Pastor Fred Msungu - Vita vya Kiroho
VITA VYA KIROHO
( WAEFESO 6:12 )
Moja kati ya masomo tata , lakini muhimu sana kwenye mwili wa Kristo ni hili somo la vita Vya kiroho .
Kweli Muhimu
- Vita ya Kiroho ni halisi
Uwe unakubali au haukubali , vita ya kiroho ni halisi . Kwa sababu uliwengu huu unaratibiwa rohoni sio mwilini
- Kila mwamini , yupo vitani
Iwe unajua au haujui, lakini siku uliyotangaza tu hadharani umeokoka , ni siku ambayo ulitangaza vita kwenye ulimwengu wa roho
katika somo hili utajifunza vita ya Kiroho ni nini ? Inapiganwaje ? Na uwanja wa vita hii uko wapi.
Lakini utajifunza kwa nini kwa watu wa Mungu kumekuwa na ugumu na upinzani sana kupenya na kufanikiwa ? Pia utapata namna ya kutoka na kufanyika kuwa mshindi kwenye kila unalo lifanya .
Пікірлер: 20
Amen baba, siondoki nilipo Kwa mapenzi ya mtu
Haleluyaaa!!! Mimi ni zaidi vikwazo nilivyowekewa, mimi ni zaidi ya mshindi🙏🙏
Nimebarikiwa sana sana sana Mungu azidi kukuza huduma . Mchungaji unakitu Baba 🙌
Amina amina mchungaji,hili somo,limenitoa sehemu moja kwenda sehemu nyingine,,ubarikiwe sana,nakufuatilia sana masomo yako nabarikiwa nayo sana.
Amen, amen
Jesus huyu ni mwl haswaa🙌🏻🙌🏻
Ubarikiwe KWA somo zuri
Mtume wangu
Ubarikiwe mtumish
Nimekuelewa hiyo baba ya kukumbushwa dgambi
Amen Amen
Ubarikiwe mchungaji mtume wangi
Amen
Asante kwa somo zuri pastor nafwatilia
Ndugu yangu unanibariki kila wakati ninapokusikia
Amina
Hii ndo ibada Sasa..
AMEEN PASTOR
Amen
Amen