MWL.CHRISTOPHER MWAKASEGE - USIANZISHE VITA AMBAYO MUNGU HAJASEMA ANZISHA.

Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: kzread.info?list...
⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
*** OUR PLAYLISTS***
⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: kzread.info?list...
⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: kzread.info?list...
⚫️ MAFUNDISHO: kzread.info?list...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: kzread.info?list...
⚫️ UCHUMI: kzread.info?list...
⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: kzread.info?list...
⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: kzread.info?list...
⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: kzread.info?list... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/maranatha-gospel-radio
⚫️ VISIT LIVE IBADA: kzread.info?list...

Пікірлер: 15

  • @emanuelKarei
    @emanuelKarei5 күн бұрын

    Mungu azidi kumtumia zaidi

  • @elibarikilaizer-fh2dt
    @elibarikilaizer-fh2dt3 ай бұрын

    Mungu akutie nguvu mtumwa wa Bwana ; Bwana akupiganie Vita vyakoo

  • @barakaRais-ie6cb
    @barakaRais-ie6cb8 ай бұрын

    Ninabalikiwa kilasiku

  • @Bisimwalusakanya
    @Bisimwalusakanya3 ай бұрын

    Asante Sana kwa kutuimidha katika Safari ya kwenda mbingini . Ushukiriwe vraiment

  • @WitnessFrank
    @WitnessFrank3 ай бұрын

    Amina baba Mungu akubarik

  • @lucassiwale5886
    @lucassiwale5886 Жыл бұрын

    Asante Mungu kwa ujumbe huu na endelea kumtumia mtumishi wako huyu.

  • @kimpalambapj
    @kimpalambapj10 ай бұрын

    Ipo nguvu kuu...

  • @happyvalence5352
    @happyvalence535211 ай бұрын

    Ni muhimu sana kujua mahusiano Yako na Mungu kifursa ni muhimu sana kuliko kujua namna ya kupigana vita wakati unajua kabisa Mungu hayupo upande WAKO. Glory to God.

  • @hadijamlokakuzenza2146
    @hadijamlokakuzenza2146 Жыл бұрын

    Aminaaa mtumishi wa mungu sema mtumishi huku tunapona

  • @ntulisuzan897
    @ntulisuzan897 Жыл бұрын

    Hallelujah 🙏

  • @simonbini2017
    @simonbini2017 Жыл бұрын

    Ameeen Mungu anibariki kupitia hili somo

  • @nicewatson6264
    @nicewatson6264 Жыл бұрын

    Dankeschön paps🙇‍♀️🙇

  • @mercy8424
    @mercy8424 Жыл бұрын

    Amen🙏🙏

  • @marrywema7850
    @marrywema7850 Жыл бұрын

    Amen

  • @elviahkabikira3087
    @elviahkabikira3087 Жыл бұрын

    Hivi jamani mwal mwakasege mtu anakupataje??