TAZAMA WATUMISHI WAKIMDANGANYA WAZIRI/AWAWASHIA MOTO''SAMAHANI MKUUU'' LETE FAILI HARAKA...

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 15

  • @Maftah111
    @Maftah11113 күн бұрын

    Dah tunasafari ndefu sana sisi waafrika😢

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s14 күн бұрын

    HAO JAMAA HAWAFAI KUBAKI OFISINI HATA KWA DAKIKA MOJA..NI HATARI HAO NDIO WATU WANAOTOA HUDUMA YA MAJI.WANATIA AIBU.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca760213 күн бұрын

    Fukuda wote upya tangaza ajira hao wanafanya kaz kimazoea ,wanaichafua serikali na kumfanya mama aonekane serkali yake haifanyi kaz

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l14 күн бұрын

    Hawa ndo wanao ichafua serikali yetu nachama chetu chama chamapindu ccm watumbue hawana adabu

  • @AyoubAllyMatogoro-sn6ck
    @AyoubAllyMatogoro-sn6ck14 күн бұрын

    Utendaji Mbovu Timua Maofisa Wote Hao Wanapeana Kazi Kwa Vimemo Wizi Tu Wa Kuwabambikia Watu Bill Za Maji Kubwa Washenzi Hao!

  • @anastazialushika
    @anastazialushika10 күн бұрын

    Waziri kuwa kama Makonda hakuna kubembeleza timua wote Makonda habembelezi wazembe,waongo na wala rushwa

  • @jokatech1
    @jokatech17 күн бұрын

    We should Hire these "waziris" in Kenya

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu435714 күн бұрын

    Kiukweli unaweza kimbia na kutokomeaaaaaaaa Pasipo julikana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-ex9sd8wm4l

    @user-ex9sd8wm4l

    14 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅

  • @NuruNyanja-kz1qr
    @NuruNyanja-kz1qr13 күн бұрын

    Waziri tunaomba uje mwanza mtaa wa mhandu kisiwani tunateseka sana maji

  • @bilid4128
    @bilid412814 күн бұрын

    😂😂😂😂 hio ni ofisi au Store

  • @saiditasher8362
    @saiditasher836214 күн бұрын

    Sana atamimi ngemtandika mbata

  • @2003hintay
    @2003hintay14 күн бұрын

    Mimi hapo ningepiga makofi unidanganye waziwazi halafu dharau sikubali ni makofi na kazi mwisho akauze kandambili

  • @thomastemu3332
    @thomastemu333214 күн бұрын

    Mbane koo huyo mweshimiwa aweso

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi233612 күн бұрын

    Uchafu mtupu timua wote hao

Келесі