Leo tarehe 7 July 2024,tale MH.nimekuona mawasiliano kwenye bodaboda na bahasha mkononi?
@mariamdaniel-hg2cn9 күн бұрын
Babu tale nakuelewa sana maana ninapitia hizo changamoto.nikiwazaga hicho cha kufananisha niliekuwa nae na nitakae kuwa nae uwa naona naweza kumkosea maana hatafanya vile alivokuwa ananifanya mwenzake kwa hy lzm patatokea maumivu.so najikuta najipa muda.lbd badae ntasahau.miaka 11 tangu afariki lkn uwa naona nikama jana tu. kufiwa na mtu uliemuelewa ni sawa na donda ndugu.mungu atusaidie
@StoneEmanuele-yy3pv13 күн бұрын
King tale
@mariamdaniel-hg2cn9 күн бұрын
Acha kabisa kufiwa sikia kwa mtu babu tale nakuelewa unachokisema.maumiv ya kufiwa hayaeleweki kwa yule ambae hajapitia huu mtiti..kikubwa uzima mengine mungu ataleta kheri
@EmmanuelKasumuru-c7j10 күн бұрын
Good
@erickmrema685013 күн бұрын
kinĝ tale anajua talk kulingana na wakati...big up
@zahormohammed44769 күн бұрын
Babu tale inatutia wasi wasi na uislamu wako inajiita alhaji wakati bado unamenege musicians na unatuthibitishia hauna mke bali una mpenzi sasa haufungi ndoa au ndio tuseme ni wapenzi wa namna gani au unakwepa kununua gari kwa vile yupo anaekupa lift
@peterdavid423013 күн бұрын
Nawadei kila kitu napokea kwa positive😅
@user-cr4th9lr6b12 күн бұрын
It’s time babu Tale ukubali qadar Kama muislam layman u move on hi Tena kila make wangu wooote tutakufa. Dini ni nyepesi na uoe update mwenza wa kukupaka hata Vicks watoto watakua na wataanza maisha Yao na acha kumpa shemeji yako kazi ya kukulelea watoto kwani ukioa utaambiwa ulikuwa humpendi Mkeo.
@aairraahseif564813 күн бұрын
Hata msukuma ati nae dakitari 🤗🤗😛😛😛mnashangaza nyie
@roudhamahmoud76313 күн бұрын
Tale nakuelewa sana hapo ktk mke mana niliishi na mke miaka 19 akafa hafla na kaniacha na wtt sasa nashindwa kumuv on hadi sasa huu mwaka wa 2 na mienzi kadhaa😢😢😢ila mungu muweza atupe sbra na awalaze pema marehem zetu
@Shokolokobango938513 күн бұрын
Magu hayupo uchaguz unakuja ngoja tuone
@aairraahseif564813 күн бұрын
Alie anzisha hii hana akili ni mpuuzi tu, mnataka kutupa udakitari kwa kipi? Tena bila ufahamu mtu akiamka tu anapewa udaktari 😂😂
Пікірлер: 16
Handsome and smart TALE❤❤❤
Leo tarehe 7 July 2024,tale MH.nimekuona mawasiliano kwenye bodaboda na bahasha mkononi?
Babu tale nakuelewa sana maana ninapitia hizo changamoto.nikiwazaga hicho cha kufananisha niliekuwa nae na nitakae kuwa nae uwa naona naweza kumkosea maana hatafanya vile alivokuwa ananifanya mwenzake kwa hy lzm patatokea maumivu.so najikuta najipa muda.lbd badae ntasahau.miaka 11 tangu afariki lkn uwa naona nikama jana tu. kufiwa na mtu uliemuelewa ni sawa na donda ndugu.mungu atusaidie
King tale
Acha kabisa kufiwa sikia kwa mtu babu tale nakuelewa unachokisema.maumiv ya kufiwa hayaeleweki kwa yule ambae hajapitia huu mtiti..kikubwa uzima mengine mungu ataleta kheri
Good
kinĝ tale anajua talk kulingana na wakati...big up
Babu tale inatutia wasi wasi na uislamu wako inajiita alhaji wakati bado unamenege musicians na unatuthibitishia hauna mke bali una mpenzi sasa haufungi ndoa au ndio tuseme ni wapenzi wa namna gani au unakwepa kununua gari kwa vile yupo anaekupa lift
Nawadei kila kitu napokea kwa positive😅
It’s time babu Tale ukubali qadar Kama muislam layman u move on hi Tena kila make wangu wooote tutakufa. Dini ni nyepesi na uoe update mwenza wa kukupaka hata Vicks watoto watakua na wataanza maisha Yao na acha kumpa shemeji yako kazi ya kukulelea watoto kwani ukioa utaambiwa ulikuwa humpendi Mkeo.
Hata msukuma ati nae dakitari 🤗🤗😛😛😛mnashangaza nyie
Tale nakuelewa sana hapo ktk mke mana niliishi na mke miaka 19 akafa hafla na kaniacha na wtt sasa nashindwa kumuv on hadi sasa huu mwaka wa 2 na mienzi kadhaa😢😢😢ila mungu muweza atupe sbra na awalaze pema marehem zetu
Magu hayupo uchaguz unakuja ngoja tuone
Alie anzisha hii hana akili ni mpuuzi tu, mnataka kutupa udakitari kwa kipi? Tena bila ufahamu mtu akiamka tu anapewa udaktari 😂😂