Wabunge walipewa pesa.... Hakuna kitu unajua oscar... Geopolitics hujui.. Vitu vingine muwe mnakaa kimya tu kama sio uwanja wenu
@amosotieno44185 күн бұрын
Nyinyi hata hamna mnachojua...huyo ruto kanunua bunge na kanunua mahakama...
@DennisMalima
4 күн бұрын
Wajua wao hawajui nn kinaendelea hapa kenya...wabunge wenye washaanunuliwa na Ruto kila anachosema wao wanapitisha tu
@wizardundesputed2805
4 күн бұрын
Basi , hiyo sasa
@buzzafrique3700
5 сағат бұрын
Ni kweli ruto ni mwizi na anatumia kifua kupitisha hadi sheria haziko kwa constitution,amenunua kila mtu , wabunge , koti , ni dictator watu wamemuogopa but genz wamerise
@_bonfaceadera4 күн бұрын
Wasafi TV make me your correspondent in Kenya. Haya mambo hamyajui vizuri.The protests were infiltrated by goons hired by politicians trying to settle old scores,preliminary investigations show these politicians are not from the opposition.
@joshuawenceslaus2466
4 күн бұрын
Very true
@SleimanMsellem4 күн бұрын
Kuchambua ya Kenya tuu ya kwenu aaaa
@AAa-it7nx4 күн бұрын
Huyu anacho kiongea hata Hana uhahika nacho😅
@brianojiambo28144 күн бұрын
Ningesema tuu vitu za Kenya jiepusheni nazo hamna habari ya kile kinaendelea kwa wabunge sasa hivi.
@edgar39988 сағат бұрын
Watanzania wanajifanya wajuaaajiii lakini hamna wanachojua. Jadili ya kwenu ya kwetu tuachie.
@OjiamboGodfreyMutumi4 күн бұрын
Yeye ndio amejaribu kututawala kwa ki imla, akishurutisha wabunge wapige kura ya kupitisha sheria za kutukandamiza.
@hassanodiwa14 сағат бұрын
Ruto ndiye ako na wabunge wengi bungeni so Kila kitu anataka afanye Kwa serikali anatumia Tu wabunge wake juu watapitisha Tu.This time around it's tit for tat,We are dealing with all our MPs together with Ruto
@user-fc3og1eo3x5 күн бұрын
Tatizo siyo wabunge kupitisha muswada tatizo wabunge wale walipitisha kwa sababu ya wingi wao ili wamfurahishe mh raisi wao na imekuwa Desturi za mabunge mengi ya kiafrika kupitisha miswada kandamizi ili rais aweze kuisani na wamekuwa wakifanya hivyo kiukweli hayo ni mateso kwa wananchi
@elvisoscar99124 күн бұрын
Mbona ya kwenu uko bunge lote wapo wa chama kimoja amzungumzii
@broamz4 күн бұрын
Wabunge walilipwa na Ruto ili wapitishe huo mswada. Khs 2M kila mmoja wao kutoka mrengo wa chama tawala. Kwa hiyo Ruto anahusika moja kwa moja. Ruto na wabunge wake wote wanahusika.
@carolinekasiemeka98484 күн бұрын
Kaka tuliza boli Ruto summons them to state house and bribes them each 2 million. #Ruto MUST GO
@judychepkirui53132 күн бұрын
Bunge na mahakama ni yake sasa, kwa hivo we deal with him perpendicularly
@olivenyamvula632110 сағат бұрын
Hamjui mwasema nini, wachaneni tuu.🇰🇪
@farusaimon34904 күн бұрын
Kwa mtazamo wangu, kauli ya kusema Mheshimiwa Rais Ruto anaangushwa na Wabunge wake, siyo sawa. Kumbuka, miswada mingi hutokea serikalini na kwenda bungeni, na wakati mwingine wabunge haohao hulazimishwa (katika mazingira yaliyofichika) kupitisha miswada hiyo. Mwache aone hasara za usaliti!
@AlainNyabirungu-wn1dl5 күн бұрын
Wakati Ali vamiya Congo ata endeleya Ku angushwa tu.
@OjiamboGodfreyMutumi
4 күн бұрын
Ilikuwa mpango wa America na yeye, aliingizwa madarakani ili atumike kuiba mali Congo.
@msindimalugendo8252Күн бұрын
Mtangazaji unatafuta matatizo na wakenya, ngojawakusikie, unajidai unajua sheria ,
@sabinaatema20654 күн бұрын
Kuharibu sana anaongezea hawa watu wake mishahara surely,,,, walimu ,madakitari na hao hao ma police wake bado, aki ningekuwa leo mimi ni police singefanya kazi
@sylvesterwanga78392 күн бұрын
Hamna habari kuhusu Kenya 🇰🇪 kwa ukamilifu. Ruto, alinunua hawa wabunge ata kutishia wengine iliwapitishe huo mswada tatanishi. Ruto ni mtawala wa kimla
@FunnyChess-ns9vf4 күн бұрын
Hakika wabunge walikuwa wana Nafasi kubwa sana ya kuzuia holi mambo kwa sababu issue nzima imeanzia kwao sasa sijui walilambishwa asahi hawakujua Hawa Magen Z leo wanampa wakati mgumu sana Rais wao I think hizi ni hujuma za kisiasa
@lynnedarling11354 күн бұрын
Siasa za Kenya tofauti sana
@shuaibjuma84644 күн бұрын
That dude is actually clueless...infact I believe he doesn't know how a bill comes to be a success in Kenya endeleeni tu na kuwa mama ywaupiga mwingi lol
@user-rt5iv4py2g4 күн бұрын
shida si wabunge shida ni ruto coz yeye ndio anawaamulisha,so ruto must go
@wizardundesputed28054 күн бұрын
Hawa wanesema nini sasa? You should all do research on this issues ili mkuwe mnajua mnacho ongolea puga nyinyi 😅
@eddyrandu31274 күн бұрын
Mzigo huu ni WA ruto.😂.
@tonniemwafrika66794 күн бұрын
Zakayo must fall
@SundayNkaza4 күн бұрын
Tanzaniania kenya tujifunze viongozi nawana nchi kuweni makini hata kwetu yapo et kiongozi unamchagua uyouyo anakufinya mpaka unaandamana wao kwapesazet wanatembelea v8 sisi hata boda bado kila sehem wanakubana ukifungua ata duka kodizingine hatuzijui majina service lev wanachosha
@firdaushamid82004 күн бұрын
Wabunge washatekwa na Ruto nilazima tu watapitisha hakuna namna ila tu nikutiwa adabu tu nawananchi ndio maana wamerudi kuomba msamahakwa wananchi
@razor772Күн бұрын
You guys are not even informed💔go dig more wacha kupayuka
@polotieno2294 күн бұрын
Boss humumjui Ruto, Mchukueni mkae nae hata siku mbili peke kama mtamweza. Mpate mmeporwa kila kitu. Hatupigi nduru bure.
@governorjosh4 күн бұрын
No you don't understand bro mps who voted yes to finance bill 2024 were bribed ksh 2 millions each by Ruto himself. So in that case we can't allow corruption.We demand every Kenyan be given ksh 2millions na watoke bungeni we want fresh elections.
@Bama9595 күн бұрын
Kinachobaki ni Tanzania pia
@shedrackmutalemwa73104 күн бұрын
Mnaongea mambo ya Kenya je TZ vp?:miswada yetu mnaijua au iko sawa? Kodi za kimya kimya je? Tozo?
@rehemashariff31194 күн бұрын
Kama unajua jeuri na kiburi ya tuto utaelewa hata wanaopitisha wanatishiwa ruto sio binadamu nikuombe hivi chukua ruto mwaka tu umueke tanzania awe raisi utatamani umtupe kwenye dzimbalah
@user-zn4nw9kl5f4 күн бұрын
Kwani ni lazima gani mjadili vitu hamvijui? C mtulie wasanii wenu waendelee kutunga nyimbo za kumsifu mama yenu
@user-gn1ul6vu2n5 сағат бұрын
Inakaa pia nyinyi mnataka tuwasalimie
@dailytalk20404 күн бұрын
I wish I was there to inform you what is happening, sababu nyinyi hamuelewi hata kidogo
@MebakariMohamed4 күн бұрын
Kuchambuwa ya Kenya ya kwenu aaaaaaaa
@ndondiafrika2495 күн бұрын
Sikubaliani na mtangazaji....Ruto mwnyewe alikuwa akiuza hii bill kwa wananchi. hadi alionga wabunge shillingi 2 million kupitisha. So lazima alaumiwe
@benjaminevans59202 күн бұрын
Huyo anayemtetea Ruto hamjui na angefanya hekima kwa kufunga hiyo mdomo... Ruto hana kosa kivipi ilhali yeye ndiye aliyewaonga wabunge kwa shilingi milioni mbili kwa kila mbunge ili wapitishe hiyo mswada?
@festamwaibabile21904 күн бұрын
Jadilini Mpira ndio mnaojuwa
@aliomari52544 күн бұрын
Hawa hawajui mambo ya ruto wala michezo wanaporojatu nendeni mkale keki kule mtoni
@MohammedAli-fp9vn4 күн бұрын
Mswada hakupitiahwa na wabunge bali Ruto aliwaita wabunge wa chama chake akaeapa maagizo wapitishe
@MosetiDismas4 күн бұрын
Wabunge walipewa pesa wao ni kama maraya
@williambenedict60745 күн бұрын
im jus here listening to all this ridiculous trash... Tz y'all kno nothing bout what's going on with new govt in office.. Leave us alone.. Y'all sound goofy asf whenever y'all speaking yah minds and making suggestions lol..
@alkenia-luvchante.4 күн бұрын
Wabunge na huyo mtu wao wote takataka hawajui lolote bure kabisa
@BillyJames-l6x4 күн бұрын
Huyu jamaa anasema nn sasa??
@zachmaselle66354 күн бұрын
....jamani acheni haya masuala ya siasa, inaonyesha uekewa wenu ni mdogo na siyo ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Chimbuko la hili tatizo siyo Ruto. Ni Rushwa a miaka mingi. Hili siyo tatizo la Kenya tu. Ni nchi zetu nyingi za kiafrika. Tatizo la Ruto amejaribu kulitatua tatizo kwa kufunika rushwa. Mswaada wa fedha ulikuwa ni wa Ruto na serikali yake. Yes wabunge walitakiwa kujadili kukubali au kukataa. Lakini Rushwa ikaingilia. Angekuwa muwazi kwa wananchi na kuwaambia hali ya kifedha ikoje nchini labda wangemuelewa.
@nikkithe2rd383
4 күн бұрын
kweli kaka
@abelkilawe89644 күн бұрын
katiba ya kenya miswada yote inaanzishwa na bunge then inapelekwa kwa rais
@joshuawekesa70944 күн бұрын
Nyie hamelewi lolote ruto mhuni huyu. Aliwalipi wabunge million mbili kupitisha mswaada ,sasa wabunge wanamaangusha aje ama ni yeye mhuni to
@fredsabora25434 күн бұрын
Ruto alinunua wabunge
@suleimanrashid39185 күн бұрын
Oscar katika maisha yako yote usije jaribu kushindana na vijana wanao balekhe..ataka wame kukosea kua mpole hio age ni shida😂😂😂
@user-rc6ww6rx7n5 күн бұрын
Kusema ya nchi ya jilani tu lla kusema ya nchini kwn aaaaaaaah mnaogopa ht kugusia dadeki
@mrjohn683 күн бұрын
Watangazaji wa hovyo kabisa. Fanyeni basi research kidogo ndo msiongee mambo msiyoyajua. Kwa kifupi, wabunge walipitisha mswada kama walivyoagizwa na Ruto
@trendinggossip8692
4 сағат бұрын
😂😂 hawajielewi. Hawa hawajui kuhusu bunge lao ndio watajua yetu?
@ramagazet13624 күн бұрын
Fanyeni muangalie comments oscar oscar munaongea pumba hamjui maswala ya Geopolitics
@mduda_i4 күн бұрын
miswada inayopitishwa bunge la TZ mnaijua? au mnafatilia ya watu yakwenu Aaah
@gazanempireup2ditime1334 күн бұрын
manze hamjui kwamba mswada ulitoka kwenye executive na masharti yakuipitisha pia humo.
@biggyshari33284 күн бұрын
Kwanza alivyoingia madarakani alinunua wabunge hyo inamana alitaka kuua upinzani sasa basi wacha tudeal nae sisi
@alibarisa77395 күн бұрын
He fail cz he paid the mps to pass the bill.so yeye ndie amejiangusha. He keeps on buying the members of parliament to pass every bill for his own benefits.
@carolinemuli18624 күн бұрын
Mukiamka kama wakenya mutajua
@lunangabenjamin31215 күн бұрын
Hivi kwanini alituma jeshi la policie haiti na kwake kunavurugu.
@barakarobert1029
5 күн бұрын
Si ndio hapo yaaan kama vile awana police
@athumanmlamba43725 күн бұрын
Watauzuia vp wakati walihongwa million ya pesa kupitisha bajeti, tatizo la viogozi wakenya ni mafisadi sana hivi wamenunu ndege wa natembelea na
@barnaba30375 күн бұрын
Tatizo sio wabunge tu.Tatizo ni ahadi za uongo. Yan naona mawazo ya Dudu baya kuhusu uchambuzi wa Kenya ni ya juu mara 100 zaidi ya hawa wawili
@FauziaJoseph5 күн бұрын
Aki ndungu nikweli awa wambunge ndio wameleta vifo
@mariamjamali14445 күн бұрын
Huyu Oscar Oscar anaongea non sense kbs, ebu chukulia Toka umekuwa ukaanza kufatilia siasa za hapa kwetu Tz ni lini Serikali ishawahi kupendeza au kupeleka muswada wenye ubovu wa kiwango Cha kimataifa alafu mbunge wa chama tawala akapima kura ya hapana. African politics are the same! The Head of the state is The Head of Parliament as well as Judiciary. There's no so called separation of power or Independent State Organs. You got me bro May be this is not your ground or it is but still amateur!
@mtzhalisi2232
5 күн бұрын
Truth
@user-fc3og1eo3x
5 күн бұрын
Na huo ndo ukweli hata kwetu hivyo hivyo Mara ngapi bunge letu lenyewe limepitisha miswada kandamizi na Rais anasaini na inakuwa Sheria Sana sana vyama tawala hupiga kura ya ndiyo kwa sababu ya wingi wao miswada kandamizi inapitishwa
@rosemanyonge999510 сағат бұрын
Clearly u have no idea whats goin on.........ruto has bought both national assembly and the judiciary. They are playing his tune,eleweni hilo vizuri
@supastar-kf4pb5 күн бұрын
Uyo.jama.aende.nyumbani
@arthuroduor72534 күн бұрын
Sorry my friend first learn about budget making process in Kenya before addressing us
@KaburameHamisi-fm7fo5 күн бұрын
Oscar dunia ya sahii siyasa nyingi wabunge wanafanya anacotaka raisi mnacagua mapendekezo ya mkuu si kuteteya wanainchi
@dalalimjinga.1445 күн бұрын
Simuoni hassle madarakani mwezi 8 kamsaliti Putin
@mengikiguruwe67505 күн бұрын
Oscar akili yako bado sana
@Bama9595 күн бұрын
Mpumbavu sana huyo ruto, alitukashifu sana sisi wa kongo akashindwa kujua kwamba yote hulipwa hapahapa chini ya Jua
@gazanempireup2ditime133
4 күн бұрын
Naskia mnafungia trousers kwa high waist, said Ruto
@user-wb6lm2qk3s5 күн бұрын
Poorly analysising ,we're after finance bill,this is new generations gen z Deal with your samia tz hawajui katiba na nights , Kenyans knew theirs rights unlike tanzanians
@TheJetSetter1015 күн бұрын
You guys just stick to your Yanga/Simba football shenanigans! Ya Kenya kabisa hamyafahamu. Leave us Kenyans to sort out our issues with our president/MP's. Hakuna ya ukabila huku, it's a fight against bad governance, period!
@candyngeny8272
4 күн бұрын
That's I am also thinking....how is our country their business...their country is fucked up and they are here discussing issues of another country...
@ChireGriffin5 күн бұрын
Rais ndo kwalipa mpaka wapizani wapitishe
@Mammy-eq7ef5 күн бұрын
Hamjui mnacho kiongea nyiny tulieni
@rehemaali9248Күн бұрын
You people don't know what you're talking about. Do proper research beforehand. Stop yapping
@hamoudcreator63434 күн бұрын
WASAFI vilaza sana😂😂😂... Hiyo Bill ameimepeleka mwenyewe Raisi Ruto.. Sasa unategemea Wabunge Watapinga... Ruto ndo Jipu.... Ameondoa Bill yake mwenyewe 😅😅
@InnocentZamkulu
4 күн бұрын
Kama kaiondowa kwanini bado waandamane nakuharibu mali? Kuna siasa inayo jificha na sio hio bill ndio chanzo.
@hilarymayende5 күн бұрын
This guy's doesn't know what is happening in Kenya they are just bucking they need to do research
@alfredmhana235
5 күн бұрын
Kaomgea fact wakenya hawajielewi na hii ni biasha ya kina odinga tuu.
@danielmgalla5585 күн бұрын
Oscar kuna kitu kinaitwa party caucus, wabunge pale walifanya kile rais anawaelekeza kwenye hizo party caucus, na endpo hata mmja wa chama chale angevote no, Ruto huyohuyo angedeal nae
@abdulkheri73225 күн бұрын
Ongeleeni simba na yanga, hamjui siasa ya kenya 😂😂😂
@cHin91O5 күн бұрын
Hakuna mjualo buana nyie jadilini mipira tu na kwa uchambuzi huu ni wazi siasa za Kenya hamzifuatilii kabisa!
@FahadAbubakari5 күн бұрын
Hahaa uchambuzi wenu unaonyesha hamjui kabisa what was behind it all kwanza huo si muswada ilikua ni bajeti, pili Kuna vitu vingi mnoo vilihusisha serikali ya Ruto yote na sycophants wake, wabunge sio target kusema wabunge wamemcost Ruto hiyo si sana ishu ni serikali yake, n Ruto alitoa ahadi nyingi mnoo ambazo katimiza less than 10% wala si wabunge subject ni Ruto .
@FauziaJoseph
5 күн бұрын
Akuna kitu President anawesa vitisha peke yake bila wambunge.
@FahadAbubakari
5 күн бұрын
@@FauziaJoseph uliskia interview ya Ruto Sunday? Nenda kaangalie then utajua wht I suppose to mean.
@Cao_ZeKai5 күн бұрын
Unprofessional... Wachambuzi wa mpira kuchambua siasa, Wasafi mnatuangusha sana
@Lukia-k6g2 күн бұрын
He is cooked 😹
@AlexKimani-jt6pe5 күн бұрын
Wambunge walilipwa million 2kupitisha huo mshwanda
@FauziaJoseph
5 күн бұрын
Nani aliwalipa kila mp wakikuja mbungeni kila moja anawakilishanga upande wa kwake, kile kinahanisha wameogea na watu wao
@FauziaJoseph
5 күн бұрын
Kile kina maanisha wameogea na watu wao ,sasa Ruto apo ako na makosa akusema peke yake ,lakini kunawale wamelipa vijana kualivia Ruto kazi
@allyalhussainy12164 күн бұрын
Huyu Oscar hajui lolote linalo endelea... Yaonesha siasa zampiga chenga waliopitisha ni wabunge wa upande wa Ruto kisha atasema vipi sio raisi ni wabunge? Na master plan ni Ruto
Пікірлер: 109
Wabunge walipewa pesa.... Hakuna kitu unajua oscar... Geopolitics hujui.. Vitu vingine muwe mnakaa kimya tu kama sio uwanja wenu
Nyinyi hata hamna mnachojua...huyo ruto kanunua bunge na kanunua mahakama...
@DennisMalima
4 күн бұрын
Wajua wao hawajui nn kinaendelea hapa kenya...wabunge wenye washaanunuliwa na Ruto kila anachosema wao wanapitisha tu
@wizardundesputed2805
4 күн бұрын
Basi , hiyo sasa
@buzzafrique3700
5 сағат бұрын
Ni kweli ruto ni mwizi na anatumia kifua kupitisha hadi sheria haziko kwa constitution,amenunua kila mtu , wabunge , koti , ni dictator watu wamemuogopa but genz wamerise
Wasafi TV make me your correspondent in Kenya. Haya mambo hamyajui vizuri.The protests were infiltrated by goons hired by politicians trying to settle old scores,preliminary investigations show these politicians are not from the opposition.
@joshuawenceslaus2466
4 күн бұрын
Very true
Kuchambua ya Kenya tuu ya kwenu aaaa
Huyu anacho kiongea hata Hana uhahika nacho😅
Ningesema tuu vitu za Kenya jiepusheni nazo hamna habari ya kile kinaendelea kwa wabunge sasa hivi.
Watanzania wanajifanya wajuaaajiii lakini hamna wanachojua. Jadili ya kwenu ya kwetu tuachie.
Yeye ndio amejaribu kututawala kwa ki imla, akishurutisha wabunge wapige kura ya kupitisha sheria za kutukandamiza.
Ruto ndiye ako na wabunge wengi bungeni so Kila kitu anataka afanye Kwa serikali anatumia Tu wabunge wake juu watapitisha Tu.This time around it's tit for tat,We are dealing with all our MPs together with Ruto
Tatizo siyo wabunge kupitisha muswada tatizo wabunge wale walipitisha kwa sababu ya wingi wao ili wamfurahishe mh raisi wao na imekuwa Desturi za mabunge mengi ya kiafrika kupitisha miswada kandamizi ili rais aweze kuisani na wamekuwa wakifanya hivyo kiukweli hayo ni mateso kwa wananchi
Mbona ya kwenu uko bunge lote wapo wa chama kimoja amzungumzii
Wabunge walilipwa na Ruto ili wapitishe huo mswada. Khs 2M kila mmoja wao kutoka mrengo wa chama tawala. Kwa hiyo Ruto anahusika moja kwa moja. Ruto na wabunge wake wote wanahusika.
Kaka tuliza boli Ruto summons them to state house and bribes them each 2 million. #Ruto MUST GO
Bunge na mahakama ni yake sasa, kwa hivo we deal with him perpendicularly
Hamjui mwasema nini, wachaneni tuu.🇰🇪
Kwa mtazamo wangu, kauli ya kusema Mheshimiwa Rais Ruto anaangushwa na Wabunge wake, siyo sawa. Kumbuka, miswada mingi hutokea serikalini na kwenda bungeni, na wakati mwingine wabunge haohao hulazimishwa (katika mazingira yaliyofichika) kupitisha miswada hiyo. Mwache aone hasara za usaliti!
Wakati Ali vamiya Congo ata endeleya Ku angushwa tu.
@OjiamboGodfreyMutumi
4 күн бұрын
Ilikuwa mpango wa America na yeye, aliingizwa madarakani ili atumike kuiba mali Congo.
Mtangazaji unatafuta matatizo na wakenya, ngojawakusikie, unajidai unajua sheria ,
Kuharibu sana anaongezea hawa watu wake mishahara surely,,,, walimu ,madakitari na hao hao ma police wake bado, aki ningekuwa leo mimi ni police singefanya kazi
Hamna habari kuhusu Kenya 🇰🇪 kwa ukamilifu. Ruto, alinunua hawa wabunge ata kutishia wengine iliwapitishe huo mswada tatanishi. Ruto ni mtawala wa kimla
Hakika wabunge walikuwa wana Nafasi kubwa sana ya kuzuia holi mambo kwa sababu issue nzima imeanzia kwao sasa sijui walilambishwa asahi hawakujua Hawa Magen Z leo wanampa wakati mgumu sana Rais wao I think hizi ni hujuma za kisiasa
Siasa za Kenya tofauti sana
That dude is actually clueless...infact I believe he doesn't know how a bill comes to be a success in Kenya endeleeni tu na kuwa mama ywaupiga mwingi lol
shida si wabunge shida ni ruto coz yeye ndio anawaamulisha,so ruto must go
Hawa wanesema nini sasa? You should all do research on this issues ili mkuwe mnajua mnacho ongolea puga nyinyi 😅
Mzigo huu ni WA ruto.😂.
Zakayo must fall
Tanzaniania kenya tujifunze viongozi nawana nchi kuweni makini hata kwetu yapo et kiongozi unamchagua uyouyo anakufinya mpaka unaandamana wao kwapesazet wanatembelea v8 sisi hata boda bado kila sehem wanakubana ukifungua ata duka kodizingine hatuzijui majina service lev wanachosha
Wabunge washatekwa na Ruto nilazima tu watapitisha hakuna namna ila tu nikutiwa adabu tu nawananchi ndio maana wamerudi kuomba msamahakwa wananchi
You guys are not even informed💔go dig more wacha kupayuka
Boss humumjui Ruto, Mchukueni mkae nae hata siku mbili peke kama mtamweza. Mpate mmeporwa kila kitu. Hatupigi nduru bure.
No you don't understand bro mps who voted yes to finance bill 2024 were bribed ksh 2 millions each by Ruto himself. So in that case we can't allow corruption.We demand every Kenyan be given ksh 2millions na watoke bungeni we want fresh elections.
Kinachobaki ni Tanzania pia
Mnaongea mambo ya Kenya je TZ vp?:miswada yetu mnaijua au iko sawa? Kodi za kimya kimya je? Tozo?
Kama unajua jeuri na kiburi ya tuto utaelewa hata wanaopitisha wanatishiwa ruto sio binadamu nikuombe hivi chukua ruto mwaka tu umueke tanzania awe raisi utatamani umtupe kwenye dzimbalah
Kwani ni lazima gani mjadili vitu hamvijui? C mtulie wasanii wenu waendelee kutunga nyimbo za kumsifu mama yenu
Inakaa pia nyinyi mnataka tuwasalimie
I wish I was there to inform you what is happening, sababu nyinyi hamuelewi hata kidogo
Kuchambuwa ya Kenya ya kwenu aaaaaaaa
Sikubaliani na mtangazaji....Ruto mwnyewe alikuwa akiuza hii bill kwa wananchi. hadi alionga wabunge shillingi 2 million kupitisha. So lazima alaumiwe
Huyo anayemtetea Ruto hamjui na angefanya hekima kwa kufunga hiyo mdomo... Ruto hana kosa kivipi ilhali yeye ndiye aliyewaonga wabunge kwa shilingi milioni mbili kwa kila mbunge ili wapitishe hiyo mswada?
Jadilini Mpira ndio mnaojuwa
Hawa hawajui mambo ya ruto wala michezo wanaporojatu nendeni mkale keki kule mtoni
Mswada hakupitiahwa na wabunge bali Ruto aliwaita wabunge wa chama chake akaeapa maagizo wapitishe
Wabunge walipewa pesa wao ni kama maraya
im jus here listening to all this ridiculous trash... Tz y'all kno nothing bout what's going on with new govt in office.. Leave us alone.. Y'all sound goofy asf whenever y'all speaking yah minds and making suggestions lol..
Wabunge na huyo mtu wao wote takataka hawajui lolote bure kabisa
Huyu jamaa anasema nn sasa??
....jamani acheni haya masuala ya siasa, inaonyesha uekewa wenu ni mdogo na siyo ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga. Chimbuko la hili tatizo siyo Ruto. Ni Rushwa a miaka mingi. Hili siyo tatizo la Kenya tu. Ni nchi zetu nyingi za kiafrika. Tatizo la Ruto amejaribu kulitatua tatizo kwa kufunika rushwa. Mswaada wa fedha ulikuwa ni wa Ruto na serikali yake. Yes wabunge walitakiwa kujadili kukubali au kukataa. Lakini Rushwa ikaingilia. Angekuwa muwazi kwa wananchi na kuwaambia hali ya kifedha ikoje nchini labda wangemuelewa.
@nikkithe2rd383
4 күн бұрын
kweli kaka
katiba ya kenya miswada yote inaanzishwa na bunge then inapelekwa kwa rais
Nyie hamelewi lolote ruto mhuni huyu. Aliwalipi wabunge million mbili kupitisha mswaada ,sasa wabunge wanamaangusha aje ama ni yeye mhuni to
Ruto alinunua wabunge
Oscar katika maisha yako yote usije jaribu kushindana na vijana wanao balekhe..ataka wame kukosea kua mpole hio age ni shida😂😂😂
Kusema ya nchi ya jilani tu lla kusema ya nchini kwn aaaaaaaah mnaogopa ht kugusia dadeki
Watangazaji wa hovyo kabisa. Fanyeni basi research kidogo ndo msiongee mambo msiyoyajua. Kwa kifupi, wabunge walipitisha mswada kama walivyoagizwa na Ruto
@trendinggossip8692
4 сағат бұрын
😂😂 hawajielewi. Hawa hawajui kuhusu bunge lao ndio watajua yetu?
Fanyeni muangalie comments oscar oscar munaongea pumba hamjui maswala ya Geopolitics
miswada inayopitishwa bunge la TZ mnaijua? au mnafatilia ya watu yakwenu Aaah
manze hamjui kwamba mswada ulitoka kwenye executive na masharti yakuipitisha pia humo.
Kwanza alivyoingia madarakani alinunua wabunge hyo inamana alitaka kuua upinzani sasa basi wacha tudeal nae sisi
He fail cz he paid the mps to pass the bill.so yeye ndie amejiangusha. He keeps on buying the members of parliament to pass every bill for his own benefits.
Mukiamka kama wakenya mutajua
Hivi kwanini alituma jeshi la policie haiti na kwake kunavurugu.
@barakarobert1029
5 күн бұрын
Si ndio hapo yaaan kama vile awana police
Watauzuia vp wakati walihongwa million ya pesa kupitisha bajeti, tatizo la viogozi wakenya ni mafisadi sana hivi wamenunu ndege wa natembelea na
Tatizo sio wabunge tu.Tatizo ni ahadi za uongo. Yan naona mawazo ya Dudu baya kuhusu uchambuzi wa Kenya ni ya juu mara 100 zaidi ya hawa wawili
Aki ndungu nikweli awa wambunge ndio wameleta vifo
Huyu Oscar Oscar anaongea non sense kbs, ebu chukulia Toka umekuwa ukaanza kufatilia siasa za hapa kwetu Tz ni lini Serikali ishawahi kupendeza au kupeleka muswada wenye ubovu wa kiwango Cha kimataifa alafu mbunge wa chama tawala akapima kura ya hapana. African politics are the same! The Head of the state is The Head of Parliament as well as Judiciary. There's no so called separation of power or Independent State Organs. You got me bro May be this is not your ground or it is but still amateur!
@mtzhalisi2232
5 күн бұрын
Truth
@user-fc3og1eo3x
5 күн бұрын
Na huo ndo ukweli hata kwetu hivyo hivyo Mara ngapi bunge letu lenyewe limepitisha miswada kandamizi na Rais anasaini na inakuwa Sheria Sana sana vyama tawala hupiga kura ya ndiyo kwa sababu ya wingi wao miswada kandamizi inapitishwa
Clearly u have no idea whats goin on.........ruto has bought both national assembly and the judiciary. They are playing his tune,eleweni hilo vizuri
Uyo.jama.aende.nyumbani
Sorry my friend first learn about budget making process in Kenya before addressing us
Oscar dunia ya sahii siyasa nyingi wabunge wanafanya anacotaka raisi mnacagua mapendekezo ya mkuu si kuteteya wanainchi
Simuoni hassle madarakani mwezi 8 kamsaliti Putin
Oscar akili yako bado sana
Mpumbavu sana huyo ruto, alitukashifu sana sisi wa kongo akashindwa kujua kwamba yote hulipwa hapahapa chini ya Jua
@gazanempireup2ditime133
4 күн бұрын
Naskia mnafungia trousers kwa high waist, said Ruto
Poorly analysising ,we're after finance bill,this is new generations gen z Deal with your samia tz hawajui katiba na nights , Kenyans knew theirs rights unlike tanzanians
You guys just stick to your Yanga/Simba football shenanigans! Ya Kenya kabisa hamyafahamu. Leave us Kenyans to sort out our issues with our president/MP's. Hakuna ya ukabila huku, it's a fight against bad governance, period!
@candyngeny8272
4 күн бұрын
That's I am also thinking....how is our country their business...their country is fucked up and they are here discussing issues of another country...
Rais ndo kwalipa mpaka wapizani wapitishe
Hamjui mnacho kiongea nyiny tulieni
You people don't know what you're talking about. Do proper research beforehand. Stop yapping
WASAFI vilaza sana😂😂😂... Hiyo Bill ameimepeleka mwenyewe Raisi Ruto.. Sasa unategemea Wabunge Watapinga... Ruto ndo Jipu.... Ameondoa Bill yake mwenyewe 😅😅
@InnocentZamkulu
4 күн бұрын
Kama kaiondowa kwanini bado waandamane nakuharibu mali? Kuna siasa inayo jificha na sio hio bill ndio chanzo.
This guy's doesn't know what is happening in Kenya they are just bucking they need to do research
@alfredmhana235
5 күн бұрын
Kaomgea fact wakenya hawajielewi na hii ni biasha ya kina odinga tuu.
Oscar kuna kitu kinaitwa party caucus, wabunge pale walifanya kile rais anawaelekeza kwenye hizo party caucus, na endpo hata mmja wa chama chale angevote no, Ruto huyohuyo angedeal nae
Ongeleeni simba na yanga, hamjui siasa ya kenya 😂😂😂
Hakuna mjualo buana nyie jadilini mipira tu na kwa uchambuzi huu ni wazi siasa za Kenya hamzifuatilii kabisa!
Hahaa uchambuzi wenu unaonyesha hamjui kabisa what was behind it all kwanza huo si muswada ilikua ni bajeti, pili Kuna vitu vingi mnoo vilihusisha serikali ya Ruto yote na sycophants wake, wabunge sio target kusema wabunge wamemcost Ruto hiyo si sana ishu ni serikali yake, n Ruto alitoa ahadi nyingi mnoo ambazo katimiza less than 10% wala si wabunge subject ni Ruto .
@FauziaJoseph
5 күн бұрын
Akuna kitu President anawesa vitisha peke yake bila wambunge.
@FahadAbubakari
5 күн бұрын
@@FauziaJoseph uliskia interview ya Ruto Sunday? Nenda kaangalie then utajua wht I suppose to mean.
Unprofessional... Wachambuzi wa mpira kuchambua siasa, Wasafi mnatuangusha sana
He is cooked 😹
Wambunge walilipwa million 2kupitisha huo mshwanda
@FauziaJoseph
5 күн бұрын
Nani aliwalipa kila mp wakikuja mbungeni kila moja anawakilishanga upande wa kwake, kile kinahanisha wameogea na watu wao
@FauziaJoseph
5 күн бұрын
Kile kina maanisha wameogea na watu wao ,sasa Ruto apo ako na makosa akusema peke yake ,lakini kunawale wamelipa vijana kualivia Ruto kazi
Huyu Oscar hajui lolote linalo endelea... Yaonesha siasa zampiga chenga waliopitisha ni wabunge wa upande wa Ruto kisha atasema vipi sio raisi ni wabunge? Na master plan ni Ruto