Mch Moses Magembe - YESU KRISTO HABADILIKI | MWANZA 01
Somo: YESU KRISTO HABADILIKI Andiko: WAEBRANIA 13:8 Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE Tarehe: 18.06.2024
Жүктеу.....
Пікірлер: 39
@bettyisaack20917 күн бұрын
#Mwanza kwa Yesu; Injili isiyoghoshiwa kwetu, Bwana atutendee
@mercywilbertmitao12 күн бұрын
Jina la Bwana libarikiwe sana 🙏
@user-by7cu5el8t13 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ yesu nimungu
@FunnyDarypink16 күн бұрын
Amen 🙏
@frolafelix16 күн бұрын
Amen
@annastaziakimaro304218 күн бұрын
Hongera kwenu watu wa Mwanza kwa neema hii
@Peterdeus603717 күн бұрын
Yesu ni Bwana
@user-du3pd7gb4c18 күн бұрын
Mungu akubariki Mchungaji hii kweli ya Mungu hii inasaidia sana!!!! I injili kamili ndo hii
@ebenezaestate504517 күн бұрын
Karibu saana na Bukoba kasharu ila Mimi nipo Dar feel free church kwa masanja
@Augustinbonane27717 күн бұрын
Mubarikiwe sana Baba. Mungu awabariki kwa kwazi kubwa
@martinakyoo14817 күн бұрын
Mbarikiwe watu wa Mwanza injili Iendelee
@fidemikaeli814517 күн бұрын
Amina,asante kwa Yesu
@theonestrenatus95417 күн бұрын
Mungu akubariki sana baba..
@Peterdeus603717 күн бұрын
#Injili yenye kuliponya kanisa na mataifa
@renatusjohn782318 күн бұрын
Safi Sana. No mwanza sehemu gani, kuna ndugu yangu anataka kuhudhuria mkutano huu.
@retiekadarling99215 күн бұрын
Ameeeeeeeeeeeeeeen.
@dainesmsagala858817 күн бұрын
Zanzibar tunakusubir kwa shauku baba
@renatusjohn782318 күн бұрын
Ni mwanza sehemu gani
@erickmutungi8792
17 күн бұрын
Stendi ya zamani (California/Kalifonia),ukishuka unateremka kufuata njia ambamo kuna wauza mitumba,hata ukiulizia wapita njia humo sokoni wanakuelekeza,maana ni eneo la wazi.
@GladnessMwakila18 күн бұрын
Ni NYEGEZI
@anethphilbert22912 күн бұрын
MUNGU ANAMTUMIA KWA KUSUDI. MUNGU AKUBARIKI SAAAANA MTUMISHI KWA HUDUMA HII.
Пікірлер: 39
#Mwanza kwa Yesu; Injili isiyoghoshiwa kwetu, Bwana atutendee
Jina la Bwana libarikiwe sana 🙏
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ yesu nimungu
Amen 🙏
Amen
Hongera kwenu watu wa Mwanza kwa neema hii
Yesu ni Bwana
Mungu akubariki Mchungaji hii kweli ya Mungu hii inasaidia sana!!!! I injili kamili ndo hii
Karibu saana na Bukoba kasharu ila Mimi nipo Dar feel free church kwa masanja
Mubarikiwe sana Baba. Mungu awabariki kwa kwazi kubwa
Mbarikiwe watu wa Mwanza injili Iendelee
Amina,asante kwa Yesu
Mungu akubariki sana baba..
#Injili yenye kuliponya kanisa na mataifa
Safi Sana. No mwanza sehemu gani, kuna ndugu yangu anataka kuhudhuria mkutano huu.
Ameeeeeeeeeeeeeeen.
Zanzibar tunakusubir kwa shauku baba
Ni mwanza sehemu gani
@erickmutungi8792
17 күн бұрын
Stendi ya zamani (California/Kalifonia),ukishuka unateremka kufuata njia ambamo kuna wauza mitumba,hata ukiulizia wapita njia humo sokoni wanakuelekeza,maana ni eneo la wazi.
Ni NYEGEZI
MUNGU ANAMTUMIA KWA KUSUDI. MUNGU AKUBARIKI SAAAANA MTUMISHI KWA HUDUMA HII.
HALLELUJAH AMEN 🙏🏾HALLELUJAH HALLELUJAH🙏🏾 HALLELUJAH 🙏🏾
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu azidi kuku tunza pastor
Saa 8:30 mchana
Anayejua muda wa mkutano wa kesho anijulishe ili niwahi kuwa live na kubarikiwa na watu wa Mwanza kupitia mtumishi wa Mungu.
@user-du3pd7gb4c
18 күн бұрын
Ni sakumi mkutano unaanza
@bettyisaack209
17 күн бұрын
Ni saa tisa alasiri dada. Kakutane na Mungu hapo sawa na Shauku yako
@annastaziakimaro3042
17 күн бұрын
@@user-du3pd7gb4c amen barikiwa
@annastaziakimaro3042
17 күн бұрын
@@bettyisaack209 amen barikiwa sana
Yuko Nyegezi , pale ilipokuwa stand ya Muda wakati wanajenga Stend mpya ya Nyegezi . Karibu na secondary ya Nyabulogoya.
Ukifika stendi ya nyegezi unaenda wapi
Ni mwanza sehem gani yupo
@user-ld1ji6nu1g
18 күн бұрын
Nyegez mwanz
@MathayoNashon
17 күн бұрын
Mwanza nyegezi stendi ya nyabulogoya
@danieldavis3361
17 күн бұрын
Ukifika stendi ya nyegezi unaenda wapi
@aproniamasatu5810
17 күн бұрын
@@danieldavis3361haufiki stend unashukia kijiweni unashuka shule ya nyabrogoya
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ yesu nimungu
#Mwanza kwa Yesu; Injili isiyoghoshiwa kwetu, Bwana atutendee