TAZAMA WATUMISHI WAKIMDANGANYA WAZIRI/AWAWASHIA MOTO''SAMAHANI MKUUU'' LETE FAILI HARAKA...
#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Пікірлер: 15
Dah tunasafari ndefu sana sisi waafrika😢
HAO JAMAA HAWAFAI KUBAKI OFISINI HATA KWA DAKIKA MOJA..NI HATARI HAO NDIO WATU WANAOTOA HUDUMA YA MAJI.WANATIA AIBU.
Fukuda wote upya tangaza ajira hao wanafanya kaz kimazoea ,wanaichafua serikali na kumfanya mama aonekane serkali yake haifanyi kaz
Hawa ndo wanao ichafua serikali yetu nachama chetu chama chamapindu ccm watumbue hawana adabu
Utendaji Mbovu Timua Maofisa Wote Hao Wanapeana Kazi Kwa Vimemo Wizi Tu Wa Kuwabambikia Watu Bill Za Maji Kubwa Washenzi Hao!
Waziri kuwa kama Makonda hakuna kubembeleza timua wote Makonda habembelezi wazembe,waongo na wala rushwa
We should Hire these "waziris" in Kenya
Kiukweli unaweza kimbia na kutokomeaaaaaaaa Pasipo julikana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-ex9sd8wm4l
14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅
Waziri tunaomba uje mwanza mtaa wa mhandu kisiwani tunateseka sana maji
😂😂😂😂 hio ni ofisi au Store
Sana atamimi ngemtandika mbata
Mimi hapo ningepiga makofi unidanganye waziwazi halafu dharau sikubali ni makofi na kazi mwisho akauze kandambili
Mbane koo huyo mweshimiwa aweso
Uchafu mtupu timua wote hao