MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: FAHAMU JUU YA MAONO YA HUDUMA.
KONGAMANO LA WAOMBAJI NYANDA ZA JUU KUSINI, TUNDUMA
Жүктеу.....
Пікірлер: 65
@sadamkyndo27196 ай бұрын
Baba mwakasege wewe ni mtumishi ambaye dunia yote itafika mahari itanena kwa lugha moja mimi nimekuamini na kukupenda zaidi najisikia furaha na amani juu ya somo hili Amen
@patrickedson50 Жыл бұрын
Nimeipenda hiyo, huwezi kuwa nuru ukalalamikia giza, ukilalamikia giza na wewe ni nuru basi na wewe ushakuwa giza. Asante Yesu kwa maarifa haya
@arubalydia224 Жыл бұрын
Namshukuru sana Mungu niliweza kufika kule Dodoma kwenye ukumbi wa maombi nami nikauzunguka tukiongozwa na mwlm ni neema iliyoje❤❤🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
@PaskalinaSukum-hk4xj
Жыл бұрын
Ninapenda huduma sana huduma ya mwalim na nabarikiwa sana mahubiri yake
@NawikeMwasamboma-kb3iw10 ай бұрын
Emungu Asante kwa ujumbe huu ulio mtumia mtumishi wako
@MarryPeter-uw9tn Жыл бұрын
Yesu asante sana kwa kutupa mtumishi tanzania jina lako liinuliwe Bwana.
@caritastheophil509 Жыл бұрын
Baba naomba nitumie nafasi hii kumshukuru Mungu kwaajili yako na familia yako, mimi ni moja ya matunda ya kazi ya Mungu uloifanya
@joelmulimbiOfficiel3089 Жыл бұрын
Mungu wa mbinguni aone shida zinazo ni tesa anioneye uruma n'a anifunguwe Amen .🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@elishamwakasege9794
Жыл бұрын
Amina
@user-ol4zx7xd5q9 ай бұрын
Ahimidiwe Mungu wetu wa Mbinguni Kwa kutupa zawadi hii ya MANA
@mckamongo4153 Жыл бұрын
Nabalikiwa sana na huduma yako mtumimshi wa Mungu
@DayanaPius-um5vz Жыл бұрын
Aminaaa kwa kumjuaaa munguu na azidiiii kunifunguliaaa njiaaa juuu ya maombii niliyomuombaaaa baba anguuu maaan alisemaaa chchte tutakacho muombaa kwa jinaaa lakee atatufanyiiaa bas na mm nazidii kumuombaaa anitendeeee na mimi🙏
@upendoeliudi5196 Жыл бұрын
Amina Mungu atukuzwe Mwalim na family yako, Yakima Mungu ni mkuu alie inua chombo cha Taifa la Tanzania .daima ninakuombea baba pamoja na family yako, Mungu awalinde na Malaika wake 🙏🙏🙏🙏
@GodyMosha-vf4zu11 ай бұрын
Kwakweli nabarikiwa sana nikimsikia ma ubiri yake naona nimefika kwenye uzima nafa rijika sana ameni barikiwasana
@piliibrahim405711 ай бұрын
Ameen Ameen mtumishi wa Mungu Mungu azidi kuwainua na kuikuza huduma ya mana
@user-kt8xh9nj5v Жыл бұрын
Amen 🙏🙏 Mtumishi wa Mungu nabarikiwa san na mafundisho yako nakua kiroho siku hadi siku Mungu hakutunze san mtumishi wa Mungu
@elishamwakasege9794
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@hopedavid5888 Жыл бұрын
Kwa kweli baba uliyoyasema umefanya kazi ya Mungu mpaka nakuonea wivu je mimi namwambia nini Mungu nimefanya nini tangu nimemjua yeye!!! Nimeona jinsi gani napaswa kumtumikia Mungu maana sio siku zimebaki bali ni masaa yamebaki Yesu arudi
@DaudiMgisha2 ай бұрын
Amen
@matronanzogela6346 Жыл бұрын
Ni maombi yangu kwa Mungu,akupe ratiba ya kuja Kigoma.
@kokubelwamulokozi Жыл бұрын
Amen Daddy in faith ♥️♥️♥️🙏🙏🙏
@ndeshukurwakaaya4385 Жыл бұрын
🙏 NISHIKE MKONO BWANA NISIZAME. ISHI NDANI YANGU UNISHINDIE. BILA WEWE MIMI SIWEZI , NISHIKE MKONO BWANA NISIMAME. HALELUYA.
@saimonjoseph7070 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa BWANA.
@claudiamrina1620 Жыл бұрын
Namshkuru mungu Kwa ajili Yako mtumishi maana umenivusha daima
@ditramcanicia1750 Жыл бұрын
Naomba please kama inawezekana mkiwa mnarusha zile semina muwe mnaandika na Days....like DAY 1, DAY 2 etc hii inatusaidia sana sisi tunao fuatilia huku .... zamani mlikuwa mnaandika but now days naona hamuandika...😭😭 Please
@emanuelpeter9247 Жыл бұрын
This is good and right
@tulibakomwafula9079 Жыл бұрын
Nimepata kitu kipya kwenye kongamano hili. Asante Yesu kwa neno la nabii Habakuki. Ni mbaya kuingia kwenye maombi na malalamiko.😊
@edsonkatamba5589 Жыл бұрын
🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mungu nifundishe na mm asante
@joyceallan2758 Жыл бұрын
Kwa kweli tulimuona Mungu
@irenelyamuya5466 Жыл бұрын
😢😢😢😢Mungu nisaidie 😢
@johnmahu5060 Жыл бұрын
Asnt sana ubarikiwe na Mungu
@marryshamale2882 Жыл бұрын
Mwalimu, nina ombi siku moja mpange kuja zanzibar kwakwel nitafurahi sana.
@mauricekipchemboi9656 Жыл бұрын
mpange pia mje Kenya pia mwalimu...
@Jenvier-jz2lg Жыл бұрын
Mzee sijaelewa vizuri, unawe ukawa na Yesu na usiwe na ufalme?,nashindwa kuelewa kabisa
@elizag.edmond7637
Жыл бұрын
Unamaana gani
@jesseinnocent917 Жыл бұрын
Amen ,I'm blessed
@emanuelpeter9247
Жыл бұрын
Amen
@emanuelpeter9247 Жыл бұрын
Always who so ever called,God's kingdom must be revealed un to him.
@Maria-nl5ws Жыл бұрын
Amen mungu atusaidie
@PaskalinaSukum-hk4xj Жыл бұрын
Jamani manyara lini
@user-wn9ol5zj7w Жыл бұрын
Ninaomba msaada wa mahasiliyano na mwalimi samaani na itaji saaana nipo mbali na Tanzania,na ishi Norwegian
@tumainijoshua5090 Жыл бұрын
Waoh asante Yesu Kristo kwa huduma hii
@emanuelpeter9247
Жыл бұрын
Good
@elizag.edmond7637
Жыл бұрын
@@emanuelpeter9247 naomba namba ya pastor huyo
@user-bl7cr8gu4q Жыл бұрын
MUNGU nirehem Mimi mwenye Dhambi
@christinamgalula802 Жыл бұрын
Ameen
@quintavitalis926 Жыл бұрын
Amen,
@thomasgervas5883 Жыл бұрын
Amina
@DaudiMgisha2 ай бұрын
ameN
@faharimbwillo8403 Жыл бұрын
Ameni
@ebenezermachange-zp4es Жыл бұрын
Amen.Amen
@user-vw6oz4du4h2 ай бұрын
Dabrooshiaaaahhh
@VanisyJonathan
Ай бұрын
Nn
@edsonkatamba5589 Жыл бұрын
🎉🎉🎉🎉
@happinesshaonga8488 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@user-kv7hq5mb6m Жыл бұрын
Kuna kitu mungu ananisemesha sana kuhusu huduma,lakini sielewi,nasijui naanzia wapi,cha ajabi zaidi,anakutumia wewe mtumishi mwakasge kwenye ndoto zangu,nisaidie baba,niliota nimeenda kuomba kazi nilipofika ofisini nikakuta juu ya mlango wa ofisi pameandikwa,OFISI YA MCHUNGAJI MKUU,nilipoingia ndani nikamkuta mchungaji mkuu,akaniambia nitakupa kazi lakini hadi ufanye intavew,akanipangia siku yakuja kwenye intaview na akanipeleka kwa mtu wakuniintaview,nikaanza kumpeleleza huyo kijana atakae niintaview,kwamba intaview itakuwa yaaina gani? Akanijibu,intaview inahusiana na neno la mungu,akaniambia nikasome sana neno la mungu,nikashtuka usingizini.
@user-qi4nl5hd5e
9 ай бұрын
Mchungaji mkuu ni Yesu,na mbona wewe Mungu amekujibu kwa wazi kabisa ndo unatakiwa usome Neno Mungu atakutumia sana
@KhadijaJuma-jx7ny Жыл бұрын
Natarajia kitu na ninakisikia ndani yangu roho ya maombi
@elizag.edmond7637
Жыл бұрын
Hongera anza kuomba pole pole ,mpka utakuja kufikia kusudi la Mungu, maombi anayopendezwa nayo soma isaya sura ya 58 mstari wa 1 mpka 14,, pasome kwa kutafakari Sana urudie omba Roho akufundishe hapo unapoanza kupasoma ,ndipo utakapokuwa na nguvu nyingi kwenye kuomba ,mana utajua nini Mungu anapenda mtu aombapo ,ubarikiwe Sana.
@elizag.edmond7637
Жыл бұрын
Utaona jinsi Yesu kristo anavyo elekeza tuombe ,point kuu ni kuanzia mstari wa 2 mpka 14, Aina za kufunga au Aina za maombi ya kufunga ndiyo hapo ,Ubarikiwe
@GodyMosha-vf4zu11 ай бұрын
Kwakweli nabarikiwa sana nikimsikia ma ubiri yake naona nimefika kwenye uzima nafa rijika sana ameni barikiwasana
@stephanosospeter1709 Жыл бұрын
Ameen
@caleblonjiringa8466 Жыл бұрын
Amen
@stephanosospeter1709 Жыл бұрын
Ameen
@elishaskazwe5832
Жыл бұрын
Jamani MUNGU akuzidishe zaidi wewe na familia yote kwa ujumla, Natamani siku moja nami nikuone live
Пікірлер: 65
Baba mwakasege wewe ni mtumishi ambaye dunia yote itafika mahari itanena kwa lugha moja mimi nimekuamini na kukupenda zaidi najisikia furaha na amani juu ya somo hili Amen
Nimeipenda hiyo, huwezi kuwa nuru ukalalamikia giza, ukilalamikia giza na wewe ni nuru basi na wewe ushakuwa giza. Asante Yesu kwa maarifa haya
Namshukuru sana Mungu niliweza kufika kule Dodoma kwenye ukumbi wa maombi nami nikauzunguka tukiongozwa na mwlm ni neema iliyoje❤❤🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
@PaskalinaSukum-hk4xj
Жыл бұрын
Ninapenda huduma sana huduma ya mwalim na nabarikiwa sana mahubiri yake
Emungu Asante kwa ujumbe huu ulio mtumia mtumishi wako
Yesu asante sana kwa kutupa mtumishi tanzania jina lako liinuliwe Bwana.
Baba naomba nitumie nafasi hii kumshukuru Mungu kwaajili yako na familia yako, mimi ni moja ya matunda ya kazi ya Mungu uloifanya
Mungu wa mbinguni aone shida zinazo ni tesa anioneye uruma n'a anifunguwe Amen .🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@elishamwakasege9794
Жыл бұрын
Amina
Ahimidiwe Mungu wetu wa Mbinguni Kwa kutupa zawadi hii ya MANA
Nabalikiwa sana na huduma yako mtumimshi wa Mungu
Aminaaa kwa kumjuaaa munguu na azidiiii kunifunguliaaa njiaaa juuu ya maombii niliyomuombaaaa baba anguuu maaan alisemaaa chchte tutakacho muombaa kwa jinaaa lakee atatufanyiiaa bas na mm nazidii kumuombaaa anitendeeee na mimi🙏
Amina Mungu atukuzwe Mwalim na family yako, Yakima Mungu ni mkuu alie inua chombo cha Taifa la Tanzania .daima ninakuombea baba pamoja na family yako, Mungu awalinde na Malaika wake 🙏🙏🙏🙏
Kwakweli nabarikiwa sana nikimsikia ma ubiri yake naona nimefika kwenye uzima nafa rijika sana ameni barikiwasana
Ameen Ameen mtumishi wa Mungu Mungu azidi kuwainua na kuikuza huduma ya mana
Amen 🙏🙏 Mtumishi wa Mungu nabarikiwa san na mafundisho yako nakua kiroho siku hadi siku Mungu hakutunze san mtumishi wa Mungu
@elishamwakasege9794
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
Kwa kweli baba uliyoyasema umefanya kazi ya Mungu mpaka nakuonea wivu je mimi namwambia nini Mungu nimefanya nini tangu nimemjua yeye!!! Nimeona jinsi gani napaswa kumtumikia Mungu maana sio siku zimebaki bali ni masaa yamebaki Yesu arudi
Amen
Ni maombi yangu kwa Mungu,akupe ratiba ya kuja Kigoma.
Amen Daddy in faith ♥️♥️♥️🙏🙏🙏
🙏 NISHIKE MKONO BWANA NISIZAME. ISHI NDANI YANGU UNISHINDIE. BILA WEWE MIMI SIWEZI , NISHIKE MKONO BWANA NISIMAME. HALELUYA.
Barikiwa sana mtumishi wa BWANA.
Namshkuru mungu Kwa ajili Yako mtumishi maana umenivusha daima
Naomba please kama inawezekana mkiwa mnarusha zile semina muwe mnaandika na Days....like DAY 1, DAY 2 etc hii inatusaidia sana sisi tunao fuatilia huku .... zamani mlikuwa mnaandika but now days naona hamuandika...😭😭 Please
This is good and right
Nimepata kitu kipya kwenye kongamano hili. Asante Yesu kwa neno la nabii Habakuki. Ni mbaya kuingia kwenye maombi na malalamiko.😊
🎉❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mungu nifundishe na mm asante
Kwa kweli tulimuona Mungu
😢😢😢😢Mungu nisaidie 😢
Asnt sana ubarikiwe na Mungu
Mwalimu, nina ombi siku moja mpange kuja zanzibar kwakwel nitafurahi sana.
mpange pia mje Kenya pia mwalimu...
Mzee sijaelewa vizuri, unawe ukawa na Yesu na usiwe na ufalme?,nashindwa kuelewa kabisa
@elizag.edmond7637
Жыл бұрын
Unamaana gani
Amen ,I'm blessed
@emanuelpeter9247
Жыл бұрын
Amen
Always who so ever called,God's kingdom must be revealed un to him.
Amen mungu atusaidie
Jamani manyara lini
Ninaomba msaada wa mahasiliyano na mwalimi samaani na itaji saaana nipo mbali na Tanzania,na ishi Norwegian
Waoh asante Yesu Kristo kwa huduma hii
@emanuelpeter9247
Жыл бұрын
Good
@elizag.edmond7637
Жыл бұрын
@@emanuelpeter9247 naomba namba ya pastor huyo
MUNGU nirehem Mimi mwenye Dhambi
Ameen
Amen,
Amina
ameN
Ameni
Amen.Amen
Dabrooshiaaaahhh
@VanisyJonathan
Ай бұрын
Nn
🎉🎉🎉🎉
😭😭😭😭😭
Kuna kitu mungu ananisemesha sana kuhusu huduma,lakini sielewi,nasijui naanzia wapi,cha ajabi zaidi,anakutumia wewe mtumishi mwakasge kwenye ndoto zangu,nisaidie baba,niliota nimeenda kuomba kazi nilipofika ofisini nikakuta juu ya mlango wa ofisi pameandikwa,OFISI YA MCHUNGAJI MKUU,nilipoingia ndani nikamkuta mchungaji mkuu,akaniambia nitakupa kazi lakini hadi ufanye intavew,akanipangia siku yakuja kwenye intaview na akanipeleka kwa mtu wakuniintaview,nikaanza kumpeleleza huyo kijana atakae niintaview,kwamba intaview itakuwa yaaina gani? Akanijibu,intaview inahusiana na neno la mungu,akaniambia nikasome sana neno la mungu,nikashtuka usingizini.
@user-qi4nl5hd5e
9 ай бұрын
Mchungaji mkuu ni Yesu,na mbona wewe Mungu amekujibu kwa wazi kabisa ndo unatakiwa usome Neno Mungu atakutumia sana
Natarajia kitu na ninakisikia ndani yangu roho ya maombi
@elizag.edmond7637
Жыл бұрын
Hongera anza kuomba pole pole ,mpka utakuja kufikia kusudi la Mungu, maombi anayopendezwa nayo soma isaya sura ya 58 mstari wa 1 mpka 14,, pasome kwa kutafakari Sana urudie omba Roho akufundishe hapo unapoanza kupasoma ,ndipo utakapokuwa na nguvu nyingi kwenye kuomba ,mana utajua nini Mungu anapenda mtu aombapo ,ubarikiwe Sana.
@elizag.edmond7637
Жыл бұрын
Utaona jinsi Yesu kristo anavyo elekeza tuombe ,point kuu ni kuanzia mstari wa 2 mpka 14, Aina za kufunga au Aina za maombi ya kufunga ndiyo hapo ,Ubarikiwe
Kwakweli nabarikiwa sana nikimsikia ma ubiri yake naona nimefika kwenye uzima nafa rijika sana ameni barikiwasana
Ameen
Amen
Ameen
@elishaskazwe5832
Жыл бұрын
Jamani MUNGU akuzidishe zaidi wewe na familia yote kwa ujumla, Natamani siku moja nami nikuone live