Pastor Fred Msungu - Vita vya Kiroho

VITA VYA KIROHO
( WAEFESO 6:12 )
Moja kati ya masomo tata , lakini muhimu sana kwenye mwili wa Kristo ni hili somo la vita Vya kiroho .
Kweli Muhimu
- Vita ya Kiroho ni halisi
Uwe unakubali au haukubali , vita ya kiroho ni halisi . Kwa sababu uliwengu huu unaratibiwa rohoni sio mwilini
- Kila mwamini , yupo vitani
Iwe unajua au haujui, lakini siku uliyotangaza tu hadharani umeokoka , ni siku ambayo ulitangaza vita kwenye ulimwengu wa roho
katika somo hili utajifunza vita ya Kiroho ni nini ? Inapiganwaje ? Na uwanja wa vita hii uko wapi.
Lakini utajifunza kwa nini kwa watu wa Mungu kumekuwa na ugumu na upinzani sana kupenya na kufanikiwa ? Pia utapata namna ya kutoka na kufanyika kuwa mshindi kwenye kila unalo lifanya .

Пікірлер: 20

  • @user-sc3dn3oc8e
    @user-sc3dn3oc8eАй бұрын

    Amen baba, siondoki nilipo Kwa mapenzi ya mtu

  • @evahealthservice7390
    @evahealthservice7390 Жыл бұрын

    Haleluyaaa!!! Mimi ni zaidi vikwazo nilivyowekewa, mimi ni zaidi ya mshindi🙏🙏

  • @user-rz3ct3ip5j
    @user-rz3ct3ip5j Жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana sana sana Mungu azidi kukuza huduma . Mchungaji unakitu Baba 🙌

  • @suzanemwambe6320
    @suzanemwambe6320 Жыл бұрын

    Amina amina mchungaji,hili somo,limenitoa sehemu moja kwenda sehemu nyingine,,ubarikiwe sana,nakufuatilia sana masomo yako nabarikiwa nayo sana.

  • @user-sc3dn3oc8e
    @user-sc3dn3oc8eАй бұрын

    Amen, amen

  • @maishokadori-ve2qz
    @maishokadori-ve2qz Жыл бұрын

    Jesus huyu ni mwl haswaa🙌🏻🙌🏻

  • @lovenessjoseph5718
    @lovenessjoseph5718 Жыл бұрын

    Ubarikiwe KWA somo zuri

  • @mercyjulius003
    @mercyjulius00310 ай бұрын

    Mtume wangu

  • @justinmwangos5541
    @justinmwangos5541 Жыл бұрын

    Ubarikiwe mtumish

  • @user-sc3dn3oc8e
    @user-sc3dn3oc8eАй бұрын

    Nimekuelewa hiyo baba ya kukumbushwa dgambi

  • @slamafamily5720
    @slamafamily5720 Жыл бұрын

    Amen Amen

  • @mercyjulius003
    @mercyjulius00310 ай бұрын

    Ubarikiwe mchungaji mtume wangi

  • @slamafamily5720
    @slamafamily5720 Жыл бұрын

    Amen

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 Жыл бұрын

    Asante kwa somo zuri pastor nafwatilia

  • @ogollahofficial4470
    @ogollahofficial4470 Жыл бұрын

    Ndugu yangu unanibariki kila wakati ninapokusikia

  • @ThomasNghwani-nw6rx
    @ThomasNghwani-nw6rx Жыл бұрын

    Amina

  • @jenipherkamugisha4687
    @jenipherkamugisha4687 Жыл бұрын

    Hii ndo ibada Sasa..

  • @emachris4388
    @emachris4388 Жыл бұрын

    AMEEN PASTOR

  • @ahadibenno9756
    @ahadibenno9756 Жыл бұрын

    Amen

  • @rudinyumbani
    @rudinyumbani Жыл бұрын

    Amen