MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: MUNGU HATANYAMAZA KIMYA ANAPOONA SADAKA YAKO ILIYOBEBA FAMILIA YENU.
MUNGU ANASEMA NASI KATIKA NYAKATI HIZI ZA MWISHO KUWA KADIRI UPENDO UNAVYOZIDI KUPOA MAASI YANAONGEZEKA. MAOMBI HAYA NI MATOKEO YA SEMINA YA SIKU YA 4 ILIYOFANYIKA DODOMA 2023.
Пікірлер: 46
Ila UPENDO TV mnadhambi! kwanini hamuweki haya mafundisho angalau j'mos au j'pili usiku hata lisaa limoja tu; mbona usiku mnapiga kwaya mpaka za wanaume walio suka? Na wanawake wavaa suruali?
na ujulikane kama upo MUNGU wa Eliya,nabarikiwa sana kwa maombi yako MUNGU akutunze mtumishi
Asante Mungu kwa kunipa nafasi hii ya kumsikiliza tena mtumishi wako, naijulikane kama upo Mungu wa Eliya
Hakika Mungu Baba naijulikane leo Wewe ndiwe Mungu kwenye maisha yangu na uko na mimi daima na mimi ni mtoto wako na mtu wako nawe ni Mungu wangu na Baba yangu. Amina.
Nabarikiwa sana na neno lako mwalimu ubarikiwe zaidi na zaidi
namshukuru Mungu kwa kukuleta duniani kuja kutufundisha. na pia ninamshukuru Mungu kwa kunijalia kuwa na mda wa kusikiliza neno lake.
Man of GOD
Utukifu ni kwa MUNGU
Amen
Mungu atukuzwe sana !
Amen Amen Amen
Amen 🙏🙏🙌🙌
Amen 🙏🙏
Hakika mungu ni mwema na anatenda kwa wakati ulio sahihi
Amina
Utukufu kwa MUNGU
Ubarkiwe
Ubarikiwe mutumishi
Mungu tujalie tukutane name uso kwa uso.
Ameen
AMEEEN AMEEEN
Aminaaa
❤
Ameni
Amani amn
Nimebarikiwa
Nahijulikane uko Mungu ninakutumikia najiungamanisha na madhabao haya.
😭😭😭🙏.
1:36
Asate YESU simutuwekee empesa ya Kenya
@geofreykangaho1149
Жыл бұрын
Unawezekana kutuma kwa hizo namba chagua kutuma pesa kimataifa
@fabiolajaphet6690
Жыл бұрын
Hakika
Ninatamani sana kukutana na huyu mtumishi wa Mungu jamani.Mungu naomba kibali miee
@emmanuelmpopo5181
Жыл бұрын
Mwambie Mungu omba kibali nae atakukutanisha kw Imani itakuwa hakuna knachoshndikana
@dynesssanga1948
Жыл бұрын
Kwa Mungu yote yanawezekana
@shukurusyriack3504
Жыл бұрын
@@emmanuelmpopo5181 amina, ninaimani ipo siku tuu Mungu atanipa kibari.
@annemyombo8089
Жыл бұрын
Amini tu,umbali sio kizuizi. Barikiwa na mafundisho hayo mpendwa,hata usipokutana nae,naamini mafundisho haya yanakukutanisha na Mungu. Barikiwa sana
Amen
Ameni
Amina
@susangetrude6255
Жыл бұрын
True man of God
@ESTHERMWASENGA-hl5uu
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@agnesswilliam3908
Жыл бұрын
Amina! Bwana niokoe na uzao wangu maana nimepiga kelele mbele zako
Amen🙏
Amen
Amen