#ZaNdaaani

Спорт

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 235

  • @user-wh2mm1eq2x
    @user-wh2mm1eq2x13 күн бұрын

    Za ndaaaaani😂😂😂 Momo bwana, eti Mo Sarah. Momo sema Mo dewj siyo Mo Sarah

  • @saadomar2480
    @saadomar248013 күн бұрын

    Kama NIKWELI, MOO SHKAMOO KAKA WATAIFA😂😂❤❤❤❤❤😅😊

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv695813 күн бұрын

    Wa mwisho naomba like zangu ila naushauri acheni kupenda wachezaji pendeni timu zenu😂😂😂😂😂❤

  • @mckobatz5861
    @mckobatz586113 күн бұрын

    Halafu mnataka kusema tx dullah ndio mwenye comedian talent pekee msiache jina la Momo tafadhali 😂

  • @mcray0609
    @mcray060912 күн бұрын

    Eng. Hersi shikamoo.. Unajua kuyumbusha watu ad momo anadanganya umma

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile974913 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu kaka hahaha anajua kunivunja mbavu

  • @basiaarsh3835
    @basiaarsh383513 күн бұрын

    Huyu jamaa yupo vzuri saaana

  • @amosmemba9926
    @amosmemba992613 күн бұрын

    Aziz Ki huyooooo

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g13 күн бұрын

    Zaa ndani nakutukana kwa furaha kudadadekiii zako

  • @StephanoFrance
    @StephanoFrance13 күн бұрын

    Aaah ila leo mzee wa za ndani umetupa laha sana wa lunyasi

  • @victorvenance1009
    @victorvenance100913 күн бұрын

    Hakuna timu ya kufanya usajili wa Bilion 3 kwa mwaka mmoja kwenye ligi ya Tanzania.

  • @joshuanyaulingo4109

    @joshuanyaulingo4109

    13 күн бұрын

    kaa hvo hvoo sas

  • @faustinombilinyi9809

    @faustinombilinyi9809

    13 күн бұрын

    Dora laki tano sawa na 1.3b

  • @evdsam7286
    @evdsam728612 күн бұрын

    Huyu jamaa anatabia za kikekike sana, anavyodanganya mpaka sura inaonesha ukike ndani yake

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob13 күн бұрын

    Momo kwa mikwala cheki alivyomuigiza tajiri alivyoshika sigara 😂😂😂

  • @jamesngindo4583
    @jamesngindo458312 күн бұрын

    Mnahangaika tu Aziz alishasaini yanga kitambo, sema engineer mjanja ameaachia tu media zihangaike kwa muda huu

  • @moudyhamisi2641

    @moudyhamisi2641

    12 күн бұрын

    Acha uongo

  • @allytv1714
    @allytv171413 күн бұрын

    Huyo ni aziz funguo utoo wanamganda na awana pesa ya wanataka aishi kama family ndo maana mayele alisepa alikataa mfumo wa ww family

  • @reonardchatanda6371

    @reonardchatanda6371

    13 күн бұрын

    Poleni sana

  • @Munyama675

    @Munyama675

    13 күн бұрын

    Yaan Aziz aache Yanga aende SIMBA?

  • @allytv1714

    @allytv1714

    13 күн бұрын

    @@Munyama675 mpira ni biashara kama timu inamwaga pesa zaidi ya yanga anaenda siyo kwao pale mayele alisema yy anaangalia pesa anatafuta pesa kama cristiano Ronaldo

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    13 күн бұрын

    ​@@reonardchatanda6371POLE MATAKO AU 😂😂😂😂😂😂 UTOPOLO MACHOGO FC WEWE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    13 күн бұрын

    ​@@Munyama675UTOPOLO MACHOGO FC NJAA NYIE

  • @hendrixmarvel7387
    @hendrixmarvel738713 күн бұрын

    Naombeni likes jaman😅

  • @samirshabani-yu4xu

    @samirshabani-yu4xu

    13 күн бұрын

    Omba nduguzako mshamba wewe

  • @saeedmagoda9651

    @saeedmagoda9651

    13 күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣​@@samirshabani-yu4xu

  • @user-iv1it9yy3c
    @user-iv1it9yy3c13 күн бұрын

    Shajua kama injinia aje simba hata leta mgogoro mkubwa bora auzwe huko kaizer sio makolo nae shuka thamani timu ashirk klabu bingwa

  • @barakayusuph4617

    @barakayusuph4617

    13 күн бұрын

    wew amka aziz ki yuko huru sasa mtamuuzaje chura wew😂😂

  • @chamyluna8030

    @chamyluna8030

    13 күн бұрын

    Lilisikika pumbavu likiongea 😢😢😢😢

  • @JumaSuleiman-np3eb

    @JumaSuleiman-np3eb

    13 күн бұрын

    Wivu tu

  • @onesmothimos2635

    @onesmothimos2635

    13 күн бұрын

    Ujui kuandika nenda shule choko wewe

  • @venancemwanya4212

    @venancemwanya4212

    13 күн бұрын

    Yanga hana mamlaka ya kumuuza Aziz k.Aziz ki yuko hurt hana mkataba na timu yoyote.

  • @georgesheto4542
    @georgesheto454213 күн бұрын

    Azizi k to simba like za kutosha apa

  • @Veni584

    @Veni584

    13 күн бұрын

    Akacheze shirikisho

  • @IbniAbbas-yz3kt

    @IbniAbbas-yz3kt

    13 күн бұрын

    ​@@Veni584mjomba watu wanaangalia pesa hilo shirikisho halimpunguzii wala halimungezei kitu

  • @bone102

    @bone102

    13 күн бұрын

    ​​@@Veni584kama Ahly timu ya 1 Africa ilicheza shirikisho mwaka 2014 kuna kitu gan cha ajabu zaid Simba ambaye ni ya 5 Africa kucheza shirikisho wachezaji wanaangalia timu gani ina muendelezo na sio timu ndo inajifunza kwenye club bingwa mara ya 2 na hamna uhakika mtaingia group stage

  • @YOSHUAMWAMPETA

    @YOSHUAMWAMPETA

    13 күн бұрын

    JE YA KWELI HAYO ?

  • @alfonceanton2273

    @alfonceanton2273

    13 күн бұрын

    ​@@Veni584Kwani wakati anakuja nyuma mwiko mlikuwa mnashiriki mashindano gani?

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson357712 күн бұрын

    Azizi Ally labda hhahaaaaaaa Azizi ki Jangwani yupo sana sajilini kina Debora tuleteeni na Mwajuma 😂😂

  • @armytonegt3897

    @armytonegt3897

    8 күн бұрын

    Vp kuhus joyce

  • @harounzuberi8179
    @harounzuberi817913 күн бұрын

    Sospiter Bajuna huyo😅😅😅😅

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g13 күн бұрын

    Umeeeapa kwa Dini nakuamini

  • @phidolineprivatus9078
    @phidolineprivatus907813 күн бұрын

    We msenge leo umejua kunichekesha😂

  • @LowasaSanare
    @LowasaSanare13 күн бұрын

    Hahahahaha 😅😅😅😅 we jamaa unajuaa kuigizia umbea akii 😂😂😂 nmecheka

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv695812 күн бұрын

    Momo acha uongo unaapia mpka jina la mola wako ufai bara wala pwani

  • @josafko2259
    @josafko225913 күн бұрын

    Timu gan ya kutoa 3b hapa bongo😂😂😂

  • @francismomo7067
    @francismomo706713 күн бұрын

    Safi sana wajina

  • @mckobatz5861
    @mckobatz586113 күн бұрын

    Anatumika kukikisha propaganda ya Yanga na Ki sema hii ya tajiri lilivyovuta sigar kuwasha na kuvuta ni kali😂😂😂😂

  • @user-bj8hk9td9f
    @user-bj8hk9td9f13 күн бұрын

    Ina maan wasafi muko vizr kwel munauliza ripoti imendikwa na nani timu haikua na kocha

  • @user-yk9ll1cd9b
    @user-yk9ll1cd9b13 күн бұрын

    Momo hivyo viwili unavyonyosha juu unatupa mashaka ya ww kuwa mmasonia

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g13 күн бұрын

    Wewee ucitutie tamaaa

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c13 күн бұрын

    Mlikuwa wapi kabla eris hajàsema azizi hajasain we muongo bhana

  • @user-lj7pu9js1d
    @user-lj7pu9js1d13 күн бұрын

    Sikujuaga kama unaongeaga uongo leo ndio nimeamini wewe sio mkweli

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda13 күн бұрын

    Yess

  • @allyfatma7359
    @allyfatma735913 күн бұрын

    Leo momo kanichekesha sana

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford357213 күн бұрын

    😂😂😂😂ameshindwa kumbakisha chama kwa mshahara wa ml 40 utaweza kwa ki kakojoe ukalale nawewe saizi hauna za ndani wala nini

  • @user-mo6be6gz3t

    @user-mo6be6gz3t

    13 күн бұрын

    Million 40 kwa umri ule kaka miaka 33 ni uongo kaka hata ww usingetoa

  • @jamesngindo4583

    @jamesngindo4583

    12 күн бұрын

    @@user-mo6be6gz3t Chama hajaisha mpira wangembakisha tu kwa mwaka mmoja, sasa tusubiri tumuangalie akiwa yanga tujiridhishe

  • @biggy_aziz255
    @biggy_aziz25513 күн бұрын

    Kama unatamani kumuona Aziz Ki SIMBA like hapa 👍

  • @shaiburajabumrope8113
    @shaiburajabumrope811313 күн бұрын

    Nakukbal sana likado momo

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah584113 күн бұрын

    Dah siamin

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians13 күн бұрын

    From #EconomicallyGrowthMusicians 😂😂😂😂😂

  • @sundaymsomi6284
    @sundaymsomi628413 күн бұрын

    Hapa hakuna taarifa ya ukweli kuweni watulivu

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l13 күн бұрын

    MNYAMA MKALI

  • @georgekyando885
    @georgekyando88513 күн бұрын

    6:21 siku zote mkuki ni mtamu kwa ……. Na kwa ….

  • @mwitafabian9403
    @mwitafabian940310 күн бұрын

    Jamaa mpaka kaapa, kweli Dunia ina mambo

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda995813 күн бұрын

    Daaaah aziz ki tumemkosa

  • @Abuu-gs1yi

    @Abuu-gs1yi

    13 күн бұрын

    Kuwa na amani

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m13 күн бұрын

    Wapike keki wao si wanapika keki!!!

  • @georgekyando885
    @georgekyando88513 күн бұрын

    Siku zote mkuki ni mtamu kwa ………… na kwa ni……..

  • @musanjopeka837

    @musanjopeka837

    11 күн бұрын

    Poleni

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy13 күн бұрын

    Msenge akikutana na shoga bora nani jamani hapo ndio radio hao wachambuzi mmoja msenge na mwingine ni shoga

  • @rogersdavis3058

    @rogersdavis3058

    12 күн бұрын

    Tatizo la ushabiki wa kipuuzi unatukana kisa nini

  • @BADAWY575
    @BADAWY57513 күн бұрын

    Huyu kama msenge kwenye media analeta story za kama amekula mirungi au mlevi .hawa ndio waharibifu wa kazi za watu .yani kafanya hapa kwa media kama mgahawa wa kahawa ndio maana kaachwa na mke wake sababu ni muongo

  • @luqmanomary3558

    @luqmanomary3558

    13 күн бұрын

    Usitutus wala kirungi au pombe chagua starehe yako na wew😂😂😂😂😂

  • @charlestobby6031

    @charlestobby6031

    13 күн бұрын

    Mwanzo mlifurahi mwisho wa stori mkanuna mtasubiri sana kudadeki😂😂

  • @BADAWY575

    @BADAWY575

    13 күн бұрын

    Jamaa muongo maendeleo ya ki afya ya akili mwanzo ni mtu awe haongei uongo bongo linakua safi .alafu ukizingatia yuko kwenye media kaa sio mlevi ni nani huyo chizi basi au ndio media ya mdogo wake anakaa akidanganya watu .huo wakati wa kutunga naongezi sisi yanga tumeshawacha muda mwingi ata maongezi ya kurogana kitambo tumesahau kuyatamka sisi wana yanga sababu .uchawi wa mpira ni zoezi na pesa management nzuri yenye uwelidi na kuwatizama wachezaji kwa furaha .nyie simba omba omba wa babujiiiii muhindi anawahujumu simba wote wanafiki sasahv yenyewe inashangilia usajili.kweli wachezaji wao ukiwatizama sio uhakika upo .nimependa napenda mpizani awe na timu pia lakini kimaendeleo simba ni ndondo club huo ndio ukweli

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego330812 күн бұрын

    sasaivi momo umekuwa muongo sikuwamini tena mpaka unaapa Kwa mungu

  • @MalakEnock
    @MalakEnock13 күн бұрын

    Mnazinguwaa huuu mwezii sasa sisikii redio yenu morogoro raha kama hii naipatia wap acheni usengee

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa134613 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂dah tajiri katisha…momo hadi umesimuliwa tajir kavuta ciger😂😂

  • @BADAWY575
    @BADAWY57513 күн бұрын

    Yani kweli kuna mashabiki wanae mshabikia huyu .mimi ndio mara yangu ya kwanza kumsikiza nasitatokea tena kusikiza uongo kama huu kama anaongea na watoto wadogo

  • @IbniAbbas-yz3kt

    @IbniAbbas-yz3kt

    13 күн бұрын

    😂ni kweli sio uongo sema kwakuwa wee unaonekana jeuri kataa hivyo hivyo!na sio moo aliye fanya hivyo kuna jamaa anaitwa saraha lafiki yake mwana FA

  • @BADAWY575

    @BADAWY575

    13 күн бұрын

    @@IbniAbbas-yz3kt mimi ni yanga damu damu na mpira naujua ni biashara Aziz akienda bado nina furaha kuwa timu yangu Young African iko na muongozo wa kisasa na tunavuna mipesa na itatufanya tuzidi kuwa strong.nyie Simba sasa Mo muhindi kawaida yake pre -season mwenye timu yake anasafiri na jitimu lake anafanya market ata pesa anayowapa nyie omba omba baada ya preseason marketing aliyofanya yeye kwa biashara yake na kutumia nembo ya Simba ni yake anakua amerudisha trillion cz Mo ni bilionia .marketing yake ni ndefu sijui umenifahamu .anawahujumu hawajengei ata Simba complex nyumba za wachezaji yani muna jina kubwa tu lakini hamuna kitu munamuomba muhindi yani munatawaliwa .nyerere alishatugomboa amkeni

  • @onekisstv8412
    @onekisstv841213 күн бұрын

    Kumbe kashaanguka wino 😂😂😂😂 mimi msenge sana

  • @NNONGWA
    @NNONGWA13 күн бұрын

    Kuanzia leo sintakusikilizaaa tenaaa ,Mzushiiiiii mkubwaaaaaaaaa

  • @maliadii4829
    @maliadii482913 күн бұрын

    Msijixime data alisema hataondoka kwa ajili ya pesa mpaka atakapomalizana na boss wake anaemheshimu sana waambie wakalilie chooni

  • @user-xm5xg1tt6d

    @user-xm5xg1tt6d

    13 күн бұрын

    Mbona povu

  • @brownmoses9543

    @brownmoses9543

    13 күн бұрын

    Heshima haipo palipo na pes😅

  • @bone102

    @bone102

    13 күн бұрын

    Kwan Mayele alisemaje na tangazo la jezi mpya alivaa kaka wachezaji wanaangalia wap watapata pesa mzee

  • @bone102

    @bone102

    13 күн бұрын

    Kwan Mayele ilikuwaje na hadi jezi mpya za msimi alivaa na mkasema Mayele haondoki😂

  • @geralddeus1434
    @geralddeus143413 күн бұрын

    Momo jau sana daah🤣🤣

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi980913 күн бұрын

    MO KWA AZIZI KI DUUUH AISEEE HATARI SN NDUGU YANGU

  • @chidoxtv.7394
    @chidoxtv.739412 күн бұрын

    Chidox company limited karibuni

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl13 күн бұрын

    Inatumika siku hizi... injinia kashafanya yake kwako!

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri13 күн бұрын

    😂😂😂😂Hivi huyu anapataga wapi habar

  • @GETRUDEGODWIN
    @GETRUDEGODWIN13 күн бұрын

    Chama uyo jamani sio azizi k

  • @kahamashinyanga
    @kahamashinyanga13 күн бұрын

    Uyu jamaa ni mchambuzi au nani ata simwelewi anaongea km yuko genge la wahuni

  • @chidyothman5285
    @chidyothman528512 күн бұрын

    Kula chuma ikoooo yule avc Town

  • @RESPECTFOOTBALL2024
    @RESPECTFOOTBALL202413 күн бұрын

    HACHOMOI HUYO

  • @user-ce1ps5hy4f
    @user-ce1ps5hy4f13 күн бұрын

    Huyu ndo alitwambia fei karudi yanga kapewa mshahara wa m 12 baada ya siku fei huyo azam hili waga niliongo 😂

  • @LucasMagukuru-hc9kr

    @LucasMagukuru-hc9kr

    13 күн бұрын

    Huyo anatoa tetesi, ww znaweza kuw kwel au sio kweli, ndo mana kaxem za ndan inasemekana

  • @BADAWY575

    @BADAWY575

    13 күн бұрын

    @@user-ce1ps5hy4f muongo sana nashangaa lenyewe linapayukwa na kigugumizi chake waka cha uongo kwanza hana sifa za kuwa mtangazaji sababu anakigugumizi kisha anabadilishwa maneno anayosema .ebwanae hapa naona kama mwenyewe napoteza mmda .jamaa zombi hajui anachosema hajui alipo hajui kama anapeleka ripoti kwa umma yani chizi tu zombi

  • @nicholousmtemi3902

    @nicholousmtemi3902

    13 күн бұрын

    @@LucasMagukuru-hc9kr ulikua hufatilii basi Huyu ndo alianza wa kwanza kabsa kusema fei anaondoka yanga

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg13 күн бұрын

    Amchukue lakini mfumo ndo shida kolo. Muulize Mayele mfumo umemkataa asingizia majini.

  • @JumaSaidi-xq7ui

    @JumaSaidi-xq7ui

    13 күн бұрын

    Mfumo wakufnya nn

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu

    @SurprisedFullMoon-gg9vu

    13 күн бұрын

    Mfumo wa kukutombaaa au

  • @personpeter2221

    @personpeter2221

    13 күн бұрын

    ​@@SurprisedFullMoon-gg9vu😂😂😂umelijibu vzur hilo punga

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu

    @SurprisedFullMoon-gg9vu

    13 күн бұрын

    @@personpeter2221 haya ma utokwinyoo masengee kwel

  • @HappyKitindi

    @HappyKitindi

    13 күн бұрын

    Mayele umemkataa mfumo wakt anaongoza kwa magoli ligi ya Misri na ana assist 5 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂be

  • @user-ye3rb9jd6z
    @user-ye3rb9jd6z12 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 Momo we muongo akavuta sigara

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er13 күн бұрын

    Huo usijari wa kagoma wala msihangaike sio Aziz k😂😂😂😂

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford357213 күн бұрын

    😂😂😂wakati leo wadanganye ao makolo wenzio

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu

    @SurprisedFullMoon-gg9vu

    13 күн бұрын

    Tulia shindano iingieee

  • @killerwizzyofficial2157
    @killerwizzyofficial215713 күн бұрын

    Daaaaahh brother 😂😂😂😂😂

  • @richymello14
    @richymello1413 күн бұрын

    Fiston Kalala Mayele 🛫

  • @SobiTz
    @SobiTz13 күн бұрын

    2:22 Hakuna ki2 kama icho et dollar laki 5,hv unajua ni shingap iyo,alaf kwa mkataba wa mwaka mmoja,Makolo tokeni Usingizini 😂😂😂 Billion na ushehe uko kwa mkataba wa mwaka mmoja 🤣

  • @athumanimtajih

    @athumanimtajih

    13 күн бұрын

    Pesa kama huna ni wewe,Acha umaskin jeur

  • @allytv1714

    @allytv1714

    13 күн бұрын

    Kwako ni nyingi ila Kuna watu ela ya chaii ela ndogo sana kwao ww mtu anamiliki kampuni kubwaa unajua mtaji wake

  • @SobiTz

    @SobiTz

    13 күн бұрын

    @@athumanimtajih Kwamb ww unazo 😏

  • @FrankChalula-hz6dn

    @FrankChalula-hz6dn

    13 күн бұрын

    Sisi maskini tukiskia one billion tunapata mchecheto wakati kwa wengine ni kama million Moja ambayo Leo wewe hata kiwanja haitoshi DSM

  • @user-jh9yv1zp1l

    @user-jh9yv1zp1l

    13 күн бұрын

    We huna ndomn unaon nyingi

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff848913 күн бұрын

    We muongo Sana Aya mbona atumuoni kwenye timu ya Simba

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel186113 күн бұрын

    Mnapaish JMN

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri13 күн бұрын

    Huyo ni Jonas mkude

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton952212 күн бұрын

    Sas jaman wenzen wanaongerea mpira ww unaweka matus

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard582113 күн бұрын

    Mbona mafumbo mengi

  • @LovelyForestHills-eh4zs
    @LovelyForestHills-eh4zs13 күн бұрын

    Jaman mnajua anaezungumziwa kiiiiiiiiiiii az

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa764113 күн бұрын

    RICARDO MOMO🐸🐸🐸 watazimia😅😅😅#SIMBA nguvu moja

  • @davidkabungo1192
    @davidkabungo119213 күн бұрын

    Punguzeni huo muzic tafadhali.

  • @answarihamza6814
    @answarihamza681413 күн бұрын

    Za ndani zako hazijawahi kuwa za kweli shibe ndo inakufanya uongee utumbo

  • @johnmwasilu7087

    @johnmwasilu7087

    13 күн бұрын

    Huyu jamaa ni mwongomwongo sana

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania13 күн бұрын

    Uyu momo eti wakola waitu mmmh Acha tuone.

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d13 күн бұрын

    Mo wakomeshe hao wasenge mamae

  • @EliaMkumbo-wn7bm

    @EliaMkumbo-wn7bm

    13 күн бұрын

    Ma Debora mbona matusi ya nn mama tuliza Nyoro hiyo

  • @mcray0609
    @mcray060912 күн бұрын

    Unajua comedy bro

  • @AshelyAbel-kg4kx
    @AshelyAbel-kg4kx13 күн бұрын

    Huyo momoo! Jinga kweri umetisha Kutuchekesha umenivunja mbavu😃😃😃

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng13 күн бұрын

    Umenichekesha sana

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g13 күн бұрын

    Huyu naye sometimes kama anakula ngada vile

  • @futurecarefamily5454

    @futurecarefamily5454

    13 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @user-xf3lv5xp1i
    @user-xf3lv5xp1i13 күн бұрын

    Aziz K huyo

  • @AbdulysuleimanShemashilu
    @AbdulysuleimanShemashilu13 күн бұрын

    Mo tutoe unyonge mchukue Aziz ki ili wajue sisi ndo wakongwe wa bor hapa tanzania

  • @MagahGeoffrey-md5wb
    @MagahGeoffrey-md5wb13 күн бұрын

    Huyo Ni guede Joseph

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng13 күн бұрын

    Nimecheka sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-ws2ub7px4t
    @user-ws2ub7px4t13 күн бұрын

    Uyu nimuongo

  • @mamrashdon3632
    @mamrashdon363213 күн бұрын

    😂😂😂 Nmechekeaaaa

  • @geraldchawala9506
    @geraldchawala950612 күн бұрын

    aka kajamaa kaongo sana.😂😅😂😂😅

  • @mohamedguveti5372
    @mohamedguveti537213 күн бұрын

    Nyie mtaua watu nyie,,,

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa764113 күн бұрын

    Vyura🐸🐸🐸wataanza kuchoma jezi muda si mrefu😂😂😂😂😂#SIMBA nguvu moja

  • @Adrext
    @Adrext12 күн бұрын

    😂😂momo bhana

  • @mwemajulius5036
    @mwemajulius503613 күн бұрын

    Nimecheka kwamba kamtikisaa

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda13 күн бұрын

    Mafumbo sana 😅

  • @SadiFesi
    @SadiFesi11 күн бұрын

    Endeleaga kudanganya watu

Келесі