WAZIRI AWESO AJIFANYA MTEJA, APIGA SIMU HUDUMA KWA WATEJA DAWASA, SIKIA ALIVYOJIBIWA

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 14

  • @zachmaselle6635
    @zachmaselle66354 күн бұрын

    ....Binti amejibu vizuri sana, lakini ukichambua alichofanya sidhani atamsaidia huyo Abdallah maana hakuchukua namba yake, hakuuliza stakabadhi ya Malipo, ambayo ingeonyesha ni lini alilipia na tatizo ni nini. Yote hayo yangekjitokeza kwenye kompyuta baada ya kweka jina au namba ya malipo. Haya mambo yalishafanywa na yanafanyika nchi zingine tukopi tu. Tatizo kubwa DDhiki ya wananchi ya maji, imekuwa miradi ya wenye nafsi kuumiza wanyonge. Tanazania hatutakiwi kuwa na tatizo la maji. Mungu ametubariki mno.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray2772 күн бұрын

    Safiiiii ukijibiwa vzr raha sn.hongera waziri

  • @MOHAMEDSALEH-fl7kb
    @MOHAMEDSALEH-fl7kb5 күн бұрын

    Hongera waziri

  • @jumbeplumber4327
    @jumbeplumber43272 күн бұрын

    Safi sasa

  • @user-eg3mh1gk5l
    @user-eg3mh1gk5l3 күн бұрын

    Safiii

  • @emmanuelndahan9815
    @emmanuelndahan98152 күн бұрын

    Huyoo ni customer care, kikubwa watu wapate maji

  • @daltonpaul5838
    @daltonpaul58383 күн бұрын

    Watu wa huduma kwa wateja ni wakarimu mno kikubwa watu waungiwe maji kwa wakati

  • @JumaaHussein-ut6fc

    @JumaaHussein-ut6fc

    3 күн бұрын

    Wakarim kwasababu simu zinarekodiwa hivo tuu yaani.

  • @user-ji1bc5ti8r

    @user-ji1bc5ti8r

    18 сағат бұрын

    ​@@JumaaHussein-ut6fctofauti na hapa tungekuwa tunajibiwa hovyo adi tukome muwapigia

  • @daltonpaul5838

    @daltonpaul5838

    13 сағат бұрын

    @@JumaaHussein-ut6fc kwa kweli

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni4 күн бұрын

    Safi sana

  • @HarithAlly-v5o
    @HarithAlly-v5o3 күн бұрын

    ❤❤

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan970623 сағат бұрын

    Ila goba hakuna maji ki ukweli

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912Күн бұрын

    Sasa kofia ya chama inafanya nn apo

Келесі