MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
Katika hali isiyo ya kawaida Mkurugenzi wa Kampuni ya ujenzi wa barabara amejikuta akiishiwa nguvu na kupoteza fahamu akiwa saiti baada ya Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo, kufika na kukagua ujenzi wa barabara na kukuta madudu yaliyomfanya akasirike sana..
YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------
HABARI MPYA DAILY: kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:kzread.info?list...
Пікірлер: 610
Mungu akawape hekima viongozi wetu wa Tanzania namna yakuongoza sawasawa na Mfalme suleiman
Hawa ndo mawaziri siyo wakuchekacheka hapa kaz tuu big up mh,jafo.
Aliecheka kama Mimi agonge like baada ya jafo kusema eeebwanaee simama bwana afu mkurugenzi kaanguka kazuia mkono mfuko wenye hela hahahaaa jamani hiz presha !!!!!!!nimecheka sana
@forgenmahuve1741
3 жыл бұрын
A
@duncankamasi9668
3 жыл бұрын
Na akatulia tuli
@bakamuubakamuu1556
3 жыл бұрын
Nimecheka atariii😂😂😂😂😂😂
Magufuli amewafunza kazi 😂😂😂😂😂👏👏
Nawapongeza sana Viongozi wa Tanzania,,, Kwanza kwa kuwapa Watanzania contracts izi... Serikalii nyingi Africa wanagawa contacts hizi kwa Wachina na wageni... Namshukuru waziri uyu kwa kuwa tough.... Apa kazi tu ♥️
Watching fr Kenya Tanzania so funny 😅😅😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
😰😰😰😰hali hiyo kagombezwa na binaadamu mwenzake tu anazimia,sijui Siku tutasimama mbele ya mungu kuhukumiwa hali itakuwaje kwa madudu tunayoyafanya😱😱😱😱😱
@abdulkarimothmanabdalla1850
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@70SIXER7
4 жыл бұрын
ahaaaaaaa!
@fatimamamlo8041
4 жыл бұрын
Neema fatu usichezee mkono kuingia kinywan kufukuzwa paha ulipokawa unalisha watoto mtihan
@neemafatu7885
4 жыл бұрын
@@fatimamamlo8041 kilal jambo mtangulize alokuumba hasa unapokabiliwa na msukosuko kama huo.ukiwa na tawwaqul ktk moyo huwezi kupata pressure ktk maisha kwa kuwa si yeyote anaeruzuku bali ALLAH Pekee.tunatakiwa kutafuta sababu ya kuipatia hiyo rizqi,kisha unatawwaqal kwa Allah.atakupa tu biidhinih, tena huwenda zaidi ya hiyo.tuache kuziabudu kazi mwisho unakuwa dhalili kama hivyo.Allah atupe moyo wa kumtegemea yeye pekee!aamiin
@fatimamamlo8041
4 жыл бұрын
@@neemafatu7885 nalijua hilo lakin kumbuka kaur ya Allah alipotuambia jisaidie nami nitawasaidia sasa hapo lazima ajisaidie kwamfano akinyimwa kazi kwenye kampun yake umr huosaiz atasimamia mngwegan hijambo weye itabeba gunia lambatata kuliko huyo
Enyi viongozi wa awamu ya tano tafadhali sana mnapokwenda kukagua miradi au kutoa maagizo nendeni na gari ya ambulance.
@bintysaid7177
4 жыл бұрын
Hahahahaaa aki wewe
@thelivingwordchannel9027
4 жыл бұрын
@@bintysaid7177 hili wimbi la watu kuzimia limeshika kasi hii awamu.
@bintysaid7177
4 жыл бұрын
@@thelivingwordchannel9027 hahahaa mafuta hayo yamejazana kwenye viungo
@thelivingwordchannel9027
4 жыл бұрын
@@bintysaid7177 unajua hawa watu waliishi watakavyo awamu zilizopita sasa hii inawapa tabu.Imagine kama angekuwa magufuli si jamaa angezindukia mochwali.
@ukhtyalpha1344
4 жыл бұрын
Hawa Watawala wa viburi wana mwisho wao kwa huu uhuni wao mkumbuke kuna MMungu na nyie atawapindua hadharani mbele za watu hamna imani ni ustaarabu gani huo ujinga mloukuja nao hamumpendezseshi MMungu hivyo mnavyo wafanya waja wake viburi na ukali kwenda mbele ndio utawala wa kijunga na kishenzi kama nyie wenyewe
Tunaoangalia baada ya kifo Cha laic wetu tujuane
@ashuraumari1322
3 жыл бұрын
🖐️
@shamsahabibu837
3 жыл бұрын
@@ashuraumari1322 mungu ampunguzie azabu ya kabul
@yusufuheri6524
2 ай бұрын
Inauma asikwambie mtu
Aliye ona kiatu cha mkandalasi gong like twend sw.
@godfreynkondo1689
4 жыл бұрын
Ilo buti uku kwetu tunaliita ngwasuma
Kweli msingi mzuri huleta Nyumba nzuri.Mawaziri mnafanya kazi kulinda ajira zenu msije kutumbuliwa na mh Rais magufuli
Jafo hiz kaz zipo uhai ukiondoka haurud tena na usiombe kuondoa uhai wa mtu kwa maneno musikilize vzr kwanza kuna maisha baada ya barabara hiyo
Hakuna asie Fanya makosa tuangalieni utu kwanza dah inaumiza sana. Mambo mangapi hamiwatimizii wananchi lakini tupo kimya. Jueni kwamba sisi sote ni sawa mkubwa ni Allah tuu.
Rais mtarajiwa gonga like kam a unamwaminia
Maisha ya mtu nibora kuliko kitu chochote pamoja na huo uwaziri wako ulipaswa kuwa na ubinadamu mwenzako anaanguka haujuwi nini kimemsibu wewe kwa kibri chako unamwambiya nyanyuka? na hata haukujali kabisa ameanguka chini ya miguu yako wewe unaendeleya na porojo zako kama vile kanguka mdudu siyo binadamu mwenzako wacheni kujifanya waungu watu cheyo ulicho nacho ni zamana tuu leyo unacho kesho hauna kibri ni sifa ya mwenyezi mungu pekeyake siyo wewe.
Japo baba mungu akupe miaka mingi uishi sanaaa🥰🥰🥰
mashaallah nakupongeza sana waziri wetu piga kazi makufuli mdogo
😂😂😂ama kweli mzaramo anaweza akakusuta mpk ukafa 😂😂😂😂😂😂hyu kazimia
Kinacho wafanya wengi wanaumwa wanazimia wana jifungia ndani wana kosa amani mbele za watu hofu hakuna adui mkubwa kama hofu ni kuishiwa nguvu pole baba
Duh pole sana mkurugenz ayo n maisha tyu
Its Insane.. Mtu anapata Heart Attack halafu unamwambia Asimame badala ya kuita Awaishwe Hospitalin..
@user-my9hc6uf9l
4 жыл бұрын
Amalize kazi ndipo apate ruhusa ya kukata roho!
@burtonsatshop2061
4 жыл бұрын
Apige kazi kwanza kodi zetu
@prisscakalasa4996
4 жыл бұрын
Yaan,utu umetoweka Tz
Duuh kwelii huu ndio uongoz sasa kazi iende speed safi sana wazur wataelewa
Waziri Jafo ni kiongozi bora namkubari Sana
Hahahahaha eti we bwana simama hapa kazi 2😂😂😂😂
@hamidayusuph249
4 жыл бұрын
Jomon duuuh TZ SIHAMI😃😃😃😃😃😃😃Kuna Raha balaaaaa
Duh Nina wakati wangu mguumu ila jamaaa kazidiwa pole sana
From 🇧🇮 Saudia 🤣 🤣 nimesheka san kama mazim🤣🤣🤣kazi Kaz
Jinga sana eti kazi nzuri,huko ni kijificha kwenye kichaka cha karanga. Ana mradi alioupata kwa mlango wa nyuma Songosongo unamtafuna.
Haha kazi kweli kweli ! Hapa kazi tu hakuna ubabaishaji now days!!
@momalisandimbo1280
4 жыл бұрын
Duuu
Kama maigizo mana na presha imeshuka kweli hapa kazi tu mzee chali 😁😁😁😁😁😁
Kama umemsikia mkurugenzi akiambiwa "Simama kwanza" gonga like😂😂
@geofreymhina1821
4 жыл бұрын
Hahahaaaaa simama kwanza ujibu maswali yako ndio ufe
@bintysaid7177
4 жыл бұрын
Hahahaaaa
@user-my9hc6uf9l
4 жыл бұрын
Acha ugomvi!
@retstyuternchimbi6379
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂hii kali ya kufunga mwaka hahahah
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
Kabisa January inanukia hiyoo😀😀😀
Dah kweli Mzee Wa watu hana hmu ikiwaza ana mkopo bank du anaona bora amwabgukie jafo
duuu pole sana sana , japo aliyoyasema jafo yupo sawa
@antonyedward7295
4 жыл бұрын
Umemwuonya vya kutosha mheshimiwa naamini atajifunza na umsamehe maana hata mungu huwa anamwuonya mtu aspobadirika ndo anachukua hatua ya kumwadhibu
Hahahaaaa jamani sijaona mtu kuua kwa sauti...hiyo ya mwisho "simama kwanza" sijaisikia vizuri hebu mniongezee vol.
Jafo mungu akupe miaka mingi uishi ukweli umeuongea 🥰🥰
Watu hawajala tangu asubuhi mheshimiwa unaingia mda wa lunch wanaahirisha kula wanasikiliza unavowagombeza basal metabolic rate inarud kwenye 0 wanazimia kwa kudata kweli hii hawamu usipojipanga utapangwa kama mkurugenzi alivopangwa
hahahahaha mchaga nomaa sanaa jamaa kazimaa uku mkono upo kwenye mfuko wa nyuma analinda wallet 🤣🤣😆😆🙌🏽🙌🏽🙌🏽Nani mwinginee kaona iyo?
Hahahahahha binadamu mwenzako2 wazimia cjajua cku hiyo mbele ya Allah itakuaje asee Jafo usiwe hivo asee
Mtauwa watu Sasa, mnajifanya Kama ndio mwatoa riziki zawatu, Mwenyezi Mungu ndiye aruzukuye
Imeniuma utasema ndugu yangu... Toka muda nilikuwa namuona moyo unamuenda mbio.. ana presha ya kushuka jamaa
Safi sana wazir Wangu walishazoea vya mteremko hahahaha awamu ya tano hapa kazi tu
Rafiki yangu S. Jafo umeona mambo ya mkurugenzi hayo! ni full pressure
Ukisikia mzaramo ndio huyu anakusema mpaka unazimia😂
@shabanimohammed986
4 жыл бұрын
Ally Mwanga 😂😂😂
@liliansukhe3386
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@hanceibrah8700
4 жыл бұрын
😂😂😂
@jarifbugumba9539
4 жыл бұрын
Nilikuwa nasikia tu,ila nimeshuhudia aisee
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
😁😁
Achakujiangusha mnafanya kazi kwa kujuana mtu hufanya kazi atakavyo mtu cc tz tunajuana ukicheka utavuna mabua uko vizuri waziri
Oyaa WAZIRI Nazimia kidogo
Pole sana Mkurugenzi...
😃😃😃😃😃😃😃daaah mkurugenzi comedy
Mbona wakati mnakula hela hamzimii mh jafo piga kazi nakukubali sana
Hehee🤣......*Eeeee bwana eeeh simama bwana*wakat mwenzio kaanguka 🤣🤣🤣.. halafu comedians ni wengi Tz,huyu mkurugenzi jinsi alivojidondosha ni km aliangalia kulia na kushoto halafu anajilaza pembeni ya miguu ya Mh.Jaffo🤣🤣
@hamidayusuph249
4 жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃😃
@kidawanavutaisiakaliilison2178
4 жыл бұрын
@@hamidayusuph249 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mcutanorsonvanwillson2991
4 жыл бұрын
Hahahaaaa. We jamaa umejua kunifurahisha
@farahanafarer7588
3 жыл бұрын
Ameanguka itakuwa ni pressure mungu masimamie
Barabara mbovu sana ya kwenda maramba raisi
Inafaa kabla ya viongozi kwenda kukagua miradi watangulizwe madaktari kuwafanyia wanaoenda kukaguliwa medical checkup siku nne kabla,bila hivyo wataanguka wengi. Jamaa haruhusiwi kufa mpaka akabidhi kazi ya Jamhuri.
Jafo bwana😆😆😆😆 eti WE BWANA SIMAMA😆😆😆😆 mtu kazima huyo boss!
@marthakambona4809
4 жыл бұрын
Kanichekesha kweri jafo
@hawasalum7218
4 жыл бұрын
umenichekesha
😂😂😂😂😂jamani baba mkwe wangu amkaaaaaa uwiiii
@elicykatole6019
4 жыл бұрын
Umenivunja mbavu
Mkurugenzi kazimia lakini mkono upo kwenye mfuko wa nyuma anaogopa wazee wa kuchomoa betri wasije jiongeza 😂😂😂
😥😥😥inatia huruma lakn kama vile baba yangu .....
Tanzania tumeshaozea uzembe maengineer awana msimamo hawana passion ya kazi yaaan bora mueke wakorea au wachina tyuu wabongo wavivu mno
Asante kaka waziliiii...umenifurahisha hapo mzeeeeeee swafeeee
Mnaithamini sana Dodoma kwa miundombinu sawa ila njooni na huku chanika Dar es salaam mtusaidie barabara na sisi pia tunapata tabu
Mzaramo anaweza akamsuta mtu mpaka akazimia. Jafo amedhihirisha hilo. Engineer kazimia! Hahahahaha!
maisha haya bhana,huyu ni boss kabisa pole sana mzee vicent.
@separatebetres5315
3 жыл бұрын
Maisha tu ya mpito haya
😄😄😄 Tunazimia kidigitali kwa step
@alwattanchinga
3 жыл бұрын
Hahaaha
@rehemaramadhani1572
3 жыл бұрын
🤣🤣
Jamani msicheke hali ni ngumu watu wana madeni uwiiii sipati picha ila mkurugenzi staafu waachie vijana kazi MOYO wako hauna uwezo wa speed hii ya 2020 walioona mkurugenzi kaishiwa NGUVU wanipe like
😂😂😂😂😂😂duh noma yaani hii serikali ya mzee Magu ni balaa 😂😂😂nimecheka hadi nimehisiwa ni kichaa wallahi duh
Ee bwana ee simama kwanza,kama umesikia hiyo gonga like
Ukiwa na afya mbovu! usiombe kazi awamu hii...hapa kazi tu. Ha ha ha ha aaa..
@lucyzakaria4258
4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@pendosaloon8066
4 жыл бұрын
Jani Mohamed haaaahaaaa atar
@bintysaid7177
4 жыл бұрын
Hahahaaaa balaa
@user-my9hc6uf9l
4 жыл бұрын
Yalaaaa mbavu zangu!
@mussakiula7481
4 жыл бұрын
😂😂😂
😂😂😂😂😂et mchaga na hela kazimia mkono upo kwa mfuko
@bintysaid7177
4 жыл бұрын
Hataki mfuko uguswe amezimia zimia au amezimia
@husseinhassan4241
4 жыл бұрын
Edrick Niwamanya ahahaahaba imenifanya nicheeeke mchaga bhana
Ana presha duu anaeza afe afanye kazi tuu
😂😂😂 tunaongalia 2024 gonga like hapa👇👇
Hakunaa loves hpaaa uwongooo kurukaaaa😜😜😜😛😛😛👋🤣🤣
Pumabaavuu walizoea kupiga sana pesa za serikali lkn sasahivi ukipiga ujue unapiga roho yako 😂😂😂
@aminaomary908
4 жыл бұрын
😂😂
@johnlaoz1416
4 жыл бұрын
Mi naona siyo mpigaji mana hajasema upungufu wake uko wapi
Da huyu mzee kanichekesha duuu maana hiyo anguka yake tu miee hoi hahahaha duu hii awamu nomaa
Mmmmh hapana hizi kazi siziwezi👐
@josephatkichanilo3802
4 жыл бұрын
msichukuwe kz awamu hii kama amziwez mtaishia jela jaman hii awam hatar
Ni uzembe tu wa wafanya kazi, jafo upo vzr sana
Africa tuna shida kwa kweli
Jamaa alitakiwa kuwa honest yasingefika mbali ukweli ni mkombozi
Safi sana waziri endelea kuwanyosha
Sisi Ndiyo Wazaramo Original Tunamsuta mtu mpaka anazima kedadadeki, mchaga kazimia mbele ya mzaramo
@kassimkassim6386
4 жыл бұрын
Nimecheka kwa sautii
@kinjeketilengwale1141
4 жыл бұрын
Mariam Abdullah 😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂 mbavu zangu wazaramo noma😂😂😂😂😆😂
@kassimkassim6386
4 жыл бұрын
Ni shida
@kabaiyukyasnider6797
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bintiiddy7043
4 жыл бұрын
Jaman mnatuonea wachaga hatujuwi kuongea😁😂😂
gongo zilimzidi huyo mpalekeni kitandani akalale.kazimiya wala kalala udongoni kuonyesha kwamba yamemshinda.
Mh eshimiwa unasema mwenzako asimame huku anatengeneza niagieni.?
eeh bwana eeh simama bwana🤣 daaah kma mzry
@retstyuternchimbi6379
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Hakufanya vizuri😏😏😏😏
Hahahahahahha,,,,me cjuwi banah,,,
Daaah noma Sana hapa ndo kaz Tu kweli
Jaman Mungu kosa moja unaweza kusamehe wala hutupelek kibabe dah
Aahaaaaaaaaaa Mimi wa 500 Ku Like Aiseeee 😁😁😁😁😁😁😁
Mzee ana pressure na unamsomea kama mtoto mdogo, coz u have the power. U lack respect
@burtonsatshop2061
4 жыл бұрын
Kama anatumia pesa za kodi zetu vibaya??
Hahahahahaaaaaa hahahaha hahahahahaaaaaa manyoko asee kazimia km wale wamam wa moshi walivyozimia Kwenye vikoba hahahahahaaaaaa
Haaaaaaaaaai! Awamu ya tano itaua watu kwa pressure.Kama ile ya Mwanri na ishu ya madawa.
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
😀😀😀
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
January inanukia lazma watu wazimie tuu
@thelivingwordchannel9027
4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 Kama wakati wa sokoine.
@maryammaram2612
4 жыл бұрын
@@thelivingwordchannel9027 😀😀😀
@thelivingwordchannel9027
4 жыл бұрын
@@maryammaram2612 walizoea business as usual awamu zlizopita na sasa wanaona kiama kimefika.
Nasikia wazaramo wanakusema mpaka unafariki nimeamini kwa hili
@khadeejaabdullah7083
4 жыл бұрын
Hahahaaaa
@ernestmateo6967
4 жыл бұрын
Hahahhahahah wazaramooo noma
@babaonyinye6889
4 жыл бұрын
Hahaha nimecheka sana
@kinjeketilengwale1141
4 жыл бұрын
Ramadhan Masiku 😂😂😂😂😂
@dr.arthurnkalango3540
4 жыл бұрын
😂😂😂
Hatari kweli kweli,,mjomba KIKWETE,tunakufa huku wapiga dili.
Kari ya mwaka 2019. Mara ya kwanza kotokea. Awamu ya tano ni kiboko
Pole pole jamani mtawaua
Pole ndugu yangu kama mama nimeumia uwenda sio wewe ni watendaji wako
Hahahaha....!!! Wachieni waliyo na speed njooni shamba mlime mna zalilika tu
@issaramadhani9714
4 жыл бұрын
Shamba pia speed brother
Kasutwa hadi kazimia😀😀😀 Usicheze na wazaramu. Ila Masawe kwa kuzuga😀😀😀 Eti kazimia hapo
@bintysaid7177
4 жыл бұрын
Bila kasutwa bila maturumbeta yuazimia je akufuatwa na maturumbeta utakuaje hahaaa
Wewe AMKA bwana......😂🤣😂🤣😂
@yustajoakim4879
4 жыл бұрын
Pastor Bonny Phillip
@bintysaid7177
4 жыл бұрын
Hahahaaa
@FatmaFatma-hu4cr
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@khadijagundumu6210
4 жыл бұрын
🔥🤣🤣🤣🔥🤣🤣🤣
Msicheke, hapo kakopa benki halafu bado anakatwa kwa kuchelewesha, 80 mil tayari, na sio ajabu ali bid low ili apate hiyo kazi na hiyo hela aliyobid inamshinda kufanya kazi na anajua december hawezi kumaliza mwishoni atafungiwa asipate kazi kokote. Hapo officially ni sawa kawa bankrupt kwa nini asizimie. Ujenzi una hela lakini ukikosea inakusafisha... kuna kesi kama hizi.
Hongera waziri
Mkurugenzi mwenyewe inaonekana life ngumu sana
Bora ukalime kuliko kuomba kaz kwa utawala huu🙆🙆🙆🙆🙆