Mch Moses Magembe - YESU KRISTO HABADILIKI | MWANZA 01

Somo: YESU KRISTO HABADILIKI
Andiko: WAEBRANIA 13:8
Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
Tarehe: 18.06.2024

Пікірлер: 39

  • @bettyisaack209
    @bettyisaack20917 күн бұрын

    #Mwanza kwa Yesu; Injili isiyoghoshiwa kwetu, Bwana atutendee

  • @mercywilbertmitao
    @mercywilbertmitao12 күн бұрын

    Jina la Bwana libarikiwe sana 🙏

  • @user-by7cu5el8t
    @user-by7cu5el8t13 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ yesu nimungu

  • @FunnyDarypink
    @FunnyDarypink16 күн бұрын

    Amen 🙏

  • @frolafelix
    @frolafelix16 күн бұрын

    Amen

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro304218 күн бұрын

    Hongera kwenu watu wa Mwanza kwa neema hii

  • @Peterdeus6037
    @Peterdeus603717 күн бұрын

    Yesu ni Bwana

  • @user-du3pd7gb4c
    @user-du3pd7gb4c18 күн бұрын

    Mungu akubariki Mchungaji hii kweli ya Mungu hii inasaidia sana!!!! I injili kamili ndo hii

  • @ebenezaestate5045
    @ebenezaestate504517 күн бұрын

    Karibu saana na Bukoba kasharu ila Mimi nipo Dar feel free church kwa masanja

  • @Augustinbonane277
    @Augustinbonane27717 күн бұрын

    Mubarikiwe sana Baba. Mungu awabariki kwa kwazi kubwa

  • @martinakyoo148
    @martinakyoo14817 күн бұрын

    Mbarikiwe watu wa Mwanza injili Iendelee

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli814517 күн бұрын

    Amina,asante kwa Yesu

  • @theonestrenatus954
    @theonestrenatus95417 күн бұрын

    Mungu akubariki sana baba..

  • @Peterdeus6037
    @Peterdeus603717 күн бұрын

    #Injili yenye kuliponya kanisa na mataifa

  • @renatusjohn7823
    @renatusjohn782318 күн бұрын

    Safi Sana. No mwanza sehemu gani, kuna ndugu yangu anataka kuhudhuria mkutano huu.

  • @retiekadarling992
    @retiekadarling99215 күн бұрын

    Ameeeeeeeeeeeeeeen.

  • @dainesmsagala8588
    @dainesmsagala858817 күн бұрын

    Zanzibar tunakusubir kwa shauku baba

  • @renatusjohn7823
    @renatusjohn782318 күн бұрын

    Ni mwanza sehemu gani

  • @erickmutungi8792

    @erickmutungi8792

    17 күн бұрын

    Stendi ya zamani (California/Kalifonia),ukishuka unateremka kufuata njia ambamo kuna wauza mitumba,hata ukiulizia wapita njia humo sokoni wanakuelekeza,maana ni eneo la wazi.

  • @GladnessMwakila
    @GladnessMwakila18 күн бұрын

    Ni NYEGEZI

  • @anethphilbert229
    @anethphilbert22912 күн бұрын

    MUNGU ANAMTUMIA KWA KUSUDI. MUNGU AKUBARIKI SAAAANA MTUMISHI KWA HUDUMA HII.

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi816416 күн бұрын

    HALLELUJAH AMEN 🙏🏾HALLELUJAH HALLELUJAH🙏🏾 HALLELUJAH 🙏🏾

  • @user-by7cu5el8t
    @user-by7cu5el8t13 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ld1ji6nu1g
    @user-ld1ji6nu1g18 күн бұрын

    Mungu azidi kuku tunza pastor

  • @user-ld1ji6nu1g
    @user-ld1ji6nu1g18 күн бұрын

    Saa 8:30 mchana

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro304218 күн бұрын

    Anayejua muda wa mkutano wa kesho anijulishe ili niwahi kuwa live na kubarikiwa na watu wa Mwanza kupitia mtumishi wa Mungu.

  • @user-du3pd7gb4c

    @user-du3pd7gb4c

    18 күн бұрын

    Ni sakumi mkutano unaanza

  • @bettyisaack209

    @bettyisaack209

    17 күн бұрын

    Ni saa tisa alasiri dada. Kakutane na Mungu hapo sawa na Shauku yako

  • @annastaziakimaro3042

    @annastaziakimaro3042

    17 күн бұрын

    @@user-du3pd7gb4c amen barikiwa

  • @annastaziakimaro3042

    @annastaziakimaro3042

    17 күн бұрын

    @@bettyisaack209 amen barikiwa sana

  • @GERALDHAMBAGELE
    @GERALDHAMBAGELE13 күн бұрын

    Yuko Nyegezi , pale ilipokuwa stand ya Muda wakati wanajenga Stend mpya ya Nyegezi . Karibu na secondary ya Nyabulogoya.

  • @danieldavis3361
    @danieldavis336117 күн бұрын

    Ukifika stendi ya nyegezi unaenda wapi

  • @abelymbate9382
    @abelymbate938218 күн бұрын

    Ni mwanza sehem gani yupo

  • @user-ld1ji6nu1g

    @user-ld1ji6nu1g

    18 күн бұрын

    Nyegez mwanz

  • @MathayoNashon

    @MathayoNashon

    17 күн бұрын

    Mwanza nyegezi stendi ya nyabulogoya

  • @danieldavis3361

    @danieldavis3361

    17 күн бұрын

    Ukifika stendi ya nyegezi unaenda wapi

  • @aproniamasatu5810

    @aproniamasatu5810

    17 күн бұрын

    ​@@danieldavis3361haufiki stend unashukia kijiweni unashuka shule ya nyabrogoya

  • @user-by7cu5el8t
    @user-by7cu5el8t13 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ yesu nimungu

  • @bettyisaack209
    @bettyisaack20917 күн бұрын

    #Mwanza kwa Yesu; Injili isiyoghoshiwa kwetu, Bwana atutendee