#ZaNdaaani

Спорт

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 197

  • @dullywa9973
    @dullywa9973 Жыл бұрын

    hapa ndo kuna tetesi za ukweli aise 😂😂momo salute aise

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy2438 Жыл бұрын

    Shomari Kapombe daaaaaah

  • @blackothman7332
    @blackothman7332 Жыл бұрын

    Kuna mpumbavu apo anaulizwa vilabu viko vingapi et anajibu viwili halafu mchambuzi😄😄😄

  • @davidpyc2392
    @davidpyc2392 Жыл бұрын

    Mtabaki kusikiliz nchi zingine zikiendelea kimpira zaidi kuliko nyinyi baada ya kuwekeza katika uzalishaji wa vipaji kupitia academy zenu mnabaki kunyemelea wachezaji ambao hawatawez wasaidia kwa muda mrefu na wanao wapa gharama kubwa hongereni mtibwa sugar kwa kuwasaidia vijana wa Tanzania kuijua thamani ya mpira sio kubeba makombe bali kutengeneza watu watakao saidia kukuza mpira nchini🤝

  • @afreemanonline8226

    @afreemanonline8226

    Жыл бұрын

    Hii msg watumie hiyo club yako nayo isinunue ikuze vibaji kwn shida iko wapi

  • @frankhoffa8356

    @frankhoffa8356

    7 ай бұрын

    Wenawe! Sijui nikujibu nini

  • @lazarolugwisha5524

    @lazarolugwisha5524

    6 ай бұрын

    Baka , job, kibwana , kibu umewazalisha wewe

  • @josephwayesu338

    @josephwayesu338

    6 ай бұрын

    Ligi zote kubwa duniani azitumii wachezaji wazawa ww mpira umeanza kufatilia mwaka gani katika ligi zipo timu ndogo kazi yake kufanya ivyo.lkm kilabu kubwa zote zinatazama makombe nasio kumfundisha mjezaji kujitambua.ukitaka mabadiliko nilazima ukubali kushindana.usijisifu unambio msifu na anae kukimbiza maana usingejuwa Kama unambiao kaka jifunze Kisha ndio coment

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Жыл бұрын

    Geita gold

  • @nixnovember
    @nixnovember Жыл бұрын

    Momo Romano. Keep it up Brother. Tunakuonaaaaaaa🤜🏿

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Жыл бұрын

    NA NYIE VIONGOZI KANN HAMUWALIPI WACHEZAJI MISHAHARA YAO? NA HUO UBINGWA UTAOUPATAJE? JAMANI WANATUMIA DAMU WACHEZAJI.

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 Жыл бұрын

    Daaaaa Tupe iyooo bhana

  • @user-rw6iz6dc7s
    @user-rw6iz6dc7s7 ай бұрын

    Huyu bwana ni muongo kupindukia habari zake sio za kweli

  • @nyaganyaga3876
    @nyaganyaga3876 Жыл бұрын

    Simba hao Hali yao tete Sana huko. Mo kachomoa betri. Ila timu zetu wajifunze kutafuta wachezaji wazuri badala ya kubomoa timu nyingi maana hii haijengi ligi yetu mfano Simba na yanga ni timu ambazo zinashiriki michezo mikubwa ya Caf ukizibomoa umebomoa hata zile nafasi 4 za uwakilishi Kama nchi

  • @milikimbembela8670

    @milikimbembela8670

    Жыл бұрын

    Duh Azam wanabalaa, kama viladmir Putin uvamizi tu kisa donge nono, Simba fungukeni basi watatutia hasara Hawa panya rodi

  • @PaschalMussa-g5l

    @PaschalMussa-g5l

    15 күн бұрын

    ​@@milikimbembela8670kunanin sasa

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 Жыл бұрын

    Ngada weee lipeni mishahara wachezaji wenu.🤣🤣🤣🤣

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Жыл бұрын

    Za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa big show

  • @imanhamis7107
    @imanhamis7107 Жыл бұрын

    Code/mmoja washamchukua

  • @davidjohn540
    @davidjohn540 Жыл бұрын

    Mmoja Fei Kisha wahiwa bado Mayele

  • @Veni584

    @Veni584

    Жыл бұрын

    Chama

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    Жыл бұрын

    Kwahiyo Fei ameshatambulishwa Azam?

  • @askwarysiay635

    @askwarysiay635

    Жыл бұрын

    Fei hatoki ng'o mtasubiri sana

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Wachambuz wa soka hapo hakunaaa kitu

  • @robinabomola8030
    @robinabomola8030 Жыл бұрын

    Mbn watu mnataja yanga kwan hakuna timu yenye wachezaj wazuri

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Жыл бұрын

    Pole sana Mayele!

  • @linuskyando4155
    @linuskyando4155 Жыл бұрын

    Simba haoooo!!!

  • @mzeeomary5780
    @mzeeomary5780 Жыл бұрын

    Chama huyo

  • @mirajilimited8563
    @mirajilimited8563 Жыл бұрын

    Www mwongo kama simba, yang, azam hakuna

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga Жыл бұрын

    Fei toto Azam kuziba pengo Akaminko, Akaminko na Kipre Jr Yanga, Chama Azam weka kumbukumbu vizuri. Sijui nani kaumia 😂😂😂?

  • @masatumajani8485
    @masatumajani8485 Жыл бұрын

    Chama huyo ndio anaondoka simba wasiporekebisha mambo yao

  • @masumbukomaganga438

    @masumbukomaganga438

    Жыл бұрын

    wewe ndo umefungua code yenyewe watag wana thimbaa

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    Жыл бұрын

    Kweli kabisaaaaaaaaa😂

  • @bulugubujashi6378

    @bulugubujashi6378

    Жыл бұрын

    Ni Dickson job

  • @rockygappi1018

    @rockygappi1018

    Жыл бұрын

    @Majani msemaji wa Simba ndio amekuwa anasema wazi kuwa watatikisa kwenye usajili ina maana we bado hujasoma code tuu???

  • @eleoncejohn3823
    @eleoncejohn3823 Жыл бұрын

    Hyo ni Geita Gold.

  • @abdurikalimu
    @abdurikalimu6 ай бұрын

    Azizik kii uyo mpkanleo kagoma kuongeza mkataba

  • @Myplusbee
    @Myplusbee Жыл бұрын

    Ni timu moja tu hapa siku za nyuma ilikuwa inapanda ndege lakini hivi sasa Wachezaji wake wanapandishwa kwenye Eicher kutoka Dar hado Bukoba!! Kwanini tuoneane aibu kuambiana ukweli bhana!!!

  • @malopemaliyamungu5243

    @malopemaliyamungu5243

    Жыл бұрын

    Acha zarau

  • @Myplusbee

    @Myplusbee

    Жыл бұрын

    @@malopemaliyamungu5243 Dharau kwa nani Kiongozi?!

  • @malopemaliyamungu5243

    @malopemaliyamungu5243

    Жыл бұрын

    @@Myplusbee Eicher anapandishwa Nani? Hiyo haipo haijawahi na haitatokea.

  • @salumujaibu8697
    @salumujaibu8697 Жыл бұрын

    Nakubali sana 😂😂😂😂

  • @remigiusrwechungula7047
    @remigiusrwechungula7047 Жыл бұрын

    Chama......

  • @abdurikalimu
    @abdurikalimu6 ай бұрын

    Azizik za ndaannnn

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida79087 ай бұрын

    Mhhh mambo ya mbumbu mchezaji yupi atanyimwa mshahara miezi mitatu labda hatakiwi tena

  • @isayaluvanda8470
    @isayaluvanda8470Ай бұрын

    Wewe nimuongo sana huna rorote mmekunywa supu mnaropka hovyo

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 Жыл бұрын

    Acha inyesheee tu🤣

  • @sebammari5443
    @sebammari5443 Жыл бұрын

    Mmoja kawahiwa ni Feisal aliyebaki Mayele

  • @johnzege209
    @johnzege209 Жыл бұрын

    Tshabalala

  • @ramadhanrashidmthailand713
    @ramadhanrashidmthailand713 Жыл бұрын

    Chama akiondoka sjui viongozi watatuambia nn ili tuwaelewe!

  • @classicboyrahib903

    @classicboyrahib903

    Жыл бұрын

    Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    Жыл бұрын

    Mkae mkao wa Kula Azam wanambeba Chama na manula

  • @yohanakayinga9279

    @yohanakayinga9279

    Жыл бұрын

    Mayele wewe

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    Жыл бұрын

    @@classicboyrahib903 hata chama

  • @yohanakayinga9279

    @yohanakayinga9279

    Жыл бұрын

    Umewapa pesa za mishahara mpaka wahanngaike kukwambia ww nani nani unatoa sh ngap 😀😀

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 Жыл бұрын

    Umeshasema timu zamani ilikua inalipa mapema, na mchezaji wao mmoja wamememalizana, bado unataka kupewa code gani tena hapo? Hao ni Ihefu( hahaha)

  • @lumistarboy8499

    @lumistarboy8499

    Жыл бұрын

    Makolo na hapo ni chama Inonga tayari

  • @erickbenedict4943
    @erickbenedict4943 Жыл бұрын

    Uyo mchezaji alishawahi kupita kwenye hiyo club,momo akajibu alipitaaa.....Manula no doubt

  • @zakariadouglas6275

    @zakariadouglas6275

    Жыл бұрын

    Halafu akasema huko kwingine washamaliza

  • @kasigehamisi7802

    @kasigehamisi7802

    Жыл бұрын

    kapombe jee

  • @patricktegea1430
    @patricktegea1430 Жыл бұрын

    Chaumaaaaa

  • @kawanga0073
    @kawanga0073 Жыл бұрын

    Mm naona km Job beki wa chura

  • @samiusiraj6769
    @samiusiraj6769 Жыл бұрын

    Daaah

  • @renatushaule
    @renatushaule Жыл бұрын

    "MWENGINE" "MWINGINE"

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Жыл бұрын

    Chama huyooo tunajua kitamboo

  • @AishshibnShibani

    @AishshibnShibani

    26 күн бұрын

    Nimayele

  • @eliamunisinkya5169
    @eliamunisinkya5169 Жыл бұрын

    Manula hyo naa aslmia 100%

  • @sholdaniemmanuel8684

    @sholdaniemmanuel8684

    Жыл бұрын

    manura amesha sinya hadi 2025

  • @eliamunisinkya5169

    @eliamunisinkya5169

    Жыл бұрын

    @@sholdaniemmanuel8684 skia kauli yke mwishoni alishapta hapo afu unganisha na azam wanatatzo gan aswaa

  • @salvatorymbigili7895

    @salvatorymbigili7895

    Жыл бұрын

    Kapombee

  • @suzancharles1639
    @suzancharles1639 Жыл бұрын

    Chama huyoooooo😂😂😂😂😂 nyie this life is not fair

  • @frankgeorge149

    @frankgeorge149

    Жыл бұрын

    sasa tushapata ukweli ni simba hawalipi mishahara🤣🤣🤣🤣

  • @Bruno-ed1ps

    @Bruno-ed1ps

    6 ай бұрын

    Hata wakimchukua hachezi klabu bingwa

  • @kanyikamasika3628
    @kanyikamasika3628 Жыл бұрын

    Inonga kawahiwa ila chama yupo mguu ndani mguu nje

  • @reillahabiba9923
    @reillahabiba9923 Жыл бұрын

    AISHI MANULA TO AZAM

  • @ashasaidi1895
    @ashasaidi1895 Жыл бұрын

    Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu msimu uliopita kwa tsh ml 300 bado miaka miwili nanusu chama nae bado miezi 20 mkataba wake kumalizka hzo story tu za mitandaon hazina ukweli

  • @thomasluhanga6439
    @thomasluhanga64397 ай бұрын

    Macha

  • @daudkhatib4678
    @daudkhatib4678 Жыл бұрын

    Ndio. Kazi. Zenu. Umbra. Kama. Wakezeni. Wachakuku. Watupuu

  • @francismwaipopo5046
    @francismwaipopo5046 Жыл бұрын

    Makolo hao, Inonga wamemzuia bado wengine hasa Manula

  • @husseinkassimu2714
    @husseinkassimu2714 Жыл бұрын

    We dogo ni mshamba tu coz unajificha ficha ww niutopolo tu kama utopolo wengine kua free acha kujificha tunakuchukulia kama punga jiachie acha uzezeta

  • @f.a6043
    @f.a6043 Жыл бұрын

    Wacha kelele zako za chura ww🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸👈🏿😂😂😂 kwa vile utoh wamepata changamoto unadhani ni kila team

  • @user-lb6my9qs5c
    @user-lb6my9qs5c24 күн бұрын

    Kagoma yusuf

  • @jumanneyakuti3218
    @jumanneyakuti3218 Жыл бұрын

    Diksoni job ,,🤣🤣🤣huyooo

  • @mwitahassan1934
    @mwitahassan1934 Жыл бұрын

    Anamzungumzia chama aliewahiwa ni inonga yeye keshasain

  • @jailosibrahim88
    @jailosibrahim88 Жыл бұрын

    Hata mm naijua hiyo chama anataka kwenda azam baada ya kushindikana kwa inonga

  • @f.a6043

    @f.a6043

    Жыл бұрын

    Labda Utopolo 🐸🐸🐸👈🏿😂 na manyele wenu🐸😂 Uto - manyele =🐸 👈🏿🤣

  • @jailosibrahim88

    @jailosibrahim88

    Жыл бұрын

    @@f.a6043 mbona unatumia nguvu kubwa kwan shida iko wap

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    Жыл бұрын

    Chama huyo ni kweli kabisaaa Ushafungua code kaka

  • @user-uv2uo2ic2y
    @user-uv2uo2ic2y Жыл бұрын

    saluti kwako kado momo

  • @MarkoMgaya-xv3qd
    @MarkoMgaya-xv3qd Жыл бұрын

    Chama asepetuu

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 Жыл бұрын

    Chama kuja yanga

  • @FaisalSadulu
    @FaisalSadulu21 күн бұрын

    Shabalala

  • @jonaskabonda741
    @jonaskabonda741 Жыл бұрын

    Inonga kawahiwa bado Chama

  • @TwalibuAlbaamiryShoka
    @TwalibuAlbaamiryShoka7 ай бұрын

    Aish Munula

  • @eddiemay547
    @eddiemay5477 ай бұрын

    Hao ndo waandishi wa tanzania

  • @PharmacistGoodluckMdugi
    @PharmacistGoodluckMdugi10 күн бұрын

    Muongo sana we jamaaa

  • @ShabaniMchela-zx4ln
    @ShabaniMchela-zx4ln14 күн бұрын

    Ukweli mtupuhapa

  • @faustinesamani6359
    @faustinesamani6359 Жыл бұрын

    Mayele jamani ni mvumilivu miezi tatu no mshahara anaishi kwa kula chips dume ah Azam mchukueni tu kwa kumsaidia.

  • @rehemaabdullah7606

    @rehemaabdullah7606

    Жыл бұрын

    Hiv unajua mchezaji wenu Chama inadai miez 3🤣🤣

  • @classicboyrahib903

    @classicboyrahib903

    Жыл бұрын

    Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

  • @energeticmbn4596

    @energeticmbn4596

    Жыл бұрын

    @@classicboyrahib903 😁😁😄 kama kweli hivi

  • @noorbazaar9063

    @noorbazaar9063

    Жыл бұрын

    Pole sana Mayele.

  • @hagaimadonda9145

    @hagaimadonda9145

    Жыл бұрын

    @@classicboyrahib903 kweli kabis ndo mana khalid chukuchuku alivomuuliz momo akasem alishawah kupita iyo timu.. Uyu ni manula tu

  • @OswardMwambete-en5uk
    @OswardMwambete-en5ukАй бұрын

    Mwamnyeto kendal Sc

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Жыл бұрын

    Chama wakawaida

  • @hellymsigala9852
    @hellymsigala9852 Жыл бұрын

    N chama huyo shenz

  • @AishshibnShibani

    @AishshibnShibani

    26 күн бұрын

    Chama kamaliza mkataba

  • @issajuma8297
    @issajuma8297 Жыл бұрын

    Umbea waachie wadada aupendezei unaongea vitu bila ushaid udada uo

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 Жыл бұрын

    Utopolo ndio hawalipi mshahara

  • @saimonijonas1471

    @saimonijonas1471

    Жыл бұрын

    Umekaririshwa bila kufanya uchunguzi.nikusaidie ili uumie sio uelewe. Simba wamemuwahi Inonga bado Chama.Inonga alitaka kuondoka dakika za mwisho wakamuwahi.

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Жыл бұрын

    UTOPOLO VISHAHARA VYAO MKIA WA MBUZI HAWASHINDWI KULIPA.

  • @muddyville

    @muddyville

    Жыл бұрын

    Yanga hainaga shida hiyo sasa hivi. NGADA ndo kuna changamoto.

  • @aminaally7622
    @aminaally7622 Жыл бұрын

    Kama ni kweli azam wana ushenzi wa hali ya juu cjui kwann wametuanza cc kwa fei sahv wanaingia kwengne wanakera hawa jamaa kisa wanahela

  • @afterfull-time1348

    @afterfull-time1348

    Жыл бұрын

    Mpira pesa mbwa ww

  • @aminaally7622

    @aminaally7622

    Жыл бұрын

    @@afterfull-time1348 mbwa baba ako na mama ako waliofanya umbwa wqo wakakuzaa ww mbwa mtoto shenzi kahaba uso mteja

  • @suzancharles1639

    @suzancharles1639

    Жыл бұрын

    Ngoja wapigwe kwenye mshono😂😂😂😂😂

  • @mussammanga7791

    @mussammanga7791

    Жыл бұрын

    Azam hawana pesa,kama wanapesa kwanini wasiende kwa Yanga wakamchukuwe Fei na baadala yake wanafanya mizengwe kumchukuwa mchezaji kweli wana pesa haooo!? Hahahahahaa!

  • @askwarysiay635

    @askwarysiay635

    Жыл бұрын

    Kweli Azam hawana hela wabakia kama vibaka wanawasubiri wachezaji uchochoroni🙈

  • @emmanuelgodfreylotti8684
    @emmanuelgodfreylotti8684 Жыл бұрын

    Sure boy uyo from azam to yanga

  • @classicboyrahib903
    @classicboyrahib903 Жыл бұрын

    Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

  • @hassankilongo8061

    @hassankilongo8061

    Жыл бұрын

    Ni Chama sio Manula.

  • @taseleli9181

    @taseleli9181

    Жыл бұрын

    Hivi huyu Manula anatimiziwa mara ngapi juzi tu hapa kafanyiwa kila kitu labda ni mwingine.

  • @pascalburah297

    @pascalburah297

    Жыл бұрын

    Upuuzi mmja uwo msiishi kwa kukariri mrudisheni kwanza feisal

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Жыл бұрын

    Kama Kuna timu ya namna hiyo ni wapuuzi sana , matajiri uchwara waondoke timu ibaki pekee c mashabiki tubaki huru na timu yetu.

  • @davidmyale9496

    @davidmyale9496

    Жыл бұрын

    Ukibaki huru na team yako utaipa pesa ww 🥱

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 Жыл бұрын

    Ni Dickson job huyo

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Жыл бұрын

    Mhhhhh chama huyo

  • @classicboyrahib903

    @classicboyrahib903

    Жыл бұрын

    Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

  • @VMGAfrica
    @VMGAfrica Жыл бұрын

    Mlete #Bangala #Simba Imeishaa Hyo

  • @AmaniHittu-qm1fx
    @AmaniHittu-qm1fxАй бұрын

    Mwamba anajua

  • @emmanuelhosea370
    @emmanuelhosea370 Жыл бұрын

    Kakolanya huyo...😀😀

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    Жыл бұрын

    Una Akili sana

  • @samwelrevocatus1218
    @samwelrevocatus1218 Жыл бұрын

    Hizo za ndani mbona zinatisha kama ni kweli

  • @Elizabeth-fu3ze

    @Elizabeth-fu3ze

    Жыл бұрын

    Hawana cha maana cha kuongea ktk mipira ya bongo! mishahala sasa sisi ndiyo tunawalipa!si muwambie viongozi mafumbo ya nini wewe mwanaume

  • @damarygaratulu9135
    @damarygaratulu9135 Жыл бұрын

    Huyu jamaa na domo Lake kubwa muongo kinoma

  • @nationalparkofafrica2184
    @nationalparkofafrica2184 Жыл бұрын

    jamani Mayele kama akiondoka yanga 🙆🙆🙆🙆

  • @focusernest5610

    @focusernest5610

    Жыл бұрын

    Ni Simba syo yanga na ni chama

  • @hoseaemanuel3528

    @hoseaemanuel3528

    Жыл бұрын

    Kapombe

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 Жыл бұрын

    Simbwa hiyo mbona tushajua

  • @f.a6043

    @f.a6043

    Жыл бұрын

    🐸🐸🐸🐸 machura yanalia tu

  • @mbelwamadiwa3334
    @mbelwamadiwa3334 Жыл бұрын

    Huyo ni job na azam

  • @enockjuvenary9553
    @enockjuvenary9553 Жыл бұрын

    Code, washachukua mmoja mwigine wanammendea

  • @salimmalaka256

    @salimmalaka256

    Жыл бұрын

    KAMA MMOJA WESHACHUKUWA BASI UTOPOLO HIYO.

  • @classicboyrahib903

    @classicboyrahib903

    Жыл бұрын

    @@salimmalaka256 Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁

  • @muddymuzungu4357

    @muddymuzungu4357

    Жыл бұрын

    @@classicboyrahib903 akili kubwa sanaaaa

  • @mikidadijoseph5612
    @mikidadijoseph5612 Жыл бұрын

    Kolo mtalia

  • @joviignus1674
    @joviignus1674 Жыл бұрын

    Manula uyo

  • @mahengomwenyewe4204
    @mahengomwenyewe4204 Жыл бұрын

    Anawaongopea mjinga huyo

  • @user-tw9nc5cq2t
    @user-tw9nc5cq2t6 ай бұрын

    Singida je huyo mchezaji ninani

  • @kennyndessa2039
    @kennyndessa2039 Жыл бұрын

    Air manula

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv Жыл бұрын

    simba mbn code nyepes iyo

  • @elishalaurent2892
    @elishalaurent2892 Жыл бұрын

    Singida hao

  • @barakamando2706
    @barakamando27066 ай бұрын

    Mwandishi mkuda huna lolote

  • @nickdr_tv
    @nickdr_tv Жыл бұрын

    CHAMA....

  • @EnockSDady
    @EnockSDady Жыл бұрын

    Manula huyo Bai Bai simba

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff848924 күн бұрын

    Uyo ni fei na anatua simba

  • @meshackmwalongo1753
    @meshackmwalongo1753 Жыл бұрын

    Mwongo wewe tushakujua sikuhizi.

  • @DM_15
    @DM_15 Жыл бұрын

    Kamasio kapombe au manula

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 Жыл бұрын

    Mpole kuja simba

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha6755 Жыл бұрын

    Ricardo momo,,,,

Келесі