MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...

MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
Katika hali isiyo ya kawaida Mkurugenzi wa Kampuni ya ujenzi wa barabara amejikuta akiishiwa nguvu na kupoteza fahamu akiwa saiti baada ya Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo, kufika na kukagua ujenzi wa barabara na kukuta madudu yaliyomfanya akasirike sana..
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:kzread.info?list...

Пікірлер: 610

  • @magdalenajohn6564
    @magdalenajohn65643 жыл бұрын

    Mungu akawape hekima viongozi wetu wa Tanzania namna yakuongoza sawasawa na Mfalme suleiman

  • @shabankiwesi6727
    @shabankiwesi67274 жыл бұрын

    Hawa ndo mawaziri siyo wakuchekacheka hapa kaz tuu big up mh,jafo.

  • @tausimwaluvalile6450
    @tausimwaluvalile64504 жыл бұрын

    Aliecheka kama Mimi agonge like baada ya jafo kusema eeebwanaee simama bwana afu mkurugenzi kaanguka kazuia mkono mfuko wenye hela hahahaaa jamani hiz presha !!!!!!!nimecheka sana

  • @forgenmahuve1741

    @forgenmahuve1741

    3 жыл бұрын

    A

  • @duncankamasi9668

    @duncankamasi9668

    3 жыл бұрын

    Na akatulia tuli

  • @bakamuubakamuu1556

    @bakamuubakamuu1556

    3 жыл бұрын

    Nimecheka atariii😂😂😂😂😂😂

  • @bashirkambale4573
    @bashirkambale45734 жыл бұрын

    Magufuli amewafunza kazi 😂😂😂😂😂👏👏

  • @imhotepheru436
    @imhotepheru4363 жыл бұрын

    Nawapongeza sana Viongozi wa Tanzania,,, Kwanza kwa kuwapa Watanzania contracts izi... Serikalii nyingi Africa wanagawa contacts hizi kwa Wachina na wageni... Namshukuru waziri uyu kwa kuwa tough.... Apa kazi tu ♥️

  • @michealndirie4687
    @michealndirie46874 жыл бұрын

    Watching fr Kenya Tanzania so funny 😅😅😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄

  • @neemafatu7885
    @neemafatu78854 жыл бұрын

    😰😰😰😰hali hiyo kagombezwa na binaadamu mwenzake tu anazimia,sijui Siku tutasimama mbele ya mungu kuhukumiwa hali itakuwaje kwa madudu tunayoyafanya😱😱😱😱😱

  • @abdulkarimothmanabdalla1850

    @abdulkarimothmanabdalla1850

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @70SIXER7

    @70SIXER7

    4 жыл бұрын

    ahaaaaaaa!

  • @fatimamamlo8041

    @fatimamamlo8041

    4 жыл бұрын

    Neema fatu usichezee mkono kuingia kinywan kufukuzwa paha ulipokawa unalisha watoto mtihan

  • @neemafatu7885

    @neemafatu7885

    4 жыл бұрын

    @@fatimamamlo8041 kilal jambo mtangulize alokuumba hasa unapokabiliwa na msukosuko kama huo.ukiwa na tawwaqul ktk moyo huwezi kupata pressure ktk maisha kwa kuwa si yeyote anaeruzuku bali ALLAH Pekee.tunatakiwa kutafuta sababu ya kuipatia hiyo rizqi,kisha unatawwaqal kwa Allah.atakupa tu biidhinih, tena huwenda zaidi ya hiyo.tuache kuziabudu kazi mwisho unakuwa dhalili kama hivyo.Allah atupe moyo wa kumtegemea yeye pekee!aamiin

  • @fatimamamlo8041

    @fatimamamlo8041

    4 жыл бұрын

    @@neemafatu7885 nalijua hilo lakin kumbuka kaur ya Allah alipotuambia jisaidie nami nitawasaidia sasa hapo lazima ajisaidie kwamfano akinyimwa kazi kwenye kampun yake umr huosaiz atasimamia mngwegan hijambo weye itabeba gunia lambatata kuliko huyo

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel90274 жыл бұрын

    Enyi viongozi wa awamu ya tano tafadhali sana mnapokwenda kukagua miradi au kutoa maagizo nendeni na gari ya ambulance.

  • @bintysaid7177

    @bintysaid7177

    4 жыл бұрын

    Hahahahaaa aki wewe

  • @thelivingwordchannel9027

    @thelivingwordchannel9027

    4 жыл бұрын

    @@bintysaid7177 hili wimbi la watu kuzimia limeshika kasi hii awamu.

  • @bintysaid7177

    @bintysaid7177

    4 жыл бұрын

    @@thelivingwordchannel9027 hahahaa mafuta hayo yamejazana kwenye viungo

  • @thelivingwordchannel9027

    @thelivingwordchannel9027

    4 жыл бұрын

    @@bintysaid7177 unajua hawa watu waliishi watakavyo awamu zilizopita sasa hii inawapa tabu.Imagine kama angekuwa magufuli si jamaa angezindukia mochwali.

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Hawa Watawala wa viburi wana mwisho wao kwa huu uhuni wao mkumbuke kuna MMungu na nyie atawapindua hadharani mbele za watu hamna imani ni ustaarabu gani huo ujinga mloukuja nao hamumpendezseshi MMungu hivyo mnavyo wafanya waja wake viburi na ukali kwenda mbele ndio utawala wa kijunga na kishenzi kama nyie wenyewe

  • @shamsahabibu837
    @shamsahabibu8373 жыл бұрын

    Tunaoangalia baada ya kifo Cha laic wetu tujuane

  • @ashuraumari1322

    @ashuraumari1322

    3 жыл бұрын

    🖐️

  • @shamsahabibu837

    @shamsahabibu837

    3 жыл бұрын

    @@ashuraumari1322 mungu ampunguzie azabu ya kabul

  • @yusufuheri6524

    @yusufuheri6524

    2 ай бұрын

    Inauma asikwambie mtu

  • @masalujosephu430
    @masalujosephu4304 жыл бұрын

    Aliye ona kiatu cha mkandalasi gong like twend sw.

  • @godfreynkondo1689

    @godfreynkondo1689

    4 жыл бұрын

    Ilo buti uku kwetu tunaliita ngwasuma

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed69614 жыл бұрын

    Kweli msingi mzuri huleta Nyumba nzuri.Mawaziri mnafanya kazi kulinda ajira zenu msije kutumbuliwa na mh Rais magufuli

  • @magnusbugingo7471
    @magnusbugingo74713 жыл бұрын

    Jafo hiz kaz zipo uhai ukiondoka haurud tena na usiombe kuondoa uhai wa mtu kwa maneno musikilize vzr kwanza kuna maisha baada ya barabara hiyo

  • @rasheedshaban2233
    @rasheedshaban22334 жыл бұрын

    Hakuna asie Fanya makosa tuangalieni utu kwanza dah inaumiza sana. Mambo mangapi hamiwatimizii wananchi lakini tupo kimya. Jueni kwamba sisi sote ni sawa mkubwa ni Allah tuu.

  • @thadeusbernard8656
    @thadeusbernard86563 жыл бұрын

    Rais mtarajiwa gonga like kam a unamwaminia

  • @nyavas41
    @nyavas414 жыл бұрын

    Maisha ya mtu nibora kuliko kitu chochote pamoja na huo uwaziri wako ulipaswa kuwa na ubinadamu mwenzako anaanguka haujuwi nini kimemsibu wewe kwa kibri chako unamwambiya nyanyuka? na hata haukujali kabisa ameanguka chini ya miguu yako wewe unaendeleya na porojo zako kama vile kanguka mdudu siyo binadamu mwenzako wacheni kujifanya waungu watu cheyo ulicho nacho ni zamana tuu leyo unacho kesho hauna kibri ni sifa ya mwenyezi mungu pekeyake siyo wewe.

  • @LucyWillson-xo1ly
    @LucyWillson-xo1ly4 ай бұрын

    Japo baba mungu akupe miaka mingi uishi sanaaa🥰🥰🥰

  • @suleimanhusseinmlinde4863
    @suleimanhusseinmlinde48633 жыл бұрын

    mashaallah nakupongeza sana waziri wetu piga kazi makufuli mdogo

  • @godfreygood4748
    @godfreygood47484 жыл бұрын

    😂😂😂ama kweli mzaramo anaweza akakusuta mpk ukafa 😂😂😂😂😂😂hyu kazimia

  • @dianarosemassawe4824
    @dianarosemassawe48244 жыл бұрын

    Kinacho wafanya wengi wanaumwa wanazimia wana jifungia ndani wana kosa amani mbele za watu hofu hakuna adui mkubwa kama hofu ni kuishiwa nguvu pole baba

  • @godwindishon7033
    @godwindishon70334 жыл бұрын

    Duh pole sana mkurugenz ayo n maisha tyu

  • @glumia920
    @glumia9204 жыл бұрын

    Its Insane.. Mtu anapata Heart Attack halafu unamwambia Asimame badala ya kuita Awaishwe Hospitalin..

  • @user-my9hc6uf9l

    @user-my9hc6uf9l

    4 жыл бұрын

    Amalize kazi ndipo apate ruhusa ya kukata roho!

  • @burtonsatshop2061

    @burtonsatshop2061

    4 жыл бұрын

    Apige kazi kwanza kodi zetu

  • @prisscakalasa4996

    @prisscakalasa4996

    4 жыл бұрын

    Yaan,utu umetoweka Tz

  • @sporamazua8942
    @sporamazua89424 жыл бұрын

    Duuh kwelii huu ndio uongoz sasa kazi iende speed safi sana wazur wataelewa

  • @jubethraphael9909
    @jubethraphael99094 жыл бұрын

    Waziri Jafo ni kiongozi bora namkubari Sana

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab80074 жыл бұрын

    Hahahahaha eti we bwana simama hapa kazi 2😂😂😂😂

  • @hamidayusuph249

    @hamidayusuph249

    4 жыл бұрын

    Jomon duuuh TZ SIHAMI😃😃😃😃😃😃😃Kuna Raha balaaaaa

  • @lonnie546
    @lonnie5464 жыл бұрын

    Duh Nina wakati wangu mguumu ila jamaaa kazidiwa pole sana

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy18123 жыл бұрын

    From 🇧🇮 Saudia 🤣 🤣 nimesheka san kama mazim🤣🤣🤣kazi Kaz

  • @malakigerald8586
    @malakigerald85864 жыл бұрын

    Jinga sana eti kazi nzuri,huko ni kijificha kwenye kichaka cha karanga. Ana mradi alioupata kwa mlango wa nyuma Songosongo unamtafuna.

  • @zenobiakapere585
    @zenobiakapere5854 жыл бұрын

    Haha kazi kweli kweli ! Hapa kazi tu hakuna ubabaishaji now days!!

  • @momalisandimbo1280

    @momalisandimbo1280

    4 жыл бұрын

    Duuu

  • @shabaazbikorwa2580
    @shabaazbikorwa25804 жыл бұрын

    Kama maigizo mana na presha imeshuka kweli hapa kazi tu mzee chali 😁😁😁😁😁😁

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud4 жыл бұрын

    Kama umemsikia mkurugenzi akiambiwa "Simama kwanza" gonga like😂😂

  • @geofreymhina1821

    @geofreymhina1821

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaaa simama kwanza ujibu maswali yako ndio ufe

  • @bintysaid7177

    @bintysaid7177

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaa

  • @user-my9hc6uf9l

    @user-my9hc6uf9l

    4 жыл бұрын

    Acha ugomvi!

  • @retstyuternchimbi6379

    @retstyuternchimbi6379

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni42584 жыл бұрын

    😂😂😂😂hii kali ya kufunga mwaka hahahah

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    4 жыл бұрын

    Kabisa January inanukia hiyoo😀😀😀

  • @mwitajohaness8816
    @mwitajohaness88164 жыл бұрын

    Dah kweli Mzee Wa watu hana hmu ikiwaza ana mkopo bank du anaona bora amwabgukie jafo

  • @joevang4685
    @joevang46854 жыл бұрын

    duuu pole sana sana , japo aliyoyasema jafo yupo sawa

  • @antonyedward7295

    @antonyedward7295

    4 жыл бұрын

    Umemwuonya vya kutosha mheshimiwa naamini atajifunza na umsamehe maana hata mungu huwa anamwuonya mtu aspobadirika ndo anachukua hatua ya kumwadhibu

  • @jonassume7514
    @jonassume75144 жыл бұрын

    Hahahaaaa jamani sijaona mtu kuua kwa sauti...hiyo ya mwisho "simama kwanza" sijaisikia vizuri hebu mniongezee vol.

  • @LucyWillson-xo1ly
    @LucyWillson-xo1ly4 ай бұрын

    Jafo mungu akupe miaka mingi uishi ukweli umeuongea 🥰🥰

  • @selemanimaneno9496
    @selemanimaneno94964 жыл бұрын

    Watu hawajala tangu asubuhi mheshimiwa unaingia mda wa lunch wanaahirisha kula wanasikiliza unavowagombeza basal metabolic rate inarud kwenye 0 wanazimia kwa kudata kweli hii hawamu usipojipanga utapangwa kama mkurugenzi alivopangwa

  • @rogersraymond2809
    @rogersraymond28094 жыл бұрын

    hahahahaha mchaga nomaa sanaa jamaa kazimaa uku mkono upo kwenye mfuko wa nyuma analinda wallet 🤣🤣😆😆🙌🏽🙌🏽🙌🏽Nani mwinginee kaona iyo?

  • @abasiwaiva7812
    @abasiwaiva78124 жыл бұрын

    Hahahahahha binadamu mwenzako2 wazimia cjajua cku hiyo mbele ya Allah itakuaje asee Jafo usiwe hivo asee

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma31674 жыл бұрын

    Mtauwa watu Sasa, mnajifanya Kama ndio mwatoa riziki zawatu, Mwenyezi Mungu ndiye aruzukuye

  • @babamildatmkdsm5234
    @babamildatmkdsm52344 жыл бұрын

    Imeniuma utasema ndugu yangu... Toka muda nilikuwa namuona moyo unamuenda mbio.. ana presha ya kushuka jamaa

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma27024 жыл бұрын

    Safi sana wazir Wangu walishazoea vya mteremko hahahaha awamu ya tano hapa kazi tu

  • @fidelndege1317
    @fidelndege13173 жыл бұрын

    Rafiki yangu S. Jafo umeona mambo ya mkurugenzi hayo! ni full pressure

  • @allymwanga5662
    @allymwanga56624 жыл бұрын

    Ukisikia mzaramo ndio huyu anakusema mpaka unazimia😂

  • @shabanimohammed986

    @shabanimohammed986

    4 жыл бұрын

    Ally Mwanga 😂😂😂

  • @liliansukhe3386

    @liliansukhe3386

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hanceibrah8700

    @hanceibrah8700

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @jarifbugumba9539

    @jarifbugumba9539

    4 жыл бұрын

    Nilikuwa nasikia tu,ila nimeshuhudia aisee

  • @wahidashabaz5982

    @wahidashabaz5982

    4 жыл бұрын

    😁😁

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi50764 жыл бұрын

    Achakujiangusha mnafanya kazi kwa kujuana mtu hufanya kazi atakavyo mtu cc tz tunajuana ukicheka utavuna mabua uko vizuri waziri

  • @yaqoubsalim99
    @yaqoubsalim994 жыл бұрын

    Oyaa WAZIRI Nazimia kidogo

  • @jacobmsiganga4121
    @jacobmsiganga41214 жыл бұрын

    Pole sana Mkurugenzi...

  • @jonasshija6542
    @jonasshija65424 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃😃daaah mkurugenzi comedy

  • @daudirajabu6798
    @daudirajabu67984 жыл бұрын

    Mbona wakati mnakula hela hamzimii mh jafo piga kazi nakukubali sana

  • @nataemsuya
    @nataemsuya4 жыл бұрын

    Hehee🤣......*Eeeee bwana eeeh simama bwana*wakat mwenzio kaanguka 🤣🤣🤣.. halafu comedians ni wengi Tz,huyu mkurugenzi jinsi alivojidondosha ni km aliangalia kulia na kushoto halafu anajilaza pembeni ya miguu ya Mh.Jaffo🤣🤣

  • @hamidayusuph249

    @hamidayusuph249

    4 жыл бұрын

    😃😃😃😃😃😃😃😃😃

  • @kidawanavutaisiakaliilison2178

    @kidawanavutaisiakaliilison2178

    4 жыл бұрын

    @@hamidayusuph249 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mcutanorsonvanwillson2991

    @mcutanorsonvanwillson2991

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaa. We jamaa umejua kunifurahisha

  • @farahanafarer7588

    @farahanafarer7588

    3 жыл бұрын

    Ameanguka itakuwa ni pressure mungu masimamie

  • @jawadena2294
    @jawadena22944 жыл бұрын

    Barabara mbovu sana ya kwenda maramba raisi

  • @user-my9hc6uf9l
    @user-my9hc6uf9l4 жыл бұрын

    Inafaa kabla ya viongozi kwenda kukagua miradi watangulizwe madaktari kuwafanyia wanaoenda kukaguliwa medical checkup siku nne kabla,bila hivyo wataanguka wengi. Jamaa haruhusiwi kufa mpaka akabidhi kazi ya Jamhuri.

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter38944 жыл бұрын

    Jafo bwana😆😆😆😆 eti WE BWANA SIMAMA😆😆😆😆 mtu kazima huyo boss!

  • @marthakambona4809

    @marthakambona4809

    4 жыл бұрын

    Kanichekesha kweri jafo

  • @hawasalum7218

    @hawasalum7218

    4 жыл бұрын

    umenichekesha

  • @poshney1204
    @poshney12044 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂jamani baba mkwe wangu amkaaaaaa uwiiii

  • @elicykatole6019

    @elicykatole6019

    4 жыл бұрын

    Umenivunja mbavu

  • @allyahmed4014
    @allyahmed40144 жыл бұрын

    Mkurugenzi kazimia lakini mkono upo kwenye mfuko wa nyuma anaogopa wazee wa kuchomoa betri wasije jiongeza 😂😂😂

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm4 жыл бұрын

    😥😥😥inatia huruma lakn kama vile baba yangu .....

  • @worldtechnology492
    @worldtechnology4924 жыл бұрын

    Tanzania tumeshaozea uzembe maengineer awana msimamo hawana passion ya kazi yaaan bora mueke wakorea au wachina tyuu wabongo wavivu mno

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu99714 жыл бұрын

    Asante kaka waziliiii...umenifurahisha hapo mzeeeeeee swafeeee

  • @bakarimohamedi5814
    @bakarimohamedi58144 жыл бұрын

    Mnaithamini sana Dodoma kwa miundombinu sawa ila njooni na huku chanika Dar es salaam mtusaidie barabara na sisi pia tunapata tabu

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon35804 жыл бұрын

    Mzaramo anaweza akamsuta mtu mpaka akazimia. Jafo amedhihirisha hilo. Engineer kazimia! Hahahahaha!

  • @mohamediyusuph4290
    @mohamediyusuph42903 жыл бұрын

    maisha haya bhana,huyu ni boss kabisa pole sana mzee vicent.

  • @separatebetres5315

    @separatebetres5315

    3 жыл бұрын

    Maisha tu ya mpito haya

  • @jaham4481
    @jaham44814 жыл бұрын

    😄😄😄 Tunazimia kidigitali kwa step

  • @alwattanchinga

    @alwattanchinga

    3 жыл бұрын

    Hahaaha

  • @rehemaramadhani1572

    @rehemaramadhani1572

    3 жыл бұрын

    🤣🤣

  • @happymsaki1720
    @happymsaki17204 жыл бұрын

    Jamani msicheke hali ni ngumu watu wana madeni uwiiii sipati picha ila mkurugenzi staafu waachie vijana kazi MOYO wako hauna uwezo wa speed hii ya 2020 walioona mkurugenzi kaishiwa NGUVU wanipe like

  • @rajabmsinzia7921
    @rajabmsinzia79214 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂duh noma yaani hii serikali ya mzee Magu ni balaa 😂😂😂nimecheka hadi nimehisiwa ni kichaa wallahi duh

  • @jacklinemoshi8487
    @jacklinemoshi84874 жыл бұрын

    Ee bwana ee simama kwanza,kama umesikia hiyo gonga like

  • @janimohamed2938
    @janimohamed29384 жыл бұрын

    Ukiwa na afya mbovu! usiombe kazi awamu hii...hapa kazi tu. Ha ha ha ha aaa..

  • @lucyzakaria4258

    @lucyzakaria4258

    4 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @pendosaloon8066

    @pendosaloon8066

    4 жыл бұрын

    Jani Mohamed haaaahaaaa atar

  • @bintysaid7177

    @bintysaid7177

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaa balaa

  • @user-my9hc6uf9l

    @user-my9hc6uf9l

    4 жыл бұрын

    Yalaaaa mbavu zangu!

  • @mussakiula7481

    @mussakiula7481

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @edrickniwamanya9968
    @edrickniwamanya99684 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂et mchaga na hela kazimia mkono upo kwa mfuko

  • @bintysaid7177

    @bintysaid7177

    4 жыл бұрын

    Hataki mfuko uguswe amezimia zimia au amezimia

  • @husseinhassan4241

    @husseinhassan4241

    4 жыл бұрын

    Edrick Niwamanya ahahaahaba imenifanya nicheeeke mchaga bhana

  • @zaharahabibu7929
    @zaharahabibu79294 жыл бұрын

    Ana presha duu anaeza afe afanye kazi tuu

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km3 ай бұрын

    😂😂😂 tunaongalia 2024 gonga like hapa👇👇

  • @nehaan5054
    @nehaan50543 жыл бұрын

    Hakunaa loves hpaaa uwongooo kurukaaaa😜😜😜😛😛😛👋🤣🤣

  • @hamismasoud8306
    @hamismasoud83064 жыл бұрын

    Pumabaavuu walizoea kupiga sana pesa za serikali lkn sasahivi ukipiga ujue unapiga roho yako 😂😂😂

  • @aminaomary908

    @aminaomary908

    4 жыл бұрын

    😂😂

  • @johnlaoz1416

    @johnlaoz1416

    4 жыл бұрын

    Mi naona siyo mpigaji mana hajasema upungufu wake uko wapi

  • @najmarushda4390
    @najmarushda43904 жыл бұрын

    Da huyu mzee kanichekesha duuu maana hiyo anguka yake tu miee hoi hahahaha duu hii awamu nomaa

  • @corneliashawa335
    @corneliashawa3354 жыл бұрын

    Mmmmh hapana hizi kazi siziwezi👐

  • @josephatkichanilo3802

    @josephatkichanilo3802

    4 жыл бұрын

    msichukuwe kz awamu hii kama amziwez mtaishia jela jaman hii awam hatar

  • @naimasaid7763
    @naimasaid77634 жыл бұрын

    Ni uzembe tu wa wafanya kazi, jafo upo vzr sana

  • @kasendelukadi2047
    @kasendelukadi20472 жыл бұрын

    Africa tuna shida kwa kweli

  • @kingjulius8264
    @kingjulius82644 жыл бұрын

    Jamaa alitakiwa kuwa honest yasingefika mbali ukweli ni mkombozi

  • @ayubumwakamisa1979
    @ayubumwakamisa19794 жыл бұрын

    Safi sana waziri endelea kuwanyosha

  • @mariamabdullah489
    @mariamabdullah4894 жыл бұрын

    Sisi Ndiyo Wazaramo Original Tunamsuta mtu mpaka anazima kedadadeki, mchaga kazimia mbele ya mzaramo

  • @kassimkassim6386

    @kassimkassim6386

    4 жыл бұрын

    Nimecheka kwa sautii

  • @kinjeketilengwale1141

    @kinjeketilengwale1141

    4 жыл бұрын

    Mariam Abdullah 😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂 mbavu zangu wazaramo noma😂😂😂😂😆😂

  • @kassimkassim6386

    @kassimkassim6386

    4 жыл бұрын

    Ni shida

  • @kabaiyukyasnider6797

    @kabaiyukyasnider6797

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bintiiddy7043

    @bintiiddy7043

    4 жыл бұрын

    Jaman mnatuonea wachaga hatujuwi kuongea😁😂😂

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki68984 жыл бұрын

    gongo zilimzidi huyo mpalekeni kitandani akalale.kazimiya wala kalala udongoni kuonyesha kwamba yamemshinda.

  • @njombehcboreshaafya6450
    @njombehcboreshaafya64504 жыл бұрын

    Mh eshimiwa unasema mwenzako asimame huku anatengeneza niagieni.?

  • @stanydizzy480
    @stanydizzy4804 жыл бұрын

    eeh bwana eeh simama bwana🤣 daaah kma mzry

  • @retstyuternchimbi6379

    @retstyuternchimbi6379

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @doreenmnyite2343
    @doreenmnyite23433 жыл бұрын

    Hakufanya vizuri😏😏😏😏

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope95284 жыл бұрын

    Hahahahahahha,,,,me cjuwi banah,,,

  • @clementgerald2988
    @clementgerald29884 жыл бұрын

    Daaah noma Sana hapa ndo kaz Tu kweli

  • @barromapenziking3967
    @barromapenziking39674 жыл бұрын

    Jaman Mungu kosa moja unaweza kusamehe wala hutupelek kibabe dah

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo40674 жыл бұрын

    Aahaaaaaaaaaa Mimi wa 500 Ku Like Aiseeee 😁😁😁😁😁😁😁

  • @kenray9321
    @kenray93214 жыл бұрын

    Mzee ana pressure na unamsomea kama mtoto mdogo, coz u have the power. U lack respect

  • @burtonsatshop2061

    @burtonsatshop2061

    4 жыл бұрын

    Kama anatumia pesa za kodi zetu vibaya??

  • @aminasalum1954
    @aminasalum19544 жыл бұрын

    Hahahahahaaaaaa hahahaha hahahahahaaaaaa manyoko asee kazimia km wale wamam wa moshi walivyozimia Kwenye vikoba hahahahahaaaaaa

  • @thelivingwordchannel9027
    @thelivingwordchannel90274 жыл бұрын

    Haaaaaaaaaai! Awamu ya tano itaua watu kwa pressure.Kama ile ya Mwanri na ishu ya madawa.

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    4 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    4 жыл бұрын

    January inanukia lazma watu wazimie tuu

  • @thelivingwordchannel9027

    @thelivingwordchannel9027

    4 жыл бұрын

    @@maryammaram2612 Kama wakati wa sokoine.

  • @maryammaram2612

    @maryammaram2612

    4 жыл бұрын

    @@thelivingwordchannel9027 😀😀😀

  • @thelivingwordchannel9027

    @thelivingwordchannel9027

    4 жыл бұрын

    @@maryammaram2612 walizoea business as usual awamu zlizopita na sasa wanaona kiama kimefika.

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku41054 жыл бұрын

    Nasikia wazaramo wanakusema mpaka unafariki nimeamini kwa hili

  • @khadeejaabdullah7083

    @khadeejaabdullah7083

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaa

  • @ernestmateo6967

    @ernestmateo6967

    4 жыл бұрын

    Hahahhahahah wazaramooo noma

  • @babaonyinye6889

    @babaonyinye6889

    4 жыл бұрын

    Hahaha nimecheka sana

  • @kinjeketilengwale1141

    @kinjeketilengwale1141

    4 жыл бұрын

    Ramadhan Masiku 😂😂😂😂😂

  • @dr.arthurnkalango3540

    @dr.arthurnkalango3540

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @BontamLee
    @BontamLee4 жыл бұрын

    Hatari kweli kweli,,mjomba KIKWETE,tunakufa huku wapiga dili.

  • @djohn5621
    @djohn56214 жыл бұрын

    Kari ya mwaka 2019. Mara ya kwanza kotokea. Awamu ya tano ni kiboko

  • @wcb4life377
    @wcb4life3774 жыл бұрын

    Pole pole jamani mtawaua

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar31724 жыл бұрын

    Pole ndugu yangu kama mama nimeumia uwenda sio wewe ni watendaji wako

  • @chusse_2287
    @chusse_22874 жыл бұрын

    Hahahaha....!!! Wachieni waliyo na speed njooni shamba mlime mna zalilika tu

  • @issaramadhani9714

    @issaramadhani9714

    4 жыл бұрын

    Shamba pia speed brother

  • @victorleopard1340
    @victorleopard13404 жыл бұрын

    Kasutwa hadi kazimia😀😀😀 Usicheze na wazaramu. Ila Masawe kwa kuzuga😀😀😀 Eti kazimia hapo

  • @bintysaid7177

    @bintysaid7177

    4 жыл бұрын

    Bila kasutwa bila maturumbeta yuazimia je akufuatwa na maturumbeta utakuaje hahaaa

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip89454 жыл бұрын

    Wewe AMKA bwana......😂🤣😂🤣😂

  • @yustajoakim4879

    @yustajoakim4879

    4 жыл бұрын

    Pastor Bonny Phillip

  • @bintysaid7177

    @bintysaid7177

    4 жыл бұрын

    Hahahaaa

  • @FatmaFatma-hu4cr

    @FatmaFatma-hu4cr

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @khadijagundumu6210

    @khadijagundumu6210

    4 жыл бұрын

    🔥🤣🤣🤣🔥🤣🤣🤣

  • @ajoforo
    @ajoforo4 жыл бұрын

    Msicheke, hapo kakopa benki halafu bado anakatwa kwa kuchelewesha, 80 mil tayari, na sio ajabu ali bid low ili apate hiyo kazi na hiyo hela aliyobid inamshinda kufanya kazi na anajua december hawezi kumaliza mwishoni atafungiwa asipate kazi kokote. Hapo officially ni sawa kawa bankrupt kwa nini asizimie. Ujenzi una hela lakini ukikosea inakusafisha... kuna kesi kama hizi.

  • @januaryyotham8652
    @januaryyotham86524 жыл бұрын

    Hongera waziri

  • @sostensanga1833
    @sostensanga18333 жыл бұрын

    Mkurugenzi mwenyewe inaonekana life ngumu sana

  • @barakaalmas3399
    @barakaalmas33994 жыл бұрын

    Bora ukalime kuliko kuomba kaz kwa utawala huu🙆🙆🙆🙆🙆

Келесі