....Binti amejibu vizuri sana, lakini ukichambua alichofanya sidhani atamsaidia huyo Abdallah maana hakuchukua namba yake, hakuuliza stakabadhi ya Malipo, ambayo ingeonyesha ni lini alilipia na tatizo ni nini. Yote hayo yangekjitokeza kwenye kompyuta baada ya kweka jina au namba ya malipo. Haya mambo yalishafanywa na yanafanyika nchi zingine tukopi tu. Tatizo kubwa DDhiki ya wananchi ya maji, imekuwa miradi ya wenye nafsi kuumiza wanyonge. Tanazania hatutakiwi kuwa na tatizo la maji. Mungu ametubariki mno.
@hanifamziray2772 күн бұрын
Safiiiii ukijibiwa vzr raha sn.hongera waziri
@MOHAMEDSALEH-fl7kb5 күн бұрын
Hongera waziri
@jumbeplumber43272 күн бұрын
Safi sasa
@user-eg3mh1gk5l3 күн бұрын
Safiii
@emmanuelndahan98152 күн бұрын
Huyoo ni customer care, kikubwa watu wapate maji
@daltonpaul58383 күн бұрын
Watu wa huduma kwa wateja ni wakarimu mno kikubwa watu waungiwe maji kwa wakati
Пікірлер: 14
....Binti amejibu vizuri sana, lakini ukichambua alichofanya sidhani atamsaidia huyo Abdallah maana hakuchukua namba yake, hakuuliza stakabadhi ya Malipo, ambayo ingeonyesha ni lini alilipia na tatizo ni nini. Yote hayo yangekjitokeza kwenye kompyuta baada ya kweka jina au namba ya malipo. Haya mambo yalishafanywa na yanafanyika nchi zingine tukopi tu. Tatizo kubwa DDhiki ya wananchi ya maji, imekuwa miradi ya wenye nafsi kuumiza wanyonge. Tanazania hatutakiwi kuwa na tatizo la maji. Mungu ametubariki mno.
Safiiiii ukijibiwa vzr raha sn.hongera waziri
Hongera waziri
Safi sasa
Safiii
Huyoo ni customer care, kikubwa watu wapate maji
Watu wa huduma kwa wateja ni wakarimu mno kikubwa watu waungiwe maji kwa wakati
@JumaaHussein-ut6fc
3 күн бұрын
Wakarim kwasababu simu zinarekodiwa hivo tuu yaani.
@user-ji1bc5ti8r
18 сағат бұрын
@@JumaaHussein-ut6fctofauti na hapa tungekuwa tunajibiwa hovyo adi tukome muwapigia
@daltonpaul5838
13 сағат бұрын
@@JumaaHussein-ut6fc kwa kweli
Safi sana
❤❤
Ila goba hakuna maji ki ukweli
Sasa kofia ya chama inafanya nn apo