EXCLUSIVE: WAZIRI AWESO AFUNGUKA ALIVYOOKOA BILIONI 8 / MIRADI KICHEFUCHEFU...

EXCLUSIVE: WAZIRI AWESO AFUNGUKA ALIVYOOKOA BILIONI 8 / MIRADI KICHEFUCHEFU...
WAZIRI wa Maji, Juma Aweso, amefanya mahojiano maalum kwenye kipindi cha Good Morning ya Wasafi Fm ambapo ameeleza mapinduzi makubwa yaliyofanywa kwenye wizara ya maji.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #JumaAweso #wasafifm

Пікірлер: 5

  • @deohaule8161
    @deohaule81612 жыл бұрын

    Kipindi mwananchi ana saini mkataba na shirika la maji, apewe mkataba ulio na makubaliano na haki za mteja katika maandiko. Pia kwenye tovuti za shirika haya maandishi lazima yawepo kwenye download PDF or Ms word format. Na Hii itawezasha wananchi kujua haki zao kimaandishi na si kimaneno.

  • @daudipanga6946
    @daudipanga69462 жыл бұрын

    Safi sana kijana mwenzangu!!!!

  • @amohammed3390
    @amohammed33902 жыл бұрын

    Bado sana. Huwezi kumkatia mtu maji halafu asubiri siku 7. Maji na umeme lazima iwe immediate. Siku moja sawa

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824119 күн бұрын

    WEE AWESO WEWE WEWEWE HAPO WEWEEE...gharama unazikata ili uchukue kpesa..unaweka watu wako ndo mnakula pesa za nchi....hii i was told by an insider...u are not a good person...alafu ati umeenda mikoa yote lakini bado watu wanalia..come'on now you making us look like fools....and sitting there calling GOD back and forth, really? you????

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824119 күн бұрын

    wewe Aweso, hatuoni kazi yako..watu bado hatuna maji..na mabillion unayo kwa wizara yako..whatsup with you? ww Aweso yu are not doing you job...u keep firing engineers and you slot in yours so at the end you take so much money from the coffeers..yo display innocence upfront but at the back of the curtains you do things which of the dark, movijng from 1 mkoa to another dont mean u are dong your job..its just a show offf...yu are dong nothing..billions are being stolen in and out...sasa kama umefika majimbo yot mbona maji ni kidogo? alafu ni chini ya viwango..u are not dong nothng...watalaamu wako unaweka na unachukua pesa nyinjgi mfukoni

Келесі