RAIS WA SIMBA/MWENYEKITI WA BODI MO DEWJI ALIVYOKUTANA NA WACHEZAJI WOTE KWA MARA YA KWANZA
Спорт
SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com/tz/app/simba-s...
📱 Play Store - play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC KZread Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Пікірлер: 243
Boss waangalie sana watu wote wanao wazunguka wachezaji wetu wengine mamluki wanawapigisha shot wachezaji wetu boss huna baya❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu bark vijana wote walio sajiliwa msimu huu na team yetu ya Simba mbariki sana mwenyekiti wetu mo mpe mafanikio zaidi
@muhsiniamiri9310
10 күн бұрын
uhakik bra huu mwak wet
@salimalaquimane3077
9 күн бұрын
Kila la kher kwenu lakin ubingwa msaau kwanza miaka 5 mfululu tuna chukua
@alisuleiman9627
9 күн бұрын
@@salimalaquimane3077wewe ni Mungu
@aminata3702
9 күн бұрын
Wewe gongowazi nani kakuita humu
@frankshirima4029
9 күн бұрын
We unamwona MUNGU anasoma comment unamwomba huku or em nioneshe nimwone na mm😅
Simba nguvu Moja bye from Nigeria
Simba nguvu moja from zambia ❤❤❤
Hadi lahaaa😂😂😂😂🎉mo wetu Mungu akupe maisha marefu
@bellenoe414
7 күн бұрын
Ila kapombe apumzike 😢
Zile timu za vichochoroni zikae mguu sawa sasa SIMBA NGUVU 1❤❤❤
Simba nguvu moja from Moçambique
Hongera boss huna baya,,,viongozi wawe makini na waturindie vijana wetu wasipigwe misumar
@neemaraphael8732
10 күн бұрын
Kocha safi
@AzizaMayemba-td8po
10 күн бұрын
Mungu mwema atawapigania shetani akashidwe na wale wabaya wote tunawateketeza kwa uwezo wa mungu naamini tutashinda vita washindwe na majin yao
@hassanrashid9436
10 күн бұрын
vyura wachawi sana manina zao lkn kwa uwezo wa Mungu misumari yao itaishia huko huko
I love you Simba ❤❤
Simba Tim kubwa na boss mkubwaaa❤😂
Oyaa weee boss karudi kinyama❤❤❤❤
Simbaaa unyama mwingi❤❤❤❤
Hongera sana Mo. Be blessed kwa kuipambania Simba yetu. Mpaka sasa naiona Simba mpya na ni ya Kiwango kikubwa. NI HATARI na Nusu ingawa bado hatujashuhudia Performance
Timu la kijanja Simba SC nmefurahi kuona VIJANA wetu
Ni muda mrefu cjaona hiki kitu simba #mo you made it ...ngoja uje uone morale ya wachezaji sasa 🔥
Yes ❤❤ for behalf of Tanzanian people welcome in Tz
Kila la kheri simba mo mungu akubariki na vijana wako
Nimeamini Simba nguvu Moja mambo mazuri hayataki halaka
Boss kaamua ujuo ni Msimu wa kisasi🦁SIMBA NGUVU💪🏾Moja❤
Mungu ibariki simba yetu wanayoibeza watajuwa wenyew
Simba yetu inarudi kwauzuri zaidi ya jana
From tunduma tuko pamoja sana
simba till i die ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mnyamaaaa Ghriiiiiiiiiii....!!!!
SIMBA NGUVU MOJA ❤️💯❤️
mungu mkubwa simba ndiyo hiii sasa
Wa kwanza like zenu
Big up MO keep it up ❤ Simba
Mungu akupe Moyo huohuo uendelee kuipenda simba
Safi tajiri iyo ndiyo njia yakufanya simba ifike mbali ata mchezaji akiwa na shida anakwambia 😊
Wata chonga sana wakina alliy kamoja na maneno ya kuungaunga Simba nguvu moja
Simba nguvu moja from Canada
Eeh mwenzi mungu utulindie wapambanaji wetu hawa dhidi watu wenye roho mbaya na clabu yetu pendwa🦁🦁🙏🙏🙏
Aaaa we Boss, weee kongole kwako, unaipenda kweli simba ,mo mo mo mo Dewijiiiiiiiiiiiiiiiiii on fireeeeeeeeeeeee safe journey my team , GOD Be with you on your way. Barikiwa sana Boss wetu mo.❤
Ee Mungu ibariki simba timu yetu
I love simba SC
Kuna mo na Mohamed ukiwatajir ni moo ukiwa maskini ni Mohamed upoo!
@DennisFandi
9 күн бұрын
Na Kuna mdi
Simba nguvu moja.asante kwak usajili mzuri
SIMBA NGUVU MOJA
Simba nguvu mojaaaaaa
Boss unabaya Simba nguvu moja
Simba nguvu moja ❤❤❤❤❤❤
Mungu ubaliki timu yetu na wachezaji wetu
Wachezajiwetu wakingwe simba nguvumoja❤❤❤❤
Together we can big up mnyama
Behind the scene move haijaanza ❤❤❤❤ Simba nguvu moja
Simba nguvu moja. Mwaka huu tunakuomba Mungu baba uwe upande wetu. Tumechoka na hizi aibu!
Mungu ibariki simba ❤❤❤
Asante kiogozi
My team 🦁🦁🦁
Hii simba Acha tu iniue mana cjaona timu nyingne tz yakushabikia❤❤❤❤❤
Tupo hapa kuilinda timu yetu mashabiki bora africa
Simba yangu, furaha yangu
Nimeipenda hiyo. Simba Nguvu Moja
Boss Huyo Matola Bado Yupo Benchi La Ufundi Tunaomba Umtoe Kwa Mkopo Bora Awepo Mgunda Ila Matola Mtoe Kwa Mkopo.😅😂
❤❤❤
Simba hii ndo Bora kabisa from Ethiopia
Most wanted from U S A 1 power
Nguvu moja
Boss wetu mungu akulinde Kila unapokwenda .tuko nyuma yako,mtu wa maana sanaaaaaa
Mungu walinde
Be blessed mnyama
Mungu ibariki simba nguvu moja
From Canada ❤
Unyama sana 🙂
Mungu tunaomba tulindie wachezaji wetu waepushe na husda za waja 🙏
mungu ibarik simba tutwae mataj hasa shirikisho
Tajiri huna baya tunakuaminia mashabiki wa simba damu.
Zangu duà tu. Kila la heŕi MO na simba kwa ujumla
Big Boss Mo Tajiri
Simba nguvu moko from drc
Akisema boss amna swaliii
Mamaaaaaaaaaaaaa
Kila laheri boss wetu kwa maandalixi haya tunakupenda sanaa
Simba nguvu moja
LIGI ZIANZE TU #NGUVU__MOJA💪
😢bosi Asante kwa usajili mzuri na wa kihistoria
Mohamed Dewj sasa amerudj akiwa na nguvu moja SIMBA itakuwa Bora sana
🎉🎉🎉🎉
Ntaanza kuiona simba yangu mbalii
safili ii kuna jitu litakufa
Gud job
Simbaaaaaa❤❤❤❤
Simbaa hiyoooooo
Simba nguvu mojaaaaaaa
SAFI SANA THE BIG BOSS
Proud of my team
Mungu ibariki simba mpya
All the best my team
simbaaaaaaaaaaaa
🦁♥️♥️♥️💪💪💪💪💪
Daah jamaa anaongea na vijana wenzie kama watoto wake 😅 ayse ngoja na Mimi nimtafute pesa Nije kuitwa boss billionaire ❤
Thank you mo dewjj
Nani alie ona macho ya Ali salum na baba esta walivo watizama wachezaji wezao walivo kuwa wanasalimiana na boss😂😂😂
Kweli boss yu pamoja nasi
Boss huna baya kabisa tunaomba ligi ianze tu lkn kabla ya hapo management naomba ioneshe na kutoa ushirikiano WA Hali na Mali kwa wachezaj wetu .
Tupo na marasta man yani wanavutia kiukweli mungu Atusaidie wakae mbali na yule shabiki mandazi mchome mchawi mkubwa yule
@hatibbaraka3956
9 күн бұрын
Tusubiri inyeshe tuone panapovuja Pendo,ila kwa hili lakukutana na wachezaji haijawa kigezo cha kuona kama timu imakamilika na hasa kwa ushabiki wetu tukifungwa mechi moja tu kocha hafai au Mo atuachie timu yetu.
Nmejikuta natabasamu Hadi nacheka cjui kwann
@PendoMatemba-ql1ng
10 күн бұрын
Ata mimi
@user-ds8kq8ov6l
10 күн бұрын
😂😂😂 hata mm Jaman mm Nljua nimechanganyikiwa kumbe hapana😂😂😂
@PendoMatemba-ql1ng
10 күн бұрын
@@user-ds8kq8ov6l kumbe tupo wengi
@anethmaro8168
9 күн бұрын
Hahahahaah😂😂@@user-ds8kq8ov6l
Simuoni Mgunda hapa 😊😊
Haaaaaaa tajir huna bayaaaaa naona unaongea na vijana safi sanaaaaaaaaa