Part1_USHUHUDA WA MICHAEL SAMBO|Jinsi alivyouacha mwili akafa na kwenda kushuhudia mbingu na kuzimu

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 33

  • @owikesibonike
    @owikesibonike10 ай бұрын

    Amen! MUNGU Naomba Mwisho wetu Uwe Mzuri.

  • @user-dk8uu3be5h
    @user-dk8uu3be5h21 күн бұрын

    Yesu niongezee nguvu na uniongoze nisije nikateleza nikaanguka nguo yangu isije ikachafuka.

  • @tamarali8325
    @tamarali832510 ай бұрын

    Mungu ni Mwema sana na ni Mwaminifu sana. Barikiwa kaka Jacktan.

  • @asminetaba253
    @asminetaba25310 ай бұрын

    Amen, asante sana jacktan kwa huu ushuhuda mungu akubariki tunabarikiwa kupitia promover tv.

  • @SoniaPelvini
    @SoniaPelvini3 ай бұрын

    Mungu awabariki sanaa kwa kazi njema

  • @salomekemunto1373
    @salomekemunto137310 ай бұрын

    AMINA AMINA ndugu Jacktan, kwa kweli nilikuwa nangoja Sana ushuhuda huu na kwa Hakika Mungu amekuwezesha. Sifa na Utukufu zimuridie Bwana wetu Yesu Kristo Hallelujah AMINA AMINA.

  • @catherinemuoka1322

    @catherinemuoka1322

    10 ай бұрын

    Amen and amen

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael550910 ай бұрын

    Barikiweni sana watumishi wa Mungu promover tv kwa kujitolea kazi ya Bwana kuelewesha wengi

  • @dantez8775
    @dantez87753 ай бұрын

    Bw jactan unasoma vizuri sana...nikama wewe ndiwe mwenye ushuhuda huo...

  • @DenisCasey-kh8ub
    @DenisCasey-kh8ub5 ай бұрын

    Amen 🙏

  • @user-qq9pv1ey7y
    @user-qq9pv1ey7y10 ай бұрын

    Promover nyie ni watu wa maana sana

  • @dieudonnebana2422
    @dieudonnebana242210 ай бұрын

    Asante sana Brother, Mungu awabariki sana kwa kuhendelea na shuuda za kweli kabisa.

  • @user-uq4wg1hm3t
    @user-uq4wg1hm3t10 ай бұрын

    Amina promover tv Mungu awatunze members of promover tv amen

  • @maryamnjagila3896
    @maryamnjagila389610 ай бұрын

    Am sorry if I heard wrong, it is John 10:30 and not 10:3 I and My Father are one

  • @mtumishiwamungumwl.emmanue6014
    @mtumishiwamungumwl.emmanue601410 ай бұрын

    Tunajengwa mno na shuhuda hizi Mtumishi wa Mungu Jacktan.

  • @dadafrida9202
    @dadafrida920210 ай бұрын

    Amina

  • @mawazomarceline899
    @mawazomarceline89910 ай бұрын

    Amen

  • @user-vc1hx7mw7c
    @user-vc1hx7mw7c10 ай бұрын

    Napenda promovasana siezikalala bilakusikiliza ushuuda

  • @endtimes9850
    @endtimes985010 ай бұрын

    Amen Amen, GREAT

  • @akothchristine4752
    @akothchristine475210 ай бұрын

    Amen 🙏🙏

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku871810 ай бұрын

    Asante sana jacktan Kw huu shuhuda kwani za tu fungua sana

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim553910 ай бұрын

    Nimebarikiwa Sana amen

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi749410 ай бұрын

    Ameeeeeen

  • @user-tu4qp8np2o
    @user-tu4qp8np2o10 ай бұрын

    Amen mtumishi

  • @fransiccosmas
    @fransiccosmas10 ай бұрын

    Barikiwa

  • @user-po1vi4du6h
    @user-po1vi4du6h10 ай бұрын

    Balikiwa Sana kaka tunabalikiwa Sana na shuhuda hizi

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace737610 ай бұрын

    HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUAAAAAA ASANTE SAAANAAA YESU CHRISTO 🎵🎵🎵🎵🎶🎶🎶🎶🎶📢📢📢📢📢📢📢👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @josykogei7647
    @josykogei764710 ай бұрын

    Uku nilikuwa nakesha nikingojea huu ushuda

  • @user-vc1hx7mw7c
    @user-vc1hx7mw7c10 ай бұрын

    Amim

  • @esthershirima5309

    @esthershirima5309

    10 ай бұрын

    Jaman si kila mtu anaweza kuzipokea shuhuda hizi, ni wale. Waliochaguliwa kwa neema ,Hata Bwana Yesu mwenyeww wengi walimpinga, tena viongoz wa dini ndio waliopanga kumuua ,asante Mungu wa mbinguni kwa shuhusa hizi kwan kama sio maàrifa kuongezeka tungeozwa na mitizamo wa wanadamu, mwishowe wengi tungepiga mbio bure

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani10 ай бұрын

    Tumekuwa na akili ya kupokea ushuhuda na mafunuo Bila kupata ufunuo wa NENO je! Ni nabii gani aliyeonywa na roho kuwa wataenda kuzimu na mbinguni? Yeremia 23:24-29.

  • @kennethogonda2947

    @kennethogonda2947

    9 ай бұрын

    Tunajua kutofautisha kati ya shuhuda za uwongo na za ukweli. Huyu hadanganyi.

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha770710 ай бұрын

    Amen

Келесі