VIDEO: WAZIRI AWESO APIGIA GOTI WANANCHI KUWAOMBA MSAMAHA KWA KUKOSA MAJI MKOANI KIGOMA
Жүктеу.....
Пікірлер: 9
@leobalige70697 ай бұрын
Huwezi kukamilisha miradi ya maji kwa pesa za wafadhili.
@user-oy2gp3nq4j10 ай бұрын
Waziri na huku Mbezi makabe .maji hayatoki wiki mbili mpaka mwezi Na ni hujuma ya hawa wanaouza maji kwa magazine wanahonga pesa kwa wausika awafungui maji ili wauze maji. Hasa hili bomba linalool husika na office za makongo Fuatiliatunaumia sana natuna uziwa maji ghali na magari
@leobalige70697 ай бұрын
Ni utani?
@emmapaul1766 Жыл бұрын
maigizo ya kishenz sana ya ccm.
@maase2023 Жыл бұрын
Huyu nae anataka sifa tu ss kupiga magoti ndio nn maana yake? Mmmhhh
Пікірлер: 9
Huwezi kukamilisha miradi ya maji kwa pesa za wafadhili.
Waziri na huku Mbezi makabe .maji hayatoki wiki mbili mpaka mwezi Na ni hujuma ya hawa wanaouza maji kwa magazine wanahonga pesa kwa wausika awafungui maji ili wauze maji. Hasa hili bomba linalool husika na office za makongo Fuatiliatunaumia sana natuna uziwa maji ghali na magari
Ni utani?
maigizo ya kishenz sana ya ccm.
Huyu nae anataka sifa tu ss kupiga magoti ndio nn maana yake? Mmmhhh
Mawaziri machizi machizi sjui wataisha lini
Maigizo mengi nchi hii
Waziri wewe mpumbavu , unawafanya wanainchi hao hawatambui huo ujinga ?
@augenmagabila3081
11 ай бұрын
Hana lolotee huyu aende akahudumie wake zake tu hilo analiweza