MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: FAHAMU JUU YA MAONO YA HUDUMA.

KONGAMANO LA WAOMBAJI NYANDA ZA JUU KUSINI, TUNDUMA

Пікірлер: 65

  • @sadamkyndo2719
    @sadamkyndo27196 ай бұрын

    Baba mwakasege wewe ni mtumishi ambaye dunia yote itafika mahari itanena kwa lugha moja mimi nimekuamini na kukupenda zaidi najisikia furaha na amani juu ya somo hili Amen

  • @patrickedson50
    @patrickedson50 Жыл бұрын

    Nimeipenda hiyo, huwezi kuwa nuru ukalalamikia giza, ukilalamikia giza na wewe ni nuru basi na wewe ushakuwa giza. Asante Yesu kwa maarifa haya

  • @arubalydia224
    @arubalydia224 Жыл бұрын

    Namshukuru sana Mungu niliweza kufika kule Dodoma kwenye ukumbi wa maombi nami nikauzunguka tukiongozwa na mwlm ni neema iliyoje❤❤🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦

  • @PaskalinaSukum-hk4xj

    @PaskalinaSukum-hk4xj

    Жыл бұрын

    Ninapenda huduma sana huduma ya mwalim na nabarikiwa sana mahubiri yake

  • @NawikeMwasamboma-kb3iw
    @NawikeMwasamboma-kb3iw10 ай бұрын

    Emungu Asante kwa ujumbe huu ulio mtumia mtumishi wako

  • @MarryPeter-uw9tn
    @MarryPeter-uw9tn Жыл бұрын

    Yesu asante sana kwa kutupa mtumishi tanzania jina lako liinuliwe Bwana.

  • @caritastheophil509
    @caritastheophil509 Жыл бұрын

    Baba naomba nitumie nafasi hii kumshukuru Mungu kwaajili yako na familia yako, mimi ni moja ya matunda ya kazi ya Mungu uloifanya

  • @joelmulimbiOfficiel3089
    @joelmulimbiOfficiel3089 Жыл бұрын

    Mungu wa mbinguni aone shida zinazo ni tesa anioneye uruma n'a anifunguwe Amen .🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @elishamwakasege9794

    @elishamwakasege9794

    Жыл бұрын

    Amina

  • @user-ol4zx7xd5q
    @user-ol4zx7xd5q9 ай бұрын

    Ahimidiwe Mungu wetu wa Mbinguni Kwa kutupa zawadi hii ya MANA

  • @mckamongo4153
    @mckamongo4153 Жыл бұрын

    Nabalikiwa sana na huduma yako mtumimshi wa Mungu

  • @DayanaPius-um5vz
    @DayanaPius-um5vz Жыл бұрын

    Aminaaa kwa kumjuaaa munguu na azidiiii kunifunguliaaa njiaaa juuu ya maombii niliyomuombaaaa baba anguuu maaan alisemaaa chchte tutakacho muombaa kwa jinaaa lakee atatufanyiiaa bas na mm nazidii kumuombaaa anitendeeee na mimi🙏

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 Жыл бұрын

    Amina Mungu atukuzwe Mwalim na family yako, Yakima Mungu ni mkuu alie inua chombo cha Taifa la Tanzania .daima ninakuombea baba pamoja na family yako, Mungu awalinde na Malaika wake 🙏🙏🙏🙏

  • @GodyMosha-vf4zu
    @GodyMosha-vf4zu11 ай бұрын

    Kwakweli nabarikiwa sana nikimsikia ma ubiri yake naona nimefika kwenye uzima nafa rijika sana ameni barikiwasana

  • @piliibrahim4057
    @piliibrahim405711 ай бұрын

    Ameen Ameen mtumishi wa Mungu Mungu azidi kuwainua na kuikuza huduma ya mana

  • @user-kt8xh9nj5v
    @user-kt8xh9nj5v Жыл бұрын

    Amen 🙏🙏 Mtumishi wa Mungu nabarikiwa san na mafundisho yako nakua kiroho siku hadi siku Mungu hakutunze san mtumishi wa Mungu

  • @elishamwakasege9794

    @elishamwakasege9794

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @hopedavid5888
    @hopedavid5888 Жыл бұрын

    Kwa kweli baba uliyoyasema umefanya kazi ya Mungu mpaka nakuonea wivu je mimi namwambia nini Mungu nimefanya nini tangu nimemjua yeye!!! Nimeona jinsi gani napaswa kumtumikia Mungu maana sio siku zimebaki bali ni masaa yamebaki Yesu arudi

  • @DaudiMgisha
    @DaudiMgisha2 ай бұрын

    Amen

  • @matronanzogela6346
    @matronanzogela6346 Жыл бұрын

    Ni maombi yangu kwa Mungu,akupe ratiba ya kuja Kigoma.

  • @kokubelwamulokozi
    @kokubelwamulokozi Жыл бұрын

    Amen Daddy in faith ♥️♥️♥️🙏🙏🙏

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 Жыл бұрын

    🙏 NISHIKE MKONO BWANA NISIZAME. ISHI NDANI YANGU UNISHINDIE. BILA WEWE MIMI SIWEZI , NISHIKE MKONO BWANA NISIMAME. HALELUYA.

  • @saimonjoseph7070
    @saimonjoseph7070 Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa BWANA.

  • @claudiamrina1620
    @claudiamrina1620 Жыл бұрын

    Namshkuru mungu Kwa ajili Yako mtumishi maana umenivusha daima

  • @ditramcanicia1750
    @ditramcanicia1750 Жыл бұрын

    Naomba please kama inawezekana mkiwa mnarusha zile semina muwe mnaandika na Days....like DAY 1, DAY 2 etc hii inatusaidia sana sisi tunao fuatilia huku .... zamani mlikuwa mnaandika but now days naona hamuandika...😭😭 Please

  • @emanuelpeter9247
    @emanuelpeter9247 Жыл бұрын

    This is good and right

  • @tulibakomwafula9079
    @tulibakomwafula9079 Жыл бұрын

    Nimepata kitu kipya kwenye kongamano hili. Asante Yesu kwa neno la nabii Habakuki. Ni mbaya kuingia kwenye maombi na malalamiko.😊

  • @edsonkatamba5589
    @edsonkatamba5589 Жыл бұрын

    🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mungu nifundishe na mm asante

  • @joyceallan2758
    @joyceallan2758 Жыл бұрын

    Kwa kweli tulimuona Mungu

  • @irenelyamuya5466
    @irenelyamuya5466 Жыл бұрын

    😢😢😢😢Mungu nisaidie 😢

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Жыл бұрын

    Asnt sana ubarikiwe na Mungu

  • @marryshamale2882
    @marryshamale2882 Жыл бұрын

    Mwalimu, nina ombi siku moja mpange kuja zanzibar kwakwel nitafurahi sana.

  • @mauricekipchemboi9656
    @mauricekipchemboi9656 Жыл бұрын

    mpange pia mje Kenya pia mwalimu...

  • @Jenvier-jz2lg
    @Jenvier-jz2lg Жыл бұрын

    Mzee sijaelewa vizuri, unawe ukawa na Yesu na usiwe na ufalme?,nashindwa kuelewa kabisa

  • @elizag.edmond7637

    @elizag.edmond7637

    Жыл бұрын

    Unamaana gani

  • @jesseinnocent917
    @jesseinnocent917 Жыл бұрын

    Amen ,I'm blessed

  • @emanuelpeter9247

    @emanuelpeter9247

    Жыл бұрын

    Amen

  • @emanuelpeter9247
    @emanuelpeter9247 Жыл бұрын

    Always who so ever called,God's kingdom must be revealed un to him.

  • @Maria-nl5ws
    @Maria-nl5ws Жыл бұрын

    Amen mungu atusaidie

  • @PaskalinaSukum-hk4xj
    @PaskalinaSukum-hk4xj Жыл бұрын

    Jamani manyara lini

  • @user-wn9ol5zj7w
    @user-wn9ol5zj7w Жыл бұрын

    Ninaomba msaada wa mahasiliyano na mwalimi samaani na itaji saaana nipo mbali na Tanzania,na ishi Norwegian

  • @tumainijoshua5090
    @tumainijoshua5090 Жыл бұрын

    Waoh asante Yesu Kristo kwa huduma hii

  • @emanuelpeter9247

    @emanuelpeter9247

    Жыл бұрын

    Good

  • @elizag.edmond7637

    @elizag.edmond7637

    Жыл бұрын

    ​@@emanuelpeter9247 naomba namba ya pastor huyo

  • @user-bl7cr8gu4q
    @user-bl7cr8gu4q Жыл бұрын

    MUNGU nirehem Mimi mwenye Dhambi

  • @christinamgalula802
    @christinamgalula802 Жыл бұрын

    Ameen

  • @quintavitalis926
    @quintavitalis926 Жыл бұрын

    Amen,

  • @thomasgervas5883
    @thomasgervas5883 Жыл бұрын

    Amina

  • @DaudiMgisha
    @DaudiMgisha2 ай бұрын

    ameN

  • @faharimbwillo8403
    @faharimbwillo8403 Жыл бұрын

    Ameni

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es Жыл бұрын

    Amen.Amen

  • @user-vw6oz4du4h
    @user-vw6oz4du4h2 ай бұрын

    Dabrooshiaaaahhh

  • @VanisyJonathan

    @VanisyJonathan

    Ай бұрын

    Nn

  • @edsonkatamba5589
    @edsonkatamba5589 Жыл бұрын

    🎉🎉🎉🎉

  • @happinesshaonga8488
    @happinesshaonga8488 Жыл бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @user-kv7hq5mb6m
    @user-kv7hq5mb6m Жыл бұрын

    Kuna kitu mungu ananisemesha sana kuhusu huduma,lakini sielewi,nasijui naanzia wapi,cha ajabi zaidi,anakutumia wewe mtumishi mwakasge kwenye ndoto zangu,nisaidie baba,niliota nimeenda kuomba kazi nilipofika ofisini nikakuta juu ya mlango wa ofisi pameandikwa,OFISI YA MCHUNGAJI MKUU,nilipoingia ndani nikamkuta mchungaji mkuu,akaniambia nitakupa kazi lakini hadi ufanye intavew,akanipangia siku yakuja kwenye intaview na akanipeleka kwa mtu wakuniintaview,nikaanza kumpeleleza huyo kijana atakae niintaview,kwamba intaview itakuwa yaaina gani? Akanijibu,intaview inahusiana na neno la mungu,akaniambia nikasome sana neno la mungu,nikashtuka usingizini.

  • @user-qi4nl5hd5e

    @user-qi4nl5hd5e

    9 ай бұрын

    Mchungaji mkuu ni Yesu,na mbona wewe Mungu amekujibu kwa wazi kabisa ndo unatakiwa usome Neno Mungu atakutumia sana

  • @KhadijaJuma-jx7ny
    @KhadijaJuma-jx7ny Жыл бұрын

    Natarajia kitu na ninakisikia ndani yangu roho ya maombi

  • @elizag.edmond7637

    @elizag.edmond7637

    Жыл бұрын

    Hongera anza kuomba pole pole ,mpka utakuja kufikia kusudi la Mungu, maombi anayopendezwa nayo soma isaya sura ya 58 mstari wa 1 mpka 14,, pasome kwa kutafakari Sana urudie omba Roho akufundishe hapo unapoanza kupasoma ,ndipo utakapokuwa na nguvu nyingi kwenye kuomba ,mana utajua nini Mungu anapenda mtu aombapo ,ubarikiwe Sana.

  • @elizag.edmond7637

    @elizag.edmond7637

    Жыл бұрын

    Utaona jinsi Yesu kristo anavyo elekeza tuombe ,point kuu ni kuanzia mstari wa 2 mpka 14, Aina za kufunga au Aina za maombi ya kufunga ndiyo hapo ,Ubarikiwe

  • @GodyMosha-vf4zu
    @GodyMosha-vf4zu11 ай бұрын

    Kwakweli nabarikiwa sana nikimsikia ma ubiri yake naona nimefika kwenye uzima nafa rijika sana ameni barikiwasana

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Жыл бұрын

    Ameen

  • @caleblonjiringa8466
    @caleblonjiringa8466 Жыл бұрын

    Amen

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Жыл бұрын

    Ameen

  • @elishaskazwe5832

    @elishaskazwe5832

    Жыл бұрын

    Jamani MUNGU akuzidishe zaidi wewe na familia yote kwa ujumla, Natamani siku moja nami nikuone live