WATENDAJI DAWASA WAINGIA KWENYE 18 ZA AWESO/AWESO AWAFUKUZA KAZI/HUYU MTOENI/TUNAONDOKA WOTE
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 25
Huyu jamaa najuaga nimpole kumbe akichokozwa hafai ee😮
Njoo kigoma kasulu
Muheshimiwa pole na kazi
Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani awandio mawazili jembe ajawai kutuangusha Kwenye utendaji wake Alha akuongoze salama mueshimiwa wazili awesu
Mimi ninavyo ona huyo dada Hana hatia tatizo lipo kwa boss wake
Njoo Mbezi Msumi, Maji Shidaa,
Huyu ndio Aweso niliyemjuaga,lakini sasa hivi amepunguza makali
Uko vizuri
Pia ao wanabambika bill
Mama samia hawa majembe ndio tunayataka
Hilo sio swala la kuuliza ,fukuza wote tangaza ajira maana hao wanafanya kaz kimazooea na kichafua serikali na CHAMA CHETU . piga chini wote hao
Mieningezimianakufwakabisaa
Kwanini humuonekani mpaka wapizani wafike au wapite ..? Hivi ni vichekesho au maigizo
Nawasikitikia Dawasa, hawajabadilika kiutendaji.
Mh Aweso , hapa Luguruni Dawasa wanaomna rushwa sana kama ukitaka kuingiza maji na bila kutoa hupati na wakati ,wingine hata ukitoa hupewi kwa wakati
Makonda kiboko yaoooooooo
Waondoke tu hao ndiyo wanaofanya watu waichukue Ccm
Na wanatuwekea malipo ya maji taka wakati hiyo huduma hatuipati nao watu wa malipo watumbuliwe
Kra kona ni diri
Wafukuzwe tu wako vijana wanasota midigrii kibao waobdoke ajiri wengineo
Na maji wanatuwekea bila vipimo maana tumeambiwa sm Fulani watatuwekea wenyewe ila Kwa Sasa hata ukiwa karibu na konekseninwanakutoza sh 300000 ambazo hawakupi lisiti na wanaokula nao ni wasoma mita
Kwanini? Msikague kabura yakazi wnapenda sifaa nawewe baado
Mm nilisoma sikupata ajir kwahyo ukiwafukuza hao sawa tu tufanane
Hahaha we mh wanyooshe mkuu uwe kama makonda kiongozi