MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE, SEMINA YA NENO LA MUNGU ARUSHA
MAMBO YA KUTOKUSAHAU UNAPOINGIA MSIMU MPYA WA MAISHA. DAY 1B, JANUARY 2020
Жүктеу.....
Пікірлер: 233
@emmanuelshuza7582 жыл бұрын
Ushuhuda wangu mwalimu wangu. Namshukuru Mungu ni miaka imepita nikiwa katika maombi yangu binafsi kwaajili ya muujiza, katika kuugua kwangu moyoni mwangu ndipo nikasikia unao mkutano pale jangwani,na nilisikia ndani yangu kuwaambia ndugu zangu kuwa leo mwalimu wangu Roho wa Bwana atamtumia kunisimamisha ili aniombee muujiza niliomuomba Mungu,nami nilipofika nilikaa upande wa waimbaji pastor safari na karibu na John lissu ndipo Neno la Bwana likakufikia ndani yako kusema nanukuu""kuna mtu ameomba maombi ya siku kadhaa,na kwako utakayesikia unaweza kucheka lakini kwake ni kitu muhimu sana,mtu huyu amemwambia Mungu anahitaji kuota NDEVU watu walicheka na ukaendelea kusema amekaa upande huu wa waimbaji hapa nilimtukuza Mungu kwakuwa nilifunga na Mungu alisikia kuomba kwangu ubarikiwe ndevu ni nyingi kwa sasa namtumikia Mungu kwa kuineza habari njema""
@ritanjoki74612 жыл бұрын
Amen barikiwa sana mwalimu mwakasege na nyumba yako
@hebronmalatila61864 жыл бұрын
Mwa/ Mwakasege ! Mimi HEBRON MWANJALI MALATILA , Umri 68 yrs ! Uokovu tangu 1992 , Lakini bado nashindwa kutenda mapenzi yake YESU. Ila Mungu anaachilia Ahadi zake ktk familia yangu. Shida tangu! Naomba nijue kusudi lake Mungu juu yangu! Kabla ya muda wangu wa kurudi Kwake. Natamani na mimi nìmtendee ijapo tendo moja dogo jema kwa uweza na utukufu wake nikiwa bado duniani. Chris Mwakasege ! Nisaidie kunisogeza mbele ya Yesu Mungu wetu wewe na mimi.
@olipaminga7926
3 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa jinsi anavyokutumia mtumishi kutufundisha kumjua Mungu akulinde uendelee kutusogeza zaid na USO wa bwana.
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you ...
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Amen
@adelaidasote78823 жыл бұрын
Nipo bukoba nimevutiwa sana na semina zako Mtumishi was Mungu,Mungu akubariki sana ,ninaomba kuuliza kwann makanisa mengine hayasemi upendo wa Mungu wanasema sheria za kanisa inakua vigume wanna wa Mungu kusimama maana hawaelewi ubarikiwe sana unatangaza upendo wa Mungu katika maisha yetu
@emmanuelsiriatv74613 жыл бұрын
Nasi tumefahamu PENDO alilonalo MUNGU kwetu sisi na kuliamini, MUNGU ni pendo.Barikiwe sana mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu
@costamwasala47364 жыл бұрын
Niko Mbogwe Geita naendelea kufuatilia semina hii kupitia KZread. Mungu akutie nguvu mwalimu Christopher Mwakasege.
@onesmokway29903 жыл бұрын
Mungu wangu akubariki sana mwalim mwakasenge, nakuelewa Sana mafundisho yako toka utoto wangu nakufwatilia Sana nilikuja nyumbani kwako mwaka 2016 nikamsalimia mama yako mzazi alinipokea kijana niliemkuta nyumbani nazani ilikuwa likizo ya shule sikumbuki ninani lakini nazani sio marehem Joshua , wakati huo sikuwa namjua Joshua nilikuja kumjua alipofariki ,namama yako mzazi niliumia Sana alipofariki mwaka uliofwata baada yakuigia pale ndani tukasalimiana badae nikarudy mbea mjini , Mimi natoka Kilimanjaro mbea nilifwata maisha tu
@apostledavidisimon81794 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa neno la Mungu. Umepanda mbegu. Yesu ataikuza.
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
@pendokitomary36983 жыл бұрын
Nimebarikiwa na hya maombi sitabaki nilivyo YESU akubariki sana baba
@happytimpiyian13474 жыл бұрын
Mungu ni mwema na kila amwaminie ameokoka asant yesu kwa ulizi wako kwangu na nguvu umelinda family yangu 🙏🙏🙏 barikiwa sana mwalimu
@cmyg37632 жыл бұрын
Nabarikiwa na kufunguliwa katika mafundisho haya, Mungu akubariki mtumishi
@jumaelizabeth55324 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mchungaji.Mimi naitwa Elizabeth kutoka Kenya. Ila nafanya kazi nchini Saudi Arabia. Nimekua nikifuatilia mahubir yako kwa mda was mwezi sasa.nilikua nasumbuliwa n allergy kwa mda wa miaka 8.tangu nianze kuskiza mahubir yako naendelea vizur sana japo bado inanisumbua lakini sio kama zaman.mungu akubariki. naomba number ya kutuma japo sadaka kuoitia m pesa tafadhali.blessed again and again.🙏
@piussantos8350
4 жыл бұрын
Ubarikiwe mungu nakupenda dadangu me pia ni niko Kenya mungu ni mwema kila itwapo leo
@saitotitarakwa7267
4 жыл бұрын
255754211633 Diana Mwakasege. Jina La mke wake
@andrewkibwata974
4 жыл бұрын
Mungu yupo nawe. Amini kwa jina la YESU KRISTO UNAPONA
@jumaelizabeth5532
4 жыл бұрын
@@saitotitarakwa7267 sawa
@jacklinemwita4173
4 жыл бұрын
Mwamiji Mungu umepona
@hebronmalatila61864 жыл бұрын
Mungu ! Amenifunulia kwamba: yupo palipo na Yesu , Roho wake na mtu aliyezaliwa × 2 ktk roho na moto. Ndo Mungu ameagiza tusiache kukusanyika , maana Mungu anapendezwa zaidi palipo 2 au 3. Fellowship yake Mungu ipo palipo Yesu na Roho mtakatifu au palipo Yesu , Roho na mtu aliyeokoka.
@hebronmalatila61864 жыл бұрын
Upendo wa Mungu kwa mtu ni kubwa ! Kuliko Uzinzi au Uaji wako. Mungu ana wapenda hao zaidi yawaliyookoka. Huyu ndiyo Mungu aliye na mimi kabla sijakuwa ktk tumbo la mama yangu.
@celinameshackcelina46164 жыл бұрын
Napenda sana mahubiri yako mungu akubalik baba
@SistaSelemaniАй бұрын
Baba Asante maneno mazuri naomba NAMI maombi
@asnathlaizer60843 жыл бұрын
Amen Hakika Yesu Ananipnd nimetiwa nguvu sana na kuzidi kuona kusonga mbele Be blessed
@glorylameck44823 жыл бұрын
MUNGU ANANIPENDA... HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA MUNGU 🙏
@catherinekangero56772 жыл бұрын
Asante Roho Mtakatifu..❤️ ubarikiwe baba Mungu wa mbinguni akuwe kwa ajili yetu
@robertgodfrey90844 жыл бұрын
mwalimu somo hili nimelipitia leo tarehe 14/08/2020. yani mimi nimerudi duniani, siombi ,sisomi bible,,,,na nmejaribu kuomba lakini sipati amani kabsa ,na ninampenda yesu sitaki dunia iniangamize kabisa.
@robertgodfrey9084
4 жыл бұрын
nimerudi kwa MUNGU nina amani
@amanitv4468
4 жыл бұрын
Ubarikiw San maamuz mazur
@floridawenceslaus4982 жыл бұрын
Mwalimu na Diana Mwakasege Mungu awabariki mnoo mnoo
@tusekelegejohn57194 жыл бұрын
Liinuliwe na kutukuzwa Mungu uliyehai ktk kriso Yesu amina.
@kelvingoodluck83794 жыл бұрын
Mbarikiwe sana sana,MUNGU na awaongezee mafunuo kwa Roho wake
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
@kondamurhabazi5832 Жыл бұрын
Tunabarikiwa sana na neno la Mungu, neno la uzima kutoka kwa baba Mwalimu. Wewe ni baraka kwa dunia muzima.
@judygathoni58614 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah I love this be blessed sana am in Qatar
@nenolabwana38
4 жыл бұрын
Amen Amen more greetings to you all in Qatar
@salomembugi13123 жыл бұрын
Asante Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wako huyu ,zidi kumtunza Mungu wangu azidi kutufundisha juu ya upendo wako Baba
@sedekiabilijite55163 жыл бұрын
Amen Mwalimu napenda sana masomo yako sana , Mungu anisaidie nikue kiroho ndio hamu yangu na shauku yangu
@sekelabenard Жыл бұрын
Mungu akulinde mtumishi mwalimu baba yetu
@clintonnjiku36163 жыл бұрын
Ombi langu naomba mungu ambadilishe mumeewangu antoe kàtika kund baya
@denismwambilinge4531
3 жыл бұрын
MUNGU akusaidie katika JINA LA YESU
@pilimsangi8143 ай бұрын
Ameen🙏 upendo wa Mungu ni waajabu sana
@tusubilegemtafya55323 жыл бұрын
Kiukweli nikisikiliza mafundisho yako Mungu huwa ananivusha sehemu...Mungu aendelee kukutumia babngu
@helmanmethod26654 жыл бұрын
asante mtumishi wa Mungu hahika nimebalikiwa.amen🙏
@marymushi7005 Жыл бұрын
Ameeeeeeen Halellujah. Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu.
@marypaul19814 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa mary nipo msumbuji kupitia semina hii niliyoitizama leo tarehe 21/8nimempokea yesu maana nilirudi nyuma Noamba uniombee ili Mungu aendelee kunitunza ndani yake
@cctvtz3017
3 жыл бұрын
Bwana akubariki Mtumishi watoto wangu niwalevi, niko Daresalama yombo Vituka, Nami nimemtolea Mungu wangu aokowe watoto wangu ni Monica Marco, Sina raha Nami napenda Yesu na natumika nikiwa na jaribu Hilo niombee
@lucaslaizer354
3 жыл бұрын
mpendwa usife moyo Mungu yu hai soma isaya 1.18.
@upendoeliudi51963 жыл бұрын
Aminaa barikiwa sana Mungu akutunze mwalim Christopher mwakasege
@lightnessmabeche14613 жыл бұрын
Ubarike mtumishi wa baba mungu azidi kukupa neema na rehema katika maisha yako
@jescajohn76172 жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏 office za huduma za manna kwa Arusha zipo maeneo Gani msaada tafadhali
@fridamamy23503 жыл бұрын
My spiritual father may God bless u Baba yangu,ahsante kwa kunifundisha .kuna siku ulitufundisha somo LA Baba yetu alie mbinguni Limenifungua nasasa hivi nimechukua hatua nimeanza kuujenga ufalme wa Mungu mahali ninapoka.ubarikiwe sasa Baba yangu.
@graceshoo6547
3 жыл бұрын
Glory to God.
@tamaramrema6424 жыл бұрын
Natafuta hili somo silipati (uwezo wa damu ya yesu kukomboa miguu) naomba msaada
@faiyamulishidi92243 жыл бұрын
Mungu wangu akubariki na azidi kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu na ailinde familia yako na hila zote za mwovu kwa Jina la Yesu
@AnethPeace2 жыл бұрын
Bwana YESU nisaidie,🙌🙌🙌
@brianbaraka45634 жыл бұрын
Amina Ahsante Yesu kwa kuniweka huru kupitia mtumishi wako 🙏
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Kwetu sote amen
@nellumasomelu69004 жыл бұрын
Mungu ananipenda, hallelujah 😭😭 Jesus loves me
@michaelbethuel5808
4 жыл бұрын
God bless you my teacher
@oscamjujulu7824 жыл бұрын
Amina, Amina MTUMISHI WA BWANA YESU KRISTO ubarikiwe sana
@esthernaxx85082 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
@stephanomkanyipelele10463 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu Sana unasimama ktk kweli kutusaidia kweli huu ndyo with kweli umepewa bule unatoa Bure ungekuwa mpigaji pesa ungepiga kwelikwel kwa kuwa tunakuamin
@magrethwilliam47484 жыл бұрын
AMEN Mungu akubariki Mwalimu wetu
@ElizabethJumbe-ch7xn
Жыл бұрын
Barikiwa sana mwalimu 🙌🙌🙌🙌🙌
@elizabethngasa26762 жыл бұрын
Amen, Pendo la Mungu nilaajabu. Mungu akubariki mwl
@GGGB20113 жыл бұрын
I really needed to hear this.... Be blessed.
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
@GGGB2011
3 жыл бұрын
Really. This is very strange. I think I should contact you
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
@@GGGB2011 you are welcome you need to do it before end of today
@silasmichael6023 жыл бұрын
napokea katika jina la kristo yesu
@happinesfesto91713 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mchungaji nabarikiwa sn na kipindi chako Amen.
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
It is well it is well indeed with my soul, it is well well with my SOUL. ASANTE YESU. 🙏
@furahabeatrice20573 жыл бұрын
Amen, ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🙏🙏
@tusekelegejohn57194 жыл бұрын
Asante kumzaa mtoto wako huyu na kwa kumwita kwa jina lake maana kuna wazazi wanazaa lakini hawawaiti watoto wao kwa majina yao na kwa majina ya sifa liinuliwe jina utukufu na heshima vikurudie ww
@danielyfussy3711
4 жыл бұрын
Ubarikiwe MTumishi
@stellakimambo59083 жыл бұрын
Mbarikiwe watumishi
@janesemngindo48784 жыл бұрын
Semina hii nimepokea mambo makubwa katika jina la Yesu Kristo amen.
@crissalphonce11073 жыл бұрын
Libarikiwe jina lake yesu alie pendo letu sisi tusio stahili kupokea pendo lake,
@happyflavor55494 жыл бұрын
YESU ninakupenda
@maheligati29363 жыл бұрын
Amina mtumishi wa mungu somo limenipa nguvu nimeinuka tena
@anethmashaka68994 жыл бұрын
Amen!!! May God bless you moreee and moreeee our father
@maoleminja65143 жыл бұрын
Ni salama rohoni mwangu haijalishi napitia mapito yupo Mungu aokoe
@rachelemadjagi7869 Жыл бұрын
Amen my God bless you
@emmanuelcimanuka29953 жыл бұрын
Asante kwa neno nzuri umepewa na Mungu
@brightmollel66983 жыл бұрын
Praise God. It was awesome
@marthermwakyobwe9794
2 жыл бұрын
Nasikia raha kwamba YESU ananiambia ananipenda.Mungu akubariki na timu yote .
@kaymsafi2 жыл бұрын
NEW SUBSCRIBER... I'M BLESSED
@mwinzifrancis13513 жыл бұрын
Man of GOD...be blessed..I love ur teachings..ubarikwe daima...mungu ndie anaeweza kukulipa..sisi nikushukuru..
@christinelihavi4068 Жыл бұрын
Upendo wa Mungu ni mkuu mno
@user-ng6yt2od7l3 жыл бұрын
Mungu ananipenda Mungu ananipenda Mungu ananipenda
@MagrethMadila-nz4vo22 күн бұрын
Ubarikiweerr
@jonaselias93532 жыл бұрын
Amen mtumishi mungu atubarki enenda nami
@happymushi22194 жыл бұрын
Huyu Yesu ni mzuri mnoo- asante mwl
@amoswagaz45054 жыл бұрын
Mungu akubariki sana na kuikuza mara dufu huduma yako
@fainesimathiasi1793 жыл бұрын
Balikiwa sasa baba mchungaji Mungu akutunze
@elimekamathayo19143 жыл бұрын
Haleluya mwalimu nataman kufanyiwa Cancel naww Nina msongo wa mawazo na hofu pia naomba Sana Mungu aniondolee lkn bado
@emanuelimollelkilusu52063 жыл бұрын
God bless You My Teacher.
@josephmshindo67964 жыл бұрын
Nabarikiwa Sanaa na mungu kupitia mwalimu
@marcomunuo29033 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu zaidi uzidi kutufundisha
@paulmassery4494 жыл бұрын
Ishi miaka mingi mwalimu
@estherntandu20553 жыл бұрын
Amen Sana ..God bless you
@jescarwegoshola72313 жыл бұрын
Amen, Ubarikiwe Mwl🙏
@marcelafrancis53674 жыл бұрын
Barikiwa Mwalimu
@winniepeter30123 жыл бұрын
Asante dady, uzidi kubarikiwa
@alindatheonest37343 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa
@eliaemanuel25272 жыл бұрын
Nimebarikiwa na wimbo walifajiri
@wiliamvenance47813 жыл бұрын
Mungu ananipenda barikiwa mwl
@gracembise9063 жыл бұрын
Asante Bwana Yesu kwakusema na mimi ...
@ilenestephano89353 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏🙏
@n.lincoln19802 жыл бұрын
Amen
@emmanuelabel84523 жыл бұрын
Am being blessed
@yofikaayubu6924 жыл бұрын
Mungu wetu anatupenda jmn
@revocatusanthony3783 жыл бұрын
love soumuch your my best in my life
@bershazamtumishi49503 жыл бұрын
Mungu akubaloki kwa mafundisho mazuri
@christinamwambola93294 жыл бұрын
Amen Mwalimu Mungu akutunze ili watu wengi tuweze kujua pendo la Mungu lilivyo kubwa
@marrybarikiwasanareuben79473 жыл бұрын
Mungu naomba akubarki mtumishi naitwa marry nipo katavi mtumishi naomba uje na huku katavi tunkuhitaji maana Mambo ya Giza ni mengi njooo baba utulishe katavi
@annapakya82034 жыл бұрын
Barikiwa mtumish wa MUNGU
@paulosilayo86164 жыл бұрын
Asante baba kwa kuniongezea ufahau juu ya upendo 1Wakoritho 13:1......
@michaelkakuja8934 жыл бұрын
Amen. Glory to God.
@pendokisanga45273 жыл бұрын
Nikimsikiliza mwakasege huwa sichoki natamani asimalize
Пікірлер: 233
Ushuhuda wangu mwalimu wangu. Namshukuru Mungu ni miaka imepita nikiwa katika maombi yangu binafsi kwaajili ya muujiza, katika kuugua kwangu moyoni mwangu ndipo nikasikia unao mkutano pale jangwani,na nilisikia ndani yangu kuwaambia ndugu zangu kuwa leo mwalimu wangu Roho wa Bwana atamtumia kunisimamisha ili aniombee muujiza niliomuomba Mungu,nami nilipofika nilikaa upande wa waimbaji pastor safari na karibu na John lissu ndipo Neno la Bwana likakufikia ndani yako kusema nanukuu""kuna mtu ameomba maombi ya siku kadhaa,na kwako utakayesikia unaweza kucheka lakini kwake ni kitu muhimu sana,mtu huyu amemwambia Mungu anahitaji kuota NDEVU watu walicheka na ukaendelea kusema amekaa upande huu wa waimbaji hapa nilimtukuza Mungu kwakuwa nilifunga na Mungu alisikia kuomba kwangu ubarikiwe ndevu ni nyingi kwa sasa namtumikia Mungu kwa kuineza habari njema""
Amen barikiwa sana mwalimu mwakasege na nyumba yako
Mwa/ Mwakasege ! Mimi HEBRON MWANJALI MALATILA , Umri 68 yrs ! Uokovu tangu 1992 , Lakini bado nashindwa kutenda mapenzi yake YESU. Ila Mungu anaachilia Ahadi zake ktk familia yangu. Shida tangu! Naomba nijue kusudi lake Mungu juu yangu! Kabla ya muda wangu wa kurudi Kwake. Natamani na mimi nìmtendee ijapo tendo moja dogo jema kwa uweza na utukufu wake nikiwa bado duniani. Chris Mwakasege ! Nisaidie kunisogeza mbele ya Yesu Mungu wetu wewe na mimi.
@olipaminga7926
3 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa jinsi anavyokutumia mtumishi kutufundisha kumjua Mungu akulinde uendelee kutusogeza zaid na USO wa bwana.
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you ...
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Amen
Nipo bukoba nimevutiwa sana na semina zako Mtumishi was Mungu,Mungu akubariki sana ,ninaomba kuuliza kwann makanisa mengine hayasemi upendo wa Mungu wanasema sheria za kanisa inakua vigume wanna wa Mungu kusimama maana hawaelewi ubarikiwe sana unatangaza upendo wa Mungu katika maisha yetu
Nasi tumefahamu PENDO alilonalo MUNGU kwetu sisi na kuliamini, MUNGU ni pendo.Barikiwe sana mtumishi wa Mungu, Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu
Niko Mbogwe Geita naendelea kufuatilia semina hii kupitia KZread. Mungu akutie nguvu mwalimu Christopher Mwakasege.
Mungu wangu akubariki sana mwalim mwakasenge, nakuelewa Sana mafundisho yako toka utoto wangu nakufwatilia Sana nilikuja nyumbani kwako mwaka 2016 nikamsalimia mama yako mzazi alinipokea kijana niliemkuta nyumbani nazani ilikuwa likizo ya shule sikumbuki ninani lakini nazani sio marehem Joshua , wakati huo sikuwa namjua Joshua nilikuja kumjua alipofariki ,namama yako mzazi niliumia Sana alipofariki mwaka uliofwata baada yakuigia pale ndani tukasalimiana badae nikarudy mbea mjini , Mimi natoka Kilimanjaro mbea nilifwata maisha tu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa neno la Mungu. Umepanda mbegu. Yesu ataikuza.
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
Nimebarikiwa na hya maombi sitabaki nilivyo YESU akubariki sana baba
Mungu ni mwema na kila amwaminie ameokoka asant yesu kwa ulizi wako kwangu na nguvu umelinda family yangu 🙏🙏🙏 barikiwa sana mwalimu
Nabarikiwa na kufunguliwa katika mafundisho haya, Mungu akubariki mtumishi
Bwana yesu asifiwe mchungaji.Mimi naitwa Elizabeth kutoka Kenya. Ila nafanya kazi nchini Saudi Arabia. Nimekua nikifuatilia mahubir yako kwa mda was mwezi sasa.nilikua nasumbuliwa n allergy kwa mda wa miaka 8.tangu nianze kuskiza mahubir yako naendelea vizur sana japo bado inanisumbua lakini sio kama zaman.mungu akubariki. naomba number ya kutuma japo sadaka kuoitia m pesa tafadhali.blessed again and again.🙏
@piussantos8350
4 жыл бұрын
Ubarikiwe mungu nakupenda dadangu me pia ni niko Kenya mungu ni mwema kila itwapo leo
@saitotitarakwa7267
4 жыл бұрын
255754211633 Diana Mwakasege. Jina La mke wake
@andrewkibwata974
4 жыл бұрын
Mungu yupo nawe. Amini kwa jina la YESU KRISTO UNAPONA
@jumaelizabeth5532
4 жыл бұрын
@@saitotitarakwa7267 sawa
@jacklinemwita4173
4 жыл бұрын
Mwamiji Mungu umepona
Mungu ! Amenifunulia kwamba: yupo palipo na Yesu , Roho wake na mtu aliyezaliwa × 2 ktk roho na moto. Ndo Mungu ameagiza tusiache kukusanyika , maana Mungu anapendezwa zaidi palipo 2 au 3. Fellowship yake Mungu ipo palipo Yesu na Roho mtakatifu au palipo Yesu , Roho na mtu aliyeokoka.
Upendo wa Mungu kwa mtu ni kubwa ! Kuliko Uzinzi au Uaji wako. Mungu ana wapenda hao zaidi yawaliyookoka. Huyu ndiyo Mungu aliye na mimi kabla sijakuwa ktk tumbo la mama yangu.
Napenda sana mahubiri yako mungu akubalik baba
Baba Asante maneno mazuri naomba NAMI maombi
Amen Hakika Yesu Ananipnd nimetiwa nguvu sana na kuzidi kuona kusonga mbele Be blessed
MUNGU ANANIPENDA... HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA MUNGU 🙏
Asante Roho Mtakatifu..❤️ ubarikiwe baba Mungu wa mbinguni akuwe kwa ajili yetu
mwalimu somo hili nimelipitia leo tarehe 14/08/2020. yani mimi nimerudi duniani, siombi ,sisomi bible,,,,na nmejaribu kuomba lakini sipati amani kabsa ,na ninampenda yesu sitaki dunia iniangamize kabisa.
@robertgodfrey9084
4 жыл бұрын
nimerudi kwa MUNGU nina amani
@amanitv4468
4 жыл бұрын
Ubarikiw San maamuz mazur
Mwalimu na Diana Mwakasege Mungu awabariki mnoo mnoo
Liinuliwe na kutukuzwa Mungu uliyehai ktk kriso Yesu amina.
Mbarikiwe sana sana,MUNGU na awaongezee mafunuo kwa Roho wake
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
Tunabarikiwa sana na neno la Mungu, neno la uzima kutoka kwa baba Mwalimu. Wewe ni baraka kwa dunia muzima.
Hallelujah hallelujah I love this be blessed sana am in Qatar
@nenolabwana38
4 жыл бұрын
Amen Amen more greetings to you all in Qatar
Asante Mungu wetu kwa ajili ya mtumishi wako huyu ,zidi kumtunza Mungu wangu azidi kutufundisha juu ya upendo wako Baba
Amen Mwalimu napenda sana masomo yako sana , Mungu anisaidie nikue kiroho ndio hamu yangu na shauku yangu
Mungu akulinde mtumishi mwalimu baba yetu
Ombi langu naomba mungu ambadilishe mumeewangu antoe kàtika kund baya
@denismwambilinge4531
3 жыл бұрын
MUNGU akusaidie katika JINA LA YESU
Ameen🙏 upendo wa Mungu ni waajabu sana
Kiukweli nikisikiliza mafundisho yako Mungu huwa ananivusha sehemu...Mungu aendelee kukutumia babngu
asante mtumishi wa Mungu hahika nimebalikiwa.amen🙏
Ameeeeeeen Halellujah. Yesu ni Bwana na mwokozi wa maisha yangu.
Bwana yesu asifiwe mtumishi naitwa mary nipo msumbuji kupitia semina hii niliyoitizama leo tarehe 21/8nimempokea yesu maana nilirudi nyuma Noamba uniombee ili Mungu aendelee kunitunza ndani yake
@cctvtz3017
3 жыл бұрын
Bwana akubariki Mtumishi watoto wangu niwalevi, niko Daresalama yombo Vituka, Nami nimemtolea Mungu wangu aokowe watoto wangu ni Monica Marco, Sina raha Nami napenda Yesu na natumika nikiwa na jaribu Hilo niombee
@lucaslaizer354
3 жыл бұрын
mpendwa usife moyo Mungu yu hai soma isaya 1.18.
Aminaa barikiwa sana Mungu akutunze mwalim Christopher mwakasege
Ubarike mtumishi wa baba mungu azidi kukupa neema na rehema katika maisha yako
Amen 🙏🙏🙏🙏 office za huduma za manna kwa Arusha zipo maeneo Gani msaada tafadhali
My spiritual father may God bless u Baba yangu,ahsante kwa kunifundisha .kuna siku ulitufundisha somo LA Baba yetu alie mbinguni Limenifungua nasasa hivi nimechukua hatua nimeanza kuujenga ufalme wa Mungu mahali ninapoka.ubarikiwe sasa Baba yangu.
@graceshoo6547
3 жыл бұрын
Glory to God.
Natafuta hili somo silipati (uwezo wa damu ya yesu kukomboa miguu) naomba msaada
Mungu wangu akubariki na azidi kukupaka mafuta ya Roho mtakatifu na ailinde familia yako na hila zote za mwovu kwa Jina la Yesu
Bwana YESU nisaidie,🙌🙌🙌
Amina Ahsante Yesu kwa kuniweka huru kupitia mtumishi wako 🙏
@user-ng6yt2od7l
3 жыл бұрын
Kwetu sote amen
Mungu ananipenda, hallelujah 😭😭 Jesus loves me
@michaelbethuel5808
4 жыл бұрын
God bless you my teacher
Amina, Amina MTUMISHI WA BWANA YESU KRISTO ubarikiwe sana
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
Mungu akutie nguvu Sana unasimama ktk kweli kutusaidia kweli huu ndyo with kweli umepewa bule unatoa Bure ungekuwa mpigaji pesa ungepiga kwelikwel kwa kuwa tunakuamin
AMEN Mungu akubariki Mwalimu wetu
@ElizabethJumbe-ch7xn
Жыл бұрын
Barikiwa sana mwalimu 🙌🙌🙌🙌🙌
Amen, Pendo la Mungu nilaajabu. Mungu akubariki mwl
I really needed to hear this.... Be blessed.
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state Nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2348079861301) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you .
@GGGB2011
3 жыл бұрын
Really. This is very strange. I think I should contact you
@mintheophilussunday1813
3 жыл бұрын
@@GGGB2011 you are welcome you need to do it before end of today
napokea katika jina la kristo yesu
Ubarikiwe Sana mchungaji nabarikiwa sn na kipindi chako Amen.
It is well it is well indeed with my soul, it is well well with my SOUL. ASANTE YESU. 🙏
Amen, ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🙏🙏
Asante kumzaa mtoto wako huyu na kwa kumwita kwa jina lake maana kuna wazazi wanazaa lakini hawawaiti watoto wao kwa majina yao na kwa majina ya sifa liinuliwe jina utukufu na heshima vikurudie ww
@danielyfussy3711
4 жыл бұрын
Ubarikiwe MTumishi
Mbarikiwe watumishi
Semina hii nimepokea mambo makubwa katika jina la Yesu Kristo amen.
Libarikiwe jina lake yesu alie pendo letu sisi tusio stahili kupokea pendo lake,
YESU ninakupenda
Amina mtumishi wa mungu somo limenipa nguvu nimeinuka tena
Amen!!! May God bless you moreee and moreeee our father
Ni salama rohoni mwangu haijalishi napitia mapito yupo Mungu aokoe
Amen my God bless you
Asante kwa neno nzuri umepewa na Mungu
Praise God. It was awesome
@marthermwakyobwe9794
2 жыл бұрын
Nasikia raha kwamba YESU ananiambia ananipenda.Mungu akubariki na timu yote .
NEW SUBSCRIBER... I'M BLESSED
Man of GOD...be blessed..I love ur teachings..ubarikwe daima...mungu ndie anaeweza kukulipa..sisi nikushukuru..
Upendo wa Mungu ni mkuu mno
Mungu ananipenda Mungu ananipenda Mungu ananipenda
Ubarikiweerr
Amen mtumishi mungu atubarki enenda nami
Huyu Yesu ni mzuri mnoo- asante mwl
Mungu akubariki sana na kuikuza mara dufu huduma yako
Balikiwa sasa baba mchungaji Mungu akutunze
Haleluya mwalimu nataman kufanyiwa Cancel naww Nina msongo wa mawazo na hofu pia naomba Sana Mungu aniondolee lkn bado
God bless You My Teacher.
Nabarikiwa Sanaa na mungu kupitia mwalimu
Mungu akutie nguvu zaidi uzidi kutufundisha
Ishi miaka mingi mwalimu
Amen Sana ..God bless you
Amen, Ubarikiwe Mwl🙏
Barikiwa Mwalimu
Asante dady, uzidi kubarikiwa
Amen nimebarikiwa
Nimebarikiwa na wimbo walifajiri
Mungu ananipenda barikiwa mwl
Asante Bwana Yesu kwakusema na mimi ...
Mungu akupe maisha marefu🙏🙏🙏🙏
Amen
Am being blessed
Mungu wetu anatupenda jmn
love soumuch your my best in my life
Mungu akubaloki kwa mafundisho mazuri
Amen Mwalimu Mungu akutunze ili watu wengi tuweze kujua pendo la Mungu lilivyo kubwa
Mungu naomba akubarki mtumishi naitwa marry nipo katavi mtumishi naomba uje na huku katavi tunkuhitaji maana Mambo ya Giza ni mengi njooo baba utulishe katavi
Barikiwa mtumish wa MUNGU
Asante baba kwa kuniongezea ufahau juu ya upendo 1Wakoritho 13:1......
Amen. Glory to God.
Nikimsikiliza mwakasege huwa sichoki natamani asimalize
@mtumishiwamungunelson1684
3 жыл бұрын
Amina Baba Mungu akutunze sana Dady.
@lucaslaizer354
3 жыл бұрын
kam mm vileeee jman huyu baba amebarikiwa sana
Amin mtumish
Kusudi la mungu lipo kwa wakat uliokusudiwa