#1. CHAKULA CHA BWANA KAMA MAHAKAMA INAYOMPA MUNGU UHALALI WA KUHUKUMU MIUNGU

KONGAMANO LA MAOMBI KANDA YA ZIWA - BUKOBA

Пікірлер: 72

  • @deborahjaphety1662
    @deborahjaphety1662 Жыл бұрын

    Baba.. hautakufa wala hauta maliza vibaya.. wewe umembeba Mungu wa Kweli.. baba endelea kusema kile kilichojaa kwa moyo wa Mungu.. najua nyakati hizi ni za mwisho so wakweli ni wachache na wasemao kweli ni wachache pia.. ila songa mbele baba.. usiwasikilize watu angalia Mungu amekutuma nini duniani pamoja na mamy wangu mzuri.. nakupenda mama na baba wote ninyi ni chombo cha Bwana..

  • @merryjohn9520

    @merryjohn9520

    Жыл бұрын

    Amen

  • @mtilimsita6675

    @mtilimsita6675

    Жыл бұрын

    Sometimes jifunze kukaa kimya

  • @jorammsemakweli3116

    @jorammsemakweli3116

    Жыл бұрын

    Mungu tenda kama upendavyo ndani ya moyo wa mtumishi wako

  • @edithakisaka5587

    @edithakisaka5587

    Жыл бұрын

    Amen Amen Amen

  • @deneagrofarms5884

    @deneagrofarms5884

    Жыл бұрын

    @@mtilimsita6675 kheri yako umekuwa na hekima ya kutambua.

  • @StellaJohn-cx7dz
    @StellaJohn-cx7dz2 ай бұрын

    Sharoom Mungu azidi kuwatunza na kuwapa afya njema huduma ya MANA ❤

  • @evansamuzi3328
    @evansamuzi3328 Жыл бұрын

    mafundisho bora kabisa .Ubarikiwe mtumishi

  • @barafumwagloire
    @barafumwagloire Жыл бұрын

    Ubarikiwe Sana mwalimu wangu Christophe 💥💥💥💥

  • @samsonzephania7377
    @samsonzephania7377 Жыл бұрын

    Bwana akutunzee sana mwalimu Mwakasege, nabarikiwa sana na Mungu kupitiaa masomo yako.

  • @user-ur7ek2bc3l
    @user-ur7ek2bc3l5 ай бұрын

    Namshukuru yehova kwa ajili yako mwalimu nimejifunza tusipokee chakula cha bwana kwa mazoea asante

  • @user-np3lk3xr6o
    @user-np3lk3xr6o7 ай бұрын

    Bwana Mungu awatiye nguvu baba

  • @aloycekaguhi7959
    @aloycekaguhi7959 Жыл бұрын

    Amen barikiwa Sana baba

  • @magrethbukuku3649
    @magrethbukuku3649 Жыл бұрын

    Najisikia fahari juu yako kalumbu kwa namna ambavyo Mungu ana kutumia. Ahsante tumepata kitu 👌

  • @deborahjaphety1662
    @deborahjaphety1662 Жыл бұрын

    Pia adui anaona wivu kwa vile mnavofanya huduma kwa upendo na ushirikiano.. pokeeni kuishi miaka mingi kwa jili ya utukufu wa Mungu.. na umoja wenu na upendo wenu usikome hata siku moja kwa Jina La Yesu Kristo Wa Nazareti Mwana wa Mungu Aliye Hai.. Amen Shalom..

  • @bonifacemwakiomrashui7551
    @bonifacemwakiomrashui7551 Жыл бұрын

    Sikuweza kuelewa mile sacramenti inayofanya kwa ulimwengu was roho,hadi niliposikia haya mafundisho ya mwalimu...

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Mtu wa Mungu nimepata ujumbe wangu nimebarikiwa. Asante Mungu Baba kuniletea ujumbe kwa wakati kama huu. Amina.

  • @irenemtenga5716
    @irenemtenga5716 Жыл бұрын

    Amen daddy 🙌🙏

  • @alimajuka5196
    @alimajuka5196 Жыл бұрын

    Amen mtumishi wa Bwana

  • @damarisabdueli3604
    @damarisabdueli3604 Жыл бұрын

    Jamani uwanafulahi sana kusikia masomo ya babangu Mungu alibariki sana

  • @jaqlinejack641
    @jaqlinejack641 Жыл бұрын

    Barikiwa Sana

  • @HappinessRichard-qe8se
    @HappinessRichard-qe8se9 ай бұрын

    Ubarikiwe san

  • @WilfredNassari
    @WilfredNassari4 ай бұрын

    Ameeen

  • @emanuelmoshi7414
    @emanuelmoshi7414 Жыл бұрын

    Tunaomba muweke namba 2 yake hii imeishia katikati

  • @boazdhahabu876
    @boazdhahabu876 Жыл бұрын

    Amina mtumishi wa mungu

  • @hermanemmanuel1953
    @hermanemmanuel1953 Жыл бұрын

    AMINA HALELUYA.

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Жыл бұрын

    Powerful nipo mahakamani

  • @theresialubida161
    @theresialubida161 Жыл бұрын

    Amina Amina Amina 🙏🙏

  • @prisca4612
    @prisca4612 Жыл бұрын

    Amen Amen Amen!!!!

  • @ngwalumusobi4431
    @ngwalumusobi4431 Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Жыл бұрын

    Amina 🙏🏿

  • @samwelilaizer8609
    @samwelilaizer8609 Жыл бұрын

    Amen

  • @onelovedjonlinetz5989
    @onelovedjonlinetz5989 Жыл бұрын

    Ubarikiwe

  • @emanuelmoshi7414
    @emanuelmoshi7414 Жыл бұрын

    Mubarikiwe

  • @rithersospeterkati2303
    @rithersospeterkati2303 Жыл бұрын

    AMEN AMEN.

  • @elibarikijohson7694
    @elibarikijohson7694 Жыл бұрын

    Tumunyana nalengi

  • @danielmlwafu4380
    @danielmlwafu4380 Жыл бұрын

    Live sauti ya roho

  • @mielmianda2780
    @mielmianda2780 Жыл бұрын

    Kwakweli ninajiuliza ndaonaka mutumishi wamungu mwakasege Christopher siku gani. Niombi yangu siku zote mbele za mungu

  • @samwelilaizer8609

    @samwelilaizer8609

    Жыл бұрын

    Usijali mpendwa kama unamwona mungu katika maisha yako basi mungu atakusaidia na pia amesikia ombi lako utamwona tu huyu mtumishi wa mungu Christopher mwakasege

  • @mielmianda2780

    @mielmianda2780

    Жыл бұрын

    Nilisha pima niwezavyo kwenye mutandao lakini siya pata ata kumuongelesha. Kila wakati ninajiuliza ndafanyaje ile nifikie kumuona. Nizungumuze naye.

  • @mielmianda2780

    @mielmianda2780

    Жыл бұрын

    @@samwelilaizer8609 kwakweli mu nisaidie mu mufikishie iyi ombi. Langu. Kwasababu maneno kwenye simu ao kwenye message siwezi weza eleza sababu ao lengo langu lakumuona. Kama unapata nafasi yakumuona muambie kwanihaba yangu Ninaaja sana

  • @mielmianda2780

    @mielmianda2780

    Жыл бұрын

    @@samwelilaizer8609. Tena ninachuluru kuniongelesha tena ninachukuru kwasababu tuko najina moja. Namie jina yangu Samuel

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Жыл бұрын

    Haleluyaaa🙏🙏👍

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын

    Haleluyaaa

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Жыл бұрын

    Neema na maarifa zikuangaze mtumishi !!?

  • @jamesmhondele4508
    @jamesmhondele4508 Жыл бұрын

    Ni bukoba sehemu gani??

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Жыл бұрын

    Jamani clip imekuwa fupi.....tunaomba full mafundisho haya ili nasi ambao hatupo bukoba tuweze kuona hukumu ya miungu inayotufuatilia

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    Жыл бұрын

    Naona imeandikwa part 1 juu hapo Means Kuna kipande kingine

  • @magrethbukuku3649
    @magrethbukuku3649 Жыл бұрын

    Somo linalo endelea baada ya hapa tunalipataje maana hapa inaonekana kuna utamu unao endelea mbele. Kindly assist

  • @lusajokibona1868

    @lusajokibona1868

    Жыл бұрын

    Mwalim Mungu aendelee kukutia nguvu, maana umebeba jumbe wa watanzania, kutoka kwa Mungu, mimi nafuatilia masomo yako hakika nimekua kiimani

  • @lightnesskweka4774
    @lightnesskweka4774 Жыл бұрын

    Hi seminar Iko wapi et. Jaman 😢🇮🇱🇹🇿🇮🇱🇹🇿👏👏🙏🙏🙏🙏Ameen

  • @blessedtumaini516

    @blessedtumaini516

    Жыл бұрын

    Bukoba.

  • @neemasanga5333
    @neemasanga5333 Жыл бұрын

    BABA UNAJUWA KUMNADI MKEO ILI KUWAKELA WATU MAKUSUDI MAANA MIMI NINAJUA YEYE NDO CHANZO CHA CHANGAMOTO ZINAZOENDELEA KWENYE NCHI KIPINDI HIKI, HUDUMA YENU KWA SASA NI IKABODI WATU WAMEJITAHIDI KUKWAMBIA UNAONA WANAKUONEA WIVU HONGERA KWA KUANZA VIZURI POLE KWA KUMALIZA VIBAYA😭.

  • @damnotijaphet8248

    @damnotijaphet8248

    Жыл бұрын

    Mungu akusamehe bure ndugu yangu

  • @PASTOR_SHITINDI

    @PASTOR_SHITINDI

    Жыл бұрын

    Huyu sikuhizi roho mchafu ndoo anafanya kazi Kwanza hajabatizwa

  • @janelunanilo162

    @janelunanilo162

    Жыл бұрын

    Toba na rehema haya ndio maombi yangu kwa Mungu juu yako Neema sanga Mungu akurehemu

  • @janelunanilo162

    @janelunanilo162

    Жыл бұрын

    @@PASTOR_SHITINDI ww uliyebatizwa tushirikishe na ss what is so special in U????

  • @princesmaile3565

    @princesmaile3565

    Жыл бұрын

    Mungu atusanehe kwakuwa hatujui tulitendalo, kwani watu wa Mungu hatusomi biblia? Mfano mzuri yesu alikula na adui zake unajua kwanini? Na je Kuna mtu mwenye uhakika kuwa huyu mama ni ibirisi au ni mtu wa shetani usihukumu utahukumiwa twaweza kuhukumu Kwa kimwili yaani upande wa kibinadamu wakati rohoni Mungu anamwona ni mtu mwema, isitoshe Mungu katupisha katika Hilo ili tumludie maan binadamu akishiba hamkumbuki Mungu ila akiwa na njaa anamkumbuka Mungu 😥

  • @jamesmhondele4508
    @jamesmhondele4508 Жыл бұрын

    Ni lin kongamano hili limefanyika??????

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    Жыл бұрын

    Limeshapita ,sikumbuki vzr mwezi

  • @theresialubida161

    @theresialubida161

    Жыл бұрын

    Jamani wewe James wewe sikiriza Tu upone inataka ujuwe Mbaka siku ulilo fanyika

  • @mtilimsita6675

    @mtilimsita6675

    Жыл бұрын

    Muda sana

  • @alimajuka5196
    @alimajuka5196 Жыл бұрын

    Amen mtumishi wa Bwana

  • @farajalaizer6556

    @farajalaizer6556

    Жыл бұрын

    MUNGU aendelee kukutunza mtumishi wa MUNGU AMENI.

  • @alimajuka5196

    @alimajuka5196

    Жыл бұрын

    @@farajalaizer6556 Amina Baba napenda sana mafundisho yako maana napenda Sana kukua kiroho

  • @ikanaelmshana8182

    @ikanaelmshana8182

    Жыл бұрын

    Amen mtumishi wa Mungu barikiwa sana Hakika tunateseka sana swala la miungu Tusaidie tuvuke tutoke katika hii Miungu kwa Damu ya Yesu