CRISTIANO RONALDO AWAAGE TU URENO| SIKU HIZI URENO NDIYO INAMBEBA RONALDO KULIKO YEYE KUIBEBA URENO.

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 46

  • @BimkubwaMohd-ef6hr
    @BimkubwaMohd-ef6hr5 күн бұрын

    Kama ameshaibeba timu kwa muda mrefu so vibaya timu kumbeba Ronaldo ila kwenye matumizi inabidi apunguziwe majukumu

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    5 күн бұрын

    Kweli kabisa

  • @ursulinenyandindi3051

    @ursulinenyandindi3051

    5 күн бұрын

    Kocha akimwambia tuu faza utakuwa unaingia 20 za mwisho, wanagombana hapo hapo. Jamaa anaamua yeye

  • @jakuvuai1428

    @jakuvuai1428

    Күн бұрын

    Hakuwah kuibeba broo

  • @BimkubwaMohd-ef6hr

    @BimkubwaMohd-ef6hr

    Күн бұрын

    Wareno wenyewe wanajua nyinyi itakua mna wivu t

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    Күн бұрын

    @@jakuvuai1428 ikiwa ni mchezaji bora na kiungo muhimu ktk timu'nisawa umeibeba kwa maana ya kutegemewa zaidi! acha chuki broo, jamaa hata asipokuwa ktk timu teyari ana maisha yahali yajuu kuliko hiyo timu

  • @dreamer4760
    @dreamer47605 күн бұрын

    Kuna vitu tulikuwa tunaweza kufanya kipindi umri mdogo lakini sasa hivi hatuwez ko hatasisi ni mashahidi wa hichi kinachomtokea , usianze kusema yule sasa alikuw ronaldo huyu sio angalia ungekuwa wewe ndio yeye kwa umri huo ungekuwa wapi

  • @KhadijaZahoro
    @KhadijaZahoro3 күн бұрын

    Dah nalikubal sana ichi kiungo ronado ni mchezaj ambaye kuwa ana jituma kwa juhud ndio ivo tu binadam sio samak umesha Fanya makubwa sana ronado tunakusapot sna Tanzania heshima kwako star wa Dunia I love Ronald kwa aslmy 100

  • @dreamer4760
    @dreamer47605 күн бұрын

    Ila kuna watu sjui wanafanya nini wasafi ivi kweli mchezaji anamiaka 39 mnataka acheze kama alivyokuwa na miaka 24 hamiwezi hata kufikiria

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    4 күн бұрын

    Hawa walaubwabwa tu

  • @yusufujemson9020

    @yusufujemson9020

    4 күн бұрын

    Hmn wachambuzi hapa

  • @MamuJuma-ot9wy

    @MamuJuma-ot9wy

    Күн бұрын

    Ndiomaana wameshauli awe anacheza ata one half

  • @user-vf9sk3ij8s
    @user-vf9sk3ij8s4 күн бұрын

    Ureno Wana wachezaj weng wazur ila heshima tu Kwa Ronaldo

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18994 күн бұрын

    Kwani kawaambia atacheza maisha? Kama aliweza kuibeba Ureno kuitafutia heshima sasa ni muda wa Ureno kumbeba.

  • @tahiyasaidi6532
    @tahiyasaidi65325 күн бұрын

    So sad .....but time is over goodbye CR7 .

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah58414 күн бұрын

    Ana heshim yako ureno ila akianza ana cost team hawez kwenda speed ya wenziwe ss bora iwe anaingia sub

  • @dante3519
    @dante35194 күн бұрын

    Ronald ni mtu anaeza kupea Bao katika mda wowote ndio maana alicheza huo mda wote

  • @backieb205
    @backieb2055 күн бұрын

    This guys they crazy or what he’s better than young players

  • @tonymbilinyi8419

    @tonymbilinyi8419

    5 күн бұрын

    They’re crazy! CR7 is Portugal

  • @AliAbdul-ve5ve
    @AliAbdul-ve5ve5 күн бұрын

    39 kucheza sio mchezo musione rahisi sanaa kaka zangu cku hizi hakuna timu ndogo kila mtu ywajua mpira na kila beki ywabana

  • @yusufujemson9020

    @yusufujemson9020

    4 күн бұрын

    Fact

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913Күн бұрын

    Huwezi ukamuacha Ronaldo Beach Sababu Ana bembe Tim ya Portugal

  • @murtalla2826
    @murtalla28264 күн бұрын

    Edo hujawah kumpenda Ronaldo kuma ww

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy15905 күн бұрын

    Messi huwagaa anawapaa madogo nafas

  • @EliasHassani
    @EliasHassani3 күн бұрын

    Subir euro ambayo cr7 ,modric,ton cross hawatakuwepo muone muitikio wake

  • @dreamer4760
    @dreamer47605 күн бұрын

    Na huyo mwingine anasema kukosa penalty, hata kabla ya kuwa na umri huu alikosa penalty huko zamani ni miaka miwili imepita toka ronaldo akose penalty

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in4 күн бұрын

    Sasa Edo unaongea nn Ronaldo kashasema hii ndio Ya mwisho

  • @jemedarijuma4567
    @jemedarijuma45674 күн бұрын

    Wachambuzi sasa😂😂😂😂

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru5 күн бұрын

    RONALDO kwasasa ni kama diamond platnumz kwenye mziki wa Tanzania 🇹🇿 😅. Diamond platnumz anataka kuonekana bora wakati ameshuka viwango nyimbo ya komasava anataka iwe hit song 🎵 😂 😢eti komasava wakati ni comment çavant 😂ina maana hata waandishi awamkosoi kisa ni mkubwa na ana pesa

  • @user-pk1yl7zt8p

    @user-pk1yl7zt8p

    5 күн бұрын

    Ww n hoples kabisa nying ndo mlikuaga vilaza school unaleta hoja amby haihusian na kichwa cha habar 😂😂😂😂😂😂kenge kwel ukikuzd unapungukiwa mpk akili😂😂#shoga we are talking about football here not music

  • @michaelfrenkline3429

    @michaelfrenkline3429

    4 күн бұрын

    We hovyo Sana. Mziki na mpira wapi na wapi.

  • @chikusangalala7759

    @chikusangalala7759

    4 күн бұрын

    Wewe old is gord

  • @chikusangalala7759

    @chikusangalala7759

    4 күн бұрын

    Sasa hapa Tanzania nani ni Muimbaji mzuri

  • @yohanamaiga3031

    @yohanamaiga3031

    4 күн бұрын

    zero brain na anajiita brave

  • @SAYMOEKARIM
    @SAYMOEKARIM5 күн бұрын

    cr7 😂😂😂 anaweza lig ya waarabu .

  • @OthmanThabitJuma
    @OthmanThabitJuma4 күн бұрын

    Sisi watu wa goat messi hatuna wasi

  • @EliasHassani
    @EliasHassani3 күн бұрын

    Atawaprove wrong mda si mrefu

  • @kendryjenner
    @kendryjenner4 күн бұрын

    😅 wachambuzi wa mchongo kweli Yani cr7 siku Hz amebadili namba anacheza no9 km halaand,Giroud, endrick sasa wao wanatamani acheze no7 km zamani

  • @Allykoroshotv

    @Allykoroshotv

    4 күн бұрын

    Hujui

  • @PaulManko
    @PaulManko4 күн бұрын

    Mbona messi nyiee hamumwambiiii kazi Ronaldo kumaaa nyieee

  • @storytownTv
    @storytownTv5 күн бұрын

    Madhara ya nyeto .ndo yanamsumbua sana Ronaldo wenu

  • @deotv503

    @deotv503

    5 күн бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @Mumewangu

    @Mumewangu

    4 күн бұрын

    Itakuwa wewe ndie unaepiga nyeto

  • @FranceYohana-eg5zd
    @FranceYohana-eg5zd4 күн бұрын

    Edo we tahira

  • @TechTrove.Odyssey
    @TechTrove.Odyssey5 күн бұрын

    Ronaldo ni mganga wa timu

Келесі