GHARIB MZINGA AUCHAMBUA USAJILI WA BEKI MPYA YANGA BOKA Vs BEKI SIMBA VALENTINO YANGA WAMELAMBA DUME
Жүктеу.....
Пікірлер: 45
@user-uh7to2kw2z12 күн бұрын
Yanga bingwa🎉💚💛😃💪
@OmegaNgondo12 күн бұрын
Eng, Hersi asante kwa kutuletea majembe hatari,tusubiri tuone kama watu hawatapoteana tena, wachukue ubiingwa wa ligi majirani .thubutuuuu, labda 25-26 ndiyo wtarajie huo ubingwa
@NyatseLogistics11 күн бұрын
Khalid Mzinga nakubatiza a.k.a Mbape wa TZ....hongera sana brother unaitendea haki kazi yako
Nakukubali Gharib mziga hasa ukitangaza timu yanga
@SuleimanMbarouk-x2x12 күн бұрын
Mzinga apewe mauwa yake, huyu mwamba ni fundi
@user-uu4xu4ov6e11 күн бұрын
Mzinga anajua kuchambua vzr mpira
@haidarysalehe905612 күн бұрын
HUKU YAO KULE BOKA YANI NYASI ZITAWAKA😂
@user-qg3im8qu6b7 күн бұрын
Lameck lawi ndiyo bas tena
@khadijabakari909211 күн бұрын
Mzinga 💯 kwa 💯✅
@Omri-b7nКүн бұрын
nakukubali sana kaka ghalib uwe unachambua ata azam pale
@FaustineFeredinandi8 күн бұрын
Simba ni Under 25 god blesss
@Hamisi-uw1mc12 күн бұрын
Jamaa nikiona interview yake lazima niicheki huna baya mzinga
@stanslausmteme84555 күн бұрын
Simba usajiri mbovu sana mambo yaleyale
@Omri-b7nКүн бұрын
Atar sana
@MASESASIMON4 күн бұрын
Unajua xan mzinga!
@user-rz6bc6nf5z12 күн бұрын
Mzinga unakitu katika uchambuzi waige kwako
@EPHRAIMRAMADHANI-is1du5 күн бұрын
Gharibu mzinga ni mwamba kweli ,,,,,kwa habari na update za michezo na timu mbalimbali usisaha fuatilia pia Stanley tv
@user-bt6ep3yb2h7 күн бұрын
Kapombe, ngoma, shabalala, ayoub, mzamiru, do all of them under 25?
@chabapaul77146 күн бұрын
Huyu anajua
@user-cu2mw1ll3s11 күн бұрын
Hakika G mzinga huwa nakuelewa sana uchambuzi wako hasa unapowachambua wachezsji wa yanga
@Kim19onlinetv11 күн бұрын
Hakuna muandishi hapa change tu hajatulia
@abisalomjuma12 күн бұрын
Wape vitu mzinga
@amanilupembe978812 күн бұрын
Hata uta n gazaji mzuri
@SaidDafi8 күн бұрын
Kwa asilimia kubwa tshazijua sifa zao kazi kwako kharibi kwenye chumba Cha matangazo ligi ianze tu
@mczoo-g4t9 күн бұрын
Kakakaaaa🎉
@anastaziakilima11 күн бұрын
Mzinga we nifundi
@EddyseimonWiliam7 күн бұрын
Hakik we nimwamb nakuelew san
@salimmbilu452411 күн бұрын
Sas ww mwandishi unakwenad t shirt lako hap tukuelewj
@user-vn4be5wh7h12 күн бұрын
Simba bingwa
@reonardchatanda6371
10 күн бұрын
Pole sana
@MubalakaMsagala-v3p3 күн бұрын
Not
@saidilindukwa12 күн бұрын
Fadlu Davis kwenda Simba washa fail kwanza si Kocha WA makombe,Ni Bora Maxime au minziro,Adolf Rishad,mkwasa,matola,mgunda,Julio,..😂 lkn fadlu kafail Maritzburg Na Pirates hamna kitu,watapigwa 8 Na yanga
@litimbaify
11 күн бұрын
Kwa hiyo we shida yako simba tu!!! Endelea kuteseka na ndoto za Alinacha tushazisoma mbinu zenu ndo maana boss karudi, Mwaka huu mwaga unga nimwage ugali, Honga Arajiga 10 million, tunahonga 15, dadadeki uto😂😂😂😂
@MASESASIMON4 күн бұрын
Unajua xan mzinga!
@malietamaliet12 күн бұрын
hii derby ya yanga na Simba na derby ya boka na nouma 😂😂😂itakua baraa
Пікірлер: 45
Yanga bingwa🎉💚💛😃💪
Eng, Hersi asante kwa kutuletea majembe hatari,tusubiri tuone kama watu hawatapoteana tena, wachukue ubiingwa wa ligi majirani .thubutuuuu, labda 25-26 ndiyo wtarajie huo ubingwa
Khalid Mzinga nakubatiza a.k.a Mbape wa TZ....hongera sana brother unaitendea haki kazi yako
Mzinga hii kazi anaijuwa
Huyu mwamba namkubali sanaaa
Mchambue kocha wa simba ❤❤ plz
Mwamba Gharib Mzinga katika ubora wake
Mungu akupe maisha marefu mzinga una juwa sana
Asante. Sana. Kwa. Usajili. Huu. Mkubwa. Wenzetu. Wanasajili. Wavulana. Wao. Wanasa
@bikasaramadhan
8 күн бұрын
ok
Gharibu jamaa anajua.
Nakukubali Gharib mziga hasa ukitangaza timu yanga
Mzinga apewe mauwa yake, huyu mwamba ni fundi
Mzinga anajua kuchambua vzr mpira
HUKU YAO KULE BOKA YANI NYASI ZITAWAKA😂
Lameck lawi ndiyo bas tena
Mzinga 💯 kwa 💯✅
nakukubali sana kaka ghalib uwe unachambua ata azam pale
Simba ni Under 25 god blesss
Jamaa nikiona interview yake lazima niicheki huna baya mzinga
Simba usajiri mbovu sana mambo yaleyale
Atar sana
Unajua xan mzinga!
Mzinga unakitu katika uchambuzi waige kwako
Gharibu mzinga ni mwamba kweli ,,,,,kwa habari na update za michezo na timu mbalimbali usisaha fuatilia pia Stanley tv
Kapombe, ngoma, shabalala, ayoub, mzamiru, do all of them under 25?
Huyu anajua
Hakika G mzinga huwa nakuelewa sana uchambuzi wako hasa unapowachambua wachezsji wa yanga
Hakuna muandishi hapa change tu hajatulia
Wape vitu mzinga
Hata uta n gazaji mzuri
Kwa asilimia kubwa tshazijua sifa zao kazi kwako kharibi kwenye chumba Cha matangazo ligi ianze tu
Kakakaaaa🎉
Mzinga we nifundi
Hakik we nimwamb nakuelew san
Sas ww mwandishi unakwenad t shirt lako hap tukuelewj
Simba bingwa
@reonardchatanda6371
10 күн бұрын
Pole sana
Not
Fadlu Davis kwenda Simba washa fail kwanza si Kocha WA makombe,Ni Bora Maxime au minziro,Adolf Rishad,mkwasa,matola,mgunda,Julio,..😂 lkn fadlu kafail Maritzburg Na Pirates hamna kitu,watapigwa 8 Na yanga
@litimbaify
11 күн бұрын
Kwa hiyo we shida yako simba tu!!! Endelea kuteseka na ndoto za Alinacha tushazisoma mbinu zenu ndo maana boss karudi, Mwaka huu mwaga unga nimwage ugali, Honga Arajiga 10 million, tunahonga 15, dadadeki uto😂😂😂😂
Unajua xan mzinga!
hii derby ya yanga na Simba na derby ya boka na nouma 😂😂😂itakua baraa
@amaniomar1755
12 күн бұрын
Balaa tupu 🎉🎉🎉
@malietamaliet
12 күн бұрын
@@amaniomar1755 nakwambia