TIZAMA MATENDO MAKUU YA MUNGU, BAADA YA MAOMBI YALIYOONGOZWA NA MWL MWAKASEGE, HAKIKA MUNGU AKAJIBU.

SEMINA YA MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE ARUSHA JANUARY 2020, BAADA YA MAOMBI MUNGU AKAJIBU NA WATU WAKASHUHUDIA JINSI MUNGU ALIVYOFANYA.

Пікірлер: 372

  • @elizabethtr5rrtakonaay413
    @elizabethtr5rrtakonaay4133 жыл бұрын

    JEHOVA SHALOM asante kwa uponyaji nilikuwa naumwa kifua namshukuru Mungu baada ya maombi niliona kifua kimefunguka

  • @agathathobias8690

    @agathathobias8690

    3 жыл бұрын

    Sifa na utukufu ni kwa MUNGU

  • @samwelmwaijumba6018

    @samwelmwaijumba6018

    3 жыл бұрын

    Amen glory to God

  • @naomiramadhani2648

    @naomiramadhani2648

    3 жыл бұрын

    Wewe ndiye Mungu wangu Aldonai bila wewe mimi siwezi . Yehova Yire

  • @hanamogiro1001

    @hanamogiro1001

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @samwelkowero1188

    @samwelkowero1188

    2 жыл бұрын

    Amen Amen

  • @deboraruhinda1818
    @deboraruhinda18183 жыл бұрын

    Heshima sifa na utukufu ni kwa Bwana YESU, Aleluya

  • @tumainchigeso5022
    @tumainchigeso50223 жыл бұрын

    Mungu anatenda miujiza mingi sana tatizo watu wengi hawampendi Mungu wanapenda miujiza tu hakika ipo siku utakuja kujuwa jinsi ulivyo poteza muda wako ktk Dunia hii ya dhambi ,okoka Leo ni muda sahihi

  • @magdalenakessy9425

    @magdalenakessy9425

    Жыл бұрын

    Wokovu ni kila kitu patia yesu maisha yako

  • @jescakabogo730
    @jescakabogo7303 жыл бұрын

    Haleluya haleluya. Mungu wa uweza unaweza. Barikiwa sana watumishi wa Mungu aliye hai

  • @faharimbwillo8403
    @faharimbwillo84033 жыл бұрын

    Amina nabarikiwa sana na Mungu aendelee kuwabariki sana 👏👏👏👏👏

  • @elbarikimrimi7777
    @elbarikimrimi77773 жыл бұрын

    Sifa, Heshima na utukufu ni kwa Mungu. Wewe ni Bwana utuponyaye..ahsante Yesu

  • @samwelkowero1188
    @samwelkowero11882 жыл бұрын

    Mungu Ninakushukuru Kwakuwa Umeniponya nilikua dhaifu, Sasa Umeniweka Huru Mungu nakushukuru Sana Asante Yesu Kristo Amen,Mtumishi wa Bwana Mwalimu Mwakasege Mungu akubariki Sana .Amen

  • @ekaristmanoni8273
    @ekaristmanoni82733 жыл бұрын

    Mungu azidi kutungusa kwa kila mwenye hitaji lake na mimi atanifikia siku yangu ,"Tumtumainie yeye wakati wote"

  • @fatumaasumani7930

    @fatumaasumani7930

    3 жыл бұрын

    Namshukuru mungu wangu kwakunirudisha kazini

  • @fatumaasumani7930

    @fatumaasumani7930

    3 жыл бұрын

    Namshuru mungu kwakunipa ujauzito namuomba mungu wangu aniondolee maumivu

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    3 жыл бұрын

    @@fatumaasumani7930 umebarikiwa Mungu ni mkuu sana , Hongera sana . Mungu anaenda kukutendea makuu zaidi ya hayo, Hujaona kitu bado. Glory to God , You’re blessed in the name of Jesus

  • @magrethsamson1835
    @magrethsamson18353 жыл бұрын

    Namshukuru mungu miguu yangu ilikuwa na maumivu kwenye viganja vya miguu baada ya ushiliki maombi haya nikasikia sauti kitu kimetoka sisikii Tena be maumivu

  • @concesafl

    @concesafl

    3 жыл бұрын

    Barikiwa sana

  • @obedyjonas4485

    @obedyjonas4485

    3 жыл бұрын

    Mtoa ushuhuda unapoandika Mungu uanze kwa herufi kubwa maana mungu ya herufi ndogo kama hiyo hapo niliyoandika nyuma kidogo haimaanishi Mungu aliye hai.

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    3 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @veronicapanga1286

    @veronicapanga1286

    3 жыл бұрын

    Samahn huyu.mchungaji yupo mkoa gani

  • @mercykombe

    @mercykombe

    3 жыл бұрын

    Glory to GOD

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph76873 жыл бұрын

    Amen Amen nasisi nafamilia yangu tunapokea haja ya moyo yetu kwa jina la Yesu wanadharethi Amen.

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba60183 жыл бұрын

    Wewe ni Bwana uniponyayeeee Wewe ni Bwana mponyaji....hulituma neno lako nipone....Wewe ni Yesu mponyaji....

  • @luciekituza4267
    @luciekituza42673 жыл бұрын

    Amen! Jina la bwana Yesu kristo libarikiwe milele na milele🙌

  • @michaelelias5042

    @michaelelias5042

    2 жыл бұрын

    Amina

  • @ibrahjoel7283
    @ibrahjoel72833 жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa samahan Ntaipataje hyo nyimbo ya kuabudu🙏 amen

  • @ruthstephen2791

    @ruthstephen2791

    3 жыл бұрын

    Nadhani ipo youtube

  • @juliethernest4550

    @juliethernest4550

    3 жыл бұрын

    Mnafeli wapi mnaoenda kwa waganga ? Mganga ameumbwa na Mungu he anaweza kumzidi nguvu aliyemuumba haiwezekani

  • @chimbokiswaga8662
    @chimbokiswaga86623 жыл бұрын

    Natangaza gonjwa la ukimwi kuniachia leo na kuwa huru kwa jina yesu kristo mnadhalet Alie hai amen utukufu kwa bwanaaa🙏🙏🙏🙏

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    3 жыл бұрын

    Ameeeeen, Mungu wetu ni mwenye nguvu, upendo na huruma, Hakuna linalomshinda na kamwe halitokuwepo. Ubarikiwe sana ndugu yangu na Mungu anakupenda na lilo unalohitaji akutendee maishani mwako na mwilini basi limejibiwa katika jina la Yesu kristo. Be blessed 😊

  • @maoleminja6514

    @maoleminja6514

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @lovenesswaziri793
    @lovenesswaziri7933 жыл бұрын

    Nampenda sana mwalim mwakasege

  • @justinakafwenda683
    @justinakafwenda6833 жыл бұрын

    Sikia haja za moyo wangu Bwana Yesu uniponye na kunifanyia wepesi

  • @leahnkwija1003
    @leahnkwija10033 жыл бұрын

    Nani kama wewe Mungu wangu,karibu nami Leo kwangu nakukaribisha uingie na ukae kwangu

  • @gracetarimo6073
    @gracetarimo60733 жыл бұрын

    Kupitia maombi haya mwanangu akapone ugonjwa ambao unajirudiarudia kwake kwa jina la yesu naomba nakuamin Amina🙏🙏🙏🙏🙏

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    3 жыл бұрын

    Mungu akamguse mtoto wako, Akamponye, Akamlinde na mtoto akue katika njia zinazompendeza katika Jina la Yesu kristo, Mbarikiwe sana 😊

  • @peninaancon1256
    @peninaancon12563 жыл бұрын

    Ni Maombi yangu Mungu wa mbinguni awatunze (Mwl. Mwakasege na Mama) kwaajili ya utumishi wake kwa watu wake. Amina!.

  • @stellangowa9491
    @stellangowa94913 жыл бұрын

    najiunganisha na ibada hii mungu naomba usikie itaji langu

  • @christophermsigala8001
    @christophermsigala8001 Жыл бұрын

    Namshukur Mungu nimesiliza maombi haya na niliungana nanyie katika madhabahu hiyo na nimepona sikio langu na sehem ya mbavu nlikuwa nikikaa naumia ila baada ya haya maombi nasmhukur Mungu..asante Mungu

  • @udzungwawater2022
    @udzungwawater20223 жыл бұрын

    Naitwa Magreth, Napenda Kumshukuru Mungu kwa uponyaji wake kwa kupitia maombi haya. Nimepona kifua kabisa nilikua nasumbuliwa Sana Hadi kuinama inanipa shida Sana. Ni Neema iliyoje na Mimi namuaibisha Shetani kwa kushuhudia leo. Hakika nimeziona nguvu za Mungu , Mungu akutunze mtumishi Glory be to God.

  • @mariammihambo9393

    @mariammihambo9393

    Жыл бұрын

    Hallelujah

  • @givenmwaluanda3590

    @givenmwaluanda3590

    8 ай бұрын

    Namshukuru mungu Kwa navyo nitendea na sema Asante🙏🎊

  • @user-gt3mh5up3r
    @user-gt3mh5up3r Жыл бұрын

    Mungu baba asante kwaajili ya mtumishi wako Christoph a mwakasege ,naomba unikutanishe nae itaji langu walijua bwana

  • @dottosebastiano2532
    @dottosebastiano25323 жыл бұрын

    Jina la MUNGU NI KUBWA MUNGU akubariki mwalimu

  • @Iddapaul
    @Iddapaul3 жыл бұрын

    Amen na asante Yesu kwa uponyaji. Asante kwasababu ya Watumishi wa Mungu; nina mengi ya kumshukuru Mungu pia kwa ajili yao. Nimekuwa nikishika tumbo langu la uzazi kwa ajili yangu na wote wenye uhitaji wa watoto. Kwa zaidi ya miaka 10 na mimi nikapata mtoto wa kiume mwaka jana 2019 baada ya kukosa mtoto kwa miaka 19 tangu nilipopata binti yangu wa kwanza mwaka 2000. Sikupata matibabu yoyote ya kitaalamu hivyo namuinua Kristu kwa ushindi huu na namkabidhi mtoto wangu wa miujiza kwa Bwana siku zote za maisha yake.

  • @happynesselisha2048

    @happynesselisha2048

    3 жыл бұрын

    Na amini kupitia ushuhuda wako kakaangu na wifi yangu wenye miaka sita kwenye ndoa nawo watapata mtoto. Amina

  • @wasajo

    @wasajo

    3 жыл бұрын

    Jamani mi pia namuomba sana Mungu kupitia ushuhuda wako naamini atanijibu yale nayomuomba kwa wakati wake

  • @priscajonas1978

    @priscajonas1978

    2 жыл бұрын

    Kupitia ushuuda wako mpendwa.mungu fanye kitu kwangu

  • @doreenchanziii9398

    @doreenchanziii9398

    11 ай бұрын

    O9

  • @OmaryAkida

    @OmaryAkida

    9 ай бұрын

    Ame rakin sija kufaam

  • @dr.peterik2586
    @dr.peterik25863 жыл бұрын

    Ninakupenda sana Mtumishi wa Mungu Mwakasege always hata watu waseme walitafutwa kukutanishwa na wewe wapone Wewe unasema wamekutanishwa na YESU aponyae.

  • @noelangowi6960

    @noelangowi6960

    3 жыл бұрын

    Aminaa yaan hapo tuu

  • @kelvinlwiva5380
    @kelvinlwiva53803 жыл бұрын

    KWANINI UNARUDI NYUMA ILI UFE? Bwana Yesu apewe sifa mtu upendwaye na Mungu! Mungu ametupa neema ya uzima, nami ndani yangu nawiwa kukuletea neno la Mungu la lenye kuponya. Hasa wewe ambaye umekwisha kuijua neema na kipawa cha Mungu, lakini bado unavutwa na kuvutika kurudi nyuma ukidhani huko kuna usalama kuliko kwa Mungu, eti kwasababu kwa shetani utapata hirizi ya kuvaa, eti kwasababu utachanjwa chale na kuwekewa dawa, eti kwasababu utanyweshwa dawa za kujikinga, eti mganga atazindika nyumba yako, naomba nikwambie kitu mpendwa, shetani amekuwa akikuwinda sana wakati Mungu amekufunika na ulinzi wake, mara tu utakapotoka mikononi mwa Mungu,shetani atakugawanya vipande vipande, na Mungu anachukia kurudi nyuma, hebu msikie mwenyewe! “Ikiwa mtabaki katika nchi hii, ndipo nitawajenga, wala sitawabomoa, nami nitawapanda, wala sitawang'oa; kwa maana nayajutia mabaya niliyowatenda” Yeremia 42:10. Endelea kumsikiliza, “Haya ndiyo yatakayowapata watu wote waelekezao nyuso zao kwenda Misri, na kukaa huko; watakufa kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni; hakuna mtu awaye yote miongoni mwao atakayesalia, au kuokoka katika mabaya nitakayoyaleta juu yao” Yeremia 42:17. Mpendwa kaa kwa Yesu kuna usalama wa kutosha, huko misri/duniani/kwa shetani UTAKUFA!!! Katika Mithali 1:32 imendikwa “Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.” Kurudi nyuma au kumwacha Yesu ni ndani ya maamuzi yako, lakini kutakuua, be sure! Yesu akagongelea msumari huu hapa katika Mathayo 12:45, msikie “Mara(pepo) huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu(aliyerudi nyuma/mwacha Yesu) yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.” Uko tayari kupata shida yote hiyo? Sema hapana, maana Mungu baba yetu anatupenda na wala hataki tupotee, kaa ndani ya Yesu uwe salama na ufanikiwe! YESU NI MWOKOZI WA ULIMWENGU NJOO KWAKE LEO! Uwe na siku njema katika jina la Yesu Kristo. Kwa msaada zaidi piga: 0756-292-211 au 0711271110 Mwalimu kelvin Nathaniel Lwiva

  • @maggieandrew995

    @maggieandrew995

    3 жыл бұрын

    Mhhhhhh

  • @vivylove4854
    @vivylove48543 жыл бұрын

    Ur prayers is powerful I was feeling bad from my body, feeling exhausted but now am okay may God bless you

  • @veronicaboniventura5058

    @veronicaboniventura5058

    3 жыл бұрын

    Amen 🙏🙏Hakika Mungu ni mwenza wa yote kwake hakuna linaloshidikana

  • @ruthShuma-ut3mo

    @ruthShuma-ut3mo

    Жыл бұрын

    Wewe ni Yesu uniponyae

  • @ruthShuma-ut3mo

    @ruthShuma-ut3mo

    Жыл бұрын

    Asante Yesu Kwa kuniponya

  • @venavale4173
    @venavale4173 Жыл бұрын

    Amina nimepokea na kupona kwa jina la YESU KRISTO WA NAZARETI ALIYE HAI.

  • @nuruduma4954
    @nuruduma49543 жыл бұрын

    Nimeponywa na tumbo Mara moja alipokuwa akiomba!!jina la Yesu liinuliwe.

  • @samsonmartin107

    @samsonmartin107

    3 жыл бұрын

    Mungu wetu ni mponyaji mkuu.

  • @iraqgirl2143

    @iraqgirl2143

    3 жыл бұрын

    Ameen

  • @beatrecepaul1467

    @beatrecepaul1467

    2 жыл бұрын

    Naomba niweze pata namba ya mtumish tafadhal

  • @janejacob1402
    @janejacob14027 ай бұрын

    Ee MUNGU wangu nionye kweli katika maisha yangu unisamehe makosa yangu unikinge na mambo mabaya ya ulimwengu mimi na uzao wangu utufungulie marango ya mafanikio kwa jina la yesu kwa damu ya yesu AMENI

  • @hildachipalo208
    @hildachipalo2083 жыл бұрын

    Amen amen Mungu ni mwaminifu sanaaa,,, tunashukuru kwa maombi

  • @tulinagwemwakalukwa6468

    @tulinagwemwakalukwa6468

    3 жыл бұрын

    Ameeeen

  • @christinachriss9231
    @christinachriss92313 жыл бұрын

    Ktk watumishi wanaotumiwa na Mungu huyu ni no 1 hana mbwembe Mungu anafanyaga mwenyewe live namkubali,Mungu bariki hii huduma idumu

  • @oliviaambrose2907
    @oliviaambrose29072 жыл бұрын

    Asante Yesu usiku nilikuwa najisia vibay sn..nikafuatilia haya maombi hakika MUNGU mkuu. niko vizuri sn

  • @claraeline7458
    @claraeline74582 жыл бұрын

    Nakushukuru Mtumishi kwa ajili ya maombi haya nilikuwa na naumwa. Nikasikiliza maombi haya kwa imani nikapokea uponyaji. Na atukuzwe Mungu Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza na kukulinda🙏

  • @nurulusekelo5708
    @nurulusekelo57083 жыл бұрын

    Mungu wangu uliye hai, ahsante kwa uponyaji wa mtoto wangu huko aliko shuleni, wewe ni Mungu mwenye upendo. oooh ahsante Yesu

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    3 жыл бұрын

    Mungu wetu ni mkuu sana na mwaminifu mwenye kusikia na kutenda kama unavyohitaji, Mtoto abarikiwe,Malaika wa bwana wamlinde na kusimama nae popote akanyagapo. Amebarikiwa katika jina la Yesu Kristo 🙌🏿

  • @elicajimmy2059
    @elicajimmy20593 жыл бұрын

    Baba Christopher namama yangu Diana nawapenda sanaaa, Mungu waIbrahimu awatimizie ahadi zake kwenu, awatunze naRoho Mtakatifu asiwaondolee Bali awajaze daima ili muendelee kutumika, Mbarikiwe mpaka mshangae pamoja nafamiliya yenuu

  • @jimmymbisse999
    @jimmymbisse9993 жыл бұрын

    Amina sifa enzi na utukufu ni kwa Mungu wa mbinguni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo

  • @mariahmweni7110

    @mariahmweni7110

    3 жыл бұрын

    Ameni kubwa hata mimi ataniponya

  • @emmanuelmarcofficial1977
    @emmanuelmarcofficial19772 жыл бұрын

    Mungu mponyaji yuko nami leo

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka0019 ай бұрын

    AMEN AMEN AMEN. Ahsante YESU Kwa kuniponya

  • @scholahmwelange2508
    @scholahmwelange25082 жыл бұрын

    Najivunia kuwa na mwalimu kama ww Mwakasege Mungu azidi kuku bariki

  • @mwalimunanabiinelsonmwakik5542
    @mwalimunanabiinelsonmwakik55423 жыл бұрын

    Ubarikiwe baba Leo naweza kuwa naheshima kwa ajili yako baba Umetulea vizuri

  • @hurumamassawe6899
    @hurumamassawe68993 жыл бұрын

    Mungu uponyae Asante kwa uponyaji wako juu ya maisha yangu Asante Jeova nisii Ubarikiwe Mwalim Mwakasege and Diana Mwakasege

  • @rehemaburuna4641
    @rehemaburuna46413 жыл бұрын

    Yesu alivyo mzuri hivi jamani, kwann wengine wanajidanganya kwenda kwa waganga, sifa zote hizi ni zako Baba yetu uliyejuu

  • @barlethoyema6577

    @barlethoyema6577

    3 жыл бұрын

    Namshukulu Mungu kwa uponyaji nilioupokea hasante Bwana Yesu wew ni Mungu uniponyae

  • @janethurio2453

    @janethurio2453

    3 жыл бұрын

    Acha tu I wish tumtegemee Mungu wote. Ulimwengu ungekuwa shwari.

  • @FATUMAMSALANGI-lc5dj
    @FATUMAMSALANGI-lc5dj3 ай бұрын

    Asante yesu wangu kwa kuniponya miguu yangu imepona sasa

  • @florencekivevo2252
    @florencekivevo22523 жыл бұрын

    Amen am blessed our God never changes more grace

  • @mlugujames158

    @mlugujames158

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @tusajigwekanemela4784
    @tusajigwekanemela47843 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa utukufu wako

  • @heavenlight5084
    @heavenlight50843 жыл бұрын

    Shalom mtumishi wa MUNGU, kweli mom wangu umependeza, KRISTO AZIDI kuwainua

  • @jumabernard3955
    @jumabernard3955 Жыл бұрын

    Naitwa Rehema nimepokea uponyaji nilikuwa nasikia maumiv chini ya tumbo, nina ujauzito wa miezi 9 naamin nitajifungua salama , namtoa mtoto huyu sadaka ya dhabihu na nadhiri yangu kwa Bwana ikiwa atanifanikisha kulipwa mafao, kupata mahitaji yangu na ya mtoto Amen.

  • @omarynasibu9570
    @omarynasibu95703 жыл бұрын

    Asante Yesu kwa kuniponya ni mzima tena Asante yesu kwa kunikomboa amen

  • @bahatimyegeta5665
    @bahatimyegeta56653 жыл бұрын

    Ashukuriwe sana Mungu kwa kurupa mtumishi mwekasege nabarikiwa sana

  • @ndenitoriakimaro9631
    @ndenitoriakimaro96313 жыл бұрын

    Neno lako ni Kweli na amina MUNGU mwenye NGUVU

  • @goldengodson9764
    @goldengodson97643 жыл бұрын

    Utukufu kwa Mungu aliye hai kwa uponyaji

  • @vannyndayake8044
    @vannyndayake80442 жыл бұрын

    Mungu akubariki baba upo msaada MKUBWA kwa taïfa la Mungu,laiti ungeli fika inchini mwetu DRC naomba tupate kibali machoni mwa Bwana ukanyage inchini mwetu

  • @jullyregy3057
    @jullyregy30572 жыл бұрын

    Shalom Nimesikiliza hii semina leo tar 24/10/2021 akati anaomba nimeshika tumbo Mana lilikua linasumbua anasema upande wa kushoto af kweli maumivu yakaongezeka upande huo huo kama vile anaonyeshwa yani na ni semina ya mwaka jana hii 🙏 ila namshukuru Mungu niko sawa ni hewa chafu tuu inatoka tumboni kwa sasa Maombi huambatana na imani nimejifunza hili leo Mungu akubariki mtumishi🙏🙏

  • @oliviaambrose2907
    @oliviaambrose29072 жыл бұрын

    Amina napokea uponyaji kwa jina la yesu

  • @barakatarimo4447
    @barakatarimo44478 ай бұрын

    Mungu akafungue mbingu ktk shighuli zetu atulinde dhidi ya maadui

  • @edinahmaganga2722
    @edinahmaganga27223 жыл бұрын

    Nawapenda Sana hawa watumishi wa Bwana Christopher Mwakasege na mkewe Diana kwa kweli maombi yenu huwa na barikiwa Sana

  • @doreenmfuse9805
    @doreenmfuse98053 жыл бұрын

    Mungu wangu naomb hitaji langu haja ya moyo wangu baba ,naomb nkuone leo kuptia maomb haya naamin namm bwana Mungu nakuomba Mungu

  • @samwelkowero1188
    @samwelkowero11882 жыл бұрын

    Asante Yesu Kristo Kwa kuniponyaa

  • @jacquelinengamilaga4475
    @jacquelinengamilaga4475 Жыл бұрын

    Asante Yesu kwakua umenionekania, hakika nimepokea in Jesus name.

  • @vannyndayake8044
    @vannyndayake80442 жыл бұрын

    TZ mupo na NEEMA ya pekee kua na wqtumishi kama MWAKASEGE na DiaNa naomba Mungu awanyanyue zaidi ili waendelee kuwa msaada kwa watu wengi

  • @juliusibundara6671
    @juliusibundara66713 жыл бұрын

    Bwana ndiye mponyaji,yesu ni maji yatuliza kiu yangu.

  • @rosemarymorange3146
    @rosemarymorange31462 жыл бұрын

    Asante MUNGU kwA ajili bus uponyaji wangu. Uhimidiwe Bwana

  • @beatricemarwa6731
    @beatricemarwa6731 Жыл бұрын

    Asante Yesu umanaweza kutumia watu wako waliotayari kusaidia wanadamu wakujue. Maisaidie mtumishi wako kuijua kweli yote. Neno lako kupitia yy limeniponya. Asante Mungu

  • @Shalom2018
    @Shalom20183 жыл бұрын

    Mungu ni mwema

  • @mamygidion534

    @mamygidion534

    3 жыл бұрын

    Mungu ni mwemaa

  • @sonjacxon908
    @sonjacxon9083 жыл бұрын

    Amen Mungu and anisaidie mm Niw na ujasil iman nkiyonayo

  • @sinyoritasamwel6392
    @sinyoritasamwel63923 жыл бұрын

    Asante sana nimebarikiwa sana munguvazid kuwainua zaid na zaid

  • @AsheryElias-cv2pe
    @AsheryElias-cv2peАй бұрын

    Kweli Mungu ni Mungu heshima na tukufu ni kwenye yeye atendaye hata yote❤

  • @lindadaudi9735
    @lindadaudi97352 жыл бұрын

    Ameniponya Yesu asante Adonai

  • @josephndimi6135
    @josephndimi61353 жыл бұрын

    Wewe Ni Mungu uponyae naomba uniponye Mungu wangu matatizo yote yanayo nisumbua AMINA

  • @juliuslukumay333
    @juliuslukumay3333 жыл бұрын

    Hakika mungu yupo na anajibu Kila mmoja kwa wakati wake.

  • @kimasajesca2727
    @kimasajesca27273 жыл бұрын

    Mungu aliyejibu kwahawa wapendwa wetu naamini atajibu na kwangu

  • @josselinijosiah8370
    @josselinijosiah83702 жыл бұрын

    Asante Mungu kupitia mtumishi wako

  • @leornadchali9683
    @leornadchali9683 Жыл бұрын

    Tenda muujiza mungu wangu nenda mbele yangu yesu nipiganie nipe kushinda katika jina la yesu nivushe ng'ambo mungu wangu nishike mkono yesu

  • @ngukumsurietarimo2003
    @ngukumsurietarimo2003 Жыл бұрын

    Bwana yesu asifiwe nilikuwa naumwa mguu ulipokuwa unaomba uvimbe umepona.

  • @lynelee5846
    @lynelee58463 жыл бұрын

    Kupitia shuhuda huu..nins Imani ndugu yangu aliye potea 2015 atarejea 😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪

  • @musalukala9412

    @musalukala9412

    3 жыл бұрын

    Ameeen amen

  • @gooddeeds162

    @gooddeeds162

    3 жыл бұрын

    Amen and To God be the glory . Mungu ni mwenye upendo, huruma na ni mlinzi wetu basi ndugu yetu atapatikana haijalishi ni kwa muda gani lakini atarudi katika jina la Yesu kristo.

  • @lynelee5846

    @lynelee5846

    3 жыл бұрын

    @@gooddeeds162 AMINA😩😩😩💔

  • @yasintabuhilya6418
    @yasintabuhilya6418 Жыл бұрын

    Napokea nguvu ya uzima na familiar yangu ,barikiwa watumishi wa mungu

  • @raphaelsukari8465
    @raphaelsukari84652 жыл бұрын

    Miongoni mwa watumishi halisi wachache waliosalia wa Mungu aliye hai. God bless this man ,amen.

  • @doreenemmanuel9800
    @doreenemmanuel98002 жыл бұрын

    Amen maombi mazuri sana Mungu azidi kukuinua Mtumishi Mwalimu kirstofa

  • @malakimbise1642
    @malakimbise16423 жыл бұрын

    MUNGU AWABARIKI JAMNI MUNGU MNAYE MTUMIKIA AMESAIDIA WENGI ASA TAIFA LA TANZANIA

  • @florianmgata2858
    @florianmgata28583 жыл бұрын

    Bwana Yesu iponye familia yangu ..pamoja na mimi kwa kupitia maombi haya

  • @ruthmwasomola3907
    @ruthmwasomola39073 жыл бұрын

    Amen nashukuru Sana mtumishi Mungu azidi kukulinda ili uzidi kutuudumia

  • @verrynicemushi2563
    @verrynicemushi25633 жыл бұрын

    Asante sana barikiwa sana mwl

  • @ulumbielias4947
    @ulumbielias49472 жыл бұрын

    Nashukuru Mungu kwa mtumishi huyu baba nimepata uponyaji 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @juliananyiti581
    @juliananyiti5813 жыл бұрын

    Na Mungu aliye asili ya mema atubariki sote ,pia azidi kutukumbuka ktk haha zetu na shida zetu za Kila siku .UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU.

  • @rehemajayden
    @rehemajayden Жыл бұрын

    Bwana yesu naomba mpinye mwanangu kila homa iliyopo ndani yake itoweke kwa jina la yesu

  • @hawaomary1641
    @hawaomary164111 ай бұрын

    Nilikuwa napata maumivu ya vidonda vya tumbo na choo kama Cha mbuzi baada ya haya maombi namshukuru MUNGU wa mbinguni amenitetea na kuniweka huru nimeiona Nuru ya Bwana Kwa wazi ni muda wa mwaka sasa ninaumwa sana sifa utukufu na heshima na za kwake Bwana Yesu na MUNGU wangu Alie juu Yesu ni mzuri ninalia Kwa furaha asante Kwa Baraka watumishi wa MUNGU

  • @tristangastor5714
    @tristangastor57142 жыл бұрын

    Ahsante mtumishi me nlikuwa nahs roho za mauti lakini saiv nahisi kufungiliwa ubarikiwe sanaa

  • @neemanzengele5132
    @neemanzengele51323 жыл бұрын

    Amen baba kwa utumishi wako Mungu akubariki

  • @juliethpetro1556
    @juliethpetro15563 жыл бұрын

    Amina,nawapata vizur pia nabarkiwa

  • @mathiaslyimo9373
    @mathiaslyimo93733 жыл бұрын

    Haleluya. Utukufu kwa Mungu

  • @bitonkaywanga1097
    @bitonkaywanga10973 жыл бұрын

    Mungu wa mbinguni azid kuwa neemesha mzid kuwa wazima mzid kutubeba katik maombi mbarikiwe sana

  • @ombeninassary4428
    @ombeninassary44283 жыл бұрын

    Amina ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege34263 жыл бұрын

    Nimekumis mwalim BABA, Karibu njombe mkoani

  • @janeomary8464
    @janeomary84643 жыл бұрын

    Asantee bwanA yesu kwa kuniponya

  • @mtumishiwamungunelson1684
    @mtumishiwamungunelson16843 жыл бұрын

    Weka imani kwa Jina LA Yesu Baba uko vyema unamtukuza Yesu siyo Mwanadamu Mungu akubariki Baba unakataa utukufu na Wewe ndo Mtumishi wa Mungu.

  • @fredybuha6809

    @fredybuha6809

    3 жыл бұрын

    Watumishi wa kweli ndio huwa Wana mpa utukufu Yesu tuuu

  • @kisserbeauty6828
    @kisserbeauty68282 жыл бұрын

    Mungu atukuzwe milele na milele

  • @lindadaudi9735
    @lindadaudi97352 жыл бұрын

    Nimepona kwa jina la Yesu

  • @marrynaftali7969
    @marrynaftali79693 жыл бұрын

    Mungu Asante kwa uponyaji wako,ninakurudishia sifa na utukufu unastahili baba

Келесі