VIDEO: WAZIRI AWESO APIGIA GOTI WANANCHI KUWAOMBA MSAMAHA KWA KUKOSA MAJI MKOANI KIGOMA

Пікірлер: 9

  • @leobalige7069
    @leobalige70697 ай бұрын

    Huwezi kukamilisha miradi ya maji kwa pesa za wafadhili.

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j10 ай бұрын

    Waziri na huku Mbezi makabe .maji hayatoki wiki mbili mpaka mwezi Na ni hujuma ya hawa wanaouza maji kwa magazine wanahonga pesa kwa wausika awafungui maji ili wauze maji. Hasa hili bomba linalool husika na office za makongo Fuatiliatunaumia sana natuna uziwa maji ghali na magari

  • @leobalige7069
    @leobalige70697 ай бұрын

    Ni utani?

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 Жыл бұрын

    maigizo ya kishenz sana ya ccm.

  • @maase2023
    @maase2023 Жыл бұрын

    Huyu nae anataka sifa tu ss kupiga magoti ndio nn maana yake? Mmmhhh

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 Жыл бұрын

    Mawaziri machizi machizi sjui wataisha lini

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd Жыл бұрын

    Maigizo mengi nchi hii

  • @user-sl8bu3we1m
    @user-sl8bu3we1m Жыл бұрын

    Waziri wewe mpumbavu , unawafanya wanainchi hao hawatambui huo ujinga ?

  • @augenmagabila3081

    @augenmagabila3081

    11 ай бұрын

    Hana lolotee huyu aende akahudumie wake zake tu hilo analiweza

Келесі