Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
@annegoldsmith81952 жыл бұрын
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
@upendoramadhan9222
2 жыл бұрын
Mungu amuongeze nguvu amuweke
@marcelineshanga9811
8 ай бұрын
Mushungaji tupenaba zako litukuwe nakupatakirahisi mungu akubariki saaaaaaaana
@marcelineshanga9811
8 ай бұрын
Tumekulanakunyanakula varohani.namwilini
@magrethsayi
7 ай бұрын
Nahitaji no za pastor nisaidien
@mahindiumakinisa4732
6 ай бұрын
Ninabarikiwa sana na nelo la mungu unalotufundisha
@maureenkemei92542 жыл бұрын
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
@adeladaudi87804 жыл бұрын
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
@anastaziaemily4708
3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mpendwa!!!
@adelinakastory4337
2 жыл бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu by adela
@zainabuathumani2571
12 күн бұрын
Amen paster Mungu akunze
@pendomtemi94393 жыл бұрын
Atukuzwe Mungu ufumbuzi wa changamoto yangu umepatikana kupitia somo hili.Barikiwa Mchungaji.
@givengaby60673 жыл бұрын
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
@solomonmakori77983 жыл бұрын
Pr mbaga I love ur teaching from Nairobi Kenya really blessed as u continue praying for us
@beatricemageka79723 жыл бұрын
Tuondoe woga tumpe Mungu nafasi nafsini mwetu milele ,Amina
@sophiamwakila33003 жыл бұрын
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika. Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
@tabithayohana85733 жыл бұрын
Amina dah nimejifunza kitu hapa,nadhani wengi wamejifunza
@selinasulle26063 жыл бұрын
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
@user-kf9pu3cl9g10 күн бұрын
Bwana akubariki kwa mahubiri yanayotugysa karne hii. Mungu atusaidie saana.
@princembarato4013 жыл бұрын
This video has 7 months lakini Ndio marayangu ya kwanza kuzifuata,nimebarikiwa sana tena nimekomalia kanisani ila sijawahia kuhubiriwa maneno kama haya nitayafuata yamenijenga sana from USA
@kangwambassa6690
3 жыл бұрын
Mm pia KWA Yesu kuna raha
@uangazetv
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana neema ya Bwana izidi kuwa nawe siku zote za maisha yako
@etoabwe34513 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho imenijenga sana na kuniongezea Imani
@elishangomele99373 жыл бұрын
😍😍 pastor mungu azidi kukufungulia njia mda ote
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
Amen
@devothamichael93962 жыл бұрын
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
@helenmagoti50314 жыл бұрын
Ukiwa ndani ya Yesu Ni raha;
@stigmanonsare3672
3 жыл бұрын
Amen
@user-nt7jc1ns3k6 ай бұрын
Amen nimebarikiwa na neno la mungu
@heldaoigo765910 ай бұрын
Powerful sermons May the Almighty God continue blessing you for us
@asooraaasooraa48164 жыл бұрын
Ameen ushindi ni hakika tukiwa ndani ya yesu
@equilinendikubwayo56453 жыл бұрын
Amen Amen barikiwe mtumishi wa mungu na barikiwe Sana pasteur David
@SimisiKambale7 ай бұрын
Mungu akubariki sana mchungaji,nitapita vitabu namna gani mimi niko hapa congo kwenye mpaka ya uganda na congo.
@juliusmantago45113 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana Mungu akujalie maisha marefu
@selinasulle26063 жыл бұрын
Mungu tuongezee imani na utpe amani yako na ikae ndani yetu amen
@ramadhanurasa61983 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor kwa sms nzuri, naamini watu wengi haswa vijana watona umuhimu wa k7zikabidhi nafsi zao kwa Bwana Yesu Kriato. Be blessed pastor
@user-kf9pu3cl9g10 күн бұрын
Bwana naomba Damu ya Yesu irudishe nafsi yangu niliyoiuza sababu ya hofu na hasira ya mateso niliyoletewa na wanadamu wenzangu. Nisamehe, nirehemu niokoe na unikomboe mwana wa Mungu.
@stigmanonsare36723 жыл бұрын
I'm Stigman Onsare from Kenya be blessed pastor kwa Mahubiri.
@jailomhengilolo28984 жыл бұрын
Amina barikiwa Mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu wa matumaini Ahsante.
@robertbenswell5043 жыл бұрын
Iam blessed pastor 🙏 May almighty God 🙏 bless you abundantly, from Nairobi Kenya
@jeremiahmayala20993 жыл бұрын
Ninamdogo wangu anasumbuliwa na mapepo baada ya kuchaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza BWIRU SEC. MWANZA baada ya kutoka KIGOMA shule ya Kata,ameripoti BWIRU sec. tu mapepo yakaanza kumshambulia kwa kumuonya kuwa katika elimu hatafanikiwa,pastor nimesikia ujumbe huu kuwa kila MTU anao moto wa yesu,yaani nguvu ya kukemea pepo,MUNGU AKUBARIKI katika maombi utusaidie maana kila kikanyaga tu getini wanaanza kumshambulia, nakirudi nyumbani mapepo wanamsifu kuwa amefanya vyema PASTOR TUSAIDIE KATIKA MAOMBI AFUNGULIWE.
@ezechielniyonkuru6783
3 жыл бұрын
Mungu anakuona tuombeane tu ,mwinjirist Ezechiel burjumbura Burundi tuko nanyi
@mrsdeborahurio2 жыл бұрын
Nakuelewa sana Usemacho maana nimekutana nayo; ni raha kuwa wa YESU!
@anordamtv89843 жыл бұрын
God bless you pastor for your great job
@mossesjoseph22023 жыл бұрын
Kwa YESU kuna raha, hakuna masharti ya ajabu ajabu,Siku zote utaishi ukiwa huru, mwenye amani na furaha, jina la BWANA libarikiwe.
@nansyas2643 жыл бұрын
Waaa pst God bless you soo much umeguzia mambo mengi ambayo Leo hii tu naishi katika Hali hiyo tu kubali mungu ndio muweza kila kitu
@lilianjacobs248
3 жыл бұрын
Mungu akubariji
@belindakennedy234310 ай бұрын
Asante sana Pastor umenipa ujasiri wa ajabu katika maisha yangu..Hakika Shetan ameshindwa kwa Jina la Yesu
@joykapaya19703 жыл бұрын
Oh powerful. Remain blessed Pastor.
@PaulineWanjiku-re2hy9 ай бұрын
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
@rahabnkya82763 жыл бұрын
POWERFUL MAN OF GOD YOU HAVE INSPIRED ME ALOT IN YOUR SERMONS.
@braysonsuleman3583
3 жыл бұрын
Bwana aturehem
@paschalmashili51953 жыл бұрын
Niombee pr mm Paschal Paul Mashili nilikuwa mkristo mpenda mungu leo hii nimetokomea mch
@everlynenyonga21303 жыл бұрын
Everytime I listen to your sermons I get l uplifted,be blessed Pastor.
@johnrose54602 жыл бұрын
Asante pasta kwa mafundisho mazuri
@danielnzyoka59383 жыл бұрын
Really blessed! God bless you pastor Mmbaga.
@anthonysnsabi Жыл бұрын
Nakushukuru sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubark zaid na zaid. Yote uliyoyafundisha hapa yamekua yakinikuta tangu nimeamua kuokoka, ushindi naupata kwa jina la Yesu. Nashukuru neema ya Mungu kunishukia mpaka kuokoka kwani leo naishi ktk amani ya Kristo iliyonipa nguvu mpya ya kiungu ktk maisha yangu
@bensonmusau60362 жыл бұрын
Your sermons have been a blessing to many, I included. Asante sana
@joykapaya19703 жыл бұрын
Oh powerful. Remain blessed pastor.
@gilbertmgabriel91583 жыл бұрын
Thank you Pastor, God Bless you
@rehemakulwijira96622 жыл бұрын
Nimebarikiwa SANA na hili somo sababu napitia changamoto hizi kwenye maisha yangu had leo
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
Glory be to God for we learn everyday, God bless you Pastor.
@user-gi4cf2cl1p7 ай бұрын
Mchungaji David mungu akumbariki sana kwa mafundisho ya bibilia Ni Petro kutoka kenya
@juliusphinias31562 жыл бұрын
Mungu akuongezee maarifa ya kuuchambua ukweli.
@samogoti10 ай бұрын
Wonderful & encouraging sermons.. Pr Mmbaga God bless you
@nicholasmomanyi9593 жыл бұрын
Amen nalifuatilia xn kila mahuburi yako n nabarikiwa mno moyo watulia mungu akujalie n nguvu uendelee kuhubiri neno lake n kutuelimisha
@hamisilumona71633 жыл бұрын
Napenda sana maubiri yako pastor. Mungu akubariki na anibariki na mimi pia kwa neema yake.
@stanleykamau32353 жыл бұрын
Praise God pastor am in Kenya and am blessed by your teachings
@IsackDaudi-tm3ub Жыл бұрын
Mungu uliye mbinguni leo ni siku ya kuokolewa kwangu naomba unirehemu na unisamehe makosa yangu na unihurumie nimeumwa mda mrefu fizi za meno nihurumie mwana wa daudi
@user-rx3rl9yb3o7 ай бұрын
❤ pastor mbaga umnigusa sana na maubili yako MUNGU akuongese nguvu kwa kasi yako Josephine kenya kisii.
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Amen
@josephnyangau3272
4 жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa kutumia chombo chake.
@bonventureminja9697
4 жыл бұрын
Mchungaji mwanangu anavuta bangi na kutokufanikiwa naomba umwombee abadilike
@nicemtorela1498
4 жыл бұрын
Amen Pr.
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Mungu atatenda
@felicianamutakyahwa15493 жыл бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri, umenitia nguvu na shetani hanibabaishi tena nitamkanyaga vibaya.
@faithmoraa4542 Жыл бұрын
Thank you pr. Nimebarikiwa,Mimi n faith kutoka kenya
@RovniHollota-jw6ir3 ай бұрын
Mungu awabariki!!!!! Ni wakati wa kupiga panda ulimwengu utambue kuwa yesu ANAKUJA hivi punde
@user-uu3ie5mu3w11 ай бұрын
Pasteur Mungu zaidi kukubariki
@preciousprecious7040 Жыл бұрын
Amina pr! Mungu akubariki sana! Akupe afya na nguvu uzidi kutusogeza karibu na kristo🙏
@equilinendikubwayo56453 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu pasteur David
@jeremiahoumaonditi82854 жыл бұрын
Thanks for the somo barikiweni servants of God
@hbdina2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen 🔥🔥🔥🙏
@user-hd5kc9lw6m4 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@gloriadunstan71903 жыл бұрын
Leo nimefurahi sana sana pastor , Barikiwa mno,,, kumbe Nina nguvu za ajabu sana ndani yangu,,
@rovinapastori77463 жыл бұрын
Somo zuri,nimebarikiwa mno Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake
@witnessmalangalila913 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu unanibariki Sana na Mafundisho yako🙏
@samledbunt27743 жыл бұрын
Amina sana PR davd nabarikiwaga sana kwa mafundsho yako Sir God akuzidishie
@lucyelihazina67783 жыл бұрын
Ahsante kwa somo zuri pastor
@stellahnyangau88233 жыл бұрын
Amen Amen barikiwa pastor
@marymwinga9854 жыл бұрын
Mungu akubariki pastor kwa habari hii njema
@nansyas2643 жыл бұрын
Nimebarikiwa nikiwa Saudia Arabia waaah pst sichoki na maubiri yako Ubarikiwe sana
@carenkambua39083 жыл бұрын
Asante ,Mungu akubariki..umenitia moyo
@thetwobros25993 жыл бұрын
Amen sana pr.ubarikiwe
@mlishohadija69235 ай бұрын
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
@EliaSimoni-ye6lv10 ай бұрын
God is power barikiwa sana mchungaji
@aliceagoodsongnicevoices48553 жыл бұрын
Watched from Saudi Arabia God bless you for the wonderful gospel that is so touching may God help his children àll the time
@user-pl6tv4ul6m
6 ай бұрын
Be blessed
@benjaminpaluku68872 жыл бұрын
Asante pasteur
@user-dy5ik1sm2d5 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@nyotamayemba58873 жыл бұрын
Mungu atusaidie...ubarikiwe pastor😍
@ireneorina35603 жыл бұрын
Pastor nashukuru Sana, umenipa encouragement
@wishitwinzi80673 жыл бұрын
Nmefurahia sana mafundisho yako haya, Mungu akubariki sana na uniombee mimi na mke wa rafiki yangu, we omba tu ujuavyo kwa kulingana na fundisho hili
@pericykiko61983 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi
@mathsnewdiscoveries2 жыл бұрын
Let Jesus our Lord truly bless you my pastor.
@rosepeter89963 жыл бұрын
AMEN🙏🙏MCHUNGAJI BARIKIWA SANA,UMETUELIMISHA,NA HASA WATOTO WETU TWAWAHIMIZA ILI WAFIATE NJIA ILIO SAWA ILI KUUFIKIA UFALME WA MUNGU.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
@alexboni2904
3 жыл бұрын
Barkiwa
@rachelmlingwa88803 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@jemairisparick75413 жыл бұрын
God bless you pastor napenda mahubiri yako
@merinterchangala2123 жыл бұрын
Amen pastor 🙏🙏
@paulwambua49563 жыл бұрын
Am blessed pr. Ningependa unisaidie kwa maombi ya kibisafsi. Paul from meru Kenya
@simonkuyyi3983
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,akazidi kukufunulia upate kuwaangazia mataifa.
@mashaeliazer74334 жыл бұрын
Hallelujah Mimi na yesu ni mtu na mdogo ake,Asante yesu
@mercelinemapenzikazungu1784
3 жыл бұрын
Yesu ndiwe kimbilio langu nipe niregeshee mume wangu Daniel
@mathsnewdiscoveries2 жыл бұрын
Mungu wako unaemwabudu wa kweli na anisaidie sikumoja nionane nawewe Mchungaji wa kweli wa Mungu aliye hai, Yesu naomba unikutanishe na Mtumishi wako maana kupitia huyo unanibariki Mungu wangu.
@rehemakaresa60233 жыл бұрын
Amen Amen God blessing you
@selfaakinyi5123 жыл бұрын
Am always blessed listening to your sermon pastor Mbanga , from Qatar.
@sophiasophia6945
3 жыл бұрын
Selfa btogether ana fii Oman
@conniemukami1274 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki pr na akupe maisha marefu uuendelee kueneza injili ya Kristo. Kweli Mungu ana nguvu kuliko vitu vyote,
@frankgabriely9294
3 жыл бұрын
Amina
@ushindidaycare234
3 жыл бұрын
Past Dav nikama ulijuwa haliniliyonayo maana nimetishwa sana nakuomba unipe kampani ya maombi maana nikojilani kushindwa
Пікірлер: 354
Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
@upendoramadhan9222
2 жыл бұрын
Mungu amuongeze nguvu amuweke
@marcelineshanga9811
8 ай бұрын
Mushungaji tupenaba zako litukuwe nakupatakirahisi mungu akubariki saaaaaaaana
@marcelineshanga9811
8 ай бұрын
Tumekulanakunyanakula varohani.namwilini
@magrethsayi
7 ай бұрын
Nahitaji no za pastor nisaidien
@mahindiumakinisa4732
6 ай бұрын
Ninabarikiwa sana na nelo la mungu unalotufundisha
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
@anastaziaemily4708
3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mpendwa!!!
@adelinakastory4337
2 жыл бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu by adela
@zainabuathumani2571
12 күн бұрын
Amen paster Mungu akunze
Atukuzwe Mungu ufumbuzi wa changamoto yangu umepatikana kupitia somo hili.Barikiwa Mchungaji.
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
Pr mbaga I love ur teaching from Nairobi Kenya really blessed as u continue praying for us
Tuondoe woga tumpe Mungu nafasi nafsini mwetu milele ,Amina
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika. Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
Amina dah nimejifunza kitu hapa,nadhani wengi wamejifunza
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
Bwana akubariki kwa mahubiri yanayotugysa karne hii. Mungu atusaidie saana.
This video has 7 months lakini Ndio marayangu ya kwanza kuzifuata,nimebarikiwa sana tena nimekomalia kanisani ila sijawahia kuhubiriwa maneno kama haya nitayafuata yamenijenga sana from USA
@kangwambassa6690
3 жыл бұрын
Mm pia KWA Yesu kuna raha
@uangazetv
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana neema ya Bwana izidi kuwa nawe siku zote za maisha yako
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho imenijenga sana na kuniongezea Imani
😍😍 pastor mungu azidi kukufungulia njia mda ote
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
Amen
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
Ukiwa ndani ya Yesu Ni raha;
@stigmanonsare3672
3 жыл бұрын
Amen
Amen nimebarikiwa na neno la mungu
Powerful sermons May the Almighty God continue blessing you for us
Ameen ushindi ni hakika tukiwa ndani ya yesu
Amen Amen barikiwe mtumishi wa mungu na barikiwe Sana pasteur David
Mungu akubariki sana mchungaji,nitapita vitabu namna gani mimi niko hapa congo kwenye mpaka ya uganda na congo.
Mtumishi wa Bwana Mungu akujalie maisha marefu
Mungu tuongezee imani na utpe amani yako na ikae ndani yetu amen
Mungu akubariki pastor kwa sms nzuri, naamini watu wengi haswa vijana watona umuhimu wa k7zikabidhi nafsi zao kwa Bwana Yesu Kriato. Be blessed pastor
Bwana naomba Damu ya Yesu irudishe nafsi yangu niliyoiuza sababu ya hofu na hasira ya mateso niliyoletewa na wanadamu wenzangu. Nisamehe, nirehemu niokoe na unikomboe mwana wa Mungu.
I'm Stigman Onsare from Kenya be blessed pastor kwa Mahubiri.
Amina barikiwa Mtumishi wa mfalme kwa ujumbe huu wa matumaini Ahsante.
Iam blessed pastor 🙏 May almighty God 🙏 bless you abundantly, from Nairobi Kenya
Ninamdogo wangu anasumbuliwa na mapepo baada ya kuchaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza BWIRU SEC. MWANZA baada ya kutoka KIGOMA shule ya Kata,ameripoti BWIRU sec. tu mapepo yakaanza kumshambulia kwa kumuonya kuwa katika elimu hatafanikiwa,pastor nimesikia ujumbe huu kuwa kila MTU anao moto wa yesu,yaani nguvu ya kukemea pepo,MUNGU AKUBARIKI katika maombi utusaidie maana kila kikanyaga tu getini wanaanza kumshambulia, nakirudi nyumbani mapepo wanamsifu kuwa amefanya vyema PASTOR TUSAIDIE KATIKA MAOMBI AFUNGULIWE.
@ezechielniyonkuru6783
3 жыл бұрын
Mungu anakuona tuombeane tu ,mwinjirist Ezechiel burjumbura Burundi tuko nanyi
Nakuelewa sana Usemacho maana nimekutana nayo; ni raha kuwa wa YESU!
God bless you pastor for your great job
Kwa YESU kuna raha, hakuna masharti ya ajabu ajabu,Siku zote utaishi ukiwa huru, mwenye amani na furaha, jina la BWANA libarikiwe.
Waaa pst God bless you soo much umeguzia mambo mengi ambayo Leo hii tu naishi katika Hali hiyo tu kubali mungu ndio muweza kila kitu
@lilianjacobs248
3 жыл бұрын
Mungu akubariji
Asante sana Pastor umenipa ujasiri wa ajabu katika maisha yangu..Hakika Shetan ameshindwa kwa Jina la Yesu
Oh powerful. Remain blessed Pastor.
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
POWERFUL MAN OF GOD YOU HAVE INSPIRED ME ALOT IN YOUR SERMONS.
@braysonsuleman3583
3 жыл бұрын
Bwana aturehem
Niombee pr mm Paschal Paul Mashili nilikuwa mkristo mpenda mungu leo hii nimetokomea mch
Everytime I listen to your sermons I get l uplifted,be blessed Pastor.
Asante pasta kwa mafundisho mazuri
Really blessed! God bless you pastor Mmbaga.
Nakushukuru sana Pastor kwa mafundisho Mungu akubark zaid na zaid. Yote uliyoyafundisha hapa yamekua yakinikuta tangu nimeamua kuokoka, ushindi naupata kwa jina la Yesu. Nashukuru neema ya Mungu kunishukia mpaka kuokoka kwani leo naishi ktk amani ya Kristo iliyonipa nguvu mpya ya kiungu ktk maisha yangu
Your sermons have been a blessing to many, I included. Asante sana
Oh powerful. Remain blessed pastor.
Thank you Pastor, God Bless you
Nimebarikiwa SANA na hili somo sababu napitia changamoto hizi kwenye maisha yangu had leo
Glory be to God for we learn everyday, God bless you Pastor.
Mchungaji David mungu akumbariki sana kwa mafundisho ya bibilia Ni Petro kutoka kenya
Mungu akuongezee maarifa ya kuuchambua ukweli.
Wonderful & encouraging sermons.. Pr Mmbaga God bless you
Amen nalifuatilia xn kila mahuburi yako n nabarikiwa mno moyo watulia mungu akujalie n nguvu uendelee kuhubiri neno lake n kutuelimisha
Napenda sana maubiri yako pastor. Mungu akubariki na anibariki na mimi pia kwa neema yake.
Praise God pastor am in Kenya and am blessed by your teachings
Mungu uliye mbinguni leo ni siku ya kuokolewa kwangu naomba unirehemu na unisamehe makosa yangu na unihurumie nimeumwa mda mrefu fizi za meno nihurumie mwana wa daudi
❤ pastor mbaga umnigusa sana na maubili yako MUNGU akuongese nguvu kwa kasi yako Josephine kenya kisii.
This is amazing grace from God for His people
Barikiwa mtumishiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii amen
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Amen
@josephnyangau3272
4 жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa kutumia chombo chake.
@bonventureminja9697
4 жыл бұрын
Mchungaji mwanangu anavuta bangi na kutokufanikiwa naomba umwombee abadilike
@nicemtorela1498
4 жыл бұрын
Amen Pr.
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Mungu atatenda
Asante kwa mafundisho mazuri, umenitia nguvu na shetani hanibabaishi tena nitamkanyaga vibaya.
Thank you pr. Nimebarikiwa,Mimi n faith kutoka kenya
Mungu awabariki!!!!! Ni wakati wa kupiga panda ulimwengu utambue kuwa yesu ANAKUJA hivi punde
Pasteur Mungu zaidi kukubariki
Amina pr! Mungu akubariki sana! Akupe afya na nguvu uzidi kutusogeza karibu na kristo🙏
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu pasteur David
Thanks for the somo barikiweni servants of God
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen 🔥🔥🔥🙏
Mungu akubariki sana mtumishi
Leo nimefurahi sana sana pastor , Barikiwa mno,,, kumbe Nina nguvu za ajabu sana ndani yangu,,
Somo zuri,nimebarikiwa mno Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake
Barikiwa Mtumishi wa Mungu unanibariki Sana na Mafundisho yako🙏
Amina sana PR davd nabarikiwaga sana kwa mafundsho yako Sir God akuzidishie
Ahsante kwa somo zuri pastor
Amen Amen barikiwa pastor
Mungu akubariki pastor kwa habari hii njema
Nimebarikiwa nikiwa Saudia Arabia waaah pst sichoki na maubiri yako Ubarikiwe sana
Asante ,Mungu akubariki..umenitia moyo
Amen sana pr.ubarikiwe
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
God is power barikiwa sana mchungaji
Watched from Saudi Arabia God bless you for the wonderful gospel that is so touching may God help his children àll the time
@user-pl6tv4ul6m
6 ай бұрын
Be blessed
Asante pasteur
Ubarikiwe mtumishi
Mungu atusaidie...ubarikiwe pastor😍
Pastor nashukuru Sana, umenipa encouragement
Nmefurahia sana mafundisho yako haya, Mungu akubariki sana na uniombee mimi na mke wa rafiki yangu, we omba tu ujuavyo kwa kulingana na fundisho hili
Ubarikiwe sana Mtumishi
Let Jesus our Lord truly bless you my pastor.
AMEN🙏🙏MCHUNGAJI BARIKIWA SANA,UMETUELIMISHA,NA HASA WATOTO WETU TWAWAHIMIZA ILI WAFIATE NJIA ILIO SAWA ILI KUUFIKIA UFALME WA MUNGU.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👍👍👍👍👍🙏🙏🙏🙏💞💞💞💞💞💞
@alexboni2904
3 жыл бұрын
Barkiwa
Barikiwa mtumishi
God bless you pastor napenda mahubiri yako
Amen pastor 🙏🙏
Am blessed pr. Ningependa unisaidie kwa maombi ya kibisafsi. Paul from meru Kenya
@simonkuyyi3983
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu,akazidi kukufunulia upate kuwaangazia mataifa.
Hallelujah Mimi na yesu ni mtu na mdogo ake,Asante yesu
@mercelinemapenzikazungu1784
3 жыл бұрын
Yesu ndiwe kimbilio langu nipe niregeshee mume wangu Daniel
Mungu wako unaemwabudu wa kweli na anisaidie sikumoja nionane nawewe Mchungaji wa kweli wa Mungu aliye hai, Yesu naomba unikutanishe na Mtumishi wako maana kupitia huyo unanibariki Mungu wangu.
Amen Amen God blessing you
Am always blessed listening to your sermon pastor Mbanga , from Qatar.
@sophiasophia6945
3 жыл бұрын
Selfa btogether ana fii Oman
Amen, Mungu akubariki pr na akupe maisha marefu uuendelee kueneza injili ya Kristo. Kweli Mungu ana nguvu kuliko vitu vyote,
@frankgabriely9294
3 жыл бұрын
Amina
@ushindidaycare234
3 жыл бұрын
Past Dav nikama ulijuwa haliniliyonayo maana nimetishwa sana nakuomba unipe kampani ya maombi maana nikojilani kushindwa
You are wonderful pastor
Asante kwa somo Zuri Pr.