#zandaaani

Спорт

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 45

  • @DM_15
    @DM_1513 күн бұрын

    Mayele top score misiri

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta837413 күн бұрын

    Eti Kama wanamtaka wao kumbe wanaenda kutoa sadaka😂imeenda

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell476013 күн бұрын

    Hans katudanganya 😂😂😂😂😂😂

  • @othmantv2654
    @othmantv265413 күн бұрын

    Code ya leo haihitaji hata D 2....😂😂😂

  • @GEORGERUTANGANTEVYI

    @GEORGERUTANGANTEVYI

    13 күн бұрын

    ❤😊😊😊 ❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤😂😂😂❤😂😂😂❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤😂❤❤❤❤😂😂❤❤😂😂❤❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤❤

  • @mtotowamanka

    @mtotowamanka

    13 күн бұрын

    F

  • @jamespeter5882
    @jamespeter588213 күн бұрын

    Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re13 күн бұрын

    Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa120612 күн бұрын

    Code nyepesi sana Fei totooooo

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud13 күн бұрын

    Momo upo kama chawa wayangaa

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef13 күн бұрын

    Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno

  • @zickdeus5497
    @zickdeus549713 күн бұрын

    Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro326913 күн бұрын

    Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?

  • @victorronald1449
    @victorronald144913 күн бұрын

    Simba hakuwahi kumihitaji

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw13 күн бұрын

    Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa

  • @msomiadam250
    @msomiadam25013 күн бұрын

    Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew

  • @invocavitykitaly2483
    @invocavitykitaly248313 күн бұрын

    1

  • @user-px6jj4tu7m
    @user-px6jj4tu7m13 күн бұрын

    Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.

  • @AthumanAlly-zw9ni
    @AthumanAlly-zw9ni13 күн бұрын

    Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln13 күн бұрын

    2

  • @BADAWY575
    @BADAWY57513 күн бұрын

    Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    13 күн бұрын

    Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo13 күн бұрын

    Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana

  • @bigjizee4130

    @bigjizee4130

    13 күн бұрын

    Lini amedanganya

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud76313 күн бұрын

    Momo leo umeongeya kikubwa

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa926813 күн бұрын

    Feisal

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay220813 күн бұрын

    Belive me Fei anakuja Simba

  • @hirizonetz9558

    @hirizonetz9558

    13 күн бұрын

    Unaota😂

  • @olaislukumay2208

    @olaislukumay2208

    13 күн бұрын

    @@hirizonetz9558 hata ndoto huwa na ukweli

  • @SenoNorbertKiemena
    @SenoNorbertKiemena13 күн бұрын

    Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie

  • @murshidyabdallah1356

    @murshidyabdallah1356

    10 күн бұрын

    Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175513 күн бұрын

    Mbona sielewi

  • @chillogeorge1383

    @chillogeorge1383

    13 күн бұрын

    Ni Fei toto

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c13 күн бұрын

    Fei huyo

  • @stn4873
    @stn487313 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas916413 күн бұрын

    Kwani mo na bakhresa nani bilionea?

  • @TwalibKwelii

    @TwalibKwelii

    13 күн бұрын

    Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya

  • @cosmasthomas9164

    @cosmasthomas9164

    12 күн бұрын

    @@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍

  • @TwalibKwelii

    @TwalibKwelii

    12 күн бұрын

    @@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla

  • @user-pb3ub3gl4q

    @user-pb3ub3gl4q

    12 күн бұрын

    ​@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo

  • @cosmasthomas9164

    @cosmasthomas9164

    11 күн бұрын

    @@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍

  • @ekisuka1
    @ekisuka113 күн бұрын

    Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.

  • @reonardchatanda6371

    @reonardchatanda6371

    13 күн бұрын

    Unaelewa maana ya mkataba?

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela184912 күн бұрын

    Feitoto

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge138313 күн бұрын

    Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa. Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk. Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu

Келесі