AWESO AMTUMBUA MENEJA WA DAWASA KIBAMBA, AMBANANISHA MBELE YA WANANCHI "WEWE TUNAONDOKA WOTE"

Ойын-сауық

Пікірлер: 23

  • @mvullamanase
    @mvullamanase2 күн бұрын

    Eliza Au alikua anachukua na Mabwana wa wateja wake...!?😅.

  • @saidkhatib9146

    @saidkhatib9146

    Күн бұрын

    😂😂

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786Күн бұрын

    watendaji watendaji. TUNAIANGUSHA NCHI SANA

  • @kwisa4899
    @kwisa4899Күн бұрын

    kosa sio lake kaonewa

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2blКүн бұрын

    Daah kuleni lakini msijisahu jamanii na wananchi tukumbukeni hususan jambo la msingi kama hili la maji

  • @africaonechannel1289
    @africaonechannel12892 күн бұрын

    Mhe.WAZIRI WA MAJI!. TUNAKUOMBA UTUSAIDIE WANA DSM. Wafanyakazi wa DAWASA wanaohusika ktk MTANDAO WA MAJI NA WASOMA MITA WOTE WABADILISHWE VITUO VYA KAZI. Utagundua mengi Mno kwa kufanya hayo MABORESHO, Ninawakilisha●

  • @user-hm9ir7yz4z
    @user-hm9ir7yz4zКүн бұрын

    Huyu dada kaja kuharibu hahahaha

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2wКүн бұрын

    Wazaramo Bana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti hakua ivo

  • @SalimAbdallah-mi1wc
    @SalimAbdallah-mi1wcКүн бұрын

    Mabomba yameletwa baada kuona mh Waziri amekuja😂

  • @careemissa2502
    @careemissa2502Күн бұрын

    Sisi Maramba Kwa tesha huku tuna mwaka majumbani kwetu maji hayajawahi kutoka tunafta maji kwembe na kwingne

  • @nujakaluhende9428
    @nujakaluhende94282 күн бұрын

    Umepiga kwenye

  • @user-rh9bo3kh2g
    @user-rh9bo3kh2gКүн бұрын

    Wanatabia ya kujisahawu hatahapa bbt yupo?

  • @aminamwashambwa6846
    @aminamwashambwa68462 күн бұрын

    Njia panda ya makabe kwa fungo wamefunga bomba usiku yanamwagika barabarani lakini majumbani mabomba hayana maji yameota kutu huku mitaa ya nyota njema

  • @RoydaspityKobero-jq9cm
    @RoydaspityKobero-jq9cmКүн бұрын

    Eliza unajisiakiaje wanawake wenzio wanapokukataa na kukuzomea kiasi hiko na maneno machafu wanayokutolea,badilika acha usanii kazini

  • @perepetuasenga3875

    @perepetuasenga3875

    Күн бұрын

    Duuh yaani ni aibu mno

  • @UdakuKingdom
    @UdakuKingdom2 күн бұрын

    😢😢😢😢

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamiloКүн бұрын

    Yaani huyu Eliza hakuna kitu. Hata hapo ameshindwa kumuomba msamaha hata Waziri, Katibu Mkuu na Wananchi waliopo hapo. Kasimama tu na suruali yake kama Boss.😂😂😂

  • @johannesishengoma1232

    @johannesishengoma1232

    Күн бұрын

    Usimuhukumu bila kujua undani wa jambo lenyewe. Wanasiasa wanajua kujiosha mbele ya wananchi. Amesema aliomba bomba muda mrefu kwa nini zimetoka wakati wa ziara ya waziri? Pia si Kibamba tu, ni maeneo mengi hapa nchini kwa upande wa sekta ya maji hawapewi hela za kutosha na kwa wakati. Juzi tu mlisikia bungeni wakandarasi wa miradi ya maji wanadai zaidi ya 400B. Jiulize bajeti ya wizara ya maji iliyopitishwa inatosheleza kwa kiasi gani? Acheni kutoa hukumu kirahisi hivyo.

  • @germanasondoka9057
    @germanasondoka90572 күн бұрын

    Segerea leo siku ya tatu hatuna maji. Why

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno79142 күн бұрын

    Tumbua

  • @Zaburi-
    @Zaburi-2 күн бұрын

    Hivi lakini kwanini hawa watendaji baadhi yao wanakwisha sana maendeleo?! Tatizo ni nini hasa?

  • @proisolution7166

    @proisolution7166

    2 күн бұрын

    hii hata mimi ningekuwepo ningeenda kutoa ushahidi ,kwangu pale maji yanamwagika over three months hawafungi.

  • @pastorygeorge3062
    @pastorygeorge30622 күн бұрын

    Huyo anaonekana hawezi kazi

Келесі