MKURUGENZI AJICHANGANYA KWA AWESO, APIGIWA SIMU "MIMI NIPO KWENYE ZIARA WEWE HAUPO UKO WAPI?"

Ойын-сауық

Пікірлер: 21

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5Күн бұрын

    Duh!!!!! Wakisemwa oowanaonewa ila mhe waziri wa maji njjo na Gairo hivyohivyo toka tujaze form toka mwezi wa 9 / 23 mpaka leo ukiuliza vifaa hatuna sasa sijui itakuwaje kama wana ambiana hao tusaidie mhe wetu wa maji wewe nimkombozi wetu waonesana hao warudi majumbani wayaone hayo tunayo yaona sisi mpepole huyo Ubarikiwe ❤❤❤

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi220518 сағат бұрын

    Kwa ujumla suala la wanawake kupata vyeo amejisahau sana . Wawe chini ya.

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya103311 сағат бұрын

    Alafu kuna kitu nimegundua karibia watumishi wengi ni wanawake alafu mambo yanakwenda hovyo sana na watu wananyanyasika sana

  • @mvullamanase
    @mvullamanase4 күн бұрын

    Mbona IDARA YA MAJI NI WANAWAKE WATUPU. NDIO MAANA MAMBO MAGUMU

  • @osmanhajj3059
    @osmanhajj30594 күн бұрын

    Mh waziri ujee ututembelee wilaya mbarali

  • @happymarchiusnjungani1138
    @happymarchiusnjungani11384 күн бұрын

    Yaan hawa wadada wakishapata Vihela na vyeo mmmmmmm utajua hujui

  • @ibrackibrahim6909
    @ibrackibrahim69095 күн бұрын

    Mademu wao hao😂😂😂

  • @lucymtui8680
    @lucymtui86802 күн бұрын

    Shida kweli kweliiwel

  • @sultanmsolon8428
    @sultanmsolon84282 күн бұрын

    Mh njoo na chalinze, mdaula na ubena

  • @yayananajota5838
    @yayananajota58384 күн бұрын

    Tz na watu wake😅😅😅😅😅vichekesho kweli, eee Mola waja wako hawa, 😥😥😥

  • @user-ow7pl6tz2c
    @user-ow7pl6tz2c5 күн бұрын

    Kweli kabisa ni ujuma kwanza wananchi hatahatuji kama wazir anakuja mbezi watu wangejaa sana Maji ni tatizo sana mm nimelipia Maji tangu mwenzi 11 mwaka Jana mpaka Leo sijaletewa naukiuliza majibu Yao nibaya sana sana kimala

  • @gwamakajohn7122
    @gwamakajohn712211 сағат бұрын

    Safi viongoz wote igeni bc

  • @inocentlukumay767
    @inocentlukumay7674 күн бұрын

    Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74914 күн бұрын

    Huyo dada hafai asiee bora aondolewe

  • @inocentlukumay767
    @inocentlukumay7674 күн бұрын

    Huyo dada hana shida yoyote tatizo ni urasimu na mlolongo wa maelekezo ya sheria. Urasimu

  • @saidhamza5318
    @saidhamza53185 күн бұрын

    Afu mbona viongoz wengi ni mademu halafu mambo hayaendi!

  • @NoName-pp4lo
    @NoName-pp4lo4 күн бұрын

    Aweso fata nyayo za makonda

  • @yayananajota5838
    @yayananajota58384 күн бұрын

    Zuga tu, midemu zao hizo,wakitoka hapo wanaenda kula kulana mshikaki paleeeee😏😏😏

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op4 күн бұрын

    Yupo na mshikaji wake kazini wanaingi wanavyotaka wenyewe

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon10645 күн бұрын

    WANAWAKE WANAWEZA 🙆🙆🙆

  • @inocentlukumay767
    @inocentlukumay7674 күн бұрын

    Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.

Келесі