dar es salaam alafu hawe na itikadi hizo ndio tutafanyikiwa lakini mtu kutoka shamba lazima tu watamzunguka wahuni wa mijini

  • @jabirmfinanga552
    @jabirmfinanga5522 жыл бұрын

    Tusaidieni jaman tumewapa kura zetu jaman

  • @castobenjamin4074
    @castobenjamin40742 жыл бұрын

    Hizi ni dharau za hali ya juu, hizo hesabu hata kama mimi sio Mkandarasi huu ni wizi wa wazi na Ufisadi hakuna haja ya ku discuss weka ndani wote wajinga haoo

  • @juliussuleiman3999
    @juliussuleiman39992 жыл бұрын

    Kwa nini bakora hazitumiki??? Watu kama hawa kabla ya kuswekwa ndani walistahili kwanza wapate bakora(viboko) iwe fundisho kwa wengine wenye tabia kama hizi, Inauma sana fedha ya umma kuchezewa kama hivi halafu anaongea na waziri kwa ujeuri kama vile anaongea na mhuni mwenzie, huyu jamaa mkimtoa mmetukera duniani mpaka ahera, mwacheni aozee huko huko

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili74962 жыл бұрын

    Tatizo Rais wetu anabembeleza nyani,hatuwezi kufika,

  • @onesphoryo407
    @onesphoryo4072 жыл бұрын

    dah temporary house million.7 haaaa banda la kuku an Tz kuchekea watu kama hawa upuuzi.xnaa

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace35092 жыл бұрын

    Duuu hata Mimi ningeweza kuchimba hivi

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr78342 жыл бұрын

    Anaomba aweke Maelezo😅😅😅

  • @yayananajota5838
    @yayananajota58382 жыл бұрын

    Serikari za uchochoroni hizo, pesa ziliwe mama yupo ulaya shida nini, wacha wale maziwa na asali mana mama kasema kuleni kidogo wanangu mnanjaa😅😅

  • @nancykiduda729
    @nancykiduda7292 жыл бұрын

    Sweka ndani wote

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh7862 жыл бұрын

    Hivi hawa watendaji na mkandarasi mbona wanakiburinna ujinga sana.Hatuwezi watandika viboko hawa?

  • @stevenlugojeremia2323

    @stevenlugojeremia2323

    2 жыл бұрын

    😅😅😅

  • @missangela6720
    @missangela67202 жыл бұрын

    Mwiteni Magu ndiye kiboko ya hao machunguchu😂😂😂

  • @fettyfay2334
    @fettyfay23342 жыл бұрын

    Temporaly camp house. Real shit🤔😂😂

  • @saidhassan7779
    @saidhassan77792 жыл бұрын

    Huyu Jamaa anajitahidi sana,kwa hakika

  • @ngoshazprank1384
    @ngoshazprank13842 жыл бұрын

    1:46 🤣🤣

  • @yayananajota5838
    @yayananajota58382 жыл бұрын

    Serikari imejipambanuaaa🙄🙄😏😏serikari gani???,,

  • @peterjohn2854
    @peterjohn28542 жыл бұрын

    Hatar sana

  • @yolenimocheng8745
    @yolenimocheng87452 жыл бұрын

    'Temporary Camp 7m. Ni lile pale mheshimiwa...' 😂 😂 😂 msomaji mchongezi wewe...

  • @missangela6720

    @missangela6720

    2 жыл бұрын

    😂

  • @hizamawa6046
    @hizamawa60462 жыл бұрын

    Mzigua vs mzigua

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses76942 жыл бұрын

    Banda sio mbaya wamekula kwa urefu wa kama kama mama alivyowaamuru. Maana bando ya bati bei juu. Mbao ya boriti inauzwa kwa futi. Ila hapo kwenye bwawa . Wacharazwe viboko hadharani

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown11012 жыл бұрын

    Linda utawala wa mama. Maana kuna mamtu yanazani huu ni utawala wa kupiga Hela

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂kazi ipo tanzania mara hi asee

  • @jaffarymnaro566
    @jaffarymnaro5662 жыл бұрын

    Mama yupo bize na marekani jamani

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph1582 жыл бұрын

    Damu yaMAGULI ITAWATAFUNA SANA

  • @ellyjacob9897
    @ellyjacob98972 жыл бұрын

    😂😂😂😂 wameanza hahahaha

  • @eliahedward7490
    @eliahedward74902 жыл бұрын

    Hahahaha hy temporary house...et mil7 duuuuuh!hii ndo tz

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir99652 жыл бұрын

    Halafu huyu nae akirudi nyumbani anasema ametoka ktk majukumu ya kuwahudumia wananchi,hawa ni wahuni wa kufukiwa wakiwa wazima

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup682 жыл бұрын

    Weka ndani wote

  • @superangeltv4615
    @superangeltv46152 жыл бұрын

    inzi hii bwana

  • @malupex6299
    @malupex62992 жыл бұрын

    Temporary camp 7 mil., hii hatari.

  • @sadahabdalah7073
    @sadahabdalah70732 жыл бұрын

    Waziri wa maji wanakudharau nn? Mbona miradi yote ya maji Ina u adhirifu mkubwa sana

  • @superangeltv4615
    @superangeltv46152 жыл бұрын

    ss tutawaliwe tu maana ni vilaza maana no uzalendo

  • @omaryidd8199
    @omaryidd81992 жыл бұрын

    Mkuu nenda na kilindi Kuna madudu zaidi ya hapo.anzia msente kolan'ga na kinkwembe.utalia tu

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu102 жыл бұрын

    Iyo nyumba million 7 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @joramkimario9321
    @joramkimario93212 жыл бұрын

    Hiyo suti hapo ilikula million 7.yajayo yanafurahisha

  • @willelia2554
    @willelia25543 ай бұрын

    Sweka ndani fukuza kazi tafuta wengine

  • @resmakihiyo3463
    @resmakihiyo34632 жыл бұрын

    Madhara ya kubembelezana ndo hayo

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia23232 жыл бұрын

    Mtoto umleavyo ndivyo Akuavyo...

  • @watuhuru6128
    @watuhuru61282 жыл бұрын

    Dah hicho kibwawa

  • @bockernyarusahi3655
    @bockernyarusahi36552 жыл бұрын

    Hilo banda la bati ndiyo milioni 7!

  • @abrahamuisrael6161
    @abrahamuisrael61612 жыл бұрын

    MZEE NAJUA HUJAFA BD UMEKAA SEHEM FULANI UNACHEKI UJINGA UNAOFANYIKA CHINI YA UONGOZ WA MAMA WA TAARABU,,,R.I.P MWAMBA JPM

  • @rashidyusuph4417

    @rashidyusuph4417

    2 жыл бұрын

    We nae pumba kabsa kwaio samia ndo kazzila na kama imegundulika huoni serekaali ipo makin kufatilia you're narrow minded acha kuishi na fkra za chuki

  • @greysonmheni5176
    @greysonmheni51762 жыл бұрын

    Wanalamba asali

  • @mathayonyerera3144
    @mathayonyerera31442 жыл бұрын

    Jamani hilo banda la million saba ni uhuni 😑

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya99242 жыл бұрын

    Ilo banda kweli 7m mhhhh mabati tu kwa kuona ni 2m Mbao labda laki7 fundi laki 4 tu 🤣🤣🤣🤣

  • @RioIpo

    @RioIpo

    2 жыл бұрын

    Hahaha watu wanapigwa sana aseee

  • @missangela6720
    @missangela67202 жыл бұрын

    Hahaha😂😂😂

  • @rmaryp6269
    @rmaryp62692 жыл бұрын

    Masihala hayo jamani! Kibanda hicho eti milioni 7!?

  • @raphaelsikumbi5517

    @raphaelsikumbi5517

    2 жыл бұрын

    Ndio kwa sababu kuna vita Ukraine vifaa vya ujenzi vimepanda bei

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup682 жыл бұрын

    Uwizi mtupu

  • @diegogeorge3405
    @diegogeorge34052 жыл бұрын

    Mkandarasi kijumba Cha mabati million 7🙄🙄🙄🙄🙄🙄

  • @saralusinde53

    @saralusinde53

    2 жыл бұрын

    mwenzangu ata mi nashaka 😂😂

  • @missangela6720
    @missangela67202 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @farajakunyanja2521
    @farajakunyanja25212 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @DM_15
    @DM_152 жыл бұрын

    Huyomkandarasi anavyo jiamini niwazi kabisa anauhakika hajaladhulima na ndiomaana ana confidence yakuongea

  • @prosperjuma905

    @prosperjuma905

    2 жыл бұрын

    Kwanza kwa nini hakumpa nafas ya kujieleza? Anamuuliza swali..akitaka kujibu anamkatisha.

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    2 жыл бұрын

    @@prosperjuma905 ajieleze nini???kweli hilo banda la bati hapo milioni 7!!! Kwa akili kama zako itakua ngumu Tanzania kuendelea

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya99242 жыл бұрын

    Kusanya woteeeeeee😡😡😡😡😡

  • @gideonmwangaza4807
    @gideonmwangaza48072 жыл бұрын

    Mbuzi ameruhusiwa kula kwa urefu wa kamba yake, tena rukhsa hiyo ilitoka kwa mama mwenyewe; mimi sioni ajabu kwa kweli, ijapokuwa inauma na kuudhi kwelikweli. Sera ya sasa ni: “Mwendo wa kula asali 🍯.”

  • @supriaja2374
    @supriaja23742 жыл бұрын

    Nisawa ila ungewaacha wajieleze nawao tuwasikie uongo wao atujapenda

  • @homeboy2307
    @homeboy23072 жыл бұрын

    wanapatawapi huo ujasili wa kura hela ya kodi

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j2 жыл бұрын

    Hilo libaba linaonekana limekuwa hela

  • @missangela6720
    @missangela67202 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @ahmedjuma3602
    @ahmedjuma36022 жыл бұрын

    😂😂

Келесі