WATENDAJI DAWASA WAINGIA KWENYE 18 ZA AWESO/AWESO AWAFUKUZA KAZI/HUYU MTOENI/TUNAONDOKA WOTE

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 25

  • @josephminja7953
    @josephminja79535 күн бұрын

    Huyu jamaa najuaga nimpole kumbe akichokozwa hafai ee😮

  • @BekaKashamba-wi5sm
    @BekaKashamba-wi5sm2 күн бұрын

    Njoo kigoma kasulu

  • @sebastianmwakulya8146
    @sebastianmwakulya81465 күн бұрын

    Muheshimiwa pole na kazi

  • @user-ry8xf1no2s
    @user-ry8xf1no2s5 күн бұрын

    Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani awandio mawazili jembe ajawai kutuangusha Kwenye utendaji wake Alha akuongoze salama mueshimiwa wazili awesu

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin81074 күн бұрын

    Mimi ninavyo ona huyo dada Hana hatia tatizo lipo kwa boss wake

  • @ericmoramagige3407
    @ericmoramagige34075 күн бұрын

    Njoo Mbezi Msumi, Maji Shidaa,

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche4 күн бұрын

    Huyu ndio Aweso niliyemjuaga,lakini sasa hivi amepunguza makali

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga74125 күн бұрын

    Uko vizuri

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum38982 күн бұрын

    Pia ao wanabambika bill

  • @christinakomba689
    @christinakomba6895 күн бұрын

    Mama samia hawa majembe ndio tunayataka

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca76023 күн бұрын

    Hilo sio swala la kuuliza ,fukuza wote tangaza ajira maana hao wanafanya kaz kimazooea na kichafua serikali na CHAMA CHETU . piga chini wote hao

  • @rahmasabuni3425
    @rahmasabuni34253 күн бұрын

    Mieningezimianakufwakabisaa

  • @oss6689
    @oss66894 күн бұрын

    Kwanini humuonekani mpaka wapizani wafike au wapite ..? Hivi ni vichekesho au maigizo

  • @daudimichael7338
    @daudimichael73385 күн бұрын

    Nawasikitikia Dawasa, hawajabadilika kiutendaji.

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn49565 күн бұрын

    Mh Aweso , hapa Luguruni Dawasa wanaomna rushwa sana kama ukitaka kuingiza maji na bila kutoa hupati na wakati ,wingine hata ukitoa hupewi kwa wakati

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara30384 күн бұрын

    Makonda kiboko yaoooooooo

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74385 күн бұрын

    Waondoke tu hao ndiyo wanaofanya watu waichukue Ccm

  • @adelaidekalongora5417
    @adelaidekalongora54174 күн бұрын

    Na wanatuwekea malipo ya maji taka wakati hiyo huduma hatuipati nao watu wa malipo watumbuliwe

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8934 күн бұрын

    Kra kona ni diri

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74385 күн бұрын

    Wafukuzwe tu wako vijana wanasota midigrii kibao waobdoke ajiri wengineo

  • @adelaidekalongora5417
    @adelaidekalongora54174 күн бұрын

    Na maji wanatuwekea bila vipimo maana tumeambiwa sm Fulani watatuwekea wenyewe ila Kwa Sasa hata ukiwa karibu na konekseninwanakutoza sh 300000 ambazo hawakupi lisiti na wanaokula nao ni wasoma mita

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara30384 күн бұрын

    Kwanini? Msikague kabura yakazi wnapenda sifaa nawewe baado

  • @florianhenry7198
    @florianhenry71985 күн бұрын

    Mm nilisoma sikupata ajir kwahyo ukiwafukuza hao sawa tu tufanane

  • @MasawilaGoa
    @MasawilaGoa4 күн бұрын

    Hahaha we mh wanyooshe mkuu uwe kama makonda kiongozi

Келесі