TAMBUA NJIA ZA MUNGU MAISHANI SEH 2 | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
Жүктеу.....
Пікірлер: 103
@EvaGregory-bk4sk Жыл бұрын
Nakupenda pasta MUNGU aendeleee kukutunza uzidii kutupa mafundisho
@AmaniIkomoelo3 күн бұрын
Asante sana Mwenyezi Mungu Kwaku nibadilisha tabia zangu
@aloycelyimo1518 Жыл бұрын
Barikiwa pastor; kwa neema zake Mungu baraka hizi zikawafikie na wengine sote tuongozwe katika njia zake
@magretmwinukafarijala3 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa mungu
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Asantii pst mahubiri haya yananifanya kusogea mbele za mungu,God bless you
@janethgreysonmakengomakeng41454 ай бұрын
Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.
@BeatriceMathew-qy5lw14 күн бұрын
Moyo wangu unafarijika sana ninavosikiliza mahubiri haya
@user-uh9td3ti2z Жыл бұрын
Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa
@user-jx2nc1bz7v Жыл бұрын
Uishi miaka 150 uokoe roho nyingi
@lilianeerica3318
19 күн бұрын
Ameeeen Ameeeen Ameeeen aishi hata na zaidi kama wafalme wa zamani aki na daudi walivyokuwa wanaishi hata zaidi ya myaka Mia 200
@kwandundaki85689 ай бұрын
Hujui tu pastor vile huwa natafuta mahubiri yako nabarikiwa sana sana
@rahimajuma5306 Жыл бұрын
Nakukubali sana Mungu azidi kukupa hekima na maarifa
@marynasyieki37835 ай бұрын
Mafunzo mazuri sana mchunguja, Barikiwa🤲🙏🏿🙏🏿
@fridahnanyokie372 Жыл бұрын
Ur always my favorite and best.Uzidi kubarikiwa na uishi miaka mingi naheri duniani
@eustina0 Жыл бұрын
Pr barikiwa sana mahubiri haya Mungu anifungue macho nione mbele 🙏🙏🙏🙏🙏
@Grace-ts2rf Жыл бұрын
Pastor Mmbaga nakupenda sana kutoka Rwanda Kwa hekima zako wewe ndiye Ps Rutayisire Antoine wa Rwanda
@raphaelmuiris75174 ай бұрын
Mungu nihirume baba yesus nihirume 😢
@leahwainaina43968 ай бұрын
Mungu fungua fikira zangu nitoke kwenye machungu
@user-hg6ru8ib2q9 ай бұрын
Tangu kukupata nimeona majibu ya maswali yangu mengi sana Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu alie juu sana ,,,,,,,wa Afríka Mungu ama tujia pia ,,,, ame tukumbuka kabisa......🇨🇩🇨🇩
@user-ih7rz4rf3i9 ай бұрын
ushindi kwa Yesu ni hakika
@asooraaasooraa4816 Жыл бұрын
Amina Amina nimebarikiwa sana na somo hili nimerudia zaidi ya mara2 ❤❤❤ Mungu akubariki pastor mbanga pamoja na family yako
@negwamwaipopo6467 Жыл бұрын
Hakika,Umenibariki Pastor. Mungu baba akutangulie na kukupa maisha marefu.
@hawamusumba431 Жыл бұрын
Amen amen 🙏 be blessed pst May God protect you and u family
@user-tp8to4sv9x9 ай бұрын
Balikiwa sana mchunganji kwa mafundisho unayo towa
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
Eeee MUNGU naamini jibu la NDUGU YANGU juu ya TIBA yake umeshalipisha KIBALI kinatoka KWAKO. WATU WATESI wangu WOTE wanyamazishwe na waamini njia za MUNGU hazichunguziki kamwe. Haleluya.
@PhebiElias-rw9ns Жыл бұрын
Pasta unanipa mafundisho mema yananifanya nibadilike
@deborahayubu6866 Жыл бұрын
Ulichosema pasta ni kweli
@florianmeshack-e8eАй бұрын
Mungu atakubaliki Sana mtumishi na Mimi niombe kunakitu kinaleta ukuta katika kufikia malengo yangu ya chuo
@MahubiriPrMmbaga
Ай бұрын
Mungu akutendee
@tantinemissi4801 Жыл бұрын
Mnda wote napokusikiliza uwa na barikiwa sawa when you preaching can’t get tiyed of you god bless you pastor
@BonfaceSikuku-rw3io Жыл бұрын
MUNGU BABA na azidi kuku jaza roho mtakatifu na hekima ili ulimwengu uwone utukufu wa MUNGU
@DottoChiriko-wj6dm Жыл бұрын
Barikiwa paster
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
Pastor oooh UMENENA kweli kabisa, vishetani vibaya vibaya vibaya, kwani sina NGUVU ya kuwapiga, NAOMBA MUNGU MWENYEWE awapige kiasi kwamba hawatajua nani anawapiga lkn wapigwe kwa kishondo mshindo mkubwa na bwana yesu na jamii ishuhudie na asiwepo mwingine wa kujaribu kufanya kama hawa.
@ariellatm8741 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu...we love you so much!..
@hassanhussein6161 Жыл бұрын
amen sana mchungaji nakupenda sana mungu akupe siku nyingi za kuishi ili utufundishe neno la mungu
@rodahadhiambo3637 Жыл бұрын
God bless you pastor ,I'm growing daily, may God continue using you and keep you in good health.
@limbunwsaguda3797
Жыл бұрын
l
@wahidakisingo3588
10 ай бұрын
Amina
@margaretwanjiru9096 Жыл бұрын
Niseme je ila kushukuru mungu na akukubuke sana Pastor Mbaga umenisaidia sana kwa mahubiri yako🙏🙏🙏🙏
@giftsimbeye347 Жыл бұрын
Pastor I like your preaching because hakuna sehem unapaluka unagusa kila seem am so blessing
@leahwainaina43968 ай бұрын
Nilikua katika uraibu wa zinaa lakini nashukuru mungu kwa kufunga na kuomba niliacha kabisa hata sikumbuki nangoja mme mwema anaye mwogopa mungu na kumheshimu.
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Mungu atukuzwe
@RamazaniLumbu10 ай бұрын
Mchungaji mungu asifiwe akubariki leo nimebariwa mutukumbuke kwa malombi tutembee katika njia ya bwana Mimi ni ndugu yenu katika Imani jina languni kitungwa dunia Douglas mchungaji Na wote walio pamoja nawe tunaitaji usaada wa maombi yenu kwani mke wangu atapita kwenye opération
@MahubiriPrMmbaga
10 ай бұрын
MUNGU ATENDE MUUJIZA
@JAMESALBANO-uv5kt Жыл бұрын
Nahis furaha
@giftsimbeye347 Жыл бұрын
Stay blessings pastor Mbaga am so blessed only God can give your need 🙏
@GidionBuholela-pt7sm Жыл бұрын
pasta ubarikiwenabwana,
@esterkaogo2390 Жыл бұрын
Ninamshukuru MUNGU WETU wa MBINGUNI nimepokea uponyaji katika ombi hili🙏
@gracekisaka8461 Жыл бұрын
AMEEEN MTUMISHI
@DeoMollamu-ey4tk Жыл бұрын
Bwana akubariki sana pr. Huwa unanibariki sana nikikusikiliza
@emanuelymrombo9900 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana pr mmbaga
@judithnjalambaya2450 Жыл бұрын
Amen. Ubarikiwe pastor Mbaga
@user-bw6rr7rp5c Жыл бұрын
Amen pastor ubarikiwe
@lennysam4126 Жыл бұрын
Baba nifinike mm na family yangu na damu ya Yesu kristu
@janethfwamba8561 Жыл бұрын
Amina mtushii mungu aendelee kukutumia baba
@user-kx6ss2vc8p Жыл бұрын
Mchungaji namshukuru mungu jambo nisomo la muda ila namshukuru mungu kwakunifungua na kuachwa huru kuwa mpya kila sikuu asnte yesu umenitoa kwenye giza nene asante bwana wa majeshiiii
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Ameeeen
@user-kx6ss2vc8p
Жыл бұрын
Nimeamini sauti ya mungu imenena ndani yangu ila nilipuuzia lakini nimepat majibu nikajua kweli nimungu alinisemeshaaa na sikuusikia nimetubu naamini mungu amenisamehee
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
@leahwainaina43968 ай бұрын
Pr niombee nitoke kwenye uraibu wa machungu
@nancyonyiego30711 ай бұрын
Nko na uraibu wa zinaa lakini baada ya kukusikiza niliacha kabisa na ninaichukia hiyo tabia sana
@leahwainaina43968 ай бұрын
Mungu alinionyesha njia za haki
@Joy-mm1ut
3 ай бұрын
Halleluyah yesu niongeze katika njia zako nimeteseka kwa mda mrefu lakini Leo utaniongoza katika njia sahihi Amina
@alicemwaka3762 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@adellahchipanyanga5107 Жыл бұрын
Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa sana
@ywydhhd7941 Жыл бұрын
Aki mchungaji MUNGU WA mbinguni awabariki sana, Ila Leo umenichekesha sana bendi 1😂😂😂😂😂
@Boreshandotoyako Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pr.
@adellahchipanyanga5107 Жыл бұрын
Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa Mtumishi
@akinyiroselyne2697 Жыл бұрын
Lead me in your ways ooh Lord
@esterkaogo2390 Жыл бұрын
Toka songea
@sarahemukule Жыл бұрын
Amen amen 🙏🙏,be blessed pastor
@AdrianoChacha-yw2yb Жыл бұрын
Amen
@adorymongish2972 Жыл бұрын
I say waweka wazi kabisa tutupu
@leilahjaye6413 Жыл бұрын
I connected for my children to stop substance abuse. In Jesus mighty name
@ernestmhilya960 Жыл бұрын
Asante aba kwa mtu huyu maishani mwetu
@ruthmagare8725 Жыл бұрын
Thanks pastor for the good message. God continually bless you
@erickmbasa6193
Жыл бұрын
Amina
@eliyaedward Жыл бұрын
BWANA AKUBARIKI PASTOR
@danielfesto489 Жыл бұрын
amina pastor
@happynessisack7918 Жыл бұрын
Mchungaji ulisema hivyo ndoa zote zitavunjika maana mme mnaaza kujadili vizuri lakini mwisho wake ni shidaaa
@leilahjaye6413 Жыл бұрын
Amen Amen
@christinesavai884 Жыл бұрын
Amen and Amen
@King_Of_Everything Жыл бұрын
🙏👊✌️.
@user-is9iv7fd3i Жыл бұрын
Amen 🙏
@kwandundaki85689 ай бұрын
Pastor umenichekesha eti ukichwa wiki mambo hayashiki😅😅😅😅😅
@zirhumanafiston9174 Жыл бұрын
Amina 🇨🇩
@daud8785 Жыл бұрын
Amina Amina
@BarnabasJonas-nv4ig Жыл бұрын
MUNGU atusaidie AMINA
@magrethjuma8515 Жыл бұрын
Sa mchungaji je ukiwa ume fanya zinaaa na mchumba wako kabla ya ndoa hiyo nayo Bado ni dhambi mbele za mungu?????😔 please tujibu 🧎
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Kutoka 20:14 Usizini. Thou shalt not commit adultery.
@DottoChiriko-wj6dm Жыл бұрын
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAko
@DottoChiriko-wj6dm Жыл бұрын
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAKO
@user-is9iv7fd3i Жыл бұрын
Nataka kuongea na yeye please
@apostlezizi Жыл бұрын
Gehazi bwana 😂 alikua anatabia kama za wasaidizi wa waganga wa kienyeji, wana mikwara
@user-is9iv7fd3i Жыл бұрын
Mnisaindie number ya pastor mmbaga plz.niko kenya
@user-is9iv7fd3i Жыл бұрын
Hii church ya pastor mmbaga Iko side gani hiku Nairobi plz
@NkwayaDotto
Жыл бұрын
Uliza s.d.a church utakuwa umefika
@janethgreysonmakengomakeng41454 ай бұрын
Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.
@user-uh9td3ti2z Жыл бұрын
Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa
Пікірлер: 103
Nakupenda pasta MUNGU aendeleee kukutunza uzidii kutupa mafundisho
Asante sana Mwenyezi Mungu Kwaku nibadilisha tabia zangu
Barikiwa pastor; kwa neema zake Mungu baraka hizi zikawafikie na wengine sote tuongozwe katika njia zake
Mungu akubariki sana Mtumishi wa mungu
Asantii pst mahubiri haya yananifanya kusogea mbele za mungu,God bless you
Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.
Moyo wangu unafarijika sana ninavosikiliza mahubiri haya
Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa
Uishi miaka 150 uokoe roho nyingi
@lilianeerica3318
19 күн бұрын
Ameeeen Ameeeen Ameeeen aishi hata na zaidi kama wafalme wa zamani aki na daudi walivyokuwa wanaishi hata zaidi ya myaka Mia 200
Hujui tu pastor vile huwa natafuta mahubiri yako nabarikiwa sana sana
Nakukubali sana Mungu azidi kukupa hekima na maarifa
Mafunzo mazuri sana mchunguja, Barikiwa🤲🙏🏿🙏🏿
Ur always my favorite and best.Uzidi kubarikiwa na uishi miaka mingi naheri duniani
Pr barikiwa sana mahubiri haya Mungu anifungue macho nione mbele 🙏🙏🙏🙏🙏
Pastor Mmbaga nakupenda sana kutoka Rwanda Kwa hekima zako wewe ndiye Ps Rutayisire Antoine wa Rwanda
Mungu nihirume baba yesus nihirume 😢
Mungu fungua fikira zangu nitoke kwenye machungu
Tangu kukupata nimeona majibu ya maswali yangu mengi sana Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu alie juu sana ,,,,,,,wa Afríka Mungu ama tujia pia ,,,, ame tukumbuka kabisa......🇨🇩🇨🇩
ushindi kwa Yesu ni hakika
Amina Amina nimebarikiwa sana na somo hili nimerudia zaidi ya mara2 ❤❤❤ Mungu akubariki pastor mbanga pamoja na family yako
Hakika,Umenibariki Pastor. Mungu baba akutangulie na kukupa maisha marefu.
Amen amen 🙏 be blessed pst May God protect you and u family
Balikiwa sana mchunganji kwa mafundisho unayo towa
Eeee MUNGU naamini jibu la NDUGU YANGU juu ya TIBA yake umeshalipisha KIBALI kinatoka KWAKO. WATU WATESI wangu WOTE wanyamazishwe na waamini njia za MUNGU hazichunguziki kamwe. Haleluya.
Pasta unanipa mafundisho mema yananifanya nibadilike
Ulichosema pasta ni kweli
Mungu atakubaliki Sana mtumishi na Mimi niombe kunakitu kinaleta ukuta katika kufikia malengo yangu ya chuo
@MahubiriPrMmbaga
Ай бұрын
Mungu akutendee
Mnda wote napokusikiliza uwa na barikiwa sawa when you preaching can’t get tiyed of you god bless you pastor
MUNGU BABA na azidi kuku jaza roho mtakatifu na hekima ili ulimwengu uwone utukufu wa MUNGU
Barikiwa paster
Pastor oooh UMENENA kweli kabisa, vishetani vibaya vibaya vibaya, kwani sina NGUVU ya kuwapiga, NAOMBA MUNGU MWENYEWE awapige kiasi kwamba hawatajua nani anawapiga lkn wapigwe kwa kishondo mshindo mkubwa na bwana yesu na jamii ishuhudie na asiwepo mwingine wa kujaribu kufanya kama hawa.
Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu...we love you so much!..
amen sana mchungaji nakupenda sana mungu akupe siku nyingi za kuishi ili utufundishe neno la mungu
God bless you pastor ,I'm growing daily, may God continue using you and keep you in good health.
@limbunwsaguda3797
Жыл бұрын
l
@wahidakisingo3588
10 ай бұрын
Amina
Niseme je ila kushukuru mungu na akukubuke sana Pastor Mbaga umenisaidia sana kwa mahubiri yako🙏🙏🙏🙏
Pastor I like your preaching because hakuna sehem unapaluka unagusa kila seem am so blessing
Nilikua katika uraibu wa zinaa lakini nashukuru mungu kwa kufunga na kuomba niliacha kabisa hata sikumbuki nangoja mme mwema anaye mwogopa mungu na kumheshimu.
@MahubiriPrMmbaga
8 ай бұрын
Mungu atukuzwe
Mchungaji mungu asifiwe akubariki leo nimebariwa mutukumbuke kwa malombi tutembee katika njia ya bwana Mimi ni ndugu yenu katika Imani jina languni kitungwa dunia Douglas mchungaji Na wote walio pamoja nawe tunaitaji usaada wa maombi yenu kwani mke wangu atapita kwenye opération
@MahubiriPrMmbaga
10 ай бұрын
MUNGU ATENDE MUUJIZA
Nahis furaha
Stay blessings pastor Mbaga am so blessed only God can give your need 🙏
pasta ubarikiwenabwana,
Ninamshukuru MUNGU WETU wa MBINGUNI nimepokea uponyaji katika ombi hili🙏
AMEEEN MTUMISHI
Bwana akubariki sana pr. Huwa unanibariki sana nikikusikiliza
Mungu akubariki sana pr mmbaga
Amen. Ubarikiwe pastor Mbaga
Amen pastor ubarikiwe
Baba nifinike mm na family yangu na damu ya Yesu kristu
Amina mtushii mungu aendelee kukutumia baba
Mchungaji namshukuru mungu jambo nisomo la muda ila namshukuru mungu kwakunifungua na kuachwa huru kuwa mpya kila sikuu asnte yesu umenitoa kwenye giza nene asante bwana wa majeshiiii
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Ameeeen
@user-kx6ss2vc8p
Жыл бұрын
Nimeamini sauti ya mungu imenena ndani yangu ila nilipuuzia lakini nimepat majibu nikajua kweli nimungu alinisemeshaaa na sikuusikia nimetubu naamini mungu amenisamehee
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Amen
Pr niombee nitoke kwenye uraibu wa machungu
Nko na uraibu wa zinaa lakini baada ya kukusikiza niliacha kabisa na ninaichukia hiyo tabia sana
Mungu alinionyesha njia za haki
@Joy-mm1ut
3 ай бұрын
Halleluyah yesu niongeze katika njia zako nimeteseka kwa mda mrefu lakini Leo utaniongoza katika njia sahihi Amina
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa sana
Aki mchungaji MUNGU WA mbinguni awabariki sana, Ila Leo umenichekesha sana bendi 1😂😂😂😂😂
Mungu akubariki sana Pr.
Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa Mtumishi
Lead me in your ways ooh Lord
Toka songea
Amen amen 🙏🙏,be blessed pastor
Amen
I say waweka wazi kabisa tutupu
I connected for my children to stop substance abuse. In Jesus mighty name
Asante aba kwa mtu huyu maishani mwetu
Thanks pastor for the good message. God continually bless you
@erickmbasa6193
Жыл бұрын
Amina
BWANA AKUBARIKI PASTOR
amina pastor
Mchungaji ulisema hivyo ndoa zote zitavunjika maana mme mnaaza kujadili vizuri lakini mwisho wake ni shidaaa
Amen Amen
Amen and Amen
🙏👊✌️.
Amen 🙏
Pastor umenichekesha eti ukichwa wiki mambo hayashiki😅😅😅😅😅
Amina 🇨🇩
Amina Amina
MUNGU atusaidie AMINA
Sa mchungaji je ukiwa ume fanya zinaaa na mchumba wako kabla ya ndoa hiyo nayo Bado ni dhambi mbele za mungu?????😔 please tujibu 🧎
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Kutoka 20:14 Usizini. Thou shalt not commit adultery.
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAko
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAKO
Nataka kuongea na yeye please
Gehazi bwana 😂 alikua anatabia kama za wasaidizi wa waganga wa kienyeji, wana mikwara
Mnisaindie number ya pastor mmbaga plz.niko kenya
Hii church ya pastor mmbaga Iko side gani hiku Nairobi plz
@NkwayaDotto
Жыл бұрын
Uliza s.d.a church utakuwa umefika
Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.
Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa
Amen
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAKO
Amen