Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki
@RobertChacha-hb9re13 күн бұрын
Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂
@josephchuwa120612 күн бұрын
Code nyepesi sana Fei totooooo
@baharanimasoud13 күн бұрын
Momo upo kama chawa wayangaa
@MohdAli-fl2ef13 күн бұрын
Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno
@zickdeus549713 күн бұрын
Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki
@richardkokoro326913 күн бұрын
Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?
@victorronald144913 күн бұрын
Simba hakuwahi kumihitaji
@SaidAlly-uh4qw13 күн бұрын
Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa
@msomiadam25013 күн бұрын
Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew
@invocavitykitaly248313 күн бұрын
1
@user-px6jj4tu7m13 күн бұрын
Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.
@AthumanAlly-zw9ni13 күн бұрын
Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga
@SIMONHERMAN-qv2ln13 күн бұрын
2
@BADAWY57513 күн бұрын
Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini
@taseleli9181
13 күн бұрын
Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa
@GabrielAmma-jp1oo13 күн бұрын
Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana
@bigjizee4130
13 күн бұрын
Lini amedanganya
@roudhamahmoud76313 күн бұрын
Momo leo umeongeya kikubwa
@majaliwamussa926813 күн бұрын
Feisal
@olaislukumay220813 күн бұрын
Belive me Fei anakuja Simba
@hirizonetz9558
13 күн бұрын
Unaota😂
@olaislukumay2208
13 күн бұрын
@@hirizonetz9558 hata ndoto huwa na ukweli
@SenoNorbertKiemena13 күн бұрын
Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie
@murshidyabdallah1356
10 күн бұрын
Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko
@amaniomar175513 күн бұрын
Mbona sielewi
@chillogeorge1383
13 күн бұрын
Ni Fei toto
@user-ww4so9ks9c13 күн бұрын
Fei huyo
@stn487313 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@cosmasthomas916413 күн бұрын
Kwani mo na bakhresa nani bilionea?
@TwalibKwelii
13 күн бұрын
Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya
@cosmasthomas9164
12 күн бұрын
@@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍
@TwalibKwelii
12 күн бұрын
@@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla
@user-pb3ub3gl4q
12 күн бұрын
@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo
@cosmasthomas9164
11 күн бұрын
@@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍
@ekisuka113 күн бұрын
Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.
@reonardchatanda6371
13 күн бұрын
Unaelewa maana ya mkataba?
@stanleymwaselela184912 күн бұрын
Feitoto
@chillogeorge138313 күн бұрын
Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa. Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk. Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu
Пікірлер: 45
Mayele top score misiri
Eti Kama wanamtaka wao kumbe wanaenda kutoa sadaka😂imeenda
Hans katudanganya 😂😂😂😂😂😂
Code ya leo haihitaji hata D 2....😂😂😂
@GEORGERUTANGANTEVYI
13 күн бұрын
❤😊😊😊 ❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤😂😂😂❤😂😂😂❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤😂❤❤❤❤😂😂❤❤😂😂❤❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤❤
@mtotowamanka
13 күн бұрын
F
Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki
Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂
Code nyepesi sana Fei totooooo
Momo upo kama chawa wayangaa
Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno
Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki
Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?
Simba hakuwahi kumihitaji
Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa
Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew
1
Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.
Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga
2
Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini
@taseleli9181
13 күн бұрын
Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa
Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana
@bigjizee4130
13 күн бұрын
Lini amedanganya
Momo leo umeongeya kikubwa
Feisal
Belive me Fei anakuja Simba
@hirizonetz9558
13 күн бұрын
Unaota😂
@olaislukumay2208
13 күн бұрын
@@hirizonetz9558 hata ndoto huwa na ukweli
Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie
@murshidyabdallah1356
10 күн бұрын
Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko
Mbona sielewi
@chillogeorge1383
13 күн бұрын
Ni Fei toto
Fei huyo
😂😂😂😂😂😂😂
Kwani mo na bakhresa nani bilionea?
@TwalibKwelii
13 күн бұрын
Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya
@cosmasthomas9164
12 күн бұрын
@@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍
@TwalibKwelii
12 күн бұрын
@@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla
@user-pb3ub3gl4q
12 күн бұрын
@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo
@cosmasthomas9164
11 күн бұрын
@@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍
Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.
@reonardchatanda6371
13 күн бұрын
Unaelewa maana ya mkataba?
Feitoto
Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa. Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk. Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu