Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.
@saidkhatib9146
Күн бұрын
😂😂
@josephatmathiasgalagalabuh786Күн бұрын
watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA
@kwisa4899Күн бұрын
kosa sio lake kaonewa
@JechaMakameIssa-gs2blКүн бұрын
Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji
@africaonechannel12892 күн бұрын
Mhe.WAZIRI WA MAJI!. TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI. Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO, Ninawakilisha●
@user-hm9ir7yz4zКүн бұрын
Huyu dada kaja kuharibu hahahaha
@user-jl5zh6qi2wКүн бұрын
Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo
@SalimAbdallah-mi1wcКүн бұрын
Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂
@careemissa2502Күн бұрын
Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne
@nujakaluhende94282 күн бұрын
Umepiga kwenye
@user-rh9bo3kh2gКүн бұрын
Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?
@aminamwashambwa68462 күн бұрын
Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema
@RoydaspityKobero-jq9cmКүн бұрын
Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini
@perepetuasenga3875
Күн бұрын
Duuh yaani ni aibu mno
@UdakuKingdom2 күн бұрын
😢😢😢😢
@GibsonNtamamiloКүн бұрын
Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂
@johannesishengoma1232
Күн бұрын
Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.
@germanasondoka90572 күн бұрын
Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why
@mr.yahzadochuno79142 күн бұрын
Tumbua
@Zaburi-2 күн бұрын
Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?
@proisolution7166
2 күн бұрын
hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.
Пікірлер: 23
Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.
@saidkhatib9146
Күн бұрын
😂😂
watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA
kosa sio lake kaonewa
Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji
Mhe.WAZIRI WA MAJI!. TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI. Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO, Ninawakilisha●
Huyu dada kaja kuharibu hahahaha
Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo
Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂
Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne
Umepiga kwenye
Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?
Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema
Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini
@perepetuasenga3875
Күн бұрын
Duuh yaani ni aibu mno
😢😢😢😢
Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂
@johannesishengoma1232
Күн бұрын
Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.
Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why
Tumbua
Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?
@proisolution7166
2 күн бұрын
hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.
Huyo anaonekana hawezi kazi