WAZIRI AWESO AFANYA KUFURU AMLIPIA MSTAAFU DENI LA MIL 3/ FUNDI BOMBA WA DAWASA KIKAANGONI
#UhondoTV #Uhondo
Жүктеу.....
Пікірлер: 10
@BrunoNamanga14 күн бұрын
Omary ni shida sana
@gwamakajohn712210 күн бұрын
Dah
@kato_tz15 күн бұрын
Ninachokiona hapo ni kwamba DAWASA hawana utaratibu mzuri, wao wameweka kipaumbele kwenye kukata maji kwa wasiolipa. DAWASA ni taasisi ambayo inahitaji customer care ya hali ya juu, wajifunze basi hata kwa Tanesco, tanesco ukiwapigia simu kwamba umeme umekatika wanashughulikia na wanakupigia simu wakati mwingine kujua kama tatizo limeshatatuliwa. Sasa DAWASA mtu unaenda halafu wao wanakupatia namba ya fundi kwamba umpigie mwenyewe wao hawamwambii kitu. Hili si tatizo aisee
@godsonrwegasira441415 күн бұрын
Ila mwanza jamn awesu angalia watu wako, mkandarasi wa butimba hamalizagi mradii?
@gililwise15 күн бұрын
Njoo morogoro mh AWeso morowasa wanawabambikia watu bili
@user-oy2gp3nq4j9 күн бұрын
Punguzeni Gharama maji yanapita mlangoni kwako ukita kuvita maji unaambiwa 270000 ni wizi
@user-ev7rm8kd2w14 күн бұрын
idara hii have the worst service everywhere in Tz
@shenjamamzingi795014 күн бұрын
KUMLIPIA DENI MTU NDIO KUFURU,..WAANDISHI WA HABARI HOVYO KABISA
Пікірлер: 10
Omary ni shida sana
Dah
Ninachokiona hapo ni kwamba DAWASA hawana utaratibu mzuri, wao wameweka kipaumbele kwenye kukata maji kwa wasiolipa. DAWASA ni taasisi ambayo inahitaji customer care ya hali ya juu, wajifunze basi hata kwa Tanesco, tanesco ukiwapigia simu kwamba umeme umekatika wanashughulikia na wanakupigia simu wakati mwingine kujua kama tatizo limeshatatuliwa. Sasa DAWASA mtu unaenda halafu wao wanakupatia namba ya fundi kwamba umpigie mwenyewe wao hawamwambii kitu. Hili si tatizo aisee
Ila mwanza jamn awesu angalia watu wako, mkandarasi wa butimba hamalizagi mradii?
Njoo morogoro mh AWeso morowasa wanawabambikia watu bili
Punguzeni Gharama maji yanapita mlangoni kwako ukita kuvita maji unaambiwa 270000 ni wizi
idara hii have the worst service everywhere in Tz
KUMLIPIA DENI MTU NDIO KUFURU,..WAANDISHI WA HABARI HOVYO KABISA
@user-vh7ll3vp7w
12 күн бұрын
😂😂😂😂