#ZaNdaaani
Спорт
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 197
hapa ndo kuna tetesi za ukweli aise 😂😂momo salute aise
Shomari Kapombe daaaaaah
Kuna mpumbavu apo anaulizwa vilabu viko vingapi et anajibu viwili halafu mchambuzi😄😄😄
Mtabaki kusikiliz nchi zingine zikiendelea kimpira zaidi kuliko nyinyi baada ya kuwekeza katika uzalishaji wa vipaji kupitia academy zenu mnabaki kunyemelea wachezaji ambao hawatawez wasaidia kwa muda mrefu na wanao wapa gharama kubwa hongereni mtibwa sugar kwa kuwasaidia vijana wa Tanzania kuijua thamani ya mpira sio kubeba makombe bali kutengeneza watu watakao saidia kukuza mpira nchini🤝
@afreemanonline8226
Жыл бұрын
Hii msg watumie hiyo club yako nayo isinunue ikuze vibaji kwn shida iko wapi
@frankhoffa8356
7 ай бұрын
Wenawe! Sijui nikujibu nini
@lazarolugwisha5524
6 ай бұрын
Baka , job, kibwana , kibu umewazalisha wewe
@josephwayesu338
6 ай бұрын
Ligi zote kubwa duniani azitumii wachezaji wazawa ww mpira umeanza kufatilia mwaka gani katika ligi zipo timu ndogo kazi yake kufanya ivyo.lkm kilabu kubwa zote zinatazama makombe nasio kumfundisha mjezaji kujitambua.ukitaka mabadiliko nilazima ukubali kushindana.usijisifu unambio msifu na anae kukimbiza maana usingejuwa Kama unambiao kaka jifunze Kisha ndio coment
Geita gold
Momo Romano. Keep it up Brother. Tunakuonaaaaaaa🤜🏿
NA NYIE VIONGOZI KANN HAMUWALIPI WACHEZAJI MISHAHARA YAO? NA HUO UBINGWA UTAOUPATAJE? JAMANI WANATUMIA DAMU WACHEZAJI.
Daaaaa Tupe iyooo bhana
Huyu bwana ni muongo kupindukia habari zake sio za kweli
Simba hao Hali yao tete Sana huko. Mo kachomoa betri. Ila timu zetu wajifunze kutafuta wachezaji wazuri badala ya kubomoa timu nyingi maana hii haijengi ligi yetu mfano Simba na yanga ni timu ambazo zinashiriki michezo mikubwa ya Caf ukizibomoa umebomoa hata zile nafasi 4 za uwakilishi Kama nchi
@milikimbembela8670
Жыл бұрын
Duh Azam wanabalaa, kama viladmir Putin uvamizi tu kisa donge nono, Simba fungukeni basi watatutia hasara Hawa panya rodi
@PaschalMussa-g5l
15 күн бұрын
@@milikimbembela8670kunanin sasa
Ngada weee lipeni mishahara wachezaji wenu.🤣🤣🤣🤣
Za NdaaaaaaaaaaaaaN kabisa big show
Code/mmoja washamchukua
Mmoja Fei Kisha wahiwa bado Mayele
@Veni584
Жыл бұрын
Chama
@mussammanga7791
Жыл бұрын
Kwahiyo Fei ameshatambulishwa Azam?
@askwarysiay635
Жыл бұрын
Fei hatoki ng'o mtasubiri sana
Wachambuz wa soka hapo hakunaaa kitu
Mbn watu mnataja yanga kwan hakuna timu yenye wachezaj wazuri
Pole sana Mayele!
Simba haoooo!!!
Chama huyo
Www mwongo kama simba, yang, azam hakuna
Fei toto Azam kuziba pengo Akaminko, Akaminko na Kipre Jr Yanga, Chama Azam weka kumbukumbu vizuri. Sijui nani kaumia 😂😂😂?
Chama huyo ndio anaondoka simba wasiporekebisha mambo yao
@masumbukomaganga438
Жыл бұрын
wewe ndo umefungua code yenyewe watag wana thimbaa
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Kweli kabisaaaaaaaaa😂
@bulugubujashi6378
Жыл бұрын
Ni Dickson job
@rockygappi1018
Жыл бұрын
@Majani msemaji wa Simba ndio amekuwa anasema wazi kuwa watatikisa kwenye usajili ina maana we bado hujasoma code tuu???
Hyo ni Geita Gold.
Azizik kii uyo mpkanleo kagoma kuongeza mkataba
Ni timu moja tu hapa siku za nyuma ilikuwa inapanda ndege lakini hivi sasa Wachezaji wake wanapandishwa kwenye Eicher kutoka Dar hado Bukoba!! Kwanini tuoneane aibu kuambiana ukweli bhana!!!
@malopemaliyamungu5243
Жыл бұрын
Acha zarau
@Myplusbee
Жыл бұрын
@@malopemaliyamungu5243 Dharau kwa nani Kiongozi?!
@malopemaliyamungu5243
Жыл бұрын
@@Myplusbee Eicher anapandishwa Nani? Hiyo haipo haijawahi na haitatokea.
Nakubali sana 😂😂😂😂
Chama......
Azizik za ndaannnn
Mhhh mambo ya mbumbu mchezaji yupi atanyimwa mshahara miezi mitatu labda hatakiwi tena
Wewe nimuongo sana huna rorote mmekunywa supu mnaropka hovyo
Acha inyesheee tu🤣
Mmoja kawahiwa ni Feisal aliyebaki Mayele
Tshabalala
Chama akiondoka sjui viongozi watatuambia nn ili tuwaelewe!
@classicboyrahib903
Жыл бұрын
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Mkae mkao wa Kula Azam wanambeba Chama na manula
@yohanakayinga9279
Жыл бұрын
Mayele wewe
@user-po8hz7xw9j
Жыл бұрын
@@classicboyrahib903 hata chama
@yohanakayinga9279
Жыл бұрын
Umewapa pesa za mishahara mpaka wahanngaike kukwambia ww nani nani unatoa sh ngap 😀😀
Umeshasema timu zamani ilikua inalipa mapema, na mchezaji wao mmoja wamememalizana, bado unataka kupewa code gani tena hapo? Hao ni Ihefu( hahaha)
@lumistarboy8499
Жыл бұрын
Makolo na hapo ni chama Inonga tayari
Uyo mchezaji alishawahi kupita kwenye hiyo club,momo akajibu alipitaaa.....Manula no doubt
@zakariadouglas6275
Жыл бұрын
Halafu akasema huko kwingine washamaliza
@kasigehamisi7802
Жыл бұрын
kapombe jee
Chaumaaaaa
Mm naona km Job beki wa chura
Daaah
"MWENGINE" "MWINGINE"
Chama huyooo tunajua kitamboo
@AishshibnShibani
26 күн бұрын
Nimayele
Manula hyo naa aslmia 100%
@sholdaniemmanuel8684
Жыл бұрын
manura amesha sinya hadi 2025
@eliamunisinkya5169
Жыл бұрын
@@sholdaniemmanuel8684 skia kauli yke mwishoni alishapta hapo afu unganisha na azam wanatatzo gan aswaa
@salvatorymbigili7895
Жыл бұрын
Kapombee
Chama huyoooooo😂😂😂😂😂 nyie this life is not fair
@frankgeorge149
Жыл бұрын
sasa tushapata ukweli ni simba hawalipi mishahara🤣🤣🤣🤣
@Bruno-ed1ps
6 ай бұрын
Hata wakimchukua hachezi klabu bingwa
Inonga kawahiwa ila chama yupo mguu ndani mguu nje
AISHI MANULA TO AZAM
Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu msimu uliopita kwa tsh ml 300 bado miaka miwili nanusu chama nae bado miezi 20 mkataba wake kumalizka hzo story tu za mitandaon hazina ukweli
Macha
Ndio. Kazi. Zenu. Umbra. Kama. Wakezeni. Wachakuku. Watupuu
Makolo hao, Inonga wamemzuia bado wengine hasa Manula
We dogo ni mshamba tu coz unajificha ficha ww niutopolo tu kama utopolo wengine kua free acha kujificha tunakuchukulia kama punga jiachie acha uzezeta
Wacha kelele zako za chura ww🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸👈🏿😂😂😂 kwa vile utoh wamepata changamoto unadhani ni kila team
Kagoma yusuf
Diksoni job ,,🤣🤣🤣huyooo
Anamzungumzia chama aliewahiwa ni inonga yeye keshasain
Hata mm naijua hiyo chama anataka kwenda azam baada ya kushindikana kwa inonga
@f.a6043
Жыл бұрын
Labda Utopolo 🐸🐸🐸👈🏿😂 na manyele wenu🐸😂 Uto - manyele =🐸 👈🏿🤣
@jailosibrahim88
Жыл бұрын
@@f.a6043 mbona unatumia nguvu kubwa kwan shida iko wap
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Chama huyo ni kweli kabisaaa Ushafungua code kaka
saluti kwako kado momo
Chama asepetuu
Chama kuja yanga
Shabalala
Inonga kawahiwa bado Chama
Aish Munula
Hao ndo waandishi wa tanzania
Muongo sana we jamaaa
Ukweli mtupuhapa
Mayele jamani ni mvumilivu miezi tatu no mshahara anaishi kwa kula chips dume ah Azam mchukueni tu kwa kumsaidia.
@rehemaabdullah7606
Жыл бұрын
Hiv unajua mchezaji wenu Chama inadai miez 3🤣🤣
@classicboyrahib903
Жыл бұрын
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@energeticmbn4596
Жыл бұрын
@@classicboyrahib903 😁😁😄 kama kweli hivi
@noorbazaar9063
Жыл бұрын
Pole sana Mayele.
@hagaimadonda9145
Жыл бұрын
@@classicboyrahib903 kweli kabis ndo mana khalid chukuchuku alivomuuliz momo akasem alishawah kupita iyo timu.. Uyu ni manula tu
Mwamnyeto kendal Sc
Chama wakawaida
N chama huyo shenz
@AishshibnShibani
26 күн бұрын
Chama kamaliza mkataba
Umbea waachie wadada aupendezei unaongea vitu bila ushaid udada uo
Utopolo ndio hawalipi mshahara
@saimonijonas1471
Жыл бұрын
Umekaririshwa bila kufanya uchunguzi.nikusaidie ili uumie sio uelewe. Simba wamemuwahi Inonga bado Chama.Inonga alitaka kuondoka dakika za mwisho wakamuwahi.
@salimmalaka256
Жыл бұрын
UTOPOLO VISHAHARA VYAO MKIA WA MBUZI HAWASHINDWI KULIPA.
@muddyville
Жыл бұрын
Yanga hainaga shida hiyo sasa hivi. NGADA ndo kuna changamoto.
Kama ni kweli azam wana ushenzi wa hali ya juu cjui kwann wametuanza cc kwa fei sahv wanaingia kwengne wanakera hawa jamaa kisa wanahela
@afterfull-time1348
Жыл бұрын
Mpira pesa mbwa ww
@aminaally7622
Жыл бұрын
@@afterfull-time1348 mbwa baba ako na mama ako waliofanya umbwa wqo wakakuzaa ww mbwa mtoto shenzi kahaba uso mteja
@suzancharles1639
Жыл бұрын
Ngoja wapigwe kwenye mshono😂😂😂😂😂
@mussammanga7791
Жыл бұрын
Azam hawana pesa,kama wanapesa kwanini wasiende kwa Yanga wakamchukuwe Fei na baadala yake wanafanya mizengwe kumchukuwa mchezaji kweli wana pesa haooo!? Hahahahahaa!
@askwarysiay635
Жыл бұрын
Kweli Azam hawana hela wabakia kama vibaka wanawasubiri wachezaji uchochoroni🙈
Sure boy uyo from azam to yanga
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@hassankilongo8061
Жыл бұрын
Ni Chama sio Manula.
@taseleli9181
Жыл бұрын
Hivi huyu Manula anatimiziwa mara ngapi juzi tu hapa kafanyiwa kila kitu labda ni mwingine.
@pascalburah297
Жыл бұрын
Upuuzi mmja uwo msiishi kwa kukariri mrudisheni kwanza feisal
Kama Kuna timu ya namna hiyo ni wapuuzi sana , matajiri uchwara waondoke timu ibaki pekee c mashabiki tubaki huru na timu yetu.
@davidmyale9496
Жыл бұрын
Ukibaki huru na team yako utaipa pesa ww 🥱
Ni Dickson job huyo
Mhhhhh chama huyo
@classicboyrahib903
Жыл бұрын
Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
Mlete #Bangala #Simba Imeishaa Hyo
Mwamba anajua
Kakolanya huyo...😀😀
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
Una Akili sana
Hizo za ndani mbona zinatisha kama ni kweli
@Elizabeth-fu3ze
Жыл бұрын
Hawana cha maana cha kuongea ktk mipira ya bongo! mishahala sasa sisi ndiyo tunawalipa!si muwambie viongozi mafumbo ya nini wewe mwanaume
Huyu jamaa na domo Lake kubwa muongo kinoma
jamani Mayele kama akiondoka yanga 🙆🙆🙆🙆
@focusernest5610
Жыл бұрын
Ni Simba syo yanga na ni chama
@hoseaemanuel3528
Жыл бұрын
Kapombe
Simbwa hiyo mbona tushajua
@f.a6043
Жыл бұрын
🐸🐸🐸🐸 machura yanalia tu
Huyo ni job na azam
Code, washachukua mmoja mwigine wanammendea
@salimmalaka256
Жыл бұрын
KAMA MMOJA WESHACHUKUWA BASI UTOPOLO HIYO.
@classicboyrahib903
Жыл бұрын
@@salimmalaka256 Ipo hivi Azam walikuwa kwenye mazungumzo na Inonga na Manula sasa Simba walishtuka wakamuwahi kumuongezea inonga mkataba na mahitaji yake wakamtimizia bado Manula sasa ndo hapo Kama umesikia mzee wa kudere kasema mmoja wamemuwahi😁
@muddymuzungu4357
Жыл бұрын
@@classicboyrahib903 akili kubwa sanaaaa
Kolo mtalia
Manula uyo
Anawaongopea mjinga huyo
Singida je huyo mchezaji ninani
Air manula
simba mbn code nyepes iyo
Singida hao
Mwandishi mkuda huna lolote
CHAMA....
Manula huyo Bai Bai simba
Uyo ni fei na anatua simba
Mwongo wewe tushakujua sikuhizi.
Kamasio kapombe au manula
Mpole kuja simba
Ricardo momo,,,,