MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: FAHAMU NI JINSI GANI SADAKA INAVYOWEZA KUSHIKA MAISHA YAKO YA BAADAE.

USHUHUDA HUU WA MWLIMU MWAKASEGE NI SEHEMU YA SOMO LENYE KICHWA KINACHOSEMA "HASARA NA HATARI ZA KUTOUTHAMINI WOKOVU" ALILOFUNDISHA KAHAMA, MWAKA 2023 SEMINA SIKU YA PILI.

Пікірлер: 88

  • @SimonLukindo-qm8ql
    @SimonLukindo-qm8ql Жыл бұрын

    Napenda sana kuwa pamoja na mwalimu ananifundisha sana nampenda sana ananipeleka nitakiwapo

  • @user-gu4fe4zv1e
    @user-gu4fe4zv1e7 ай бұрын

    Mungu wetu anasikia Kila unalo omba kwa uaminifu , Nina muomba MUNGU atujarie sisi wasichana ambao hatujaolewa tuwe na maamuzi sahihi ameen 🙏

  • @ODIAH-n3e

    @ODIAH-n3e

    3 күн бұрын

    Amina dadaang

  • @cominathamchomvu2206
    @cominathamchomvu2206 Жыл бұрын

    Ee Mungu nisaidie na mm nahitaj kuwa miongon mwa watu wakoo nabarikiwaa saana na mwakasegeee Mungu akubarik saanaa

  • @user-vd1vx1dc8p
    @user-vd1vx1dc8pКүн бұрын

    Ushuhuda huu mkubwa sana ninahisi moyo wangu unaripuka Mungu Roho Mtakatifu anatenda kazi kwa namna ya ajabu sana

  • @GodfreyAllan-yv3pk
    @GodfreyAllan-yv3pk Жыл бұрын

    Umenigusa Mtumishi wa Mungu... Umenikumbusha mbali,,,, UBARIKIWE

  • @rhodanilsson9627
    @rhodanilsson9627 Жыл бұрын

    Hii neno linanitafarisha sana . Asante Yesu mama ya mtumishi alitoa sadaka kwa Mungu aliye hai. Nawaza tu kwa sauti haya maisha na sadaka zilizotolewa sehemu mbalimbali tusizozijua na kushika maisha yetu.

  • @nyamburafrank9782

    @nyamburafrank9782

    Жыл бұрын

    Ndiyo kabisa mkuu

  • @ibrahimsokoine

    @ibrahimsokoine

    Жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu huduma hii inanifugua akili namna ya kumtumikia Mungu.

  • @veronicamwaseba7839
    @veronicamwaseba7839 Жыл бұрын

    Tuko pamoja Baba. Naomba sana Mwenyezi Mungu atufungue ktk vifungo mbalimbali tulivyofungwa bila sisi kujua.

  • @alexrichboy93
    @alexrichboy93 Жыл бұрын

    MTUMISHI WA MUNGU, ni ombi langu, Mungu afanye mlango na kufungua kibali juu ya mkoa mpya wa Songwe (Mlowo) Tupate neema hii. Tunakukaribisha sana Mtumishi wa Mungu. Na Mungu akuwezeshe na kukubariki.

  • @carenmitta6939
    @carenmitta693921 күн бұрын

    Asante mtumishi! Nabarikiwa na neno lako japo napitia wakati Mgumu lakini wakati wa Mungu ni wakati sahihi Amen.

  • @kaicy165

    @kaicy165

    14 күн бұрын

    Amina, usiache kumwamini na kumtegemea Mwenyezi MUNGU hasa nyakati za shida, atakutendea zaidi ya uwazavyo na uombavyo katika muda wake🙏🏾❤.

  • @user-vi9xn5ui9g
    @user-vi9xn5ui9g9 ай бұрын

    Kwa kweli mtumishi wa MUNGU unatufundishaga neno la MUNGU kwa namna ambavyo mimi naeza nikasema huwa unaonanaga na MUNGU ANA KWA ANA asante sana MUNGU anisaidie nizidi kuwa na ufahamu!

  • @user-uz3po4gr6n
    @user-uz3po4gr6n8 ай бұрын

    Kweli Mungu yupo, Amen mtumish

  • @ElifurahaMinja-hp2hy
    @ElifurahaMinja-hp2hy Жыл бұрын

    mungu wetu ni mwaminifu sanaa... anatuwazia yaliyomema kila siku

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint98745 ай бұрын

    Ooh man of God ❤

  • @user-ny5gc3fg8d
    @user-ny5gc3fg8dАй бұрын

    Amen, UTUKUFU KWA YESU KRISTO❤

  • @agapenyigo9798
    @agapenyigo979811 ай бұрын

    Daaa mm nampenda sanaaa huyu mzee yaan mafundisho yake yanaaa maanaaa

  • @user-xt5uz6mc8p

    @user-xt5uz6mc8p

    4 ай бұрын

    Sanaa na

  • @priscamussa4672
    @priscamussa46726 ай бұрын

    Eeeh Mungu katika ulimwengu huu wa mwili na roho naomba ukanitendee ukanionyeshe mambo makubwa na magum nisio yajua😢 tunaishi dunia ambayo watu wa karibu ndio wanao tuuwa kwakua wanatufahamu kiundani roho mtaka tifu uniongoze unioneshe yote yanayo kuja mbele yangu

  • @EsterMathayo
    @EsterMathayo2 ай бұрын

    Amina sana na barikiwa sana na neno la mungu mungu azidi kutupa ufahamu

  • @erickykiwango4012
    @erickykiwango4012 Жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi WA MUNGU nimaombi yangu mbele za bwana juu ya mahusiano yangu na mtu nlioko nae ni miaka 2 Sasa tumepiga hatua Sasa imefika mahali s week 2 zimepita anasema hawezi kuondelea tena katolewa sadaka za kishirikina na MUNGU kaninisistiza kutoa sadaka kwa ajili yakurudisha fikra na fahamu zake tena maana upendo umeisha ghafla

  • @KamusokoTz
    @KamusokoTz14 күн бұрын

    Mungu awe nawe mtumisha na Asante Kwa neno

  • @mohamedimembe834
    @mohamedimembe8344 ай бұрын

    Mungu ni MUNGU mwenye Nguvu

  • @Julesbahatip3
    @Julesbahatip35 ай бұрын

    Merci Sana.

  • @jescatebuye2287
    @jescatebuye2287 Жыл бұрын

    Umebarikiwa na Mungu mtumishi Mungu aendelee kukuweka ili utufundishe.najiskia kubarikiwa ninaposikia mafundisho

  • @maryamm7254
    @maryamm7254 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mama mtumishi na mwalimu

  • @olivaerasto372
    @olivaerasto372 Жыл бұрын

    Mungu atusaidie.wakati mwingine tunapitia maisha magumu kupita kiasi. kumbe ni sadaka zilizotolewa upande wa pili.Mungu nakuomba unisaidie na ufungue akili yangu na ufamu wangu nikujue njinsi ulivyo na nikutafute kwa akili yangu yote na ufahamu wangu pia na nguvu zangu.fungua macho yangu ya kiloho ili nijue kinachoendelea katika maisha yangu katika ulimwengu wa kiloho.

  • @shamsidaniel5582

    @shamsidaniel5582

    Жыл бұрын

    Amen

  • @KumaligijaKananaji

    @KumaligijaKananaji

    10 ай бұрын

    0:22 0:54 😅 0:57 😅 0:58 1:08

  • @KumaligijaKananaji

    @KumaligijaKananaji

    10 ай бұрын

    0:22 0:54 😅 0:57 😅 0:58 1:08

  • @alexjackson6608

    @alexjackson6608

    10 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @ColletaDosla-oh6ri

    @ColletaDosla-oh6ri

    2 ай бұрын

    Huyu mungu tumfananishe nanani

  • @FarajaMbigi-zs9ed
    @FarajaMbigi-zs9ed2 ай бұрын

    barikiwa baba christopher

  • @InesYohana
    @InesYohana2 ай бұрын

    Barikiwa baba mungu akutunze

  • @NdageDacosta-uy4ir
    @NdageDacosta-uy4ir Жыл бұрын

    Mtumishi wetu baba wa taifa yupo vizuri

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj Жыл бұрын

    Aisee! Mungu nisaidie sana kujua kweli yako.

  • @eliasbelthandiyooooo6119
    @eliasbelthandiyooooo61198 ай бұрын

    Mungu akupe umri mlefu

  • @angelamdee9319
    @angelamdee9319 Жыл бұрын

    Haleluuuuuuuya!!! Asante YESU kwa ajili ya mama

  • @matildachuhila1321

    @matildachuhila1321

    Жыл бұрын

    Kumbe Mtumishi mkubwa namna hii alizaliwa na mama ambaye angeweza kuwa Sista!!Nampenda Mungu kwa sababu huwa hasahau Agano analofanya nasi.Abarikiwe yule mama kwa kitimiza Agano alilofanya na Mungu.Tazama sasa kila mtu amchaye Bwana anachota hekima hii kubwa Asante Yesu

  • @ReginaSanga-uo7yo
    @ReginaSanga-uo7yo11 ай бұрын

    Asante mungu kwajili ta mama

  • @fredyJoseph-pb7og
    @fredyJoseph-pb7og2 ай бұрын

    Amina ..tulishe kondoo wako tunaangamia kwakukosa maarifa na hekima ya kimungu ndani yetu ituinue tusikie yale anayotaka tusikie na tuone anachotaka tuone na kunena anachotaka tunene kwa jinsi aonavyo yeye inafaa.

  • @esteryohan290
    @esteryohan2907 ай бұрын

    Aminaa 🙏🙏

  • @StephanoMollel-eu2dp
    @StephanoMollel-eu2dp3 ай бұрын

    Hakiki Mungu aturehemu na wazazi wetu waliotuunganisha na sadaka tusizojua

  • @PascalMuga-zk7bm
    @PascalMuga-zk7bm8 ай бұрын

    Amen Amen🎉

  • @ambindwilehosea6837
    @ambindwilehosea6837 Жыл бұрын

    Aaah ama hakika Mungu yupo

  • @erickmkandara8245
    @erickmkandara8245 Жыл бұрын

    Mungu unapodhuru wengine usinipite na famiria yangu

  • @petersimeone6621
    @petersimeone662111 ай бұрын

    Amen mtumishi

  • @ShedrackabelpetroShedrackabelp
    @ShedrackabelpetroShedrackabelp6 ай бұрын

    Amina

  • @irenelyamuya5466
    @irenelyamuya5466 Жыл бұрын

    Uso wako uende nami YESU 🙏 nawe utanipa Raha 🌹

  • @daudlusaganya5324
    @daudlusaganya5324 Жыл бұрын

    Mungu ushikae agano nisaidie na mimi

  • @kibwanambelwa8352
    @kibwanambelwa8352 Жыл бұрын

    Amen

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Mwalimu nakuelewa sanaaa🙏🙏naninakufurahia

  • @DenisRaphael-un3yq
    @DenisRaphael-un3yqАй бұрын

    Amen 🙏🙏

  • @EmmaSwai-uv1fh
    @EmmaSwai-uv1fhАй бұрын

    Mtumishi wa Mungu naomba nieleweshe nini maana ya Fungu la kumi

  • @ODIAH-n3e
    @ODIAH-n3e3 күн бұрын

    ❤❤

  • @maryamm7254
    @maryamm7254 Жыл бұрын

    MUNGU mwenye nguvu libarikiwe Jina lako

  • @user-ky2bq1sf8w
    @user-ky2bq1sf8w6 ай бұрын

    🙏🙏

  • @rosedohho8971

    @rosedohho8971

    4 ай бұрын

    Emungu hakuna kama wewe

  • @elishaanyosisye4078
    @elishaanyosisye4078 Жыл бұрын

    nguvu ya agano nakuelewa mtu wa Mungu

  • @EzekielPaulo-pm9wy
    @EzekielPaulo-pm9wy Жыл бұрын

    Baba

  • @claudiajosephmselle5091
    @claudiajosephmselle5091 Жыл бұрын

    Aleluyaaaa

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын

    Asante baba

  • @JacklineMwakyange
    @JacklineMwakyange Жыл бұрын

    Amina ubarikiwe sana mtumishi ni neno lenye ujumbe mkubwa sana katika maisha yangu Mungu anisaidie

  • @user-bt5mu4gz4u
    @user-bt5mu4gz4u6 ай бұрын

    Eee MUNGU utusikiye tunapo kuomba na sadaka tunazo toa kanisani hata kwawenzetu ambao ni wandugu na marafiki zikubaliwe na wewe mwenye uwezo.

  • @emmanuelkalangwa-fc3iz
    @emmanuelkalangwa-fc3iz9 ай бұрын

    Mtumishi wa MUNGU,, BWANA akuongezee miaka ya uzima na amani taifa bado linakuhitaji sana

  • @bigbrightentertainment9498
    @bigbrightentertainment9498 Жыл бұрын

    Kanisa LA Baba Mwakasege liko wap naomba msaada

  • @franklinjr996

    @franklinjr996

    11 ай бұрын

    ingia kwa page zao za instagram na facebook utapata info zaidi

  • @user-lg3ez7yh8c

    @user-lg3ez7yh8c

    3 ай бұрын

    Mwakasege hana kanisa ni Mwalimu WA neno la MUNGU Nchini kote

  • @rebekahMarco
    @rebekahMarco Жыл бұрын

    Amen sana mtumishi Mungu, asante Yesu kwa sadaka ya mama aliyoitoa kwa Mungu wetu aliyehai. Umekuwa msaada sana mwalimu mwakasege Mungu akupemaisha marefu. Tunabarikiwa na uwepo wako

  • @magdalenemohamedi7061
    @magdalenemohamedi7061 Жыл бұрын

    Hii ni nzuri lakini mtu akitolewa sadaka kwa miungu atateseka

  • @adelajoseph127

    @adelajoseph127

    Жыл бұрын

    Amina baba

  • @SimonLukindo-qm8ql

    @SimonLukindo-qm8ql

    Жыл бұрын

    Nawapenda sana wanaoijua neno LA mwalimu barikiweni sana sana sana amen

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 Жыл бұрын

    MATENDO YANAZUNGUMZA 80% MANENO YANAZUNGUMZA 20% SASA HIVI MNAFANYA BIASHARA SIYO HUDUMA TENA, NDIO MAANA MNATEGEMEA SAYANSI ZAIDI KULIKO MUNGU, MNAMALIZA KAMA SAULI AU KAMA SAMSONI NA DELILA😭😭.

  • @producerflorizy2365

    @producerflorizy2365

    Жыл бұрын

    tengeneza mahusiano yako binafsi na Mungu linda kunywa chako kwenye habari za watumishi wa Mungu hata kama wanakosea itakusaidia sana...

  • @miraclennko1147

    @miraclennko1147

    Жыл бұрын

    Mungu nimwaminifu San nakupenda mwalimu shuuda zako Zina niinu

  • @adelajoseph127

    @adelajoseph127

    Жыл бұрын

    Yani wewe mwokope Mungu ilapole.

  • @lightnessjulius7173

    @lightnessjulius7173

    Жыл бұрын

    Kama ni rahisi fanya na wewe

  • @johnzacharia

    @johnzacharia

    Жыл бұрын

    Usiseme hivyo ndugu nihatari kwako kiroho Tena kwa mtumishi wa Mungu wa kweli Kama huyu tubu haraka maneno hayo uliyotamka hayatakuacha salama, heri uwe msikilizaji Sana kuliko kuwa msemaji, chunga ulimi wako

  • @shilwamwanilonga9763
    @shilwamwanilonga976312 күн бұрын

    Amen

  • @ErnestBukombe
    @ErnestBukombe26 күн бұрын

    Amina

  • @urasaanold2851
    @urasaanold2851 Жыл бұрын

    🙏

  • @user-pj1qx4sg7i
    @user-pj1qx4sg7iАй бұрын

    Amina

  • @arcadetlwigulira3212
    @arcadetlwigulira3212 Жыл бұрын

    Amina

  • @EmanuelCharles-jz6ut
    @EmanuelCharles-jz6ut3 ай бұрын

    Amen

Келесі