Wangekuwa mawaziri wote kama huyu,hii nchi ingekuwa mbali Sana, RIP JPM
@thomastemu3332
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@loishiyesamwel1374 Жыл бұрын
Kwa moyo wa thati kabisa ninaomba huyu Waziri Mungu amlinde ktk Kazi yake hii, Ndio faida ya kuwapa vijana madaraka, Angekuwa ni mzee siamini km angetembea umbali huo, Nammpongeza Sana Sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉.
@allychapa155 Жыл бұрын
Allah akujalie kila la heri mh Aweso aki ya mungu umeniliza Leo unafanya kazi kubwa sana pia hongera Millard Ayo mungu akubriki Sana
@alexkalonga5323 Жыл бұрын
Nchi hii Ina Aweso na Bashe Hawa jamaa ni watu aiseeee na wanajua majukumu yao
@ashelimwamlima602
3 ай бұрын
Kuna yule slaa na yuko vzr sana
@asantechota8974 Жыл бұрын
Hawa ndio mawaziri vijana tunaowataka na kazi inafanyika hongera kwa Samia haya ni matunda ya kuwaamini vijana Aweso safi kazi iendeleee
@RaymondElisha-pu9dz2 ай бұрын
Kwa stairi hiyo waziri nimeipenda chapa kazi kaka mungu yu pamoja nawe
@pancrasmalamla9799 Жыл бұрын
Maoni yangu mh Aweso roho ya utu ya Magufuri inafanya kazi ndani yake.Mungu ambariki
@LeylatVlogs Жыл бұрын
Big up,keep it up Aweso!💪
@MauFundiElectronics Жыл бұрын
Yupo vizuri sana aweso yupo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu aendelee kukusimamia.
@ezekielloylepayon5042 Жыл бұрын
Huu waziri anafaa kabisa Tanzania 🇹🇿 tungepata 100 kama huyu ujanja ujanja usingekuwepo
@user-gn7rs8li8e9 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu kwa kuwajali wanyonge
@hamishassan6784 Жыл бұрын
Hawa ndio mawaziri watu kazi bhana safi sana Uweso
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
hongera mweshimiwa awesu unanikumbusha mbali sana wewe ni kiongozi sio mwanasiasa.
@johnfue2387 Жыл бұрын
Amefanya Magufurification, anastahili pongezi. Kazi njema sana kwa Waziri Aweso
@allymoshi2053 Жыл бұрын
Htr wako spidi kama kiongozi wa mbio za mwenge wa 2022 ila kazi nzuri ya ufuatiliaji big up minister
@vuaivuai9005 Жыл бұрын
Hongera muheshimiwa waziri huwa ndo ufanyaji kazi
@lailalaila820611 ай бұрын
Hongera sana my bro huwesu mungu akusimamie kwa kaz zako tungekuwa na mawazir10r nch ingesonga
@jeromepetrododomatunawapat36549 ай бұрын
Hongera mh. Awesome kwakukagua miradi ya maji.
@fambemwanga8401 Жыл бұрын
Namshukuru sana mwenyezi mungu kutupa waziri mchapakazi kama aweso..
@zwinaalhabsi664 Жыл бұрын
Safi sana waziri chapa kazi
@SongilGook-ei2my Жыл бұрын
Na wezi wa fedha za uma wangekuwa wanashughulikiwa hivi daaah yani nchi ingekuwa imenyooka mpk co poa
@sammymdemeka7937 Жыл бұрын
Mkandarasi anatembea kama Jonas Savimbi 🤣🤣🤣🤣🤣
@richardchimba3800
Жыл бұрын
Savimbi
@TM.Sullusi
Жыл бұрын
😄😄
@issashekh4726
Жыл бұрын
😂
@mohamedwwnurumasagcom8171 Жыл бұрын
Hongera Aweso watanzania tunakuona wewe ni jembe katika kazi
@ericbalige1781 Жыл бұрын
😂😂😂 Mh. umetisha sana. Kutembea umbali wote huo so mchezo!
@thomasmakweta3860 Жыл бұрын
Mungu akujalie waziri
@kamalissabig4631 Жыл бұрын
Huyo Mgambo atae jaribu nishika kwenye mkundu Walah ntamgonga ngumi wataniua iyo siku
@swahilitherapytv3846 Жыл бұрын
KWANI HAWA JAMAA HUWA WANACHUKULIWA ATUA GANI....!?? MBONA HUWA SIPATI FEEDBACK ZAO
@Joseph-tm1ri13 күн бұрын
Aweso👍
@jozeeshirima92314 ай бұрын
safi sana uwesu
@jamilmwinge3695 Жыл бұрын
Akuuh, 😂😂 mimi sio mkandarasi
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Uwesso munguakubariki sana
@ronniebertin356311 ай бұрын
Mkandalasi fyekelea mbali. Sukuma ndani
@salamanhonya967711 ай бұрын
Hii ndo serikali ya Awamu ya Sita. Mama Samia Nakupenda Sanaa wewe na serikali Yako. !!
@revocatusbarnaba1491 Жыл бұрын
Ee bhana maji hamuna.
@salamanhonya967711 ай бұрын
Hongera sana waziri Tanzania tunataka viongozi kama wewe. Inafurahisha.
He hapa tupo na mh waziri tumetoka kuangalia maji, "Heeee bwana maji hamna....... Hahahaaa......
@aminamjema-kf7qr Жыл бұрын
Wangefatilia miradi yote na pia kufilusiwa wangejirekebisha na maisha yangebadilika
@LovelyOmbreSky-pu4jt19 күн бұрын
Safii sana mtoto wa mzee aweso walizaniumelala haahaha
@japhethcharles57913 ай бұрын
Tunaitaji viongozi waadilifu kama juma aweso kwa kazi hii,natumai hata baada ya uchaguzi kazi itaendelea hivi hivi
@yukundapeter8200 Жыл бұрын
Safi sana chapeni,wanatusumbua sn.
@jonassumari8974 Жыл бұрын
Tunaomba na wilaya meru kata ya Nkoaranga kijiji cha Nshup Mweshimiwa waziri ufike kuna mradi kichefuchefu unakera na majibu hatuna miaka mingi
@joshmsojo3069 Жыл бұрын
Aweso apewe shamba lake la maua mapema,ni role model wa mawaziri wote,namtabiria kuwa PM ajaye
@sein.208 Жыл бұрын
Ata huyo anayesema waondoke kwenye kata yake anatakiwa yy pia aondokeeeee ,kwann hakufatilia
@aminamjema-kf7qr Жыл бұрын
Big up diwani
@daslamonline4665 Жыл бұрын
Jino kwa jino
@abdallabundala404 Жыл бұрын
Mh Aweso umefanya poa. Iyo ndio falsafa ya uwongozi ni dhamana
@hamishassan6784 Жыл бұрын
Hapo ndio pale tunaposema wakandarasi wazawa mnatuangusha hamuminiki na mnatuvunja moyo sana. hivi mlisomeshwa kweli kwa fedha za umma? mbona uadilifu wenu ni finyu sana
@JosephBWAGIZO-fs5ig
11 ай бұрын
Wakipewa wageni wanalalamika
@fatumatandika6220 Жыл бұрын
Inasikitisha sana bora angekuwa mkweli na kumsumbua waziri jamani
@kanankirannko6174 Жыл бұрын
Duh angesema tu ukweli jamani hawa ndowanaharibu nchi sio kidogo
@kassimmuktarymurji42425 ай бұрын
Aweso pambana watanzania wako nyuma yako simamia haki za watanzania,mungu atakulipa
@amalikakiva4937 Жыл бұрын
Hivi vitu kma hivi anavyofanya aweso avihitaji kwenda arusha kufundishwa na kuaribu ela za walipa kodi ni mtu anazaliwa na ukarimu wa mtu na alivyolelewa na wazazi wke.
@rukiauwonde7062 Жыл бұрын
😂😂😂😂mzee baba,amechoka kudanganywa leo ni mwendo wa jeshi tu😂😂
@whatisthetruth.8793 Жыл бұрын
duh ! hii nchi ni shida sana .
@thomastemu3332 Жыл бұрын
Ndiyoooo baba aweso 😅 Chaos kazi mwanangu
@ashelimwamlima6023 ай бұрын
MBONA ASKARI NI WACHACHE N NIMSAFARA WA WAZIRI kbsaa
@salimumpoma83932 ай бұрын
Mama Samia upooo/ooo
@lastkinglastking3326 Жыл бұрын
That's why rais mama samia anapenda huyu jama Hana uzembe
@shaphiasabani576011 ай бұрын
Naomba kurud Tanzania uku nilipo nakuona kumelala sana
@festohaule9716 Жыл бұрын
Huyu ndiye mtu pekee anayepiga kazi Kwa bidii awamu hii..Mungu akutangulie
@fundiwawilaya8147
Жыл бұрын
wako wawili tu na bashe
@rusanzurubigo1103 Жыл бұрын
Hakika,hiyo ndio maana halisi ya kuwatumikia WANANCHI,unafanya MAKUBWA lakini hujivuni,Asante sana.
@isayandolomindolomi1853 Жыл бұрын
Mmmmm hiyo kali
@onesmowilfred7523 Жыл бұрын
Kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani bado haijafanikiwa kama waziri anatakaka kufikia lengo ,kazi aliyoianza isiishie hapo
@elishajoshua4892 Жыл бұрын
Watanzania wanaumizwa, hawana tu viongozi wakutosha wa aina hii. Tanzania 🇹🇿 yangu!😣
@user-vh3yh2ec8r10 ай бұрын
Nakuaminia bb❤
@neemayamungu9537 Жыл бұрын
Kulikon tenaaa😮😮😮
@froma3732 Жыл бұрын
Hii miji miakaa 60 toka wapate Uhuru hawana Maji leo miaka 2 ya Uwogozi wa Mzazibar wanatarajia kupata
@user-oh6pc7zd4s4 ай бұрын
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WANYUMBA ZA WATU DAR
@user-mb2dy1cp7v Жыл бұрын
Waziri Amechafukaa😅😅 vumbi nyong'o nyong'o 😂😂
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Yaani hadi waziri anadanganywa jamani😂😂😂😂
@zikenims6167 Жыл бұрын
😂😂😂Safi sana magufuli ndo aliiweza inchi na hii mijizi inayojaza matumbo yao Allah tupe maguful nwingine awanyooshe wezi wa mali za uma mbutueni kweli nyau uyo😅😅😅chocho kwa chocho😅😅😅
@idrisakassim3533 Жыл бұрын
Ila hii nchi daah watu hawafanyi kazi bila kusimamuwa
@aishachambo8663 Жыл бұрын
Safi sana😂😂😂
@JohnGyunda Жыл бұрын
Jamaangu magesa elieza na vjana wengine wamekutia ndimu
@joojombi234111 ай бұрын
Wesha piga pesa hao makosa wasimamizi hawakua na wazalendo mhandisi nae rushwa tupu mkandarasi alipe tu pesa this is very bad. Wapigaji wengi tu Tzd
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Nimeipenda sanahii
@jackmabirangacharles9398
Жыл бұрын
Safi sana Waziri Kwa Majukumu Mazuri kaka
@yohanasiminzile209611 ай бұрын
Nchi hii raha sana mpaka wanafunzi wadogo wapo kwenye ukaguzi wa mradi uzalendo mkubwa sana wanajifunza, mawaziri wamuige mwenzao Aweso wakifanya hivi wote mama yetu Rais ataongoza kwa raha sana, lakini sasa wengine WANAZINGUA sana HONGERA AWESO
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
Anatakiwa akimaliza mambo ya maji tu mweshimiwa awesu.Apelekwe ktk wizara zile korofi nako akawanyooshe wakae ktk mstari wale wababaifu na watakao fanya kazi kimazoea.
@hamishassan6784 Жыл бұрын
ila hapa ningeshauri jambo. kiukweli watu wa maji kwenye wilaya wako huru mno, hawana kamati za manunuzi ( bodi za zabuni), wala wakaguzi wa ndani Nashauri kama ingefaa Mh. Waziri Miradi hii ipitishwe kwenye Baraza la madiwani, Halmashauri zihusishwe kwa kutoa bodi ya zabuni na wakaguzi wa ndani ambao wawe wanatoa ripoti maalumu za kila robo mwaka ambazo zijadiliwe kwenye mabaraza ya madiwani na kisha wizara ichukue hatua stahiki
@jacksonndaletian265
Жыл бұрын
WA
@charesslutandula2459 Жыл бұрын
Uwesooooooo. Safisana
@felixsolomon6293 Жыл бұрын
Huyo jamaa anayeongea na simu kanichekesha eti hapa niko na mkuu tunaenda kuangalia maji😅😂😂😂😂
@ErnestSaimon8 күн бұрын
Muje bariad upepo tu bili inasoma bili nikkubwa
@nelsonnyamle9 ай бұрын
Hata aibu halina linamdaanganya waziri jamani hili li baba ndevu tu akili hamna
@tanzaleo8670 Жыл бұрын
waha wenzangu wamekomaa dah😂
@frankvianey2438 Жыл бұрын
Hahahaaaa,asee huyo mkandaras kwanza nampa hongera kitendo cha kuupeleka umati wote huo wa watu sehem isiyojulikana na anajua kabisa hamna vituo vya maji unahitajika ujasiri ambao sio wa kawaida
Пікірлер: 284
Wangekuwa mawaziri wote kama huyu,hii nchi ingekuwa mbali Sana, RIP JPM
@thomastemu3332
Жыл бұрын
Kweli kabisa
Kwa moyo wa thati kabisa ninaomba huyu Waziri Mungu amlinde ktk Kazi yake hii, Ndio faida ya kuwapa vijana madaraka, Angekuwa ni mzee siamini km angetembea umbali huo, Nammpongeza Sana Sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉.
Allah akujalie kila la heri mh Aweso aki ya mungu umeniliza Leo unafanya kazi kubwa sana pia hongera Millard Ayo mungu akubriki Sana
Nchi hii Ina Aweso na Bashe Hawa jamaa ni watu aiseeee na wanajua majukumu yao
@ashelimwamlima602
3 ай бұрын
Kuna yule slaa na yuko vzr sana
Hawa ndio mawaziri vijana tunaowataka na kazi inafanyika hongera kwa Samia haya ni matunda ya kuwaamini vijana Aweso safi kazi iendeleee
Kwa stairi hiyo waziri nimeipenda chapa kazi kaka mungu yu pamoja nawe
Maoni yangu mh Aweso roho ya utu ya Magufuri inafanya kazi ndani yake.Mungu ambariki
Big up,keep it up Aweso!💪
Yupo vizuri sana aweso yupo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu aendelee kukusimamia.
Huu waziri anafaa kabisa Tanzania 🇹🇿 tungepata 100 kama huyu ujanja ujanja usingekuwepo
Mungu akupe maisha marefu kwa kuwajali wanyonge
Hawa ndio mawaziri watu kazi bhana safi sana Uweso
hongera mweshimiwa awesu unanikumbusha mbali sana wewe ni kiongozi sio mwanasiasa.
Amefanya Magufurification, anastahili pongezi. Kazi njema sana kwa Waziri Aweso
Htr wako spidi kama kiongozi wa mbio za mwenge wa 2022 ila kazi nzuri ya ufuatiliaji big up minister
Hongera muheshimiwa waziri huwa ndo ufanyaji kazi
Hongera sana my bro huwesu mungu akusimamie kwa kaz zako tungekuwa na mawazir10r nch ingesonga
Hongera mh. Awesome kwakukagua miradi ya maji.
Namshukuru sana mwenyezi mungu kutupa waziri mchapakazi kama aweso..
Safi sana waziri chapa kazi
Na wezi wa fedha za uma wangekuwa wanashughulikiwa hivi daaah yani nchi ingekuwa imenyooka mpk co poa
Mkandarasi anatembea kama Jonas Savimbi 🤣🤣🤣🤣🤣
@richardchimba3800
Жыл бұрын
Savimbi
@TM.Sullusi
Жыл бұрын
😄😄
@issashekh4726
Жыл бұрын
😂
Hongera Aweso watanzania tunakuona wewe ni jembe katika kazi
😂😂😂 Mh. umetisha sana. Kutembea umbali wote huo so mchezo!
Mungu akujalie waziri
Huyo Mgambo atae jaribu nishika kwenye mkundu Walah ntamgonga ngumi wataniua iyo siku
KWANI HAWA JAMAA HUWA WANACHUKULIWA ATUA GANI....!?? MBONA HUWA SIPATI FEEDBACK ZAO
Aweso👍
safi sana uwesu
Akuuh, 😂😂 mimi sio mkandarasi
Uwesso munguakubariki sana
Mkandalasi fyekelea mbali. Sukuma ndani
Hii ndo serikali ya Awamu ya Sita. Mama Samia Nakupenda Sanaa wewe na serikali Yako. !!
Ee bhana maji hamuna.
Hongera sana waziri Tanzania tunataka viongozi kama wewe. Inafurahisha.
Huyo mwamba mda mrefu sijamsikia aissssseeee yupo vizuri mnooooo
Dah watu hawana huruma! Wanamdanganya hadi Aweso! 😂
@aishachambo8663
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@rithadonatus8110
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@priscamrekoni3451
Жыл бұрын
😹😹😹😹
Kuna mtawala na kiongozi.Bali wewe ni kiongozi,Mama angepata majembe kama haya daaah Tanzania 🇹🇿 ingekuwa moto mkubwa ambao hauzimiki. God bless U.
Safi Sana kijana wetu fanyakazi waone mtunda yako yakuzaliwa tanzania
@jambo3751
Жыл бұрын
Mkandarasi amesahau vituo alivyotengeza 😂😂
@salimmalaka256
Жыл бұрын
@@jambo3751SIO KASAHAU HAVIJUWI VILIPO 😂😂😂😂😂 TOKA 2020 MIAKA 3 HAJUWI VILIPO 😂😂😂😂
@rezegerezege691
Жыл бұрын
@@jambo3751 😂😂😂🤗🤔inakera sana
He hapa tupo na mh waziri tumetoka kuangalia maji, "Heeee bwana maji hamna....... Hahahaaa......
Wangefatilia miradi yote na pia kufilusiwa wangejirekebisha na maisha yangebadilika
Safii sana mtoto wa mzee aweso walizaniumelala haahaha
Tunaitaji viongozi waadilifu kama juma aweso kwa kazi hii,natumai hata baada ya uchaguzi kazi itaendelea hivi hivi
Safi sana chapeni,wanatusumbua sn.
Tunaomba na wilaya meru kata ya Nkoaranga kijiji cha Nshup Mweshimiwa waziri ufike kuna mradi kichefuchefu unakera na majibu hatuna miaka mingi
Aweso apewe shamba lake la maua mapema,ni role model wa mawaziri wote,namtabiria kuwa PM ajaye
Ata huyo anayesema waondoke kwenye kata yake anatakiwa yy pia aondokeeeee ,kwann hakufatilia
Big up diwani
Jino kwa jino
Mh Aweso umefanya poa. Iyo ndio falsafa ya uwongozi ni dhamana
Hapo ndio pale tunaposema wakandarasi wazawa mnatuangusha hamuminiki na mnatuvunja moyo sana. hivi mlisomeshwa kweli kwa fedha za umma? mbona uadilifu wenu ni finyu sana
@JosephBWAGIZO-fs5ig
11 ай бұрын
Wakipewa wageni wanalalamika
Inasikitisha sana bora angekuwa mkweli na kumsumbua waziri jamani
Duh angesema tu ukweli jamani hawa ndowanaharibu nchi sio kidogo
Aweso pambana watanzania wako nyuma yako simamia haki za watanzania,mungu atakulipa
Hivi vitu kma hivi anavyofanya aweso avihitaji kwenda arusha kufundishwa na kuaribu ela za walipa kodi ni mtu anazaliwa na ukarimu wa mtu na alivyolelewa na wazazi wke.
😂😂😂😂mzee baba,amechoka kudanganywa leo ni mwendo wa jeshi tu😂😂
duh ! hii nchi ni shida sana .
Ndiyoooo baba aweso 😅 Chaos kazi mwanangu
MBONA ASKARI NI WACHACHE N NIMSAFARA WA WAZIRI kbsaa
Mama Samia upooo/ooo
That's why rais mama samia anapenda huyu jama Hana uzembe
Naomba kurud Tanzania uku nilipo nakuona kumelala sana
Huyu ndiye mtu pekee anayepiga kazi Kwa bidii awamu hii..Mungu akutangulie
@fundiwawilaya8147
Жыл бұрын
wako wawili tu na bashe
Hakika,hiyo ndio maana halisi ya kuwatumikia WANANCHI,unafanya MAKUBWA lakini hujivuni,Asante sana.
Mmmmm hiyo kali
Kampeni ya kumtua mama ndoo kichwani bado haijafanikiwa kama waziri anatakaka kufikia lengo ,kazi aliyoianza isiishie hapo
Watanzania wanaumizwa, hawana tu viongozi wakutosha wa aina hii. Tanzania 🇹🇿 yangu!😣
Nakuaminia bb❤
Kulikon tenaaa😮😮😮
Hii miji miakaa 60 toka wapate Uhuru hawana Maji leo miaka 2 ya Uwogozi wa Mzazibar wanatarajia kupata
FIDDA HUSSEIN NI MWIZI WANYUMBA ZA WATU DAR
Waziri Amechafukaa😅😅 vumbi nyong'o nyong'o 😂😂
Yaani hadi waziri anadanganywa jamani😂😂😂😂
😂😂😂Safi sana magufuli ndo aliiweza inchi na hii mijizi inayojaza matumbo yao Allah tupe maguful nwingine awanyooshe wezi wa mali za uma mbutueni kweli nyau uyo😅😅😅chocho kwa chocho😅😅😅
Ila hii nchi daah watu hawafanyi kazi bila kusimamuwa
Safi sana😂😂😂
Jamaangu magesa elieza na vjana wengine wamekutia ndimu
Wesha piga pesa hao makosa wasimamizi hawakua na wazalendo mhandisi nae rushwa tupu mkandarasi alipe tu pesa this is very bad. Wapigaji wengi tu Tzd
Nimeipenda sanahii
@jackmabirangacharles9398
Жыл бұрын
Safi sana Waziri Kwa Majukumu Mazuri kaka
Nchi hii raha sana mpaka wanafunzi wadogo wapo kwenye ukaguzi wa mradi uzalendo mkubwa sana wanajifunza, mawaziri wamuige mwenzao Aweso wakifanya hivi wote mama yetu Rais ataongoza kwa raha sana, lakini sasa wengine WANAZINGUA sana HONGERA AWESO
Anatakiwa akimaliza mambo ya maji tu mweshimiwa awesu.Apelekwe ktk wizara zile korofi nako akawanyooshe wakae ktk mstari wale wababaifu na watakao fanya kazi kimazoea.
ila hapa ningeshauri jambo. kiukweli watu wa maji kwenye wilaya wako huru mno, hawana kamati za manunuzi ( bodi za zabuni), wala wakaguzi wa ndani Nashauri kama ingefaa Mh. Waziri Miradi hii ipitishwe kwenye Baraza la madiwani, Halmashauri zihusishwe kwa kutoa bodi ya zabuni na wakaguzi wa ndani ambao wawe wanatoa ripoti maalumu za kila robo mwaka ambazo zijadiliwe kwenye mabaraza ya madiwani na kisha wizara ichukue hatua stahiki
@jacksonndaletian265
Жыл бұрын
WA
Uwesooooooo. Safisana
Huyo jamaa anayeongea na simu kanichekesha eti hapa niko na mkuu tunaenda kuangalia maji😅😂😂😂😂
Muje bariad upepo tu bili inasoma bili nikkubwa
Hata aibu halina linamdaanganya waziri jamani hili li baba ndevu tu akili hamna
waha wenzangu wamekomaa dah😂
Hahahaaaa,asee huyo mkandaras kwanza nampa hongera kitendo cha kuupeleka umati wote huo wa watu sehem isiyojulikana na anajua kabisa hamna vituo vya maji unahitajika ujasiri ambao sio wa kawaida
@samuelmwangu3301
Жыл бұрын
Jamaa kachanganyikiwa, 😂alijua waziri hatahairisha ukaguzi
@charesslutandula2459
Жыл бұрын
Huyo mhandisi alidanganya kutokunywa uwesso hadanganyiki akasemamguukwamguu kukagua chezeaUwesso wewe
@user-xg8mt1mh7v
Жыл бұрын
Alipaniki
@bernadetamodest6170
Жыл бұрын
Nimecheka hadi machoz yananitoka
@bernadetamodest6170
Жыл бұрын
Na kweli kanusurika kipigo
Sijawahi kucoment ilaleo nacoment MH Waziri Aweso MUNGU akutunze nakosa la kuongeaa Kwa uchapakazi wako mzuriii. Tunakuombea heri MUNGU akumbuke alama zako. Ameni!!!
Watu kama Hawa Mama Kila mtu atampigia kura. Hii nchi ni shamba la bibi.
Haaaaahaaaaa daaaah nimecheka
Huyo bonge kama vituo anavifaham mbona hajawaelekeza mwanzo
Kwahy sasa maji yapo na watu wamepiga pesa ama
Waziri nakuomba uende kigoma vijijini Kyle ndo kuna shida ya maji miaka yote..wananchi wanateseka mno mno
@georgedaniel4962
Жыл бұрын
Sio vijijini nenda kigoma mjini ndoo shida zaidi na wanazungukwa na ziwa.
Iyo inaitwa nyayo kwa nyayo
@stellajoseph9334
Жыл бұрын
😂😂😂 mguu kwa mguu, nyayo kwa nyayo
Duuuh! AWESSOooo!!😅😅🙌👏👍
Mdogo wangu Aweso kz unayooo.
Awesu komesha ya wababaishaji😂
*Tanzania yenyewe inahitaji viongozi wa namna hii maana tukiendekeza kubembelezana ubadhirifu wa mali za umma hautaisha*
Uwesooooooo hakika nakukubali