RONALDO afunguka kwanini ALILIA baada ya kukosa PENALTI kwenye mchezo wa URENO vs SLOVENIA

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 19

  • @kilimanjarostarlounge
    @kilimanjarostarlounge15 күн бұрын

    dahh mungu amsadie achikue kombe maana atakua amelipania sio kwa kulia vile

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture294115 күн бұрын

    G.O.A.T

  • @AfuaHussein
    @AfuaHussein15 күн бұрын

    Allez les Portugaise........😊😊😊

  • @DewGroupTech
    @DewGroupTech15 күн бұрын

    TUNAOMBA TAARIFA ZA MABADILIKO YA MANUNUZI YA LUKU

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k15 күн бұрын

    Ebu mtu aniambie watakutana lini au saangapii Frans vs Portugal ninunue bando yakutosha 😂niangalie baba n mtoto wakipigana

  • @marcelefungo-yc6zr

    @marcelefungo-yc6zr

    15 күн бұрын

    Tarehe 5

  • @STEVEN-f6g
    @STEVEN-f6g13 күн бұрын

    Kama SNS wangeleta angalau SPORTS GPS Angalau mala moja kwa wiki wapenzi wa michezo tungefurahi Sana..Coz ligi duniani zitaanza mwezi ujao..

  • @sonnyr1899
    @sonnyr189914 күн бұрын

    Mchezaji mwenye heshima kwa taifa hamna kama huyu mwamba

  • @stallonerney369
    @stallonerney36915 күн бұрын

    mmmh umri hauna huruma

  • @charleshizza9741
    @charleshizza974114 күн бұрын

    Ureno atapigwa

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip426015 күн бұрын

    Mbaple atamvuruga huyu mzee subrn tu muone😂

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco835015 күн бұрын

    Ronaldo anampa jezi mbaphe cku ya mechi nani anabisha..!?

  • @samdj_majorizer

    @samdj_majorizer

    14 күн бұрын

    acha utoto

  • @TANZANIA_TRENDING

    @TANZANIA_TRENDING

    13 күн бұрын

    Sipingi 😂

  • @reainnovationstanzania5163
    @reainnovationstanzania516314 күн бұрын

    Sns mngeweka video kabisa 😢

  • @mustafamasudi8093
    @mustafamasudi809315 күн бұрын

    na bado ataendelea kulia umri umeenda ila bado ana tamaa tu

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    14 күн бұрын

    Tamaa?? 🤗🤗unajua hapo anaitetea na kuipigania timu yake! hakuna malipo ya maana anayolipwa zaidi kuiweka mbele timu yake!unavyo fikiria sivyo, kama pesa anazo au hujui, na usidhanie ni rahisi sana ktk umri wake lkn huyu ni wa ajabu ktk wachezaji walio wahipo hakuna kama Ronaldo

  • @ProsperSantos

    @ProsperSantos

    14 күн бұрын

    Izoo nitamaa za kucomment post zawatu bila kuombwa respect cristiano 🔥

  • @OthmanThabitJuma
    @OthmanThabitJuma14 күн бұрын

    Ronaldo hamna kitu hebu njooni kwa goat messi

Келесі